Dr. Chris Mauki: Mambo 6 ya kuongeza ujanja wako kwenye mahusiano
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- Je unajua mapenzi au mahusiano yanaweza kufanikiwa zaidi kama wewe unaweza kujifunza mambo na kuwa mjanja zaidi? Jinsi unavyojua kidogo ndivyo unavyoinjoy kidogo. Haya hapa mambo 6 ya kukusaidia kuwa mjanja zaidi kwenye mahusiano na ndoa yako.
#DrChrisMauki#Ujanja#Mahusiano
Leo ni kwa Mara ya kwanza najuinga au kufuata video zako mwalimu lakini nabarikiwa na jengeka naimarika mana bado mimi ni single kwahiyo masomo haya yananiandaa na kuwa makini katika kuoa, mana wanasema unaweza kujenga nyumba vibaya ukaibomoa na ukajenga Tena lakini ukikosea kuoa au ukioa vibaya umeharibu kila kitu katiaka maisha yako ya baadae, kiukweli najiona niliyebahatika kuwa miongoni mwa wanafunzi wa masomo haya na mwalimu wetu Mungu aendelee kukutumia zaidi na akubariki sana sana Amen
Asante sana doctor nimejufunza kitu
Ubarikiwe sana kwaujumbe
Asante Sanaa ubarikiwe.Watching you from Australia
Thanks so much dr. Chris nakufatiliya kutoka Kenya
Asante sana Dr yaani mume wangu ananifurahia umeyabadilisha maisha yangu ubarikiwe mnoo Mungu akuweke viwango vya juu
Nafurahi sana kuskia hilo. Endelea. Natumaini umesubscribe channel
Doctor dada angu n mnene na amepata mchumba mnene piah mwenye mapenzi ya dhat lkn dadangu anapata hofu kusemwa na familia na majamaa kwamba wamechaguana wanene mda mwengine anadirk hata kuvunja na kurejesha mahusiano yake.unamshaurije
@@lulubandawe6284 mahusiano ni yao sio ya familia ukiingz familia kweny mahusiano hufiki mbali wakat wanakubaliana wakijiona
Nakukubali mzee,Mungu akubariki. Uzidi kutuelimisha!!
Asante sana hakika najifunza vingi kupitia ww
Asante kwa ushauli kaka
Samahan Dr Chris Mimi nampenzi wang Ila ananizidi erimu Sasa naee anajua Mimi sna Kaz yamaana namimi kiukweri nampenda ktoka moyon ss inakuwaje apo japo tupo mbari mbari nisaidie tuchanti tunaelewana wakati mwingine simuelewi jaman 🙏
Mwezangu na mimi jamn watu waliopo mbali na mwezie kuna mambo yanakera unakata tamaa
Thank you Dr. Mauki nimejifunza kitu kikubwa sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Hi Dora
@@musarichard2934 nimekuelewa
Nice lesson
This a great lesson to me am blessed
Napenda Sana mafunzo yako,,Mungu akumbaliki sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asantee Dr
Asante,kweny communication ilikuwa n tatizo sana kwang
Napenda nikutane na wewe face to face Dr
Waooo! Nice nime kusoma xn
Big up Dr .Chris ur helping us alot
Thanks awesome learning
nimekuelewa vizur kaka nashukuru
Mungu akubariki dr unanifungua mengi sana
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante sana Dr.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
@@ChrisMauki1 ndio Dr
Asnte som zur
Dr nimekuelewa sana na kuna mambo mengi kwangu hayapo sawa dr
Asante mauki nimejifunza
Jenga uaminifu
Jiwekee mipaka
Ongeza uwezo wako wa kuwasiliana
Onyesha kiu ya kudumu
Angalia uhitaji na uelewe uhitaji wa kihisia wa mwenzako
Fahamu madhaifu yako
Asante bro
Deep stuff, You are the best.
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Asante sana kwa ushauri wako
Vp
Your my modal thanks bro
Be blessed Dr.Mauki🙏
ndoa yanguina changa motosan
Mm nipo kwenye uchumeleba ambao sielewi kuwa ananioa au hanioi, kwamaana haniweki wazi huwa anamniambia kuwa ipo siku nitaenda kuonekana nyumbani kwenu ila haendi kwa sasa tunamtoto mmoja anamiaka mitatu naomba uunisaidie nifanye nini maana nampenda sana
Yaani umekuwa uchumba sugu maana nimiaka mingi sasa imepita naomba unisaidie
Somo nzuri sana asante
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Big up brother God bless you❤❤
Oya vipi ni mimi espi
Very very true
Like seriously Niko kwenye Giza sielewi ananipenda kweli au anapita coz hanipi mda WA kila kitu!! Am confused 😢
I appreciate your lessons Dr.chris long live Dr
Naendelea kujifunza ingawa cna mahusiano.naamini tu Mungu atanipa.
Hi Doctor Chris ni Rehema kutoka lebanon nilikuwa nauliza hivi je kuna maneno ama vitu vyenye unafaa kumfanyia mpenzi wako mkiwa on motion maybe amamaneno pia vile?
nipo na mchumba ila sielewi kama ananipenda aula nitajuaje? kama ananipenda na kama kwel ana'future na me
Nina mchumba ila cielw kama ananipendq au laah nitajuajr ?dct kama ananipndq na kweli ana future na mimi
Hakupend coz upend huw aujifich
Mm kwakweli sielewi nitafanya nn
@@mariamuwaziri8293 kweli kabisa kila kitu huwa wazi ukiona hunq uhakika jua hakuna
Dr Christ unanifurahisha sana kwa sababu unanijenga sana na nnakuamini sana na kwa kiasi unanifaa.
Kit gan chakuzingatia kabla ya kuanzish mahusian n mt
Dr Chris, samahani,nawezakuongeanawewe kwasimu mudagani?
Kaka mimi ninamme wangu nimefunga ndoa ninawatoto 2 yeye anaumri miaka 68 mimi ninamiala 43 sasaivi amekuwa ukorofi kilasiku ananifungia
Milango usiku asubui akiulizwa anasema hajui chochote naomba ushauri nifanyaje
Mimi ni mwanandoa nampenda sana mume. Wangu sana na nipo huru kiasi flani kwake ila yeye hawezi kurudisha upendo namaanisha naweza mwandikia txt yenye hisia kuhusu penzi letu ila yeye akajibu kwa ufupi na maneno machache TU me nikiwa namhitaji Huwa namwambia lakini mara nyingi anadai amechoka inaniuma coz hatumii lugha rafiki sana kunifikishia ujumbe nakwazika kwenye hili haswa
Niko Kwa kiatu kama hicho
@@ChristineRobert-i6k😂😂😂😂😂 pole
Kaka Mungu akubariki sana kwa kuwa vipindi vyako ni halisi na kweli. Nmejifunza mengi mno kupitia vipindi vyako.wakat mwingine nikikwama huko huwa nakuja kutafuta huku nijue makosa yangu kisha narud kwenda kutengeneza nilipokosea🙏 Mungu akuweke zaidi na zaidi
Nimeelewa somo vizuri but naomba niulize vipi mtu akikublock Bila kumkosea kipi ufanye?
Mambo yakukufanya mjanja kwenye mahusiano
1.jenga uaminifu
2.jiwekee mipaka( kwenye maneno,mda wa kuwa nje ya nyumbani,mambo ya imani)
3.ongeza uwezo wako wa kuwasiliana (sikiliza ili kuelewa c kujibu)
4.onyesha kiu ya kudumu
5.elewa uhitaji wa kihisia wa mwenzako
6.fahamu madhaifu uliyonayo
Asante doctor nashkuru kwa mchango wako kidogo nimefarajika lkn naomba no. yako nikueleze zaid nlonayo moyoni mwangu asante 🙏.
🙏🙏
Naomba kuongea na wewe direct Dr.plzz nina vitu vyangu vinaniweka njia panda
Natwa mayala nipo mwanza igoma, mimi mara nyingi napoingia kwenye mahusiano na nikijaribu kusema madhaifu ya mwenzangu basi huonekana kama mlalamishi na huishia kuachwa sababu huwa hawako tayari kukubali madhaifu yao ila mm nikiambiwa huelewa na kukubali, sa nifanye nn uncle? na sio kwamba huwa sijali na mi sio bahiri hua natoa na nikipenda hua napenda kweli. Nashindwa kuelewa nakwama wapi
Njoo tupendane namm
🙏🙏
Thanks Dr , nc lessons
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Dr nimekkubal San naomba kupata namba zako nikupigie tafadhari
Nipo kagera nimeipenda na nimejifunza Asante
Nafurahishwa sana na masomo Yako,endelea kutufundisha Ili tuweze kujenga mahusiano yetu na ndoa zetu zipate kudumu zaidi na Mungu akubariki
Sasa dr utajuaje kama mwenza wako pia anakupenda kwenye mahusiano make wengine hawaoneshi wapo tu silent lakin wapo
Maimed kumchuniaa kwenye mawasiliano akikaaa kimyaa juaa hana mapemzi akiwa anakutafutatqfutqq jua mapenzi yapo
Kwakweli Asante maana kuna mabadiliko nime ona kupitiya video zako Asante sana ♥️
Ndio baba tupe habar njem zaid
Chris nime shukuru sana kwa hii mawaidha yako mimi niko na shida kuhusu mausiano na mume wangu tafadhali naomba namba yako tuonge niko Kenya
Ahsante Kwa mafundisho yako ,m Niko mbali na mume means siish nae yupo Kikaz nifanyaje vp ili nidumishe ndoa yangu bila kujal umbali ili nae anipende zaid navompenda
Mm niko glf na mpenzi wangu yupo glf na pia amenichumbia nyumbani lakini sai Yuko na mwanamke mwengine na uyo mwanamke ana mpost uyo mchuba wangu mm nikijaribu kumuelezea ana kua mkali kwangu na sai amefika atua ya yy ukuniambia mm Niko na mambo yangu eti yy ananizuiya kufanya mambo yangu naomba ushauri
doct but iseeee umeniimarisha Sana now am happy because of you 🙏🙏🙏Mungu akuweke
Asante doctor mungu akubariki sana.
Baba mimi niko na changa moto kwenye mahusiano yaki mapenzi nina mchumba wangu kama sija mnunu liya mega baite awezi nitumiya ujumbe naniki tuma mega baite ana angalia nyuma sana kisha na tuki ongeya ni limoja tu na yengine ana tumiya kwaku ongelesha wengine naomba shauri mwalimu
Do ivo baba
OFA OFA OFA., ( FERMICARE mkombozi wa U.T.I, P.I.D, MIWASHO UKENI, FANGASI inapatikana kwa sh.27,000
Sipend watu kama wewe hapa sio sehemu ya matangazo yako uwezi kuaminiwa kwenye account ya mtu mwingine fyuuuuuu
Naomba uniadd kwa Whatsapp group yako
Thxxx alot doc for the lessons ❗ it will make us grow as couples...
• Asante sana kwa kutazama na kunifuatilia. Natumaini umesubscribe channel. Thanks
Napenda sana masomo yako, natazama kutoka arusha
Naomba namba yako doctor nina jambo langu nahitaji kukueleza
Mim mpenz wang nimemuuliz ivi aya mausiano yet yatakuw hiv pak lini na tutaishi iv pak lin kam wapepenz akanijib kwan wew unatak kuolew
E bwana Dr Chris mauki uko vizuri nitakufuta siku Moja tuongee
Mimi jamanii Nina mausianoo ambyooo tungombnaa kilaaa Sikuu Kwa vituu vdogo vidgoo
Hapo kwenye miipaka nimepaelewa vzr,,,,,be blessed
Dr.mm sidumu kwenye mahusiona sijui ni kwann naomba msahada wako San San
Asante sana doctor nimejufunza kitu
Samahan doctor nahtaji no yko ninayomengi nahtaji unisaidie
Asante sana doctor nimejufunza kitu
Naomba namba yako pls nashida na ww
Namimi nina mwengi naitaji ushauri wako kaka, nimara ya kwanza kukusikia
Asante sana doctor nimejufunza kitu
Nice lesson Dr I appreciate
Doctor ni Lilian kutoka kenya kunajambo imenitatisa sana la kwanza mume wangu ana mda na Mimi la pili wakati wamapenzi aulizi mbaka Mimi tu niulize lafu akinipea ni moja tu awezi rudia Tena ni hiyo moja tu!
Doctor nilikua naitaji kufaham jinsi ya kumshawishi mlezi wako aweze kukuweka kalibu yke
Kaka mume wangu alinifanyia kityu ni kashindwa kumuamini mpaka Leo cjui kwanin simuamin kabisa
Naomba ushauli nifanyaje Doctor naitaji kufaham
Naitaji kufaham jinsi ya kumuweka mlezi wangu kalibu yangu kwasababu ayupo kalibu yangu nafanyaje doctor naomba msaada wako
Asante sana Dr 🙏
Nakufuata nikiwa nchini DRC najivunia kuwa n'a mwalimu mzuri kama wewe
Mimi naomba namba yako tuongee Whatsapp
❤❤❤❤true❤❤❤
Kaka mauki tafadhari Kama huto Hali naomba namba yako yaka,I nipate kueasiliana nawewe unishauri kiukweli nashindwa hata kuandika hapa,naomba naomba naomba Sana uweze kunisaidia mawazo
Sasa si vizuri useme hapa ili aweze kujibu hapa na pengine akatupa somo maana ukingisa tu tayali bomu
Asant Dr kwa somo
Walai unafunxa ukwel ibaba
Nina swali, "Je, unasemaje kuhusu wapenzi wawili ambao miaka yao imetofautiana pakubwa? Yaani mwanamke ana miaka 16 zaidi ya mwanamme, na mwanamme huyu anampenda kwa dhati mwanamke wake and he's so proud of her...
Asante
Ahsante kwa SoMo liko doctor but nampenda mke wangu ila nahis yy hajazama kihisia kama mm je? Nafanyaje ili azame kimausiano
Asant mm nakuelewa sana
Thnk you for dah good lesson Dr
Thank you so much Dad.
Dr. Nipo n mchumba si kam si mulew ivi yani kanambiy anatka ku ishi na mm Ila kwney Siku yek muhim hataki ndugu zake wa huzuriye ata moj n mama yk eti ata mwambia nyuma akisha kamilisha iyo jambo lak yani Siku y ndoa ivo n kimuliza kwa nin anasem yey ndo mu amuzi sa maisha yk
Ubalikiwe sana
Asante sana dr
Sasamjomba hapo kwenye uaminifu ndo unajengaje🎉🎉
Asante