MTOTO ALIYEMLIZA NABII MKUU APEWA MILIONI 2 NA SHANGAZI YAKE - GeorDavie TV
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 ม.ค. 2023
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Uzuri wa huyu mwamba anarudisha kwenye jamii tofauti na Hawa wafanyabiashara za mafuta wao nikujilimbikizia mahela tu na famillia zao,Barikiwa sana mtumishi.
Hazirudi Bure kaa ukijua hilo ndugu yangu
Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu
Kweli
Kabisaaa
Be blessed pastor what in you for seeing the talent of the child
Ubarikiwe baba katika kazi yako umewa nusuru ao wadda. Mugu akupe mayishamarefu uzidi kutunusuru uobeye nata ifakwa ujumura amani mugu aku bariki
Mungu akupe maisha marefu na akuzidishie Roho ya kusaidia hivyo hivyo
Alooo this is supremely owesome🤝🤝🤝man of God ur more than wow.....wenye povu liwatokeee
Siku ya kwanza,,kukupata leo kwangu baba ubarikiwe sana ,,nifungue mim,niombe nyota yangu irudi baba natoka Kenya,,,nakupenda sana,,Mungu akubariki sana ,,AMEN.🎉🎉🎉
Mungu akubariki pastor Geodavi🙏
Mungu akutunze mtumish,,ila jambo kubwa,anayekusifu ww usikubali hizo sifa,mara moja anazitamka kwako nawe umpe hizo zifa Mungu,,kwan syo ww bali ni Mungu mwenyewe ndan yako,,,,watumish wengi wamekufa kimwili hata kiroho kwa kosa lakupokea sifa za Mungu kama Mungu,,,barikiwa sana zaid
Ubarikiwe sana mtumishi naomba uduma ya maombi
🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️💘💘💯💯🙏🙏🙏🙏🙏 nimekuelewa vizuri Sana 🙏💯 Mwenyezi Mungu Aendelee kukutunza
Wewe mchngaji unadhamini wanadamu wote kwa moyo wa dhati kabisa bila kujali utofati wa dini mungu akuongeze kila itwayo leo
Nko Kenya mtumishi wa Mungu hata mimi umenitouch, una moyo wakuinua mtu na kile ako nacho mungu akubariki sana, natamani siku nyingine nifike Tanzania tuu niguse hayo madhabahu tuu , nibarikiwe
Ujingao madhambi hayafutwi na binadam mwenzak
@@SaidWaKonde santhaaa🤣🤣
Umebalikiwa sana Nabii Mukuru kwasapoti unao sapoti watotowako Yusu Azidi kukuweka juuu NABII MUKUU!
Ameni mungu awe pamoja nawe🙏🙏
Nabii hakika Mungu azidi kuwa mbele yako katika shughuli zako zote
amen mtumishi wa Mungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Nakupenda sana nakuitaji sana 🙏🙏🙏🙏
Mtumishi Jo dev ubarikiwe mtumishi wa mungu
Akuna lishindikanaro kwa mungu 🙏
Baba YANGU NABII MKUU GEARDAVIE Mungu Awabariki Sana. Apostle Joseph Itangishaka Burundi Gitega capital poritike nagupenda tena nagufuata Sana 10/10
Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu
Amen kati ya manabii nimeweza ona huyu ndo nabii wa kwanza anayetoa majibu ya kweli
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏👏🙏🙏🙏🙏
Mungu abariki baba wetu,,love from Kenya
Baba mungu akubariki na akujalie maisha marefu ili utuvushe kondoo wako
Safi Sana Mtumishi kwakusaidia watu ,kwakwer mi nabarikiwa ,huangalii sura Wala kabila ,Mungu akuinue
Shalom Baba naomba kujiunga na maombi yako asante
Mungu akisema ndiyo, hakuna wa kumpinga
Sifa na utukufu zimwendee Yesu Kristo.Amen
mungu yopo mbinguni tumsifu yeye alie iumba mbingu na nchii
Kuna wimbo wangu ningependa. Pia utasame" TUTASIMAMA..
TUTASIMAMA SONG ndio my best TRENDING SONG.. nisapoti
Huyu baba nimekuwa nikifuata kazi yako Mungu anaona...hapa kenya sijaona mtumishi anaye supoti waimbaji kama huyu...God bless you sir
Sio issue kusurpot je u jamii kujihuisha na nyimb
@@SaidWaKonde yes
Mungu akubarik baba yaan natamani sana kuja ikulu kwa mfarume namuomba mungu anipe uwezo mbaka nifike nimuone baba 2
Asante sana baba
Baba naomba million moja ninashida
Jambo mutumichi wa mungu nakupendaka sana ni pasteur mugisho manegabe jean kutoka Congo
Blessed is the hand that given. More blessings flow to you our spiritual father . A good example to other pastors
Yesu akubariki
Binada muwanameji wegiwa oha wanama ono umeza riwanimutumishi usijari yabinadamu❤
Mungu akupe maisha marefu baba.
God bless you papa niombee milango yangu ya mafanikio.Mungu akuzidishie mafuta mabichi.
Hutaki mafuta ya kuiva😂😂😂😂
Hata mimi ninaamini wewe ni mtumishi wa mungu alie hai nashukuru kwa upendo uko nao nimelia by glory mayotte france
Mungu ni mwema sana kbs🔥🔥🔥
Wimbo umenigusa 👏👏👏👏🙏🙏🙏💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🇺🇸🇺🇸
Ubarkiwe baba Yetu ❤ Nakupenda savabu unajali Sana shida zawatu
Ubarikiwe mtumishi
Nampenda sana Nabii Geerdev
Sema sina uwezo ningetoa zawadi ila basi Mungu namuachia kwake Amen
Mpee mzingo tu
Amen 😂
Mimi nakuita mwamba,,safiii sanaaa nakukubari sana
Good Bless you
Only Mungu asifiwe si Binadamu
Aisee huyi nabii ❤
Mungu hakubariki na hakubariki huyo mtoto
Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma mungu akubariki sana
Haki ubalikiwe ndani ya Yesu
Amen baba
Amina
Asante mtumishi,ila kwangu mimi ni na ulizo Baba, nataka nijuwe kabla ujakuwa nabii ulikuwanarndesha kazigani??,pili.naitati niwe naku nuowa kipara,yaani mimi ni kinyozi.sikumoja nikuone nikutach,.ninasababu fulani .siitaji hela ama milioni.ila nina malengo fulani.❤
Ubarikiwe sana 🙏 baba
MUNGU amekuleta kwenye maisha yetu kwa MAKUSUDI
Hatumsifii mwanadamu tunadanganywa hapo only GOD is the one who receive praise mwamini mungu siyo nabii
Haikuhusu Kaa kimya
Amen Mungu akubariki sana
Wimbo ni mzuri sn hadi umenisisimua ♥️😍👌🔥🔥🔥
Wimbo mzuri baba asante
Amen pia yangu istawili
God bless you u are the man of God 🙏
Only God deserves all the glory.Have faith in Him only not a human being
Wimbo huu umeniguza kwa kweli... Tuna Imani na ww GDV. Hallelujah
,😳
Naitwa rose Niko mbeya kiukweli namimi nakuamini baba nakufatilia Sana baba endelea kupiga mwingi
Tunaimani Naye
Amen
Amen....
Hongren
Mungu asifiwe
Poleni sana mungu ni mwema
Aliye kuita katika huu ufalme ni mungu nakupitia kwako wengi tumebarikiwa wengi tumeponywa na mungu.
Wachungaji wengine wanakamua hela za waumini lakini wewe unawabariki watu kwa pesa, hongera kwa kutoa
HALELUYA
Savi sana
Kiukwel mm mwenyewe nimeupenda Sana huo wimbo hd upigaj wa kinanda
Wow
Live long papa
Good work
Mtumishi wa Mungu hakika mimi nimekbar wewe siyo siyo mbinafsi tena hata siku nikifika kanisan kwako nikatoa sadaka yangu nitajivunia sana Kwan inarud Kwa jamii isiyojiweza, Sasa hapa ndo unampa Mungu sadaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu
Mutumishi wa Mungu nakuomba unikubalie vifungo vilivyo juu yangu vitoke kukataliwa nawatu niwe mtukama wengine.
Shetani anainua watu washidane na Yesu. Ili jina la Yesu lisisikike..lisikike la wanadam wengine. Anajua kabisa Jina la Yesu likisikika sana ni anguko lake.
Kwa nn tusiwe na Imani na mungu kuliko binadamu
Amiina
Kuzimu inakusifu kwa kupoteza wengi ukiwapoteza kwa fedha za kuzimu moto huko mbele yako.....
We ndo taira kweliii wap umeona emeandikwa fedha ya kuzimu
Afadhali huyu anayerudiaha kwa jamii wengine hawajui hata shida za jamii wananenepesha account zao tu.
Kiukweli wewe ndo shetani na maana nikikuuliza kwann unamchukia huyu Baba utasema nini?
Tunaimani na mungu wetu
hiyo ni.kweli.kabisa ndugu anae pasa kusifiwa ni.mungu.
Nice🔥🔥🔥🔥🔥
Wimbo ya baraka Tele kwa mteule WA mungu
🙄🙄🙄eti mna Imani na na binadamu😢 yesu ndie utumia mtu kuondoa mapepo...
God have mercy upon us😢
Nyie, mlikuwa mwataka hela semeni ivyo tuu, acheni kutuzengua....
Mwenye tuna Imani nae ni mungu tuu, juu yeye ndio pumzi yetu🙏🙏🙏
Nice song
Mungu akiamua kukuinua akunaanaeweza kupinga
Nakupenda Nabii mkuu balozi wa amani
Ee. Mungu tusaidie sana
Nintap that anointing from Kenya
Am from Kenya how will I meet this spiritual father please I really need to she him
Amenifikisha mbali saana
Zaidi ya yote glory to God
Ni kweli kabisa. Uimbiwe angalia upo hai uko sahihi nabii mkuu mungu azidi kukufungulia kibali cha imani
Anapatikana wapi ata chaneli gani nimfatilie
Barikiwa Nabii Mkuu Baraka Unazotoa 🙏
Asante nabii wa mungu nisaidie nami kwa watoto wawili sina uwezo asante
Savi Sana
Mungu atupe uokofu
Je écouter votre production n'a bi
Mungu akutunze Sana baba
Namm naomba milion moja baba nashida Sana Sana 😭😭
😂😂😂😂😂
Hujamwamkia atakupaje
😂😂😂😂
Unzr huyu anaishi na jamii so mwingine Kila wimbo anaona dhambi na huu ndo unabii wa kwel,Yesu mwenyewe aliishi na Kila jamii