@@zitojosempakama8918 yah. Bila shaka. Africa nzima ilimulilia raisi wa Tanzania ila watanzania wengine bado hawajui kwamba mangufuli alikuwa best in Africa.
He was a man by the people for the people, sijawahi kuumwa na kifo cha mtu Kama chake magufufi tangu kuzaliwa, I literally cried when I was alone kwa nyumba, I will name my son after him, it's a must bora nipate mtoto wa kiume.
Respectfully Dr. John Magufuli and Mr. Dr Paul kegame. We as East African countries or as other African countries we always wish for a president like John Magufuli from Chato city Tanzania and Paul Kagame from Urundi city Rwanda. We have dream one day to be stable like Rwanda and Tanzania. From Esta Africa
Wewe ni mbinafsi tu angeliuliwa baba yako kwa uonevu,kaka zako,wajomba zako wangelitekwa na kutoweka mazima kwa uonevu tu ungelikuwa na uthubutu wa kuandika hayo basi wenzako kwa mamia yamewafika hayo wapendwa wao wengi waliuwawa na wengine kutekwa hadi leo hawajaonekan tena.Tuwe na ubinadamu,utu,kujaliana na kuhurumiana si kukifanya kumpenda mtu kwa maneno yake ya kinafiki.Anahubiri amani nyuma kafichs panga linavuja damu.
@@JaziraMustafa-g9p we bwana weee skiliza babu na acha ulimbukeni, kutekwa kupotea kuuuawa hakutoisha kamwe mpaka siku ya mwisho, mama yu madarakani mbonana kunawatu wanalalamika wanatekwa kwahio magu yupo? Acha fikra binafsi na acha hisia na mawazo ya mtu au watu yaongeee, hupendezwi nayo kausha
Watanzania mulikuwa na kiongozi mwema.much love from Malawi 🇲🇼
Wewe hujielewi
pombe best
Kweli kabisa tena mtetezi wa wanyonge
Tatizo huko Tanzânia kuna wa2 waovyo sana. Kama huyo jamaa apa
@@zitojosempakama8918 yah. Bila shaka. Africa nzima ilimulilia raisi wa Tanzania ila watanzania wengine bado hawajui kwamba mangufuli alikuwa best in Africa.
Mungu amweke mahali pema peponi,Kwa kazi aliefanyia wanainchi mungu mukumbuke
He was a man by the people for the people, sijawahi kuumwa na kifo cha mtu Kama chake magufufi tangu kuzaliwa, I literally cried when I was alone kwa nyumba, I will name my son after him, it's a must bora nipate mtoto wa kiume.
Nikimkumbuka "Jembe" nakuja hapa tu,kamwe hatusahau ❤
Rip legendary tunakukumbuka sana sana usingelala tungekuwa ulaya ulaya 😢 wakuregenzi walikomaga mana na vilikuwa viizi vya kufikia
Tanzania ilipoteza RAIS mchapa kazi,your the one and only sir.wewew ndio mr.president wa kweli
Best president in Africa
MPAKA SAS TZ IMEPATA MARAISI WAWILI TU, HAYATI MWALIMU NYERERE NA JPM
Respectfully Dr. John Magufuli and Mr. Dr Paul kegame. We as East African countries or as other African countries we always wish for a president like John Magufuli from Chato city Tanzania and Paul Kagame from Urundi city Rwanda. We have dream one day to be stable like Rwanda and Tanzania. From Esta Africa
Daaaaaaaah.spati picha mpaka Leo magufuli angekuwepo cdhani kama kuna inch africa ingetufikia kiuchumi lakin leo hii,😂.
Tunaongozwa kama vipofu tupotupo tu kama yatima
Hivi uwa najiuliza Tanzania ipo siku tutapata Rais Kama Magufuri.
Nitakumbuka daima mimi niko Masumbwe❤❤
Mwenyenzi mungu amrehemu na amlaze kulingana na matendo yake
mungu akulaze mahali pema palipo na wewe RAIS POMBE
Mh.magufuli Miaka Kitano mbele haitoshi bado una kazi kubwa kuinyoosha Tanzania .
Huyu jamaà waliomchukia walimkosea sana na kulikosea taifa hili, aliju😢kubalanci mambo
Wewe ni mbinafsi tu angeliuliwa baba yako kwa uonevu,kaka zako,wajomba zako wangelitekwa na kutoweka mazima kwa uonevu tu ungelikuwa na uthubutu wa kuandika hayo basi wenzako kwa mamia yamewafika hayo wapendwa wao wengi waliuwawa na wengine kutekwa hadi leo hawajaonekan tena.Tuwe na ubinadamu,utu,kujaliana na kuhurumiana si kukifanya kumpenda mtu kwa maneno yake ya kinafiki.Anahubiri amani nyuma kafichs panga linavuja damu.
@@JaziraMustafa-g9p we bwana weee skiliza babu na acha ulimbukeni, kutekwa kupotea kuuuawa hakutoisha kamwe mpaka siku ya mwisho, mama yu madarakani mbonana kunawatu wanalalamika wanatekwa kwahio magu yupo? Acha fikra binafsi na acha hisia na mawazo ya mtu au watu yaongeee, hupendezwi nayo kausha
Moyo unaniuma sana Magufuli
Tunakukumbuka sana rais wetu pendwa ulikua mchapakazi makini sana 😢😢
Best President in Africa,,, continue resting in peace
Eti raisi samia nae Raisi mhhh ata ningekuwa mm mbona naweza, Raisi alikuwa huyu Toka Tanzania ianzishwe
Mpakaa leoo nafwqtilia hotuba zako babaa 😢😢😢 R.i.p jembe letu😢😢
Mwenyenzi mungu aturehemu zone na atuepushie na adhabu ya kabuki a moto wa jeanamu
R.I.P Dady nakukumbuka sana utumishi mwema wenye kujali maslahi ya taifa zima.
Chuma jpm I'm still watching 2024..R I P😢
Nchi za nje walikuwa wanamtaka sana uyu kiongozi akawe kiongozi wao wabongo hawakmtaka alipokuwa saivi wanajuta
Jembe lilifaa sana kwenye urais
Kifo cha magufuli kinamuuma kila mpenda maendeleo!Ni wachache sana tena wasio wakamilifu ndiyo wasioumia!
Magufuli,Traore nyinyi ndiyo wa Africa wenyewe!wengine wezi tu!!!
Pumzika Kwa amani anko magufuli
Rais mwenyewe huwa anaongea kingereza wakati mwengine kidogo Sana siku izi kapunguza lakini huwa anaongea.
A true leader who loved to deliver for his people
Magu alichifeli ni kutaka lissu afe tu ila mambo mengine alikuwa shwali sana
Duniani kwenyewe wanamtambua kwa jina la "BULL~DOZER" alafu nyie bado mnajifanya anko wenu. Atafunga mutu hapa. FANYENI KAZI/ NO JANJA NYANI 😁 ALA!
Pumzika kwa Amanii babaangu,
Fukuza mukulugenzi kwanza hajui anachofanya hana cha maana
Magufuri
Jaman.tumuombee.kwa.mngu
Utumishi wa Umma ni zaidi ya Utumwa
Nenda dunia nzima ndo ilivyo ukiona mtu kaajiliwa na serikali harafu hataki ahoijiwe jua haitumikii serikali au wananchi
Huyu Mwamba Sio Poa Duuh 😂😂😂
Anatukana Watu Na Familia Zao
R.I.P JPM
Huyu ndiye kio changu
Hene bangosha ise yaniye Hiiiiiii!
Msiwe mna mpost tu huyu mzee coz yanayo endelea hayaendani walai😢😢😢😢
Inaumaaa sanaa 😢😢😢
Yaan we acha maumivu Mungu tu atusimamie tunakoelekea
Mii ,Mkenya najiuliza Raisi Samia Huwa Anaya fuatilia mazungumzo haya kweli?
❤❤❤❤❤
Naomba Makonda awe Rais hakika ni Magufuli mtupu
Mfunge kifungo cha maisha pumbavu
Ni shida kweli
Mwandishi ni "NITAKIFUNGA" au "NITAKUFUNGA". Kuweni Makini katika Uandishi
Bb pumzika kwa amani haitatokea kiongozi kama wewe mwenyeudhubutu kama wewe hakikatutakukumbuka
Atakubukwa sana mwenda zake
Hapana bora awatukane weweumepewa hela miaka 3 hujafanya chochote nahela unayotu nchihiii nishida
Sijui inakuwaje kila siku viongozi mpaka wakumbushwewajibu wao, wakati pesa wameshapewa...
Magufuri sitakusau maisha
Kiingereza ni kiswahili ya Dunia
Dunia tunapita tu haijalishi wewe ni nani utaiacha tu dunia mchew!!!
Majitu mazima hadi aibu.
Mnashindwa kufanya vitu vyepesi namna hiyo.
FUKUZA TU HAYO MAJITU
viongoz na watumishi kaz mnayo😂😂😂😂😂
Wamekua wazembe sana mpaka wapigwe pigwe mgongoni ndiyo waende
Tutakukumbuka.daim.mag
Mangufuli amubanani shamuchina
Mangufuli amubanani shamuchina
Huyu Rais mungu
Wacha kufru na ushirikina wewe
Nmeielewa hyo
😮
Babaafrica nakumisssi
Kiswahili kwanza (Africa) ayo tv no 1
Amekataa Kiingereza cha Mkurugenzi na Mkurugenzi alitamka "nukta" lakini Magufuli amesema "point", je point ni lugha gani?!😂😂😂
😂,😅
We unatakaje kwan ongea wew bhc wew hayupo tena ongea zamu yake
hakutaka kupambwa
👏👏
Much tears for you JPM😂😂
Vibarua😂
😊
Wafukuze wote
Huyu Raisi anadhalilisha sana watu! Iko siku yako!
Adabu huna
mbona unaonekan mpumbavu sana ww...,hajahahaha..
Lala pema jembe
😂
H
hapo kuambiwa mpumbavu imevuka kabisa taratibu za maelekezo kazini. Hayo nimatusi mbele ya familia yako
Mpumbavu kabisa huyu Pesa inatolewa wanashindwa kuzielekeza ktk kazi za maendeleo
Sasa wew ulitaka rais asemeje kwa watendaji wazembe au na wew ni kipumbavu nn
@@PoulFred mwehu si lazima atembee uchi hata katika kauli hujulakana
Mtanyooka mwaka huu🤣🤣🤣🤣😂😂😂huy msukuma ana sifa hadi raha
🤣🤣🤣🤣🤣