Dr. Chris Mauki: Tabia 9 zitakazokuongezea ujasiri maishani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
  • Je unajiona unakosa ujasiri? Je umeishi katika mazingira yaliyo athiri ujasiri wako? Hizi hapa tabia 9 ambazo ukizifuata zitakusaidia sana kuongeza ujasiri kwenye maisha yako.
    #DrChrisMauki#Tabia#Ujasiri

ความคิดเห็น • 63

  • @NZAMUYEJoseph
    @NZAMUYEJoseph หลายเดือนก่อน

    Nakupendaaa sanaa umeniwezishaaa njmemtekaaa kipenz kwa mbinu zile

  • @LucySinkala
    @LucySinkala 17 วันที่ผ่านมา

    Asante sana Dr Mauki napende mafundisho yako

  • @CatherineKalua-bk8vg
    @CatherineKalua-bk8vg 3 หลายเดือนก่อน

    Kiukweli umenibadilisha Sana kaka ,,ubarikiwe Sana

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 2 ปีที่แล้ว +3

    Mungu akubariki sana DR unaendelea kunijenga kiakili najifuza vitu vingi sana kwa kutazama chaneli yako hivi naweza kuongea na we DR

  • @leahloth6711
    @leahloth6711 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akubariki kwa mafunzo mazuri tokea nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko makubwa sana naendelea kujifunza

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 3 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe dr Chris mauki

  • @enoshmukama4783
    @enoshmukama4783 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri sana nimejifunza kitu Leo ubarikiwe DR

  • @SammyMagindu-ft8gy
    @SammyMagindu-ft8gy 3 หลายเดือนก่อน

    Mawasiliano tafadhalii Dk

  • @olivanooraladin5436
    @olivanooraladin5436 2 ปีที่แล้ว

    Inshu hpa kwenye kusimamia kitu unachoka mini lkn nataman kuwa mtu furan mim km mimi lkn Kuna vitu ambvyo vinanivunja moyo but na mshukuru mungu kwa yote pia huwa nakufatilia Sana na kunavitu najifunza

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante mungu akusaidie❤️🙏

  • @CharlesValentinefaustine-tq5te
    @CharlesValentinefaustine-tq5te 9 หลายเดือนก่อน

    Asant kwa kunielimisha Mungu akubaliki sana

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 3 ปีที่แล้ว +3

    Somo zuri sana Dr.chris mauki ✊✊✊

  • @jerukakayi
    @jerukakayi ปีที่แล้ว

    Nimeamini kuwa ww ni daktari umenitibu akili na Mungu akupe hekima na maarifa zaidi

  • @yohanamdui7458
    @yohanamdui7458 ปีที่แล้ว

    Dr Chris mauki nakufatilia sana mafundisho yako yananijenga sana unanisaidiaje na mm niwe kama wewe??

  • @user-xq2vu8sk4d
    @user-xq2vu8sk4d ปีที่แล้ว

    Somo zuri sana

  • @tabiamaheke
    @tabiamaheke ปีที่แล้ว

    Upo sahh sana

  • @beatricemabula4783
    @beatricemabula4783 3 ปีที่แล้ว

    Ahsate sana.karibu.sana kibaha japo utukusanye wamama wa kanisa la anglacan tupate .madini yako

  • @suzanemwambe6320
    @suzanemwambe6320 2 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo zuri,,,tunajifunza vitu vingi, vizuri kwako,mungu akubariki sana

  • @johnmtobesya7683
    @johnmtobesya7683 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @user-sn7gk3fd2o
    @user-sn7gk3fd2o ปีที่แล้ว

    Nashukuru,prof kwa ujumbe mzuri samahani nisaidie hapa mm ilishawahi kutokea ugomvi na jirani yangu ambaye nafanya naye kazi ofisi mmoja, na chanzo Cha ugomvi ni madharau masimango yy huwa ni mbea sana na Ana madharau sana Sasa yy no mtu wa mda mrefu apa mm Nina Kama miaka miwili Sasa kilichotokea baada ya mm na yy kuzozana ni kunisema vibaya kwa wafanyakazi wenzetu ,mitaani na Kila korna afu watu wananichikia Apo nifanye nn ebu nisaidie mtu ishi

  • @naimahassan5955
    @naimahassan5955 3 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @gloryminjs9744
    @gloryminjs9744 ปีที่แล้ว

    Dr leta tips za mwanaume kuchange dini kumfata mke na girl kuchange dini kumfata mme ni love au nn
    Kwenye ndoa hatabadilika au hatabadilika plz

  • @solangesoso3100
    @solangesoso3100 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana nimependa somo la leo

  • @ErickMwawite-hm6uj
    @ErickMwawite-hm6uj ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo

  • @neemajeremiah6577
    @neemajeremiah6577 ปีที่แล้ว

    Asante kwa chakula kitamu Cha ubongo

  • @user-te6ej9mb3l
    @user-te6ej9mb3l ปีที่แล้ว

    Asante kaka

  • @Anna-se9gp
    @Anna-se9gp ปีที่แล้ว

    Dr be blessed bcoz of things to say are really good to do it

  • @issaimwasha1185
    @issaimwasha1185 2 ปีที่แล้ว

    Somo zuri Sana mkuu, ubarikiwe sana

  • @tawalazephuline4950
    @tawalazephuline4950 2 ปีที่แล้ว

    Ahsante

  • @sufoorembo5925
    @sufoorembo5925 2 ปีที่แล้ว

    Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿

  • @othmanmuhammad1650
    @othmanmuhammad1650 3 ปีที่แล้ว +4

    Such a great lesson, it absolutely perfect ten,.!.so valuable,.

  • @debraswai9131
    @debraswai9131 3 ปีที่แล้ว

    Asante Sana doctor nimejifunza mengi Mungu akubariki sanaa

  • @polinewesonga8121
    @polinewesonga8121 2 ปีที่แล้ว

    Asante...kwa kweli nimejifunza pakubwa.

  • @mugeraanthony1873
    @mugeraanthony1873 3 ปีที่แล้ว

    Great

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante Sana

    • @halimaiddy158
      @halimaiddy158 3 ปีที่แล้ว

      Naomba no doctal naitaji kuongea na wew

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante dr kwa somo nzuri kabisa

  • @neemashillah3770
    @neemashillah3770 3 ปีที่แล้ว

    👍vizuri

  • @leonardytarzantarzan481
    @leonardytarzantarzan481 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana kaka ...

  • @erastitesha943
    @erastitesha943 3 ปีที่แล้ว

    Asante dr wng

  • @catherinenasambu5366
    @catherinenasambu5366 3 ปีที่แล้ว

    Asantee kwa wazo boss

  • @mariamnestory6715
    @mariamnestory6715 2 ปีที่แล้ว

    Asante Sana mungu akubariki nimebarikiwa Sana mafundisho yako naitaji nipate namba zako za cm nipo kigoma asante

  • @hawwahawwa8533
    @hawwahawwa8533 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana 👍

  • @mwl.frankmadembo7472
    @mwl.frankmadembo7472 3 ปีที่แล้ว

    Thanks Dr for the good lesson

  • @saadarashidi2428
    @saadarashidi2428 3 ปีที่แล้ว

    Nafurshishwa saana masomoyako

  • @khadijarajab8383
    @khadijarajab8383 3 ปีที่แล้ว

    🙏

  • @dianamshana5847
    @dianamshana5847 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana Dr ubarikiwe

  • @lightinessmichael5767
    @lightinessmichael5767 3 ปีที่แล้ว

    Barikiwa kwa somo zuri

  • @omarhusen7121
    @omarhusen7121 ปีที่แล้ว

    Asant san dk kwa kukuuza ubong wang

  • @onesmosanga8408
    @onesmosanga8408 3 ปีที่แล้ว

    Tuko pamoja

  • @janethseba8795
    @janethseba8795 3 ปีที่แล้ว

    Ninakuelewa kaka sasa mimi kwa upande wangu nilifanya maamuzi sahihi kwenye mahusiano kwa upande wa mwenzangu anasema alikosea.niishi vipi naye

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 2 ปีที่แล้ว

      Fatilia watu wanaokupenda,anaekubagua nawe mbague,,

  • @MnyimbiOfficial-cn1nw
    @MnyimbiOfficial-cn1nw ปีที่แล้ว

    Dr mauki naomba namba zako nataka ushauri pravite

  • @tabithajoseph7249
    @tabithajoseph7249 3 ปีที่แล้ว

    Ubalkiwe

  • @estarkapinga6126
    @estarkapinga6126 3 ปีที่แล้ว +1

    SoMo zuli nime elewa na unanipa nguvu ya kupambania maisha yangu

  • @norbypoltv
    @norbypoltv 3 ปีที่แล้ว +1

    Yes kaka asante kwa somo zuri.. Pia wajifunze tabia hizi za kuacha 2021 ili wafanikiwe
    👇👇
    th-cam.com/video/9dgU3JqI-nU/w-d-xo.html