Alichokikuta Rais Magufuli baada ya kufanya ziara ya kushitukiza bandari DSM leo
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 มี.ค. 2017
- March 23, 2017 Rais John Pombe Mgufuli alifanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa kwa nyakati tofauti juu ya kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari hiyo ikiwemo usafirishaji wa mchanga wa madini kwenda nje ya nchi.
Katika ziara hiyo Mhe. Rais Magufuli ameshuhudia makontena 20 ya mchanga wenye madini kutoka kwenye migodi iliyopo kanda ya ziwa ambayo yamezuiliwa kusafirishwa nje ya nchi tangu alipotoa agizo la kupiga marufuku usafirishaji wa mchanga nje ya nchi tarehe 02 Machi, 2017.
TUTAICHIMBA TUTAKAPOKUWA NA AKILI GOOOOOOOOD NYERERE FOOTSTEP. I LOVE THIS MAN TO BE HONEST. HE IS SERIOUS, THE MAN OF HIS WORDS. EXCELLENT
Tutakukumbuka Baba Leo nmekuja kukuangalia tena😥😥nlikuwa napenda utendaji kazi wako jaman😥😥Mungu akupokee kwake
We acha tu, huyu Mama atawaweza hawa mafisadi kweli?
Namkubali sana huyu raisi ata anapo tumbua mtu najua lazima kutakuwa na siri nyuma ya pazia, naamini ata maamuzi ya kumtengua Nape, yupo sahihi
Kuna maisha baada ya Nape, haturudi nyuma sisi NI kUCHAPA KAZI TU.
Masikini baba etu 😭😭😭 dah mungu akurehem
Hongera sana milard ayo kwa Kazi zako za ukweli na uwakika unatoaga taarifa ya kweli wewe ndio unaefaa kuwa mwandish wa habari
Allah akupe Imani.rais Kama huyu apewe uraisi mpaka aondoke dunia
iv ndio vitu vya msing .....sio flash za clouds...watu wanajidai wanasafirisha mchanga ....kumbe ni midhahabu inasafirishwa.....Nimesema chapa kaaaazi...i love my president JPM.
Pamoja sana Alisha
Hap ni kuchapa kazi Tu.
Piga kazi tunakutegemea wewe ni jembe la tz.love sana jp
Mheshimiwa Rais asante sana kwa kweli kwa kazi nzuri sana sana sana. Nchi lazima iende mbele kwa kazi na bidii lakini pia kwa njia ya halali. wizi kamwe hautatufikisha popote, bali utatuongezea matatizo tu. Asante sana.
Safu sana kazi ziendelee
Hongera sana rais wetu kwa kazi nzuri unayofanya sisi kama wazalendo hatuna budi kukuombea kwa Mungu ili awataharakishe adui zako na wa Watanzania ! Mungu akubariki kuliko kawaida na aibariki na Tanzania !
may GOD bless you and live long the king
Milard Ayo, you are the best.
asante my president piga kazi Baba tupo nyuma yako
Waooo... Nice Movie
Hakika ndiyo maana Mh. Rais anaomba watanzania tumuombee, bila maombi ya kweli hatutakuwa na msaada kwa Mh. Rais
Tuna kukumnuka mzee😭😭 r.i.p🙏🙏
magu hapo umenikosha ila kwa nape fikiria basi mara mbili mbili
SOFY OMARY hahahah magu anaweza
piga kazi baba mungu akulinde akupe maisha marefu
Mungu akubariki raisi wetu endelea kudhibiti Wa halifu wote,
nakupenda bure babaangu magufuri.
Ally Abeid mmmmh wewe
safi
Tutachimba sisi wenyewe tutakapo kua na akili aseeeeeh kweli rais wetu mpendwa ni mwelewa
saafiii mzeee maguuu
kazi kazi...kampeni 2020
ukiangalia haya maisha imekuwa kiki tu ,unaambiwa mtu wako uliyemchagua anakasoro unamwacha unamtumbua anayesimamia haki
Wanang'ata visigino, presidaaaaa wewe wagonge vichwa afu watakuelewa, mie binafsi nakuelewa sana president
Robert William kabisaaa ani
Possession is nine tenths of the law
mtu wangu wa nguvu #MillardAyo asante sana
Hassanova junior bashite ananjaa hayo yote hatuoni faida take
tutaona mengi miaka hii
safi magu
Ee h mungu jaman turete rais kama uyu tena
Hapa kazi tu...
he jamani gari zangu sijui nitazipataje
Wtz tutalia mpaka bc ila hakuta patikana kama huyu labda kasimu majaliwa
Tunakuelewa sana RAISI wetu na tunatii uyasemayo.
Rest in peace mr president
Uyu jamahaa ni sio sana ana taka kutufanya sis niwa toto wadogo
Nakukumbuka sana Magu 😢
Dawa ya waficha mizigo ni kupunguza kodi na kuziba mianya ya mapunguzo za kodi. Na kila ofisa TPA awe na accountability kuliko hivi sasa mpaka Rais anakagua Mizigo.
xio mbaya one of challenge
tutamuelewa tu raisi wetu achaamalize ungwe yake aje mwingine utasiki kipindi cha magufuli ujinga huu usingekuwepo
yaan sisi watz tunajijua wenyewe
nakupenda. Rais. Wangu. sanaaaaaa
amen
Dennis Kiango
..
Yameisha timia kama ulivotabiri mkuu
zote sanaa #magumashi
hapa kaz 2
saaaaafiiiiiii na yataifishe hayo mandinga mkuu wa kaya watafaham tu we c waspotspot bhn.
Nick kimambo wewe ni msenge kweliiiiiii fala mkubwa wewee achana na rais wetu shoga mkubwa wew
hapa kaz tu
Na madawa ndivyo yanavyo safirishwa kwenye hayo magari hatari sana
A very good actor smh
Aaaah hujanshawish mzee
nabado
good job mr.president
hatutaki pirika za kuzungu kushka na kuacha tunataka faida kwa unayoyafanya biashara bla faida ndo nn!
maguful apo bigup, japo kwa nape umemuonea,umeamua umfuge jambaz makonda,,na umeamua kumtumbua wazir alyekua anatimiza wajibu wake, that's not fair
Duuuuuu Maigizo haya sijui yataisha lini.
Hamna lolote hii nnchi, hii nchi kila siku maigizo, kila siku jipya huwez jua n filamu y kutengenezwa au n vepe, kila kikitokea hiki kinafunikwa n hiki , mie magu ckuelw wala nn , utawala wako n maigizo tu hmna lolote.
Piga kazi baba Magufuli, Achana na kelele za hawa wanafiki wanaoamini wao ni malaika.
Kamwe usiwaangalie hao maana tuliokuchagua tunakukubali baba
kazkaz
pinga kazi rais wetu tuko pamoja na wewe
Jembe
Jembe.
watanzani tungekuwa na maamuzi ya pamoja tungempa magufuli mihula mitatu hii nchi ingekuwa nusu ulaya
katika mwaka niliopatikana ni huu nianzie wapi magari yangu yakifahari
Daah ndo ivo tena 😢😢😢
Daaah bwana weeeee ndo nazidi kuumia yani, Mama ana shughuli pevu
,sameer unafaidika nini na huo ujanja wa kuingiza magari?
Mkuu hata ukamate meli zimejaa almasi baadhi yetu tuliokupigia kura na kukupigia debe hatutakaa tukuelewe
siasa imetuathiri kupitlza vjna tupige kaz
iko siku wataelewa tu unachokifanya
asante Anko Magu pia milard ayo Mungu akubariki sana wewe ni mwanahabari unaejielewa sana no umbea umbea hapa kazi tu#
pamoja sana haturudi nyuma, ni kuchapakazi Tu
hakuna huzuni kwani tumefiwa!!!!!?
Sonjohn W. Joram hapa kazi no udaku udaku
Sonjohn W. Joram kipofu anaongoza njia
Njarita Leonard jipu lingne ni ww
Wewe sio mtanzania . Una sura mbaya sana. Watanzania hatupo hivyo
Huyu ndiye Rais tuliyekuwa tunamtaka wenye chuki wajinyonge ,tulichezewa vya kutosha-Mungu akubariki baba.
kweli Miracle pamoja sana
Miracle Logistics haswaaaa
jamani watanzania nendeni shule mukapate elimu kidogo ...yaani munaambiwa fungua macho tazama hile nyie wajibu nooo atutaki...its a game u foolish wake up...Magufuli game ..ni movie kategeneza kama mkewe bashitee alivyotengeneza hili amfunge Gwajima mdomo...hivi yiyi amujui ni movie nyingi uwa zatengenezwaaa na shoga 👉huyu...Tanzania nchi huru jina bado tutabakia maslevu..hansa kwa uongozi wa shoga huyu..ukisema ukweli basi walala kituo cha polis na wafukuzwa kazi ..
nendeni mukamuunge mkono Nape na Mange kimambi wanayetetea Haki yetu na kutufungua Macho wengi na sio kumpa huyu shoga nafasi ya kiki aliyeitengeneza mwenyewe...Kaeni mukijua Magufuli ni mtetea Haki kwa Bashite tu na sio kwako wewe mwananchi, mtanzania. amukeni watanzania Wake up hivi amujiulinzi kwanini kakaaa kimia kwa matukio yotee yanayozuma sasa Tanzania? yeye kama baba kwanini asiingilie kazi na kukanya watoto wake na kumkalipia yule aliye kosea? sasa jibu unalo wewe mwenyewe? wake up watanzania au munataka mpaka siku hili atakapo kuja kwako na kumvua nguo mama na baba yako mbele yako ndio utaamini kuwa Magu ni rais kichaaa anayependelea mtu mmoja tu au kabila lake tuu..?? Bashitee akikushuti au kukubaka au kuuza madawa ya kuleviya azalani au kuja kwa duka yako na kubeba mali yako haaaa akuna neno kwani ni mke wa Magu au tuseme ni wa kabila moja ..hila wewe ukisema ukweli kuhusu jambo duuuh watakuuwa na familia yako yote tena kwa kukuzalilisha sasa wewe unaejiita Mtanzania naomba nijibu hapa Haki yako itasikilizwa na nani? au Haki yako ipo wapii? kweli wasumbutu kumpigia makofi na vigeregere kwa mtu asiye kupenda kila kukicha anatengeneza movie hili umsikilize yeye tu na kumsifia yeye na sio kukusikiliza wewe mlipa mshaara wake.. Watanzania itambueni haki yenu na acheni ujinga..kushikana kwa pamaja ni nguvu kutengana ni uzaifu. mimi ni mtanzania na sipendi kuonewa hila sina nguvu zaidi bila yako wewe..
nendeni mukamuunge mkono Nape na Mange kimambi wanayetetea Haki yetu na kutufungua Macho wengi na sio kumpa huyu shoga nafasi ya kiki aliyeitengeneza mwenyewe...Kaeni mukijua Magufuli ni mtetea Haki kwa Bashite tu na sio kwako wewe mwananchi, mtanzania. amukeni watanzania Wake up hivi amujiulinzi kwanini kakaaa kimia kwa matukio yotee yanayozuma sasa Tanzania? yeye kama baba kwanini asiingilie kazi na kukanya watoto wake na kumkalipia yule aliye kosea? sasa jibu unalo wewe mwenyewe? wake up watanzania au munataka mpaka siku hili atakapo kuja kwako na kumvua nguo mama na baba yako mbele yako ndio utaamini kuwa Magu ni rais kichaaa anayependelea mtu mmoja tu au kabila lake tuu..?? Bashitee akikushuti au kukubaka au kuuza madawa ya kuleviya azalani au kuja kwa duka yako na kubeba mali yako haaaa akuna neno kwani ni mke wa Magu au tuseme ni wa kabila moja ..hila wewe ukisema ukweli kuhusu jambo duuuh watakuuwa na familia yako yote tena kwa kukuzalilisha sasa wewe unaejiita Mtanzania naomba nijibu hapa Haki yako itasikilizwa na nani? au Haki yako ipo wapii? kweli wasumbutu kumpigia makofi na vigeregere kwa mtu asiye kupenda kila kukicha anatengeneza movie hili umsikilize yeye tu na kumsifia yeye na sio kukusikiliza wewe mlipa mshaara wake.. Watanzania itambueni haki yenu na acheni ujinga..kushikana kwa pamaja ni nguvu kutengana ni uzaifu. mimi ni mtanzania na sipendi kuonewa hila sina nguvu zaidi bila yako wewe.
hakuna kulala wanyooshe baba
Mr msifa kweni weye magu uko kweli mbona swala la bashite umefanya kama ulioni kisha watu wa innocent ndo unajifanya kuwa shukuliya hatua
Punguzeni kodi ili watu wasikwepe kulipa kodi. Ukinunua gari huko nje ni bei poa sana, ila ukija hapa TRA utadhani wanauza wao magari. Hii nchi inatoza kodi kubwa mnoo. Punguzeni kodi ili watu wajivunie kulipa kodi.
Jicho Mtego kweli kabisa punguzeni kodi
ole wao viongozi wanaomuhusisha Mungu kwenye mambo ambayo Mungu hajawaambia ole wao nasema..Hasira ya BWANA ni kali nayo inawaka moto naye atalipiza kisasi juu ya adui zake..Viongozi na wananchi woote wanaochezea akili na aman za watanzania ole wao..KIKOMBE CHA HASIRA YA BWANA KINAELEKEA KUJAA, NAYE ATAACHILIA VITASA VYA UCHUNGU JUU VIONGOZI NA WANANCHI WAVURUGA AMANI..KWA JINA LA YESU
Ameen. Nimeyaheshimu maneno yako Onesmo Mrisho.
Hii nchi ni zaidi ya MUijuavyo..
#BashishiBby
Bull shit!
MZEE ULIKUA TOCHI YA TAIFA NA DUNIA! R I P DADY NOBODY TO BE COMPARED WITH YOU!!@....why should black heros die so soon????!!!!....
Sowez amini uongo wa thahili huo amekwepa masawali kuhusu nape akaona aigize kihivi lakin niuongo tu movie hiyo imeandaliwa na yeye mwenyewe
Obedi Swebe fala tu msenge wew
Nani kama wewe tuta kupata wapi tena😭😭
hapa kazi tu kudadk
WAPONGEZE LAKINI UWACHUNGUZE PIA WAKIJUA UNAWAAMINI WANAFANYA MADUDU.
kwa hapo magufuli amenifanya nimpende sana zuia baba tutakapo kuwa na akili tuta chimba sisi
kiki
Dj_guy Lucas kamwambie mama yko kwenu hko boya wew
Yan mijitu inadanganywa nayo inakubal huwo ni mchezo tyu anacheza na akili za watanzania hv ww kwaakili yako mtumba ndo unavyo hifadhiwa hvyo kma kwel watuoneshe bill of lading tuamin na kwann awamchukulii hatua hyo mwenye mzigo hayo ni mapichapicha ya kujisafisha tyu kwa hya matukio mawil aliyo yafanya kashaona wananchi hawana imaninae ndo anajisafisha hvyo
Ibrahim Ally mama uko ndo anadanganywa
Hahahaha tukapokuwa tunakili asante baba
hatuna imani na uncle maana tumeona mtu ambae kajaribu kusimamia ukweli nahaki ya vyombo vya habari na uvunjifu wataratibu za habari katumbuliwa umeficha uovu mkuu wa b
Abeid Mayanga hama nchi choko wew
+Shadhiri Navaranga km mamako
Abeid Mayanga kama mama yako na baba yko
msitufanye sisi watoto tunaelewa vyote
Onesmo Mrisho unaelewa nn mwehu wew
Shadhiri Navaranga huwa sibishani na vibuyu sema ukichoka utatulia utapewa na hela na magufuli
Shadhiri Navaranga wasiojua kutumia katiba ndo wehu..endelea ongeaaaaaaaAaa bando likiisha nunua jingine endelea
Magu baba Kamata woote .
mim nakuelewa sana Rais wangu mim sitaki kua mnafik kama wale eti anekua madalakan mbaya muda wake ukiisha ndo anaonekana mzuli piga kazi tunyoo shee nchi wata elewa tu maguuuu
nakuombea Rais wangu tuko pamoja tusonge mbele, mwisho wao umefika
magu acha magumashi
safiiiiiiiiiiiiii mkuu was nchi tumbua wajinga wajinga hao walizoeaaaaaaaaa
hata wakikuachia nchi peke yako tumbua tu maana ukipata MTU wakukusaidia kutumbua wanampiga vita alaf badae wanasema utumbuajia majipu so wa raising peke take hatuwaelewi tuko pamoja naww kwenye utumbuaji majip
lol lies u tell magufuli how did u know about hilo contena? movie hiyo we are not stupid.. please can u state the name of these owners? hupotezei issue ya unyanyasaji na false use of power n what u did to Mh Nape bloody fool..unamshikia Nape gun wewe magufi n bashite.. what kind of dictator r u?
hatudanganyiiiiiiiki
John Amani
john aman acha ufala wew mwache magu apge kazi
we nae boksi kabsaaa
Yan hyu anapnda matukio tyu
Ibrahim Ally wee ni kilaza wa mwisho
Hassanova junior yan ww ndo mbumbumbu kwahyo hapo unataka kusema huo mzigo umeshikwa kwel watuoneshi bill of lading ndo tuamin hyo anatafuta kiki iliwatu mpotezee inshu ya nape na makonda acha uboya ww mtumba ndo wanaupack hvyo jiongeze ucwe unaropoka tyu
Hassanova junior kazi yako nikutukana tu huna jipya kilaza wewe
mchono huu angalia instagram kwa kamanda mange kimambi
Joseph Kaboyoka mange ni kahaba tu pimbi wew
hizo ni kiki tu ili tusahau alichomfanyia Nape Leo, mwenye akili hawezi kushangilia kwa ilo embu muangalie hizo nguo za mitumba zilivyofungashwa ndio mtajua ilo picha waliliandaa ili kuwahadaa wananchi wasiojielewa.
Nicky Kimambo
anajiosha tu hana lolote ,, haibu imemtawala
kondele tv wew n msengeeeeeeee
Shadhiri Navaranga ujitambui kijana,,iyo michezo ya kisiasa ivi tangia ameingia madaraki amewafanyia nini wananchi ,,cha kumsifia ,,kazi yake ni kuiyangalia dar tu
Propaganda
Ibrahim Mkoko mama yko ndio ana propaganda msenge mkubwa wew
Duuuuh yaani maisha ndio magumu kiasi hicho mpaka wanawake mnaamua kujiuza kilazima kwenye mitandao, hahahaha Wanawake nyie hata muwezeshwe vipi kazi bure tu. Sasa kama wewe hapo kuandika matusi kwenye comment yangu ndio umeona ujanja mwenyewe wakati sehemu ya ku-comment ipo na ulikuwa una uhuru wa kuandika chochote lakini ukaona bura uje kwangu ukijua labda na mimi ni chizi kama wewe ntakujibu matusi au sio?? Next time uwe unaangalia na mtu mwenyewe sio kila mtu tu anaweza kukuingilia kinyume na maumbile, Wengine sio mambo yetu hayo hahahahahaha SHADHIRI NAVARANGA bila ya shaka utakuwa umenielewa Mtanzania mwenzako.....
After kumuachisha kazi nape ame plan kuwafunga macho wananchi kwa kujipeleka Bandarini....Mzee uraisi sio kichwa ngumu na kukurupuka ,, Is being Wise 4 watever ur doing ...so badilika utawala wako ni shida tupuuuu
Sulaim Sameer wew unalaana sio bure
Hassanova junior @Laana ww ndo unayo
Sulaim Sameer we n msenge
Shadhiri Navaranga @ Tukana tu ndugu yangu mungu anakuona
Shadhiri Navaranga youtube sio sehemu sahihi ya kutangazia biashara yako ya ushoga. Nenda Instagram ndio kuna mashoga wenzako kule pia utapata wanaume wanaopenda kuwaingilia wanaume wenzao, Hapa unajipotezea muda tu aise hakuna hata mmoja anaependa hiyo michezo
looks like it's staged
very much
I dnt think you know Magufuli, he was like this since he was a minister so just go over his clips on youtube when he was a minister and you will understand.
Huna jipya
nyie si mmezoea kushabikia upuuzi vya msingi mnaponda
Simon Fundi tupe wewe jipya basi lione kwanza hovyooo tu
Mimi ananiboa tu
Andrew they bora uwaambie na wewe
ww una jipya gani kwa umbea wa mtandaoni!!?
Anko Magu ataeleweka tu.
piga kazi baba mungu akulinde akupe maisha marefu