MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 พ.ค. 2024
  • MADUDU ya KUTISHA! MFANYABIASHARA AMUONESHA YOTE MAKONDA - ''UNANIITA SAA 2 WEWE UNAFIKA SAA 4''...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 483

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +27

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g หลายเดือนก่อน +91

    Nimempenda huyu Baba anajua kujielezea,ni kichwa Masha Allah

  • @jacoblaiser7634
    @jacoblaiser7634 หลายเดือนก่อน +34

    Willy huna tabia ya wizi. Nakufahamu tangu kibo huna baya na mtu na huna konakona kwrnye kazi zako.
    Big Up Willy!! Just keep on going

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 หลายเดือนก่อน +61

    Bravo brother.
    Hii nchi itakombolewa na wenye uthubutu kama wako.
    Wametumaliza hawa.

    • @daviddsouza735
      @daviddsouza735 24 วันที่ผ่านมา +1

      Uthubutu changanya na uwezo wa kifedha na uzoefu wa miaka mingi

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts หลายเดือนก่อน +56

    Huyu mtu kama sio ubize wake,angeweza hata kuwa waziri wa maliasili na utalii, anaujua utalii nje ndani.
    Mungu azidi kumlinda.

  • @Tango696
    @Tango696 หลายเดือนก่อน +54

    Dah mzee uko vizuri umesaidia upelelezi kwa kweli.

    • @WinfridaFabian
      @WinfridaFabian หลายเดือนก่อน +3

      Kwa wanvyobebana ushahid ipo waz hakitakua na hatua yoyote

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s หลายเดือนก่อน +22

    Makonda mungu akulinde na majitu yenye Roho mbaya na wewe,

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 หลายเดือนก่อน +41

    Dah
    Mzee anakwenda na Facts kali I see👌👍

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 หลายเดือนก่อน +39

    The demeanour of his speaking is an evidence of his integrity, wits and intelligence.

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge8412 หลายเดือนก่อน +66

    Jamani naomba muhifadhi maneno yangu, kunasiku mtaamini huyu makonda atakuja kuwa kiongoz wa hii nchi Tena ataongoza vzur na Tanzania tutazungumziwa Sana na Dunia nzima nasio kwa mabaya ni mambo ambayo yakuushangaza ulimwengu Tena mazuri mno... One day yes❤️‍🔥

    • @nicolasaugustino8449
      @nicolasaugustino8449 หลายเดือนก่อน +4

      Kabisa tena muda si mrefu

    • @ernestfelix8596
      @ernestfelix8596 หลายเดือนก่อน +3

      Amen

    • @RoseJohn-js7kb
      @RoseJohn-js7kb หลายเดือนก่อน +4

      Watamuua hii nchi washeni wanawapiga vita watu wema

    • @mrmisosiliuma9366
      @mrmisosiliuma9366 หลายเดือนก่อน +2

      Tumuombeeni asiuliwe tu jamani

    • @ernestgeorge8412
      @ernestgeorge8412 หลายเดือนก่อน

      @@RoseJohn-js7kb tumuombee Sana kwaajili ya kizazi chetu anakitu huyu mtu Tena kikubwa sana

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar หลายเดือนก่อน +20

    Kitendo cha mh Makonda kumpa muda huyu bwana mkubwa kuongea mwanzo mpk mwisho ni utume tosha na kesho mbinguni MUNGU ATAMLIPA KWA WEMA HUU WA LEO❤🙏

    • @edgarmbegu1974
      @edgarmbegu1974 หลายเดือนก่อน

      Sasa ulitaka ampige makofi bilionea? Kenge kweli ww

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 หลายเดือนก่อน +23

    Private Sector Iko Smart Sana Mf Ni Huyu Ndugu Chambulo.

    • @davidlyamboko7477
      @davidlyamboko7477 หลายเดือนก่อน

      Maafisa wawajibikaji, Inatakiwa hawa uwaendee polepole, private sectors wapo vizuri ktk itifaki, sheria, kanuni na taratibu za mawasiliano serikalini.

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 หลายเดือนก่อน

      @@davidlyamboko7477 Locally Government Kuna Mambo Ya Ajabu Sana Watendaji Hawapogi Serious Kabisa Yale Mavilaza Kabisa Ndiyo Huudumu.

  • @rappachugz
    @rappachugz หลายเดือนก่อน +32

    One of the Best Administrator ever..!!!

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 หลายเดือนก่อน +29

    Jamaa anaongea very smart lakini inauma sana watanzania wenzangu daaah Kwann lakini ...? Tunakosa vya kusema ila mh Paul apewe ukuu wa mkoa Kila mkoa mwaka mmoja mmoja tu afu awe anazunguka kama circle Yan

    • @JosephMargareth
      @JosephMargareth หลายเดือนก่อน +2

      Kweli kabisa, azunguke Kila mkoa. Hata Kama itakuwa miezi 2. Atatusaidia saana.

  • @hemedshalua2002
    @hemedshalua2002 หลายเดือนก่อน +29

    Daaah alivosema "Tunapigika usiku na mchana" n kweli hayo ndo maisha ya mfanyabiashara.

  • @blandinapeter7004
    @blandinapeter7004 หลายเดือนก่อน +53

    Jamaa Ana mzigo na documents zimenyooka mtamwambia nn😂😂

    • @skybatech7956
      @skybatech7956 หลายเดือนก่อน +4

      Hatar jamaa amenyooka sana

    • @kidsontemba1641
      @kidsontemba1641 หลายเดือนก่อน

      Hahahahha

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 หลายเดือนก่อน +5

      Kanyoooka😢 walahi pesa ipo pia akili kubwa

    • @mosesmwasanga7661
      @mosesmwasanga7661 หลายเดือนก่อน

      😅😅 Daah, kweli ana Mzigo!!

    • @user-ql3yr6fi7o
      @user-ql3yr6fi7o หลายเดือนก่อน

      huo ni mfano wa jambo 1 ila nchi nzima kuna ugwadu sana

  • @charlessimba1184
    @charlessimba1184 หลายเดือนก่อน +30

    Nlitaman makonda atoe kauli ya kusema..."RPC huyu jamaa apewe ulinzi"

    • @jivitafoundation450
      @jivitafoundation450 หลายเดือนก่อน +4

      Huyu Mr.chambulo awe ulizi ?unamjua vinzuri huyu siyo wale wafanyabiasha wakarikao

    • @samwelngao3201
      @samwelngao3201 หลายเดือนก่อน +5

      Ana ulinzi mkali sana huyo mzungu chambulo wala hakuna Fala wa kumgusaa

    • @bayekefarijala5042
      @bayekefarijala5042 หลายเดือนก่อน

      Haya ni maujanja ya kimahesabu ya kihasibu, makonda hapo anatakiwa asaidiwe na wataalam

  • @janesuma-is4wc
    @janesuma-is4wc หลายเดือนก่อน +43

    Mungu akusimamie mh Makonda kuna madudu mengi sana kwenye hizi almashahuri nchi imeharibiwa na watu wasio kua na hutu majizi yaliyo ajiriwa ndani ya serekali

  • @jamesakhabuhaya4747
    @jamesakhabuhaya4747 20 วันที่ผ่านมา +4

    Huyu mwamba inaonyesha hata wafanyakazi wake wanainjoy sana.nikipata chance kwake aiseee nitajifunza mengi.willy big up bro

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 หลายเดือนก่อน +13

    Wale watumishi wa Serikali wanaodhani vyeo vinaongeza akili wajifunze kwa Mr. Chambulo kuwa wanapaswa kujua wanaongoza watu wenye uelewa mkubwa pengine kuliko wao!

  • @goodluckmsoka3660
    @goodluckmsoka3660 หลายเดือนก่อน +27

    Hiki ndio kinacho fanya watu wanakwepa Kodi

  • @edwardrigha6782
    @edwardrigha6782 หลายเดือนก่อน +7

    Mimi kama Mkenya nimeguswa na naionea wivu Tanzania kwa mwelekeo wanaochukua kupiga vita ufisadi. heko kwenu mtafika mbali na kuwa vigogo kiuchumi katika Afrika mashariki

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 หลายเดือนก่อน +16

    Kwa baba si msanii ni msema kweli nikija kunulia bia kwa kweli mkweli Mungu hakulinde wewe na family

  • @user-xx4wb9yo9p
    @user-xx4wb9yo9p 22 วันที่ผ่านมา +3

    Makonda nikimsikia namkumbuka magufuli wangu mungu namuomba akupe maisha marefu ili uje uwe rais natamani sana roho yamagufuli iko pamoja na ww

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3p หลายเดือนก่อน +13

    Tanzania nzima na haswa Arusha😢 RUSHWA imekithiri inanuka SANA

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js หลายเดือนก่อน +22

    Mnatubana wananchi kumbe majizi mnayafunga wenyewe

    • @qonquererqanquerer1781
      @qonquererqanquerer1781 หลายเดือนก่อน +2

      Inaumiza Sana Roho Serekali Inakusanya Kodi Halafu Inaziiba Tena So Sad.

  • @RASHIDMPUMU
    @RASHIDMPUMU 5 วันที่ผ่านมา

    Duuh RC Makonda, pole sana naona kiasi gani unavyobeba mizigo mizito ya malalamiko, ulaghai, nk Mungu akutie nguvu na akupe afya njema

  • @JosephMwangiluke
    @JosephMwangiluke หลายเดือนก่อน +37

    Makonda uko vizuri. The feature president

    • @danielmarwa5122
      @danielmarwa5122 หลายเดือนก่อน +1

      Apitishwe na chama kipi?

    • @suntzu8959
      @suntzu8959 หลายเดือนก่อน

      @@danielmarwa5122 MCC

    • @majidfrolian4904
      @majidfrolian4904 หลายเดือนก่อน

      ​@@danielmarwa5122yaaani 😢😢

    • @bushbabytz
      @bushbabytz หลายเดือนก่อน

      matako yako wewe eti president 😂😂😂

    • @eramatareTv
      @eramatareTv หลายเดือนก่อน

      ​@@danielmarwa5122ya mama yako

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 หลายเดือนก่อน +25

    AKILI KUBWA CHAMBULO❤

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos หลายเดือนก่อน +8

    4.2 bilion na mtu ametulia yan dah,Mama Samia njooo umteue huyu ana kipaji super

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 หลายเดือนก่อน +4

    Mwanaume akitoa sumu namna hii anaongeza siku za kuishi safi sana mimi nimemuelewa.Chambulo. asitoke kwenye hicho kiti

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg หลายเดือนก่อน +26

    Huyu mfanyabiashara Ana akili sana

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 หลายเดือนก่อน +11

    Awa jamaa wa Almashauri awakujua kama mama SSH kumtuma Mh Makonda Arusha ana maana gani sasa wameingia chakike baba mzee baba

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 29 วันที่ผ่านมา +1

    Chambulo is something else, So transparent, direct and to the point, (Akili kubwa hii)👏👏👏👏🏋️🏋️

  • @Nedjadist
    @Nedjadist หลายเดือนก่อน +8

    Wezi kama hawa kule China hupigwa risasi. Ilipofikia Tanzania inabidi kuiga sheria hiyo. Watendaji wamefikia kiwango kikubwa sana cha kudharau serikali na sheria.

  • @danielmbaga4596
    @danielmbaga4596 หลายเดือนก่อน +11

    Komaa ukweli ukidhihiri uongo utajitenga ndugu ❤

  • @richardmshiu5118
    @richardmshiu5118 หลายเดือนก่อน +5

    He is so serious and smart guy..

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 หลายเดือนก่อน +18

    Hongera sana mzee

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 หลายเดือนก่อน +12

    Ahsante sana ndugu yangu❤

  • @jumamohammed2748
    @jumamohammed2748 หลายเดือนก่อน +14

    Huyu nafanyabiashara yuko vizuri sana mashaallah

  • @lawskuli9876
    @lawskuli9876 หลายเดือนก่อน +18

    Na huu ndio umuhimu wa good records keeping

  • @kilimanjaro695
    @kilimanjaro695 หลายเดือนก่อน +8

    i like huyu jamaa yupo very transparent, Mkurugenzi hana pa kutokea hapo

  • @ajuwazaglodim7645
    @ajuwazaglodim7645 หลายเดือนก่อน +3

    Kiboko yao Makonda!
    Unavyo wakatiliza watu kutumbua majipu, kumbe kuna mda wakusikiliza dakika hizi zote???!❤ Nakuoenda bure mzee wangu Makonda. 🇨🇩 🇨🇩

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 หลายเดือนก่อน +10

    Jamani makonda Ao wezi wa Arimashauri muwafunge wametuchosha

  • @lilianurio9781
    @lilianurio9781 หลายเดือนก่อน +7

    For sure, he is speaking on behalf kila siku penalty zisizojulikana

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 หลายเดือนก่อน +9

    Alafu tunaskitika hatuna waekezaji unafikiri watu kwa wizi huo nani atakuja kufanya biashara nasi

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 หลายเดือนก่อน +8

    This is Tanzania bhna dah!!ninamonea sana huruma mama SSH wangu Mzalendo wangu dah maumivu

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg หลายเดือนก่อน +1

      Usimuonee huruma huyo mamako yeye ndo aliowaruhusu hao majizi

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@George-jz3jgMWEHU WEWE WACHA KUROPOKA ROPOKA

  • @TheAmolloh
    @TheAmolloh หลายเดือนก่อน +13

    Jama kichwa sana …yote kwa mpangilio from the brain 😅😅😅 DED ameyatimba 😅😅😅

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu 4 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mzee yupo vizuri wengi tunakwama kwa sababu hatuna uwezo wa kujieleza.

  • @felixkamkala3303
    @felixkamkala3303 หลายเดือนก่อน +14

    Duh mtu analipa analipa Millioni 20 alafu mnamuandikia risiti ya milioni 3??kweli kweli kabisa aisee hiiiiiiiiiiiiiiii yani yani sijui aisee

  • @josephfrank4446
    @josephfrank4446 หลายเดือนก่อน +7

    Kiongozi Bora huonekana akiwasikiliza watu wake 🎉🎉🎉makonda Mungu akupe umri mrefu uje uikomboe tanzania❤

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur หลายเดือนก่อน +10

    Mmmm!! Inauma sana lakini hawo Ccm wengine hawajitambuwi zaidi ni kusema hatujinyongi hatunyi sumu inauma sana

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 หลายเดือนก่อน +1

      Acha kuleta habari za CCM, mtu ukikosa hoja nyamaza ukiongelea mambo ya kula pesa sio CCM ni mambo ya mtu binafsi, Makonda ni CCM Mbona anafanya kazi nzuri ana machungu je huyo sio CCM, ndo shida ya vyama vya upinzani mtu akiamka yeye ni CCM CCM, badala aongelee mhusika, kuna watu CCM wako smart sana, mbona huko upinzani kwenye ufisadi upo

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂huo wimbo unanikelaga Sanaa aiseee!!!

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts หลายเดือนก่อน +6

    Kumbe pia ni vizuri mfanyabiashara akawa msomi? Pamoja na uzoefu elimu pia inatakiwa.

    • @mcback4384
      @mcback4384 หลายเดือนก่อน +1

      Kama sio msomi wewe ni mjasiriamali sio businessman huyu wala sio mfanyabiashara ni investor

    • @solomonpeter8843
      @solomonpeter8843 2 วันที่ผ่านมา

      Unafikiri tulivyokuwa na mada za kujadili darasani kwamba eti education and Money which is better unafikiri waalimu walikuwa wanatutakia mema kweli😂😂 uache shule uikimbilie Hela utaimanage vipi nimemwelewa sana huyu jamaa hawa ndiyo watu wa kuwaita ofisini kimya kimya ili wawasaidie kugundua vitengo vipi vinawaangusha

  • @mr.ability4578
    @mr.ability4578 หลายเดือนก่อน +3

    huyu mzee very bright aisee🔥

  • @user-eh5fw5gj4c
    @user-eh5fw5gj4c หลายเดือนก่อน +8

    The most dangerous thing is the world is the human brain so usicheze na mtu mwenye brain kubwa

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 หลายเดือนก่อน +5

    Shida ya Taifa Letu ni ujinga tu. Serikali iwekeze tu kutengeneza watu wenye hadhi ya Utu. Utu haupimwi na utajiri ua fedha bali heshima.

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu jamaa yukogo smart sana.

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 หลายเดือนก่อน +2

    Watu wanaumizwa na uongozi wa namna hii haswa Arusha 🙌🏼🙌🏼 ,Mh. Makonda anakazi kubwa kubwa kubwa

  • @kaundavyoseena6514
    @kaundavyoseena6514 หลายเดือนก่อน +2

    Nimependa RC Makonda alivyo mtulivu. Big up Willy. Ukweli utaponya Taifa.

  • @babuuosama8752
    @babuuosama8752 หลายเดือนก่อน +7

    Mama Samia huyu mfanyi biashara mpee kazi ya biashara Waziri wa biashara huyu ni sawa na kidume makonda amna atakae fuja mali ya serikali ya mtanzania Mama kidume Chambulo huyu Mkombozi Mpe kazi achape kazi Madudu kuyangamiza Serikali yako kodi Ikufikie kamili !

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts หลายเดือนก่อน +7

    Makonda Mungu azidi kukutangulia....

  • @rajaburajabu3963
    @rajaburajabu3963 หลายเดือนก่อน +13

    Duh hapa kazi ipo

  • @mohdymuddy-464
    @mohdymuddy-464 21 วันที่ผ่านมา +1

    Kuna majitu yako na akili mingi na hayana muda wa kukodolea macho kazi za serikali😂😂😂...CHAMBULO MY HERO...MQKONDA TULIIIIII😅😅

  • @benisayo7370
    @benisayo7370 หลายเดือนก่อน +6

    Tunahitaji watu kama Hawa Tz ndani ya serikali ni uozo mtupu watu wanaonewa wananyanyaswa haki ya mtu inapindishwa wakijua hatuna uwezo

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 หลายเดือนก่อน +7

    Mpeni ulinzi huyu mzee itasaidia upelelezi ya wezi

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂uyo so mfanya bihashara wa kariakoo yan kiufup ulinzi upo...ila ningekua mim ningesafiri nchi

    • @hemedsudi1219
      @hemedsudi1219 27 วันที่ผ่านมา +1

      Picha inaanza huyo mtu sio wa mchezo mchezo, anaweza ajiri mtu yeyote akawa mlinzi wake.

  • @user-bz7kg2lr3f
    @user-bz7kg2lr3f หลายเดือนก่อน +3

    Mzungu haibiwagi mnafikir wazungu nikama waafrikaee mmezoea kutuibia hapo mmeingia chakike

  • @annazacharianmko4657
    @annazacharianmko4657 28 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika makonda mungu akutetee na akupiganie kwa kazi ngumu unayoifanya huwezi pendwa kweli

  • @AdamMaglas-ye1bi
    @AdamMaglas-ye1bi หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🙏🙏 hata kuwa rais babaang Kwan unatenda mema ukikuta mtanzania anakuchukia jua ni mpgaji na pia hajitambui. Nakukubali sana tangia ukiw dar. Mm naitwa Adam ramadhan shemzigwa nipo arusha yetu endelea kujenga na mung atakuw pamoja nawe babaang.dah? Wakat mwingine mpakaachoz ananitoka kwa upendo unaowafanyia waliozulumiwa Hali zao. Sijui ata nikupe zawad gan baba Kwan siez ata kukulipa ela mm ni mtu wa chin sana. Bali malipo yangu ni Dua kwa mung nakuombea sana baba Yan ungejua ninavoomba kwaajili yako babaang. Ni mm na mung wangu tu ndo anajua ninachokuombea kwa Kaz ngum na kubwa unayoifanya mung atakulipa kwa mema.

  • @PeterStephen-on4zz
    @PeterStephen-on4zz หลายเดือนก่อน +7

    Respect Mkuu. Makonda ...do something 🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 หลายเดือนก่อน +3

    Jamaa uko vizurii mnooo mambo yatakaa sawaaa kwenye ishu ya biashara umeshika namba

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 หลายเดือนก่อน

      Mpaka mama kamrudishia bilioni 4.2 tangu 2022 inaonyesha amenyooka hana mbambamba kwenye kulipa kodi

  • @user-qi8pk4xg9z
    @user-qi8pk4xg9z 20 วันที่ผ่านมา

    Big up Mr chambulo umesema ukweli nchi hii inawapigaji wengine ahsante director wangu ulinipa Kaz kule Mara Mara na kubukubu uko vizuri Mungu akubariki

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation หลายเดือนก่อน +6

    God bless Mrs Chambulo ameonyesha Matatisu

    • @abdullahalkindi9673
      @abdullahalkindi9673 หลายเดือนก่อน +2

      Ni Mr. sio Mrs

    • @tintatz5109
      @tintatz5109 หลายเดือนก่อน +1

      Mrs? Bora ungenyamaza 😅😅😅

    • @stanleybupambambogo3334
      @stanleybupambambogo3334 หลายเดือนก่อน

      ​@@tintatz5109😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤

  • @mauricebaraka9119
    @mauricebaraka9119 19 วันที่ผ่านมา +1

    Chambulo ni genius

  • @ramiamisanya9873
    @ramiamisanya9873 หลายเดือนก่อน +2

    Hongereni Global kwa taarifa kama hizi

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 หลายเดือนก่อน +6

    Ili arusha ikae sawa wapeleke roboti Eunice wakanyooshe hao wadudu

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s หลายเดือนก่อน +10

    Haya Kumekucha.

  • @user-xn8jh1yw1h
    @user-xn8jh1yw1h 12 วันที่ผ่านมา

    Hapana kula pesa ya Mtu. Good job. Tusaidieni Nchi yetu isonge mbele. Lila na Fila havitangamabi! Wafanyabiashara wakilipa kodi zao zifike sehemu husika. Wapigaji enough is enough.

  • @Kyomushula1986
    @Kyomushula1986 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa mwenye kofia, ananifurahisha sana anavyosikitika ki-MAULIDI KITENGE

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq หลายเดือนก่อน +10

    Nchi inaliwa kumbe kuna chura anameza

  • @BlankaMsauta-kj5ef
    @BlankaMsauta-kj5ef หลายเดือนก่อน +4

    Hata kwenye mamlaka za maji ipo hiyo mtu anakuwa na cc Yao ukilipa zinaenda Kwa mahawara zao

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 28 วันที่ผ่านมา

      😂si ya kucheka, lakini imebidi nicheke

  • @elizabethnicodemus5192
    @elizabethnicodemus5192 28 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde mr. Chambulo akupe miaka mengii ya furaha na amani bwana akutunze🙏🙏

  • @user-zx3he3lp3o
    @user-zx3he3lp3o หลายเดือนก่อน +4

    Kwa kwrli Rc ni jemve kwa jiji la Arusha mfano Arusha ni jiji la utaperi sana wizi wa dimu mitaani tangu uje Arusha kuna jengwa barabara n jiji kuwa na usalama kwa kuweka camera za kuzuia wizi wa dimumitaa kwa vijna wadudu wananchi wana imani nawe mfano ulpokuwa katibu wa uenezi

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda watendaji Wako watakutoa roho Kwa kukosa nidhamu ya kazi.

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 หลายเดือนก่อน +1

      Kama hiyo nafasi alipewa na watendaji basi ikawe hivo kama unanenavyo... Lakini kama hiyo nafasi kapewa na Mungu mwenyewe basi wacha inyeshe tuone panapovuja🚶

  • @easykiswahili
    @easykiswahili หลายเดือนก่อน +2

    Ina maana Kuna kampuni hewa,,,,control no hewa alafu wanabambikia watu

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 หลายเดือนก่อน

    Mueshimiwa uliebalikiwa na muumba mbingu na alizi endelea kuchapa kazi yako ili chama kiendelee kua imala nami nakuombea dua kila kukicha ili uwe na maisha malefu ili utende haki kwa wanyonge ❤❤❤❤❤

  • @veronicamedukenya7416
    @veronicamedukenya7416 หลายเดือนก่อน +2

    Alidhani chambulo ni kajamba nani kama stendi ndogo na press conference zake za matisho... Mungu atabaki kuwa Mungu.

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 หลายเดือนก่อน +6

    Kuna Madudu Mengi Sana Serikalini

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 หลายเดือนก่อน +3

    Hatari sana, viongozi hao wanapaswa kupisha uchunguzi ,ni hatari sana hii , viongozi wanachafua taswira ya serikali

    • @pirminmatumizi5464
      @pirminmatumizi5464 หลายเดือนก่อน

      Nani ana ujasiri huo. Huyu ndugu anashtaki ngedere kwa nyani 😂

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde mh. Paul Makonda👏👏

  • @rahmarama5669
    @rahmarama5669 27 วันที่ผ่านมา +1

    Dis man nataman mumpe nafasi nzuri nadhan akisimamia kwa uangalizi kila kitu kitaenda vzr

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 หลายเดือนก่อน

    Mh Mkuu wa Mkoa-Arusha tunaomba ktk shuguhuli za kutetea haki siku moja basi nendaga magerezani ukakutane na wafungwa na kesi zao kiongozi wangu. Asante

  • @KelvinKimambo
    @KelvinKimambo หลายเดือนก่อน +2

    Nimeipenda sana hii

  • @user-qm2ds9mr9r
    @user-qm2ds9mr9r หลายเดือนก่อน +3

    Hivi mkuu wa mkoa hana meno ya kung'ata?
    Hivi wakati wa Nyerere hata shutuma tu, hao wasingetakiwa kuwa viongozi tena, na kama wakiwekwa pembeni, watendaji wengine watajifunza jmn.
    Watanzania tunaumizwa jmn

  • @flavianapeter494
    @flavianapeter494 13 วันที่ผ่านมา

    Ñimeanza kumwelewa Makonda na kumpenda bure Hongeraa sana na heri ya tumbo lilokuzaaaaa🙏

  • @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf
    @MINISTERBAHATIMPUME-px4pf หลายเดือนก่อน +1

    MUNGU akulinde Makonda,tunaanza kukuelewa broo,wewe ni shujaa mpaka namwona Magufuli

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 หลายเดือนก่อน +6

    Daah nimestaajab kumbe mijiz inapiga sana, bora maelezo ya paruwanja wajinga wengi tuyajue

  • @elvismabena7630
    @elvismabena7630 หลายเดือนก่อน +1

    Bravo Sana Mr Chambulo🙏🙏🙏

  • @kungugeni
    @kungugeni หลายเดือนก่อน +6

    Mnawapa wezi uongozi Atari sana

  • @desderykarugaba1826
    @desderykarugaba1826 หลายเดือนก่อน +4

    Mhh Mungu atusaie sana.

  • @SamweliMwalindu
    @SamweliMwalindu หลายเดือนก่อน +4

    hiyo ni arusha mikoa mingine ndoo kumeno yahatali haya arusha u afanya upate nafasi kubwa ndoo tanzania hali ni mbaya sana walaji hawana aibu makonda kaz buti hasa wema niakiba