Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2023
- #Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM. Alipokuwa waziri wa ujenzi na usafirishaji.
DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM II Jul 19, 2013
Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https
Magufuli ulikuwa Rais kweli kweli. Kifo chako ni pigo la maisha kwa nchi yetu. Umetuachia Shida baba😭
Rais wangu Magufuli endelea kupumzika kwa Amani ulitupenda sana🌹
Mzee miss you sanaaa!!!!ulikua na matumizi sahihi ya akili!!!
Hakika huyu ndie alikua kiongozi mpenda nchi yake, alikua mtu sahihi kwetu
Hatuwezi elewa...unafki mwingi Afrika ukiwa mkweli hupendwi, kwa wenzetu wazungu hakunaga unafki...ndo maana kuna usemi unasema aheri mchawi kuliko mnafki anakuangamiza huku anakuchekea!!
Baba ulikuwa kiongozi mzalendo sana siwezi kupingana na mipango ya MUNGU ulikuwa Rais
Kweli
Mzee alikua mtata tangu miaka akiwa wizara ya ujenzi
Aisee ivi hawakuogopa kumpa uraisi mtu mkorofi hivi😂😂😂😂
Na wewe ni miongoni mwa waafrika usiyeelewa ukorofi na ufatiliaji na uwajibikaji ni nini.mwisho umetafusili mkorofi aise pole.
Dah huyu ndiye mwana halisi wa Africa, kazi yake mola Haina makosa umelala usingizi wa milele ila vitendo vyako , maneno yako yataishi vizazi na vizazi
Huyu Mze hakuwa kuwa fake toka mwanzo wa maisha yake. 😢😢
Sijuwi kwa nini wa Afrika hatuelewi umuhimu wa hizi hazina😢😢
Roho mbaya na uroho
aise namm nashangaa kwnn ha2elew
Hapa kazi tu
Msema kweli
Rip 🎉
R. I. P Mjomba MAGU😭😭😭😭😭
Alikuwa mwamba kweli kweli rip jpm
Jpm nimekumiss sana Mzee wangu but sababu mungu kakuita bas sawa kapumzike kwa amani rais wangu naimai ww ndio rais wangu mpka natiweka duniani
Nnammiss Sana huyu Mzee Kila nikitizama yanayoendelea nnashindwa kuelewa ni kwanini aliondoka mapema hivi.
Otakumbukwa afrika nzima kwa ukweri wako ,Baba
Dah😢😢
🙏🙏🙏🙏🙏
Ulikua vzr mno father,waliofanya mtandao wa kukuua wametutesa cn watanzania.hakika Leo tunalia
kwangu bado n RAIS wangu hadi apatikane wakumzidi
Wapigaji hawakuwa na nafasi na tena. Saa hii wanaendelea na upigaji wao. Pumzika baba
Robert sidhani kama utakuwa naakili timamu aisee
Huyu jamaa alikua kiongozi mzuri lkn kosa kubwa alilolifanya kua wapinzani dictetor wahatari
Kiongozi lazma awe mang'a huku Bara la Africa, la si hivyo...
😭😭😭😭😭😭😭😭😭
👊
Huko kanda ya ziwa misimamo ya hii bado ipo, wekeni chuma kingine nchi inyooke hii. Watu pwani wanabembeleza mno 😎
Jaman jpm .
R.I.P
Leta futi 😂😂😂😂😂R.I.P J.P.M
Tshet za jpm zinapatikana wapi
Hatar sana magufuli
Yupo mtu anaitwa Masunga hanafaa kuwa raisi wa nchi.
Hapakazi tu
Baba tutakukumbuka
RIp jpm
😂😂😂😂😂😂😂😂 daaa
Jaman jpm .
Jaman jpm .