Dr. Chris Mauki: Tabia 9 zitakazokuongezea ujasiri maishani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- Je unajiona unakosa ujasiri? Je umeishi katika mazingira yaliyo athiri ujasiri wako? Hizi hapa tabia 9 ambazo ukizifuata zitakusaidia sana kuongeza ujasiri kwenye maisha yako.
#DrChrisMauki#Tabia#Ujasiri
Nakupendaaa sanaa umeniwezishaaa njmemtekaaa kipenz kwa mbinu zile
Asante sana Dr Mauki napende mafundisho yako
Kiukweli umenibadilisha Sana kaka ,,ubarikiwe Sana
Mungu akubariki sana DR unaendelea kunijenga kiakili najifuza vitu vingi sana kwa kutazama chaneli yako hivi naweza kuongea na we DR
Mungu akubariki kwa mafunzo mazuri tokea nimeanza kukufatilia nimeona mabadiliko makubwa sana naendelea kujifunza
Ubarikiwe dr Chris mauki
amen asante sana
Mungu akubariki sana kwa mafundisho mazuri sana nimejifunza kitu Leo ubarikiwe DR
Mawasiliano tafadhalii Dk
Inshu hpa kwenye kusimamia kitu unachoka mini lkn nataman kuwa mtu furan mim km mimi lkn Kuna vitu ambvyo vinanivunja moyo but na mshukuru mungu kwa yote pia huwa nakufatilia Sana na kunavitu najifunza
Asante mungu akusaidie❤️🙏
Asant kwa kunielimisha Mungu akubaliki sana
Somo zuri sana Dr.chris mauki ✊✊✊
Vzr
Nimeamini kuwa ww ni daktari umenitibu akili na Mungu akupe hekima na maarifa zaidi
Dr Chris mauki nakufatilia sana mafundisho yako yananijenga sana unanisaidiaje na mm niwe kama wewe??
Somo zuri sana
Upo sahh sana
Ahsate sana.karibu.sana kibaha japo utukusanye wamama wa kanisa la anglacan tupate .madini yako
Asante kwa somo zuri,,,tunajifunza vitu vingi, vizuri kwako,mungu akubariki sana
Nice
Nashukuru,prof kwa ujumbe mzuri samahani nisaidie hapa mm ilishawahi kutokea ugomvi na jirani yangu ambaye nafanya naye kazi ofisi mmoja, na chanzo Cha ugomvi ni madharau masimango yy huwa ni mbea sana na Ana madharau sana Sasa yy no mtu wa mda mrefu apa mm Nina Kama miaka miwili Sasa kilichotokea baada ya mm na yy kuzozana ni kunisema vibaya kwa wafanyakazi wenzetu ,mitaani na Kila korna afu watu wananichikia Apo nifanye nn ebu nisaidie mtu ishi
Good
Dr leta tips za mwanaume kuchange dini kumfata mke na girl kuchange dini kumfata mme ni love au nn
Kwenye ndoa hatabadilika au hatabadilika plz
Asante sana nimependa somo la leo
Asante kwa somo
Asante kwa chakula kitamu Cha ubongo
Asante kaka
Dr be blessed bcoz of things to say are really good to do it
Somo zuri Sana mkuu, ubarikiwe sana
Ahsante
Asante dr nawezaje kuongea nawewe mimi nipo Mozambique 🇲🇿
Such a great lesson, it absolutely perfect ten,.!.so valuable,.
Asante Sana doctor nimejifunza mengi Mungu akubariki sanaa
Asante...kwa kweli nimejifunza pakubwa.
Great
Asante Sana
Naomba no doctal naitaji kuongea na wew
Ahsante dr kwa somo nzuri kabisa
👍vizuri
Safi sana kaka ...
Asante dr wng
Asantee kwa wazo boss
Asante Sana mungu akubariki nimebarikiwa Sana mafundisho yako naitaji nipate namba zako za cm nipo kigoma asante
Safi sana 👍
Thanks Dr for the good lesson
Nafurshishwa saana masomoyako
amen asante sana
🙏
Asante sana Dr ubarikiwe
amen asante sana
Barikiwa kwa somo zuri
Asant san dk kwa kukuuza ubong wang
Asante doctor
Tuko pamoja
Ninakuelewa kaka sasa mimi kwa upande wangu nilifanya maamuzi sahihi kwenye mahusiano kwa upande wa mwenzangu anasema alikosea.niishi vipi naye
Fatilia watu wanaokupenda,anaekubagua nawe mbague,,
Dr mauki naomba namba zako nataka ushauri pravite
Ubalkiwe
SoMo zuli nime elewa na unanipa nguvu ya kupambania maisha yangu
amen asante sana
Yes kaka asante kwa somo zuri.. Pia wajifunze tabia hizi za kuacha 2021 ili wafanikiwe
👇👇
th-cam.com/video/9dgU3JqI-nU/w-d-xo.html