LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ย. 2024
  • #JPM #MAGUFULI

ความคิดเห็น • 102

  • @HopesonGamadzi
    @HopesonGamadzi 4 หลายเดือนก่อน +28

    Watanzania mulikuwa na kiongozi mwema.much love from Malawi 🇲🇼

    • @awadhgugu317
      @awadhgugu317 4 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe hujielewi

    • @etemesiedward1508
      @etemesiedward1508 4 หลายเดือนก่อน

      pombe best

    • @CharlesWanyeche-er6rw
      @CharlesWanyeche-er6rw 4 หลายเดือนก่อน

      Kweli kabisa tena mtetezi wa wanyonge

    • @zitojosempakama8918
      @zitojosempakama8918 2 หลายเดือนก่อน

      Tatizo huko Tanzânia kuna wa2 waovyo sana. Kama huyo jamaa apa

    • @HopesonGamadzi
      @HopesonGamadzi หลายเดือนก่อน

      @@zitojosempakama8918 yah. Bila shaka. Africa nzima ilimulilia raisi wa Tanzania ila watanzania wengine bado hawajui kwamba mangufuli alikuwa best in Africa.

  • @osircharles9371
    @osircharles9371 4 หลายเดือนก่อน +7

    Mungu amweke mahali pema peponi,Kwa kazi aliefanyia wanainchi mungu mukumbuke

  • @joelkiiru1223
    @joelkiiru1223 หลายเดือนก่อน +3

    He was a man by the people for the people, sijawahi kuumwa na kifo cha mtu Kama chake magufufi tangu kuzaliwa, I literally cried when I was alone kwa nyumba, I will name my son after him, it's a must bora nipate mtoto wa kiume.

  • @blackhunter455
    @blackhunter455 4 หลายเดือนก่อน +7

    Nikimkumbuka "Jembe" nakuja hapa tu,kamwe hatusahau ❤

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p หลายเดือนก่อน +2

    Rip legendary tunakukumbuka sana sana usingelala tungekuwa ulaya ulaya 😢 wakuregenzi walikomaga mana na vilikuwa viizi vya kufikia

  • @tumainichengo1477
    @tumainichengo1477 หลายเดือนก่อน +2

    Tanzania ilipoteza RAIS mchapa kazi,your the one and only sir.wewew ndio mr.president wa kweli

  • @etemesiedward1508
    @etemesiedward1508 4 หลายเดือนก่อน +9

    Best president in Africa

  • @victorgerryson2695
    @victorgerryson2695 4 หลายเดือนก่อน +7

    MPAKA SAS TZ IMEPATA MARAISI WAWILI TU, HAYATI MWALIMU NYERERE NA JPM

  • @user-tp8fq9mb8e
    @user-tp8fq9mb8e หลายเดือนก่อน +1

    Respectfully Dr. John Magufuli and Mr. Dr Paul kegame. We as East African countries or as other African countries we always wish for a president like John Magufuli from Chato city Tanzania and Paul Kagame from Urundi city Rwanda. We have dream one day to be stable like Rwanda and Tanzania. From Esta Africa

  • @PauloLeonard-ol5oo
    @PauloLeonard-ol5oo 4 หลายเดือนก่อน +8

    Daaaaaaaah.spati picha mpaka Leo magufuli angekuwepo cdhani kama kuna inch africa ingetufikia kiuchumi lakin leo hii,😂.

    • @PriscaMohamed-l7z
      @PriscaMohamed-l7z 28 วันที่ผ่านมา

      Tunaongozwa kama vipofu tupotupo tu kama yatima

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 16 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi uwa najiuliza Tanzania ipo siku tutapata Rais Kama Magufuri.

  • @RASHIDIKAHINDI
    @RASHIDIKAHINDI หลายเดือนก่อน +2

    Nitakumbuka daima mimi niko Masumbwe❤❤

  • @TysoniTarimo
    @TysoniTarimo หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyenzi mungu amrehemu na amlaze kulingana na matendo yake

  • @tumainichengo1477
    @tumainichengo1477 หลายเดือนก่อน +2

    mungu akulaze mahali pema palipo na wewe RAIS POMBE

  • @ibrahimmungure7493
    @ibrahimmungure7493 4 ปีที่แล้ว +6

    Mh.magufuli Miaka Kitano mbele haitoshi bado una kazi kubwa kuinyoosha Tanzania .

  • @ubunifulifestyle3492
    @ubunifulifestyle3492 10 หลายเดือนก่อน +21

    Huyu jamaà waliomchukia walimkosea sana na kulikosea taifa hili, aliju😢kubalanci mambo

    • @JaziraMustafa-g9p
      @JaziraMustafa-g9p หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mbinafsi tu angeliuliwa baba yako kwa uonevu,kaka zako,wajomba zako wangelitekwa na kutoweka mazima kwa uonevu tu ungelikuwa na uthubutu wa kuandika hayo basi wenzako kwa mamia yamewafika hayo wapendwa wao wengi waliuwawa na wengine kutekwa hadi leo hawajaonekan tena.Tuwe na ubinadamu,utu,kujaliana na kuhurumiana si kukifanya kumpenda mtu kwa maneno yake ya kinafiki.Anahubiri amani nyuma kafichs panga linavuja damu.

    • @ubunifulifestyle3492
      @ubunifulifestyle3492 หลายเดือนก่อน

      @@JaziraMustafa-g9p we bwana weee skiliza babu na acha ulimbukeni, kutekwa kupotea kuuuawa hakutoisha kamwe mpaka siku ya mwisho, mama yu madarakani mbonana kunawatu wanalalamika wanatekwa kwahio magu yupo? Acha fikra binafsi na acha hisia na mawazo ya mtu au watu yaongeee, hupendezwi nayo kausha

  • @NakoyowaDickson
    @NakoyowaDickson 26 วันที่ผ่านมา +1

    Moyo unaniuma sana Magufuli

  • @MaikoManeno-v9r
    @MaikoManeno-v9r 5 หลายเดือนก่อน +5

    Tunakukumbuka sana rais wetu pendwa ulikua mchapakazi makini sana 😢😢

  • @MuendoJusto
    @MuendoJusto 5 หลายเดือนก่อน +3

    Best President in Africa,,, continue resting in peace

  • @AnordJoseph-e2e
    @AnordJoseph-e2e 2 หลายเดือนก่อน +1

    Eti raisi samia nae Raisi mhhh ata ningekuwa mm mbona naweza, Raisi alikuwa huyu Toka Tanzania ianzishwe

  • @estermpare4078
    @estermpare4078 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mpakaa leoo nafwqtilia hotuba zako babaa 😢😢😢 R.i.p jembe letu😢😢

  • @TysoniTarimo
    @TysoniTarimo หลายเดือนก่อน

    Mwenyenzi mungu aturehemu zone na atuepushie na adhabu ya kabuki a moto wa jeanamu

  • @CharlesWanyeche-er6rw
    @CharlesWanyeche-er6rw 4 หลายเดือนก่อน +2

    R.I.P Dady nakukumbuka sana utumishi mwema wenye kujali maslahi ya taifa zima.

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 หลายเดือนก่อน +1

    Chuma jpm I'm still watching 2024..R I P😢

  • @charlesboniphace2249
    @charlesboniphace2249 15 วันที่ผ่านมา

    Nchi za nje walikuwa wanamtaka sana uyu kiongozi akawe kiongozi wao wabongo hawakmtaka alipokuwa saivi wanajuta

  • @willibroadwilliam6798
    @willibroadwilliam6798 16 วันที่ผ่านมา

    Jembe lilifaa sana kwenye urais

  • @godwinshoo5032
    @godwinshoo5032 17 วันที่ผ่านมา

    Kifo cha magufuli kinamuuma kila mpenda maendeleo!Ni wachache sana tena wasio wakamilifu ndiyo wasioumia!

  • @MobileDawat
    @MobileDawat หลายเดือนก่อน

    Magufuli,Traore nyinyi ndiyo wa Africa wenyewe!wengine wezi tu!!!

  • @DansonMasai
    @DansonMasai 14 วันที่ผ่านมา

    Pumzika Kwa amani anko magufuli

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 4 ปีที่แล้ว +2

    Rais mwenyewe huwa anaongea kingereza wakati mwengine kidogo Sana siku izi kapunguza lakini huwa anaongea.

  • @hastings456
    @hastings456 5 หลายเดือนก่อน +3

    A true leader who loved to deliver for his people

  • @shizoshop2469
    @shizoshop2469 4 หลายเดือนก่อน +1

    Magu alichifeli ni kutaka lissu afe tu ila mambo mengine alikuwa shwali sana

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 ปีที่แล้ว +2

    Duniani kwenyewe wanamtambua kwa jina la "BULL~DOZER" alafu nyie bado mnajifanya anko wenu. Atafunga mutu hapa. FANYENI KAZI/ NO JANJA NYANI 😁 ALA!

  • @happydavid4346
    @happydavid4346 26 วันที่ผ่านมา

    Pumzika kwa Amanii babaangu,

  • @paulmatonange6718
    @paulmatonange6718 4 ปีที่แล้ว +1

    Fukuza mukulugenzi kwanza hajui anachofanya hana cha maana

  • @SELEMANITEKETEKE
    @SELEMANITEKETEKE 19 วันที่ผ่านมา

    Magufuri

  • @IadoBoy
    @IadoBoy 8 วันที่ผ่านมา

    Jaman.tumuombee.kwa.mngu

  • @ROBERTMAXIMILIAN
    @ROBERTMAXIMILIAN 4 หลายเดือนก่อน +1

    Utumishi wa Umma ni zaidi ya Utumwa

    • @IshipalemyPasko
      @IshipalemyPasko 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nenda dunia nzima ndo ilivyo ukiona mtu kaajiliwa na serikali harafu hataki ahoijiwe jua haitumikii serikali au wananchi

  • @scorasticaclement6308
    @scorasticaclement6308 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mwamba Sio Poa Duuh 😂😂😂
    Anatukana Watu Na Familia Zao
    R.I.P JPM

  • @SELEMANITEKETEKE
    @SELEMANITEKETEKE 19 วันที่ผ่านมา

    Huyu ndiye kio changu

  • @benardmartine244
    @benardmartine244 4 ปีที่แล้ว +2

    Hene bangosha ise yaniye Hiiiiiii!

  • @mcgabby
    @mcgabby 4 หลายเดือนก่อน +1

    Msiwe mna mpost tu huyu mzee coz yanayo endelea hayaendani walai😢😢😢😢

    • @LeonardLukongola
      @LeonardLukongola 4 หลายเดือนก่อน

      Inaumaaa sanaa 😢😢😢

    • @CharlesWanyeche-er6rw
      @CharlesWanyeche-er6rw 4 หลายเดือนก่อน

      Yaan we acha maumivu Mungu tu atusimamie tunakoelekea

    • @naphtalleyakoyi1336
      @naphtalleyakoyi1336 หลายเดือนก่อน +1

      Mii ,Mkenya najiuliza Raisi Samia Huwa Anaya fuatilia mazungumzo haya kweli?

  • @MageeDaudi
    @MageeDaudi 19 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤❤

  • @paschalnghomba4671
    @paschalnghomba4671 หลายเดือนก่อน

    Naomba Makonda awe Rais hakika ni Magufuli mtupu

  • @zakiazakia4552
    @zakiazakia4552 4 ปีที่แล้ว +1

    Mfunge kifungo cha maisha pumbavu

  • @salimshaban7120
    @salimshaban7120 4 ปีที่แล้ว +1

    Ni shida kweli

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 4 ปีที่แล้ว +3

    Mwandishi ni "NITAKIFUNGA" au "NITAKUFUNGA". Kuweni Makini katika Uandishi

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 4 หลายเดือนก่อน

    Bb pumzika kwa amani haitatokea kiongozi kama wewe mwenyeudhubutu kama wewe hakikatutakukumbuka

  • @shijakaswahili1374
    @shijakaswahili1374 3 หลายเดือนก่อน

    Atakubukwa sana mwenda zake

  • @CharlesLutandula-y3c
    @CharlesLutandula-y3c 4 หลายเดือนก่อน

    Hapana bora awatukane weweumepewa hela miaka 3 hujafanya chochote nahela unayotu nchihiii nishida

  • @solemba595
    @solemba595 4 ปีที่แล้ว

    Sijui inakuwaje kila siku viongozi mpaka wakumbushwewajibu wao, wakati pesa wameshapewa...

  • @DjamilaNdikumagenge
    @DjamilaNdikumagenge 2 หลายเดือนก่อน

    Magufuri sitakusau maisha

  • @mohamedomar4037
    @mohamedomar4037 4 ปีที่แล้ว

    Kiingereza ni kiswahili ya Dunia

  • @awadhgugu317
    @awadhgugu317 4 หลายเดือนก่อน

    Dunia tunapita tu haijalishi wewe ni nani utaiacha tu dunia mchew!!!

  • @nazirnoor4160
    @nazirnoor4160 4 ปีที่แล้ว

    Majitu mazima hadi aibu.
    Mnashindwa kufanya vitu vyepesi namna hiyo.
    FUKUZA TU HAYO MAJITU

  • @kenedzouma9406
    @kenedzouma9406 4 ปีที่แล้ว +1

    viongoz na watumishi kaz mnayo😂😂😂😂😂

    • @kevinjohn4507
      @kevinjohn4507 4 ปีที่แล้ว

      Wamekua wazembe sana mpaka wapigwe pigwe mgongoni ndiyo waende

    • @IadoBoy
      @IadoBoy 8 วันที่ผ่านมา

      Tutakukumbuka.daim.mag

  • @ShadrakaJohn
    @ShadrakaJohn 5 วันที่ผ่านมา

    Mangufuli amubanani shamuchina

    • @ShadrakaJohn
      @ShadrakaJohn 5 วันที่ผ่านมา

      Mangufuli amubanani shamuchina

  • @kenedymbangule9105
    @kenedymbangule9105 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu Rais mungu

    • @awadhgugu317
      @awadhgugu317 4 หลายเดือนก่อน

      Wacha kufru na ushirikina wewe

  • @jeremiahjoseph3358
    @jeremiahjoseph3358 หลายเดือนก่อน

    Nmeielewa hyo

  • @SalimaOmary-o5b
    @SalimaOmary-o5b 22 วันที่ผ่านมา

    😮

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 4 หลายเดือนก่อน

    Babaafrica nakumisssi

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 4 ปีที่แล้ว

    Kiswahili kwanza (Africa) ayo tv no 1

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis3638 4 ปีที่แล้ว +2

    Amekataa Kiingereza cha Mkurugenzi na Mkurugenzi alitamka "nukta" lakini Magufuli amesema "point", je point ni lugha gani?!😂😂😂

    • @MaryNgeni
      @MaryNgeni 3 หลายเดือนก่อน

      😂,😅

    • @MirajiSimba-qi7zj
      @MirajiSimba-qi7zj 2 หลายเดือนก่อน

      We unatakaje kwan ongea wew bhc wew hayupo tena ongea zamu yake

  • @eng.lazarongoro
    @eng.lazarongoro หลายเดือนก่อน

    hakutaka kupambwa

  • @philosophicallearning.3194
    @philosophicallearning.3194 4 หลายเดือนก่อน

    👏👏

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 4 หลายเดือนก่อน

    Much tears for you JPM😂😂

  • @mashaurimasolwa2601
    @mashaurimasolwa2601 หลายเดือนก่อน

    Vibarua😂

  • @MaryMapunda-xm3ek
    @MaryMapunda-xm3ek 3 หลายเดือนก่อน

    😊

  • @MegaAlexison
    @MegaAlexison 4 ปีที่แล้ว

    Wafukuze wote

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyu Raisi anadhalilisha sana watu! Iko siku yako!

  • @michaelnzunda7347
    @michaelnzunda7347 4 ปีที่แล้ว

    mbona unaonekan mpumbavu sana ww...,hajahahaha..

  • @fredrickotsieno9775
    @fredrickotsieno9775 4 หลายเดือนก่อน

    Lala pema jembe

  • @DavidSoka-b7h
    @DavidSoka-b7h หลายเดือนก่อน

    😂

  • @waziriwaziri4330
    @waziriwaziri4330 4 หลายเดือนก่อน

    H

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 4 ปีที่แล้ว +1

    hapo kuambiwa mpumbavu imevuka kabisa taratibu za maelekezo kazini. Hayo nimatusi mbele ya familia yako

    • @kevinjohn4507
      @kevinjohn4507 4 ปีที่แล้ว +3

      Mpumbavu kabisa huyu Pesa inatolewa wanashindwa kuzielekeza ktk kazi za maendeleo

    • @PoulFred
      @PoulFred หลายเดือนก่อน

      Sasa wew ulitaka rais asemeje kwa watendaji wazembe au na wew ni kipumbavu nn

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 หลายเดือนก่อน

      @@PoulFred mwehu si lazima atembee uchi hata katika kauli hujulakana

  • @anthonymchilika3224
    @anthonymchilika3224 4 ปีที่แล้ว +2

    Mtanyooka mwaka huu🤣🤣🤣🤣😂😂😂huy msukuma ana sifa hadi raha