Mm nashukuru sana kwa somo lako zuri maana nazidi Kubadika nlikua mtu wa kulalamika sana na iyo tabia ya kuamini kua mtu ananizalau hasa mdogo angu akiongea akimaliza tu mimi namuambia haya bhana we nizalau tu aisee nimepokea kitu kikubwa kutoka kwako asante sana brother
Wazo zuli sana nimelipenda kalibu tuzungumze vizuli tunaweza japo kuunda japo kundi dogo la watu japo10 and then tuone tunavyo weza kubadilishana uzoefu
BIG UP BROTHER HUWA NAKUSIKILIZAA KWA SAUTII YA MWISHOO NISIPOFUNGUA SAUTII MPK MWISHOO NAHIS KM SITAKUELEWA BLESSED BROTHER nmecoment kwa herufi. kubwa
I am being entertained with da lesson my brother. Guess what ? I am going through such situation of incompatibility but I handle this. You know we speakers are philosophers and Psychologist. Nice job Thank you.#Ramadhan Mkuga. TH-cam @MKUGA LIVE.
Leo bro nachangia kwa mara ya Kwanza nimekuelewa Sana ezden may Allah akuzidishie.. natamani kua na rafiki kama wewe nikupende kwa ajili ya Mungu.Maana ukiwa na rafiki muuza utuli basi na wewe utanukia.maana pia napenda kusoma vitabu lakini nakua mzito.nnakitabu kimoja nimenza mda lakini sikimalizi cha Robert Schuller.tough time never end but tough people do
Yani kaka Ezden somo lilopita na hili leo Ukweli ni komesho tangu nimeaza kukufuatilia Mana kuna baadhi yetu kuachana na mtu asie endana nae ni kama dhambi hadi anakuja kugundua kuwa hakuwa mtu sahihi uzee anao na kashapoteza fursa nyingi Jazzakallah kher
Asalam aleykum! Nashukuru sana kwa darasa kaka pia nimefurah kwa kuwepo point kwenye screen mana inatusaidia sana ambao huwa tunakaa na madaftar na kalam mezani Mi naomba uwekaji wa point kwenye screen iwe endelevu
This is a nice one bro. But my questions ere; you may abide with incompatibility btn you and your coworker but what if you find it existing btn you and your boss? Sometimes it can be existing btn you and your wife. How will go about it?
Hi! Watum..thank you very much for your inputs. There's a point I've explained in here that when such things happen then you're the one to understand to avoid collision between you.
Hapo 11:30 yani uwiiii umenigusa kunajiran yangu flan yeye hajali kabisa misimamo ya wengine yani mfano anaweza mwaga maji aliyooshea samaki uwanjani akiambiwa 'si ukamwage huko shimoni' jaman kaka ezden atakuja juu huyo 'Mniache jamani shombo tu imekuwa shida sasa ningemwaga mavi ingekuwaje si mngeniamisha mtaa mwisho anamalizia mnajiona wasaafi eti "usafi huyo kwiyo". Ngoja niongeze sauti nipo nae hapa kibarazani asikie.
Kaelezea nenda na nia ya kile unachokitaka kwa boss wako kupitia kile anachokipenda ww! But hiii clip ni nzuri katika watu unaokua nao kalbu kama marafiki
Saf sana
Hongera Sana kaka mafundisho yako yanatujenga na kutuimarisha sehemu kubwa ya ufahamu wetu
Nashukuru sana na karibu sana
Allah akuzidishiye xna na uzidi kutu elimishia.katik uwislamu tuna sema jazaaka Allahu khira.
Ahsante Sana jaman maana umenisaidia kutambua udhaifu Wangu barikiwe sana
That's good lesson bro, thank you.
Mm nashukuru sana kwa somo lako zuri maana nazidi Kubadika nlikua mtu wa kulalamika sana na iyo tabia ya kuamini kua mtu ananizalau hasa mdogo angu akiongea akimaliza tu mimi namuambia haya bhana we nizalau tu aisee nimepokea kitu kikubwa kutoka kwako asante sana brother
Pole sana
asante sana , ninarafiki na tunafanya kazi moja ila tunapishana kwenyematumizi ya muda, nashkuru umenifundisha cha kufanya.
It's very helpful thank you my Brother Ezden be blessed 🙏🙏
Pamoja sana kaka
Natamn tuungane wote tunaonglia masomo yako tuunde Darasa ili tufundishwe zaidi maaana wew ni💪
Wazo zuli sana nimelipenda kalibu tuzungumze vizuli tunaweza japo kuunda japo kundi dogo la watu japo10 and then tuone tunavyo weza kubadilishana uzoefu
Somo hili Lina ukweli 100% shukran Sana
Nafurahi sana mafundisho yako nafatiria kila ukiyatoa
Asante sana bro kwa madini unayotupa
BIG UP BROTHER HUWA NAKUSIKILIZAA KWA SAUTII YA MWISHOO NISIPOFUNGUA SAUTII MPK MWISHOO NAHIS KM SITAKUELEWA BLESSED BROTHER
nmecoment kwa herufi. kubwa
I am being entertained with da lesson my brother. Guess what ? I am going through such situation of incompatibility but I handle this. You know we speakers are philosophers and Psychologist. Nice job Thank you.#Ramadhan Mkuga. TH-cam @MKUGA LIVE.
Kaka unanifanya nimekuelewa zaid asant
Mashaalah katika masomo yako nnayoyapenda somo hili limeahika bendera.nimejifunza sanaaa haisemeki.mungu azidi kukupa nguvu uwendelee in shaa Allah.
Mashallah mchango wamafanikio yangu uooshauri wako
Nakupata San kaka mada zako nazikubali Sana umefanya Mimi Mara nyingi nanunua bando ili niangalie ni mada gani umetuandalia mungu akubarik Sana kaka
Nimejifunza vitu vingi sana kutoka kwako, God bless you
Shukran sana kwakweli umenigusa kwakweli.
Thenks my bradha 😍😍adi nimecheka kwakweli dah umenikumbusha mbali sana 🤩🤩🤩
Leo bro nachangia kwa mara ya Kwanza nimekuelewa Sana ezden may Allah akuzidishie.. natamani kua na rafiki kama wewe nikupende kwa ajili ya Mungu.Maana ukiwa na rafiki muuza utuli basi na wewe utanukia.maana pia napenda kusoma vitabu lakini nakua mzito.nnakitabu kimoja nimenza mda lakini sikimalizi cha Robert Schuller.tough time never end but tough people do
Shukran sana brother
Great 👍👍
I like your wise teachings,,,
Nice subject
each one teach one thank you brother God bless you brother
Kaka Nakupenda kwa ajili ya allah unanifingua sana kiakili
we bro unajuw San maan somo lak nimeelewa san
Shukran sana
Mungu akujalie tunazidi kuelimika
Nimara ya Kwanza leo kuksikiliza lkn umenielimisha kitu kikubwa saaana shukran saaana nitasikiliza zooote upo sawa
U are awesome
Zidi kutupatia madini bro allah atakufanyia wepesi inshaallah
Asante kwa darasa
Nice sana kaka
Asante sana kwa ushauri kaka
Uko sawa
Thanks a lot kaka kwa somo la leo limefungua akili na jinsi ya kuishi na watu wsshindani yani mtu anataka umskize yeye.
Masha Allah Somo Zuri Sana
thank you teacher
Shukran kwa somo zuri
Yani kaka Ezden somo lilopita na hili leo
Ukweli ni komesho tangu nimeaza kukufuatilia
Mana kuna baadhi yetu kuachana na mtu asie endana nae ni kama dhambi hadi anakuja kugundua kuwa hakuwa mtu sahihi uzee anao na kashapoteza fursa nyingi
Jazzakallah kher
Asalam aleykum!
Nashukuru sana kwa darasa kaka pia nimefurah kwa kuwepo point kwenye screen mana inatusaidia sana ambao huwa tunakaa na madaftar na kalam mezani
Mi naomba uwekaji wa point kwenye screen iwe endelevu
Naungana nanyi kuhusu munguhapendi tufanane sanaaa ndomaana finga print haziendani dunia mzima
Kwenye simu zetu za Tecno fingerprint zinaingiliana tu 😅😅
Nice
Kaka nakuelewa sana
Kaka nimekusoma vizur sana tupo pamoja
Kaka masomo yako vzr nimekuwa nikiyafwatilia sanaaa big up na MUNGU aendelee kukuinua
Very true Kaka...ASANTE KWA MAFUNDISHO YAKO MAZURI
shukran...
Edzen wewe wakwache aisee,nilikufuatilia mda mrefu, leo nishawishika nikwambie bayana, we mwalimu mzuri.
Ukiona mnaendana lazima mtasikirizana, Brother tunaendana kimaadili ndiyo maana napenda kujifunza kwako
Shukrani nime elewaa
Thank you
Thanks brother
Barikiwa brother
Respect for you
kiukwel broo tangu naanza kukfatilia nimebadirika sana nakushuru sana
Kabisa
much love from kenya uko juu sana kaka
Wisdom words sir ❣️
It really what you talk and I have those friends
This is a nice one bro. But my questions ere; you may abide with incompatibility btn you and your coworker but what if you find it existing btn you and your boss?
Sometimes it can be existing btn you and your wife. How will go about it?
Hi! Watum..thank you very much for your inputs. There's a point I've explained in here that when such things happen then you're the one to understand to avoid collision between you.
Iko pouwa sana nimejifunza kitu kutoka kwako
Berry well
Haaha hahaahaha Ezden
nipo hapa,nimejiunga..
Nipo pamoja na wewe brother
Mbona unaeleza vitu sahihi lakin ni tofauti kichwa cha habari
Edzen mi najofunza sana kupitia ww nmepiga hatua xna
😊😊yan ni kweli kabisa Kaka nipo kwenye hali hizo zote ninaish nae 😊😊
Ukweli unao bro tufundishe ili tujielewe ktk maisha
Hapo 11:30 yani uwiiii umenigusa kunajiran yangu flan yeye hajali kabisa misimamo ya wengine yani mfano anaweza mwaga maji aliyooshea samaki uwanjani akiambiwa 'si ukamwage huko shimoni' jaman kaka ezden atakuja juu huyo 'Mniache jamani shombo tu imekuwa shida sasa ningemwaga mavi ingekuwaje si mngeniamisha mtaa mwisho anamalizia mnajiona wasaafi eti "usafi huyo kwiyo". Ngoja niongeze sauti nipo nae hapa kibarazani asikie.
Pamoja sana kaka
Saf
👍
Leo umeongea fact sana bro'
Huo ni Ukweli kabisa brother, Research yako iko sawa maana hayo yote yapo twayaona.
daaa kwakweli umenielimisha sana
asalaamg'alayk Mr Ezden dah leo umepiga ikulu brother napataje hicho kitabu
👋👋👋👋👋👍👍👌
Woo
🙏👌🥰
We jamaa unajuwa xanaaa than joel
Du wapo weng sana kdg umenizarau hata umuleze vp haelewi.
Kaka somo lako linaeleweka Sana
Video zako nzuri ila nakushauri wakati unatoa point weka Hata na kapicha ili uongeze ubunifu..kuliko kuongea mwanzo mwisho
Umeongea point kaka kila siku tunao hawa watu 🤝
Kweli kabisa uliosema yako sawa maana unaweza kupanga jambo na mwenzio halafu analiona halifai
Nmekusoma.tunakuwapa tangu le
Mtaji ninao japokuwa mdogo ila naamini unatoaha sana kuwanza
Umenifunza mambo muhimu kwa maisha yngu😍
brother nikuulize kitu uko mkoa gani apa Tanzania
Hiyonikwelii kabisaa katika hayoo uliyosema mimisehemu 3 nisawasawa kamaulikuwepo umeyaona kwamaana umesema sahihikabisaaa
Sasa km siendani na boss wangu mwajili wangu,nifanye Nini!!!?
Kaelezea nenda na nia ya kile unachokitaka kwa boss wako kupitia kile anachokipenda ww! But hiii clip ni nzuri katika watu unaokua nao kalbu kama marafiki
#EachOneTeachOne
yeap🙏🙏🙏LIVE MOREE
Its ok
Saf san
Tupo pamoja kaka , hili Somo limenigusa mahali fulani apa.mana nilitaka kuingia kwenye mgogoro mkubwa!!!!nashkuru sana!!?? .
Iko poa kaka
😀😀wallahi kweli kaka