NJIA 5 ZA KUONGEZA AKILI ZAIDI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 298

  • @saidmuridseif2771
    @saidmuridseif2771 4 ปีที่แล้ว +14

    1.Kufanya ibada
    2.Kua naratiba y mambo yk
    3.Kufanya Mazoezi
    4.MDA wko kutumia vzr
    5.Kusikiliza Sana
    6.Kuliza maswali
    7.kusafiri ndio kuona mengi
    8.kujifunza kitu kipya kila siku Every day is a learning day

  • @shamsudintwalha
    @shamsudintwalha 4 ปีที่แล้ว +29

    Pia brother kuna njia nyingine kama
    1.kuuliza maswali
    2.kusafiri
    3.kukaa na watu waliokuzidi umri
    4.kupata usingizi wa kutosha
    5.kuhakikisha unapata mlo kamili
    Brother hizo ni miongoni mwa ninazofahamu.

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 4 ปีที่แล้ว +1

      Bora hata wewe umeongea point Yaani ya 2, 4 na Ya 5 zote ni point. Huyo brother wako Mbili ndiyo point hiyo ya kusoma vitabu na Kujifunza Vitu vipya zilizobaki ni Pumba tupu.

    • @annassuleiman4508
      @annassuleiman4508 4 ปีที่แล้ว +1

      Maswali ukiuliza uliza ovyo unaboa watu. pili unauliza nini?? Na unamuuliza nani?? Maana waweza kumuuliza kichaa akakuadabisha. Inatakiwa ukae na watu Timam wenye Akili zao. Umri ni Namba. Aweza akawa Mkubwa ila Akili zake ni za kitoto na aweza akawa Mdogo ila Akili zake ni za Kiutu uzima.

    • @hawaamohammed6687
      @hawaamohammed6687 4 ปีที่แล้ว +3

      Exactly

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 4 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana Kaka nazidi kuwa na akili nyingi kupitia maneno zako ubalikiwe

  • @stanleygeoffrey8264
    @stanleygeoffrey8264 4 ปีที่แล้ว +3

    Uko vizuri bro mie sina cha kukupinga cha zaidi ni kukushukuru kwa madini mazuri unayotupa big up sanaaa ila kuna siku ulionyesha kitabu kimoja kinahusiana na mambo ya kampuni na ukaongelea mmeanzisha kampuni ya asali nilikuwa nina shida nacho pia

  • @kisiwanimedia8828
    @kisiwanimedia8828 4 ปีที่แล้ว +4

    Maa shaa Allah kuna eneo Allah akujaalie kufika kwani huko kuna hitajio la watu kama nyinyi Allah akuongoze na atuongoze sote kwa rahma zake uko faswaha sana Allah azidishe nuru ya ufaswaha ktk ufahamu wako sina shaka umenielewa aaamin fasanazidul muhsinin

  • @mozasaalim858
    @mozasaalim858 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana tuna fatilia mafunzo yako kwakweli yanatuepusha na msongo wa mawazo

  • @zaqjebra7919
    @zaqjebra7919 4 ปีที่แล้ว +52

    Njia 5 za kuongeza akili zaidi : -
    1 . Kufanya kitu kipya kila siku (Be creative) .
    2. Panga muda wako vzr (Manage your time wisely).
    3. Kusoma vitabu kila siku (Read more everyday) .
    4. Kuuifunza lugha nyingine (Learn new language) .
    5. Kufanya mazoez kila siku (To exercise daily) .

  • @LucasSanga-d8b
    @LucasSanga-d8b หลายเดือนก่อน +1

    It's good

  • @AzizaMussa-hz8mk
    @AzizaMussa-hz8mk 7 หลายเดือนก่อน +2

    Upo vyema kaka angu mwenyezi Mungu akupe moyo huohuo wa kuzidi kujenga watu

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana barikiwa mno kwa point

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 4 ปีที่แล้ว

    Asante mungu akuzidishie masiku

  • @monikabonny1382
    @monikabonny1382 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante nimejifunza sana

  • @claraprosper8642
    @claraprosper8642 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante kaka ezden ,point no 3👍,readers are leaders! TRUE LEADER FOCUS ON PURPOSE, PASSION,PRINCIPLES,HUMANITY,VISION etc..

  • @thrivehappy9610
    @thrivehappy9610 2 ปีที่แล้ว +1

    Thanks a lot

  • @edmundisospeter7837
    @edmundisospeter7837 4 ปีที่แล้ว +10

    Asante Kaka Ezden kazi ni kwangu,👊👊👍

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwakweli nimeelimika sana na kufarijika sana.this education is important than school subjects

  • @NduwimanaNadine-j8s
    @NduwimanaNadine-j8s ปีที่แล้ว +1

    God bless you and God to protect you❤😊🎉

  • @NgizwenayoPaulin
    @NgizwenayoPaulin 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu Akubariki

  • @estherkihongosi7902
    @estherkihongosi7902 2 ปีที่แล้ว

    Thanks a lot I learn more today

  • @AllyAbdulrahmanAbdallah
    @AllyAbdulrahmanAbdallah ปีที่แล้ว +1

    Asante nimefaidika nahaya asante san broo

  • @betishebajoachim5958
    @betishebajoachim5958 4 ปีที่แล้ว +1

    Thanks for everything

  • @AminaYassin-y5r
    @AminaYassin-y5r ปีที่แล้ว +1

    Thanks

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 ปีที่แล้ว +1

    Nimekwelewa sana brother God bless you

  • @user-ih4mp1ds8k
    @user-ih4mp1ds8k 2 หลายเดือนก่อน +1

    Good

  • @bashirumussa7045
    @bashirumussa7045 4 ปีที่แล้ว

    Shukrani sana.......

  • @athumanimraji2469
    @athumanimraji2469 3 ปีที่แล้ว +1

    Thanks somach

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  3 ปีที่แล้ว

      Nashukuru sana Athumani Mraji kwa kufuatilia channel hii. Tuendelee kuwa pamoja. Kwa Mahitaji ya kununua vitabu andika neno "VITABU" na kujiunga na group langu la vitabu andika maneno "SPN BOOK CLUB" nitumie Text ya kawaida au Whatsapp namba 0759191076. Karibu sana!

  • @molaizer992
    @molaizer992 ปีที่แล้ว

    1 penda kuandika
    2 jifunze kitu kipya kila siku
    3penda kusoma Readers are leaders
    4 jifunze lugha nyingine mpya
    5 fanya mazoezi

  • @gracemwanyika7429
    @gracemwanyika7429 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa somo zuri

  • @NoraOtieno
    @NoraOtieno 7 หลายเดือนก่อน

    Asante sana

  • @yunusmusa5675
    @yunusmusa5675 2 ปีที่แล้ว

    Shukrani jazzaka

  • @petershumbi892
    @petershumbi892 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante broo

  • @selestinmlelwa-jq1iz
    @selestinmlelwa-jq1iz ปีที่แล้ว +4

    Thanks bro keep it up

  • @faidamwalim4779
    @faidamwalim4779 3 ปีที่แล้ว +1

    Asante bb

  • @ibrahimomar9794
    @ibrahimomar9794 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante

  • @salumshillah4035
    @salumshillah4035 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongera uko vizuri masha Allah

  • @onesphorymsemwa6436
    @onesphorymsemwa6436 2 ปีที่แล้ว +1

    Nabarikiwa sana

  • @tanzithebest562
    @tanzithebest562 4 ปีที่แล้ว +1

    Nice looks nice and one more is sticking in your ambitions

  • @dannyerasto137
    @dannyerasto137 4 ปีที่แล้ว +2

    Thanks much brother ezden, May God bless you more.

  • @yussufismail2822
    @yussufismail2822 4 ปีที่แล้ว

    Ahsante

  • @fanyahayakwaurahisiwamaish4063
    @fanyahayakwaurahisiwamaish4063 4 ปีที่แล้ว

    Thanks for knowledge

  • @MALAKIGUMAKOLUKOMBA-rr2nj
    @MALAKIGUMAKOLUKOMBA-rr2nj ปีที่แล้ว

    Cool advise love point no3

  • @mamunote3507
    @mamunote3507 4 ปีที่แล้ว

    M.mungu akubariki sana
    Tunastafidi sana

  • @vitalesjosephat7294
    @vitalesjosephat7294 4 ปีที่แล้ว

    Guy am so interesting with your subject

  • @wayaumememagari4633
    @wayaumememagari4633 ปีที่แล้ว +1

    Ahsante sana kaka

  • @frankmwatosya132
    @frankmwatosya132 3 ปีที่แล้ว

    ahsante brother

  • @edwardmsanjala4376
    @edwardmsanjala4376 4 ปีที่แล้ว +1

    Nimeamka asubuhi tu na kuangalia hii clip naamini nimejifunza kitu kipya kabisa siku ya Leo barikiwa EZDEN JUMANNE

  • @dominickjoackim358
    @dominickjoackim358 4 ปีที่แล้ว

    Thanks much brother

  • @barakamwaki253
    @barakamwaki253 4 ปีที่แล้ว

    Shukran bro

  • @lucasmsabi8054
    @lucasmsabi8054 3 ปีที่แล้ว

    Good news thanks

  • @emmanuelmagesa8642
    @emmanuelmagesa8642 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa kwa SoMo zuri mtu wa mungu.

  • @stephen9856
    @stephen9856 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kaka mungu akubariki

  • @androidHphone
    @androidHphone ปีที่แล้ว +1

    daah bro unajua sana wasio kupenda wachawi wewe level yako ni "pro" ❤❤❤❤❤❤

  • @josephchuma731
    @josephchuma731 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubar san mzeeeee

  • @timothsamwel5840
    @timothsamwel5840 4 ปีที่แล้ว +3

    Kaka mbona leo unaongea na mimi thank you very much kwa kuniandalea this wonderfully insparational speech

  • @HapajOman-u2y
    @HapajOman-u2y 9 วันที่ผ่านมา

    Thanks you brother very much watching I look TH-cam video for you good I need video every time thanks you 😅😅❤

  • @ibrahimkondrad4893
    @ibrahimkondrad4893 4 ปีที่แล้ว

    Asante sana kwa Elimu

  • @ibinswidiiqi3226
    @ibinswidiiqi3226 4 ปีที่แล้ว

    Maashaa Allah.. shukran

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante sana umenigusa sana kwenye muda niko vizuri, shida kwenye kusoma vitabu, ni mpenzi sana kununua vitabu shida kusoma nina kuwa mvivu sana nifanyeje niwe msomaji mzuri??????

    • @swalehebaraka4028
      @swalehebaraka4028 4 ปีที่แล้ว +1

      Read few pages everyday.

    • @togolanisaidi5388
      @togolanisaidi5388 4 ปีที่แล้ว +1

      Tenga walau dakika 20 tu kila siku, kwa muda huo dakika hizo 20 , huchoki, na baada ya mwezi Hivi utajikuta unapata ham ya kusoma zaidi, ukiona dakika hizo Ni nyingi weka walau dakika 10 tuu, kilasiku. NB:ZINGATIA KUWA NA NIDHAMU YA DAKIKA HIZO KIKA SIKU.

    • @togolanisaidi5388
      @togolanisaidi5388 4 ปีที่แล้ว

      Pia, Kama inawezekana , tafuta mwangalizi, mtu ambaye mna ukaribu ambaye yupo sirias nikimaanisha ambaye anaweza KUKUWAJIBISHA , ATAKAEKUWAJIBISHA DHIDI YA MALENGO YAKO hayo ulojiwekea, ATAKUWA akikuuliza daily Kama ushatekeleza lengo au la!???

    • @togolanisaidi5388
      @togolanisaidi5388 4 ปีที่แล้ว

      SIRI KUBWA SANAAAA, IPO KATIKA KUWEKA MALENGO ILA SIRI YENYEWE IPO KATIKA NIDHAMU KATIKA KUYATEKELEZA MALENGO YAKO

  • @stellalemma6239
    @stellalemma6239 4 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kaka

  • @devothabishagazi2390
    @devothabishagazi2390 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa

  • @tinahlukas5183
    @tinahlukas5183 4 ปีที่แล้ว

    Nabalikiwa sana na mafundisho yako bro mungu akubariki kipekee sana

  • @dennisjorvis5546
    @dennisjorvis5546 2 ปีที่แล้ว

    Njia nyingine ya kuwa more smart Ni kumtegemea Mungu .coz Creator knows better than the product

  • @medsonstarlon0805
    @medsonstarlon0805 4 ปีที่แล้ว

    Shukrani sana kaka Ezden

  • @haniphaabou4888
    @haniphaabou4888 4 ปีที่แล้ว

    Somo nzuri saana

  • @nyasatomakunja2956
    @nyasatomakunja2956 4 ปีที่แล้ว

    Your so amazing thanks , Nina swali kwann mwili huwa unachoka kwa kukaa tu bila kushughulish

  • @alicesamson6316
    @alicesamson6316 4 ปีที่แล้ว

    Point

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 4 ปีที่แล้ว +5

    Nime Click faster hii video,km mmbea kaona UBUYU.
    Nice stuff brother.

  • @landemauriac7232
    @landemauriac7232 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante kwa mafunzo.
    Sasa ina ni bidi niya tendeshe
    Kwanzia léo

  • @moshiponola4718
    @moshiponola4718 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akupe maisha marefu

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 ปีที่แล้ว

    Pia nimefurahi kusikia kujifunza kiarabu nayo ni nzuri sana itakusaidia hadi akhera yako

  • @musangekyabi4101
    @musangekyabi4101 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @juliussimiyoylaizer8341
    @juliussimiyoylaizer8341 4 ปีที่แล้ว

    God bless you my brother mafundisho yako nayakubli %100

  • @joharishabani8452
    @joharishabani8452 2 ปีที่แล้ว

    Jumanne asalla mwalaiku nimependa sana ushauriwako nahitaja vitabu nitavipataje

  • @tunkuh661
    @tunkuh661 4 ปีที่แล้ว

    Binafsi naamini sana katika kusoma .... nimejifunza mengi kupitia maandishi ya watu na yamenisaidia kujitambua na wakati mwingine kutatua changamoto mbalimbali ninazokutana nazo.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 3 ปีที่แล้ว

    Thank you genius 🙏🙏

  • @fridathomassen5898
    @fridathomassen5898 4 ปีที่แล้ว +9

    You forgot one important thing. In order for the brain to function well, you need to eat well especially to the young ones who they brain are still developing. You can't learn something new while you are hungry., It doesn't work.

  • @TheodoraJoseph-s2f
    @TheodoraJoseph-s2f 3 หลายเดือนก่อน +1

    mbna mm nikiwa masoma ama kujisomea nawahi kusahau nilicho jifunzza afu natumia mdaa mwingi sana kuelewa nifanye nn

  • @ibndhunnuun3805
    @ibndhunnuun3805 4 ปีที่แล้ว +1

    Masha allah akhy allah akulipe na akuhifadh

  • @josiahjonaschima7952
    @josiahjonaschima7952 3 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana broo nimegain kitu k

  • @glorywillium5311
    @glorywillium5311 4 ปีที่แล้ว

    Asantee bro lakn ni vitabu gani unapaswa kusima

  • @worldinternationalgospelmi2763
    @worldinternationalgospelmi2763 4 ปีที่แล้ว

    This is more than class

  • @aminaibrahim3656
    @aminaibrahim3656 3 ปีที่แล้ว

    Nice brother may God bless you

  • @teminajeuri347
    @teminajeuri347 4 ปีที่แล้ว

    Very true,👏

  • @saimokotz
    @saimokotz 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @josephmutuku127
    @josephmutuku127 3 ปีที่แล้ว

    Smart brain kip it up

  • @mussajuma9044
    @mussajuma9044 4 ปีที่แล้ว +2

    Masaha Allah

  • @ahmedabdinoor1854
    @ahmedabdinoor1854 4 ปีที่แล้ว

    Sure bro

  • @hakimoman6086
    @hakimoman6086 4 ปีที่แล้ว

    جزاك الله خير

  • @adidasshapwata7443
    @adidasshapwata7443 2 ปีที่แล้ว

    Asante Sana niwiwa kuungana na wewe kaka

  • @ashuraseif3020
    @ashuraseif3020 4 ปีที่แล้ว

    You are welcome

  • @OmarOmar-xr9cp
    @OmarOmar-xr9cp 3 หลายเดือนก่อน +1

    👌😘😘

  • @denniskerongo6017
    @denniskerongo6017 4 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda sana hili somo

  • @jumazwili8560
    @jumazwili8560 4 ปีที่แล้ว

    Unajua mtu 1 anaweza akafundisha watu 2 na wawili watafundisha 4 na 4 watafundish 8 ,unajua maana yake nini??? Ni kwamba ww hapo umenifunza mm na mm naenda kufunza wawili so thanks for your MATLAB end of the day dunia itakuwa imara kwakuwa kuna channel ta success path each one teach one

  • @anethmkinga2853
    @anethmkinga2853 4 ปีที่แล้ว

    Thanxiiii broo kwa nondoo

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 4 ปีที่แล้ว

    Hongereni sana

  • @erickmpendwa
    @erickmpendwa ปีที่แล้ว +1

    Kiswahili chako kinanifanya kufahamu lugha ya kiswahili. As I'm Burundian i would like to study swahili language lakini sijui hata neno moja kwa kiswahili je nifanyeje ili niweze kujifunza lugha ya kiswahili?????🇧🇮🇧🇮🇧🇮

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  ปีที่แล้ว

      Aisee kwanza hongera sana sababu naona unaandika vizuri sana kwanza, kwa sasa endeela kusikiliza na kama una mtu anayeongea kiswahili huko, tafadhali fanya naye mazoezi mengi ya kuongea lazima uta-improve sana

  • @azizsoud4319
    @azizsoud4319 4 ปีที่แล้ว

    Bro big up , najifunza mengi kupitia ww , mungu akutalie akupewepes kwenye kazi zako

  • @seifhamduni7649
    @seifhamduni7649 4 ปีที่แล้ว +1

    Iko pw sana kaka

  • @zahrakitchen5880
    @zahrakitchen5880 4 ปีที่แล้ว +17

    Keep going my love❤❤

    • @mbubatv
      @mbubatv 4 ปีที่แล้ว

      mwanaume kutafuta mademu inakupanua kiakili na kuto kukaa kizembe

  • @hamidumasiri4984
    @hamidumasiri4984 4 ปีที่แล้ว +2

    Bro''nime kubali ushauri wako endelea ivo Allah Ata kulipa