MTOTO ALIYEMLIZA NABII MKUU APEWA MILIONI 2 NA SHANGAZI YAKE - GeorDavie TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2024

ความคิดเห็น • 363

  • @JuliusPaulo-zf4cr
    @JuliusPaulo-zf4cr 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akupe maisha marefu na akuzidishie Roho ya kusaidia hivyo hivyo

  • @NewtonMugango
    @NewtonMugango 10 หลายเดือนก่อน

    Siku ya kwanza,,kukupata leo kwangu baba ubarikiwe sana ,,nifungue mim,niombe nyota yangu irudi baba natoka Kenya,,,nakupenda sana,,Mungu akubariki sana ,,AMEN.🎉🎉🎉

  • @MadinaIsimail
    @MadinaIsimail 9 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe baba katika kazi yako umewa nusuru ao wadda. Mugu akupe mayishamarefu uzidi kutunusuru uobeye nata ifakwa ujumura amani mugu aku bariki

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 ปีที่แล้ว +30

    Uzuri wa huyu mwamba anarudisha kwenye jamii tofauti na Hawa wafanyabiashara za mafuta wao nikujilimbikizia mahela tu na famillia zao,Barikiwa sana mtumishi.

    • @magdalenapeter6106
      @magdalenapeter6106 ปีที่แล้ว

      Hazirudi Bure kaa ukijua hilo ndugu yangu

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 ปีที่แล้ว

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

    • @mashalaizer3152
      @mashalaizer3152 ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @MumtazKhan-tu4hz
      @MumtazKhan-tu4hz ปีที่แล้ว

      Kabisaaa

    • @tmaafrica5927
      @tmaafrica5927 ปีที่แล้ว

      Be blessed pastor what in you for seeing the talent of the child

  • @villancekeke2954
    @villancekeke2954 ปีที่แล้ว +3

    Nko Kenya mtumishi wa Mungu hata mimi umenitouch, una moyo wakuinua mtu na kile ako nacho mungu akubariki sana, natamani siku nyingine nifike Tanzania tuu niguse hayo madhabahu tuu , nibarikiwe

    • @SaidWaKonde
      @SaidWaKonde ปีที่แล้ว

      Ujingao madhambi hayafutwi na binadam mwenzak

    • @robertnyanje69
      @robertnyanje69 ปีที่แล้ว

      @@SaidWaKonde santhaaa🤣🤣

  • @NeySway-b8o
    @NeySway-b8o ปีที่แล้ว

    Mungu akutunze mtumish,,ila jambo kubwa,anayekusifu ww usikubali hizo sifa,mara moja anazitamka kwako nawe umpe hizo zifa Mungu,,kwan syo ww bali ni Mungu mwenyewe ndan yako,,,,watumish wengi wamekufa kimwili hata kiroho kwa kosa lakupokea sifa za Mungu kama Mungu,,,barikiwa sana zaid

  • @JAimeNtakarutimana
    @JAimeNtakarutimana 7 หลายเดือนก่อน

    Umebalikiwa sana Nabii Mukuru kwasapoti unao sapoti watotowako Yusu Azidi kukuweka juuu NABII MUKUU!

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 ปีที่แล้ว

    Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏👏🙏🙏🙏🙏

  • @Reverseumbetangie
    @Reverseumbetangie ปีที่แล้ว +4

    Huyu baba nimekuwa nikifuata kazi yako Mungu anaona...hapa kenya sijaona mtumishi anaye supoti waimbaji kama huyu...God bless you sir

    • @SaidWaKonde
      @SaidWaKonde ปีที่แล้ว +1

      Sio issue kusurpot je u jamii kujihuisha na nyimb

    • @Reverseumbetangie
      @Reverseumbetangie ปีที่แล้ว

      @@SaidWaKonde yes

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 ปีที่แล้ว +4

    Wewe mchngaji unadhamini wanadamu wote kwa moyo wa dhati kabisa bila kujali utofati wa dini mungu akuongeze kila itwayo leo

  • @MadinaIsimail
    @MadinaIsimail 9 หลายเดือนก่อน

    Binada muwanameji wegiwa oha wanama ono umeza riwanimutumishi usijari yabinadamu❤

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 ปีที่แล้ว +3

    Sifa na utukufu zimwendee Yesu Kristo.Amen

    • @mutekulwadavid2585
      @mutekulwadavid2585 ปีที่แล้ว

      mungu yopo mbinguni tumsifu yeye alie iumba mbingu na nchii

  • @elisanteqamdu
    @elisanteqamdu ปีที่แล้ว

    Hatumsifii mwanadamu tunadanganywa hapo only GOD is the one who receive praise mwamini mungu siyo nabii

  • @nizigamaviolette-ig9dl
    @nizigamaviolette-ig9dl หลายเดือนก่อน

    Mungu hurumiya watuwako kweli huyubaba anaona vizuri hana ataoga kuliko kusifu Mungu alieumba Mbingu nainchi wanamsifu yeye naanafurahiya mimi nimesikiya Uoga Kabisa saa

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki pastor Geodavi🙏

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 ปีที่แล้ว

    Mtumishi Jo dev ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @NewtonMugango
    @NewtonMugango 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu abariki baba wetu,,love from Kenya

  • @RoseDaud-e5n
    @RoseDaud-e5n 6 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi naomba uduma ya maombi

  • @glaury9938
    @glaury9938 ปีที่แล้ว

    Hata mimi ninaamini wewe ni mtumishi wa mungu alie hai nashukuru kwa upendo uko nao nimelia by glory mayotte france

  • @furahajastin8649
    @furahajastin8649 ปีที่แล้ว +4

    God bless you papa niombee milango yangu ya mafanikio.Mungu akuzidishie mafuta mabichi.

    • @esthercharo827
      @esthercharo827 ปีที่แล้ว

      Hutaki mafuta ya kuiva😂😂😂😂

  • @MugishoManegabe-h2t
    @MugishoManegabe-h2t 10 หลายเดือนก่อน

    Jambo mutumichi wa mungu nakupendaka sana ni pasteur mugisho manegabe jean kutoka Congo

  • @officialcolofindo19
    @officialcolofindo19 ปีที่แล้ว

    MUNGU amekuleta kwenye maisha yetu kwa MAKUSUDI

  • @dedenegele4996
    @dedenegele4996 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda sana Nabii Geerdev
    Sema sina uwezo ningetoa zawadi ila basi Mungu namuachia kwake Amen

    • @nicoluu874
      @nicoluu874 ปีที่แล้ว

      Mpee mzingo tu

    • @JoyceSarufu
      @JoyceSarufu 8 หลายเดือนก่อน

      Amen 😂

  • @SaidMkubwa-xg5pq
    @SaidMkubwa-xg5pq 22 วันที่ผ่านมา

    Na Mimi nabii wangu ni mtume Muhammad ❤

  • @rehemaSanga-p3g
    @rehemaSanga-p3g 3 หลายเดือนก่อน

    Unatisha baba mungu aendelee kukuinua zaidi

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 ปีที่แล้ว +3

    Amen kati ya manabii nimeweza ona huyu ndo nabii wa kwanza anayetoa majibu ya kweli

  • @henrymaile1121
    @henrymaile1121 ปีที่แล้ว

    Mungu akubarik baba yaan natamani sana kuja ikulu kwa mfarume namuomba mungu anipe uwezo mbaka nifike nimuone baba 2

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 ปีที่แล้ว +2

    Baba YANGU NABII MKUU GEARDAVIE Mungu Awabariki Sana. Apostle Joseph Itangishaka Burundi Gitega capital poritike nagupenda tena nagufuata Sana 10/10

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 ปีที่แล้ว

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akisema ndiyo, hakuna wa kumpinga

  • @florenceakinyi56
    @florenceakinyi56 ปีที่แล้ว

    Shalom Baba naomba kujiunga na maombi yako asante

  • @elizabethdeus7923
    @elizabethdeus7923 ปีที่แล้ว +6

    Akuna lishindikanaro kwa mungu 🙏

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma mungu akubariki sana

  • @jovinjoseph1438
    @jovinjoseph1438 ปีที่แล้ว +6

    Nakupenda sana nakuitaji sana 🙏🙏🙏🙏

  • @samwelmsongoa1861
    @samwelmsongoa1861 ปีที่แล้ว +2

    Baba naomba million moja ninashida

  • @marrykilyenyi8573
    @marrykilyenyi8573 ปีที่แล้ว +2

    Safi Sana Mtumishi kwakusaidia watu ,kwakwer mi nabarikiwa ,huangalii sura Wala kabila ,Mungu akuinue

  • @IMANSHEDRACK
    @IMANSHEDRACK วันที่ผ่านมา

    Aise Mungu akubariki pia name natamani nyimbo hata zangu ipigwe hapo

  • @AbelSM254
    @AbelSM254 ปีที่แล้ว +5

    Blessed is the hand that given. More blessings flow to you our spiritual father . A good example to other pastors

  • @talentedboys-tv1507
    @talentedboys-tv1507 ปีที่แล้ว +2

    Alooo this is supremely owesome🤝🤝🤝man of God ur more than wow.....wenye povu liwatokeee

  • @stephenngala1048
    @stephenngala1048 11 หลายเดือนก่อน +1

    glory to God not fellow human beings

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nakuita mwamba,,safiii sanaaa nakukubari sana

  • @greysongodlisten7118
    @greysongodlisten7118 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi

  • @acrrehteacher4230
    @acrrehteacher4230 ปีที่แล้ว

    Baba mungu akubariki na akujalie maisha marefu ili utuvushe kondoo wako

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 ปีที่แล้ว +5

    Ameni mungu awe pamoja nawe🙏🙏

  • @VivianMakange
    @VivianMakange ปีที่แล้ว

    Mungu akupe maisha marefu baba.

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 ปีที่แล้ว

    Kwa nn tusiwe na Imani na mungu kuliko binadamu

  • @yasinidicole4171
    @yasinidicole4171 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema sana kbs🔥🔥🔥

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss 9 หลายเดือนก่อน

    Wimbo ya baraka Tele kwa mteule WA mungu

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️💘💘💯💯🙏🙏🙏🙏🙏 nimekuelewa vizuri Sana 🙏💯 Mwenyezi Mungu Aendelee kukutunza

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 ปีที่แล้ว +2

    amen mtumishi wa Mungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji ปีที่แล้ว

    Only Mungu asifiwe si Binadamu

  • @geoffreytheprincemwimbaji9343
    @geoffreytheprincemwimbaji9343 ปีที่แล้ว +2

    Kuna wimbo wangu ningependa. Pia utasame" TUTASIMAMA..
    TUTASIMAMA SONG ndio my best TRENDING SONG.. nisapoti

  • @kerenkanini9246
    @kerenkanini9246 ปีที่แล้ว

    Aliye kuita katika huu ufalme ni mungu nakupitia kwako wengi tumebarikiwa wengi tumeponywa na mungu.

  • @NeemaMbowe-j4u
    @NeemaMbowe-j4u ปีที่แล้ว

    Mungu akiamua kukuinua akunaanaeweza kupinga

  • @bonifacedeljaykay1221
    @bonifacedeljaykay1221 ปีที่แล้ว +4

    Wimbo huu umeniguza kwa kweli... Tuna Imani na ww GDV. Hallelujah

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว

      ,😳

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 ปีที่แล้ว +1

      Naitwa rose Niko mbeya kiukweli namimi nakuamini baba nakufatilia Sana baba endelea kupiga mwingi

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 ปีที่แล้ว

      Tunaimani Naye

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 ปีที่แล้ว

    Shetani anainua watu washidane na Yesu. Ili jina la Yesu lisisikike..lisikike la wanadam wengine. Anajua kabisa Jina la Yesu likisikika sana ni anguko lake.

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 ปีที่แล้ว

    Ubarkiwe baba Yetu ❤ Nakupenda savabu unajali Sana shida zawatu

  • @josephfrances1447
    @josephfrances1447 ปีที่แล้ว

    Mtumishi wa Mungu hakika mimi nimekbar wewe siyo siyo mbinafsi tena hata siku nikifika kanisan kwako nikatoa sadaka yangu nitajivunia sana Kwan inarud Kwa jamii isiyojiweza, Sasa hapa ndo unampa Mungu sadaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 ปีที่แล้ว

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 ปีที่แล้ว

    🙄🙄🙄eti mna Imani na na binadamu😢 yesu ndie utumia mtu kuondoa mapepo...
    God have mercy upon us😢
    Nyie, mlikuwa mwataka hela semeni ivyo tuu, acheni kutuzengua....
    Mwenye tuna Imani nae ni mungu tuu, juu yeye ndio pumzi yetu🙏🙏🙏

  • @karimpasclee4043
    @karimpasclee4043 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana 🙏 baba

  • @Ghislain-yl9qh
    @Ghislain-yl9qh 7 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi,ila kwangu mimi ni na ulizo Baba, nataka nijuwe kabla ujakuwa nabii ulikuwanarndesha kazigani??,pili.naitati niwe naku nuowa kipara,yaani mimi ni kinyozi.sikumoja nikuone nikutach,.ninasababu fulani .siitaji hela ama milioni.ila nina malengo fulani.❤

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 ปีที่แล้ว +7

    Nabii hakika Mungu azidi kuwa mbele yako katika shughuli zako zote

  • @ManuelLucastoto-m5h
    @ManuelLucastoto-m5h 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana asifiwe baba mtumishi wa

  • @FurahiniJohn-f4g
    @FurahiniJohn-f4g ปีที่แล้ว

    Good Bless you

  • @johnayub7694
    @johnayub7694 ปีที่แล้ว

    Aisee huyi nabii ❤

  • @MariaJoseph-sr2le
    @MariaJoseph-sr2le ปีที่แล้ว

    Poleni sana mungu ni mwema

  • @GilbertMutethia
    @GilbertMutethia 2 หลายเดือนก่อน +1

    🙏🙏🇰🇪

  • @EsterShirima-vr7cv
    @EsterShirima-vr7cv ปีที่แล้ว

    Mtumishi tunapokea upako wako kwajina la yesu

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 ปีที่แล้ว +1

    Kiukwel mm mwenyewe nimeupenda Sana huo wimbo hd upigaj wa kinanda

  • @Jehovarohiband
    @Jehovarohiband 11 หลายเดือนก่อน

    Matayo 24:24 tuwe makini sana yesu kashasema

  • @Foma-Tz
    @Foma-Tz 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu asifiwe

  • @davidmj8166
    @davidmj8166 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo umenigusa 👏👏👏👏🙏🙏🙏💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🇺🇸🇺🇸

  • @amoskilekwa7780
    @amoskilekwa7780 ปีที่แล้ว +2

    Je écouter votre production n'a bi

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji ปีที่แล้ว

    Mko na talanta lkn itumieni kusifia Mungu,,Acheni upofu wa kiroho nyinyi

  • @FurahiniJohn-f4g
    @FurahiniJohn-f4g ปีที่แล้ว

    MUNGU akutunze Baba NABII MKUU DR GEORDAVIE Balozi wa AMANI UISHI Miaka Mingi

  • @r0semaryabuga434
    @r0semaryabuga434 ปีที่แล้ว

    Asante nabii wa mungu nisaidie nami kwa watoto wawili sina uwezo asante

  • @BishopEyanae
    @BishopEyanae 4 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @FelixZakayosway
    @FelixZakayosway 7 วันที่ผ่านมา

    Baba mm naitwa zakayo felix sway kilajambounalolifanya nikwaneema yamungu ilamm sinalakusema iposiku mungu atanikutanisha naww natamanisana kukuona matesokwangu yamexidi sana ilaxijakatatamaaa bb naomba uniombee baba

  • @wisemanfromzerotohero970
    @wisemanfromzerotohero970 หลายเดือนก่อน

    Asifiwe Mungu sio wew na unshetani wako

  • @MikeLiroko
    @MikeLiroko ปีที่แล้ว

    Mungu atupe uokofu

  • @kenmurithi6367
    @kenmurithi6367 ปีที่แล้ว

    Amen pia yangu istawili

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji ปีที่แล้ว

    Hii n ufala ak ,,,Eti kukusifu surely ,,Mmefanya huyu mtu kuwa Mungu ama ,,Kati yake n Yesu ni Nani nambii mkuu ak

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 ปีที่แล้ว +1

    Huyu jamaa anapata wapi Hera anagawa Hera kama njugu woundeful

  • @RhodaMary
    @RhodaMary 5 หลายเดือนก่อน

    Nintap that anointing from Kenya

  • @TuelewaneSemahoro
    @TuelewaneSemahoro 9 หลายเดือนก่อน

    Mutumishi wa Mungu nakuomba unikubalie vifungo vilivyo juu yangu vitoke kukataliwa nawatu niwe mtukama wengine.

  • @annajohn419
    @annajohn419 ปีที่แล้ว

    Ee. Mungu tusaidie sana

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว +2

    Yesu akubariki

  • @magdalinamwikali7251
    @magdalinamwikali7251 ปีที่แล้ว

    Mungu hakubariki na hakubariki huyo mtoto

  • @jordankikoti1045
    @jordankikoti1045 7 หลายเดือนก่อน

    Unzr huyu anaishi na jamii so mwingine Kila wimbo anaona dhambi na huu ndo unabii wa kwel,Yesu mwenyewe aliishi na Kila jamii

  • @HenryMutie
    @HenryMutie ปีที่แล้ว +1

    Akuna ajuae baraka yake itatoka wapi Mungu niwajabu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hadijamatunda3691
    @hadijamatunda3691 ปีที่แล้ว

    Nakupenda Nabii mkuu balozi wa amani

  • @maryminya
    @maryminya ปีที่แล้ว

    Hongren

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 ปีที่แล้ว +2

    Wachungaji wengine wanakamua hela za waumini lakini wewe unawabariki watu kwa pesa, hongera kwa kutoa

  • @jamilankaya6825
    @jamilankaya6825 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli kabisa. Uimbiwe angalia upo hai uko sahihi nabii mkuu mungu azidi kukufungulia kibali cha imani

    • @fettsamri3835
      @fettsamri3835 ปีที่แล้ว

      Anapatikana wapi ata chaneli gani nimfatilie

  • @didiermusimbipeter
    @didiermusimbipeter 3 หลายเดือนก่อน

    Katika wanabii wewe ni nabii sababu pesa zako siyo zakujionesha Ila naona kila Mara zina Saidia wengi nakuwasapoti , unaye mtumikiya awe mbele Yako kila Léo NABII MKUHU natowa maoni aya nikiwa 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @MellenaKansiime
    @MellenaKansiime 29 วันที่ผ่านมา

    Wewe njeanamu inakungoja sababu unapoteza watu Wa Mungu wengi

  • @ChawamduduMdudu-hv2gw
    @ChawamduduMdudu-hv2gw ปีที่แล้ว +2

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯

  • @kevindaud9069
    @kevindaud9069 ปีที่แล้ว

    Asante sana baba

  • @ZawadiUlambo-ww8xw
    @ZawadiUlambo-ww8xw ปีที่แล้ว +2

    Jamana Jaman tutende dhambi ila tukumbuke kuwa Kuna mungu juu mbinguni tuxhike neno la mungu takatifu🙏

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo ni mzuri sn hadi umenisisimua ♥️😍👌🔥🔥🔥

  • @BarakaCostantine
    @BarakaCostantine 5 หลายเดือนก่อน

    Amiina