HAPATOSHI BUNGENI MPINA NA BASHE | HIZI NI DAKIKA 21 ZA MJADALA MKALI | "MPINA ULETE USHAHIDI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2024
- Mvutano mkali umeibuka bungeni leo Juni 4, 2025 kati ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhusu kiwango cha sukari ambacho nchi imeagiza kwa ajili kuondoa upungufu uliopo, ambapo Mpina amesema upungufu uliokuwepo ni tani 110,000 na hivyo kuishangaa wizara kuagiza tani 410,000.
Katika maelezo ya Waziri Bashe amesema kuwa sukari hiyo imeagizwa ili nchi inaposimamisha uzalishaji mwakani, kuwepo na sukari ya kutosheleza kwa miezi miwili ambayo uzalishaji utasimama.
Mpina ameliambia Bunge kuwa Waziri Bashe anadanganya, na hivyo Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akamtaka kuwasilisha uthibitisho kuwa waziri amedanganya Bunge, kama ambavyo kanuni zinataka.
Je, Mpina anao ushahidi? Kanuni zinasemaje akikosa ushahidi? Endelea kufuatilia TBC Digital.
Wanaomkubali mpina tujuane waziri hadi anasaidiwa na spika
Wapuuzi
Sio anasaidiwa na spika, hapana spika anafata Sheria mbunge haitakiwi kudanganya bunge anaweza kuleta taharuki Kwa wananchi
@@shabanjuma7102na we we una viasili vya uspika?au unafikiri spika anakufahamu? kupitia njia gani ambayo inakufanya kumtetea Spika? aliyetoa hoja ni mbunge na ni mmoja wa wabunge wanaotunga sheria za nchi hii na Mpina anaongea alichokiona,usjipendekeze unachangia kutuumiza maisha in magumu kama unakaa kwa Spika unakula Burr hujui kitu kwa wanaonunua sukari
Mpina anatumiwa na wafanyabiashara wa sukari, mpina ana usongo wa kukosa uwaziri
Mpina ni mwizi
Watanganyika tupo pamoja nawewe Mpina mzalendo wa kweli🇹🇿👊✊
watu waongo ndio wapo na muongo mwenzao
BASHE NI MWANANCHI WA KWELI MAWAZIRI NA WIZARA KUJULIKANA NI WAZIRI KUFANYA KAZI BASHE KIJANA WANGU HONGERA MSAIDIE MH DR SAMIA RAIS WETU TUPO PAMOJA
majala hawo ni michosho
Mpina umezungumza fact sana mpina oyeee ♥️♥️♥️♥️
Mpina forever hata wakikufuza ubunge ccm ukienda chama chochote wana mwanza tutakuchagua tu 💪
Hadi raha na Mpina wetu.
Hata wakikufungia kama walivyofanya bado wewe mpina ni wetu watanganyika. Watanganyika all tupe pamoja na ompina wiswe. You are such a brave Tanganyikanian MP.
Hii confidence aliyonayo waziri wa Kilimo ktk kutoa maelekezo,isipelekee watu tumuone wamaana sana,Hii Nchi ina mapapa jamani,lkn pia tunahitaji watu wenye changamoto kama Mpina Bungeni,siyo kuunga mkono hoja tyu,sisi pia wananchi tunahitaji kupata challenge,
Makofi ya nn tunataka watu wenye weredi Kama mpina kasema ukweli na lipot anayo inadhibitisha kuwa ni UFISADI tu ndio uliyofanyika kwenye huo mchakato wananchi tupo pamoja na mpina
Hiyo ni kweli maana Bashe ni mkali WA mdomo tu laki kutekeleza sithan
Ina onekana wote hamja mwelewa mpina, yeye ana tetea viwanda kua viendele kuleta sukari kutona na maitaji yao, ila bashe anataka sukari eletwe kutokana na maitaji ya nchi.
Inshot mawazo ya mpina ndio yanayo leta mifumuko ya bei
Unamukamkabizi mugeni wizara nchi ililaniwa
Siuwafungie kamawameshindwa
Bashe usijione unajua sana kuliko wengine
Mpina tupo nyuma Yako tunakuombea kwa hili
Kumtoa Mhe.Mpina kwa zuio la mikutano 15 hamumuadhibu Mpina bali munaadhibu wananchi mana yeye anawakilisha wananchi na alihoji akitegemea kujibiwa kwa Hoja sio kumpiga vita, hapo mmekosea sana, mnadhihirisha kuwa uwezo wenu wa kujibu hoja zake ni mdogo ndiyo mana mkamfukuza.
Wananchi wanaadhibiwa vipi kwa mbunge ambaye hawakumchagua?...au umesahau kuwa wabunge wote hao ni mali ya chama?
Luhaga Mpina ni mbunge bora kati ya wabunge wote wa CCM. Wengine wote wa CCM ni mabogus na wapiga meza tu na kuimba taarabu tu. Mpina anajitahidi kusoma sana kufuatilia mambo yote jinsi yanavyokwenda. Hii ndiyo tabia ya Tundu Lissu ya kusoma sana na kuwa na maarifa na ufahamu wa kutosha. Nadhani ndiyo maana mawaziri wadanganyifu huwa na matumbo joto kila anaposimama
Mpina uko vizuri aiseh ila umezungukwa na mapapa ila ipo siku
Confidence with Bashe, logic with Mpina
Mpina umebaki peke yako Na Mungu akutetee
😂
Mungu akusaidie sana mh Bashe utuvushe wakulima wa nchi hii
Bashe akuvushee wapi yeye ndo mwiz namba mojaa
Huna unalijua,kapiga mabilioni kwenye mbolea! CAG Assad alishakapasua ,nini kilitokea ? Kimyaa! Sukari!? Aongelee report ya CAG Assad
Ni mwizi kama wezi wengine!
😢😢😢😢
Mpina ana kitu asikilizwe ana hoja
Hii Tanzania ina wapigaji sana hawataki viongoz waseme ukweli kwanni....mm naona bunge la vyama vingi linafaa sanaa ccm wapigaji tu
Mpina🙏🙏🙏🙏💯
Jembe letu mpina na tupo pamoja nawe mana unatutetea wote watanzania mpina oyeee
Huyu vipi Bashe. Baada ya kumshukuru Mungu kwanza unamshukuru Mh. Spika?
Kwanza Mungu halafu Mh. Spika.
Ameteleza tu nae ni binadamu
Kumshukuru Mungu sio mpaka umtaje watu wamsikie waweza shukuru kimya kimya
Hapo amekosea bashe kumshukuru spika kabla ya mwemyezi MUNGU.
Ww aun akili
Shiida dunia hii,
Speech ya Bashe inajitosheleza sana. Na huyo mpina athibitishe tuu
Hili bunge pasipo na MPINA, mawaziri wanaweza kujiona kama waherevu saana.
Sio Mpina tu hata wapizani tu
Shida kubwa nimeona watu wamekuja na karatasi za kukalili but huyu jamaaa ananyoika sana mim nampingeza sana gud leader Bashe funga masikio chapa kazi mh wazir mim namkubaki sana
Komenti zako za kipuuzi sana endelea na bangi zako huko uliko Nzega ndogo
@@marcokaroje8980acha udini
@@marcokaroje8980we tahira hivi una akili kweli,unaelewa Bashe anachoongea
@@AthamanRamadhani anaongea inayoyataka wewe unaonekana ni chawa was bashe hayo ndiyo maoni yangu kuhusu Bashe ndivyo nilivyomwelewa kama ni utaahira wangu wewe ni zaidi yangu Bashe kuwa Waziri siyo kuwa anaelewa kila kitu kuwazidi watanzania wote molioni 60 punguza jazba mkuu tunajua wewe ni green guards wajinga wa CCM huko Nzega ndiyo maana hata bus stand yenu haisomi
Nilichogundua ukabila bado upo sana.
Mpina oyeeee.!!
Wakilimo mhe Bashe fanya kazi nzuri wewe ni mkulima unasimamia vema huyu akapumzikeeee
HATA UJITETEE TUNAJUA KUWA NYIE NI WEZI SANA.WATANZANIA HAWA NDIYO VIONGOZI WANAOTUIBIA SANA KATIKA TAIFA LETU
Weziiiiiii
Waziri yupo poa sana hongera kwako 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏
Mpuuzi Tu Bashe yeye na mkewe Wamechukua tenda za sukari mjinga Sana mwizi WA mbolea huyu Hana maana
Taifa lifante huhudi ya kuzalisha sukari zaidi sio kuagiza tu. Mfano mzuri ni Uganda.
Huna ukijuacho, Uganda wanaagiza hadi tz bt nenda kagera sugar ujionee msululu wa maroli yao
Hongera Mpina hujakubali kuwa chawa wala kujipendekeza,, wewe ni mtu wa hoja zenye mashiko shikilia hivyo hivyo mpaka hao machawa wakuogope
Mpina oyeeeee
Mpina sialipewa wizara na kaka yake mbona akaboronga
Kwa hiyo tukusaiddieje sijuwi?@@user-ej5ir5pu7r
@@user-ej5ir5pu7rhapo sasa leo anataka kujiona yeye mjuaji
Mpina tusaidie huko bunge, hawana jipya,hao,janjajanja, Mzee baba
Nakukubali sana waziri wangu wa kilimo MH: Hussen Bashe❤..pambana kiongozi wetu tunakuombea.. your my super hero
Mbona mpina alikuwa sawa
Kiuhalisia Mpina yupo sahihi! Bashe anaongea siasa tu maneno mengi. Kwa wasiomjua wanaona bonge la waziri kumbe hakuna kitu janja janja tu!
Msomali Huyo hao ni wapigaji balaa halafu wizi WA maneno
Mpina ni siasa na challenge tu ila Hana hoja ya kujenga Toka ameanza kuchangia hajawah changia positive
Mpina siyo resourceful kwa taifa ni political questioner
Na ndio Huwa inaonekana Hivyo ila Tapeli Tu Chuki Kibao na negative Tu Kila Siku Hana Positive Hata Moja.Kisa alitemwa Uwaziri
Wewe either ni mjinga au unatawaliwa na chuki
Acha hayo mpina ukiangalia Sheria hizo wananchi watateseka ndomana hata Mzee magufuki Kuna mambo alikuwa anafanya shoti kati ndyo alifanya Bashe kajitahid sana wew mpina unapenda siasa huyu jamaa anafanya uwalisia Bashe mim nampingeza sana Kuna muda unapunguza siasa mwache wazir afanye kazi
Kazi nzuri Bashe
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Bashe ni waziri makin sana kuwahi kutokea Tanzania
Mfuatilie vizur ni bonge la fisadi
Msikilize kwanza Mpina kisha uje kuthibitisha umakini huo.
Umepima kwa jambo gani
Mwamba Hussein bashe upo smart
Mbona wameenda vizuri tu,bunge linatakiwa liwe hivi ni si vibaya.
Waziri bora kwangu mm baada ya jery slaa
Umemsahau Jumaa Awesu wa Maji jembe kabisa 🔥🔥🔥🤝
Waziri Bashe ukk sawa. Piga kazi.
Kwa hiyo huyu spika anamtetea waziri,badala ya waziri ajitetee mwenyewe,hii nchi ina mambo ya hovyo sana
Spika ubunge utausikia kwajirani wanambeya hatukutaki mpina yupo sahihi unatetea ufisadi umekiuka kazi Yako ya usipika
Mpina anazingua sana!! Kwa hyo anataka tununue sukari 10000
Bashe mungu akulinde
Mpina is right, he speaks logical with evidence
Chukitu usicho elewa hapo nin
Maswali ya mpina yote yamejibiwa❤❤❤
Safi sana bashe
Hii nchi inahitaji #katibampya itayoweka mfumo bora wa kuendesha mambo,vinginevyo ni vurugu tupu mpaaaakaa!😂
#TUNAIMANI NA BASHE, TOWA NYASI WEKA BATI WAKULIMA OYEEEEEEEEEE.
Bashe ni kiongozi bora sana! Dhamira yake inaonekana wazi kabisa kuhakikisha sukari ya kutosha inakuwepo nchini, automatically hata bei inashuka! Huyu ni waziri kweli kweli
Mpina ni akilikipaji kubwa sana! Bashe ni darasa ubabaishaji ni mwingi, nilishasema siku nyingi sana, Ukifatilia Bashe anaubia mkubwa sana na wafanyabiashara wasiolipa kodi. Sema kwakuwa sisi ni mamburula mpaka tutakoma.
Wacheni fitina nyinyi mnataka muongozwe na Malaika kutoka minguni ?
Tuko pamoja mpina
Nakupongeza waziri Bashe
Vibali vya suksri vimewatesa mawazri wengi kwa sabau anawajibu wa kuhakikisha viwanda havifungwi nawlaji hatukosi sukari. Ukiwapa wengine kuingiza sukari unatuhumiwa kama si rushwa bali kukosa uwezo wa kudhibiti bei bila kuwakandamiza wazalishaji wa ndani kwa bei elekezi. Inachotakiwa kuwe na perfomance bond kwa anayepewa kibali ili asiwe dalaii
Bashe ni msomalia
Leta hoja ya msingi sio ukabila ujinga sijui utaisha lini hii bongo na ndo maana tunachelewa maendeleo kumbe ni watu wa sampuli yako
Acha ubaguzi wewe mshamba 🇹🇿
Hio akili usitumie kuvuka highway 🛣
@@ProfessorNnaji😂😂😂😂
Mh. Mpina Oyeeee!
Ruhaga mpina ndiye mwenye hoja
Huyu mama huwa mimi simuelewi katika kufanya maamuzi! Mtu ametoa maelezo hayajatolewa majibu tayari yeye kama kiongozi anatoa kanuni za kumlinda mtoa majibu...!
Hatarii sana
Kijana mungu akubariki sana
Kwangu Bashe ni wazir bora ninayemuhusudu kama wazir Mchengerwa ispokuwa tunaomba mziangalie korosho mwaka Jana tumepokea Bei ya chini sanaaaa
Great work
Mbona spika anamtetea waziri
Mpina ungekua jimboni kwangu.awam hii ungekua ya mwisho kwako.
Mpina uko sawa
Mpina mutamuelewa tu huyu jamaa Yuko Makini sana
Huyu ndiye Bashe tunayemjua. Endelea kupiga kazi kaka
Very smart speaker 👏🏽👏🏽👏🏽
Mpina naamini mwakani hawez kuwa ccm maana siku zote ccm hawapendi ukwely
Hon.. Hussein Bashe safi sana
Bashe is only sympathising everything. Na unaweza muona anaongea ukweli kumbe bure kabisa
Fact wth mpina
Lakin Bashe anafaa sana kuwa wazir wa kilimo Bora kuwahi kutokea Tanzania
Naelekea huko..... 🎉🎉🎉 BASHE.... na MPINA... SEMA BASI TU.... NGOMA HAIJAKAUKA....
Wenye hoja hawapewi nafasi, na wenye kujiamini ndo wanasikilizwa!
Bashe mtu muhimu sana ila amegeuzwa mbuzi wa kafara kulinda maslai ya wengi
Hatar sanaa
Mimi nauliza tu ile sukari tunapata kutoka mpakani kule tunduma kutokea Zambia..tunaipata je ina usalama kiasi gani? Wizara mwangalie vizuri humo mipakani sisi na afya zetu sababu inaingiza kiholela
Mtu WA maana sana bashe
Humo ndani ni shabibu na mpina tu wengine wote hakuna
Mpina oye
Mpina❤❤❤❤ lov
As hapo mpina anaongea nini maana hana hoja zaidi ya chuki flani bashe yuko makin na ni waziri ambae ataipeleka tz mbele kwny sekta yake endapo atapewa muda
Bega Kwa Bega Na MPINA Mpaka mwisho
Mpina is right jamani
Sukari kg elfu kumi?ehh au mh!!!! Sijaelewa
Mbona bado juu inakuewje kuleni tu sisi tufe
Viwanda nivichache wataanzannia wameongezeka ,hivyo bas kuna haja kbwa ya kuongeza viwanda na mashamba maana ariidhi tunayo
mhhh hii nchi aisee
Ivi Kuna sehem kwer sukar ilifika elofu kumi mbona kama wabunge wetu hawa wataper2
Mungu ameanza kukulipa
Mpina kama yupo sahihi iv sema wanamnyima muda wa kuelezea mambo
Mpina hakuna kuwaogopa hawatupi siku Mungu wa Mbinguni ndie anatupa siku IPO time inakuja hizo nafasi walizo nazi hazitatoka kwa mwanadamu wanaowatengemea Mpina simama na watanganyika
Kama ukiwa mnyonge unaweza hisi anaongea vya maana ,kumbe wote ujinga mtu, Bei ya sukari ni ngapi saiv? Mtu aliekataa upuuzi kiukweli ukweli bila siasa Magufuri tu ndio maana wakamfinya goma lilinyooka kuliko mnyooko wenyewe
Wote wawili mko sawa kabisa 😮
Hatuna wabunge hii nchi
Aseeeh mbona Speaker anamtetea sana Bashe !?
Mh mpina hoye😂
Nilichokielewa mimi bungeni wengi waliopo bungeni hawajui sheria za nchi na ndo maana wanaishia kupigq makofi tu,liwe baya ama zuri
Najivuna kuwa na Mbunge kama Basher. Big up Mbunge wangu
bashee ni mtuu wa ovyo sana humjuii tuu Ile ni timu msoga
Mh wew ni general ,mungu akubariki sana
CHADEMA walisema mtakapowaondoa wapinzani bungeni kitakachobakia mtasulubishana wenyewe. Kumbe kweli maana ili bunge liende lazima kuwe na mhoji na mhojiwa..
Haikusemwa na chademwa. Ilisemwa na aliyekuwa mbunge wa Kilwa, maarufu Mbwege na hakuwa mbunge wa chadema.
@@hajisangu2489alisema lema
❤