Dr. Chris Mauki: Mambo 6 ya kuongeza ujanja wako kwenye mahusiano

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • Je unajua mapenzi au mahusiano yanaweza kufanikiwa zaidi kama wewe unaweza kujifunza mambo na kuwa mjanja zaidi? Jinsi unavyojua kidogo ndivyo unavyoinjoy kidogo. Haya hapa mambo 6 ya kukusaidia kuwa mjanja zaidi kwenye mahusiano na ndoa yako.
    #DrChrisMauki#Ujanja#Mahusiano

ความคิดเห็น • 286

  • @Mosesyona-t9j
    @Mosesyona-t9j ปีที่แล้ว

    Leo ni kwa Mara ya kwanza najuinga au kufuata video zako mwalimu lakini nabarikiwa na jengeka naimarika mana bado mimi ni single kwahiyo masomo haya yananiandaa na kuwa makini katika kuoa, mana wanasema unaweza kujenga nyumba vibaya ukaibomoa na ukajenga Tena lakini ukikosea kuoa au ukioa vibaya umeharibu kila kitu katiaka maisha yako ya baadae, kiukweli najiona niliyebahatika kuwa miongoni mwa wanafunzi wa masomo haya na mwalimu wetu Mungu aendelee kukutumia zaidi na akubariki sana sana Amen

  • @paulinpendo7497
    @paulinpendo7497 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana doctor nimejufunza kitu

  • @mwavitafuraha7244
    @mwavitafuraha7244 2 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana kwaujumbe

  • @dadaumulisa7088
    @dadaumulisa7088 ปีที่แล้ว

    Asante Sanaa ubarikiwe.Watching you from Australia

  • @elizabethgodblessmalanga2726
    @elizabethgodblessmalanga2726 3 ปีที่แล้ว +3

    Thanks so much dr. Chris nakufatiliya kutoka Kenya

  • @theresiamartin3008
    @theresiamartin3008 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Dr yaani mume wangu ananifurahia umeyabadilisha maisha yangu ubarikiwe mnoo Mungu akuweke viwango vya juu

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      Nafurahi sana kuskia hilo. Endelea. Natumaini umesubscribe channel

    • @lulubandawe6284
      @lulubandawe6284 ปีที่แล้ว

      Doctor dada angu n mnene na amepata mchumba mnene piah mwenye mapenzi ya dhat lkn dadangu anapata hofu kusemwa na familia na majamaa kwamba wamechaguana wanene mda mwengine anadirk hata kuvunja na kurejesha mahusiano yake.unamshaurije

    • @Sharifarajabudebe
      @Sharifarajabudebe 11 หลายเดือนก่อน

      @@lulubandawe6284 mahusiano ni yao sio ya familia ukiingz familia kweny mahusiano hufiki mbali wakat wanakubaliana wakijiona

  • @abongaebuka798
    @abongaebuka798 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubali mzee,Mungu akubariki. Uzidi kutuelimisha!!

  • @mbukeemanuel3331
    @mbukeemanuel3331 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana hakika najifunza vingi kupitia ww

  • @magrethnestory3562
    @magrethnestory3562 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa ushauli kaka

  • @mariamuodila4132
    @mariamuodila4132 ปีที่แล้ว

    Samahan Dr Chris Mimi nampenzi wang Ila ananizidi erimu Sasa naee anajua Mimi sna Kaz yamaana namimi kiukweri nampenda ktoka moyon ss inakuwaje apo japo tupo mbari mbari nisaidie tuchanti tunaelewana wakati mwingine simuelewi jaman 🙏

    • @princessdickson6900
      @princessdickson6900 ปีที่แล้ว

      Mwezangu na mimi jamn watu waliopo mbali na mwezie kuna mambo yanakera unakata tamaa

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 3 ปีที่แล้ว +2

    Thank you Dr. Mauki nimejifunza kitu kikubwa sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +2

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @musarichard2934
      @musarichard2934 3 ปีที่แล้ว

      Hi Dora

    • @aishaabdala9591
      @aishaabdala9591 2 ปีที่แล้ว

      @@musarichard2934 nimekuelewa

  • @zoyafarooq9564
    @zoyafarooq9564 2 ปีที่แล้ว +2

    Nice lesson

  • @ezradavid7476
    @ezradavid7476 ปีที่แล้ว

    This a great lesson to me am blessed

  • @rozzylydmwongeli5078
    @rozzylydmwongeli5078 3 ปีที่แล้ว +2

    Napenda Sana mafunzo yako,,Mungu akumbaliki sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @ismailzahor7436
      @ismailzahor7436 3 ปีที่แล้ว +1

      Asantee Dr

  • @ZawadiKilagalila-sd2tt
    @ZawadiKilagalila-sd2tt ปีที่แล้ว

    Asante,kweny communication ilikuwa n tatizo sana kwang

  • @yohanamapunda2654
    @yohanamapunda2654 3 ปีที่แล้ว +6

    Napenda nikutane na wewe face to face Dr

  • @gloryjulius3409
    @gloryjulius3409 2 ปีที่แล้ว +1

    Waooo! Nice nime kusoma xn

  • @IreneMichael-se3jx
    @IreneMichael-se3jx ปีที่แล้ว

    Big up Dr .Chris ur helping us alot

  • @LILIANNANYU
    @LILIANNANYU 6 หลายเดือนก่อน

    Thanks awesome learning

  • @julianapeter748
    @julianapeter748 2 ปีที่แล้ว

    nimekuelewa vizur kaka nashukuru

  • @ummuhoneyabdulaziz3840
    @ummuhoneyabdulaziz3840 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki dr unanifungua mengi sana

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @stellahmelkiony8890
    @stellahmelkiony8890 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Dr.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @stellahmelkiony8890
      @stellahmelkiony8890 3 ปีที่แล้ว

      @@ChrisMauki1 ndio Dr

  • @nuruali8421
    @nuruali8421 3 ปีที่แล้ว +1

    Asnte som zur

  • @williamcornell3218
    @williamcornell3218 3 ปีที่แล้ว

    Dr nimekuelewa sana na kuna mambo mengi kwangu hayapo sawa dr

  • @sadahamisi3901
    @sadahamisi3901 3 ปีที่แล้ว

    Asante mauki nimejifunza

  • @leylasaid3629
    @leylasaid3629 ปีที่แล้ว +6

    Jenga uaminifu
    Jiwekee mipaka
    Ongeza uwezo wako wa kuwasiliana
    Onyesha kiu ya kudumu
    Angalia uhitaji na uelewe uhitaji wa kihisia wa mwenzako
    Fahamu madhaifu yako

  • @shanianuru7479
    @shanianuru7479 2 ปีที่แล้ว

    Asante bro

  • @mosesshilla3606
    @mosesshilla3606 3 ปีที่แล้ว +3

    Deep stuff, You are the best.

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

    • @alicealinda6676
      @alicealinda6676 ปีที่แล้ว

      Asante sana kwa ushauri wako

    • @alicealinda6676
      @alicealinda6676 ปีที่แล้ว

      Vp

  • @violethroth9076
    @violethroth9076 ปีที่แล้ว

    Your my modal thanks bro

  • @mbumidonald114
    @mbumidonald114 2 ปีที่แล้ว +2

    Be blessed Dr.Mauki🙏

    • @selechacha8283
      @selechacha8283 2 ปีที่แล้ว

      ndoa yanguina changa motosan

  • @GraceNgandu-lj1ft
    @GraceNgandu-lj1ft 4 หลายเดือนก่อน

    Mm nipo kwenye uchumeleba ambao sielewi kuwa ananioa au hanioi, kwamaana haniweki wazi huwa anamniambia kuwa ipo siku nitaenda kuonekana nyumbani kwenu ila haendi kwa sasa tunamtoto mmoja anamiaka mitatu naomba uunisaidie nifanye nini maana nampenda sana

    • @GraceNgandu-lj1ft
      @GraceNgandu-lj1ft 4 หลายเดือนก่อน

      Yaani umekuwa uchumba sugu maana nimiaka mingi sasa imepita naomba unisaidie

  • @azizahassan1729
    @azizahassan1729 3 ปีที่แล้ว

    Somo nzuri sana asante

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @RommyShomy-jm9on
    @RommyShomy-jm9on ปีที่แล้ว

    Big up brother God bless you❤❤

    • @ashuzaespi334
      @ashuzaespi334 10 หลายเดือนก่อน

      Oya vipi ni mimi espi

  • @mercylinekerubo6425
    @mercylinekerubo6425 ปีที่แล้ว

    Very very true

  • @LeylaMrutu
    @LeylaMrutu ปีที่แล้ว +1

    Like seriously Niko kwenye Giza sielewi ananipenda kweli au anapita coz hanipi mda WA kila kitu!! Am confused 😢

  • @fadhilanassor426
    @fadhilanassor426 2 ปีที่แล้ว +9

    I appreciate your lessons Dr.chris long live Dr

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna5946 3 ปีที่แล้ว +1

    Naendelea kujifunza ingawa cna mahusiano.naamini tu Mungu atanipa.

  • @talacotalaco9620
    @talacotalaco9620 2 ปีที่แล้ว +1

    Hi Doctor Chris ni Rehema kutoka lebanon nilikuwa nauliza hivi je kuna maneno ama vitu vyenye unafaa kumfanyia mpenzi wako mkiwa on motion maybe amamaneno pia vile?

  • @faridaally9554
    @faridaally9554 2 ปีที่แล้ว +14

    nipo na mchumba ila sielewi kama ananipenda aula nitajuaje? kama ananipenda na kama kwel ana'future na me

    • @winniecharles8883
      @winniecharles8883 ปีที่แล้ว +1

      Nina mchumba ila cielw kama ananipendq au laah nitajuajr ?dct kama ananipndq na kweli ana future na mimi

    • @mariamuwaziri8293
      @mariamuwaziri8293 ปีที่แล้ว

      Hakupend coz upend huw aujifich

    • @MwasiKiselya
      @MwasiKiselya ปีที่แล้ว

      Mm kwakweli sielewi nitafanya nn

    • @Sharifarajabudebe
      @Sharifarajabudebe 11 หลายเดือนก่อน

      @@mariamuwaziri8293 kweli kabisa kila kitu huwa wazi ukiona hunq uhakika jua hakuna

    • @AshaAmeir
      @AshaAmeir หลายเดือนก่อน

      Dr Christ unanifurahisha sana kwa sababu unanijenga sana na nnakuamini sana na kwa kiasi unanifaa.

  • @perpetuainnocent3190
    @perpetuainnocent3190 2 ปีที่แล้ว

    Kit gan chakuzingatia kabla ya kuanzish mahusian n mt

  • @michaelahaule1715
    @michaelahaule1715 2 ปีที่แล้ว

    Dr Chris, samahani,nawezakuongeanawewe kwasimu mudagani?

  • @FloraGhandai
    @FloraGhandai 8 วันที่ผ่านมา

    Kaka mimi ninamme wangu nimefunga ndoa ninawatoto 2 yeye anaumri miaka 68 mimi ninamiala 43 sasaivi amekuwa ukorofi kilasiku ananifungia
    Milango usiku asubui akiulizwa anasema hajui chochote naomba ushauri nifanyaje

  • @miriumsirmwechengo
    @miriumsirmwechengo 9 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi ni mwanandoa nampenda sana mume. Wangu sana na nipo huru kiasi flani kwake ila yeye hawezi kurudisha upendo namaanisha naweza mwandikia txt yenye hisia kuhusu penzi letu ila yeye akajibu kwa ufupi na maneno machache TU me nikiwa namhitaji Huwa namwambia lakini mara nyingi anadai amechoka inaniuma coz hatumii lugha rafiki sana kunifikishia ujumbe nakwazika kwenye hili haswa

    • @ChristineRobert-i6k
      @ChristineRobert-i6k 7 หลายเดือนก่อน

      Niko Kwa kiatu kama hicho

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 27 วันที่ผ่านมา

      ​@@ChristineRobert-i6k😂😂😂😂😂 pole

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 ปีที่แล้ว +3

    Kaka Mungu akubariki sana kwa kuwa vipindi vyako ni halisi na kweli. Nmejifunza mengi mno kupitia vipindi vyako.wakat mwingine nikikwama huko huwa nakuja kutafuta huku nijue makosa yangu kisha narud kwenda kutengeneza nilipokosea🙏 Mungu akuweke zaidi na zaidi

  • @supstaraniceth3084
    @supstaraniceth3084 2 ปีที่แล้ว

    Nimeelewa somo vizuri but naomba niulize vipi mtu akikublock Bila kumkosea kipi ufanye?

  • @levinavenance1200
    @levinavenance1200 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mambo yakukufanya mjanja kwenye mahusiano
    1.jenga uaminifu
    2.jiwekee mipaka( kwenye maneno,mda wa kuwa nje ya nyumbani,mambo ya imani)
    3.ongeza uwezo wako wa kuwasiliana (sikiliza ili kuelewa c kujibu)
    4.onyesha kiu ya kudumu
    5.elewa uhitaji wa kihisia wa mwenzako
    6.fahamu madhaifu uliyonayo

  • @bakarpandu1142
    @bakarpandu1142 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante doctor nashkuru kwa mchango wako kidogo nimefarajika lkn naomba no. yako nikueleze zaid nlonayo moyoni mwangu asante 🙏.

  • @sallyraidan6867
    @sallyraidan6867 3 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏

  • @vickngowi2779
    @vickngowi2779 3 ปีที่แล้ว

    Naomba kuongea na wewe direct Dr.plzz nina vitu vyangu vinaniweka njia panda

  • @benjaminmayala8093
    @benjaminmayala8093 2 ปีที่แล้ว

    Natwa mayala nipo mwanza igoma, mimi mara nyingi napoingia kwenye mahusiano na nikijaribu kusema madhaifu ya mwenzangu basi huonekana kama mlalamishi na huishia kuachwa sababu huwa hawako tayari kukubali madhaifu yao ila mm nikiambiwa huelewa na kukubali, sa nifanye nn uncle? na sio kwamba huwa sijali na mi sio bahiri hua natoa na nikipenda hua napenda kweli. Nashindwa kuelewa nakwama wapi

  • @rosemarymaginga1455
    @rosemarymaginga1455 ปีที่แล้ว

    🙏🙏

  • @jovinesjohn4250
    @jovinesjohn4250 3 ปีที่แล้ว

    Thanks Dr , nc lessons

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @bakaryhassanal4535
    @bakaryhassanal4535 ปีที่แล้ว

    Dr nimekkubal San naomba kupata namba zako nikupigie tafadhari

  • @jamillajackson2165
    @jamillajackson2165 2 ปีที่แล้ว +3

    Nipo kagera nimeipenda na nimejifunza Asante

  • @kastangonyani4068
    @kastangonyani4068 2 ปีที่แล้ว +2

    Nafurahishwa sana na masomo Yako,endelea kutufundisha Ili tuweze kujenga mahusiano yetu na ndoa zetu zipate kudumu zaidi na Mungu akubariki

  • @azizahmady1742
    @azizahmady1742 2 ปีที่แล้ว +1

    Sasa dr utajuaje kama mwenza wako pia anakupenda kwenye mahusiano make wengine hawaoneshi wapo tu silent lakin wapo

    • @ayshameme8088
      @ayshameme8088 ปีที่แล้ว

      Maimed kumchuniaa kwenye mawasiliano akikaaa kimyaa juaa hana mapemzi akiwa anakutafutatqfutqq jua mapenzi yapo

  • @julia99francess13
    @julia99francess13 ปีที่แล้ว +2

    Kwakweli Asante maana kuna mabadiliko nime ona kupitiya video zako Asante sana ♥️

  • @PauloMatone
    @PauloMatone 5 หลายเดือนก่อน

    Ndio baba tupe habar njem zaid

  • @stupidgenius2864
    @stupidgenius2864 3 ปีที่แล้ว +2

    Chris nime shukuru sana kwa hii mawaidha yako mimi niko na shida kuhusu mausiano na mume wangu tafadhali naomba namba yako tuonge niko Kenya

  • @BerthaKibambi
    @BerthaKibambi ปีที่แล้ว

    Ahsante Kwa mafundisho yako ,m Niko mbali na mume means siish nae yupo Kikaz nifanyaje vp ili nidumishe ndoa yangu bila kujal umbali ili nae anipende zaid navompenda

  • @mariamtezo8092
    @mariamtezo8092 2 หลายเดือนก่อน

    Mm niko glf na mpenzi wangu yupo glf na pia amenichumbia nyumbani lakini sai Yuko na mwanamke mwengine na uyo mwanamke ana mpost uyo mchuba wangu mm nikijaribu kumuelezea ana kua mkali kwangu na sai amefika atua ya yy ukuniambia mm Niko na mambo yangu eti yy ananizuiya kufanya mambo yangu naomba ushauri

  • @leinashabani1386
    @leinashabani1386 ปีที่แล้ว +1

    doct but iseeee umeniimarisha Sana now am happy because of you 🙏🙏🙏Mungu akuweke

  • @mamanulati1105
    @mamanulati1105 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante doctor mungu akubariki sana.

  • @ashuzaespi334
    @ashuzaespi334 10 หลายเดือนก่อน

    Baba mimi niko na changa moto kwenye mahusiano yaki mapenzi nina mchumba wangu kama sija mnunu liya mega baite awezi nitumiya ujumbe naniki tuma mega baite ana angalia nyuma sana kisha na tuki ongeya ni limoja tu na yengine ana tumiya kwaku ongelesha wengine naomba shauri mwalimu

    • @ashuzaespi334
      @ashuzaespi334 10 หลายเดือนก่อน

      Do ivo baba

  • @dr.samburucare4051
    @dr.samburucare4051 3 ปีที่แล้ว +1

    OFA OFA OFA., ( FERMICARE mkombozi wa U.T.I, P.I.D, MIWASHO UKENI, FANGASI inapatikana kwa sh.27,000

    • @sadahamisi3901
      @sadahamisi3901 3 ปีที่แล้ว

      Sipend watu kama wewe hapa sio sehemu ya matangazo yako uwezi kuaminiwa kwenye account ya mtu mwingine fyuuuuuu

    • @jescakweka7355
      @jescakweka7355 ปีที่แล้ว

      Naomba uniadd kwa Whatsapp group yako

  • @princessa3060
    @princessa3060 3 ปีที่แล้ว +3

    Thxxx alot doc for the lessons ❗ it will make us grow as couples...

    • @ChrisMauki1
      @ChrisMauki1  3 ปีที่แล้ว +1

      • Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks

  • @allexbeautysaloon2325
    @allexbeautysaloon2325 ปีที่แล้ว +2

    Napenda sana masomo yako, natazama kutoka arusha

  • @Nellycious240
    @Nellycious240 4 หลายเดือนก่อน

    Naomba namba yako doctor nina jambo langu nahitaji kukueleza

  • @atwieryramadhani
    @atwieryramadhani ปีที่แล้ว

    Mim mpenz wang nimemuuliz ivi aya mausiano yet yatakuw hiv pak lini na tutaishi iv pak lin kam wapepenz akanijib kwan wew unatak kuolew

  • @AbeliMshani
    @AbeliMshani ปีที่แล้ว +1

    E bwana Dr Chris mauki uko vizuri nitakufuta siku Moja tuongee

  • @joserynnumelian-ff3ss
    @joserynnumelian-ff3ss 7 หลายเดือนก่อน

    Mimi jamanii Nina mausianoo ambyooo tungombnaa kilaaa Sikuu Kwa vituu vdogo vidgoo

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwenye miipaka nimepaelewa vzr,,,,,be blessed

  • @mwanzaurbanwatersupplysani9798
    @mwanzaurbanwatersupplysani9798 5 หลายเดือนก่อน

    Dr.mm sidumu kwenye mahusiona sijui ni kwann naomba msahada wako San San

  • @paulinpendo7497
    @paulinpendo7497 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana doctor nimejufunza kitu

  • @winniegastone6897
    @winniegastone6897 ปีที่แล้ว

    Samahan doctor nahtaji no yko ninayomengi nahtaji unisaidie

  • @paulinpendo7497
    @paulinpendo7497 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana doctor nimejufunza kitu

  • @joycekatto7580
    @joycekatto7580 3 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako pls nashida na ww

  • @pendomanga813
    @pendomanga813 ปีที่แล้ว

    Namimi nina mwengi naitaji ushauri wako kaka, nimara ya kwanza kukusikia

  • @paulinpendo7497
    @paulinpendo7497 ปีที่แล้ว

    Asante sana doctor nimejufunza kitu

  • @happinesslumambo9831
    @happinesslumambo9831 2 ปีที่แล้ว +2

    Nice lesson Dr I appreciate

  • @lilianamana5565
    @lilianamana5565 ปีที่แล้ว +2

    Doctor ni Lilian kutoka kenya kunajambo imenitatisa sana la kwanza mume wangu ana mda na Mimi la pili wakati wamapenzi aulizi mbaka Mimi tu niulize lafu akinipea ni moja tu awezi rudia Tena ni hiyo moja tu!

  • @geoffreyjosephat7213
    @geoffreyjosephat7213 3 ปีที่แล้ว

    Doctor nilikua naitaji kufaham jinsi ya kumshawishi mlezi wako aweze kukuweka kalibu yke

    • @zainabumussa697
      @zainabumussa697 3 ปีที่แล้ว

      Kaka mume wangu alinifanyia kityu ni kashindwa kumuamini mpaka Leo cjui kwanin simuamin kabisa

    • @geoffreyjosephat7213
      @geoffreyjosephat7213 3 ปีที่แล้ว

      Naomba ushauli nifanyaje Doctor naitaji kufaham

    • @geoffreyjosephat7213
      @geoffreyjosephat7213 3 ปีที่แล้ว

      Naitaji kufaham jinsi ya kumuweka mlezi wangu kalibu yangu kwasababu ayupo kalibu yangu nafanyaje doctor naomba msaada wako

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Dr 🙏

  • @SolangeMunyampeta
    @SolangeMunyampeta หลายเดือนก่อน

    Nakufuata nikiwa nchini DRC najivunia kuwa n'a mwalimu mzuri kama wewe

  • @annasteciambungo3360
    @annasteciambungo3360 2 ปีที่แล้ว

    Mimi naomba namba yako tuongee Whatsapp

  • @righitkileo
    @righitkileo 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤true❤❤❤

  • @aishangimba980
    @aishangimba980 2 ปีที่แล้ว

    Kaka mauki tafadhari Kama huto Hali naomba namba yako yaka,I nipate kueasiliana nawewe unishauri kiukweli nashindwa hata kuandika hapa,naomba naomba naomba Sana uweze kunisaidia mawazo

    • @scolakalindu8077
      @scolakalindu8077 2 ปีที่แล้ว

      Sasa si vizuri useme hapa ili aweze kujibu hapa na pengine akatupa somo maana ukingisa tu tayali bomu

  • @AnnoyedJumpRope-kw1cs
    @AnnoyedJumpRope-kw1cs หลายเดือนก่อน

    Asant Dr kwa somo

  • @EverlyneShivayiro
    @EverlyneShivayiro 11 หลายเดือนก่อน

    Walai unafunxa ukwel ibaba

  • @dinahkirigha2637
    @dinahkirigha2637 ปีที่แล้ว

    Nina swali, "Je, unasemaje kuhusu wapenzi wawili ambao miaka yao imetofautiana pakubwa? Yaani mwanamke ana miaka 16 zaidi ya mwanamme, na mwanamme huyu anampenda kwa dhati mwanamke wake and he's so proud of her...

  • @aishaaisha4549
    @aishaaisha4549 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @devidisimkonda8649
    @devidisimkonda8649 ปีที่แล้ว

    Ahsante kwa SoMo liko doctor but nampenda mke wangu ila nahis yy hajazama kihisia kama mm je? Nafanyaje ili azame kimausiano

  • @amanithomas5069
    @amanithomas5069 3 ปีที่แล้ว +1

    Asant mm nakuelewa sana

  • @rehemachristopher5180
    @rehemachristopher5180 2 ปีที่แล้ว +1

    Thnk you for dah good lesson Dr

  • @christinachrispine2976
    @christinachrispine2976 2 ปีที่แล้ว +1

    Thank you so much Dad.

  • @akimanaasiya4654
    @akimanaasiya4654 ปีที่แล้ว

    Dr. Nipo n mchumba si kam si mulew ivi yani kanambiy anatka ku ishi na mm Ila kwney Siku yek muhim hataki ndugu zake wa huzuriye ata moj n mama yk eti ata mwambia nyuma akisha kamilisha iyo jambo lak yani Siku y ndoa ivo n kimuliza kwa nin anasem yey ndo mu amuzi sa maisha yk

  • @NzeyimanaNadine-x5y
    @NzeyimanaNadine-x5y ปีที่แล้ว +1

    Ubalikiwe sana

  • @MariamRamaa
    @MariamRamaa 2 หลายเดือนก่อน

    Asante sana dr

  • @MerlinaKubadesha
    @MerlinaKubadesha 2 หลายเดือนก่อน

    Sasamjomba hapo kwenye uaminifu ndo unajengaje🎉🎉

  • @erastitesha943
    @erastitesha943 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante