Dr. Chris Mauki: Tabia 5 za mpenzi mwenye akili ya mahaba

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 103

  • @samiaruhwanya1737
    @samiaruhwanya1737 หลายเดือนก่อน

    Yani Mungu akubariki sana nimejielewa uko vizuri ninetokea kukuamini sana

  • @lilianmagoti6719
    @lilianmagoti6719 3 ปีที่แล้ว +5

    Asanteee kwa Mambo mengi na mazuri unayotuelimsha Kaka Chris ,,, Mungu akitunze

  • @GeoffreyPetro
    @GeoffreyPetro 22 วันที่ผ่านมา

    Nimeelewa sana tafanyia kaz

  • @leahjohnsimba4088
    @leahjohnsimba4088 3 ปีที่แล้ว +5

    Nimekoma ,ninaacha yapo niliyokuwa nayo naacha. Asante Mauki

  • @glorymushi498
    @glorymushi498 4 หลายเดือนก่อน

    Asante sana Kwa kutufunza

  • @EsterChristian-m5c
    @EsterChristian-m5c ปีที่แล้ว

    Baba uko vizuri mungu akusimamie uendelee kutuelimisha, kwakweli ndoa ina mambo mengi ndio maana tunapata cheti kabla ya mtihani

  • @Mosesyona-t9j
    @Mosesyona-t9j ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana mwalimu Chris Mungu asikipungukie mana unatuelimisha mambo muhim na kwa wakat maalum

  • @ahmednuru1299
    @ahmednuru1299 2 ปีที่แล้ว +2

    Dr ,mungu akulinde akujaalie umri mrefu

  • @rebeccandemera2567
    @rebeccandemera2567 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mafundisho mazuri yanayo Jenga mungu akubariki nafatilia Sana.

  • @UpendoHussein
    @UpendoHussein ปีที่แล้ว

    Mbona kama nimimi kabisa asante mungu kwakunipa ufahamu huuu

  • @julianajacksoni4275
    @julianajacksoni4275 3 ปีที่แล้ว +5

    Uelewa na uaminifu aisee nilikuaga navyo ila kuna binadamu ata umpende vp atakudanganya tu..Tunafarijika Sana na ww Dr.. Mungu aendelee kukutunza

  • @successconcious703
    @successconcious703 3 ปีที่แล้ว +15

    My mentor leo umenigusa sana, 2 years ago nilijichanganya kudate na mwanamke mrembo sana lkn hizo tabia hakuwa nazo hata 1 my friend nilijuta na hayo mahusiano. Thank God nina ufahamu mzuri kuhusu mahusiano na nilijitahidi mno kuhold on lkn nikashindwa coz it was a chaos and one sided. Better nilkua sijaingia kwenye ndoa ningeshakufa kwa zile presha. !!

  • @shamimusalim8719
    @shamimusalim8719 2 ปีที่แล้ว +2

    Umenifungua kitu aisee asnte mauki

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma7142 3 ปีที่แล้ว +8

    Waooo 👏👏👏👏kumbe niko high levo ya mahaba 😁😁👏👏👏sifa zote zanguu mweee.
    Nafikiriaga labda ni ujeuri au kiburi changu, kumbe niko sahihi bhanaa Oyooooo 👏👏👏ndo maana nikimchana huwa hanikasirikii 😁😁😁😁

    • @hasiashimba274
      @hasiashimba274 3 ปีที่แล้ว +1

      Kabisaa sio uongo, ukiwa hivi ulimwambia m tu ukweli hakasiliki

    • @dariavitus5599
      @dariavitus5599 3 ปีที่แล้ว +1

      Hongera

    • @naomifinkiri5124
      @naomifinkiri5124 2 ปีที่แล้ว +1

      Ujue blood tukoivo kabisa

  • @amankinyamagoha2861
    @amankinyamagoha2861 3 ปีที่แล้ว +4

    Nashukuru san mwalimu,, nilikuw mchanga sana kujua maana ya mapenz lkn toka nianze kufuatilia hii channel imenijenga sana ubarikiwe zaid na zaid

    • @rehemajohn1958
      @rehemajohn1958 2 ปีที่แล้ว

      Me naomba unisaidie kafiwa kaniambia nmuache ayuko sawa hatanitafuta mwenywe hapo ni sawa au napoteza mda

  • @aishavogelmann5021
    @aishavogelmann5021 3 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sana

  • @wafelawafela6672
    @wafelawafela6672 3 ปีที่แล้ว +1

    Asande sana nakubata nkiwa tubai 🙏

  • @edwinipaschal-oq9cj
    @edwinipaschal-oq9cj ปีที่แล้ว

    Wewe ni noma Sana nakukubali

  • @kabulajohn582
    @kabulajohn582 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Dr kwa haya,,, yaan mungu akutunze

  • @angelicamomoya7682
    @angelicamomoya7682 3 ปีที่แล้ว +3

    Good advice🙏❤️

  • @rhodanathan4895
    @rhodanathan4895 3 ปีที่แล้ว +1

    Interested going

  • @veronicdamremad7826
    @veronicdamremad7826 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaan. Mungu akupe maisha marefu ila nachangamoto ya familia cjui nikupigie saa ngap unakuws umetulia

  • @amanithomas5069
    @amanithomas5069 3 ปีที่แล้ว +1

    Mch. Nakubali sana mafunzo yako ubarikiwe

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 3 ปีที่แล้ว +2

    Somo zuri sanaa

  • @andrew0502
    @andrew0502 ปีที่แล้ว

    Hujawahi kukosea bro, you are a great help about love relationship!

  • @sophiamwanga4410
    @sophiamwanga4410 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @alisburundi9657
    @alisburundi9657 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @salomemasue5506
    @salomemasue5506 ปีที่แล้ว

    Endelea kutufundisha Mtumish wa Mungu!!!

  • @marymjengi7722
    @marymjengi7722 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaaan ni mim huyo 🤣🤣 🙏 umenifumbua macho dr

  • @lilianlazaro4189
    @lilianlazaro4189 3 ปีที่แล้ว +2

    Thanks God am look like, what you explain Dr. Thanks a lot bro🙏

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 3 ปีที่แล้ว +1

    Dr Chris Mimi kunakijana tunafahamiana nae nanilikuona Tu Kama ni rafiki japo hatukuwa tunazungumza ikitokea nnimeenda kwao Kama nimeagizwa bas ananisindikiza hatuongei chochote kile almost 2years nimemjua na hii mama yake mlez ni rafiki wa mama yangu mdgo marafiki wa muda marefu Sana ni family friend Kwa sasa nipo kazin huwez Amin alitafuta mazungumzo yakawaida imechukua miez kadhaaa akaniambia ukwel mm NAKUPENDA nahitaji kuwa mtu WA kalibu Sana na ww Mambo mengi kikubwa nipo tayal kuwa mke wake ndo swali lake mpaka sasa miaka 4 bado sijampa jibu Zaid humwambia nipe muda nifikilie SWALI JE NAWEZAJE KUJUA KUWA HUYU NINSASA MANAKE TUNAWASILIANA TU KWA SIM

  • @josephinekahangwa2992
    @josephinekahangwa2992 3 ปีที่แล้ว +1

    🤣🤣🤣 Mwanajeshi analinda Mpaka🙌

  • @UpendoHussein
    @UpendoHussein ปีที่แล้ว

    Aisee nimekubali nimimi kabisaa

  • @fatumaselemani4319
    @fatumaselemani4319 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah

  • @puritymuoka6730
    @puritymuoka6730 3 ปีที่แล้ว +1

    Good advice be blessed.

  • @ilagillan
    @ilagillan 3 ปีที่แล้ว +3

    Nimecheka kwa sauti eti anaogopa kuachwa jmn.
    I miss you Chris, msalimie sana Miriam

  • @mosesshilla3606
    @mosesshilla3606 3 ปีที่แล้ว +6

    But sometimes akili ya mahusiano hushuka kwa wastan kulingana na mahusiano unayokuwa nayo au uliyokuwa nayo.

  • @dosianasimon312
    @dosianasimon312 3 ปีที่แล้ว +2

    Da hayo nimepitia jamani kitu kidogo tuachane lilikuwa linaniuma sana huku tunawatoto jamani yalikuwa yananiumq hatimie tuliachana

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 2 ปีที่แล้ว +1

    👏👏👏

  • @feliciamalangalila3834
    @feliciamalangalila3834 3 ปีที่แล้ว +2

    Kuna wakati ni ngumu sana kumuelewa mtu. Kuna kupishana mkiweka vitu mezani, haongei ni kimya na mwisho wake anapotezea tu....

  • @singinggirl6554
    @singinggirl6554 3 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤

  • @hapsaally1860
    @hapsaally1860 3 ปีที่แล้ว +1

    Tanx doctor

  • @erneosingogo5432
    @erneosingogo5432 2 ปีที่แล้ว +1

    Dr mauki naombaushauri wa ndoa na mahusiano kipengele cha uchumi

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 3 ปีที่แล้ว +1

    Mwalimu mzuri

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula 6 หลายเดือนก่อน

    Mimi nimebadilika.sana

  • @OmanOman-ik9sp
    @OmanOman-ik9sp 3 ปีที่แล้ว +1

    Dah no2 na no5 zangu hizo

  • @queenbundala6188
    @queenbundala6188 3 ปีที่แล้ว +1

    Daaa mpenzi wangu tabia zote ulizotaja apo anazo leo nimeamini ananipenda

  • @petrosoyo6831
    @petrosoyo6831 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakushukulu kwa mafundisho.yako yote ,yamenisaidia Sana tens sana

  • @janethzacharia1868
    @janethzacharia1868 3 ปีที่แล้ว +1

    I'm blessed

  • @hasiashimba274
    @hasiashimba274 3 ปีที่แล้ว +2

    Yani We kaka nakukubali Sana, yani unaongea vitu vyaukweli kabisaaa, yani haya ulioongea NI mimi kabisa yani mpaka huwa najiuliza Mbona watu nilionao karibu hawapo kama mimi

    • @yusufubunu
      @yusufubunu ปีที่แล้ว

      Shukran nyingi kwa madini mema unayotushushia Dr.Cris
      Mungu akuzidishie ufahamu na umri mrefu kisima chako kizidi kustawi
      Ninafarijika Sana na mafunzo yako Kaka

  • @mariamally7440
    @mariamally7440 2 ปีที่แล้ว +1

    Pale kweny kuhofia kuachwa umenichekesha san🤣🤣🤣

  • @ZawadiBita-s6p
    @ZawadiBita-s6p 3 หลายเดือนก่อน

    Umesema kweli mimi nilimundanga mupenzi wangu

  • @nuuringoogle4104
    @nuuringoogle4104 ปีที่แล้ว

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽👍from Germany 🇩🇪

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว

    Jamani hapo kwenye ubahili,,,sipendi hiyo tabia

  • @EdithaPetro-jw1qd
    @EdithaPetro-jw1qd 3 หลายเดือนก่อน

    Jmn umenfumbua pakubwa San kak ang nashukur mung akubark san

  • @shupatz2992
    @shupatz2992 3 ปีที่แล้ว +2

    Dr criss naomba ushaur naitwa (A) nik na mwanamke na nishamtolea had barua kwa lengo la kumuoa ila nimekuja kugundua kuwa huyu lengo lake kuu ni kuolewa na siyo kunipenda ingawa amejitolea had kwenda kufanya kaz ambayo hakuwah kutegemea lengo kuu ni kunisaidia ktk mahal sasa naomba ushaur je mtu wa dizain hiii kwel anaweza kuwa mke bora maana naona lengo lake kuu ni kutolewa mahal na kuolewa hata akinipigia sim mal nying hakos kuniuliza juu sku gan tutaenda toa mahal please ushaul wak kwang ni munhimu mkuu

  • @monicabenedicto-r2v
    @monicabenedicto-r2v หลายเดือนก่อน

    I want to ask...umri gani ni sahihi kwa mahusiano??

  • @isayakayuni3487
    @isayakayuni3487 3 ปีที่แล้ว +1

    wa kwanza leo

  • @hiland255fundi5
    @hiland255fundi5 3 ปีที่แล้ว +2

    Bonge la dude kaka mauki umeua hizi vitu n changamoto sana mtandaoni

  • @naomifinkiri5124
    @naomifinkiri5124 2 ปีที่แล้ว +1

    Uyu Ni Mimi kabisa

  • @Nellycious240
    @Nellycious240 7 หลายเดือนก่อน

    dr naomba utupatie somo la je! ni sahihi mwanamke kuishi pamoja na mwanaume kbl ya ndoa?

  • @mercyadangahi1991
    @mercyadangahi1991 3 ปีที่แล้ว +1

    You are very right because most marriages differs alot because both are not moving in the same direction

  • @zainabubigirimana9869
    @zainabubigirimana9869 2 ปีที่แล้ว +1

    52

  • @marikokinyua2144
    @marikokinyua2144 ปีที่แล้ว

    Niko kwa dilema kila wakati tu kwangu ni tuachane akigusa sim tu hivi sijui unata ajy mpaka watu wa familia kampeni hataki niseme na wao

  • @SylivesterMambo
    @SylivesterMambo 4 หลายเดือนก่อน

    kaka kunamtu nampenda ila yupo mbali na hataki niende kumuona ila kuchat tunachati vizuri

  • @barnabazawadi9433
    @barnabazawadi9433 2 ปีที่แล้ว +1

    Zote hizo ninazo….jina la Bwana libarikiwe sana…

  • @AncentTz
    @AncentTz ปีที่แล้ว

    Doct Kuna kitu nashindw kuelew nin mpenz wangu nampend San lakn nashindw kumuelw maan mm Kam sjamtafut amn mawasiliano at akiw ananitafuta anabipu then anaach umtafute ww unamtumia voch ad itaisha lakn ajkutafuta IV kwer Kuna mapenzi ap

  • @umayaomary9576
    @umayaomary9576 2 ปีที่แล้ว +1

    Hi natamani kuongea nawewe sik moja napenda sana ushauli wako

  • @GraceMalashitu
    @GraceMalashitu ปีที่แล้ว

    Confederation

  • @fettyqeen5136
    @fettyqeen5136 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani nimecheka bwana wangu Mimi yaan tukionanatu ankimbilia cm zangu na akipiga cm nikichelewa kupokea balaaa. hahahahahaaah

  • @d_daryl5770
    @d_daryl5770 3 ปีที่แล้ว +1

    Mimi uyo baba ata I

  • @ZawadiBita-s6p
    @ZawadiBita-s6p 3 หลายเดือนก่อน

    Jambo

  • @furestonmajaliwa5315
    @furestonmajaliwa5315 ปีที่แล้ว

    Nina mke aliyefiwa na amehachwa nawatoto 2 Ola mimi sijazaa naye lakini toka tuanze kuhishi hataki tendo landowa, hanashukrani kwachochote,anafikia kuniambia anampenda aliye fariki kuliko mimi ,tukiwa kitandandani hataki mwiliwake kugusana na wangu chameisho nimemtegenezea mazingira yamaisha kuliko alivyokuwa kwa maremu nisaidiye Mtumishi nimuache ao nihendeleye Nate Niko south Africa mwanamke katokea Tanzania

    • @hildathamid7741
      @hildathamid7741 ปีที่แล้ว

      Dah pole sana ila mpe ushaur aliekufa hatorud ata afanye nn kama kakubali ndoa lazima awajibike

  • @moreenmussa8151
    @moreenmussa8151 ปีที่แล้ว

    akidai kwa mtu ambaye upo naye kwasasa kubwa wewe bado ni mpenzi wake wakati yeye anamchumba anaona raha tu akuaribie naomba msaada nifanyeje

  • @ShabanMissanga
    @ShabanMissanga 3 หลายเดือนก่อน

    Dr wewe ni jem be

  • @jamilashabani8580
    @jamilashabani8580 11 หลายเดือนก่อน

    Doctor Sasa Huyo,, wakukuambia tuachane kila Leo yaan ww una muelewa kuliko yeye anavyo kuelewa kosa dogo kwake kubwa anaa hesabu Makosa yako ukimwambia basi Nisamehe Anasema ww utarudia tu anasema pia hatuwezi fika Mbali
    una mbadilishaje Ila kwnye Neno Nakupenda anasema tu kawaida ila kosa kidg Ndio hapo bora tuachane anafikia haongei na ww likotokea kosa lolote lako lake hadi ww uombe msamha doctor msaada hapo

  • @moreenmussa8151
    @moreenmussa8151 ปีที่แล้ว

    doctor naomba unisaidie jinsi ya kufanya pale ambapo ex wako anatumia picha mlinzi piga kipindi uko nayeye kumharibia kwenye mahusiano yako mapya

  • @NaomySinkonde-z2r
    @NaomySinkonde-z2r 4 หลายเดือนก่อน

    Iyo ya 4 sio yangu jnm nafeli wap ila 1-2-3-5 Zang IL moj tuu

  • @ZainabuRamazan
    @ZainabuRamazan 11 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji hiz video zako ili nijifunze Zaid elim hii muhim

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa2107 3 ปีที่แล้ว +3

    Shida hapo kuwapata wenye hizo akili sasa.

    • @jane.mack_
      @jane.mack_ 3 ปีที่แล้ว

      Anza wewe kuwa mwenye akili hizo

  • @hopesteven9732
    @hopesteven9732 3 ปีที่แล้ว +1

    Dokt,, nina swali... Hivi mahusiano yenye sex kabla ya ndoa yana asilimia ngapi ya kudumu?!

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +3

      Yanaweza yakadumu au yasidumu. Sex pekeyake haiwezi kuwa factor ya kudumisha au kutodumisha ila kuna mchanganyiko wa factors nyingine

  • @mariamphilemon5378
    @mariamphilemon5378 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @eray5446
    @eray5446 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks sir

  • @glorymushi498
    @glorymushi498 4 หลายเดือนก่อน

    Thanks dr