Masomo yote yapo kwenye channel yetu. Hakuna kujiunga rasmi isipokuwa labda ku subscribe na ku ”klick” notification upate taarifa vipindi vinaporushwa.
Ahhh!! Mungu ni mwema sana. Nimefurahi sana kuona kipindi hiki leo 07 Nov.2021 usiku. Hakika nitajitahidi kufuatilia vipi vyenu. Hasa ni jinsi gani najiunga?
Maono yetu ni kutoa mafundisho kwa yeyote abayohitaji kujifunza. Hakuna kujiunga zaidi labda ya ku ”subscribe” kusudi upate taarifa wakati kipindi kipya k8metoka. Zaidi ya hayo labda tubninkushauri uangalie ”playlist” kusudi uweze kufuata mtiririko wa somo. Karibu sana sana, tunafurahi kuwa pamoja na wewe!
@@abelolelekasio4065 Kwa upande wa Koinonia, Mimi K-A nipo Sweden na Mussa yupo Zanzibar. Kama unaulizia ndugu Celestin yeye yuko FInland. Kwa upande wa Koinonia mafundisho yote yanatolewa kupitia TH-cam
Sisi siyo chuo kwa maana ya kwamba tunasomesha wanafunzi wanaohitaji cheti. Maono yetu ni kutoa mafundisho kwa yeyote anayopenda kujielimisha katika imani yetu ya Ukristo. Ndiyo unaweza kulinganisha masomo tunayoyatoa na masomo yanayopatikana kwenye vyuo, ila hapa wote wanakaribishwa na hakuna ada. Labda tu tutashukuru kama 7na ”subscribe” kwa channel yetu. Karibu sana na Mungu akubariki!
Ahsante sana kwa swali lako, kama unavyoelewa ni somo kubwa kidogo hasa ukizingatia kwamba makundu mbali mbali ya ukristi wana mitazamo tofauti juu ya jambo hili. Lakini nitajitahidi kufanya kipindi inayoweza kusaidia katika fundisho hili. Itachukua muda kidogo kuliandaa, lakini itakuja. Kama unasubscribe na kuweka nitification utataarifiwa inapouja live. Mung akubariki sana!
Sasa nimeweka link itakayokufikisha kwenye notes uki "klick" Unahitaji kutumia link moja kwa kila sehemu kwa mfano sehemu ya Injili zote zia link moja, Zaburi moja na kuendelea. Natumaini hiyo itaweza kukusaidia.
Amina kumbe ulikuwa kigoma kwetu Hongera sana mtumishi wa Mungu
Niliishibsana wilaya ya Kibondo.
@@KoinoniaEducation Mungu akubariki sana kiukweli haya mafundisho yameniongezea kitu katika utumishi na Imani yangu pia 🙏
Waaaa..nimejifunza mengi mwalimi.. kweli kumbe kuona kwetu ni tofauti.. na pia tafsiri ya vitu unavyovisikia . Barikiwa sana. Nakupata nikiwa Kenya
Nina furahi sana kusikia kwamba unabarikiwa na mafundisho. Karibu sana!
Amen Amen Amen barikiwa mutumishi wa mungu Kwa mavundisho mazuri
Asante sana, inaleta faraja kuona kazi yetu inakusaidia! Ubarikiwe ndugu!
Asanteee Sana mwalimu Mungu akubariki sana naendelea kujifunza
Nimefurahi Sana kukutana na kipindi hiki leo Ninashukuru Sana,
Ninafurahi kusikia kwamba mafundisho yanakujenga 🙏
Ameen ❤
🙏
Asante sana 🙏🙏🙏 Nataka kufuwatilia masomo yenu
Karibu sana!
Yeremia wa 2/3
Sijaelewa comment yako, labda ukifafanua kidogo nitaweza kufahamu.
Mtumishi Asante sana tena sana kwa maono hayo. Mnivumilie nitawauliza sana sana
Karibu sana na maswali yako, tutajitahidi kujibu
Amen naomba nipate utarati wa namna ya kujiunga na chuo chenu
Mafundisho yote yapo hapa kwenye youtube. Karibu sana
Amen ndiyo Leo nimeanza kufuatilia kipindi hili nimefurahi Sana nitawezaje kujiunga na masomo haya.naomba maelekezo Mtumishi
Masomo yote yapo kwenye channel yetu. Hakuna kujiunga rasmi isipokuwa labda ku subscribe na ku ”klick” notification upate taarifa vipindi vinaporushwa.
God bless you mtumishi wa Mungu,am much blessed today 🙏
Amina sana🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
🙏
Amen
🙏
Naipenda Sana nisaidi kuweza kumaliza kuisoma
Njia ya kumaliza ni kusoma kwa muda unayoipata ideo zote zipo katika playlist. Na masomo mengine tele yapo katika chanel yetu. Karibu sana.
Baraka kubwa kuwapata hapa ni darasa bora la imani, mbarikiwe nimepata motisha kuanza kujifunza upya
Tunafurahi sana kusikia hivyo, Mungu akubariki
@@KoinoniaEducation shukrani na Mungu awabariki sana. Kiswahili safi kabisa, nitaandika email pia kwa machapisho kama mtakuwa nayo siku za mbeleni.
Nimesikiliza na ni kazi nzuri mtumishi unafanya
Ahsante nashukuru, Minggu akubariki sana!
Haleluya Haleluya Haleluya
🙏👍
Ubarikiwe sana kwa kunifungua macho 🙏🙏🙏
Ahsante, kama unmesaidiwa Bwana asifiwe yeye ndiye anayetuwezesha
Mbarikiwe san san mungu azidi kuwatia nguvu wapendwa
Ahsante sana ndugu, mzidinkutombea Mungu atatuwezesha
🙏
Ameen ubalikiwe ntumishi wamungu
🙏
Ubarikiwe sana pastor mzungu
Ahsante, ubarikiwe nawe pia
Barikiwa Sana mtumishi
🙏 Mungu akubariki
Mbarikiwe sana kwa masomo
🙏
Amen 🙏
🙏
Ameen ❤️ ❤️ ❤️
Ubarikiwe!
Ahsante sana mchungaji.
🙏.
Mubarikiwe
🙏
Ahhh!! Mungu ni mwema sana. Nimefurahi sana kuona kipindi hiki leo 07 Nov.2021 usiku. Hakika nitajitahidi kufuatilia vipi vyenu. Hasa ni jinsi gani najiunga?
Maono yetu ni kutoa mafundisho kwa yeyote abayohitaji kujifunza. Hakuna kujiunga zaidi labda ya ku ”subscribe” kusudi upate taarifa wakati kipindi kipya k8metoka. Zaidi ya hayo labda tubninkushauri uangalie ”playlist” kusudi uweze kufuata mtiririko wa somo. Karibu sana sana, tunafurahi kuwa pamoja na wewe!
Amen..❤
🙏
Hongereni sana kwa kazi nzuri
Ahsante sana, nashukuru
Hiyo ni sawa kabisa mtumishi wetu.
Ahsante 🙏
Je nawezaje kupata soft copy au hard copy ya haya mafundisho... Ni mazuri Sana nahitaji kujifunza.
Ipo kwenye dscription ya video.
Nikweli
Shukran!
Amina
🙏
🙏🙏🙏
Ahsante
Jambo ni Malawi Very good
Kutoka Malawi! Karibu sana ndugu
Mungu asifiwe leo nimepata kitu nilicho kitafuta mda mrefu
Nimefurahi kusikia 🙏
Ningeweza kufahamu mlipo ningejifunza neno la mungu zaidi asante
@@abelolelekasio4065 Kwa upande wa Koinonia, Mimi K-A nipo Sweden na Mussa yupo Zanzibar. Kama unaulizia ndugu Celestin yeye yuko FInland. Kwa upande wa Koinonia mafundisho yote yanatolewa kupitia TH-cam
Munaweza kutupa anwanizenu
Ipo kwenye maelezo ya channel
Je, mnatumia na mtandao wa TikTok kufundisha? Je, mnagurupu la WhatsApp? Nahitaji sana kuongeza maarifa ya bibilia.
Tuko youtube tu. Na kwa mawasiliano tunatumia e-mail ya channel. Karibu.
Ubarikiwe nimehelewa somo
Nimependelea Email
asante na e-mail yetu ni: koinoniaeduc@gmail.com
Naomba mawasiliano
Tumia e-mail ya channel unaikuta kwenye maelezo (about) ya channel
Nashukuru Sana Kwa masomo mazuri swali ni je nikitaka kujiunga na masomo haya nafanyaje ? au mawasiliano yenu nayapataje kwaajili ya mawasiliano?
Kwa mawasiliano tumia koinoniaeduc@gmail.com karibu sana
Naitaji notis 6:05
Asante sana mwalimu,
Baada ya mitihani, tutapata vyeti?
Sisi siyo chuo kwa maana ya kwamba tunasomesha wanafunzi wanaohitaji cheti. Maono yetu ni kutoa mafundisho kwa yeyote anayopenda kujielimisha katika imani yetu ya Ukristo. Ndiyo unaweza kulinganisha masomo tunayoyatoa na masomo yanayopatikana kwenye vyuo, ila hapa wote wanakaribishwa na hakuna ada. Labda tu tutashukuru kama 7na ”subscribe” kwa channel yetu. Karibu sana na Mungu akubariki!
Tukawasiriana
Ipo kwenye maelezo ya channel. Karibu
Jambo mtumishi wa Bwana nami niko Sweden ndawapata je? ila ubarikiwe sana nimewafata leo
Karibu sana, Kihuduma tupo youtube, mimi kwa sasa ninaishi Uppsala, na Musa yupo. Zanzibar
Asant umenisaidia hki but ni tafutie job huko
.
Ubarikiwe sana mtumishi. Nina hitaji namba yako ili nielimishwe zaidi.
Kwa mawasiliano tumia email: koinoniaeduc@gmail.com
Mi nime anza kuwa fuatiaria leo vipindi vywenu navi pataje
Vipindi vyote unavipata kwenye TH-cam Channel yetu. Angalia "playlist" utaona kuna video nyingi sana. Karibu
@@KoinoniaEducation asante
Ni nime anza kuwa fuatiaria leo vipindi vyenu navi pataje
@@cristinakavishe1795 Vipindi vyote unavipata kwenye TH-cam Channel yetu. Angalia "playlist" utaona kuna video nyingi sana. Karibu
Hello nimekupenda hki uko na mtoto hajaoa
.
Unaweza ukaeleza kidgo kuhusu Ubatizo?
Ahsante sana kwa swali lako, kama unavyoelewa ni somo kubwa kidogo hasa ukizingatia kwamba makundu mbali mbali ya ukristi wana mitazamo tofauti juu ya jambo hili. Lakini nitajitahidi kufanya kipindi inayoweza kusaidia katika fundisho hili. Itachukua muda kidogo kuliandaa, lakini itakuja. Kama unasubscribe na kuweka nitification utataarifiwa inapouja live. Mung akubariki sana!
Habari nimefurahi kukufuata kwa TH-cam nimependezwa na kujifunza kwako tafadhali ni naishi Marecani.
Karibu sana!
Habari nimependezwa na mafundisho yenu mnapatikana wapi hapa Tanzania
Mimi K. Andersson niko Sweden na M. Makonelah yuko Zanzibar. Ila huduma hii ya mafundisho ipo youtube, Karibu sana
Hakika bwana ni mwema
👍🙏
Nakupata nikiwa tz
🙏👍
Notes napataje
Notes zipo kwenye description, na pia kuna link ukitaka ku zipata kama document
Nahitaji kusoma mwalimu
Karibu sana, nadhani utaona kuna mafundisho mengi kwenye channel yetu yatakayokusaidia. Mungu akubariki
Hio nikweli
.
🙏
Na Mimi ndo naanza Leo kuwa sikili
Karibu sana, kama unamaswali usisite kuuliza
Nitapata je nots?
Kwa vile wengi wameuizia nitajaribu kuweka notes kwenye description ila itabidi ustahimili kidogo maan ani kazi kubwa kidogo.
Sasa nimeweka link itakayokufikisha kwenye notes uki "klick"
Unahitaji kutumia link moja kwa kila sehemu kwa mfano sehemu ya Injili zote zia link moja, Zaburi moja na kuendelea. Natumaini hiyo itaweza kukusaidia.
Nataka kujiunga na chuo hiki ili nipate na cheti ninafanyaje kuhusu utaratibu wenu..
Je, munatoa mitihani?
Hapana, ni channel ya youtube tu kwa yeyote anayopenda kujiendeleza katika imani ya kikristo. Ila level ya masomo inafanana na ya chuo
Amina naomba Email yako
Email yetu ni koinoniaeduc@gmail.com
Amen
🙏
👍
Amen🙏🙏
🙏
Amen
🙏