IFAHAMU NJIRO: SEHEMU WANAPOISHI MATAJIRI WENGI ARUSHA, MBWA ANAWEKEWA 'AC'.....

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • IFAHAMU NJIRO: SEHEMU WANAPOISHI MATAJIRI WENGI ARUSHA, MBWA ANAWEKEWA 'AC'.....
    NAJUA haufahamu kwamba Arusha licha ya kuwa ni mji mzuri wa kitalii, lakini kuna eneo linaitwa NJIRO, eneo ambalo wamejaa matajiri wengi, tazama video hii mpaka mwisho utanielewa.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

ความคิดเห็น • 152

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 ปีที่แล้ว +27

    Naishi Njiro hata huo utajiri mnaosemea siuoni maisha yote nisawa bwana sema tu mazingira ndo yametulia

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 2 ปีที่แล้ว +7

    Mtangazaji Lebabas, Njiro sawa, ila usiseme ni sehemu pekee, zipo sehemu wewe Acha kabisa, ebu nenda aise Burka estate, kiligolf, dolly estate huko kuna watu wanaishi porini ila matajiri sana, wanaishi na swala, pundamilia, flamingo, farasi, wana michezo ya farasi, wana mabwawa ya kuegelea, wana runway za ndege, wakiumwa ndege ya kukodi zinawachukua mpaka Nairobi au Africa ya kusini kwa matibabu, na ndege ni ambulance zina flying doctors, wanapata huduma ya kwanza wakiwa angani kabla ya kufika hospital.

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 2 ปีที่แล้ว +10

    Maisha ya kawaida tu. Watu wamechukua usemi huo kukuza bei ya viwanja.

  • @jambo3751
    @jambo3751 2 ปีที่แล้ว +24

    Arusha kusema kweli ni mkoa ambao uko unique.
    Ndio GENEVA yetu ya Tanzania.

  • @user-pe9uo4ec6y
    @user-pe9uo4ec6y 2 ปีที่แล้ว +10

    Matajiri wa Arusha wanakaa Burka coffee estate mtangazaji fanya research

    • @besteverspices1536
      @besteverspices1536 2 ปีที่แล้ว +1

      Kweli kabasi matajir wa arusha ni burka lodge cofee estate

    • @heraldloshi1864
      @heraldloshi1864 2 ปีที่แล้ว +2

      Ni kweli, tena tangia. Alafu tena kuna Dolly estate,ambayo inajumlisha Kiligolf,kule Maji ya Chai,karibia na Usa River.

    • @ChristinaKisarika-ju8rt
      @ChristinaKisarika-ju8rt 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wanakariri njiro
      Waende burka huko watasema vizuri

  • @lucynelsonmungure1719
    @lucynelsonmungure1719 2 ปีที่แล้ว +2

    Nipo njiro na maisha yangu niya kawaida tuu lo!

  • @platnumzkawiche1861
    @platnumzkawiche1861 2 ปีที่แล้ว +3

    huko ni kwa matajiri bablide🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 ปีที่แล้ว +2

    Shanty town Moshi,,,

  • @jacksonsaileni1219
    @jacksonsaileni1219 2 ปีที่แล้ว +5

    Acha uongo wewe sehemu mbili tu 🇹🇿

  • @patricennko3815
    @patricennko3815 2 ปีที่แล้ว +5

    Mvua ikinyesha bora kwa mrombo

  • @ladsonmshana9920
    @ladsonmshana9920 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli njiro kumepamgwa kama huna mpunga wa maana ni ngumu sana

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 2 ปีที่แล้ว +2

    Njiro ipi isee? Wewe sema burka ndo kuna matajiri njiro tupo changanyiken

  • @vanessalaizer4363
    @vanessalaizer4363 2 ปีที่แล้ว +2

    Kasema anatutembeza tuone, mbona kama namuona kasimama tu kisehemu. Njemba ongo hii duuuh😳

  • @josephjeremiah168
    @josephjeremiah168 2 ปีที่แล้ว +2

    Kaka hebu tembea njiro usishie Road jaribu kuingia njiro yenyewe from njiro ppf kitovu cha matajiri hata eneo lenyewe linalindwa no local people there. Kama mbele ukiingia tu utajiona hauko tz. Nyumba ziko Well organised, viwanja vya michezo, gym za kisasa ,unalipa kwa dola

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 ปีที่แล้ว

    How about Tegeta Masaki kunduchi

  • @vijanafurniture1810
    @vijanafurniture1810 2 ปีที่แล้ว +8

    Mi ni mkazi wa Arusha ila kwa njiro ya sasa hivi hata watu wa kawaida kabisa wapo. Angalau mngetuambia mateves tungewaelewa kule ndipo matajiri walipo kwa sasa ila sio njiro.

  • @malelabmalela5016
    @malelabmalela5016 2 ปีที่แล้ว

    Jaman

  • @Hamy1109
    @Hamy1109 2 ปีที่แล้ว +1

    Unasema Dar matajiri wanaishi Mbezi Beach!? Mtangazaji kuwa serious kidogo.

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 2 ปีที่แล้ว +2

    Matajiri wakijitenga utajiri ni mapito siku amefilisika anahamishwa? Au

  • @hamisihassani5605
    @hamisihassani5605 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyo jamaa Ana jiproud Sana na wakiti njiro Hadi nyumba za tope zipo dah

    • @mshua337
      @mshua337 2 ปีที่แล้ว

      Mi nikajua labda Kuna Njiro nyingine ila Njiro ninayoijua Mimi hapana aisee ni Kwa kawaida mno😀😀😀

  • @highvoltages4169
    @highvoltages4169 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwa Moro mtaa wa matajiri ni CHAMWINO-TUPENDANE

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 ปีที่แล้ว +3

    Kuna watu wanakufuru mbwa anawekewa AC

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 2 ปีที่แล้ว +5

    Dar es salaam Matajiri wanaishi Masaki na bweni

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 ปีที่แล้ว

      Kwa dar sehemu ya kwanza ni Osterbay ya pili masaki,kwa mbez beach ni ya tatu

  • @sammychansa1797
    @sammychansa1797 2 ปีที่แล้ว

    Arusha unique mazee

  • @ajaykorea6323
    @ajaykorea6323 ปีที่แล้ว

    Njaa Kali njiro

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 ปีที่แล้ว +3

    Dar matajiri hawapo mbezi beach wako masaki

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Si wote wanaoishi masaki ni matajiri mnajidanganya sana

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 ปีที่แล้ว

      Kakosea sn,Osterbay ya kwanza,ya pili masaki na mbez beach ni ya tatu

  • @liliankiondo1130
    @liliankiondo1130 11 หลายเดือนก่อน

    Mbona hata vinyumba vidogo vya usongo vipo 😅😅😅

  • @juliuslabarani8575
    @juliuslabarani8575 2 ปีที่แล้ว +1

    Njiro pa kawaida saaaaaana

  • @princessringo2879
    @princessringo2879 2 ปีที่แล้ว

    Hatr

  • @warriorfromthenorth1734
    @warriorfromthenorth1734 2 ปีที่แล้ว

    Acheni kupotosha, njiro ilikua zamani, kwa sasa kila mtu anaishi kina kabuku na kaboka wote.,.

  • @LAZAROBOMANI-ex6bj
    @LAZAROBOMANI-ex6bj 10 หลายเดือนก่อน

    Fanya research kwanza na Reconnaissance, umewahi fika kapropoint mwamza

    • @Mr-GMB
      @Mr-GMB 3 หลายเดือนก่อน

      Capripoint

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 2 ปีที่แล้ว

    Nimempenda molel anajua kujieleza vizuri sana

  • @mhandodanny4256
    @mhandodanny4256 2 ปีที่แล้ว +1

    Umesahau Masaki

  • @ramadhanmsangi4676
    @ramadhanmsangi4676 2 ปีที่แล้ว

    Njiro wapi iyoooo nenda usa river ngarasero ukacheki mijengo 🏛🏤🏚🏠

  • @cinematicrefresh
    @cinematicrefresh ปีที่แล้ว

    masaki?? Uzunguni??

  • @gabrieltemba6916
    @gabrieltemba6916 2 ปีที่แล้ว

    Huyo mkazi wa njiro(boniface) vp ana b ngapi?

  • @swalehkiuga167
    @swalehkiuga167 2 ปีที่แล้ว +2

    Matajiri ni burka kwa sasanjiro hovyotu zilipenda

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

    Mtaanza kujibagua bure si wote wanaishi hapo ni matajiri ata huko masaki osterbay na mbezi beach wengine sehemu hizo zilipendwa , na baadhi wapo na majumba yao sehemu hizo na wameyapangisha tu na hao ndio wenye huwezo na utawakuta wanaishi sehemu hizo mnazo zifikiria

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 ปีที่แล้ว

      Kwanza kakosea,kwa dar sehemu kuu kwa matajiri ni Osterbay,ya pili masaki na mbez beach ni ya tatu na si ya kwanza

  • @robertmangowi4254
    @robertmangowi4254 2 ปีที่แล้ว +3

    Hivi watu wenye hadhi wakiambiwa watoke na nyie wa Njiro mtatoka? Nenda kagera/Bukoba ukutane na mabangalow yaliyoko vijijini? Njiro 😳😳😳

  • @simonmbise2060
    @simonmbise2060 2 ปีที่แล้ว

    Siyo sahihi hiyo iko Kule Kenya huo ni ubaguzi

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 2 ปีที่แล้ว

    Ndio huku wanako malizana sabbu Ya Mali😂😂😂

  • @danielkessy
    @danielkessy หลายเดือนก่อน

    Tope la kutusha njiro

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 2 ปีที่แล้ว +1

    Matajiri Tanzania wanaishi Mbezi beach na Njiro tu? Vipi kuhusu Masaki na Capri point?

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 ปีที่แล้ว +1

      Huyu kakosea tena sn tu,kwa dar Osterbay ndiyo ya kwanza,masaki ya pili na mbez beach ni ya tatu

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 2 ปีที่แล้ว

      Capripoint mwanza nilinyoosha mikono pako safi

  • @kabalajunior5441
    @kabalajunior5441 2 ปีที่แล้ว

    Porin eeh

  • @olarivolariv1313
    @olarivolariv1313 8 หลายเดือนก่อน

    Hakuna kituu burka ndio kiboko bhnaaa

  • @musason1680
    @musason1680 2 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaaa n fala sana watu watengwe kwa sAbab ya vipato

  • @kapasimoses98
    @kapasimoses98 2 ปีที่แล้ว

    Hamuna kitu wala lolotr

  • @mwanaishazain7985
    @mwanaishazain7985 2 ปีที่แล้ว +1

    Kula milo mifano ni style ya maisha ya mtu wala sio utajiri. Mbona mji wenyewe mchafu hivyo, bora mbezi kuzuri. Na kuwa watu maalim huo ni uchaguzi na unyanyapaa utumwa wa fikra zako. Kuna watu bado wana element za utumwa huko njiro. Hakuna lolote wala chochote special ni ishamba uliowazidi nyie mnasema Njiro special

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo barabara haiitwi ya East Africa.. Inaitwa Arusha bypass

  • @solomonnguzo2042
    @solomonnguzo2042 2 ปีที่แล้ว

    Ostabey na masaki je?

  • @angelageofrey9756
    @angelageofrey9756 2 ปีที่แล้ว

    Kwetu pazuri

  • @ebenezerlawuo6667
    @ebenezerlawuo6667 2 ปีที่แล้ว

    Masaki

  • @wilsonmsenga6447
    @wilsonmsenga6447 2 ปีที่แล้ว

    Acha uboya ubwa hawezi fananishwa na mtu.

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 2 ปีที่แล้ว +1

    Hamna kitu km hicho watu watengwe sehem maalim labda km wa naumwa ugonjwa wa kuambukiza huna akili wewe kijana

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Huyo ni limbukeni bado mshamba hiyo sehemu ni kama shamba tu bado hajatembea huyo

  • @shimuldar1355
    @shimuldar1355 2 ปีที่แล้ว

    Mbona chafu ivyo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Nchi bado haijandelea na ndio unaona mambo hayo katika nchi zingine huko wanapo sifia ni sawa na nje ya mji tena huko mashambani

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 ปีที่แล้ว

    Sidhan Kama nikwel et ikitoka mbez inafata njiro hiyo yakwimu katoa nan?tembeen muone miji ilivyojengeka mikoa mingne

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 2 ปีที่แล้ว

      Hata mie namshangaa aje mwanza capripoint duuuh noma sana

  • @ajaykorea6323
    @ajaykorea6323 ปีที่แล้ว

    U

  • @shimuldar1355
    @shimuldar1355 2 ปีที่แล้ว

    Masikini mbwa2

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 2 ปีที่แล้ว +1

    Dijackson kazungumza
    mengi ila pumba tupu.

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 2 ปีที่แล้ว

    Sasa ndio nn? Watu wenye uwezo hata huonyeshi nyumba zao matajiri? Eti unauliza bodaboda.. weee mtangazji ni kamasi kabisa.

  • @husseinmtangwele5990
    @husseinmtangwele5990 2 ปีที่แล้ว +1

    mbezi hakuna matajir

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 ปีที่แล้ว

      Hakuna sehemu hanakosa tajiri katika sehemu hizo mpka kinondoni shamba brock 41 na msasani mikocheni mpka na vichochoroni huko bongo wapo matajiri

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 ปีที่แล้ว

      Kwa dar Osterbay ya kwanza na masaki ya pili na mbez beach ni ya tatu hivyo kakosea sn mweuh huyu

  • @jskconceptscreativity1575
    @jskconceptscreativity1575 2 ปีที่แล้ว

    Matajiri wapoo moshono sasa ivii wewe njiro zilipendwaa

  • @yunislemnhe9560
    @yunislemnhe9560 ปีที่แล้ว

    Wongo mtupu

  • @jantawakitaatv4534
    @jantawakitaatv4534 2 ปีที่แล้ว

    Eti mbezi beach kwa matajiri hahaha mtangazaji umeshawahi kuja MANZESE wewe Hadi bakhresa anakaa huku unatutajia mbezi beach choka mbaya kwa kusibitisha nenda mbuyuni ,mtongani zunguka mpk africana harafua njoo MANZESE anzia Argentina ,mpk shekilango ndo utajua matajiri wako MANZESE sio mbezi beach Wala njiro

  • @twahashearer8302
    @twahashearer8302 2 ปีที่แล้ว +5

    Mji ambao hauna wala hautakuwa na plan yeyote ni Arusha, huu mji urudishwe kwa viongozi wazawa wa Arusha ndio utaendelea

  • @swalehmustafa3064
    @swalehmustafa3064 2 ปีที่แล้ว +16

    Sio kweli kwamba barabara ya East Africa ni short cut. Ni ndefu zaidi ukilinganisha na ile iliyopita katkat ya mji

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 ปีที่แล้ว +7

    We jamaa rusha drone maeneo ya njiro mwanzo mwisho, unasema video inahusu njiro, video 95% content ni sura za watu, halafu wewe ndio mwandishi msomi 🚮🚮🚮🚮🚮

    • @amanibwire4423
      @amanibwire4423 2 ปีที่แล้ว

      Hawez Fanya hivo maana hadi nyumba za miti zimejaa,halafu gharama ya nyumba kupanga ni Arusha jiji yote bei ghali

  • @sememakolo9360
    @sememakolo9360 2 ปีที่แล้ว +7

    Unaongea nini wewe utopolo unahamasisha kubaguana KIUWEZO Itafikia hatua tutabaguana kikabila, kidini pia kielimu. Kama unashaili hivo matajiri wapimiwe viwanja bahalini maeneo kama hayo masikini hana uwezo wa hujenga, kumbuka kuwa WATU TUNAISHI KWA KUTEGEMEANA

  • @mcback4384
    @mcback4384 2 ปีที่แล้ว +6

    Huyu jamaa hovyo sana yaani yeye kula kula hovyo ndio kipimo cha utajiri, eti wanakula milo mi5 au kila baada ya masaa mawili 😂😂😂 mentality ya kimasikini sana hii

    • @preciousjohn9405
      @preciousjohn9405 2 ปีที่แล้ว +1

      Matanijr wapo weng Arusha na hata hawakai njiro ,achen kudanganya watu sema njiro Ina jina lkn kuwa nyumba Kali ndo zipo huko ni kiasi tu mbona Kuna vyumba vya elf 40

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 2 ปีที่แล้ว

      Kula milo mitano kwa siku sio kuwa tajiri marekani na Ulaya hata ukiwa masikini utakula vizuri na utanenepa kama marekani vyakula vya mafuta mafuta kama chips na burger ndiyo bei nafuu kuliko mboga mboga na matunda

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 2 ปีที่แล้ว

      Uyu jamaa matako sanaa anaongea kimapoz

    • @happynelson1136
      @happynelson1136 2 ปีที่แล้ว

      @@samwelimoshi5614 mimi mwenyewe naishi Ulaya pia nimepanga kwenye chakula naweza kula chips mayai kila siku bila kuwa tajiri vyakula huku ni bei poa sana kuliko kodi ya nyumba

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 ปีที่แล้ว

      Mwanafunzi wa chuo..Hahaha msosi tu anawaza

  • @filbert9138
    @filbert9138 ปีที่แล้ว

    Acha uongo bhnaaa sehemu mbili tena ulizozitaja ni uongo mtupuuu njiro kuna ushua ganii kama tuu bush

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 2 ปีที่แล้ว +3

    Huyo jamaa kaongea vizuri sana njiro imepangika imepangwa kumepimwab miaka zaidi ya ishirin na kitu siyo Kama maeneo mengine Kama kwa morombo.

    • @emanuelnjalakila4693
      @emanuelnjalakila4693 6 หลายเดือนก่อน

      Kufananisha binadam na mmbwa ndo kaongea vzur😢!!!

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 2 ปีที่แล้ว +6

    Labda kwa arusha. Sababu si mkazi wa huko. Ila kwa dar mbez Beach. Sio ndio sehem ya matajir nenda mbez ukatembee kwa undani zaid muulize zembwela amekutwa nyumba au vibanda watu wanakunywa pombee. Ila mimi nimezaliwa dar nenda masaki nenda oysterbey. Nenda mbweni anza kituo kinaitwa ubungo halafu ndio utafafanua km dar matajir wanakaa wapi?

    • @zeyanaalgheithy6561
      @zeyanaalgheithy6561 2 ปีที่แล้ว

      Kasema arusha sio dar

    • @vickyshayo7880
      @vickyshayo7880 2 ปีที่แล้ว

      Matajiri wapo Vingunguti Dar

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 ปีที่แล้ว

      @@vickyshayo7880 mwehu weeer🤣🤣🤣🤣

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 2 ปีที่แล้ว

      Kakosea sn mwehu huyo!! Kwa dar Osterbay ndiyo ya kwanza,masaki ya pili na mbez beach ni ya tatu

    • @allykayanda6930
      @allykayanda6930 2 ปีที่แล้ว

      @@wazirmlogi7532 osterbey haiwezi kua ya kwanza kwasasa,osterbey ni yazamani hata majengo yake mengi yakizamani,Masaki baba ndo khabari nyingine,osterbey laba kwa mpangilio tuu wa nyumba,lakin nyumba kali hakuna,mbweni,mbezi Beach laba ndo zinaweza kufata baada ya masaki,hiyo obey laba kwenye nafasi ya nne huko

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 2 ปีที่แล้ว +1

    Kuna jamaa kaongea utopolo tuu 🤮🤮🤮🤮

  • @mgenirajabu7601
    @mgenirajabu7601 2 ปีที่แล้ว +1

    KWELI MTU WA MKOANI NI MKOANI 😂😂😂😂 SASA ANAONGEA VININI

  • @pascalmgassa8441
    @pascalmgassa8441 ปีที่แล้ว

    UONGO KABISAA

  • @maxilekanoi8257
    @maxilekanoi8257 2 ปีที่แล้ว +1

    Pa kawaida sana Kama mbagala tu

  • @michaeljoseph958
    @michaeljoseph958 2 ปีที่แล้ว

    Mbona kama mna mhoji kijana asiejielewaa ana pride kama anakaaa yeye pekeake njiroo,nani kawaida tu ai ni njiro gani tusio ijua sisi next time mtafute mtu anaejua kuongeaa au sio mbaya pia kuhoji hata kama mtangazaji mwenzenu milard mchomvu b12 and any one anaeweza kuongeaa lakini sio narrow minded kama huyu

  • @iddimngazija1957
    @iddimngazija1957 2 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa mwenye Laptop yake anaonesha ni mshamba mno

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 2 ปีที่แล้ว

    Matajiri wapo moshono burka na mateves na kumepangika vzuri mnoo njiro hapana ni. Viplot vichache ndio vimepangika

  • @hamissimba6609
    @hamissimba6609 2 ปีที่แล้ว

    Wewe mtangazaj akiri una india ndio wanaishi kwakutengana tanzania kaka kama kazi uwez acha mbwa we

  • @deodorantdeodorant6309
    @deodorantdeodorant6309 2 ปีที่แล้ว

    Hata kwetu kule kijijini nako kumepangika mbona tunajenga heka moja kwa hekali moja.sasa hapo mbona karibu karibu

  • @masoudsalim143
    @masoudsalim143 2 ปีที่แล้ว

    Wewe achahizo ukitaka kusifia wewesifia2..lakini mbwa atabaki kuwa mbwa hawezi kuwa MTU kenge we.

  • @zanzibarboyzanzibar509
    @zanzibarboyzanzibar509 2 ปีที่แล้ว +3

    Sema kwa Tanganyika sio Tanzania Emu Njoo Zanzibar kuna Mitaa inaitwa Mbweni au Chukwani utizame Matajiri

  • @jafetiwilson8092
    @jafetiwilson8092 2 ปีที่แล้ว

    Mbona story nyingi uonyeshi mazingira yenyewe ya mji tukaona kweri kinachosemwa ni sahihi au

  • @ommymp9058
    @ommymp9058 2 ปีที่แล้ว +3

    Arusha ni pakawaida sana,na ndo maana likawa jiji la tatu na wakichelewa litakua la 4
    1-DSM
    2-MWANZA
    3-ARUSHA
    4-DODOMA
    5-MBEYA
    6-TANGA(imependelewa tuu) arusha inaweza kupigwa na dodoma,sema watu wa Arusha wanajikubali ila hakun kotu

    • @J4UPro
      @J4UPro 2 ปีที่แล้ว

      Umesema kweli

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 2 ปีที่แล้ว

    Muongeaj wa mwisho mjinga to

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 2 ปีที่แล้ว

    Huwezi linganisha Njiro na CapriPoint ya Mwanza ambayo ni sawa na German

    • @madirishasimon9692
      @madirishasimon9692 2 ปีที่แล้ว

      Upo sawa capripoint mwanza ni patamu kichizi duuh upo wa ziwa wote huanzia kule

  • @Frankgamanuel
    @Frankgamanuel 2 ปีที่แล้ว

    Sio kweli It's not

  • @lastgospel706
    @lastgospel706 2 ปีที่แล้ว

    HUYU JAMAA DIJACKSON😂😂😂

  • @tseamaqamara4083
    @tseamaqamara4083 2 ปีที่แล้ว

    Hahahaha 😆 mbwa AC

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 2 ปีที่แล้ว

    Noses!

  • @veronicasamson9526
    @veronicasamson9526 2 ปีที่แล้ว

    Yakaisal mpe kaisali

  • @annamaronga5282
    @annamaronga5282 2 ปีที่แล้ว

    Home sweet home

  • @josephandrew3444
    @josephandrew3444 2 ปีที่แล้ว

    Labda makaburi ya njiro ndio huzika watu wote arusha

  • @daddybenny
    @daddybenny 2 ปีที่แล้ว

    Waoooh.. Kwel hapo. Ni matajiri saam