Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2023
  • #Magufuli #Tanzania #Magulificationoftanzania #short #shprts #shortvideo #shortsvideo #shorts
    Kumbukizi ya miaka 10 ya Dk Magufuli akikagua mradi wa barabara ya Ndundu Somanga ya 65KM. Alipokuwa waziri wa ujenzi na usafirishaji.
    DR MAGUFULI AKAGUA NDUNDU SOMANGA 65 KM II Jul 19, 2013
    Licensed under a Creative commons AttribushareAlike 4.0 International License. Based on a work at https

ความคิดเห็น • 45

  • @christophertanu1880
    @christophertanu1880 หลายเดือนก่อน +21

    Magufuli ulikuwa Rais kweli kweli. Kifo chako ni pigo la maisha kwa nchi yetu. Umetuachia Shida baba😭

  • @nyandaephraim4039
    @nyandaephraim4039 28 วันที่ผ่านมา +9

    Rais wangu Magufuli endelea kupumzika kwa Amani ulitupenda sana🌹

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 9 หลายเดือนก่อน +15

    Mzee miss you sanaaa!!!!ulikua na matumizi sahihi ya akili!!!

  • @user-vv6ox9xh9k
    @user-vv6ox9xh9k หลายเดือนก่อน +11

    Hakika huyu ndie alikua kiongozi mpenda nchi yake, alikua mtu sahihi kwetu

  • @mamboshepea8888
    @mamboshepea8888 9 หลายเดือนก่อน +11

    Hatuwezi elewa...unafki mwingi Afrika ukiwa mkweli hupendwi, kwa wenzetu wazungu hakunaga unafki...ndo maana kuna usemi unasema aheri mchawi kuliko mnafki anakuangamiza huku anakuchekea!!

  • @Jumacharlesmadale2958
    @Jumacharlesmadale2958 หลายเดือนก่อน +11

    Baba ulikuwa kiongozi mzalendo sana siwezi kupingana na mipango ya MUNGU ulikuwa Rais

  • @joelmnzava
    @joelmnzava 9 หลายเดือนก่อน +15

    Mzee alikua mtata tangu miaka akiwa wizara ya ujenzi

    • @geey7893
      @geey7893 หลายเดือนก่อน +2

      Aisee ivi hawakuogopa kumpa uraisi mtu mkorofi hivi😂😂😂😂

    • @ananiachelesi1486
      @ananiachelesi1486 หลายเดือนก่อน +5

      Na wewe ni miongoni mwa waafrika usiyeelewa ukorofi na ufatiliaji na uwajibikaji ni nini.mwisho umetafusili mkorofi aise pole.

  • @davykisabo875
    @davykisabo875 หลายเดือนก่อน +6

    Dah huyu ndiye mwana halisi wa Africa, kazi yake mola Haina makosa umelala usingizi wa milele ila vitendo vyako , maneno yako yataishi vizazi na vizazi

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 9 หลายเดือนก่อน +15

    Huyu Mze hakuwa kuwa fake toka mwanzo wa maisha yake. 😢😢
    Sijuwi kwa nini wa Afrika hatuelewi umuhimu wa hizi hazina😢😢

    • @geey7893
      @geey7893 หลายเดือนก่อน +2

      Roho mbaya na uroho

    • @toymadebho7048
      @toymadebho7048 หลายเดือนก่อน +2

      aise namm nashangaa kwnn ha2elew

  • @johanesitembe2440
    @johanesitembe2440 หลายเดือนก่อน +6

    Hapa kazi tu

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 9 หลายเดือนก่อน +10

    Msema kweli
    Rip 🎉

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 หลายเดือนก่อน +4

    R. I. P Mjomba MAGU😭😭😭😭😭

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 หลายเดือนก่อน +4

    Alikuwa mwamba kweli kweli rip jpm

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b 24 วันที่ผ่านมา +1

    Jpm nimekumiss sana Mzee wangu but sababu mungu kakuita bas sawa kapumzike kwa amani rais wangu naimai ww ndio rais wangu mpka natiweka duniani

  • @innocent91044
    @innocent91044 28 วันที่ผ่านมา +5

    Nnammiss Sana huyu Mzee Kila nikitizama yanayoendelea nnashindwa kuelewa ni kwanini aliondoka mapema hivi.

  • @kaayafred3545
    @kaayafred3545 9 หลายเดือนก่อน +8

    Otakumbukwa afrika nzima kwa ukweri wako ,Baba

  • @babajohn8308
    @babajohn8308 9 หลายเดือนก่อน +4

    Dah😢😢

  • @onesmomwakasege5215
    @onesmomwakasege5215 หลายเดือนก่อน +3

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MzunguNamungu
    @MzunguNamungu 23 วันที่ผ่านมา

    Ulikua vzr mno father,waliofanya mtandao wa kukuua wametutesa cn watanzania.hakika Leo tunalia

  • @zakariapaulowiliamuwiliamu1840
    @zakariapaulowiliamuwiliamu1840 27 วันที่ผ่านมา +2

    kwangu bado n RAIS wangu hadi apatikane wakumzidi

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 23 วันที่ผ่านมา +1

    Wapigaji hawakuwa na nafasi na tena. Saa hii wanaendelea na upigaji wao. Pumzika baba

  • @geraldndila5172
    @geraldndila5172 27 วันที่ผ่านมา +2

    Robert sidhani kama utakuwa naakili timamu aisee

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa alikua kiongozi mzuri lkn kosa kubwa alilolifanya kua wapinzani dictetor wahatari

    • @user-sh3tr8cm1v
      @user-sh3tr8cm1v หลายเดือนก่อน

      Kiongozi lazma awe mang'a huku Bara la Africa, la si hivyo...

  • @Bless-sk8uv
    @Bless-sk8uv 28 วันที่ผ่านมา +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @ElishaKalinabhene-mm2fr
    @ElishaKalinabhene-mm2fr 14 วันที่ผ่านมา

    👊

  • @bennie7239
    @bennie7239 24 วันที่ผ่านมา

    Huko kanda ya ziwa misimamo ya hii bado ipo, wekeni chuma kingine nchi inyooke hii. Watu pwani wanabembeleza mno 😎

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 8 วันที่ผ่านมา

    Jaman jpm .

  • @mussahancy6591
    @mussahancy6591 12 วันที่ผ่านมา

    R.I.P

  • @josephnyalomba860
    @josephnyalomba860 15 วันที่ผ่านมา

    Leta futi 😂😂😂😂😂R.I.P J.P.M

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 22 วันที่ผ่านมา

    Tshet za jpm zinapatikana wapi

  • @JohnMongi-gp2zj
    @JohnMongi-gp2zj 20 วันที่ผ่านมา

    Hatar sana magufuli

  • @user-yq4wf4qo9t
    @user-yq4wf4qo9t 17 วันที่ผ่านมา

    Yupo mtu anaitwa Masunga hanafaa kuwa raisi wa nchi.

  • @HamadiRamadhani-y2n
    @HamadiRamadhani-y2n 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hapakazi tu

  • @ELISHAPHILLIPO
    @ELISHAPHILLIPO 29 วันที่ผ่านมา

    Baba tutakukumbuka

  • @edwardmwambene3748
    @edwardmwambene3748 26 วันที่ผ่านมา

    RIp jpm

  • @YoakimMsuha
    @YoakimMsuha 2 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂 daaa

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 8 วันที่ผ่านมา

    Jaman jpm .

  • @kalokolamulumbe8445
    @kalokolamulumbe8445 8 วันที่ผ่านมา

    Jaman jpm .