NAMNA YA KUIMARISHA BIASHARA YAKO - JOEL NANAUKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น •

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n หลายเดือนก่อน +1

    Somo zuri sana MUNGU BABA wa Mbinguni Akubariki

  • @AmaniRashidi-i9b
    @AmaniRashidi-i9b 11 หลายเดือนก่อน +6

    from south Africa Durban nimipitwa na somo nakosa hata nguvu kazini I'm waiting

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 3 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka madini yako ni adimu mno Mungu akubariki sana yani wewe nimtu muhimu sana kwetu tunao endelea kupambania kesho yetu❤❤

  • @Sanga_jr_24
    @Sanga_jr_24 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka @joel ni Sanga tenaa apaa 🔥 nashukuru kwa elimu

  • @erickukula5331
    @erickukula5331 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kaka J kwenye upande huu wa biahara huwa unanikosha sana na Ninajifunza vitu vingi ubarikiwe sana

  • @masudibaja
    @masudibaja 11 หลายเดือนก่อน +1

    Darasa nzuri,, Endelea kutubariki maarifa uliyobarikiwa na Mungu.

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi sijaanza biashara ila nitaanza hivi karibuni asante kwa mafundisho,ubarikiwe.

  • @francoiskasangala
    @francoiskasangala 11 หลายเดือนก่อน +2

    naku siki liza apo kweli ❤

  • @mrbebabeba
    @mrbebabeba 11 หลายเดือนก่อน +3

    Kaka nimelewa nitumie soft elements nitagi asa naamini nitafanikiwa na nitakutafuta tuonane nikishafanikisha ahasant Kwa msaada wako

  • @AlexJefwa
    @AlexJefwa 3 หลายเดือนก่อน

    Thanks br.. Joel 🙏.. Big respect... mungu awe pamoj nawe.🎉🎉🎉

  • @leticiampeka1488
    @leticiampeka1488 11 หลายเดือนก่อน +1

    Yaaani kaka Joel asante sana kwa hili somo

  • @abelhilonga1095
    @abelhilonga1095 11 หลายเดือนก่อน +1

    Dahh kumbe biashara ni noma hivi basi me sifanyi biashara natania

  • @MOTecnology
    @MOTecnology 11 หลายเดือนก่อน +1

    Me pia Napenda Unavyofundisha Nasubiri

  • @SilonMwakisunga-qz9xf
    @SilonMwakisunga-qz9xf 5 หลายเดือนก่อน

    Brother shukrani kwa somo la biashala Mungu azidi kukupa nguvu na maalifa ya kuwa fudisha watu wengi

  • @michaelsafari
    @michaelsafari หลายเดือนก่อน

    Wow nice information Mr Joel,thank you sir God bless you abundantly

  • @devisladislaus624
    @devisladislaus624 6 หลายเดือนก่อน

    Kaka asante kwa kitu kipya ichi ni chakula cha maarifa naitaji vitabu vyako kaka napataje😇😇😇😇

  • @Elishabulandi
    @Elishabulandi 24 วันที่ผ่านมา

    Thanks🙏

  • @peterjames1538
    @peterjames1538 11 หลายเดือนก่อน

    Somo zuri kaka.

  • @issazambiko6489
    @issazambiko6489 6 หลายเดือนก่อน

    Asante sana kaka🤝

  • @gracegrace2561
    @gracegrace2561 11 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana

  • @elishafesto3185
    @elishafesto3185 11 หลายเดือนก่อน

    Joely sorry nahitaji vitabu vyako lakini nashindwa namna ya Ku access kupata mawasiliano yako!!
    Thanks najifunza vitu vingi Sana kutoka kwako na wewe ni Mwalimu wangu!! na naendelea kujifunza

  • @pierrnyerere1158
    @pierrnyerere1158 12 วันที่ผ่านมา

    Mm sehemu inayonishinda usimamizi wa fedha mpaka sasa sijui natumia sh. Ngapi kwa mwezi na familia yangu kwanza dharula nyingi harafu pesa nashika mwenyewe! Sasa hapo unanisaidiaje Mr Joel?

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 11 หลายเดือนก่อน

    🏆🏆🏆🔥

  • @RonaJumanne
    @RonaJumanne 10 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉

  • @Maulidfundi
    @Maulidfundi 7 หลายเดือนก่อน

    👍

  • @michaelmsigwa293
    @michaelmsigwa293 11 หลายเดือนก่อน

    Nakuelewa sana mwamba

  • @ConfusedBeachHammock-hq8fr
    @ConfusedBeachHammock-hq8fr 11 หลายเดือนก่อน

    Nakwamini wewe San unatufundisha sn