Nimekuwa kwenye wakati mungu sana lakini by that time I can't believe my eyes that problem make me to be more n more courageous n draw me closer to God Sasa tatizo linalo tupata lazima kuna ujasiri fulani utatokezea Asante sana brother for that tips
Nilikuwa napitia kwenye situation ngumu stress Ila nilivyo anza kutazama video zako success path Nimejifunza kuwa changamoto ni sehem ya maisha Haina budi kukabiliana nazo Asante sana kaka
Salout kwako mkuu najifunza mengi sana kupitia wewe,na nahisi kabisa maisha yangu yanabadilika taratibu ninapokufuatilia mada zako.Ahsante sana mkuu Mungu akubariki.
Jambo kaka, hongera kwa kazi zuri.nimekua nikijaribu kujiendeleza kibiashara. Kusave pesa na pia kujaribu kupata labda ujuzi ili nifikie lengo langu nifanye nimefanya yote ila sikufaulu Sasa niko nafikiria kuacha kazi ninayo fanya yakuajiriwa ili nifanye kazi za part time then niaze kupika chakula na kuuza bt niko Oman nipe wazo tafadhali Asante
WHATSAPP GROUP & BUSINESS: Kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza hapa : chat.whatsapp.com/JefLwp7YinU6PwSwsJYJs2 . Kama una ujumbe wowote. Kuhitaji ushauri. Au biashara. Kuhitaji tangazo. Kutangaza kwenye chaneli yetu. Tuma whatsapp text hapa : . (+255)759191076
Asante sana kaka EZDEN nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu
Indeed Bro gratitude is a very powerful weapon we should all have it and use on our success journey, May ALLAH Bless you And your entire Team of Success Path Network.🙏🙏🙏
Brother Ezden asante kwa msaada wako, sote hali kama hiyo imetuandama kabisaaa ila baad ya mafunzo kutoka kwako nimeelewa something important ni Sadiki kutoka SA (south Africa) ongera sana kk
Kiukwel mafunzo yako yamenibadilisha sn najiona mbali sana ubarikiwe mungu azid kkupa hekima za kufikili ili upambanue changamoto zetu zinazotusonga kila ck
Brod me niseme 2 nashukuru sana kwa elimu unayo 2patia sina cha kukulipa ira 2 nashukuru sana tena sana mungu akubaliki na akupe maisha malefu na yenye manikio
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Asante sana Anifa Shabani kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
KUJIUNGA NA GROUP LANGU LA WHATSAPP. TUMA MESEJI YA WHATSAPP HAPA 0759191076. Tafadhali usipige wala usitume text ya kawaida.
Success Path jambo Kaka nilikuwa uliza kama mtu anaweza kufungua bank Tanzania namtu uko American kama niwezikana nafanyaje haste
@@koletajeanne8824 whatsapp me tuongee zaidi +255759191076
Haste
Naomba mawazo namna ya kuuza bidhaa online ....hasa nguo
Success Path 0746664439
Nimekuwa kwenye wakati mungu sana lakini by that time I can't believe my eyes that problem make me to be more n more courageous n draw me closer to God Sasa tatizo linalo tupata lazima kuna ujasiri fulani utatokezea Asante sana brother for that tips
Asante sana kwa ku-share experience yako. Ni kweli kabisa kuna faida kubwa ya kuvuna katika nyakati ngumu
Mashaallah kaka ipo vizuri sana
Nilikuwa napitia kwenye situation ngumu stress
Ila nilivyo anza kutazama video zako success path Nimejifunza kuwa changamoto ni sehem ya maisha
Haina budi kukabiliana nazo
Asante sana kaka
Salout kwako mkuu najifunza mengi sana kupitia wewe,na nahisi kabisa maisha yangu yanabadilika taratibu ninapokufuatilia mada zako.Ahsante sana mkuu Mungu akubariki.
Jambo kaka, hongera kwa kazi zuri.nimekua nikijaribu kujiendeleza kibiashara. Kusave pesa na pia kujaribu kupata labda ujuzi ili nifikie lengo langu nifanye nimefanya yote ila sikufaulu Sasa niko nafikiria kuacha kazi ninayo fanya yakuajiriwa ili nifanye kazi za part time then niaze kupika chakula na kuuza bt niko Oman nipe wazo tafadhali Asante
WHATSAPP GROUP & BUSINESS:
Kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza hapa : chat.whatsapp.com/JefLwp7YinU6PwSwsJYJs2
.
Kama una ujumbe wowote. Kuhitaji ushauri. Au biashara. Kuhitaji tangazo. Kutangaza kwenye chaneli yetu. Tuma whatsapp text hapa :
.
(+255)759191076
Asante sana kaka EZDEN nimejifunza mengi sana kutoka kwako mpaka naamua kukuita mwalimu Mimi naitwa Daniel Gabriel nilipata ajali iliyopelekea mwili mzima kupooza lakini na ndoto ya kua motivational speaker niweze kuwa inspire wenye ulemavu kama wangu au wanao pitia changamoto mbalimbali naomba nisaidie support yako mwalimu
barikiwa sana yani hili somo limenifikia kwenye kipindi cha maisha uliyoyafundisha ndio niliua napitia kwa sasa nimepata nguvu mpya asante sana
Shukran kwa elimu nzuri
Dah kuna kitu kikubwa sana nime jifunza kwako shukran👌
Indeed Bro gratitude is a very powerful weapon we should all have it and use on our success journey, May ALLAH Bless you And your entire Team of Success Path Network.🙏🙏🙏
Mungu akubarki sana
Okey , . Ndungu leo nimejua ya kwamba matatizo ni kama mitihni, . So ukifahlu umeshinda, . Wow,. Ahsante sana.
Asante Sana kwa kutuponya doctor
Nimekupenda Brother
Asante kazi nzuri
Masha Allah 👏 👏
Shukraan brother Allah atakulipa ❤️❤️❤️🌹🌹
Umenitoaa sehemu moja kwenda nyingine umeniongezeaa nguvu sana yakuvuka nilikosasa nimejiona mwepesi sana nashukuru
Shukran sana
Shukran brother
Useful articles never get old !!
MashaAllah! Mimi nmeanza kuangalia video zako si muda mrefu bt nmependa sana Allah akuongoze ktk Kaz yako insha'allah.
Asantee sana kaka ezden jumanne
Kwa darasa zuri nimejifunza kushukuru asantee nashukuru kaka ezden
Shukran,kaka Ezden nimepata faraja na mafunzu kwa magumu ninayopitia. Mungu akubariki🙏
Asante Sana ni Kama unajua unaongea na walioathilika umetuponya wengi kwa kwa hili somo
Nakusikiliza nikiwa Tz Asante Sana kwa elimu Unayo kuza ufahamu na uelewa
Pamoja sana ndugu yangu
Shukuran sana kaka Eziden nakupata vizuri sana, Allah akupe umri mrefu wenye manufaa, Nimejifunza kitu nahisi kilicho nisumbua takribani miaka yote
thanks
Kk ubarikiwe mno nimefarijika mno nilikuwa mtu wa tofauti ktk hii dunia Asante 🙏.
Karibu sana
Shukran
Asante sana kaka hakika najifunza vitu vingi sana kupitia mafundisho yako.🙏
Nakubaliana na wewe bro. Watu wengi hufeli kimaisha kwasababu ya ‘’NEGATIVITY’’. Kukanusha au kujishuku ni adui wa maendeleo ya mtu na watu pia.
Yaani nimejikuta nafurahi peke yangu Leo..maana unifunza kitu kikubwa sana kwenye maisha yangu..ahsante sana ezde
Nainjoy sanaa
Shkran sanaaa bro this success path is like a class to me because ever time i meet you I come up with new things may Allah bless you 🙏 ❤️
Brother Ezden asante kwa msaada wako, sote hali kama hiyo imetuandama kabisaaa ila baad ya mafunzo kutoka kwako nimeelewa something important ni Sadiki kutoka SA (south Africa) ongera sana kk
Shukran sana hiyo sahihi kabisaa shukran kwamungu nimuhim sana japo unacho.kidogo
Ahsante kwa kujitole kutuelimisha
NAAM VI PI KUHUSU MWANA UMME AKIOWA AKIRIYAKE INASAFIKA AU NAMWANAMKE AKIOREWA AKIRIYAKE INASAFIKA AU جزاکللهخيړا SHUKRAN
Thank you brother God bless you
Asante kwa mawazo mazur sana
Shukran sana kaka EZDEN mwenyez mungu akutie nguvu kwenye kazi zako
Shukrani sana
Kaka nahitaji ushauri wako sana ntakutafuta kwa whasapp shukran god bless you bro
Karibu
Asante sana kaka jumanne leo umenitoa gizani nakuniweka nuruni ubarikiwe sana💚
Helpful
Shukran sana Kaka! Allah akulipe mema yenye Baraka nyng maishan mwako.
aamiin
MashaAllah nakufuatilia kutoka Hapa nchini Kenya. ...
Thanks ndugu yangu hapo 254. Karibu sana
Totoro
Kiukwel mafunzo yako yamenibadilisha sn najiona mbali sana ubarikiwe mungu azid kkupa hekima za kufikili ili upambanue changamoto zetu zinazotusonga kila ck
Gratitude is healthiest,of all...human emotions.
This is powerful message to me,have real learnt somethings that are happening to me but didn't know why?
Nakuelewa vizuri sana maalimu Eziden!
Shukran maalim ezden yani naelewa Sana somo lako pia nalipenda Allah akuhifadhi
Thanks 👏
Naangalia toka Israel.....Ahsante brother kwa mafundisho mazuri
nice
Asante
hahaha tororo
Nakitukibaya sana,nindoa,wazazi,hizi,zikikuharibikia ooo,!! Utaonakifokaribu sana!!
Hongera sana broo nimebadilika sana kwa video zako
Thankfully #Ezden@Jumanne 🤝🤝
Shukrani ezden
Asante sana ezden Allah akujaalie kila kitu na kesho aghera akulipe pepo ya firdaus
❤
Brother nawe pia mungu akubaliki maana madini unayotupa ni zaid ya hela
Brod me niseme 2 nashukuru sana kwa elimu unayo 2patia sina cha kukulipa ira 2 nashukuru sana tena sana mungu akubaliki na akupe maisha malefu na yenye manikio
Maashallah kaka,.Point no.2 Ikoo sawaa Sana'a .......na ndomaana tupoo mpakaa leoo tukiamini labda baadae, keshoo amaa hataa keshoo kutwaa.........Allah atuondoshee hofu kwenyee mioyoo yetu inshallah.
Shukran sana brother,,,each one teach one💪👏🤝👍😘🌺
Asante kaka kwa mfunzo yako
Daaah kiukweli nakushukuru kwa ujumbe mzury sana sina cha kuklipa ira nakuombea maisha mema na yenye mafanikio
Uko fity brother
Shukran nimejifunza kitu
Good advice brooo
Shukran kaka mungu akujalie mwisho mwema🙏
Edzen Mungu akubariki Kwa ushauliwako
Somo zuri sana
point ya kushukuru nimeishika zaidi sababu no matter what we do mwisho yupo anayesimamia
Naam...sahihi
Good
Ni kweli kabisaa kaka asante kwa faida nzuri
Kweli sana kabisa
NICE
Kaka juma nimekuelewa sana asante mungu akujaalie somozuri
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Shukran kaka allah akupe mwisho mwema
aamin
Asante sana Anifa Shabani kwa kufuatilia. Endelea kuwa karibu na usisite kutujulisha kama kuna chochote tunahitaji kuboresha. Na nitafurahi sana kama uta-share link za masomo yetu kwa wengine ambao unajua wanahitaji elimu hii. Stay blessed!
Shukran kaka
Asante sana broo
Brother mungu akufanyie wepesi wakilajamb uzidi kutujenga mawazo chanya
Somo zuri Sanaa kaka ubarikiwe
Apo ni Totoro Ila bro Asante sana mungu akulinde.🙏
Ahsante sana
Aise asante nashukuru kuwa kalibu na wewe
I like you brother Ezden
Honger nakukbali xanaa unafndxha kwel
Asante kaka
I am blessed!
Nimeipenda.
Asante sana kaka.ila ulikua umepotea .asante
Nmekuelew kaka Ezden God bless you🙌
Each one teach one❤❤
Brother your good, you always open up my mind thank you, may god bless you.
#FAIL means (First Attempt In Learning)
So hatutakiwi kuokopa kufail katika maisha
Nashukuru sana kwa shauri kaka EZDEN,
Blaza nakwelewa ❤😂 OK OK
Nakushukuru sana kwa kunipa moyo na ntayatumia ushauri wako
Hakika bro nakuelewa sana an uko vzur sana
Hi Eden, nice and I enjoy your program god bless you
Me nikipokea mshahara unaisha ndani ya siku tatu bila kjua oesa zimeenda wp je nifanyenn kusev pesa zang