EPUKA MAMBO HAYA - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ก.ย. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 206

  • @geofreyemanuelzakaria382
    @geofreyemanuelzakaria382 2 ปีที่แล้ว +7

    Kaka Joel nayafurahia sana mafundisho yako,nimekuwa nikiyafuatilia sana.
    Napata mafunzo mengi sna.
    Hili la kishikashika simu linatusumbua wengi,lkn nimeanza kubadilika.
    Ubarikiwe sn kwa kugusa maisha ya wengi.

  • @omarimtau5162
    @omarimtau5162 2 ปีที่แล้ว +6

    Ni pointi muhimu kuzijua kwa sector tofauti tofauti za kimaisha..
    Ahsanteee kwa kutuzindua mr nanauka..

  • @assaaresi
    @assaaresi ปีที่แล้ว +1

    naona kwamafunzo yako ujuziwako uwezaidi utupe njiya yaku patanisha watu waju na wachini asante
    🙏 mungu akubariki zaidi neno sijawai ku ona hivi wewe niwa kwanza kupana funzo hapa chini yajuwa
    congratulations 👋

  • @musaalsinawi3324
    @musaalsinawi3324 2 ปีที่แล้ว +21

    Hi Joel, I'm your neighbour from Uganda.I came across your link on TH-cam. Thanks for advising people and all your points are absolutely right. May God bless your work 🤲🤲🤝🙏🙏

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว +4

      Thank you so Much Musa, lets keep on learning.

  • @farajamtifu4155
    @farajamtifu4155 2 ปีที่แล้ว +4

    Yaani mimi nimeshaharibu point tatu zote zinanihusu,maana kuna mahali nimehamishwa kituo cha kazi, nilipoulizwa kuhusu boss wangu wa zamani,nikajibu simpende,nilipoulizwa kuhusu mazingira mapya nikamwambia boss wangu yaani sipapendi hapa,hata kidogo,duuu asante sana mentor wangu maana umenifunza kitu cha msingi sana

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 2 ปีที่แล้ว +3

      Ukuhitaji kufundishwa kujibu hayo maswali kiusahihi, ulitakiwa kutumia akili yako vzr tu,,

  • @captainkomba4739
    @captainkomba4739 2 ปีที่แล้ว +4

    Mimi nakushkuru sana yani Sina mda mrefu tangu nianze kufuatilia videos zako Ila binafsi naona mimebadirika sana tena sana asee Mungu akuzidishie icho ulicho nacho na akilinde 🙏

  • @emmanuelpeter9022
    @emmanuelpeter9022 2 ปีที่แล้ว +2

    Wwe ni best Kila wakt,, endelea kufundisha jamii,.

  • @drkimwaga9583
    @drkimwaga9583 ปีที่แล้ว +1

    wow Ahsnt sana leader 🙏🏻

  • @AmosMsema
    @AmosMsema หลายเดือนก่อน

    GOD bless you abundantly

  • @perpetuajambia9021
    @perpetuajambia9021 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka Joel

  • @francis-chukwuchiduo8337
    @francis-chukwuchiduo8337 ปีที่แล้ว +1

    Boy from Shangani PS. Proud bro.

  • @hellyfridy
    @hellyfridy 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe kwa darasa kwa kutoa elimu nzuri katika maisha. Ila mimi mtu akiongelea Timu ambayo siipendi siwezi hata kujizuia

  • @MustafaShomari-nh7pn
    @MustafaShomari-nh7pn 6 หลายเดือนก่อน

    Shukrani sana brother joel nanauka yana dah naamini kwakazi yako malipoyaduniani ayakutoshi unafanya kazikubwa sana

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 2 ปีที่แล้ว +1

    Iyo kutamka jina brother imenigusa sana

  • @joliea2956
    @joliea2956 2 ปีที่แล้ว +2

    Asante,,nlichokua nakosea nikujieleza maisha ,hapo umenielemisha,from kenya in Saudi 🇸🇦

  • @fredricksamsonmathias
    @fredricksamsonmathias 8 หลายเดือนก่อน

    I got you bro

  • @halimahleema5165
    @halimahleema5165 ปีที่แล้ว

    Thanks teacher yote uliosema yanatuhusu Kwa nija moja au nyingine

  • @davidmushi2212
    @davidmushi2212 ปีที่แล้ว

    Asante sana.
    umefundisha kitu cha muhim sana.

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 ปีที่แล้ว

    Najifunzaaaaa🙏

  • @eliassimeo1616
    @eliassimeo1616 2 ปีที่แล้ว +4

    Thank you very much. I have gained a lot from this video

  • @doreenlyimo4142
    @doreenlyimo4142 ปีที่แล้ว

    Asante Sana kwa somo zuri Kaka Joel

  • @kyandovaireth4988
    @kyandovaireth4988 2 ปีที่แล้ว +61

    Thanks brother. Ila kwa nyongeza point nyingine epuka kupokea offer iwe ya chakula, kinywaji, lift n.k na hasa siku ya kwanza maana offer zingine huwa ni za mtego kwako.

    • @frankmtei3017
      @frankmtei3017 2 ปีที่แล้ว +7

      kama amekupa bila kumuomba ukakataa wakati mwingine inaweza kukuharibia pia

    • @dastanjonathan6902
      @dastanjonathan6902 2 ปีที่แล้ว +2

      Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu

    • @dastanjonathan6902
      @dastanjonathan6902 2 ปีที่แล้ว +1

      Mtengenezee ahisi km unashida(muhitaji) ila hauombi means unaweza zimudu ila akitoa ishi nayo pia ni kumheshimu

    • @allenmdimi8105
      @allenmdimi8105 2 ปีที่แล้ว +2

      Kila siku napata kitu kipya kutoka kwako brother mungu akubariki sana

    • @zickmalik4901
      @zickmalik4901 ปีที่แล้ว

      Hapana pokea kwan ukikataa utakuwa negative side

  • @magrethjohn4929
    @magrethjohn4929 2 ปีที่แล้ว +2

    🙏🙏🙏 uncle joel

  • @dannyhimhim5567
    @dannyhimhim5567 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for your lecture sir am always there listening and learning.

  • @lameckamoke3823
    @lameckamoke3823 2 ปีที่แล้ว

    Asante sana brother Joel

  • @stephenjonas4866
    @stephenjonas4866 ปีที่แล้ว

    Joel The great

  • @angetilemwashitete2788
    @angetilemwashitete2788 ปีที่แล้ว

    Nzuri Sana

  • @RuwaidaAyoub-q6k
    @RuwaidaAyoub-q6k 11 หลายเดือนก่อน

    Hello Mr Joel I'm student so I wish to get adivice especially for us

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 2 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda

  • @pat-bog3831
    @pat-bog3831 ปีที่แล้ว

    Safi kabisa

  • @dmstvonline6608
    @dmstvonline6608 2 ปีที่แล้ว

    Tupo wengi tu

  • @carolineminja6302
    @carolineminja6302 ปีที่แล้ว

    Thanks

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 2 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @joel76
    @joel76 2 ปีที่แล้ว

    Hivi una podcast channel??

  • @buluonefurniture9655
    @buluonefurniture9655 2 ปีที่แล้ว

    vp kama ntakutana nae mitandaoni

  • @yomamausafi1137
    @yomamausafi1137 2 ปีที่แล้ว

    Teacher nko nawe pandu pandu

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 2 ปีที่แล้ว +11

    Uhalisia hapo nikuepuka kuongea sana Ahsante kwa ujumbe mkuu😐

  • @nuraabdi9392
    @nuraabdi9392 2 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @victornafwa2471
    @victornafwa2471 หลายเดือนก่อน +2

    Avoid discussing politics, religion and borrowing money.

  • @isayandege1837
    @isayandege1837 2 ปีที่แล้ว +6

    Brother Joel,,,habari yako,,,,kwa kweli nimekuwa nafatilia sana video zako,,,,,mimi nimewahi kosa mke kwakusemea cm yake na kucha tuu,,,,,,,yani sikuamini kilicho nitokea,,,,ahahaa

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 2 ปีที่แล้ว +6

    Nashukuru Niko makini Kwa yote uliongea mungu akulinde sana we jembe

  • @bettykageza1964
    @bettykageza1964 2 ปีที่แล้ว

    Asante

  • @fejam9223
    @fejam9223 2 ปีที่แล้ว +5

    Kabisa hii kosa ya 5 iko deep sana mtu umekutana naye wewe umetingwa na simu... kitu kinakera SANA.. asanteeee kwa elimu na kutukumbusha haya

  • @JULIUSJOHN-rq7hc
    @JULIUSJOHN-rq7hc 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kujigamba

  • @muttae2
    @muttae2 2 ปีที่แล้ว +5

    Umenena vyema kaka. Hata mimi nilimfurahia sana jamaa mmoja nilipokutana nae kwa mara ya kwanza, wakati tunaagana alitaja jina langu vizuri sana kuliko mtu yeyote niliewahi kukutana nae.

  • @ElineAngel
    @ElineAngel ปีที่แล้ว +1

    Nakuelewa sana , kaka joeli❤ , point zote nimezielewa mnoo ila ya MWISHO ni Nimezielewa zaidi.😊 ,God bless u broh

  • @mariamkitaluka717
    @mariamkitaluka717 3 หลายเดือนก่อน

    Joel nimekuelewa vzr Sana mm nina ushuhuda Kuna mtu ambaye had Sasa n rafik kwa sababu tu nilipokutana naye kwa Mara ya kwanza nilionyesha kumsikilza kwa makin Hilo tu lilinipa point kubwa Sana na aliniambia kuwa watu weng hawana hiyo

  • @SamsonIbrahim-o9x
    @SamsonIbrahim-o9x วันที่ผ่านมา

    Brother nishauli Mimi nafanya kazi ya ulinzi kwa mwezi naingiza laki2.5 nishauli nifanye nn ili niizalishe

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 ปีที่แล้ว +1

    Kweli kabisa niliitwa na watu wawili kuongea nao niliwaona wa ajabu San walikuwa busy na simu zao wote mmi yangu niliuweka serince kwa kweli niliondok na nikawaambia kuwa siitaki kukutana nao tena wkiwa na shida nami wanipigiee ..kwa kweli kaka MUNGU AKUBALIKI KWA KUTUEMIISHA

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 ปีที่แล้ว

    Je ! Unamsaidiaje mtu ambaye tayari ameshafanya makosa ambayo umeyataja kwa mtu ambaye anategemea awe wa muhimu kwake?

  • @JemaKalinga
    @JemaKalinga หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka joel lakn mm point ya 4 inanihusu apo cjui ntajizuiaje

  • @mcnyoka
    @mcnyoka 2 ปีที่แล้ว +2

    Hongera mkuu 200K subscribers na mimi nimo humo🤝

  • @jameskitheka5791
    @jameskitheka5791 ปีที่แล้ว +1

    Thanks sana,nimejifunza kitu may God akuzidishie.Nakufatilia nikiwa kenya 🇰🇪

  • @ruthmoses6565
    @ruthmoses6565 ปีที่แล้ว +1

    Huwa napenda nikitulia sana nikuskilize maana Kila neno unaloongea kwangu ni thaman tupu,Mungu kakubariki sana,, endelea kutuelimisha kaka

  • @victornafwa2471
    @victornafwa2471 หลายเดือนก่อน

    Kuomba pesa ni vibaya Sana...

  • @monicamkwela1874
    @monicamkwela1874 2 ปีที่แล้ว +4

    Mimi mtu akinisifia kwa upande wangu ki ukwel ameyaaga mashindano moja kwa moja, usitegemee matokeo chanya ukianza ivyo,binafsi sipendi na naona kama vile unanipanga hivi,ijapokuwa nafahamu fika ya kuwa ninazo baadhi ya sifa.

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kaka Joel kwa kutuelimisha nimekua nikifanya makosa mengi nikijua nipo sahihi,, imebidi nitazame Mara mbili video hii ili kuelewa zaidi.

  • @VenanceRoy61
    @VenanceRoy61 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kaka umenifungulia dunia

  • @dodgerwakitaa2658
    @dodgerwakitaa2658 2 ปีที่แล้ว +2

    Nafuatilia sana hadi nifikie pale

  • @SHILECKIZACHARIA
    @SHILECKIZACHARIA 18 วันที่ผ่านมา

    Asante sana Joely

  • @yohanasimtenda748
    @yohanasimtenda748 2 ปีที่แล้ว +2

    Noted🙏

  • @emmanuelmakindi4409
    @emmanuelmakindi4409 2 ปีที่แล้ว +1

    Bro kwanini ulichelewa kutoa hii Elimu, mimi nimeshakosea sana..ubarikiwe mno

  • @COSMASDAMIANO-y5l
    @COSMASDAMIANO-y5l 3 หลายเดือนก่อน

    Me yote kk yalikua yananisumbua

  • @usitumieaccounthiibyvictor8000
    @usitumieaccounthiibyvictor8000 2 ปีที่แล้ว +1

    Yeah nimeelew vizuri ndugu, Ila hapo niulize. Nilienda Mahali kuomba kazi, ila mtu aliehitaji nifanyenae kazi alihitaji sababu hasa zilizo nifanya nihitaji hiyo kazi. Nilimpa details za sehemu nlokuwa nkifanya Kaz kwa kumpa mapungufu ya boss wangu wa zaman katik mpangilio wake w Kaz na kupelekea mm kuona kazi Hyo Ni ngumu na inanishinda ndicho kitu kilipelekea nije kuomba kazi nyingine kwake. Ok hapo nitakuwa nimefanya makosa ndugu?

    • @elizabethpetro1258
      @elizabethpetro1258 ปีที่แล้ว +1

      Ndio Ni makosa bola ukae kimya Maana mabosi wengi tabia zinafanana we angalia gepu litakalokupa mtaji wako tu hata Kama Boss anakera lkn Kama analipa pesa vumilia . Boss mbaya Ni Yule asiyelipa.

    • @geshomatupele4367
      @geshomatupele4367 ปีที่แล้ว

      @@elizabethpetro1258 Asante mkuu

  • @sophykitale9981
    @sophykitale9981 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana my mentor nimeongeza kitu kwenye safari yangu🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @erickevarst9589
    @erickevarst9589 2 ปีที่แล้ว +1

    Siongezi kitu hapo juu ya somolako, ila nimepata kitu kizuri nmecho jifunza wewe Roll model wangu, tangu 2019, hua siifungui TH-cam bila kupita kwako, na hivi Sasa najipanga kuanza kununua Ebook zako zakutosha maana Umekwisha niosha akiliyangu na Mungu kaongeza kuyafumbua machoyangu pia. Asante Kaka Joel Nanauka. Mungu azidi kukutunza.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  2 ปีที่แล้ว +1

      Ameen ahsante sana

  • @victoriamerura9382
    @victoriamerura9382 ปีที่แล้ว +3

    Thanks so much, may good Lord bless you 🙏

  • @laureenodimba9261
    @laureenodimba9261 วันที่ผ่านมา

    Great content, keep it up 😊

  • @hellenismail4351
    @hellenismail4351 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu Akubariki na kukuinua zaidi my brother💕💕💕💕

  • @festoamos_tz
    @festoamos_tz ปีที่แล้ว

    Nimejifunza mengi ikiwemo kumsifia mtu (kum-compliment, au kum-appreciate) ni kitu napenda sijui kama kuna kosa kumwambia mtu, mfano. you look nice, and beautiful, I am happy to meet you...... (Msaada hapo kiongozi)

  • @omarjuma1794
    @omarjuma1794 2 ปีที่แล้ว +1

    #JoelArthurNanauka Jenius by Discovery

  • @MatokeoJoseph.Fonkol
    @MatokeoJoseph.Fonkol 3 หลายเดือนก่อน

    kwanza mungu ajalie sote tuwe na afya njema ili tuweze kupewa elim tukiwa na afya njema nashukuru xana tangu nilipo anza kuku fuatiria kuna mengi nime jifunza kutoka kwako pia miaka 3 iliyo pita nili fuaata elim yko kweri nili weka nizam ya pesa hadi kubadili pare nilipo kuwa hadi wa tofauti baada ya hapo mwaka ulio fata nilikuwa wa tofauti na marengo yare pia nime pata mazara mno nashukuru elim yko ina nipa somo kubwa naanza mwanzo nikiwa wa tofauti sana niritupa marengo marengo yaka nitupa hivi akili imekuwa na nita simama tena mungu akupe afya njema ili uweze kutupa elim

  • @advocateishengoma1088
    @advocateishengoma1088 ปีที่แล้ว

    Hujazungumzia point nyingine demu kukuomba nyingii kisa tu umeonyesha kumpenda,pesa unayoombwa ni kama umetozwa faini ya kumpenda

  • @AmaniManirambona
    @AmaniManirambona 7 หลายเดือนก่อน

    Sir Joel,kiukweli nimevutia sana na Maelekezo yako hasa yamenifanya kubadili maisha na kupata matumaini ya mafanikio kunako maisha ya kesho. Nanilikua nashindwa kujua wapi nianzie tena baada ya kufeli kwa mara kadhaa ili kuanzisha mipango yenye kunipa mafanikio hasa pale ninapo ahirikiana na watu wasio sahihi Asante sana kaka❤

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka N

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 2 ปีที่แล้ว +2

    Very very informative

  • @michaelsakejo
    @michaelsakejo 5 หลายเดือนก่อน

    uko vizuri ushauli wako ni mzuri asante

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy 2 ปีที่แล้ว

    “kuongea sana/ Ujuaji” mbaya sana hii.

  • @ggvv9970
    @ggvv9970 ปีที่แล้ว

    Duuuuh Safi sana....Mimi sio mara ya kwanza ata sasa mtu namchukia nkiwa naongea nae na call ye anaongea namimi uku ana chat pia namchukia..

  • @ydshine9210
    @ydshine9210 ปีที่แล้ว

    Aisee umenena jambo la kweli kaka mm bwana n mtu kuongea sana nnapo Kutana na mtu mala ya kwanza na nahis inafika hatua mtu kama smpi nafasi mpaka najishtukia yan

  • @naomimollel2292
    @naomimollel2292 3 หลายเดือนก่อน

    Kweli kabisa

  • @josephinebitesigirwe5730
    @josephinebitesigirwe5730 ปีที่แล้ว

    kwakweli makosa haya tunayafanya mara nyingi yamkini somo hili limekuja kwa wakati kutusaidia asante sana mtumishi nakuombea mafuta zaidi

  • @DARIUSMUGANYIZI-xn6qz
    @DARIUSMUGANYIZI-xn6qz 4 หลายเดือนก่อน

    Daah nakoseaga sana Ila asante kwa elimu nzuri mwalimu Leo nimejifunza ktu cha muhimu

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 11 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka

  • @salvinamakindi473
    @salvinamakindi473 2 ปีที่แล้ว

    Dah mungu mwema yote hayo sijawahi kufanya makosa na spend mtu nikutane nae ayafanye kwenye jina apo ume patia ata me napenda mtu ataje jina langu vizur napenda mtu ajari muda wangu sio tunaongea Yuko busy na sim spend atu mweny misifa mingi . asante kwa kunikumbusha

  • @tanomarijani508
    @tanomarijani508 ปีที่แล้ว

    Ahsant sana kaka kwa darasa,, je ni vitu gani vya kuepuka endapo mtu atahitaji fursa kutoka kwako..

  • @yvesniyongabo9437
    @yvesniyongabo9437 ปีที่แล้ว

    Thanks for your wise word Sir, tunajifunza vitu vingi kwenye mafunzo yako. From 🇧🇮

  • @COSMASDAMIANO-y5l
    @COSMASDAMIANO-y5l 3 หลายเดือนก่อน

    Duuuh ndo naingia nahis statoka huku,kaka thanks umenifunza vitu vingi leo

  • @proper_afya_tz
    @proper_afya_tz 2 ปีที่แล้ว

    Mimi makosa niliyokuwa nafanya ni kutokuconcentrate na mtu wakati wa mazungumzo nashukuru kwa darasa naamini nitarekebisha makosa

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 2 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante kaka Joel Nanauka

  • @JUMAMASANJA-t7m
    @JUMAMASANJA-t7m ปีที่แล้ว

    Hongera sana kaka mana hii ndo njia nzuri ya kutumia mitandao ktk kutoa elimu.Asante

  • @bigdreamer8857
    @bigdreamer8857 ปีที่แล้ว

    Asante Sana

  • @evodiusjovine1782
    @evodiusjovine1782 ปีที่แล้ว

    Asante sanaa

  • @alexpatrice3109
    @alexpatrice3109 2 ปีที่แล้ว

    Nahitaji baadhi ya vitabu vyako niko mkoa wa mwanz navipataj?? please naomba unisaidie kwa ilo

  • @njuuhjera9971
    @njuuhjera9971 2 ปีที่แล้ว

    Nafanya Kaz kweny mpesa nakubaliana na hilo la kutaja jina lake vizur..coz nikisoma majina ya wateja wang hua wanasema wow umelitaja jina lang vzr na anaweza kuomba nirudie

  • @FredyNickson
    @FredyNickson 6 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤

  • @georgethomy1212
    @georgethomy1212 5 หลายเดือนก่อน

  • @EmmanuelMoswala-pj4hu
    @EmmanuelMoswala-pj4hu ปีที่แล้ว

    GOD BLESS YOU

  • @EmmanuelMoswala-pj4hu
    @EmmanuelMoswala-pj4hu ปีที่แล้ว

    GOD BLESS YOU

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 2 ปีที่แล้ว

    NZURI SANA JOEL ,LIMBUKO LIKIWA JEMA NA DONGE LOTE LINAKUWA JEMA .NA HAPO UMEZUNGUMZIA NAMNA TUNAPOKUTANA NA WALE AMBAO TUNAWEZA KUPATA FURSA TOKA KWAO INGAWA KILA MTU NI FURSA LAKINI JE KWA MARA YA KWANZA TUNAPOKUTANA NA WATU WANAOHITAJI FURSA TOKA KWETU NI YAPI YA KUEPUKA .SALUTE SIR JOEL.