JINSI YA KUANZISHA MAZUNGUMZO - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 73

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork 2 ปีที่แล้ว +20

    Somo zuri sana kaka. Na huu ni wakati muafaka sana kwa wengi, kwani wengi ni wahanga wa eneo hili na ujuzi huo. Stay blessed.

  • @SAM-rs1ch
    @SAM-rs1ch 2 ปีที่แล้ว +3

    Njia zote hakika Ni Bora,big up bro

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTv 3 หลายเดือนก่อน

    Ahsante joel

  • @Danielmoyo556
    @Danielmoyo556 2 ปีที่แล้ว +3

    Powerful message
    May the lord bless you bro.

  • @grolyqueen5833
    @grolyqueen5833 2 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante sana kaka joel

  • @ramonawatoto
    @ramonawatoto 2 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana Mwl kwa somo hili.. hakika hii itanisidia sana maana mie ni muhanga katika hili. Ila leo nmejifunza kikubwa sana hapa

  • @LacksonTungaraza
    @LacksonTungaraza ปีที่แล้ว +2

    This is a masterpiece 🙏🙏🙏🧨

  • @antelmbarack4071
    @antelmbarack4071 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka Joel..Udhaifu wangu mmoja wapo, huwa nahisi kama nikijaribu kuanzisha mazungumzo na watu, ni kama vile wanakua bored, nawasumbua. Lakini leo nimejifunza.

  • @richardvalson4313
    @richardvalson4313 ปีที่แล้ว +1

    Somo zuri sana kaka @jJoelNanauka✊💯🙏

  • @ufahamuzaidi2343
    @ufahamuzaidi2343 2 ปีที่แล้ว +2

    Great ideas

  • @HalidimsalaTz
    @HalidimsalaTz 28 วันที่ผ่านมา

    Kaka Joel wewe ni nabii kabisa. Unatupa elimu bila mipaka.

  • @abdulcharles3430
    @abdulcharles3430 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakufuatilia kila siku na Najifunza mengi sana kupitia masomo yako mazuri bro mungu akubaliki sana

  • @sleifikhajjir262
    @sleifikhajjir262 2 ปีที่แล้ว +1

    U are master mind kaka

  • @paschalmashaka8006
    @paschalmashaka8006 2 ปีที่แล้ว +1

    Njia ya kuuliza iko vizur

  • @kissakapesa5977
    @kissakapesa5977 2 ปีที่แล้ว +1

    Somo zuri sana kaka Joel asante

  • @adamjumaah2679
    @adamjumaah2679 2 ปีที่แล้ว +1

    You are the best brother

  • @elimikatv
    @elimikatv 2 ปีที่แล้ว +1

    Real coach Marifa mazuri sana

  • @nehemiakasomoka9469
    @nehemiakasomoka9469 2 ปีที่แล้ว

    KWELI kabisa ,,,,,Brother mm Nahitaji vitabu

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran sana boss. Ume nifungua kitu 🙏

  • @hassanihassani7154
    @hassanihassani7154 ปีที่แล้ว +2

    Nili soma kitabuchako timza malengo zijuembinu za biashara money formula nihatary

  • @illuminatajulius6361
    @illuminatajulius6361 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks bro,, it's a good idea

  • @protasd.massawe8013
    @protasd.massawe8013 ปีที่แล้ว

    Asante kwa somo. Mwalimu!

  • @mwajabuhoza9919
    @mwajabuhoza9919 11 หลายเดือนก่อน

    Haya madini sana 🤩

  • @HELLENLAPUKENI
    @HELLENLAPUKENI 6 หลายเดือนก่อน

    I like❤

  • @mshamba5174
    @mshamba5174 ปีที่แล้ว

    This is true 😮

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukran 📚📚🎙️

  • @markkenneth3937
    @markkenneth3937 2 ปีที่แล้ว

    A
    Asante sana bro Joel mungu akubariki

  • @eddowalker7511
    @eddowalker7511 2 ปีที่แล้ว

    Nakuelewaga sana njia no 2

  • @rehemamalley9557
    @rehemamalley9557 2 ปีที่แล้ว +1

    Nakufuatilia sn bro joel ..may our almighty God bless you moree coz unanifunza mengi sana

  • @elikeysbenjamin7133
    @elikeysbenjamin7133 6 หลายเดือนก่อน

    Somo zuri kaka ..... lakini sijaelewa vizuri sababu umetumia vingeleza vingi kaka ,

  • @mosesmwakabonga2248
    @mosesmwakabonga2248 2 ปีที่แล้ว

    Personally, nmezipenda njia zotee✌️

  • @iizalaw6674
    @iizalaw6674 ปีที่แล้ว

    Thanks so much bro ..umenipa mwanga

  • @adamsanga062
    @adamsanga062 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana nimekuelewa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Amazing my brother Joel 💕

  • @user-ue3rc9nd4n
    @user-ue3rc9nd4n 4 หลายเดือนก่อน

    Na'am nimekupata

  • @RamadhanMtaki-sw1gx
    @RamadhanMtaki-sw1gx 10 หลายเดือนก่อน

    Mkubwa umekuwa mwalimu mzuri Sana kwenye maisha yangu Yani mimi umri nilio nao ni miaka 21 Hila Kwa jinsi hunavo nifunza kupitia vipindi vako naimani nitafanikiwa nikiyafuatilia mafunzo yako na somo lako la Leo nikwamba nitatumia mbinu ya Tano kwangu ndio naona hitanifa; mwenyezi mungu hawe nawe mkubwa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Nakuelewa sana

  • @francismkufya8183
    @francismkufya8183 2 ปีที่แล้ว

    So nice brother!

  • @hajiissani8201
    @hajiissani8201 ปีที่แล้ว

    Mintatumia ya kusaidia na kuuliza imekaa poa sana

  • @pauljunior5141
    @pauljunior5141 2 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @martineopapa7383
    @martineopapa7383 2 ปีที่แล้ว +1

    My problem is how to start conversation in public

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 2 ปีที่แล้ว

    Asante.

  • @alphoncinatheodory9290
    @alphoncinatheodory9290 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana naendelea kujifunza
    1.OFFERHELP
    2:Talk about location
    vimenisaidia kumarket biashara yangu🙏

  • @fasahaproductstv638
    @fasahaproductstv638 2 ปีที่แล้ว

    Zote ningpend ku2mia itatgmea ipi ni rahc kw wkt huo(Ahsante san)

  • @Mo_shoes_perfume
    @Mo_shoes_perfume ปีที่แล้ว

    Nice

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 2 ปีที่แล้ว

    SALUTE COACH JOEL

  • @Mlevimedia
    @Mlevimedia 2 ปีที่แล้ว

    Saf sana

  • @yerikombilinyi8947
    @yerikombilinyi8947 2 ปีที่แล้ว

    It sounds we'll indeed

  • @fundivigaetzchannel1899
    @fundivigaetzchannel1899 ปีที่แล้ว

    🤝

  • @angelgervas5493
    @angelgervas5493 2 ปีที่แล้ว

    Good good

  • @muhidinmangu3456
    @muhidinmangu3456 ปีที่แล้ว

    Talk about location when I meet with unknown people for the first time.

  • @hassanihassani7154
    @hassanihassani7154 ปีที่แล้ว +1

    Kaka joer ww nipropheshional atary

  • @omarjuma1794
    @omarjuma1794 2 ปีที่แล้ว

    #JoelNanauka Jenius by Discovery

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 2 ปีที่แล้ว

    Mwalimu

  • @omari_ngahoma
    @omari_ngahoma ปีที่แล้ว

    Hii ya tano ni moto bro 🤭😁

  • @deodathmushi
    @deodathmushi ปีที่แล้ว

    Hiy ask for help nimeijarib yan mapema sana tukawa marafiki broo

  • @silasdavid5017
    @silasdavid5017 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka ubarikiwe Sana Mana kila ukizungumza naingiwa na roho ya kuamini kutimiza kile ninachokipambania

  • @alexmushi6017
    @alexmushi6017 2 ปีที่แล้ว

    My self i recommend ask for opinion

  • @jimmyjoseph6695
    @jimmyjoseph6695 2 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa kaka🤣🤣🤣

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 2 ปีที่แล้ว

    i recommend ask for opinion.

  • @peterkajee9489
    @peterkajee9489 ปีที่แล้ว

    Wengine wana stress hata ukianzisha mazungumzo yeye haonyeshi respond

  • @jimmyjoseph6695
    @jimmyjoseph6695 2 ปีที่แล้ว

    Hapo nahisi ulicheka saanaaa🤣🤣🤣

  • @jimmyjoseph6695
    @jimmyjoseph6695 2 ปีที่แล้ว

    Namna ya kutongoza🤣🤣🤣🤣🤣

  • @antelmbarack4071
    @antelmbarack4071 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka Joel..Udhaifu wangu mmoja wapo, huwa nahisi kama nikijaribu kuanzisha mazungumzo na watu, ni kama vile wanakua bored, nawasumbua. Lakini leo nimejifunza.

  • @deodathmushi
    @deodathmushi ปีที่แล้ว

    Hiy ask for help nimeijarib yan mapema sana tukawa marafiki broo

  • @ahmadikhalidi5195
    @ahmadikhalidi5195 2 ปีที่แล้ว

    Good

    • @rojasonrazalo5185
      @rojasonrazalo5185 2 ปีที่แล้ว

      Umekuwa mwalimu wa wengi kupitia somo hili