Alichokikuta Rais Magufuli baada ya kufanya ziara ya kushitukiza bandari DSM leo

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 22 มี.ค. 2017
  • March 23, 2017 Rais John Pombe Mgufuli alifanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa kwa nyakati tofauti juu ya kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari hiyo ikiwemo usafirishaji wa mchanga wa madini kwenda nje ya nchi.
    Katika ziara hiyo Mhe. Rais Magufuli ameshuhudia makontena 20 ya mchanga wenye madini kutoka kwenye migodi iliyopo kanda ya ziwa ambayo yamezuiliwa kusafirishwa nje ya nchi tangu alipotoa agizo la kupiga marufuku usafirishaji wa mchanga nje ya nchi tarehe 02 Machi, 2017.

ความคิดเห็น • 190

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 7 ปีที่แล้ว +5

    TUTAICHIMBA TUTAKAPOKUWA NA AKILI GOOOOOOOOD NYERERE FOOTSTEP. I LOVE THIS MAN TO BE HONEST. HE IS SERIOUS, THE MAN OF HIS WORDS. EXCELLENT

  • @julithahayuma6277
    @julithahayuma6277 3 ปีที่แล้ว +6

    Tutakukumbuka Baba Leo nmekuja kukuangalia tena😥😥nlikuwa napenda utendaji kazi wako jaman😥😥Mungu akupokee kwake

    • @emmanuelmkama3000
      @emmanuelmkama3000 3 ปีที่แล้ว

      We acha tu, huyu Mama atawaweza hawa mafisadi kweli?

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 7 ปีที่แล้ว +14

    Namkubali sana huyu raisi ata anapo tumbua mtu najua lazima kutakuwa na siri nyuma ya pazia, naamini ata maamuzi ya kumtengua Nape, yupo sahihi
    Kuna maisha baada ya Nape, haturudi nyuma sisi NI kUCHAPA KAZI TU.

  • @lydiachembe9376
    @lydiachembe9376 3 ปีที่แล้ว +4

    Masikini baba etu 😭😭😭 dah mungu akurehem

  • @doreenjoseph7470
    @doreenjoseph7470 7 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana milard ayo kwa Kazi zako za ukweli na uwakika unatoaga taarifa ya kweli wewe ndio unaefaa kuwa mwandish wa habari

  • @hassanturky7511
    @hassanturky7511 5 ปีที่แล้ว +3

    Allah akupe Imani.rais Kama huyu apewe uraisi mpaka aondoke dunia

  • @alishomar7549
    @alishomar7549 7 ปีที่แล้ว +6

    iv ndio vitu vya msing .....sio flash za clouds...watu wanajidai wanasafirisha mchanga ....kumbe ni midhahabu inasafirishwa.....Nimesema chapa kaaaazi...i love my president JPM.

    • @tanzaniakwanza9564
      @tanzaniakwanza9564 7 ปีที่แล้ว +1

      Pamoja sana Alisha
      Hap ni kuchapa kazi Tu.

    • @AliM-di8dz
      @AliM-di8dz 6 ปีที่แล้ว

      Piga kazi tunakutegemea wewe ni jembe la tz.love sana jp

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 7 ปีที่แล้ว

    Mheshimiwa Rais asante sana kwa kweli kwa kazi nzuri sana sana sana. Nchi lazima iende mbele kwa kazi na bidii lakini pia kwa njia ya halali. wizi kamwe hautatufikisha popote, bali utatuongezea matatizo tu. Asante sana.

  • @hassankayla4076
    @hassankayla4076 7 ปีที่แล้ว +3

    Safu sana kazi ziendelee

  • @dismaschukilizo1605
    @dismaschukilizo1605 7 ปีที่แล้ว

    Hongera sana rais wetu kwa kazi nzuri unayofanya sisi kama wazalendo hatuna budi kukuombea kwa Mungu ili awataharakishe adui zako na wa Watanzania ! Mungu akubariki kuliko kawaida na aibariki na Tanzania !

  • @billtheadviser894
    @billtheadviser894 7 ปีที่แล้ว +1

    may GOD bless you and live long the king

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana 7 ปีที่แล้ว

    Milard Ayo, you are the best.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว +2

    asante my president piga kazi Baba tupo nyuma yako

  • @innocentchristian4774
    @innocentchristian4774 7 ปีที่แล้ว +1

    Waooo... Nice Movie

  • @fene-djnews9557
    @fene-djnews9557 7 ปีที่แล้ว +2

    Hakika ndiyo maana Mh. Rais anaomba watanzania tumuombee, bila maombi ya kweli hatutakuwa na msaada kwa Mh. Rais

  • @sadalaramadhani104
    @sadalaramadhani104 3 ปีที่แล้ว +2

    Tuna kukumnuka mzee😭😭 r.i.p🙏🙏

  • @mimifulani948
    @mimifulani948 7 ปีที่แล้ว +8

    magu hapo umenikosha ila kwa nape fikiria basi mara mbili mbili

  • @augustinateshamelkiory6752
    @augustinateshamelkiory6752 7 ปีที่แล้ว

    piga kazi baba mungu akulinde akupe maisha marefu

  • @laynerngole2119
    @laynerngole2119 7 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki raisi wetu endelea kudhibiti Wa halifu wote,

  • @allyabeid342
    @allyabeid342 7 ปีที่แล้ว +8

    nakupenda bure babaangu magufuri.

  • @ramiahassani8750
    @ramiahassani8750 7 ปีที่แล้ว +1

    safi

  • @ntiliyothomas5146
    @ntiliyothomas5146 3 ปีที่แล้ว +1

    Tutachimba sisi wenyewe tutakapo kua na akili aseeeeeh kweli rais wetu mpendwa ni mwelewa

  • @rajabuabdallah3840
    @rajabuabdallah3840 7 ปีที่แล้ว +2

    saafiii mzeee maguuu

  • @stevenmahinda657
    @stevenmahinda657 7 ปีที่แล้ว

    kazi kazi...kampeni 2020

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 7 ปีที่แล้ว +1

    ukiangalia haya maisha imekuwa kiki tu ,unaambiwa mtu wako uliyemchagua anakasoro unamwacha unamtumbua anayesimamia haki

  • @robertwilliam8323
    @robertwilliam8323 7 ปีที่แล้ว +4

    Wanang'ata visigino, presidaaaaa wewe wagonge vichwa afu watakuelewa, mie binafsi nakuelewa sana president

  • @silimangwali9181
    @silimangwali9181 7 ปีที่แล้ว +1

    Possession is nine tenths of the law

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว +2

    mtu wangu wa nguvu #MillardAyo asante sana

    • @wilsonmasero5976
      @wilsonmasero5976 7 ปีที่แล้ว

      Hassanova junior bashite ananjaa hayo yote hatuoni faida take

  • @rahimumapondella8043
    @rahimumapondella8043 7 ปีที่แล้ว +1

    tutaona mengi miaka hii

  • @jamesmakweta6232
    @jamesmakweta6232 7 ปีที่แล้ว +1

    safi magu

  • @AdrianMasima-ue4wu
    @AdrianMasima-ue4wu 2 หลายเดือนก่อน

    Ee h mungu jaman turete rais kama uyu tena

  • @akademkkz
    @akademkkz 7 ปีที่แล้ว

    Hapa kazi tu...

  • @omarhmcha9008
    @omarhmcha9008 7 ปีที่แล้ว +1

    he jamani gari zangu sijui nitazipataje

  • @twahasaidi7578
    @twahasaidi7578 ปีที่แล้ว +1

    Wtz tutalia mpaka bc ila hakuta patikana kama huyu labda kasimu majaliwa

  • @babawahindi7368
    @babawahindi7368 7 ปีที่แล้ว

    Tunakuelewa sana RAISI wetu na tunatii uyasemayo.

  • @josephwilliam5813
    @josephwilliam5813 3 ปีที่แล้ว +1

    Rest in peace mr president

  • @mosmartmussa9787
    @mosmartmussa9787 7 ปีที่แล้ว

    Uyu jamahaa ni sio sana ana taka kutufanya sis niwa toto wadogo

  • @motivational_leader
    @motivational_leader ปีที่แล้ว

    Nakukumbuka sana Magu 😢

  • @kimongearusha247
    @kimongearusha247 7 ปีที่แล้ว

    Dawa ya waficha mizigo ni kupunguza kodi na kuziba mianya ya mapunguzo za kodi. Na kila ofisa TPA awe na accountability kuliko hivi sasa mpaka Rais anakagua Mizigo.

  • @mussankulunge5824
    @mussankulunge5824 7 ปีที่แล้ว

    xio mbaya one of challenge

  • @denniskiango6901
    @denniskiango6901 7 ปีที่แล้ว +19

    tutamuelewa tu raisi wetu achaamalize ungwe yake aje mwingine utasiki kipindi cha magufuli ujinga huu usingekuwepo

  • @leriq1
    @leriq1 7 ปีที่แล้ว

    zote sanaa #magumashi

  • @omaryamiry3651
    @omaryamiry3651 7 ปีที่แล้ว

    hapa kaz 2

  • @jumasaid3926
    @jumasaid3926 7 ปีที่แล้ว

    saaaaafiiiiiii na yataifishe hayo mandinga mkuu wa kaya watafaham tu we c waspotspot bhn.

  • @shadhirinavaranga7009
    @shadhirinavaranga7009 7 ปีที่แล้ว

    Nick kimambo wewe ni msenge kweliiiiiii fala mkubwa wewee achana na rais wetu shoga mkubwa wew

  • @levocathgaitani1594
    @levocathgaitani1594 7 ปีที่แล้ว

    hapa kaz tu

  • @jasminasha9551
    @jasminasha9551 7 ปีที่แล้ว

    Na madawa ndivyo yanavyo safirishwa kwenye hayo magari hatari sana

  • @martindondi8844
    @martindondi8844 7 ปีที่แล้ว

    A very good actor smh

  • @mussakiza4268
    @mussakiza4268 7 ปีที่แล้ว

    Aaaah hujanshawish mzee

  • @augustinateshamelkiory6752
    @augustinateshamelkiory6752 7 ปีที่แล้ว

    nabado

  • @afropanorama4730
    @afropanorama4730 7 ปีที่แล้ว

    good job mr.president

  • @salehlofy4251
    @salehlofy4251 7 ปีที่แล้ว

    hatutaki pirika za kuzungu kushka na kuacha tunataka faida kwa unayoyafanya biashara bla faida ndo nn!

  • @meddyyassin4741
    @meddyyassin4741 7 ปีที่แล้ว

    maguful apo bigup, japo kwa nape umemuonea,umeamua umfuge jambaz makonda,,na umeamua kumtumbua wazir alyekua anatimiza wajibu wake, that's not fair

  • @kimongearusha247
    @kimongearusha247 7 ปีที่แล้ว

    Duuuuuu Maigizo haya sijui yataisha lini.

  • @brucechonjo3417
    @brucechonjo3417 7 ปีที่แล้ว

    Hamna lolote hii nnchi, hii nchi kila siku maigizo, kila siku jipya huwez jua n filamu y kutengenezwa au n vepe, kila kikitokea hiki kinafunikwa n hiki , mie magu ckuelw wala nn , utawala wako n maigizo tu hmna lolote.

  • @josephcharles9477
    @josephcharles9477 7 ปีที่แล้ว

    Piga kazi baba Magufuli, Achana na kelele za hawa wanafiki wanaoamini wao ni malaika.
    Kamwe usiwaangalie hao maana tuliokuchagua tunakukubali baba

  • @salimmustafa1935
    @salimmustafa1935 7 ปีที่แล้ว

    kazkaz

  • @erastomihambo6943
    @erastomihambo6943 7 ปีที่แล้ว

    pinga kazi rais wetu tuko pamoja na wewe

  • @pipsmakers7610
    @pipsmakers7610 3 ปีที่แล้ว

    Jembe

  • @fredrickndomelo1745
    @fredrickndomelo1745 3 ปีที่แล้ว

    Jembe.

  • @omarymuhunzi4950
    @omarymuhunzi4950 6 ปีที่แล้ว

    watanzani tungekuwa na maamuzi ya pamoja tungempa magufuli mihula mitatu hii nchi ingekuwa nusu ulaya

  • @omarhmcha9008
    @omarhmcha9008 7 ปีที่แล้ว

    katika mwaka niliopatikana ni huu nianzie wapi magari yangu yakifahari

  • @pascalmsuyajr.7980
    @pascalmsuyajr.7980 3 ปีที่แล้ว

    Daah ndo ivo tena 😢😢😢

    • @emmanuelmkama3000
      @emmanuelmkama3000 3 ปีที่แล้ว

      Daaah bwana weeeee ndo nazidi kuumia yani, Mama ana shughuli pevu

  • @malickmakatta6089
    @malickmakatta6089 7 ปีที่แล้ว +1

    ,sameer unafaidika nini na huo ujanja wa kuingiza magari?

  • @dct4lif
    @dct4lif 7 ปีที่แล้ว

    Mkuu hata ukamate meli zimejaa almasi baadhi yetu tuliokupigia kura na kukupigia debe hatutakaa tukuelewe

  • @salimmustafa1935
    @salimmustafa1935 7 ปีที่แล้ว

    siasa imetuathiri kupitlza vjna tupige kaz

  • @augustinateshamelkiory6752
    @augustinateshamelkiory6752 7 ปีที่แล้ว

    iko siku wataelewa tu unachokifanya

  • @dadycarenjr5732
    @dadycarenjr5732 7 ปีที่แล้ว +11

    asante Anko Magu pia milard ayo Mungu akubariki sana wewe ni mwanahabari unaejielewa sana no umbea umbea hapa kazi tu#

    • @tanzaniakwanza9564
      @tanzaniakwanza9564 7 ปีที่แล้ว +2

      pamoja sana haturudi nyuma, ni kuchapakazi Tu
      hakuna huzuni kwani tumefiwa!!!!!?

    • @dadycarenjr5732
      @dadycarenjr5732 7 ปีที่แล้ว +1

      Sonjohn W. Joram hapa kazi no udaku udaku

    • @rayyanmissanga239
      @rayyanmissanga239 7 ปีที่แล้ว

      Sonjohn W. Joram kipofu anaongoza njia

    • @rayyanmissanga239
      @rayyanmissanga239 7 ปีที่แล้ว

      Njarita Leonard jipu lingne ni ww

    • @jichomtego3435
      @jichomtego3435 7 ปีที่แล้ว

      Wewe sio mtanzania . Una sura mbaya sana. Watanzania hatupo hivyo

  • @miraclelogistics1526
    @miraclelogistics1526 7 ปีที่แล้ว +13

    Huyu ndiye Rais tuliyekuwa tunamtaka wenye chuki wajinyonge ,tulichezewa vya kutosha-Mungu akubariki baba.

    • @tanzaniakwanza9564
      @tanzaniakwanza9564 7 ปีที่แล้ว +1

      kweli Miracle pamoja sana

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว +2

      Miracle Logistics haswaaaa

    • @ajtra3073
      @ajtra3073 7 ปีที่แล้ว

      jamani watanzania nendeni shule mukapate elimu kidogo ...yaani munaambiwa fungua macho tazama hile nyie wajibu nooo atutaki...its a game u foolish wake up...Magufuli game ..ni movie kategeneza kama mkewe bashitee alivyotengeneza hili amfunge Gwajima mdomo...hivi yiyi amujui ni movie nyingi uwa zatengenezwaaa na shoga 👉huyu...Tanzania nchi huru jina bado tutabakia maslevu..hansa kwa uongozi wa shoga huyu..ukisema ukweli basi walala kituo cha polis na wafukuzwa kazi ..

    • @ajtra3073
      @ajtra3073 7 ปีที่แล้ว

      nendeni mukamuunge mkono Nape na Mange kimambi wanayetetea Haki yetu na kutufungua Macho wengi na sio kumpa huyu shoga nafasi ya kiki aliyeitengeneza mwenyewe...Kaeni mukijua Magufuli ni mtetea Haki kwa Bashite tu na sio kwako wewe mwananchi, mtanzania. amukeni watanzania Wake up hivi amujiulinzi kwanini kakaaa kimia kwa matukio yotee yanayozuma sasa Tanzania? yeye kama baba kwanini asiingilie kazi na kukanya watoto wake na kumkalipia yule aliye kosea? sasa jibu unalo wewe mwenyewe? wake up watanzania au munataka mpaka siku hili atakapo kuja kwako na kumvua nguo mama na baba yako mbele yako ndio utaamini kuwa Magu ni rais kichaaa anayependelea mtu mmoja tu au kabila lake tuu..?? Bashitee akikushuti au kukubaka au kuuza madawa ya kuleviya azalani au kuja kwa duka yako na kubeba mali yako haaaa akuna neno kwani ni mke wa Magu au tuseme ni wa kabila moja ..hila wewe ukisema ukweli kuhusu jambo duuuh watakuuwa na familia yako yote tena kwa kukuzalilisha sasa wewe unaejiita Mtanzania naomba nijibu hapa Haki yako itasikilizwa na nani? au Haki yako ipo wapii? kweli wasumbutu kumpigia makofi na vigeregere kwa mtu asiye kupenda kila kukicha anatengeneza movie hili umsikilize yeye tu na kumsifia yeye na sio kukusikiliza wewe mlipa mshaara wake.. Watanzania itambueni haki yenu na acheni ujinga..kushikana kwa pamaja ni nguvu kutengana ni uzaifu. mimi ni mtanzania na sipendi kuonewa hila sina nguvu zaidi bila yako wewe..

    • @ajtra3073
      @ajtra3073 7 ปีที่แล้ว

      nendeni mukamuunge mkono Nape na Mange kimambi wanayetetea Haki yetu na kutufungua Macho wengi na sio kumpa huyu shoga nafasi ya kiki aliyeitengeneza mwenyewe...Kaeni mukijua Magufuli ni mtetea Haki kwa Bashite tu na sio kwako wewe mwananchi, mtanzania. amukeni watanzania Wake up hivi amujiulinzi kwanini kakaaa kimia kwa matukio yotee yanayozuma sasa Tanzania? yeye kama baba kwanini asiingilie kazi na kukanya watoto wake na kumkalipia yule aliye kosea? sasa jibu unalo wewe mwenyewe? wake up watanzania au munataka mpaka siku hili atakapo kuja kwako na kumvua nguo mama na baba yako mbele yako ndio utaamini kuwa Magu ni rais kichaaa anayependelea mtu mmoja tu au kabila lake tuu..?? Bashitee akikushuti au kukubaka au kuuza madawa ya kuleviya azalani au kuja kwa duka yako na kubeba mali yako haaaa akuna neno kwani ni mke wa Magu au tuseme ni wa kabila moja ..hila wewe ukisema ukweli kuhusu jambo duuuh watakuuwa na familia yako yote tena kwa kukuzalilisha sasa wewe unaejiita Mtanzania naomba nijibu hapa Haki yako itasikilizwa na nani? au Haki yako ipo wapii? kweli wasumbutu kumpigia makofi na vigeregere kwa mtu asiye kupenda kila kukicha anatengeneza movie hili umsikilize yeye tu na kumsifia yeye na sio kukusikiliza wewe mlipa mshaara wake.. Watanzania itambueni haki yenu na acheni ujinga..kushikana kwa pamaja ni nguvu kutengana ni uzaifu. mimi ni mtanzania na sipendi kuonewa hila sina nguvu zaidi bila yako wewe.

  • @MarieHeleneEtienne-bf9ub
    @MarieHeleneEtienne-bf9ub 2 หลายเดือนก่อน

    hakuna kulala wanyooshe baba

  • @trishahsongs6995
    @trishahsongs6995 7 ปีที่แล้ว

    Mr msifa kweni weye magu uko kweli mbona swala la bashite umefanya kama ulioni kisha watu wa innocent ndo unajifanya kuwa shukuliya hatua

  • @jichomtego3435
    @jichomtego3435 7 ปีที่แล้ว +1

    Punguzeni kodi ili watu wasikwepe kulipa kodi. Ukinunua gari huko nje ni bei poa sana, ila ukija hapa TRA utadhani wanauza wao magari. Hii nchi inatoza kodi kubwa mnoo. Punguzeni kodi ili watu wajivunie kulipa kodi.

    • @trishahsongs6995
      @trishahsongs6995 7 ปีที่แล้ว +1

      Jicho Mtego kweli kabisa punguzeni kodi

    • @onesmomrisho5456
      @onesmomrisho5456 7 ปีที่แล้ว

      ole wao viongozi wanaomuhusisha Mungu kwenye mambo ambayo Mungu hajawaambia ole wao nasema..Hasira ya BWANA ni kali nayo inawaka moto naye atalipiza kisasi juu ya adui zake..Viongozi na wananchi woote wanaochezea akili na aman za watanzania ole wao..KIKOMBE CHA HASIRA YA BWANA KINAELEKEA KUJAA, NAYE ATAACHILIA VITASA VYA UCHUNGU JUU VIONGOZI NA WANANCHI WAVURUGA AMANI..KWA JINA LA YESU

    • @jichomtego3435
      @jichomtego3435 7 ปีที่แล้ว

      Ameen. Nimeyaheshimu maneno yako Onesmo Mrisho.

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 7 ปีที่แล้ว

    Hii nchi ni zaidi ya MUijuavyo..
    #BashishiBby

  • @janegeogre3234
    @janegeogre3234 2 ปีที่แล้ว

    MZEE ULIKUA TOCHI YA TAIFA NA DUNIA! R I P DADY NOBODY TO BE COMPARED WITH YOU!!@....why should black heros die so soon????!!!!....

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 7 ปีที่แล้ว

    Sowez amini uongo wa thahili huo amekwepa masawali kuhusu nape akaona aigize kihivi lakin niuongo tu movie hiyo imeandaliwa na yeye mwenyewe

  • @sadalaramadhani104
    @sadalaramadhani104 3 ปีที่แล้ว

    Nani kama wewe tuta kupata wapi tena😭😭

  • @frankkanyara5165
    @frankkanyara5165 7 ปีที่แล้ว

    hapa kazi tu kudadk

  • @adelaidedaycareprenurseryk6324
    @adelaidedaycareprenurseryk6324 7 ปีที่แล้ว

    WAPONGEZE LAKINI UWACHUNGUZE PIA WAKIJUA UNAWAAMINI WANAFANYA MADUDU.

  • @hussenchambau7257
    @hussenchambau7257 7 ปีที่แล้ว

    kwa hapo magufuli amenifanya nimpende sana zuia baba tutakapo kuwa na akili tuta chimba sisi

  • @mwanaharakatidjguy6546
    @mwanaharakatidjguy6546 7 ปีที่แล้ว

    kiki

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally6455 7 ปีที่แล้ว

    Yan mijitu inadanganywa nayo inakubal huwo ni mchezo tyu anacheza na akili za watanzania hv ww kwaakili yako mtumba ndo unavyo hifadhiwa hvyo kma kwel watuoneshe bill of lading tuamin na kwann awamchukulii hatua hyo mwenye mzigo hayo ni mapichapicha ya kujisafisha tyu kwa hya matukio mawil aliyo yafanya kashaona wananchi hawana imaninae ndo anajisafisha hvyo

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 5 ปีที่แล้ว

    Hahahaha tukapokuwa tunakili asante baba

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 7 ปีที่แล้ว

    hatuna imani na uncle maana tumeona mtu ambae kajaribu kusimamia ukweli nahaki ya vyombo vya habari na uvunjifu wataratibu za habari katumbuliwa umeficha uovu mkuu wa b

  • @onesmomrisho5456
    @onesmomrisho5456 7 ปีที่แล้ว

    msitufanye sisi watoto tunaelewa vyote

    • @shadhirinavaranga7009
      @shadhirinavaranga7009 7 ปีที่แล้ว

      Onesmo Mrisho unaelewa nn mwehu wew

    • @onesmomrisho5456
      @onesmomrisho5456 7 ปีที่แล้ว

      Shadhiri Navaranga huwa sibishani na vibuyu sema ukichoka utatulia utapewa na hela na magufuli

    • @onesmomrisho5456
      @onesmomrisho5456 7 ปีที่แล้ว

      Shadhiri Navaranga wasiojua kutumia katiba ndo wehu..endelea ongeaaaaaaaAaa bando likiisha nunua jingine endelea

  • @mammyyassie7322
    @mammyyassie7322 7 ปีที่แล้ว

    Magu baba Kamata woote .

  • @jumahamis4063
    @jumahamis4063 7 ปีที่แล้ว +1

    mim nakuelewa sana Rais wangu mim sitaki kua mnafik kama wale eti anekua madalakan mbaya muda wake ukiisha ndo anaonekana mzuli piga kazi tunyoo shee nchi wata elewa tu maguuuu

    • @petermaiga3319
      @petermaiga3319 7 ปีที่แล้ว +1

      nakuombea Rais wangu tuko pamoja tusonge mbele, mwisho wao umefika

  • @hashimmusa9485
    @hashimmusa9485 7 ปีที่แล้ว

    magu acha magumashi

  • @shadhirinavaranga7009
    @shadhirinavaranga7009 7 ปีที่แล้ว

    safiiiiiiiiiiiiii mkuu was nchi tumbua wajinga wajinga hao walizoeaaaaaaaaa

  • @abelmathias3437
    @abelmathias3437 7 ปีที่แล้ว +1

    hata wakikuachia nchi peke yako tumbua tu maana ukipata MTU wakukusaidia kutumbua wanampiga vita alaf badae wanasema utumbuajia majipu so wa raising peke take hatuwaelewi tuko pamoja naww kwenye utumbuaji majip

  • @bahatidan4751
    @bahatidan4751 7 ปีที่แล้ว +4

    lol lies u tell magufuli how did u know about hilo contena? movie hiyo we are not stupid.. please can u state the name of these owners? hupotezei issue ya unyanyasaji na false use of power n what u did to Mh Nape bloody fool..unamshikia Nape gun wewe magufi n bashite.. what kind of dictator r u?

  • @saintwiz
    @saintwiz 7 ปีที่แล้ว

    hatudanganyiiiiiiiki

  • @ibrahimally6455
    @ibrahimally6455 7 ปีที่แล้ว +3

    Yan hyu anapnda matukio tyu

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว

      Ibrahim Ally wee ni kilaza wa mwisho

    • @ibrahimally6455
      @ibrahimally6455 7 ปีที่แล้ว

      Hassanova junior yan ww ndo mbumbumbu kwahyo hapo unataka kusema huo mzigo umeshikwa kwel watuoneshi bill of lading ndo tuamin hyo anatafuta kiki iliwatu mpotezee inshu ya nape na makonda acha uboya ww mtumba ndo wanaupack hvyo jiongeze ucwe unaropoka tyu

    • @raymondsaitoti
      @raymondsaitoti 7 ปีที่แล้ว

      Hassanova junior kazi yako nikutukana tu huna jipya kilaza wewe

  • @kiumbechambinguni
    @kiumbechambinguni 7 ปีที่แล้ว +3

    mchono huu angalia instagram kwa kamanda mange kimambi

  • @nickykimambo4803
    @nickykimambo4803 7 ปีที่แล้ว +1

    hizo ni kiki tu ili tusahau alichomfanyia Nape Leo, mwenye akili hawezi kushangilia kwa ilo embu muangalie hizo nguo za mitumba zilivyofungashwa ndio mtajua ilo picha waliliandaa ili kuwahadaa wananchi wasiojielewa.

  • @chibutvonline8710
    @chibutvonline8710 7 ปีที่แล้ว

    anajiosha tu hana lolote ,, haibu imemtawala

    • @shadhirinavaranga7009
      @shadhirinavaranga7009 7 ปีที่แล้ว

      kondele tv wew n msengeeeeeeee

    • @chibutvonline8710
      @chibutvonline8710 7 ปีที่แล้ว

      Shadhiri Navaranga ujitambui kijana,,iyo michezo ya kisiasa ivi tangia ameingia madaraki amewafanyia nini wananchi ,,cha kumsifia ,,kazi yake ni kuiyangalia dar tu

  • @ibrahimmkoko5850
    @ibrahimmkoko5850 7 ปีที่แล้ว

    Propaganda

    • @shadhirinavaranga7009
      @shadhirinavaranga7009 7 ปีที่แล้ว

      Ibrahim Mkoko mama yko ndio ana propaganda msenge mkubwa wew

    • @ibrahimmkoko5850
      @ibrahimmkoko5850 7 ปีที่แล้ว

      Duuuuh yaani maisha ndio magumu kiasi hicho mpaka wanawake mnaamua kujiuza kilazima kwenye mitandao, hahahaha Wanawake nyie hata muwezeshwe vipi kazi bure tu. Sasa kama wewe hapo kuandika matusi kwenye comment yangu ndio umeona ujanja mwenyewe wakati sehemu ya ku-comment ipo na ulikuwa una uhuru wa kuandika chochote lakini ukaona bura uje kwangu ukijua labda na mimi ni chizi kama wewe ntakujibu matusi au sio?? Next time uwe unaangalia na mtu mwenyewe sio kila mtu tu anaweza kukuingilia kinyume na maumbile, Wengine sio mambo yetu hayo hahahahahaha SHADHIRI NAVARANGA bila ya shaka utakuwa umenielewa Mtanzania mwenzako.....

  • @sulaimsameer2668
    @sulaimsameer2668 7 ปีที่แล้ว +2

    After kumuachisha kazi nape ame plan kuwafunga macho wananchi kwa kujipeleka Bandarini....Mzee uraisi sio kichwa ngumu na kukurupuka ,, Is being Wise 4 watever ur doing ...so badilika utawala wako ni shida tupuuuu

    • @hassanovajunior6972
      @hassanovajunior6972 7 ปีที่แล้ว +1

      Sulaim Sameer wew unalaana sio bure

    • @sulaimsameer2668
      @sulaimsameer2668 7 ปีที่แล้ว

      Hassanova junior @Laana ww ndo unayo

    • @shadhirinavaranga7009
      @shadhirinavaranga7009 7 ปีที่แล้ว

      Sulaim Sameer we n msenge

    • @sulaimsameer2668
      @sulaimsameer2668 7 ปีที่แล้ว

      Shadhiri Navaranga @ Tukana tu ndugu yangu mungu anakuona

    • @ibrahimmkoko5850
      @ibrahimmkoko5850 7 ปีที่แล้ว +1

      Shadhiri Navaranga youtube sio sehemu sahihi ya kutangazia biashara yako ya ushoga. Nenda Instagram ndio kuna mashoga wenzako kule pia utapata wanaume wanaopenda kuwaingilia wanaume wenzao, Hapa unajipotezea muda tu aise hakuna hata mmoja anaependa hiyo michezo

  • @reignsupreme7741
    @reignsupreme7741 7 ปีที่แล้ว +4

    looks like it's staged

    • @kennethmichael5758
      @kennethmichael5758 7 ปีที่แล้ว

      very much

    • @martinwangwe8966
      @martinwangwe8966 7 ปีที่แล้ว

      I dnt think you know Magufuli, he was like this since he was a minister so just go over his clips on youtube when he was a minister and you will understand.

  • @simonfundi5472
    @simonfundi5472 7 ปีที่แล้ว +10

    Huna jipya

    • @andrewnyambega5590
      @andrewnyambega5590 7 ปีที่แล้ว +3

      nyie si mmezoea kushabikia upuuzi vya msingi mnaponda

    • @dadycarenjr5732
      @dadycarenjr5732 7 ปีที่แล้ว +5

      Simon Fundi tupe wewe jipya basi lione kwanza hovyooo tu

    • @jasminesamir8504
      @jasminesamir8504 7 ปีที่แล้ว +1

      Mimi ananiboa tu

    • @briggsanji9176
      @briggsanji9176 7 ปีที่แล้ว

      Andrew they bora uwaambie na wewe

    • @tanzaniakwanza9564
      @tanzaniakwanza9564 7 ปีที่แล้ว +2

      ww una jipya gani kwa umbea wa mtandaoni!!?
      Anko Magu ataeleweka tu.

  • @augustinateshamelkiory6752
    @augustinateshamelkiory6752 7 ปีที่แล้ว

    piga kazi baba mungu akulinde akupe maisha marefu