Hakika bro unanifanya kila siku nionekane mpya na bora zaidi katika biashara yangu na kupelekea ni itwe teacher kwa sababu ya nondo zako zinagusa saana maisha ya watu wengi Mwenyezi MUNGU akubariki Sana🙏🙏🙏 pia natamani cku nikualike katika training center yangu utupe chakula cha ubongo na kutukumbusha vijana kusudi letu💪💪💪
Nashukuru sana brother Joel Nanauka kwa fikra mpya za mwisho wa mwaka 🙏🙏. Sina fikra kati ya hizi nilizo pitia lakini wapo watu nnao wafahamu wanaishi kwenye hizo fikra kila siku. Nimejifunza kitu kipya Broo. **All the best** **Difficult doesn't mean impossible**
Ndugu hongera Sana Sana Sana umenipa muongozo katika maisha yangu Niko na wewe huu ni mwaka wa nne sasa Kila siku unanifanya niongezee maarifa Asante naitwa ayoub kutoka mbezi ya kimara
Daah kaka unajua Sanaa,nimeanza kujiajili kwa mtaji mdgo kwaajil ya mafundisho yako ,nimekataa kuajiliwa na kujiajili kwa maarifa yako..nimebakiza kuchora picha ako tu kweny bango la biashara yangu....ubarikiwe Sana aiseee 🙏🏼
Asante sana kaka kwa mawazo na fikra mpya ulionionyesha ila naomba msaada wako nahitaji nifanye biashara baada ya kumaliza chuo ila sijajua nifanye biashara baada ya chuo kwani nipo mwaka wa kwanza na najiwekea akiba ila sijapata wazo sahihi nini nitafanya baadae.
Nikweli mm narafki yangu aliapa kua hato olewa na mrangi abadan lakini matokeo yake kaolewa na mrangi na anampenda sn na anafurahia ndoa yake kila siku ww kaka mashallah mungu kakubariki unaongea vitu ambavyo vipo kabisa
Duuu!!! asante kaka Joel, hapo kwenye kumchukia mtu wa karibu yangu kabisa akinifanyia mabaya au kunizunguka kwa chochote uwaga namuona ni adui kabisa, nisaidie kaka maana!! 🙄
Haha hyo namba 2 watu wengi nimekutana nao wanayo. Yaani mtu adi afanye kitu Hadi aone Hakuna negative yoyote. Zikikosekana negative za muda huu, anatafuta negative ata za miaka mitano ijayo.. ili tu asifanye hilo jambo
Yaan kaka kilakitu umenisema mm kabisa yaani hua naogopa vitu ambavyo havipo kila nkijalibu kufanya kitu kinafeli saizi naogopa hata kufanya chochote nahic kukata tamaa
Upo vizur bro nimefaidika sana kwenye hili somo, ila nahitaji utoe video ukizungumzia kwamba je nivizuri kujipendekeza Kwa girl ambaye unampenda au Kuna athari? Please bro I'm very need that lesson 🙏🙏🙏
Hakika bro unanifanya kila siku nionekane mpya na bora zaidi katika biashara yangu na kupelekea ni itwe teacher kwa sababu ya nondo zako zinagusa saana maisha ya watu wengi Mwenyezi MUNGU akubariki Sana🙏🙏🙏 pia natamani cku nikualike katika training center yangu utupe chakula cha ubongo na kutukumbusha vijana kusudi letu💪💪💪
Hongera sana nashukuru nitakuja, tuwasiliane 🙏🏼
Asante sana.
Philosophy is the foundation of life in term of critical thinking.
Nashukuru sana brother Joel Nanauka kwa fikra mpya za mwisho wa mwaka 🙏🙏.
Sina fikra kati ya hizi nilizo pitia lakini wapo watu nnao wafahamu wanaishi kwenye hizo fikra kila siku.
Nimejifunza kitu kipya Broo.
**All the best**
**Difficult doesn't mean impossible**
Hongera sana kwa kujifunza,tuendelee kujifunza zaidi na zaidi
Ndugu hongera Sana Sana Sana umenipa muongozo katika maisha yangu Niko na wewe huu ni mwaka wa nne sasa Kila siku unanifanya niongezee maarifa Asante naitwa ayoub kutoka mbezi ya kimara
Mungu akupe maisha marefu
You're so brave kiukweli watu wengi sana tuko nao kwenye maisha hatujuw wako kwa sababu ipi,
Kaka nanauna. Tangu nimeanza kukufatilia. Kiukweli kuna vitu vingi sana nimejifunza. Mungu akulinde xana uishi. Maisha marefu'
Daah kaka unajua Sanaa,nimeanza kujiajili kwa mtaji mdgo kwaajil ya mafundisho yako ,nimekataa kuajiliwa na kujiajili kwa maarifa yako..nimebakiza kuchora picha ako tu kweny bango la biashara yangu....ubarikiwe Sana aiseee 🙏🏼
Ahsante sana na nafurahi kusikia hivyo
Niko pamoja na ww🎉🎉 kaka joely mungu akubariki sana
I really like ur presence on ur audience on the speach much respect Mr Joel I like u and asante sana u deserve my gift my brother
Nashukuru sana Minani
Umetisha sana , naitaji kuongea na wewe kwa kituo kaka...
Asante kaka Joel nanauka kwa elimu bora naamini itatusaidia wengi kwenye jamii na tutanufaika vzr kwa uwezo wke mungu
Ameen ahsante sana
Nice fact kaka God bless more brother
Wewe ni mtu bora sana kaka yaani nimepta ktu kutoka kwako kaka yangu
Hii ni bora sana kaka joel inafndisha namuomba sama mwenyz mungu akubark
Asante sana kaka kwa mawazo na fikra mpya ulionionyesha ila naomba msaada wako nahitaji nifanye biashara baada ya kumaliza chuo ila sijajua nifanye biashara baada ya chuo kwani nipo mwaka wa kwanza na najiwekea akiba ila sijapata wazo sahihi nini nitafanya baadae.
Nikweli mm narafki yangu aliapa kua hato olewa na mrangi abadan lakini matokeo yake kaolewa na mrangi na anampenda sn na anafurahia ndoa yake kila siku ww kaka mashallah mungu kakubariki unaongea vitu ambavyo vipo kabisa
Na wewe uliapa hautaolewa na nani
Asante kwama shauri Mazuri umenitowa mbali ume nibadilisha nakuwa mupya kilasiku
Habari mtumishi aina hii ya Tano Huwa ni nayo naomba msaada wako. Mtumishi
Asante sana kwa somo la fikira. Nimejifunza kitu kipya kwenye speech yako hii
Bro. Hili somo limenijenga zaidi.. unawezaje sasa ku control ufikiri wako
Kenya nakufatilia sana na kujifunza mengi ambayo yamenibadilisha kabisa.
Muito obrigado pela aula
Sawa kabisa
Ahsante sana kaka Joel
Kaka, uko vzr sana, nimejifunza vitu vya msingi sana, 🤝🤝🤝
Waiting!!
Jmn Hy no 2 mm kbs kwenye mapenzi ni muoga sana shukrani sana
Waooo somo zuri mnoo,,,,
Asante kaka kwa mafundisho haya muhimu
Somo ziriii kaka asante
Umenifundisha sn nadhani mm ni muhanga wa hayo mambo nitafanyaje ili niweze kutoka. Mungu akubariki sn
Duuh Nanauka leo umeongea points sana asee
Asante nimejifunza kitu.
Kaka nakubari sana
HUYU JAMAA NI HATARI SANA
Mmmmmmmmmh unajua wewe niwaviwango Sanaa MTUMISHI WA MUNGU UBALIKIWE SANAA mtumishi
Ameen Ahsante sana Raphael
Waiting too
shukran bro
Asante kwaushauli
Shukran sana bro
HAKIKA MTUMISHI KAZIYAKO NINJEMAMNO,NIMEKUFAIDI SIO MARAMOJA,,NATAMANI NIPATE VITABUVYAKO,,IWAPO UMEANDIKA..NA IWAPO HUJAANDIKA ...NIOMBE UANDIKE.❤🎉asante..NI MCHUNGAJI RAYMOND...NIPO MBEYA.
Thanks Asante mutumishi
Joel nanauka ❣️
Saw kaka
Asante sana
Asante nikweli wengi tunafeli hapo
Watching for 4th time be blessed brother @kenya
Daa nilichelewa kupata habira zako nachukua maamuzi mapema
Hii ya mwisho fitering ndo inaniandama but asante nimeyapata mahalifa Mungu akubaliki mwl Joel nanauka
Hongera kwa kugundua hii
Nikweli kaka ,elimu borasana
Asante sana kaka
Kweli kuna watu wa aina hii na wengi wako huishi maisha ya tabu sana hata kufikia kupata magonjwa
Ushauli kwa uliyoyafundisha
Safi sana
Hapo kwenye namba2 😃😃😃😃 wengi tuko hapo
Duuu!!! asante kaka Joel, hapo kwenye kumchukia mtu wa karibu yangu kabisa akinifanyia mabaya au kunizunguka kwa chochote uwaga namuona ni adui kabisa, nisaidie kaka maana!! 🙄
Hakika naendelea kuvuka
Mungu aendelee kukutunza Kaka Mkubwa
Appreciate ✍️
Umenigusa broh! Ila nipo zaidi ya kundi moja……nilikuwa nahisi unanisema😁
Asantee kwakuja
Shukrani jaman ya ww ni mkweli kbs Asante Kwa SoMo nitabadilika now
Hongera sana chukua hatua za kubadilika
Asante mualimu
Ko mkuu ili niende tofauti na tabia izo niweze kuwa nawaza tabia zenye kunijenga nawezaje ni saidie na ili tafadhar.
Good joel
Hongera sana kaka NANAUKA
Nashukuru sanaa
Tuko pammoja sana kiongozi,,
Kweli mafikilio yako yanakujengea uhalisia kichani mwako
Dah asante sana,nabadilika kuanzia leo
Ni njia ipi sahihi ya kufikiri
Catastrophe hii ninayo ila kwa upande wangu ni katika mahusiano... Mweeh😥
Ifanyie kazi mapema hii
Kaka umekua msaada mkubwa kwangu Mungu akubariki
Noted.
Naomba nicheke kidg mwl.😅😆,
Nikwel Kaka Mimi nomba 4 hyo inaniusu
See you at the top,,nimeelewa filtering
Fact😊
Nisiwe muongo kuna namna napata nafuu kupitia masomo yko.... Ila kwa sasa naomba unisaidie jinsi ya kuacha kumfikiria mtu alie niumiza
#JoelNanauka Jenius By Discovery
🙌🙌🔨
Uko vizuri sana Ndugu Joel.
Kwenye msiba wangu hajatokea 😂😂😂😂
Hakika kaka no Kama unanisema mm
Tuko pamoja kaka
Haha hyo namba 2 watu wengi nimekutana nao wanayo.
Yaani mtu adi afanye kitu
Hadi aone Hakuna negative yoyote.
Zikikosekana negative za muda huu, anatafuta negative ata za miaka mitano ijayo.. ili tu asifanye hilo jambo
Yaan kaka kilakitu umenisema mm kabisa yaani hua naogopa vitu ambavyo havipo kila nkijalibu kufanya kitu kinafeli saizi naogopa hata kufanya chochote nahic kukata tamaa
This is true kaka Joel..
Then how do we solve this?
🙏🙏🙏🙏
Upo vizur bro nimefaidika sana kwenye hili somo, ila nahitaji utoe video ukizungumzia kwamba je nivizuri kujipendekeza Kwa girl ambaye unampenda au Kuna athari? Please bro I'm very need that lesson 🙏🙏🙏
Tafuta video zangu za mahusiano nimezungumzia
Mimi Nipo hapo namba 4 😢nifanyeje nitoke hapo @Mr.Joel
Kaka joeli naomba behind ya hii video kwakwel nifulahi sana
Dakika 20 zlizopita nlikuwa naongea hivi2,juu yamwenza wangu,nshkru kaka kwa hili somo,,aisee kama uliona navyomuwazia mabaya bdae
Hongera kwa kugundua hili
Hii situation imeniface kabisaa this year nanimeshimdwa kutimiza lengo langu
Pole sana,uzuri umejifunza vizuri
Gd mkl
Mimi nawachukia wanawake karibia wote,
Na mimi nawachukia wanaume, sipendi kuona hata kivuli cha mwanaume kipite jirani yangu
Nlichelewa wapii mimi jmn daah..😂
Nisak
Mung Skype siku nying za kuishi Kaka bnafsi nakuelewa sana
Kuna rafiki yangu yupo namba2 nifanyaje Ili nimsaidie
Kaka mbona kuna wakati unatuma kitu Whatsapp halafu unaona mtu kaona na hajakoment chochote, hii ipoje? Kwenye PERSONALIZING
i think sio kila mtu kwenye maisha yako atakuwa interested unacho post so be patient mkuu. lakini pia wengine wanaelewa laikini hawana cha kijibu mkuu