HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- HAMIS KIGGUNDU: BILIONEA MDOGO MWENYE UTAJIRI WA KUTISHA ALIYEANZIA KUUZA MITUMBA | THE BRAIN FOOD...
#THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD #THEBRAINFOOD
#CREDITS: Wode Maya
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Wezi wengi asaiv
Naombea watu wafanikiwe Ila nikimuona mtu mwenye Ngozi kama yangu amefanikiwa huwa namuunga mkono na kumuomba Mungu amzidishie Maana rangi nyingine wanaombeana saana na wanasaidiana
Umenena vyema
Ɛ
Ɛ
Acha uwongo😊
Naombaa uniombee sana sana nifanikiwe
Fikira fupi
Siku moja lazima na Mimi nifanikiwe💪...we need more of this constructive documentaries!
Makala kama hizi ni nzuri sana zinatuongezea juhudi ya kupambana asante sana
Sijawahi tamani cha M2 lakin leo nimetamani maisha ya HAM,Mungu nipe na Mimi 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Allahumma aamin
Nimependa unavyo Ainisha mambo,
_mana unaamsha hisia zilizopo ndani yangu_
*Kikubwa ni kufanya kazi kwa malengo na kuwa wabunifu*❤
Mungu ambariki na sisi atupe tutoe tuwasaidie wanyonge
Maa shaa Allah Nimejifunza Kutoa ndo kila kitu
Yaarb mie alien shinda maisha ni yule mwenye Mwisho MWEMA binadamu wote tuko sawa Masha'Allahah tumshukuru Muumba wa Mbingu na Ardh vitu hutafutwa na kwa muda mrefu na huweza kupotea ndan ya Dakika anae toa hai kwenye maut na anae toa maut kwenye hai n Muumba wa Mbigu na Ardh hapo ndo utajua binadam wote tuko sawa chochote hutokea muda wowote
I lov u muslim❤
@@AhmedAli-uh2ft Alhamdullah kwa Neema ya kua Waislamu
Maashalaah uko sahihiii
@@husseinmtima6106 Allah atuepushe chochote kile ambacho utanunua kwa pesa bas hyo kitu siyo ghali ni rahis matajir wangekua tofaut na sisi tunao kula viazi mbona afya hawanunui au uhai waendelee ku enjoy Allah awatangulie wote wanao pesa ni kila kitu
Mimi najiuliza maana naona hapa mnanyongo kidgo na uyu bwana khamis. Mbona waarabu Wana utajiri mkubwa mno na mambo mengi wanafanya kutoa kama hamisi lkn .HAMUWAHUSISHI NA USHIRIKINA LKN KWA HAMIS TU. OH KAMA NI KWELI CYO USHIRIKINA AENDELEE YOTE YANINI JMN. AYO NI MAMBO YAKE NA MUNGU NA CYO WANADAMU JMN.KHAAAA
Nakupenda Sana na sauti yako mzuri tunaweza sote
BIG UP KWAKE KWAKE MUNGU HAMTUPI MJA WAKE
"HARD WORK PAYS"
Jamani saidieni maskini, wagonjwa na wasiojiweza. Hivi vyote vya nini na chumba cha kulala ni kimoja unahitaji, choo moja, kiko moja, huko watoto hawana mashule, madeski, visutubu, madawa, and the list goes on on on.
Mmmmmmh,kifo ni kibaya,maisha ni mafupi,mambo km haya Mungu angetupa kuishi miaka Mia 900 km akina IBRAHIMU
🤣🤣
Mwenyezi Mungu akulinde kakangu , kuwa Na Moyo wakusaidia ❤🇰🇪🇰🇪
Kama n utajiri wakutoka kwa Mungu hongera kwake. Ila kama n wakishetani apambane tu maana dunian tunapita😂😂
Congratulations amis 💪
Hongera sana brother Khamis...Ikiwa na mm pia niko napambana kupata riziki nami nitafikia huko tu inshaAllah. Eeee mungu nijaalie nitimize ndoto zangu.
Inshaallah ❤️ from MALAWI
Mungu amzidishie Umrii mrefu afya njema
Dalili 1 kuuubwa sana ya kuwa ww ni maskini na utakufa maskini...ni kuchukia mafanikio ya mwenzio ukishajijua roho iyo unayo, ndugu. ww mpaka unakufa ...ukiambulia ni IST tena ya kununua mkononi ilotumika, 100%
Duuuh!!!!!
😂😂😂😂
Global TV , Mr.Amin Ligonde nakubali sana sauti yako ina vidokezo vizuri aseee ,, nafuatilia sana makala unazotangaza
Natamani mungu anipe hata billion 1🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙌🏻
AMEE AMEE , INSHALLAH , ONE DAY YES
Wewe huwezi kutoboa kwasababu huwa unamfira baba ako na unamtomba mama ako
Binadamu wote Sawa kabisa, utofauti wa maisha unatokana materials gani you have induced in your brain!
Nispolike Kwa ujumbe huuu Ntakuwa na Asili ya kichawi😄
😂😂😂😂
😅😅😅😊
Mungu mwenyewe hadi akunyoshee mkono
Ni sawa nakushangaa utajiri wa RIDHIWANI KIKWETE
Huyo sio tajiri Ni fisadi, Siasa ikibadilika tu fukara!
Me nimeiona makala hii kwnye page ya Wode Maya, kabla hahaha, asante wa uhariri mzuri, tunajiifunza kitu
Mashalah,,mungu ambariki zaidi,,na sisi pia atubariki zaidi
Sema msimuliaji anavijembe,,! Ila big up bro umenipatia moyo wa kuendelea kupambana
Msimuliaji unajua kuturusha roho na kutusimanga...daah🤣🤣ooiiii weee.... iko siku ntakuwa tajiri tuu...
Yaaani 😂😂😂😂
Mafanikio Yana siri kubwa
Harafu wala hana chawa kumbe kuna watu wana ishia na kuishia 👏🙌😃🏃
Hawa ndio matajir sio wale wanajionesha
@@malak-lz6kxTanzania mtu ana hela ya kula anaitwa tajiri sasa hata maana ya tajiri inakosewa adabu
@@fahadfaraj6474Hahahaha "hata maana ya Tajiri inakosewa adabu"
@@mwaramimwarami1479 upuuzi sana yani leo kuna watu wanaonekana wanahela kumbe dah nahisi kina bakharesa Hua wanacheka sana
Mtangazaji ni mtu wa mtwara au lindi
Masha Allah
We mtangazaji bora sana ❤🎉
Hata Tanzania wapo wenye hela Zaid ya mo lakin hawajioneshi
Hapa tanzania wengi wao wanautajiri wa mafisadi
Pesa sio utajiri, mfumo wa kukupeleka kwenye utajiri unapowekeza mashamba majumba viwanda nk ndo utajiri!
Ongera Sana mdogoangu kwa mafanikio
Wode Maya njoo uchukue pesa zako uku 😂😂 home sweet home masaka uganda
Alaali asooke akomewo e Masaka😀
Eeeeee, mungu nikumbuke NISAMEHE kwakutamani, naomba nipe na Mimi ili nisiendelee kukukosea kwakutamani amina
Inshaallah nasie ipo siku tutatoka
Jamaa anayesumbuliwa yuko vizuri
kapewa umepewa, period
Nimecheka eti nguo zinatundikwa kwenyekamba kama zikobuchani😂😂😂😂😂
Hongereni @global ila kama hajawaambia kuwa ni mwaajirwa wa mama janet museveni mmhoji tena
Umenipa moyo broo kupanba one day yes
Gold from Congo
muwe mna acknowledge source,mnapo copy content..........!!
Credit kwa @WODE MAYA
Nami nimemuona
Dah...
Mwijaku Soma Hiyo, 'Hapa Ni Wapi' 😁.
Nimempenda mtangazaji bwana weew.....
Anatangaza vizuri mno
Hatar sana sijui niandike nn
Mashallah
Sasa mtu kasoma kaboja international school hiyo sini IST ya TANZANIA PALE MASAKI......afu useme kalelewa kawaida....kaboja sio ya mchezooo....huyu wakishua kitambo tu.
Ngoja na mm nipambane one day nami watu wasimuliwe makubwa yangu!!
Kibongo bongo
Dooh Jamaa Kachafuka Kwa Mtonyo Kinomaaa Ana Mkwanja Mrefu Sana
Mali za MUSEVENI asiwadanganye
@@edwardmkwelele nawewe kamuombe mseveni
@@edwardmkweleletafuta Hela acha kujidanganya😂😂😂
Asa huyo si Kigundu. Ni Mzee wa Baraka!
Acheni uongo mabigwa wa kujifariji et mungu atanisaidia kama huyu mshkaji uongo mafanikio hayaji hiv lazima uumie dingii
Safi tatizo la matajiri wa bongo wamekaa kujificha na kukimbilia biashara za watu wa chini kuuza juice mandazi wanashindwa kujenga maeneo makubwa na kuyabadilisha
Huyu aliyeturoga kuwa ati binaadamu wote sawa ni mwalimu 😅😅😅
Diamond haiingii kabsa bado mtoto kwa ham
Acha kufananisha watu kapuku na wenye fedha zao😅😅😅
😂😂😂 Bro amejenga uwanja wa dola million 89 kawapa serikali bure unaitwa nakivubo war memorial stadium
Sio Diamond waungane na wasanii unaowataka wa hapa bongo hawaingii hapo
❤❤❤❤❤❤
Leyo niwakwanza naomba nauwa yenu jamaa nimwamba tena mwamba wadhahabu jamani tutafute hela maisha mazuri yapo Africa jamani hamshtuki manyanghau yanatoka kwao maskini wakija Africa wanaondoka wakiwa nimatajiri hamshtuki hem zindukeni
6:25 mungu tupe na sisi
Siku na angalia kwenye maya channel liwaza sana ,Toka magethoni,
Jamaa upo vzuri Kwa kusimulia
Jmn na mm nijengee nyumb yakawida tuu wakae wazaziwangu
Ila kwenye utajiri kuna siri kubwa sana,
Ni kweli ila usifocus humo , focus kwa kujituma ufikie mbali
Mbona huwazi kwenye umasikini kuna siri kubwa sana?
Siri kubwa ni nidhamu ya pesa na watu waliokuzunguka, yaani watu wako ni wa ainga gani...? basi umemaliza ...
Utajiri mwingine ni wa masharti mengi,si mmejionea wengi wanaua albino ili watumie viungo vyake kupata utajiri? ndo maana nilisema kwenye Utajiri kuna siri nzito ingawa si kwa wote
Fanya research Kwanza, usiaminishwe tu kuwa kila tajiri anatoa kafara utakufa masikini !
Binadamu ni sawa kimaumbile sio Kwa kipato usipotoshe watu
Sema ww huna pesa ila kuna watu wanazo pesa
Yani global tv mnamtegea wode maya?
Ana hela sawa na Dr Dre duh
Kwa utafiti wangu mdogo hawa jamaa wanaozaliwa tarehe 1, 10, 19, 28 wengi ni matajiri sijui kwann? Mfano Bill gate 28, Elon musk 10, Aliko Dangote 10, Jack Ma 10 nk na huyu pia tarehe 10
toeni credit kwa channel ya WODE MAYA kwakutumia video clips zake, anaweza kuwa report video ikashushwa brother
😢😢😢😢
Kwanza kashaoa tuanzie hapo mtangazaji afu mbele ntakuomba unipatie namba zake tuu...mengine niachie mwenyewe🤣🤣🤣🤣
😂 😂 😂 😂 nimecheka kama Mazuri kiukweli
@@rezegerezege691eenhe.. yani anipe namba tuuu...ntamalizana nae mwenyewe🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂 unataka kutuletea shemeji
@@costantineenock5323 we kwani hutaki kuwa na shemeji tajiri...Acha tuchangamkie fursa🤣🤣
Mwamba huyu apa hamisi kigundu
USAWA WA BINADAM UNAKAMILIKA KWENYE KIFO TU ILA MAISHA YA DUNIANI HATUWEZ KUWA SAWA ILA HATA UMILIKI KILA KITU DUNIANI LAKN UKIFA HUNA TOFAUT NA MWINGINE🙏
Kuijenga saikolojia juu ya mafanikio pia ni muhimu
Mawazo ya masikini
Mh kujibanza stoo
HUYU NARRATOR AMENIKOSHA
Narrator muongo
Nampa mauwa yake
Mtangazaji katisha
Duuuuuuu
Mtangazaji mbona😂😂😂😂
Mwambie Godlove wa TKTOK aje aone
global toeni huyu mtangazaji
Amini LIKONDE mghana Mayer anakutafuta huku
Mwamba kajipata haswaaaaaaa
Ndomana vidole vya mikono havilingani
Mtangazaji unazinguaa xaaana Yan tunakusikiliza alaf unatuponda we viii ww hujui ss ndo wateja wako ww type content sio mipashoo
Anatia hasira ya kupambana Wala hapondi😂😂
Hawa ndio wale kina hushpappi na waganda wengi ni matapeli wa mitandaoni
Jipe moyo kila utajiri mtu kapata kwa utapeli
Kaka moo ana dollar billion 2.3
Muombee saana azid kufanikiwa
Nope! ni $ 1.5 billion
Mo ana Dollar billion 1.5
Mpeni credit Wode Maya@Wode Maya
And they present it kama vile yao🤣
Wauni hawa
Mapambano hayana mwisho
Yani we acha uyu jamaaa mala nyingi nikienda Uganda lzma nione mijengo yake kila kona
8:50 🥴🥴
Unaongea kama mbwa 😂😂
Wengine bongo Apo wanajita matajiri kina Godlove wanacheza na kujipakazia utajiri 😂😂😂
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂za madafu
Huyu jamaa ameamua kutafuta kwanza...mapenzi baadae. Hiyo ndo siri ya mafanikio yake...