SIRI YA MAFANIKIO ILIYOSAHAULIKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 147

  • @christophermartin9173
    @christophermartin9173 4 ปีที่แล้ว +3

    Saf sana

  • @IbrahimSaleh-of4vq
    @IbrahimSaleh-of4vq 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana kaka mafundisho yako yanatujenga na kutuimarisha sehemu kubwa ya ufahamu wetu

  • @karimabdoul7619
    @karimabdoul7619 4 ปีที่แล้ว +3

    Allah akuzidishiye xna na uzidi kutu elimishia.katik uwislamu tuna sema jazaaka Allahu khira.

  • @eliyaetlawe9116
    @eliyaetlawe9116 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana jaman maana umenisaidia kutambua udhaifu Wangu barikiwe sana

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi4882 4 ปีที่แล้ว +3

    That's good lesson bro, thank you.

  • @vidahnyandindi9622
    @vidahnyandindi9622 4 ปีที่แล้ว +1

    Mm nashukuru sana kwa somo lako zuri maana nazidi Kubadika nlikua mtu wa kulalamika sana na iyo tabia ya kuamini kua mtu ananizalau hasa mdogo angu akiongea akimaliza tu mimi namuambia haya bhana we nizalau tu aisee nimepokea kitu kikubwa kutoka kwako asante sana brother

  • @kulwabuhili9445
    @kulwabuhili9445 4 ปีที่แล้ว

    asante sana , ninarafiki na tunafanya kazi moja ila tunapishana kwenyematumizi ya muda, nashkuru umenifundisha cha kufanya.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว +3

    It's very helpful thank you my Brother Ezden be blessed 🙏🙏

  • @rosemakamba499
    @rosemakamba499 4 ปีที่แล้ว +3

    Natamn tuungane wote tunaonglia masomo yako tuunde Darasa ili tufundishwe zaidi maaana wew ni💪

    • @nulujackson44
      @nulujackson44 3 ปีที่แล้ว

      Wazo zuli sana nimelipenda kalibu tuzungumze vizuli tunaweza japo kuunda japo kundi dogo la watu japo10 and then tuone tunavyo weza kubadilishana uzoefu

  • @babyhamisi5331
    @babyhamisi5331 4 ปีที่แล้ว +1

    Somo hili Lina ukweli 100% shukran Sana

  • @shadow4real868
    @shadow4real868 2 ปีที่แล้ว +1

    Nafurahi sana mafundisho yako nafatiria kila ukiyatoa

  • @hozambura5488
    @hozambura5488 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana bro kwa madini unayotupa

  • @fredpetter9457
    @fredpetter9457 4 ปีที่แล้ว +3

    BIG UP BROTHER HUWA NAKUSIKILIZAA KWA SAUTII YA MWISHOO NISIPOFUNGUA SAUTII MPK MWISHOO NAHIS KM SITAKUELEWA BLESSED BROTHER
    nmecoment kwa herufi. kubwa

  • @successdna5644
    @successdna5644 4 ปีที่แล้ว +3

    I am being entertained with da lesson my brother. Guess what ? I am going through such situation of incompatibility but I handle this. You know we speakers are philosophers and Psychologist. Nice job Thank you.#Ramadhan Mkuga. TH-cam @MKUGA LIVE.

    • @sashasheyz3731
      @sashasheyz3731 3 ปีที่แล้ว

      Kaka unanifanya nimekuelewa zaid asant

  • @amarislam1589
    @amarislam1589 4 ปีที่แล้ว

    Mashaalah katika masomo yako nnayoyapenda somo hili limeahika bendera.nimejifunza sanaaa haisemeki.mungu azidi kukupa nguvu uwendelee in shaa Allah.

  • @reyboy7187
    @reyboy7187 3 ปีที่แล้ว +1

    Mashallah mchango wamafanikio yangu uooshauri wako

  • @juliussimiyoylaizer8341
    @juliussimiyoylaizer8341 4 ปีที่แล้ว

    Nakupata San kaka mada zako nazikubali Sana umefanya Mimi Mara nyingi nanunua bando ili niangalie ni mada gani umetuandalia mungu akubarik Sana kaka

  • @saidkamba25
    @saidkamba25 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza vitu vingi sana kutoka kwako, God bless you

  • @saidmbujo1643
    @saidmbujo1643 4 ปีที่แล้ว

    Shukran sana kwakweli umenigusa kwakweli.

  • @omanmwajabumbeguoman8642
    @omanmwajabumbeguoman8642 2 ปีที่แล้ว

    Thenks my bradha 😍😍adi nimecheka kwakweli dah umenikumbusha mbali sana 🤩🤩🤩

  • @chedegokapacha9161
    @chedegokapacha9161 4 ปีที่แล้ว +1

    Leo bro nachangia kwa mara ya Kwanza nimekuelewa Sana ezden may Allah akuzidishie.. natamani kua na rafiki kama wewe nikupende kwa ajili ya Mungu.Maana ukiwa na rafiki muuza utuli basi na wewe utanukia.maana pia napenda kusoma vitabu lakini nakua mzito.nnakitabu kimoja nimenza mda lakini sikimalizi cha Robert Schuller.tough time never end but tough people do

  • @salmaswedi7107
    @salmaswedi7107 4 ปีที่แล้ว

    Shukran sana brother

  • @abdoulkarim2964
    @abdoulkarim2964 3 ปีที่แล้ว

    Great 👍👍

  • @corneliusmasita2643
    @corneliusmasita2643 4 ปีที่แล้ว

    I like your wise teachings,,,

  • @rafaelharubu3533
    @rafaelharubu3533 4 ปีที่แล้ว

    Nice subject

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 4 ปีที่แล้ว

    each one teach one thank you brother God bless you brother

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 4 ปีที่แล้ว +1

    Kaka Nakupenda kwa ajili ya allah unanifingua sana kiakili

  • @AZiziSalumu-xb3lq
    @AZiziSalumu-xb3lq หลายเดือนก่อน

    we bro unajuw San maan somo lak nimeelewa san

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sana

  • @abdulyardang4628
    @abdulyardang4628 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akujalie tunazidi kuelimika

  • @safiasuleiman3119
    @safiasuleiman3119 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimara ya Kwanza leo kuksikiliza lkn umenielimisha kitu kikubwa saaana shukran saaana nitasikiliza zooote upo sawa

  • @safiudabakari8066
    @safiudabakari8066 4 ปีที่แล้ว

    U are awesome

  • @shadyseengaiz5489
    @shadyseengaiz5489 4 ปีที่แล้ว +3

    Zidi kutupatia madini bro allah atakufanyia wepesi inshaallah

  • @rukiahamdan22
    @rukiahamdan22 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa darasa

  • @mutwalesylvie7443
    @mutwalesylvie7443 4 ปีที่แล้ว

    Nice sana kaka

  • @asantekwahuuwimbozubeda873
    @asantekwahuuwimbozubeda873 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa ushauri kaka

  • @wardahally8003
    @wardahally8003 2 ปีที่แล้ว

    Uko sawa

  • @MmMm-kv2mz
    @MmMm-kv2mz 4 ปีที่แล้ว

    Thanks a lot kaka kwa somo la leo limefungua akili na jinsi ya kuishi na watu wsshindani yani mtu anataka umskize yeye.

  • @ommarysaid7391
    @ommarysaid7391 4 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah Somo Zuri Sana

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 4 ปีที่แล้ว

    thank you teacher

  • @youngjmstaarabu2559
    @youngjmstaarabu2559 4 ปีที่แล้ว

    Shukran kwa somo zuri

  • @aishamaulidi4679
    @aishamaulidi4679 4 ปีที่แล้ว +1

    Yani kaka Ezden somo lilopita na hili leo
    Ukweli ni komesho tangu nimeaza kukufuatilia
    Mana kuna baadhi yetu kuachana na mtu asie endana nae ni kama dhambi hadi anakuja kugundua kuwa hakuwa mtu sahihi uzee anao na kashapoteza fursa nyingi
    Jazzakallah kher

  • @karaudionchabwakaraudionch8266
    @karaudionchabwakaraudionch8266 4 ปีที่แล้ว +2

    Asalam aleykum!
    Nashukuru sana kwa darasa kaka pia nimefurah kwa kuwepo point kwenye screen mana inatusaidia sana ambao huwa tunakaa na madaftar na kalam mezani
    Mi naomba uwekaji wa point kwenye screen iwe endelevu

  • @nembua
    @nembua 4 ปีที่แล้ว

    Naungana nanyi kuhusu munguhapendi tufanane sanaaa ndomaana finga print haziendani dunia mzima

    • @maccqeyjr.4035
      @maccqeyjr.4035 4 ปีที่แล้ว

      Kwenye simu zetu za Tecno fingerprint zinaingiliana tu 😅😅

  • @gemaonlinetv9149
    @gemaonlinetv9149 3 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @mirajihusseyn1861
    @mirajihusseyn1861 3 ปีที่แล้ว +1

    Kaka nakuelewa sana

  • @honestmsoma2807
    @honestmsoma2807 4 ปีที่แล้ว

    Kaka nimekusoma vizur sana tupo pamoja

  • @stanleygeoffrey8264
    @stanleygeoffrey8264 4 ปีที่แล้ว

    Kaka masomo yako vzr nimekuwa nikiyafwatilia sanaaa big up na MUNGU aendelee kukuinua

  • @raymondtemu6207
    @raymondtemu6207 4 ปีที่แล้ว +1

    Very true Kaka...ASANTE KWA MAFUNDISHO YAKO MAZURI

  • @zeynatkatimba5650
    @zeynatkatimba5650 4 ปีที่แล้ว

    shukran...

  • @sakiukitv
    @sakiukitv 4 ปีที่แล้ว

    Edzen wewe wakwache aisee,nilikufuatilia mda mrefu, leo nishawishika nikwambie bayana, we mwalimu mzuri.

  • @mmbatizaji8075
    @mmbatizaji8075 4 ปีที่แล้ว

    Ukiona mnaendana lazima mtasikirizana, Brother tunaendana kimaadili ndiyo maana napenda kujifunza kwako

  • @alimwalim5651
    @alimwalim5651 4 ปีที่แล้ว

    Shukrani nime elewaa

  • @celyneborres5946
    @celyneborres5946 3 ปีที่แล้ว

    Thank you

  • @aishafahdi8355
    @aishafahdi8355 4 ปีที่แล้ว

    Thanks brother

  • @meleniaelikana7345
    @meleniaelikana7345 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa brother

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 4 ปีที่แล้ว

    Respect for you

  • @charlesleonce2462
    @charlesleonce2462 4 ปีที่แล้ว

    kiukwel broo tangu naanza kukfatilia nimebadirika sana nakushuru sana

  • @Jouniorkids_
    @Jouniorkids_ 4 ปีที่แล้ว

    Kabisa

  • @kassimali1477
    @kassimali1477 4 ปีที่แล้ว

    much love from kenya uko juu sana kaka

  • @josloitalal4774
    @josloitalal4774 4 ปีที่แล้ว +1

    Wisdom words sir ❣️

  • @ismailkesi130
    @ismailkesi130 4 ปีที่แล้ว +1

    It really what you talk and I have those friends

  • @watumnjangu8312
    @watumnjangu8312 4 ปีที่แล้ว +3

    This is a nice one bro. But my questions ere; you may abide with incompatibility btn you and your coworker but what if you find it existing btn you and your boss?
    Sometimes it can be existing btn you and your wife. How will go about it?

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  2 ปีที่แล้ว

      Hi! Watum..thank you very much for your inputs. There's a point I've explained in here that when such things happen then you're the one to understand to avoid collision between you.

  • @mashakalawrence1363
    @mashakalawrence1363 4 ปีที่แล้ว

    Iko pouwa sana nimejifunza kitu kutoka kwako

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 4 ปีที่แล้ว

    Berry well

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 2 ปีที่แล้ว

    Haaha hahaahaha Ezden

  • @nelibaba
    @nelibaba 4 ปีที่แล้ว

    nipo hapa,nimejiunga..

  • @hassaniiddi3345
    @hassaniiddi3345 2 ปีที่แล้ว

    Nipo pamoja na wewe brother

  • @gambeshimzungu7629
    @gambeshimzungu7629 4 ปีที่แล้ว

    Mbona unaeleza vitu sahihi lakin ni tofauti kichwa cha habari

  • @jezzagess7968
    @jezzagess7968 3 ปีที่แล้ว

    Edzen mi najofunza sana kupitia ww nmepiga hatua xna

  • @sharifarajabu7255
    @sharifarajabu7255 4 ปีที่แล้ว

    😊😊yan ni kweli kabisa Kaka nipo kwenye hali hizo zote ninaish nae 😊😊

  • @FilbertMkoma
    @FilbertMkoma 5 หลายเดือนก่อน

    Ukweli unao bro tufundishe ili tujielewe ktk maisha

  • @ifah5100
    @ifah5100 4 ปีที่แล้ว +1

    Hapo 11:30 yani uwiiii umenigusa kunajiran yangu flan yeye hajali kabisa misimamo ya wengine yani mfano anaweza mwaga maji aliyooshea samaki uwanjani akiambiwa 'si ukamwage huko shimoni' jaman kaka ezden atakuja juu huyo 'Mniache jamani shombo tu imekuwa shida sasa ningemwaga mavi ingekuwaje si mngeniamisha mtaa mwisho anamalizia mnajiona wasaafi eti "usafi huyo kwiyo". Ngoja niongeze sauti nipo nae hapa kibarazani asikie.

  • @mpeliakhim3770
    @mpeliakhim3770 4 ปีที่แล้ว

    Pamoja sana kaka

  • @zakiahaeuna1849
    @zakiahaeuna1849 3 ปีที่แล้ว

    👍

  • @rafikigeorge3204
    @rafikigeorge3204 4 ปีที่แล้ว +2

    Leo umeongea fact sana bro'

  • @khalifalutonja6125
    @khalifalutonja6125 4 ปีที่แล้ว +2

    Huo ni Ukweli kabisa brother, Research yako iko sawa maana hayo yote yapo twayaona.

  • @mwatanojongo9306
    @mwatanojongo9306 2 ปีที่แล้ว

    daaa kwakweli umenielimisha sana

  • @swabriissa2034
    @swabriissa2034 4 ปีที่แล้ว

    asalaamg'alayk Mr Ezden dah leo umepiga ikulu brother napataje hicho kitabu

  • @gadoboytv424
    @gadoboytv424 4 ปีที่แล้ว

    👋👋👋👋👋👍👍👌

  • @esthermrambamramba1570
    @esthermrambamramba1570 4 ปีที่แล้ว

    Woo

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo 2 ปีที่แล้ว

    🙏👌🥰

  • @emmyjay4482
    @emmyjay4482 4 ปีที่แล้ว +1

    We jamaa unajuwa xanaaa than joel

  • @mariamomari2864
    @mariamomari2864 4 ปีที่แล้ว

    Du wapo weng sana kdg umenizarau hata umuleze vp haelewi.

  • @mathayoolekosiando1515
    @mathayoolekosiando1515 4 ปีที่แล้ว

    Kaka somo lako linaeleweka Sana

  • @cassyaugust4585
    @cassyaugust4585 4 ปีที่แล้ว +1

    Video zako nzuri ila nakushauri wakati unatoa point weka Hata na kapicha ili uongeze ubunifu..kuliko kuongea mwanzo mwisho

  • @jovinmutakumwa9611
    @jovinmutakumwa9611 4 ปีที่แล้ว

    Umeongea point kaka kila siku tunao hawa watu 🤝

    • @asantekwahuuwimbozubeda873
      @asantekwahuuwimbozubeda873 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa uliosema yako sawa maana unaweza kupanga jambo na mwenzio halafu analiona halifai

  • @edsonnyangwalasckapinascka8202
    @edsonnyangwalasckapinascka8202 4 ปีที่แล้ว

    Nmekusoma.tunakuwapa tangu le

  • @billmoneysuleiman2141
    @billmoneysuleiman2141 3 ปีที่แล้ว

    Mtaji ninao japokuwa mdogo ila naamini unatoaha sana kuwanza

  • @designermoherdin5412
    @designermoherdin5412 4 ปีที่แล้ว

    Umenifunza mambo muhimu kwa maisha yngu😍

  • @ismailysaid5352
    @ismailysaid5352 4 ปีที่แล้ว

    brother nikuulize kitu uko mkoa gani apa Tanzania

  • @kadogoomushadi5409
    @kadogoomushadi5409 4 ปีที่แล้ว

    Hiyonikwelii kabisaa katika hayoo uliyosema mimisehemu 3 nisawasawa kamaulikuwepo umeyaona kwamaana umesema sahihikabisaaa

  • @luhanyamipawantobi6888
    @luhanyamipawantobi6888 4 ปีที่แล้ว +3

    Sasa km siendani na boss wangu mwajili wangu,nifanye Nini!!!?

    • @harveymafwele7311
      @harveymafwele7311 4 ปีที่แล้ว

      Kaelezea nenda na nia ya kile unachokitaka kwa boss wako kupitia kile anachokipenda ww! But hiii clip ni nzuri katika watu unaokua nao kalbu kama marafiki

  • @katemajr9374
    @katemajr9374 4 ปีที่แล้ว

    #EachOneTeachOne

  • @giftmjema5864
    @giftmjema5864 4 ปีที่แล้ว

    yeap🙏🙏🙏LIVE MOREE

  • @ramadhaniathumani1601
    @ramadhaniathumani1601 4 ปีที่แล้ว

    Its ok

  • @zakiahaeuna1849
    @zakiahaeuna1849 3 ปีที่แล้ว

    Saf san

  • @floraabiero8876
    @floraabiero8876 4 ปีที่แล้ว

    Tupo pamoja kaka , hili Somo limenigusa mahali fulani apa.mana nilitaka kuingia kwenye mgogoro mkubwa!!!!nashkuru sana!!?? .

  • @jumakaruma3615
    @jumakaruma3615 4 ปีที่แล้ว

    Iko poa kaka

  • @mwfn3254
    @mwfn3254 4 ปีที่แล้ว

    😀😀wallahi kweli kaka