SIRI YA KUAMKA BILA UCHOVU KILA SIKU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ต.ค. 2024
- Please watch: "FIKIA MALENGO YAKO KIRAHISI "
• FIKIA MALENGO YAKO KIR... -~-
Watu wengi sana wanalala masaa mengi lakini wanaamka wamechoka sana asubuhi. Tatizo ni nini? Katika mfumo huu wa maisha ya sasa ni muhimu sana kufahamu mbinu muhimu zitakazokuwezesha kuenda sawa na kasi ya maisha ya teknolojia lakini bila kujiuza mwili au afya yako.
Jifunze jinsi ya kulala kwa usahihi kuanzia leo. Tiba ya kuamka na uchovu.
Sambamba na alarm yako katika kukuamsha, pia tumia
website hii : www.sleepyti.me/
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#SuccessPath #EachOneTeachOne #EzdenJumanne
Am very proud of you brother maana hujawahi kuniangusha najikuta napata majibu ya maswali ambayo nakuwa nayo lkn nashindwa majibu niyapate wapi ila ninapofatilia page au channel yako hakika kuna kaugonjwa huwa kanapona. Be blessed brother!!
Very educative clip
.
Daaaah kwakweli asante
Nikweli kaka
Tuko pamoja broo munani fariji
Bwana Yesu asifiwe kweli nimebarikiwa sana na somo lakoo
Asante kwa somo nzruri MUNGU Akubri Sana unatupa vitu vizuri vya kutujenga kwenye maisha yetu me nitaanza kufata ratiba ya kulala na kuamka.
Mwenyez mungu akulinde na kukubariki uzidi kutupa mafundisho mazuri pamoja sana
Kaka umenifunza ki2 ntajaribu kufuata sleepy time naona itanisaidia kwn naeza eka alarm na nkaamka ule mda bt nakuwa nmechoka ctaman hta kufanya chochote najikuta narud kulala tena akili inanambia rudi kitandani then ratiba zangu haziend tena km inavotakiwa. I will do dc naamin ntakuwa mtu tofauti thanx xo much for u'r lesson! Be blessed!
Asante teacher nimejifunza mengi kuhusu usingizi. Kama vile kupanga muda maalum wa kulala na kuamka, pia kulala kwenye mazingira tulivu wakati wa kulala. Asante Sana teacher kwa somo zuri
Very GOOD point, toka nimeanza kufuatilia clips zako nimejifunza mengi hata nikilala late nikilala five to six hours huwa nakua vema kabisa, hii ulinifundisha jambo jema.
Dahh nimejifunza kitu kikubwa kuhususu mda wa kilala, nitaanza kulifanyia kazi,ahsante sana.
Pongezi bro kwamafundisho mazuri. Mi hulala 10pm : kwamka 4 am sina uchovu wowote nimezoea vivo hivo hongera sana.
Duuuh nimefurah sana kujua hili kaka coz uwa nasinzia darasan ,pia nakua msahaulifu,but am gonna try ths hard.thanks Brthr.
Hakika kila nipitiapo mtandao katika jukwaa hili kuna mambo mengi mnooo huwa najifuna
tangu nilipoijua success path network na kukujua Brother EZDEN JUMANNE NTAMBI nimejifunza mengi mnoo na kiasi kikubwa kwa hatua niliyofikia ni mchango mkubwa kutoka kwako mkuu
Mwenyezi Mungu akupe umri mrefu ili na kizazi chetu kiweze kujifunza zaidi na zaidi
AHSANTEEEE
Asante sana naanzakulifanyia kazi kuanzia leo
Bro yan kila kitu ulichokiongea nahisi kama ulinionah mm maana kinanigusa.tenks bro nimejifunza kitu naamin nitalala vizuri na nitaamka vizuri.
Mke wangu anasumbuliwa na tatizo hilo sna naomba msaada zaid.
Amidah nalala sáanane usiku naamuka saatatu bt niamuka nimechoka kabisaa
Asante sana umenifundisha vitu Leo vya msingi sana
Thnks bro. This is powerful 🙏🙏
Nashukuru nimepona kwikwi kwa njia kati ya hizo ilizodema nimekunywa maji mfululizo na imenisumbus kwa zaidi ya nusu saa.Asante
Karibu sana
Jampo LA msingi, chumba kiwe kisafi, hewa safi, usafi wa kitanda, oga kabla ya kulala, kula mapema. Mengine mbwembwe tu, chumba kikiwa na hewa ya kutosha uchovu utoke wapi? Pia choo kiwe mbali na vyumba vya kulala, hewa inayotoka chooni huuchosha mwili kwa 100%
Ohooo naondoa Choo chumban kwangu maana ni pua na mdomo
Asante kwa mafundisho mazuri
Karibu sana
Karibu sana@@successpathnetwork
Nakushukuru nimejua ni kwa Nini nilikuwa naamka nimechoka,nalifanyia kazi na sitachoka tena
Asante Sana kwa masomo yako sijawah kujuuta
Na mimi nataman Sana kusoma vitabu ila ugumu namna ya kuvipata soft coppy
Nimekupata bloo nilikuwa sijui kianacho nichosha usiku, asante kwa elim uliyonipa.
Shukran ya babeeby nimejifunza time ya kulala
Vyakula vinachangia ujinga wa binadamu tulokuwa nao roho dhaifu tulokuwa nazo nimekusudia kwa kila kitu inatakiwa tujirekebishe kwa kila jambo na tuamini kuwa mungu yupo na ni muweza wa kila jambo sisi binadamu ni just banda bovu time yeyote linaweza kubomoka kwa uhakika tuwe makini sana na maisha yanavyo enda mungu ni mkubwa na ni muweza wa kila jambo inapaswa tumuombe sana ameen
Yani km unanizungumzia mm kabisa maana nasahau kupitiliza af pia nakua mtu wa kughairisha Mambo ya msingi I will follow this way really amazing
Shukran kwa mafundisho yako👍🤝
Mashaa Allah ❤ nimekupenda brother
Shukran jazillah yah ukhty... Allah akufanyie wepesi
@@successpathnetwork allahummah Amiina
@@successpathnetwork kwa sote pia
Thanks alot , Allah bless u, I will start this .
Assalamu alykum mimi dokta umenigusa sana hayo mimi ndokabisa nikiamka huwa nimechoka mwiili woote unauma mgongo mbav kifuwa tatiz sijuwi😊
Asante umeniasha bloo
Wow nimefurahi kujifunza hili💞💞💞💝💝💝💝💝💝💝💝much Love bro
Shukran nimehifuza cha maana
asante sana nimejifuza mengi lkn ninacho kijuwa kwann unakosa usingizi au unaamka umechoka 1 kula vyakula vya barid 2kula chakula kizito 3kunywa chai ya rangi 4au una dalili ya vidonda vya tumbo
Am from Kenya, nafanya Saudi bt nimesaidikika Sana kuhusu hichi kipindi, coz nakala saa kumi na moja asubuhi namka Sa sita mchana, bt nilikuwa nalaumu boss wangu kwamba silali,bt niliposikia hii sleep sycoly nilielimika sana kwamba huo mda unatosha
Shukran sana Kaka Allah akubarik, nishadownload sleepy.time leo nitaanza
mimi
silali
hata
sijuikwanini
Nalala saa5 naamka saa 11 nakua nimechoka Sana
Asalam alykumu warhmatullah wabatakatuh bro asante kwa somo rako nimejifunza mengi kutoka kwako shukuran
Safi sana edzen
Jumanne kazi nzur uendelee hivo hivo tupate elimu zaidi
#SUCCES PATH NETWORK
Shukran sana kwa Darsa zuri
Thanks
Mm I should avoid Naps Sasa 😅 And I recommend "The Miracle Morning"
Magreth from Mwanza
Nimekuelew san bro am so proud of you
😊😊co amazing🎉❤
Punguza kidogo utangulizi, toa somo tufaidi. Hata hivyo nimejifunza 🙏.
Shukran sana unanisaidia sana
huyo broo mm namwelewaga sanaa
Kwa sisi tulio waarabuni tutateseka sana basi mana tunalala kulengena na vitoto vitakapo lala
Hongera bro ila dkk 10 au 15 zingetosha
I’m going to work on it and I’ll give you feedback. Thank you brother.
Nalala saa 4 uck namka saa 2 asubui nakua nimechoka sana hutasema nikifanya kazi uck.
Kaka ezden assalam alaikum
Hapo kuhusu aina za kulala (milalo) nadhani ni muhim sana
Good teachings congrats
Tangu nianze kufatilia page yako nimejifunza mengi asande sana brother
Thanks for the educative post
Sijaelewa unalala masaa mangapi ili usichoke?
Asante
Umetisha bro unasema ukweli kbs
Kwa wakati huu sidhani kama kuna mtu analala kwa ufanisi problems ziko nyingi sana sio kwamba dunia imebadilika ni sisi binadamu tumebadilika kwa kila part ya maisha yetu si mtu maskini wala tajiri ilobaki ni kumuomba mungu tu
Nalala sanne naamka Saa kumi na mbili asubuhi nimechoka mwili unauma
Napenda Uko vzr hata comment unazifanyia kaz mwenyew Tatizo hilo ninalo
Ahsante Sana kaka
Assalam Alykum japo umerusha hichi kipindi miaka miwili ilopita lakin tunao join now itabidi ujibu maswali yetu Insha Allah.....wakuta mtu alala saa nne then anaamka saa tisa kwenye kuswali usiku...akishamaliza harudii kulala inamana apitiliza mpk fajri....kisha akishaswali fajri alala mpka saa moja ....jee kulala hivi ni sahihi ....maelekezo yako tafadhali🙏......shukran
Waaleykum salaam. Sasa hapo inabidi sana kuwa mtu wa kulala mapema zaidi ili kufidia kidogo muda unaoamka usiku. mathalan ukilala saa 3 usiku (nakushauri ulale muda huu) lala mpaka saa 10 kamili. hapa unapata ile theluthi ya mwisho ya usiku ni muda mzuri kwa ibada na utakuwa umelala masaa 7. yanatosha kabisa... hapa haulali tena... ndio siku yako ishaanza. kwa ratiba zaidi tuwasiliane tafadhali katika whatsapp 0759191076
Ohooo ok sasa apo mimi nilikuwa naomba uniambie mda upi uko pw kulala na kuamka
Somo zuri
Asante sana Bukelebe Ngelela kwa kufuatilia. Tuko pamoja sana. Stay blessed.
Kujiunga na group la vitabu la whatsapp tuma ujumbe WhatsApp "SPN BOOK CLUB"
kwenda namba 0759191076.
.
Kununua vitabu tuma neno VITABU kwenye namba 0759191076
Asante sna kaka
hata Mim kipindi bado sjaanza Mazoezi nilikua nalala pema na kuchelewa Kuamka lakin nilikua naamka nimechoka natamani kuendelea kulala lakin tangu Nianze Mazoezi Naamka vizur Kabisa
Safi sana kaka
Shukrani nimeanza kulifanyia kazi
Asalam.alykum kaka mi nina dadanguu aani abalala sanaaa mpk aanii anatuboaa na nibongee uyooo ilaa anatumia dawa za psychology aanii kama anachanganyikiwaa et izo zinasababishaa usingz sana na kushindwa kufanyaa kaz
Komment as zann'zawtu?.tunataka somo2 ndomuhm
Mm nikibaatika kulala mapema naumwa sana shingo mgongo mbavu bora nikichelewa kidogo napata nafuu lakini naumwa kila siku niwai nichelewee hali yangu ni ileile uchovu tu
Shukraan Kaka Ezden Allah bless you 🙏
Shukran brother
Je kwa mwanafunzi ni mda gani mzuri wa kulala na kuamka ili asome bila ya kupata madhara ya kusinzia darasan????
❤nimeipenda hiyo🎉🎉
Ahsante
HAO waliochoka wamelimishwa na wanga usiku wao wenye we hawajuwi,, mmm nangoja kuvuna.
🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Nakupataje
Mm nalala sa sita namka sa mbili mwili unakua hoi sana coz ni lazima kazin
Kaka me cna kazi kwahiyo mara nyingi najikuta nachelewa kulala na huwa sipati usingiz kabisa wakati wa usiku yaani bro najitahidi kuvuta usingizi lakini hauji tena mara nyingi huwa nalala saa 6 ila siku hiz ndo imezidi nalala kwnzia hata saa 8, 9, 10, siku nyingine hata mpk asubuh ndo usingiz unakuja...kwakweli inaniogopesha sana kaka yaaani nalala asubuhi saa 12 halafu naamka saa 8 mchana hata saa 10 daaah inaniogopesha sana cjui nifanyaje kaka....msaada pliz
We umeamua mwenyewe bana
Kamuone dactari wa saikolojia au nenda hospital yoyote kutana na dactari muelezee atakupa ushauri utakuwa na msongo wa mawzo huwa inafanya mtu usipate usingizi akili inakuwa haijatulia pole rafiki
Shukran allah barik
May he bless us all. Aamiin
Thank u brother God bless u all!!
Jaribu chai ya camomile pia Ni ya kiilinjaro tea blender... Inasaidia kulala vzr
Mimi nalala vibaya sana usingizi mbovu mzito sana naamka nimechoka kupitiliza
Good lesson Mr
Habari kaka hiyo ya kulala saa chache na kuamka nipo fit mimi hapa naongoza nalala saa saba usiku alafu saa mbili naenda job na hata sina uchovu
Asante sana nafurahi kua sahihi kwa mda nnaolala na kuamka
Mambooo
Mm nalala mapema lakini namka usiku na silali mpaka baada ya masa mawili pia nanda choni sana kukojoa nifanyeje?
We hujui wengine hawana hata chumba hyo sehemu ya kulala inategemeana na maisha ya mtu wengine wanalala sebureni
Wengine chini ya ardhi
Furaha
Asnte sana mpendwa
Nzuri sana
Ahsante bro yaani umetibu maradhi yangu
Shukraan sana brother Allah akubariki 🙏🙏
da,
Asante kwakunisaidia Mana napenda kulala San nitajitaid kuway kuamka
Mimi ni mwanafunzi ila shida ninachoka sana hata wakati mwingine nashindwa kujisomea
Mimi hulala saa sita na kuamka saa kumi Na mbili kwa sababu ya kazi tunaenda mapema na kurudi late Sana....atimes natamani ata nisiende job koz naamka ka nimechoka Sana...so I don't know what to do.... would you help me plzzz 🙏🙏🙏
Samaha niulize, Kama mtu anaejisaidia mara Kwa mara usiku Sleep circle zitaesabikaje.
Mm nalala saa saba lakn namka nmechoka
Mpingo , _uzingizi noma,,
Nice bestie
Shukran ila naomba utuandalie na sisi wanafunzi yetu
Nini hasa unatamani kufahamu kuhusu wanafunzi, niandae?
Success Path jinsi ya kuweza kujifanyia rivision na kuweza kusoma vitabu
Nalala saa 11 naamka saa 05: 00 asbh lakn naamka Niko fit nimeshazoea
Mimi nalala saa 4 uck naamka saa 2 asubuhi na baada ya chai saa 5 asubuhi nalala pia masaa 2 yaaan ni mchovu hadi sioni raha ya maisha
Nalala saa nne naamka saa kumi na moja najikuta Kama nimepigwa na marungu.nakua nimechoka saaaanaaa
Mi nalala sa tano na nusu kuamka sakumi na moja na nusu au kamili nilkua naamka nimechoka tangu nipunguze kula na kuwa na bidid kwenye kazi uchov unepungua saana
Mimi nikilala sasita usiku naamka satano mchana 😂 nikilala sainne usiku naamka sambili asubui uku nine relax sana mwili unanyooka nashinda vizuri sana ila sinaga kanuni zakulala kuna mda atasiku nzima inapita silali usiku mzima atamchana sitolala
Hahaa
Hahaha
Pl ni naomba usaidishi mmi silali na naamuka kuchoka sana
Mimi narara1:00 zausiku nasipate usingizi ira usingizi unakuja asubuhi niamuke 12:00awo11:0 natures florence