1.Kufanya ibada 2.Kua naratiba y mambo yk 3.Kufanya Mazoezi 4.MDA wko kutumia vzr 5.Kusikiliza Sana 6.Kuliza maswali 7.kusafiri ndio kuona mengi 8.kujifunza kitu kipya kila siku Every day is a learning day
Pia brother kuna njia nyingine kama 1.kuuliza maswali 2.kusafiri 3.kukaa na watu waliokuzidi umri 4.kupata usingizi wa kutosha 5.kuhakikisha unapata mlo kamili Brother hizo ni miongoni mwa ninazofahamu.
Bora hata wewe umeongea point Yaani ya 2, 4 na Ya 5 zote ni point. Huyo brother wako Mbili ndiyo point hiyo ya kusoma vitabu na Kujifunza Vitu vipya zilizobaki ni Pumba tupu.
Maswali ukiuliza uliza ovyo unaboa watu. pili unauliza nini?? Na unamuuliza nani?? Maana waweza kumuuliza kichaa akakuadabisha. Inatakiwa ukae na watu Timam wenye Akili zao. Umri ni Namba. Aweza akawa Mkubwa ila Akili zake ni za kitoto na aweza akawa Mdogo ila Akili zake ni za Kiutu uzima.
Uko vizuri bro mie sina cha kukupinga cha zaidi ni kukushukuru kwa madini mazuri unayotupa big up sanaaa ila kuna siku ulionyesha kitabu kimoja kinahusiana na mambo ya kampuni na ukaongelea mmeanzisha kampuni ya asali nilikuwa nina shida nacho pia
Maa shaa Allah kuna eneo Allah akujaalie kufika kwani huko kuna hitajio la watu kama nyinyi Allah akuongoze na atuongoze sote kwa rahma zake uko faswaha sana Allah azidishe nuru ya ufaswaha ktk ufahamu wako sina shaka umenielewa aaamin fasanazidul muhsinin
Njia 5 za kuongeza akili zaidi : - 1 . Kufanya kitu kipya kila siku (Be creative) . 2. Panga muda wako vzr (Manage your time wisely). 3. Kusoma vitabu kila siku (Read more everyday) . 4. Kuuifunza lugha nyingine (Learn new language) . 5. Kufanya mazoez kila siku (To exercise daily) .
Nashukuru sana Athumani Mraji kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!
Asante sana umenigusa sana kwenye muda niko vizuri, shida kwenye kusoma vitabu, ni mpenzi sana kununua vitabu shida kusoma nina kuwa mvivu sana nifanyeje niwe msomaji mzuri??????
Tenga walau dakika 20 tu kila siku, kwa muda huo dakika hizo 20 , huchoki, na baada ya mwezi Hivi utajikuta unapata ham ya kusoma zaidi, ukiona dakika hizo Ni nyingi weka walau dakika 10 tuu, kilasiku. NB:ZINGATIA KUWA NA NIDHAMU YA DAKIKA HIZO KIKA SIKU.
Pia, Kama inawezekana , tafuta mwangalizi, mtu ambaye mna ukaribu ambaye yupo sirias nikimaanisha ambaye anaweza KUKUWAJIBISHA , ATAKAEKUWAJIBISHA DHIDI YA MALENGO YAKO hayo ulojiwekea, ATAKUWA akikuuliza daily Kama ushatekeleza lengo au la!???
Binafsi naamini sana katika kusoma .... nimejifunza mengi kupitia maandishi ya watu na yamenisaidia kujitambua na wakati mwingine kutatua changamoto mbalimbali ninazokutana nazo.
You forgot one important thing. In order for the brain to function well, you need to eat well especially to the young ones who they brain are still developing. You can't learn something new while you are hungry., It doesn't work.
Unajua mtu 1 anaweza akafundisha watu 2 na wawili watafundisha 4 na 4 watafundish 8 ,unajua maana yake nini??? Ni kwamba ww hapo umenifunza mm na mm naenda kufunza wawili so thanks for your MATLAB end of the day dunia itakuwa imara kwakuwa kuna channel ta success path each one teach one
Kiswahili chako kinanifanya kufahamu lugha ya kiswahili. As I'm Burundian i would like to study swahili language lakini sijui hata neno moja kwa kiswahili je nifanyeje ili niweze kujifunza lugha ya kiswahili?????🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Aisee kwanza hongera sana sababu naona unaandika vizuri sana kwanza, kwa sasa endeela kusikiliza na kama una mtu anayeongea kiswahili huko, tafadhali fanya naye mazoezi mengi ya kuongea lazima uta-improve sana
1.Kufanya ibada
2.Kua naratiba y mambo yk
3.Kufanya Mazoezi
4.MDA wko kutumia vzr
5.Kusikiliza Sana
6.Kuliza maswali
7.kusafiri ndio kuona mengi
8.kujifunza kitu kipya kila siku Every day is a learning day
Pia brother kuna njia nyingine kama
1.kuuliza maswali
2.kusafiri
3.kukaa na watu waliokuzidi umri
4.kupata usingizi wa kutosha
5.kuhakikisha unapata mlo kamili
Brother hizo ni miongoni mwa ninazofahamu.
Bora hata wewe umeongea point Yaani ya 2, 4 na Ya 5 zote ni point. Huyo brother wako Mbili ndiyo point hiyo ya kusoma vitabu na Kujifunza Vitu vipya zilizobaki ni Pumba tupu.
Maswali ukiuliza uliza ovyo unaboa watu. pili unauliza nini?? Na unamuuliza nani?? Maana waweza kumuuliza kichaa akakuadabisha. Inatakiwa ukae na watu Timam wenye Akili zao. Umri ni Namba. Aweza akawa Mkubwa ila Akili zake ni za kitoto na aweza akawa Mdogo ila Akili zake ni za Kiutu uzima.
Exactly
Asante sana Kaka nazidi kuwa na akili nyingi kupitia maneno zako ubalikiwe
Uko vizuri bro mie sina cha kukupinga cha zaidi ni kukushukuru kwa madini mazuri unayotupa big up sanaaa ila kuna siku ulionyesha kitabu kimoja kinahusiana na mambo ya kampuni na ukaongelea mmeanzisha kampuni ya asali nilikuwa nina shida nacho pia
Maa shaa Allah kuna eneo Allah akujaalie kufika kwani huko kuna hitajio la watu kama nyinyi Allah akuongoze na atuongoze sote kwa rahma zake uko faswaha sana Allah azidishe nuru ya ufaswaha ktk ufahamu wako sina shaka umenielewa aaamin fasanazidul muhsinin
Ammyn yarabb
Asante sana tuna fatilia mafunzo yako kwakweli yanatuepusha na msongo wa mawazo
Njia 5 za kuongeza akili zaidi : -
1 . Kufanya kitu kipya kila siku (Be creative) .
2. Panga muda wako vzr (Manage your time wisely).
3. Kusoma vitabu kila siku (Read more everyday) .
4. Kuuifunza lugha nyingine (Learn new language) .
5. Kufanya mazoez kila siku (To exercise daily) .
👍
@@hawasamwel5913 ok
Vema. Hii ni nzuri sana
I do the above everyday and i think I'm becoming smarter
It's good
Upo vyema kaka angu mwenyezi Mungu akupe moyo huohuo wa kuzidi kujenga watu
Asante sana barikiwa mno kwa point
Asante mungu akuzidishie masiku
Asante nimejifunza sana
Asante kaka ezden ,point no 3👍,readers are leaders! TRUE LEADER FOCUS ON PURPOSE, PASSION,PRINCIPLES,HUMANITY,VISION etc..
Kaka nakukubali sana
Thanks a lot
Asante Kaka Ezden kazi ni kwangu,👊👊👍
Asante sana kwakweli nimeelimika sana na kufarijika sana.this education is important than school subjects
God bless you and God to protect you❤😊🎉
Mungu Akubariki
Thanks a lot I learn more today
Asante nimefaidika nahaya asante san broo
karibu sana Ally
Thanks for everything
Thanks
Nimekwelewa sana brother God bless you
Good
Shukrani sana.......
Thanks somach
Nashukuru sana Athumani Mraji kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!
1 penda kuandika
2 jifunze kitu kipya kila siku
3penda kusoma Readers are leaders
4 jifunze lugha nyingine mpya
5 fanya mazoezi
Asante kwa somo zuri
Asante sana
Shukrani jazzaka
Asante broo
Thanks bro keep it up
Asante bb
Asante
Hongera uko vizuri masha Allah
Nabarikiwa sana
Nice looks nice and one more is sticking in your ambitions
Thanks much brother ezden, May God bless you more.
Ahsante
Thanks for knowledge
Cool advise love point no3
M.mungu akubariki sana
Tunastafidi sana
Guy am so interesting with your subject
Ahsante sana kaka
ahsante brother
Nimeamka asubuhi tu na kuangalia hii clip naamini nimejifunza kitu kipya kabisa siku ya Leo barikiwa EZDEN JUMANNE
Thanks much brother
Shukran bro
Good news thanks
Barikiwa kwa SoMo zuri mtu wa mungu.
Safi sana kaka mungu akubariki
daah bro unajua sana wasio kupenda wachawi wewe level yako ni "pro" ❤❤❤❤❤❤
Nakukubar san mzeeeee
Kaka mbona leo unaongea na mimi thank you very much kwa kuniandalea this wonderfully insparational speech
Thanks you brother very much watching I look TH-cam video for you good I need video every time thanks you 😅😅❤
Asante sana kwa Elimu
Maashaa Allah.. shukran
Asante sana umenigusa sana kwenye muda niko vizuri, shida kwenye kusoma vitabu, ni mpenzi sana kununua vitabu shida kusoma nina kuwa mvivu sana nifanyeje niwe msomaji mzuri??????
Read few pages everyday.
Tenga walau dakika 20 tu kila siku, kwa muda huo dakika hizo 20 , huchoki, na baada ya mwezi Hivi utajikuta unapata ham ya kusoma zaidi, ukiona dakika hizo Ni nyingi weka walau dakika 10 tuu, kilasiku. NB:ZINGATIA KUWA NA NIDHAMU YA DAKIKA HIZO KIKA SIKU.
Pia, Kama inawezekana , tafuta mwangalizi, mtu ambaye mna ukaribu ambaye yupo sirias nikimaanisha ambaye anaweza KUKUWAJIBISHA , ATAKAEKUWAJIBISHA DHIDI YA MALENGO YAKO hayo ulojiwekea, ATAKUWA akikuuliza daily Kama ushatekeleza lengo au la!???
SIRI KUBWA SANAAAA, IPO KATIKA KUWEKA MALENGO ILA SIRI YENYEWE IPO KATIKA NIDHAMU KATIKA KUYATEKELEZA MALENGO YAKO
Asante sana kaka
Barikiwa
Nabalikiwa sana na mafundisho yako bro mungu akubariki kipekee sana
Njia nyingine ya kuwa more smart Ni kumtegemea Mungu .coz Creator knows better than the product
Shukrani sana kaka Ezden
Somo nzuri saana
Your so amazing thanks , Nina swali kwann mwili huwa unachoka kwa kukaa tu bila kushughulish
Point
Nime Click faster hii video,km mmbea kaona UBUYU.
Nice stuff brother.
nkubliiii
Asante kwa mafunzo.
Sasa ina ni bidi niya tendeshe
Kwanzia léo
Mungu akupe maisha marefu
Oooooh thanks bro keep it up
Amiin... nashukuru sana
Thanks
Pia nimefurahi kusikia kujifunza kiarabu nayo ni nzuri sana itakusaidia hadi akhera yako
Nice
God bless you my brother mafundisho yako nayakubli %100
Jumanne asalla mwalaiku nimependa sana ushauriwako nahitaja vitabu nitavipataje
Binafsi naamini sana katika kusoma .... nimejifunza mengi kupitia maandishi ya watu na yamenisaidia kujitambua na wakati mwingine kutatua changamoto mbalimbali ninazokutana nazo.
Thank you genius 🙏🙏
You forgot one important thing. In order for the brain to function well, you need to eat well especially to the young ones who they brain are still developing. You can't learn something new while you are hungry., It doesn't work.
mbna mm nikiwa masoma ama kujisomea nawahi kusahau nilicho jifunzza afu natumia mdaa mwingi sana kuelewa nifanye nn
Masha allah akhy allah akulipe na akuhifadh
Ahsante sana broo nimegain kitu k
Asantee bro lakn ni vitabu gani unapaswa kusima
This is more than class
Nice brother may God bless you
Very true,👏
Safi sana
Smart brain kip it up
Masaha Allah
Sure bro
جزاك الله خير
Asante Sana niwiwa kuungana na wewe kaka
You are welcome
👌😘😘
Nimeipenda sana hili somo
Unajua mtu 1 anaweza akafundisha watu 2 na wawili watafundisha 4 na 4 watafundish 8 ,unajua maana yake nini??? Ni kwamba ww hapo umenifunza mm na mm naenda kufunza wawili so thanks for your MATLAB end of the day dunia itakuwa imara kwakuwa kuna channel ta success path each one teach one
Thanxiiii broo kwa nondoo
Hongereni sana
Kiswahili chako kinanifanya kufahamu lugha ya kiswahili. As I'm Burundian i would like to study swahili language lakini sijui hata neno moja kwa kiswahili je nifanyeje ili niweze kujifunza lugha ya kiswahili?????🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Aisee kwanza hongera sana sababu naona unaandika vizuri sana kwanza, kwa sasa endeela kusikiliza na kama una mtu anayeongea kiswahili huko, tafadhali fanya naye mazoezi mengi ya kuongea lazima uta-improve sana
Bro big up , najifunza mengi kupitia ww , mungu akutalie akupewepes kwenye kazi zako
Iko pw sana kaka
Keep going my love❤❤
mwanaume kutafuta mademu inakupanua kiakili na kuto kukaa kizembe
Bro''nime kubali ushauri wako endelea ivo Allah Ata kulipa