HAPATOSHI BUNGENI MPINA NA BASHE | HIZI NI DAKIKA 21 ZA MJADALA MKALI | "MPINA ULETE USHAHIDI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 มิ.ย. 2024
  • Mvutano mkali umeibuka bungeni leo Juni 4, 2025 kati ya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe na Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuhusu kiwango cha sukari ambacho nchi imeagiza kwa ajili kuondoa upungufu uliopo, ambapo Mpina amesema upungufu uliokuwepo ni tani 110,000 na hivyo kuishangaa wizara kuagiza tani 410,000.
    Katika maelezo ya Waziri Bashe amesema kuwa sukari hiyo imeagizwa ili nchi inaposimamisha uzalishaji mwakani, kuwepo na sukari ya kutosheleza kwa miezi miwili ambayo uzalishaji utasimama.
    Mpina ameliambia Bunge kuwa Waziri Bashe anadanganya, na hivyo Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akamtaka kuwasilisha uthibitisho kuwa waziri amedanganya Bunge, kama ambavyo kanuni zinataka.
    Je, Mpina anao ushahidi? Kanuni zinasemaje akikosa ushahidi? Endelea kufuatilia TBC Digital.

ความคิดเห็น • 451

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 9 วันที่ผ่านมา +155

    Wanaomkubali mpina tujuane waziri hadi anasaidiwa na spika

    • @babukije268
      @babukije268 8 วันที่ผ่านมา +2

      Wapuuzi

    • @shabanjuma7102
      @shabanjuma7102 7 วันที่ผ่านมา +1

      Sio anasaidiwa na spika, hapana spika anafata Sheria mbunge haitakiwi kudanganya bunge anaweza kuleta taharuki Kwa wananchi

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 5 วันที่ผ่านมา

      ​​​@@shabanjuma7102na we we una viasili vya uspika?au unafikiri spika anakufahamu? kupitia njia gani ambayo inakufanya kumtetea Spika? aliyetoa hoja ni mbunge na ni mmoja wa wabunge wanaotunga sheria za nchi hii na Mpina anaongea alichokiona,usjipendekeze unachangia kutuumiza maisha in magumu kama unakaa kwa Spika unakula Burr hujui kitu kwa wanaonunua sukari

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 5 วันที่ผ่านมา +2

      Mpina anatumiwa na wafanyabiashara wa sukari, mpina ana usongo wa kukosa uwaziri

    • @birianination7097
      @birianination7097 2 วันที่ผ่านมา +1

      Mpina ni mwizi

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 6 วันที่ผ่านมา +49

    Watanganyika tupo pamoja nawewe Mpina mzalendo wa kweli🇹🇿👊✊

    • @KudraWanguvu-em1xw
      @KudraWanguvu-em1xw 2 วันที่ผ่านมา +2

      watu waongo ndio wapo na muongo mwenzao

    • @nunguhassani1743
      @nunguhassani1743 วันที่ผ่านมา

      BASHE NI MWANANCHI WA KWELI MAWAZIRI NA WIZARA KUJULIKANA NI WAZIRI KUFANYA KAZI BASHE KIJANA WANGU HONGERA MSAIDIE MH DR SAMIA RAIS WETU TUPO PAMOJA

    • @charlesrogers4547
      @charlesrogers4547 วันที่ผ่านมา

      majala hawo ni michosho

  • @FrankoLugendo
    @FrankoLugendo 7 วันที่ผ่านมา +34

    Mpina umezungumza fact sana mpina oyeee ♥️♥️♥️♥️

  • @kiyumbijustine3434
    @kiyumbijustine3434 3 วันที่ผ่านมา +14

    Mpina forever hata wakikufuza ubunge ccm ukienda chama chochote wana mwanza tutakuchagua tu 💪

  • @rugemalilalucas4533
    @rugemalilalucas4533 วันที่ผ่านมา +2

    Hata wakikufungia kama walivyofanya bado wewe mpina ni wetu watanganyika. Watanganyika all tupe pamoja na ompina wiswe. You are such a brave Tanganyikanian MP.

  • @Benardkituka
    @Benardkituka 8 วันที่ผ่านมา +45

    Hii confidence aliyonayo waziri wa Kilimo ktk kutoa maelekezo,isipelekee watu tumuone wamaana sana,Hii Nchi ina mapapa jamani,lkn pia tunahitaji watu wenye changamoto kama Mpina Bungeni,siyo kuunga mkono hoja tyu,sisi pia wananchi tunahitaji kupata challenge,

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 6 วันที่ผ่านมา +5

      Makofi ya nn tunataka watu wenye weredi Kama mpina kasema ukweli na lipot anayo inadhibitisha kuwa ni UFISADI tu ndio uliyofanyika kwenye huo mchakato wananchi tupo pamoja na mpina

    • @user-bm5ov6kx3c
      @user-bm5ov6kx3c 4 วันที่ผ่านมา +3

      Hiyo ni kweli maana Bashe ni mkali WA mdomo tu laki kutekeleza sithan

    • @birianination7097
      @birianination7097 2 วันที่ผ่านมา +2

      Ina onekana wote hamja mwelewa mpina, yeye ana tetea viwanda kua viendele kuleta sukari kutona na maitaji yao, ila bashe anataka sukari eletwe kutokana na maitaji ya nchi.
      Inshot mawazo ya mpina ndio yanayo leta mifumuko ya bei

    • @user-gc1tx9fd7v
      @user-gc1tx9fd7v 2 วันที่ผ่านมา +1

      Unamukamkabizi mugeni wizara nchi ililaniwa

    • @user-gc1tx9fd7v
      @user-gc1tx9fd7v 2 วันที่ผ่านมา +1

      Siuwafungie kamawameshindwa

  • @Prax1
    @Prax1 2 วันที่ผ่านมา +8

    Bashe usijione unajua sana kuliko wengine

  • @upendomokye6803
    @upendomokye6803 9 วันที่ผ่านมา +27

    Mpina tupo nyuma Yako tunakuombea kwa hili

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 3 วันที่ผ่านมา +9

    Kumtoa Mhe.Mpina kwa zuio la mikutano 15 hamumuadhibu Mpina bali munaadhibu wananchi mana yeye anawakilisha wananchi na alihoji akitegemea kujibiwa kwa Hoja sio kumpiga vita, hapo mmekosea sana, mnadhihirisha kuwa uwezo wenu wa kujibu hoja zake ni mdogo ndiyo mana mkamfukuza.

    • @h.jrugashaula1296
      @h.jrugashaula1296 2 วันที่ผ่านมา

      Wananchi wanaadhibiwa vipi kwa mbunge ambaye hawakumchagua?...au umesahau kuwa wabunge wote hao ni mali ya chama?

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 21 วันที่ผ่านมา +19

    Luhaga Mpina ni mbunge bora kati ya wabunge wote wa CCM. Wengine wote wa CCM ni mabogus na wapiga meza tu na kuimba taarabu tu. Mpina anajitahidi kusoma sana kufuatilia mambo yote jinsi yanavyokwenda. Hii ndiyo tabia ya Tundu Lissu ya kusoma sana na kuwa na maarifa na ufahamu wa kutosha. Nadhani ndiyo maana mawaziri wadanganyifu huwa na matumbo joto kila anaposimama

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 4 วันที่ผ่านมา +7

    Mpina uko vizuri aiseh ila umezungukwa na mapapa ila ipo siku

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l 6 วันที่ผ่านมา +16

    Confidence with Bashe, logic with Mpina

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 7 วันที่ผ่านมา +27

    Mpina umebaki peke yako Na Mungu akutetee

  • @user-bf7sr1cv1g
    @user-bf7sr1cv1g 10 วันที่ผ่านมา +17

    Mungu akusaidie sana mh Bashe utuvushe wakulima wa nchi hii

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 9 วันที่ผ่านมา +1

      Bashe akuvushee wapi yeye ndo mwiz namba mojaa

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 8 วันที่ผ่านมา

      Huna unalijua,kapiga mabilioni kwenye mbolea! CAG Assad alishakapasua ,nini kilitokea ? Kimyaa! Sukari!? Aongelee report ya CAG Assad

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 8 วันที่ผ่านมา

      Ni mwizi kama wezi wengine!

    • @festomartin8635
      @festomartin8635 8 วันที่ผ่านมา

      😢😢😢😢

  • @manaxelukama2926
    @manaxelukama2926 5 วันที่ผ่านมา +10

    Mpina ana kitu asikilizwe ana hoja

  • @mlsglobalchannel8219
    @mlsglobalchannel8219 วันที่ผ่านมา +2

    Hii Tanzania ina wapigaji sana hawataki viongoz waseme ukweli kwanni....mm naona bunge la vyama vingi linafaa sanaa ccm wapigaji tu

  • @user-wg3yu5uy4w
    @user-wg3yu5uy4w 7 วันที่ผ่านมา +8

    Mpina🙏🙏🙏🙏💯

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 7 วันที่ผ่านมา +18

    Jembe letu mpina na tupo pamoja nawe mana unatutetea wote watanzania mpina oyeee

  • @user-ni1lm2md1c
    @user-ni1lm2md1c 10 วันที่ผ่านมา +18

    Huyu vipi Bashe. Baada ya kumshukuru Mungu kwanza unamshukuru Mh. Spika?
    Kwanza Mungu halafu Mh. Spika.

    • @visionstudios6804
      @visionstudios6804 8 วันที่ผ่านมา

      Ameteleza tu nae ni binadamu

    • @CytneSikilo
      @CytneSikilo 7 วันที่ผ่านมา

      Kumshukuru Mungu sio mpaka umtaje watu wamsikie waweza shukuru kimya kimya

    • @marianmartin7483
      @marianmartin7483 7 วันที่ผ่านมา

      Hapo amekosea bashe kumshukuru spika kabla ya mwemyezi MUNGU.

    • @user-qy3gk8of7k
      @user-qy3gk8of7k วันที่ผ่านมา

      Ww aun akili

    • @chomasongidion6047
      @chomasongidion6047 วันที่ผ่านมา

      Shiida dunia hii,

  • @elezabethlyombe8804
    @elezabethlyombe8804 7 วันที่ผ่านมา +4

    Speech ya Bashe inajitosheleza sana. Na huyo mpina athibitishe tuu

  • @RamazaniNdegeBedua
    @RamazaniNdegeBedua 23 วันที่ผ่านมา +22

    Hili bunge pasipo na MPINA, mawaziri wanaweza kujiona kama waherevu saana.

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 9 วันที่ผ่านมา +17

    Shida kubwa nimeona watu wamekuja na karatasi za kukalili but huyu jamaaa ananyoika sana mim nampingeza sana gud leader Bashe funga masikio chapa kazi mh wazir mim namkubaki sana

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 5 วันที่ผ่านมา

      Komenti zako za kipuuzi sana endelea na bangi zako huko uliko Nzega ndogo

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@marcokaroje8980acha udini

    • @AthamanRamadhani
      @AthamanRamadhani 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@marcokaroje8980we tahira hivi una akili kweli,unaelewa Bashe anachoongea

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 วันที่ผ่านมา

      @@AthamanRamadhani anaongea inayoyataka wewe unaonekana ni chawa was bashe hayo ndiyo maoni yangu kuhusu Bashe ndivyo nilivyomwelewa kama ni utaahira wangu wewe ni zaidi yangu Bashe kuwa Waziri siyo kuwa anaelewa kila kitu kuwazidi watanzania wote molioni 60 punguza jazba mkuu tunajua wewe ni green guards wajinga wa CCM huko Nzega ndiyo maana hata bus stand yenu haisomi

    • @isaacmwaseba9972
      @isaacmwaseba9972 วันที่ผ่านมา

      Nilichogundua ukabila bado upo sana.

  • @gabrielgwawu4026
    @gabrielgwawu4026 12 วันที่ผ่านมา +20

    Mpina oyeeee.!!

  • @menelus911mene5
    @menelus911mene5 2 วันที่ผ่านมา

    Wakilimo mhe Bashe fanya kazi nzuri wewe ni mkulima unasimamia vema huyu akapumzikeeee

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 7 วันที่ผ่านมา +7

    HATA UJITETEE TUNAJUA KUWA NYIE NI WEZI SANA.WATANZANIA HAWA NDIYO VIONGOZI WANAOTUIBIA SANA KATIKA TAIFA LETU

    • @Prax1
      @Prax1 2 วันที่ผ่านมา

      Weziiiiiii

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 7 วันที่ผ่านมา +9

    Waziri yupo poa sana hongera kwako 🇹🇿🇹🇿🇹🇿👏👏

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 2 วันที่ผ่านมา

      Mpuuzi Tu Bashe yeye na mkewe Wamechukua tenda za sukari mjinga Sana mwizi WA mbolea huyu Hana maana

  • @mmarandu2417
    @mmarandu2417 22 วันที่ผ่านมา +13

    Taifa lifante huhudi ya kuzalisha sukari zaidi sio kuagiza tu. Mfano mzuri ni Uganda.

    • @hasbiya-allahu124
      @hasbiya-allahu124 20 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Huna ukijuacho, Uganda wanaagiza hadi tz bt nenda kagera sugar ujionee msululu wa maroli yao

  • @bullekisimikwe3852
    @bullekisimikwe3852 วันที่ผ่านมา

    Hongera Mpina hujakubali kuwa chawa wala kujipendekeza,, wewe ni mtu wa hoja zenye mashiko shikilia hivyo hivyo mpaka hao machawa wakuogope

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 9 วันที่ผ่านมา +27

    Mpina oyeeeee

    • @user-ej5ir5pu7r
      @user-ej5ir5pu7r 6 วันที่ผ่านมา +2

      Mpina sialipewa wizara na kaka yake mbona akaboronga

    • @lutegomakoyeluhahula361
      @lutegomakoyeluhahula361 6 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo tukusaiddieje sijuwi?​@@user-ej5ir5pu7r

    • @AthamanRamadhani
      @AthamanRamadhani 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ej5ir5pu7rhapo sasa leo anataka kujiona yeye mjuaji

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz 21 วันที่ผ่านมา +8

    Mpina tusaidie huko bunge, hawana jipya,hao,janjajanja, Mzee baba

  • @Hopemicle
    @Hopemicle 8 วันที่ผ่านมา +8

    Nakukubali sana waziri wangu wa kilimo MH: Hussen Bashe❤..pambana kiongozi wetu tunakuombea.. your my super hero

  • @seifsaidseifsaid1210
    @seifsaidseifsaid1210 20 วันที่ผ่านมา +27

    Kiuhalisia Mpina yupo sahihi! Bashe anaongea siasa tu maneno mengi. Kwa wasiomjua wanaona bonge la waziri kumbe hakuna kitu janja janja tu!

    • @wadhhasuleiman2621
      @wadhhasuleiman2621 20 วันที่ผ่านมา +1

      Msomali Huyo hao ni wapigaji balaa halafu wizi WA maneno

    • @aidanexson1634
      @aidanexson1634 18 วันที่ผ่านมา +4

      Mpina ni siasa na challenge tu ila Hana hoja ya kujenga Toka ameanza kuchangia hajawah changia positive

    • @aidanexson1634
      @aidanexson1634 18 วันที่ผ่านมา +3

      Mpina siyo resourceful kwa taifa ni political questioner

    • @blockchain1203
      @blockchain1203 10 วันที่ผ่านมา +4

      Na ndio Huwa inaonekana Hivyo ila Tapeli Tu Chuki Kibao na negative Tu Kila Siku Hana Positive Hata Moja.Kisa alitemwa Uwaziri

    • @innocentrichard2945
      @innocentrichard2945 10 วันที่ผ่านมา +2

      Wewe either ni mjinga au unatawaliwa na chuki

  • @MaulidNdunda-cl3gz
    @MaulidNdunda-cl3gz 9 วันที่ผ่านมา +8

    Acha hayo mpina ukiangalia Sheria hizo wananchi watateseka ndomana hata Mzee magufuki Kuna mambo alikuwa anafanya shoti kati ndyo alifanya Bashe kajitahid sana wew mpina unapenda siasa huyu jamaa anafanya uwalisia Bashe mim nampingeza sana Kuna muda unapunguza siasa mwache wazir afanye kazi

  • @gregorypantaleo6987
    @gregorypantaleo6987 9 วันที่ผ่านมา +9

    Kazi nzuri Bashe

  • @user-bf7sr1cv1g
    @user-bf7sr1cv1g 10 วันที่ผ่านมา +12

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni Bashe ni waziri makin sana kuwahi kutokea Tanzania

    • @emanuelmwakamisa2511
      @emanuelmwakamisa2511 9 วันที่ผ่านมา +2

      Mfuatilie vizur ni bonge la fisadi

    • @nitumesokoni3164
      @nitumesokoni3164 8 วันที่ผ่านมา

      Msikilize kwanza Mpina kisha uje kuthibitisha umakini huo.

    • @mussaharun7257
      @mussaharun7257 7 วันที่ผ่านมา

      Umepima kwa jambo gani

  • @user-qo2dk6iv3u
    @user-qo2dk6iv3u 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mwamba Hussein bashe upo smart

  • @michaelmyaka5367
    @michaelmyaka5367 4 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona wameenda vizuri tu,bunge linatakiwa liwe hivi ni si vibaya.

  • @salumubwa-vf4di
    @salumubwa-vf4di 22 วันที่ผ่านมา +10

    Waziri bora kwangu mm baada ya jery slaa

    • @jeremiahmushi2093
      @jeremiahmushi2093 16 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

      Umemsahau Jumaa Awesu wa Maji jembe kabisa 🔥🔥🔥🤝

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 7 วันที่ผ่านมา +7

    Waziri Bashe ukk sawa. Piga kazi.

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 7 วันที่ผ่านมา +9

    Kwa hiyo huyu spika anamtetea waziri,badala ya waziri ajitetee mwenyewe,hii nchi ina mambo ya hovyo sana

    • @NdageKitahama
      @NdageKitahama 2 วันที่ผ่านมา

      Spika ubunge utausikia kwajirani wanambeya hatukutaki mpina yupo sahihi unatetea ufisadi umekiuka kazi Yako ya usipika

  • @princesaha3262
    @princesaha3262 วันที่ผ่านมา

    Mpina anazingua sana!! Kwa hyo anataka tununue sukari 10000

  • @MaikoKalonge
    @MaikoKalonge 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Bashe mungu akulinde

  • @sinacksaigodi5876
    @sinacksaigodi5876 8 วันที่ผ่านมา +3

    Mpina is right, he speaks logical with evidence

    • @user-ej5ir5pu7r
      @user-ej5ir5pu7r 6 วันที่ผ่านมา

      Chukitu usicho elewa hapo nin

  • @tembatembele5332
    @tembatembele5332 7 วันที่ผ่านมา +2

    Maswali ya mpina yote yamejibiwa❤❤❤

  • @RobertAndrea-wl4pk
    @RobertAndrea-wl4pk 9 วันที่ผ่านมา +2

    Safi sana bashe

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 9 วันที่ผ่านมา +7

    Hii nchi inahitaji #katibampya itayoweka mfumo bora wa kuendesha mambo,vinginevyo ni vurugu tupu mpaaaakaa!😂

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 9 วันที่ผ่านมา +3

    #TUNAIMANI NA BASHE, TOWA NYASI WEKA BATI WAKULIMA OYEEEEEEEEEE.

  • @nassoramour8598
    @nassoramour8598 3 วันที่ผ่านมา +3

    Bashe ni kiongozi bora sana! Dhamira yake inaonekana wazi kabisa kuhakikisha sukari ya kutosha inakuwepo nchini, automatically hata bei inashuka! Huyu ni waziri kweli kweli

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 22 วันที่ผ่านมา +4

    Mpina ni akilikipaji kubwa sana! Bashe ni darasa ubabaishaji ni mwingi, nilishasema siku nyingi sana, Ukifatilia Bashe anaubia mkubwa sana na wafanyabiashara wasiolipa kodi. Sema kwakuwa sisi ni mamburula mpaka tutakoma.

    • @huyu1993
      @huyu1993 9 วันที่ผ่านมา

      Wacheni fitina nyinyi mnataka muongozwe na Malaika kutoka minguni ?

  • @majidibrahimu6917
    @majidibrahimu6917 3 วันที่ผ่านมา +2

    Tuko pamoja mpina

  • @ombenimassawe.uswaamedia787
    @ombenimassawe.uswaamedia787 22 วันที่ผ่านมา +1

    Nakupongeza waziri Bashe

  • @MABATINI1
    @MABATINI1 วันที่ผ่านมา

    Vibali vya suksri vimewatesa mawazri wengi kwa sabau anawajibu wa kuhakikisha viwanda havifungwi nawlaji hatukosi sukari. Ukiwapa wengine kuingiza sukari unatuhumiwa kama si rushwa bali kukosa uwezo wa kudhibiti bei bila kuwakandamiza wazalishaji wa ndani kwa bei elekezi. Inachotakiwa kuwe na perfomance bond kwa anayepewa kibali ili asiwe dalaii

  • @user-od9jp1sm8p
    @user-od9jp1sm8p 18 วันที่ผ่านมา +10

    Bashe ni msomalia

    • @husseinissa7118
      @husseinissa7118 9 วันที่ผ่านมา +2

      Leta hoja ya msingi sio ukabila ujinga sijui utaisha lini hii bongo na ndo maana tunachelewa maendeleo kumbe ni watu wa sampuli yako

    • @HajiKlein-so1rk
      @HajiKlein-so1rk 7 วันที่ผ่านมา +2

      Acha ubaguzi wewe mshamba 🇹🇿

    • @ProfessorNnaji
      @ProfessorNnaji 6 วันที่ผ่านมา

      Hio akili usitumie kuvuka highway 🛣

    • @gstone830
      @gstone830 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@ProfessorNnaji😂😂😂😂

  • @user-kp2jf5jc2i
    @user-kp2jf5jc2i วันที่ผ่านมา

    Mh. Mpina Oyeeee!

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vs 23 วันที่ผ่านมา +10

    Ruhaga mpina ndiye mwenye hoja

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 วันที่ผ่านมา

    Huyu mama huwa mimi simuelewi katika kufanya maamuzi! Mtu ametoa maelezo hayajatolewa majibu tayari yeye kama kiongozi anatoa kanuni za kumlinda mtoa majibu...!

  • @MOROYAKOBO
    @MOROYAKOBO วันที่ผ่านมา

    Hatarii sana

  • @mohamednahaja6456
    @mohamednahaja6456 วันที่ผ่านมา

    Kijana mungu akubariki sana

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo 2 วันที่ผ่านมา

    Kwangu Bashe ni wazir bora ninayemuhusudu kama wazir Mchengerwa ispokuwa tunaomba mziangalie korosho mwaka Jana tumepokea Bei ya chini sanaaaa

  • @paulmkai2043
    @paulmkai2043 วันที่ผ่านมา

    Great work

  • @user-vd8hs6ue2n
    @user-vd8hs6ue2n 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona spika anamtetea waziri

  • @deniskt7838
    @deniskt7838 วันที่ผ่านมา

    Mpina ungekua jimboni kwangu.awam hii ungekua ya mwisho kwako.

  • @user-ui2de8un9l
    @user-ui2de8un9l 2 วันที่ผ่านมา

    Mpina uko sawa

  • @shabanmshana6896
    @shabanmshana6896 20 วันที่ผ่านมา +5

    Mpina mutamuelewa tu huyu jamaa Yuko Makini sana

  • @ngaboemmanuelas
    @ngaboemmanuelas 11 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huyu ndiye Bashe tunayemjua. Endelea kupiga kazi kaka

  • @kabelwasalim6305
    @kabelwasalim6305 2 วันที่ผ่านมา

    Very smart speaker 👏🏽👏🏽👏🏽

  • @jukiboy7012
    @jukiboy7012 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina naamini mwakani hawez kuwa ccm maana siku zote ccm hawapendi ukwely

  • @MOKAWAKA
    @MOKAWAKA 8 วันที่ผ่านมา

    Hon.. Hussein Bashe safi sana

    • @nicholausnjoka794
      @nicholausnjoka794 8 วันที่ผ่านมา

      Bashe is only sympathising everything. Na unaweza muona anaongea ukweli kumbe bure kabisa

  • @AnthonyNgowi
    @AnthonyNgowi วันที่ผ่านมา

    Fact wth mpina

  • @user-bf7sr1cv1g
    @user-bf7sr1cv1g 10 วันที่ผ่านมา +1

    Lakin Bashe anafaa sana kuwa wazir wa kilimo Bora kuwahi kutokea Tanzania

  • @TheKaida23
    @TheKaida23 5 วันที่ผ่านมา

    Naelekea huko..... 🎉🎉🎉 BASHE.... na MPINA... SEMA BASI TU.... NGOMA HAIJAKAUKA....

  • @jamesmbegeze4122
    @jamesmbegeze4122 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Wenye hoja hawapewi nafasi, na wenye kujiamini ndo wanasikilizwa!

  • @ms123ru
    @ms123ru 6 วันที่ผ่านมา +5

    Bashe mtu muhimu sana ila amegeuzwa mbuzi wa kafara kulinda maslai ya wengi

  • @JudithMarwa-q2m
    @JudithMarwa-q2m ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Hatar sanaa

  • @WenelaMwasenga-hc2gf
    @WenelaMwasenga-hc2gf วันที่ผ่านมา

    Mimi nauliza tu ile sukari tunapata kutoka mpakani kule tunduma kutokea Zambia..tunaipata je ina usalama kiasi gani? Wizara mwangalie vizuri humo mipakani sisi na afya zetu sababu inaingiza kiholela

  • @IsackJoseph-jt3hk
    @IsackJoseph-jt3hk 12 วันที่ผ่านมา +1

    Mtu WA maana sana bashe

  • @GeofreySenka
    @GeofreySenka 5 วันที่ผ่านมา +1

    Humo ndani ni shabibu na mpina tu wengine wote hakuna

  • @juliussweetberth6474
    @juliussweetberth6474 5 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina oye

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 2 วันที่ผ่านมา

    Mpina❤❤❤❤ lov

  • @abasibogga4798
    @abasibogga4798 9 วันที่ผ่านมา +1

    As hapo mpina anaongea nini maana hana hoja zaidi ya chuki flani bashe yuko makin na ni waziri ambae ataipeleka tz mbele kwny sekta yake endapo atapewa muda

  • @adow9musictz931
    @adow9musictz931 วันที่ผ่านมา

    Bega Kwa Bega Na MPINA Mpaka mwisho

  • @jeremiahitalange1236
    @jeremiahitalange1236 3 วันที่ผ่านมา +1

    Mpina is right jamani

  • @chrissmodo5630
    @chrissmodo5630 5 วันที่ผ่านมา +1

    Sukari kg elfu kumi?ehh au mh!!!! Sijaelewa

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona bado juu inakuewje kuleni tu sisi tufe

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 วันที่ผ่านมา

    Viwanda nivichache wataanzannia wameongezeka ,hivyo bas kuna haja kbwa ya kuongeza viwanda na mashamba maana ariidhi tunayo

  • @charlesrogers4547
    @charlesrogers4547 วันที่ผ่านมา

    mhhh hii nchi aisee

  • @emmanuelnjile2013
    @emmanuelnjile2013 2 วันที่ผ่านมา

    Ivi Kuna sehem kwer sukar ilifika elofu kumi mbona kama wabunge wetu hawa wataper2

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu ameanza kukulipa

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 2 วันที่ผ่านมา

    Mpina kama yupo sahihi iv sema wanamnyima muda wa kuelezea mambo

  • @lawrenceoctavian2740
    @lawrenceoctavian2740 2 วันที่ผ่านมา

    Mpina hakuna kuwaogopa hawatupi siku Mungu wa Mbinguni ndie anatupa siku IPO time inakuja hizo nafasi walizo nazi hazitatoka kwa mwanadamu wanaowatengemea Mpina simama na watanganyika

  • @mosesfrancois752
    @mosesfrancois752 12 วันที่ผ่านมา +2

    Kama ukiwa mnyonge unaweza hisi anaongea vya maana ,kumbe wote ujinga mtu, Bei ya sukari ni ngapi saiv? Mtu aliekataa upuuzi kiukweli ukweli bila siasa Magufuri tu ndio maana wakamfinya goma lilinyooka kuliko mnyooko wenyewe

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 2 วันที่ผ่านมา

    Wote wawili mko sawa kabisa 😮

  • @IbrahimShigela
    @IbrahimShigela 6 วันที่ผ่านมา +1

    Hatuna wabunge hii nchi

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 3 วันที่ผ่านมา

    Aseeeh mbona Speaker anamtetea sana Bashe !?

  • @user-ps7kv7lp4m
    @user-ps7kv7lp4m 5 วันที่ผ่านมา +2

    Mh mpina hoye😂

  • @DaudiLengai-ym5fx
    @DaudiLengai-ym5fx 4 วันที่ผ่านมา +4

    Nilichokielewa mimi bungeni wengi waliopo bungeni hawajui sheria za nchi na ndo maana wanaishia kupigq makofi tu,liwe baya ama zuri

  • @jaafarwibonela7402
    @jaafarwibonela7402 18 วันที่ผ่านมา +7

    Najivuna kuwa na Mbunge kama Basher. Big up Mbunge wangu

    • @boniphacesandarya2259
      @boniphacesandarya2259 10 วันที่ผ่านมา +1

      bashee ni mtuu wa ovyo sana humjuii tuu Ile ni timu msoga

  • @ChristianmushiGodfrey
    @ChristianmushiGodfrey 21 วันที่ผ่านมา +17

    Mh wew ni general ,mungu akubariki sana

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 20 วันที่ผ่านมา +3

    CHADEMA walisema mtakapowaondoa wapinzani bungeni kitakachobakia mtasulubishana wenyewe. Kumbe kweli maana ili bunge liende lazima kuwe na mhoji na mhojiwa..

    • @hajisangu2489
      @hajisangu2489 19 วันที่ผ่านมา

      Haikusemwa na chademwa. Ilisemwa na aliyekuwa mbunge wa Kilwa, maarufu Mbwege na hakuwa mbunge wa chadema.

    • @yusuphmwahalende5286
      @yusuphmwahalende5286 3 วันที่ผ่านมา

      ​@@hajisangu2489alisema lema

  • @yustomapande
    @yustomapande 8 วันที่ผ่านมา