Kufafanua Biblia, Utangulizi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 143

  • @mwanawamfalmetz
    @mwanawamfalmetz 4 หลายเดือนก่อน +1

    Amina kumbe ulikuwa kigoma kwetu Hongera sana mtumishi wa Mungu

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 หลายเดือนก่อน +1

      Niliishibsana wilaya ya Kibondo.

    • @mwanawamfalmetz
      @mwanawamfalmetz 3 หลายเดือนก่อน +1

      @@KoinoniaEducation Mungu akubariki sana kiukweli haya mafundisho yameniongezea kitu katika utumishi na Imani yangu pia 🙏

  • @eunicenjonge2205
    @eunicenjonge2205 2 ปีที่แล้ว +6

    Waaaa..nimejifunza mengi mwalimi.. kweli kumbe kuona kwetu ni tofauti.. na pia tafsiri ya vitu unavyovisikia . Barikiwa sana. Nakupata nikiwa Kenya

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      Nina furahi sana kusikia kwamba unabarikiwa na mafundisho. Karibu sana!

  • @florenceamagove4448
    @florenceamagove4448 ปีที่แล้ว

    Amen Amen Amen barikiwa mutumishi wa mungu Kwa mavundisho mazuri

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  ปีที่แล้ว

      Asante sana, inaleta faraja kuona kazi yetu inakusaidia! Ubarikiwe ndugu!

  • @subiramagoha6317
    @subiramagoha6317 ปีที่แล้ว

    Asanteee Sana mwalimu Mungu akubariki sana naendelea kujifunza

    • @subiramagoha6317
      @subiramagoha6317 ปีที่แล้ว

      Nimefurahi Sana kukutana na kipindi hiki leo Ninashukuru Sana,

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  ปีที่แล้ว

      Ninafurahi kusikia kwamba mafundisho yanakujenga 🙏

  • @MAUREENKNIGHT-qs8cx
    @MAUREENKNIGHT-qs8cx หลายเดือนก่อน

    Ameen ❤

  • @estermadinda9324
    @estermadinda9324 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana 🙏🙏🙏 Nataka kufuwatilia masomo yenu

  • @carolinelucky9199
    @carolinelucky9199 10 หลายเดือนก่อน +1

    Yeremia wa 2/3

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  10 หลายเดือนก่อน

      Sijaelewa comment yako, labda ukifafanua kidogo nitaweza kufahamu.

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi Asante sana tena sana kwa maono hayo. Mnivumilie nitawauliza sana sana

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      Karibu sana na maswali yako, tutajitahidi kujibu

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 ปีที่แล้ว

    Amen naomba nipate utarati wa namna ya kujiunga na chuo chenu

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  ปีที่แล้ว

      Mafundisho yote yapo hapa kwenye youtube. Karibu sana

  • @priscapambe7514
    @priscapambe7514 2 ปีที่แล้ว

    Amen ndiyo Leo nimeanza kufuatilia kipindi hili nimefurahi Sana nitawezaje kujiunga na masomo haya.naomba maelekezo Mtumishi

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว +1

      Masomo yote yapo kwenye channel yetu. Hakuna kujiunga rasmi isipokuwa labda ku subscribe na ku ”klick” notification upate taarifa vipindi vinaporushwa.

    • @SkylarReborn
      @SkylarReborn ปีที่แล้ว

      God bless you mtumishi wa Mungu,am much blessed today 🙏

  • @leydaihal9332
    @leydaihal9332 ปีที่แล้ว

    Amina sana🙏 🙏 🙏 🙏 🙏

  • @lilianumiro1864
    @lilianumiro1864 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @ZefaniaJoshua
    @ZefaniaJoshua 6 หลายเดือนก่อน

    Naipenda Sana nisaidi kuweza kumaliza kuisoma

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  6 หลายเดือนก่อน

      Njia ya kumaliza ni kusoma kwa muda unayoipata ideo zote zipo katika playlist. Na masomo mengine tele yapo katika chanel yetu. Karibu sana.

  • @mswahili6247
    @mswahili6247 ปีที่แล้ว

    Baraka kubwa kuwapata hapa ni darasa bora la imani, mbarikiwe nimepata motisha kuanza kujifunza upya

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  ปีที่แล้ว

      Tunafurahi sana kusikia hivyo, Mungu akubariki

    • @mswahili6247
      @mswahili6247 ปีที่แล้ว

      @@KoinoniaEducation shukrani na Mungu awabariki sana. Kiswahili safi kabisa, nitaandika email pia kwa machapisho kama mtakuwa nayo siku za mbeleni.

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimesikiliza na ni kazi nzuri mtumishi unafanya

  • @JoshuaDalushi-r7t
    @JoshuaDalushi-r7t ปีที่แล้ว

    Haleluya Haleluya Haleluya

  • @monicampokwa441
    @monicampokwa441 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana kwa kunifungua macho 🙏🙏🙏

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      Ahsante, kama unmesaidiwa Bwana asifiwe yeye ndiye anayetuwezesha

  • @gogboykihereherewayesu1942
    @gogboykihereherewayesu1942 ปีที่แล้ว

    Mbarikiwe san san mungu azidi kuwatia nguvu wapendwa

  • @alindasteven3094
    @alindasteven3094 3 ปีที่แล้ว

    Ameen ubalikiwe ntumishi wamungu

  • @davidmpulumba4039
    @davidmpulumba4039 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana pastor mzungu

  • @carolineindivitsa3686
    @carolineindivitsa3686 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Sana mtumishi

  • @israelmlabwa9783
    @israelmlabwa9783 6 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwe sana kwa masomo

  • @mauwavalantin4087
    @mauwavalantin4087 ปีที่แล้ว

    Amen 🙏

  • @irenemwenda6374
    @irenemwenda6374 8 หลายเดือนก่อน

    Ameen ❤️ ❤️ ❤️

  • @paulmwangi3438
    @paulmwangi3438 10 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana mchungaji.

  • @boscosemahoro9486
    @boscosemahoro9486 ปีที่แล้ว

    Mubarikiwe

  • @kelvinmtavangu7701
    @kelvinmtavangu7701 3 ปีที่แล้ว +4

    Ahhh!! Mungu ni mwema sana. Nimefurahi sana kuona kipindi hiki leo 07 Nov.2021 usiku. Hakika nitajitahidi kufuatilia vipi vyenu. Hasa ni jinsi gani najiunga?

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว +2

      Maono yetu ni kutoa mafundisho kwa yeyote abayohitaji kujifunza. Hakuna kujiunga zaidi labda ya ku ”subscribe” kusudi upate taarifa wakati kipindi kipya k8metoka. Zaidi ya hayo labda tubninkushauri uangalie ”playlist” kusudi uweze kufuata mtiririko wa somo. Karibu sana sana, tunafurahi kuwa pamoja na wewe!

  • @JamesMwabonje
    @JamesMwabonje ปีที่แล้ว

    Amen..❤

  • @prophetmosseschella9694
    @prophetmosseschella9694 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana kwa kazi nzuri

  • @kissinzaappolinary3604
    @kissinzaappolinary3604 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo ni sawa kabisa mtumishi wetu.

  • @waluleambuto1400
    @waluleambuto1400 ปีที่แล้ว

    Je nawezaje kupata soft copy au hard copy ya haya mafundisho... Ni mazuri Sana nahitaji kujifunza.

  • @SEBADENDE1987FRED
    @SEBADENDE1987FRED 8 หลายเดือนก่อน

    Nikweli

  • @dionicyndelwa663
    @dionicyndelwa663 3 ปีที่แล้ว +1

    Amina

  • @alindasteven3094
    @alindasteven3094 3 ปีที่แล้ว +1

    🙏🙏🙏

  • @milemomajaliwa7710
    @milemomajaliwa7710 11 หลายเดือนก่อน

    Jambo ni Malawi Very good

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  11 หลายเดือนก่อน

      Kutoka Malawi! Karibu sana ndugu

  • @foundationfaithtv
    @foundationfaithtv 2 ปีที่แล้ว

    Mungu asifiwe leo nimepata kitu nilicho kitafuta mda mrefu

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      Nimefurahi kusikia 🙏

    • @abelolelekasio4065
      @abelolelekasio4065 2 ปีที่แล้ว

      Ningeweza kufahamu mlipo ningejifunza neno la mungu zaidi asante

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      @@abelolelekasio4065 Kwa upande wa Koinonia, Mimi K-A nipo Sweden na Mussa yupo Zanzibar. Kama unaulizia ndugu Celestin yeye yuko FInland. Kwa upande wa Koinonia mafundisho yote yanatolewa kupitia TH-cam

  • @boscosemahoro9486
    @boscosemahoro9486 ปีที่แล้ว

    Munaweza kutupa anwanizenu

  • @samjosh12
    @samjosh12 3 หลายเดือนก่อน

    Je, mnatumia na mtandao wa TikTok kufundisha? Je, mnagurupu la WhatsApp? Nahitaji sana kuongeza maarifa ya bibilia.

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 หลายเดือนก่อน

      Tuko youtube tu. Na kwa mawasiliano tunatumia e-mail ya channel. Karibu.

  • @mmasaalonda499
    @mmasaalonda499 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe nimehelewa somo
    Nimependelea Email

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  ปีที่แล้ว

      asante na e-mail yetu ni: koinoniaeduc@gmail.com

  • @newhopeonline5818
    @newhopeonline5818 7 หลายเดือนก่อน

    Naomba mawasiliano

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  7 หลายเดือนก่อน

      Tumia e-mail ya channel unaikuta kwenye maelezo (about) ya channel

  • @naomibenjamini6691
    @naomibenjamini6691 2 ปีที่แล้ว

    Nashukuru Sana Kwa masomo mazuri swali ni je nikitaka kujiunga na masomo haya nafanyaje ? au mawasiliano yenu nayapataje kwaajili ya mawasiliano?

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      Kwa mawasiliano tumia koinoniaeduc@gmail.com karibu sana

    • @MAULUSGONGO
      @MAULUSGONGO ปีที่แล้ว

      Naitaji notis 6:05

  • @Bishopdavidndaki7184
    @Bishopdavidndaki7184 3 ปีที่แล้ว

    Asante sana mwalimu,
    Baada ya mitihani, tutapata vyeti?

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว

      Sisi siyo chuo kwa maana ya kwamba tunasomesha wanafunzi wanaohitaji cheti. Maono yetu ni kutoa mafundisho kwa yeyote anayopenda kujielimisha katika imani yetu ya Ukristo. Ndiyo unaweza kulinganisha masomo tunayoyatoa na masomo yanayopatikana kwenye vyuo, ila hapa wote wanakaribishwa na hakuna ada. Labda tu tutashukuru kama 7na ”subscribe” kwa channel yetu. Karibu sana na Mungu akubariki!

  • @boscosemahoro9486
    @boscosemahoro9486 ปีที่แล้ว

    Tukawasiriana

  • @angelanimahubiripiaushuhud5151
    @angelanimahubiripiaushuhud5151 2 ปีที่แล้ว

    Jambo mtumishi wa Bwana nami niko Sweden ndawapata je? ila ubarikiwe sana nimewafata leo

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      Karibu sana, Kihuduma tupo youtube, mimi kwa sasa ninaishi Uppsala, na Musa yupo. Zanzibar

  • @rachelkarembo3355
    @rachelkarembo3355 ปีที่แล้ว

    Asant umenisaidia hki but ni tafutie job huko

  • @mutulaalexandre1123
    @mutulaalexandre1123 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana mtumishi. Nina hitaji namba yako ili nielimishwe zaidi.

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa mawasiliano tumia email: koinoniaeduc@gmail.com

  • @alexeliya7813
    @alexeliya7813 3 ปีที่แล้ว +2

    Mi nime anza kuwa fuatiaria leo vipindi vywenu navi pataje

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว +1

      Vipindi vyote unavipata kwenye TH-cam Channel yetu. Angalia "playlist" utaona kuna video nyingi sana. Karibu

    • @alexeliya7813
      @alexeliya7813 3 ปีที่แล้ว +1

      @@KoinoniaEducation asante

    • @cristinakavishe1795
      @cristinakavishe1795 3 ปีที่แล้ว +1

      Ni nime anza kuwa fuatiaria leo vipindi vyenu navi pataje

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว

      @@cristinakavishe1795 Vipindi vyote unavipata kwenye TH-cam Channel yetu. Angalia "playlist" utaona kuna video nyingi sana. Karibu

  • @rachelkarembo3355
    @rachelkarembo3355 ปีที่แล้ว

    Hello nimekupenda hki uko na mtoto hajaoa

  • @mwl.timothysangayoni2137
    @mwl.timothysangayoni2137 3 ปีที่แล้ว

    Unaweza ukaeleza kidgo kuhusu Ubatizo?

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว

      Ahsante sana kwa swali lako, kama unavyoelewa ni somo kubwa kidogo hasa ukizingatia kwamba makundu mbali mbali ya ukristi wana mitazamo tofauti juu ya jambo hili. Lakini nitajitahidi kufanya kipindi inayoweza kusaidia katika fundisho hili. Itachukua muda kidogo kuliandaa, lakini itakuja. Kama unasubscribe na kuweka nitification utataarifiwa inapouja live. Mung akubariki sana!

  • @nehemierugwiza9143
    @nehemierugwiza9143 2 ปีที่แล้ว

    Habari nimefurahi kukufuata kwa TH-cam nimependezwa na kujifunza kwako tafadhali ni naishi Marecani.

  • @ezronmalongo7775
    @ezronmalongo7775 2 ปีที่แล้ว

    Habari nimependezwa na mafundisho yenu mnapatikana wapi hapa Tanzania

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  2 ปีที่แล้ว

      Mimi K. Andersson niko Sweden na M. Makonelah yuko Zanzibar. Ila huduma hii ya mafundisho ipo youtube, Karibu sana

  • @FaithDaniel-y7l
    @FaithDaniel-y7l 9 หลายเดือนก่อน

    Hakika bwana ni mwema

  • @NEEMAMTEGWA
    @NEEMAMTEGWA 11 หลายเดือนก่อน

    Nakupata nikiwa tz

  • @mganyizirubogorwa6932
    @mganyizirubogorwa6932 6 หลายเดือนก่อน

    Notes napataje

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  6 หลายเดือนก่อน

      Notes zipo kwenye description, na pia kuna link ukitaka ku zipata kama document

  • @milemomajaliwa7710
    @milemomajaliwa7710 11 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji kusoma mwalimu

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  11 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana, nadhani utaona kuna mafundisho mengi kwenye channel yetu yatakayokusaidia. Mungu akubariki

  • @StanleyMwaura-w9h
    @StanleyMwaura-w9h ปีที่แล้ว

    Hio nikweli
    .

  • @maikojoseph1115
    @maikojoseph1115 3 ปีที่แล้ว +1

    Na Mimi ndo naanza Leo kuwa sikili

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว

      Karibu sana, kama unamaswali usisite kuuliza

    • @barakakasongo6124
      @barakakasongo6124 3 ปีที่แล้ว

      Nitapata je nots?

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว

      Kwa vile wengi wameuizia nitajaribu kuweka notes kwenye description ila itabidi ustahimili kidogo maan ani kazi kubwa kidogo.

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว

      Sasa nimeweka link itakayokufikisha kwenye notes uki "klick"
      Unahitaji kutumia link moja kwa kila sehemu kwa mfano sehemu ya Injili zote zia link moja, Zaburi moja na kuendelea. Natumaini hiyo itaweza kukusaidia.

    • @albuscalion354
      @albuscalion354 3 ปีที่แล้ว

      Nataka kujiunga na chuo hiki ili nipate na cheti ninafanyaje kuhusu utaratibu wenu..

  • @boanergetvtanzania1291
    @boanergetvtanzania1291 3 ปีที่แล้ว +1

    Je, munatoa mitihani?

    • @KoinoniaEducation
      @KoinoniaEducation  3 ปีที่แล้ว

      Hapana, ni channel ya youtube tu kwa yeyote anayopenda kujiendeleza katika imani ya kikristo. Ila level ya masomo inafanana na ya chuo

  • @lazarocharles2432
    @lazarocharles2432 2 ปีที่แล้ว +1

    Amina naomba Email yako

  • @mathewspetr2465
    @mathewspetr2465 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @hycarolinacgpah9877
    @hycarolinacgpah9877 ปีที่แล้ว

    Amen🙏🙏

  • @mathewspetr2465
    @mathewspetr2465 3 ปีที่แล้ว +1

    Amen