MTOTO ALIYEMLIZA NABII MKUU APEWA MILIONI 2 NA SHANGAZI YAKE - GeorDavie TV

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 23 ม.ค. 2023
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

ความคิดเห็น • 339

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 ปีที่แล้ว +29

    Uzuri wa huyu mwamba anarudisha kwenye jamii tofauti na Hawa wafanyabiashara za mafuta wao nikujilimbikizia mahela tu na famillia zao,Barikiwa sana mtumishi.

    • @magdalenapeter6106
      @magdalenapeter6106 ปีที่แล้ว

      Hazirudi Bure kaa ukijua hilo ndugu yangu

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 ปีที่แล้ว

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

    • @mashalaizer3152
      @mashalaizer3152 ปีที่แล้ว

      Kweli

    • @MumtazKhan-tu4hz
      @MumtazKhan-tu4hz ปีที่แล้ว

      Kabisaaa

    • @tmaafrica5927
      @tmaafrica5927 ปีที่แล้ว

      Be blessed pastor what in you for seeing the talent of the child

  • @user-wz7ke8td5k
    @user-wz7ke8td5k 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe baba katika kazi yako umewa nusuru ao wadda. Mugu akupe mayishamarefu uzidi kutunusuru uobeye nata ifakwa ujumura amani mugu aku bariki

  • @JuliusPaulo-zf4cr
    @JuliusPaulo-zf4cr 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu na akuzidishie Roho ya kusaidia hivyo hivyo

  • @talentedboys-tv1507
    @talentedboys-tv1507 ปีที่แล้ว +2

    Alooo this is supremely owesome🤝🤝🤝man of God ur more than wow.....wenye povu liwatokeee

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c 5 หลายเดือนก่อน

    Siku ya kwanza,,kukupata leo kwangu baba ubarikiwe sana ,,nifungue mim,niombe nyota yangu irudi baba natoka Kenya,,,nakupenda sana,,Mungu akubariki sana ,,AMEN.🎉🎉🎉

  • @naimarishedy1523
    @naimarishedy1523 16 วันที่ผ่านมา

    Mungu akubariki pastor Geodavi🙏

  • @user-do2sx6sc8h
    @user-do2sx6sc8h 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze mtumish,,ila jambo kubwa,anayekusifu ww usikubali hizo sifa,mara moja anazitamka kwako nawe umpe hizo zifa Mungu,,kwan syo ww bali ni Mungu mwenyewe ndan yako,,,,watumish wengi wamekufa kimwili hata kiroho kwa kosa lakupokea sifa za Mungu kama Mungu,,,barikiwa sana zaid

  • @user-gq9fe6dn2c
    @user-gq9fe6dn2c หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana mtumishi naomba uduma ya maombi

  • @gatimakonge8678
    @gatimakonge8678 ปีที่แล้ว

    🔥🔥🔥🔥♥️♥️♥️💘💘💯💯🙏🙏🙏🙏🙏 nimekuelewa vizuri Sana 🙏💯 Mwenyezi Mungu Aendelee kukutunza

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 ปีที่แล้ว +3

    Wewe mchngaji unadhamini wanadamu wote kwa moyo wa dhati kabisa bila kujali utofati wa dini mungu akuongeze kila itwayo leo

  • @villancekeke2954
    @villancekeke2954 ปีที่แล้ว +3

    Nko Kenya mtumishi wa Mungu hata mimi umenitouch, una moyo wakuinua mtu na kile ako nacho mungu akubariki sana, natamani siku nyingine nifike Tanzania tuu niguse hayo madhabahu tuu , nibarikiwe

    • @SaidWaKonde
      @SaidWaKonde ปีที่แล้ว

      Ujingao madhambi hayafutwi na binadam mwenzak

    • @robertnyanje69
      @robertnyanje69 10 หลายเดือนก่อน

      @@SaidWaKonde santhaaa🤣🤣

  • @JAimeNtakarutimana
    @JAimeNtakarutimana 2 หลายเดือนก่อน

    Umebalikiwa sana Nabii Mukuru kwasapoti unao sapoti watotowako Yusu Azidi kukuweka juuu NABII MUKUU!

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 ปีที่แล้ว +5

    Ameni mungu awe pamoja nawe🙏🙏

  • @baghabaghaingwengwe1750
    @baghabaghaingwengwe1750 ปีที่แล้ว +7

    Nabii hakika Mungu azidi kuwa mbele yako katika shughuli zako zote

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 ปีที่แล้ว +2

    amen mtumishi wa Mungu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏

  • @jovinjoseph1438
    @jovinjoseph1438 ปีที่แล้ว +6

    Nakupenda sana nakuitaji sana 🙏🙏🙏🙏

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 ปีที่แล้ว

    Mtumishi Jo dev ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @elizabethdeus7923
    @elizabethdeus7923 ปีที่แล้ว +6

    Akuna lishindikanaro kwa mungu 🙏

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 ปีที่แล้ว +2

    Baba YANGU NABII MKUU GEARDAVIE Mungu Awabariki Sana. Apostle Joseph Itangishaka Burundi Gitega capital poritike nagupenda tena nagufuata Sana 10/10

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 ปีที่แล้ว

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 ปีที่แล้ว +3

    Amen kati ya manabii nimeweza ona huyu ndo nabii wa kwanza anayetoa majibu ya kweli

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 9 หลายเดือนก่อน

    Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari zikuwe famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule tupate ada Kwa jina la YESU christo amen baba 🙏🙏🙏🙏🙏👏🙏🙏🙏🙏

  • @user-gd9jf6pn4c
    @user-gd9jf6pn4c 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu abariki baba wetu,,love from Kenya

  • @acrrehteacher4230
    @acrrehteacher4230 ปีที่แล้ว

    Baba mungu akubariki na akujalie maisha marefu ili utuvushe kondoo wako

  • @marrykilyenyi8573
    @marrykilyenyi8573 ปีที่แล้ว +2

    Safi Sana Mtumishi kwakusaidia watu ,kwakwer mi nabarikiwa ,huangalii sura Wala kabila ,Mungu akuinue

  • @florenceakinyi56
    @florenceakinyi56 ปีที่แล้ว

    Shalom Baba naomba kujiunga na maombi yako asante

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akisema ndiyo, hakuna wa kumpinga

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 ปีที่แล้ว +3

    Sifa na utukufu zimwendee Yesu Kristo.Amen

    • @mutekulwadavid2585
      @mutekulwadavid2585 ปีที่แล้ว

      mungu yopo mbinguni tumsifu yeye alie iumba mbingu na nchii

  • @geoffreytheprincemwimbaji9343
    @geoffreytheprincemwimbaji9343 ปีที่แล้ว +2

    Kuna wimbo wangu ningependa. Pia utasame" TUTASIMAMA..
    TUTASIMAMA SONG ndio my best TRENDING SONG.. nisapoti

  • @Reverseumbetangie
    @Reverseumbetangie ปีที่แล้ว +4

    Huyu baba nimekuwa nikifuata kazi yako Mungu anaona...hapa kenya sijaona mtumishi anaye supoti waimbaji kama huyu...God bless you sir

    • @SaidWaKonde
      @SaidWaKonde ปีที่แล้ว +1

      Sio issue kusurpot je u jamii kujihuisha na nyimb

    • @Reverseumbetangie
      @Reverseumbetangie ปีที่แล้ว

      @@SaidWaKonde yes

  • @henrymaile1121
    @henrymaile1121 ปีที่แล้ว

    Mungu akubarik baba yaan natamani sana kuja ikulu kwa mfarume namuomba mungu anipe uwezo mbaka nifike nimuone baba 2

  • @kevindaud9069
    @kevindaud9069 ปีที่แล้ว

    Asante sana baba

  • @samwelmsongoa1861
    @samwelmsongoa1861 ปีที่แล้ว +2

    Baba naomba million moja ninashida

  • @user-sc5en5bi6v
    @user-sc5en5bi6v 5 หลายเดือนก่อน

    Jambo mutumichi wa mungu nakupendaka sana ni pasteur mugisho manegabe jean kutoka Congo

  • @AbelSM254
    @AbelSM254 ปีที่แล้ว +5

    Blessed is the hand that given. More blessings flow to you our spiritual father . A good example to other pastors

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 ปีที่แล้ว +2

    Yesu akubariki

  • @user-wz7ke8td5k
    @user-wz7ke8td5k 4 หลายเดือนก่อน

    Binada muwanameji wegiwa oha wanama ono umeza riwanimutumishi usijari yabinadamu❤

  • @VivianMakange
    @VivianMakange 10 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe maisha marefu baba.

  • @furahajastin8649
    @furahajastin8649 ปีที่แล้ว +4

    God bless you papa niombee milango yangu ya mafanikio.Mungu akuzidishie mafuta mabichi.

    • @esthercharo827
      @esthercharo827 9 หลายเดือนก่อน

      Hutaki mafuta ya kuiva😂😂😂😂

  • @glaury9938
    @glaury9938 ปีที่แล้ว

    Hata mimi ninaamini wewe ni mtumishi wa mungu alie hai nashukuru kwa upendo uko nao nimelia by glory mayotte france

  • @yasinidicole4171
    @yasinidicole4171 ปีที่แล้ว

    Mungu ni mwema sana kbs🔥🔥🔥

  • @davidmj8166
    @davidmj8166 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo umenigusa 👏👏👏👏🙏🙏🙏💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿🇺🇸🇺🇸

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarkiwe baba Yetu ❤ Nakupenda savabu unajali Sana shida zawatu

  • @greysongodlisten7118
    @greysongodlisten7118 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe mtumishi

  • @dedenegele4996
    @dedenegele4996 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda sana Nabii Geerdev
    Sema sina uwezo ningetoa zawadi ila basi Mungu namuachia kwake Amen

  • @amanisaid9863
    @amanisaid9863 ปีที่แล้ว +2

    Mimi nakuita mwamba,,safiii sanaaa nakukubari sana

  • @user-xt8qy8ci5s
    @user-xt8qy8ci5s 10 หลายเดือนก่อน

    Good Bless you

  • @Bedamamwinji
    @Bedamamwinji ปีที่แล้ว

    Only Mungu asifiwe si Binadamu

  • @johnayub7694
    @johnayub7694 7 หลายเดือนก่อน

    Aisee huyi nabii ❤

  • @magdalinamwikali7251
    @magdalinamwikali7251 ปีที่แล้ว

    Mungu hakubariki na hakubariki huyo mtoto

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mtumishi wa mungu kwa huduma mungu akubariki sana

  • @user-cf3go3sv8z
    @user-cf3go3sv8z 3 หลายเดือนก่อน

    Amen baba

  • @enockhanry9303
    @enockhanry9303 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @Ghislain-yl9qh
    @Ghislain-yl9qh 2 หลายเดือนก่อน

    Asante mtumishi,ila kwangu mimi ni na ulizo Baba, nataka nijuwe kabla ujakuwa nabii ulikuwanarndesha kazigani??,pili.naitati niwe naku nuowa kipara,yaani mimi ni kinyozi.sikumoja nikuone nikutach,.ninasababu fulani .siitaji hela ama milioni.ila nina malengo fulani.❤

  • @karimpasclee4043
    @karimpasclee4043 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe sana 🙏 baba

  • @officialcolofindo19
    @officialcolofindo19 8 หลายเดือนก่อน

    MUNGU amekuleta kwenye maisha yetu kwa MAKUSUDI

  • @elisanteqamdu
    @elisanteqamdu ปีที่แล้ว

    Hatumsifii mwanadamu tunadanganywa hapo only GOD is the one who receive praise mwamini mungu siyo nabii

  • @janenkata6290
    @janenkata6290 ปีที่แล้ว +2

    Amen Mungu akubariki sana

  • @lovenessaron2669
    @lovenessaron2669 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo ni mzuri sn hadi umenisisimua ♥️😍👌🔥🔥🔥

  • @mamy8220
    @mamy8220 ปีที่แล้ว

    Wimbo mzuri baba asante

  • @kenmurithi6367
    @kenmurithi6367 ปีที่แล้ว

    Amen pia yangu istawili

  • @davidkainonge8153
    @davidkainonge8153 ปีที่แล้ว

    God bless you u are the man of God 🙏

  • @ebenezerndanyuzwe9292
    @ebenezerndanyuzwe9292 ปีที่แล้ว

    Only God deserves all the glory.Have faith in Him only not a human being

  • @bonifacedeljaykay1221
    @bonifacedeljaykay1221 ปีที่แล้ว +4

    Wimbo huu umeniguza kwa kweli... Tuna Imani na ww GDV. Hallelujah

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 ปีที่แล้ว

      ,😳

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 ปีที่แล้ว +1

      Naitwa rose Niko mbeya kiukweli namimi nakuamini baba nakufatilia Sana baba endelea kupiga mwingi

    • @rozinzowa2426
      @rozinzowa2426 ปีที่แล้ว

      Tunaimani Naye

  • @meshackmeksh99
    @meshackmeksh99 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @DanazonTv1
    @DanazonTv1 ปีที่แล้ว

    Amen....

  • @maryminya
    @maryminya ปีที่แล้ว

    Hongren

  • @Foma-Tz
    @Foma-Tz 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu asifiwe

  • @MariaJoseph-sr2le
    @MariaJoseph-sr2le 7 หลายเดือนก่อน

    Poleni sana mungu ni mwema

  • @kerenkanini9246
    @kerenkanini9246 ปีที่แล้ว

    Aliye kuita katika huu ufalme ni mungu nakupitia kwako wengi tumebarikiwa wengi tumeponywa na mungu.

  • @peterjohn7613
    @peterjohn7613 ปีที่แล้ว +2

    Wachungaji wengine wanakamua hela za waumini lakini wewe unawabariki watu kwa pesa, hongera kwa kutoa

  • @paulandrew9965
    @paulandrew9965 ปีที่แล้ว +2

    HALELUYA

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 ปีที่แล้ว +2

    Savi sana

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 ปีที่แล้ว +1

    Kiukwel mm mwenyewe nimeupenda Sana huo wimbo hd upigaj wa kinanda

  • @damarisnjerunjeru399
    @damarisnjerunjeru399 ปีที่แล้ว

    Wow
    Live long papa

  • @bayiramyedanielkolenda2141
    @bayiramyedanielkolenda2141 ปีที่แล้ว

    Good work

  • @josephfrances1447
    @josephfrances1447 ปีที่แล้ว

    Mtumishi wa Mungu hakika mimi nimekbar wewe siyo siyo mbinafsi tena hata siku nikifika kanisan kwako nikatoa sadaka yangu nitajivunia sana Kwan inarud Kwa jamii isiyojiweza, Sasa hapa ndo unampa Mungu sadaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @mohammadkijana6618
      @mohammadkijana6618 ปีที่แล้ว

      Manabii walishapita na sasa tumebaki kizazi cha nabii muhammad so wanaowafuata wanaojiita manabii na kuwatukuza basi wajue wanawapiga vita manabii na Mwenyezimungu maana hakuna nabii aliyesema mungu ana mwana pia hakuna nabii aliyesema yeye ni mwana wa mungu isipokua walisema wao ni Mitume au wajumbe wa Mwenyezimungu

  • @TuelewaneSemahoro
    @TuelewaneSemahoro 4 หลายเดือนก่อน

    Mutumishi wa Mungu nakuomba unikubalie vifungo vilivyo juu yangu vitoke kukataliwa nawatu niwe mtukama wengine.

  • @prosperjuma905
    @prosperjuma905 ปีที่แล้ว

    Shetani anainua watu washidane na Yesu. Ili jina la Yesu lisisikike..lisikike la wanadam wengine. Anajua kabisa Jina la Yesu likisikika sana ni anguko lake.

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 10 หลายเดือนก่อน

    Kwa nn tusiwe na Imani na mungu kuliko binadamu

  • @BarakaCostantine
    @BarakaCostantine หลายเดือนก่อน

    Amiina

  • @emerecianawumbe2044
    @emerecianawumbe2044 ปีที่แล้ว +15

    Kuzimu inakusifu kwa kupoteza wengi ukiwapoteza kwa fedha za kuzimu moto huko mbele yako.....

    • @salimkingu2108
      @salimkingu2108 ปีที่แล้ว +1

      We ndo taira kweliii wap umeona emeandikwa fedha ya kuzimu

    • @annamariamakula3853
      @annamariamakula3853 ปีที่แล้ว

      Afadhali huyu anayerudiaha kwa jamii wengine hawajui hata shida za jamii wananenepesha account zao tu.

    • @barikingowo1052
      @barikingowo1052 ปีที่แล้ว

      Kiukweli wewe ndo shetani na maana nikikuuliza kwann unamchukia huyu Baba utasema nini?

    • @JanethMoheli-jt6cy
      @JanethMoheli-jt6cy 10 หลายเดือนก่อน

      Tunaimani na mungu wetu

    • @FrankShafani
      @FrankShafani 10 หลายเดือนก่อน

      hiyo ni.kweli.kabisa ndugu anae pasa kusifiwa ni.mungu.

  • @alexmwangangi3014
    @alexmwangangi3014 ปีที่แล้ว

    Nice🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Eunicemakokha-gc9ss
    @Eunicemakokha-gc9ss 4 หลายเดือนก่อน

    Wimbo ya baraka Tele kwa mteule WA mungu

  • @apynesnzisa5045
    @apynesnzisa5045 10 หลายเดือนก่อน

    🙄🙄🙄eti mna Imani na na binadamu😢 yesu ndie utumia mtu kuondoa mapepo...
    God have mercy upon us😢
    Nyie, mlikuwa mwataka hela semeni ivyo tuu, acheni kutuzengua....
    Mwenye tuna Imani nae ni mungu tuu, juu yeye ndio pumzi yetu🙏🙏🙏

  • @joycebeautysalonwisdomhone7503
    @joycebeautysalonwisdomhone7503 ปีที่แล้ว

    Nice song

  • @user-gs2dj5hw2u
    @user-gs2dj5hw2u 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akiamua kukuinua akunaanaeweza kupinga

  • @hadijamatunda3691
    @hadijamatunda3691 ปีที่แล้ว

    Nakupenda Nabii mkuu balozi wa amani

  • @annajohn419
    @annajohn419 10 หลายเดือนก่อน

    Ee. Mungu tusaidie sana

  • @RhodaMary
    @RhodaMary 24 วันที่ผ่านมา

    Nintap that anointing from Kenya

  • @zachariahonyonka4102
    @zachariahonyonka4102 ปีที่แล้ว

    Am from Kenya how will I meet this spiritual father please I really need to she him

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 ปีที่แล้ว

    Amenifikisha mbali saana

  • @anastaciamwanzia664
    @anastaciamwanzia664 ปีที่แล้ว

    Zaidi ya yote glory to God

  • @jamilankaya6825
    @jamilankaya6825 ปีที่แล้ว +1

    Ni kweli kabisa. Uimbiwe angalia upo hai uko sahihi nabii mkuu mungu azidi kukufungulia kibali cha imani

    • @fettsamri3835
      @fettsamri3835 ปีที่แล้ว

      Anapatikana wapi ata chaneli gani nimfatilie

  • @silivandali6737
    @silivandali6737 ปีที่แล้ว

    Barikiwa Nabii Mkuu Baraka Unazotoa 🙏

  • @r0semaryabuga434
    @r0semaryabuga434 ปีที่แล้ว

    Asante nabii wa mungu nisaidie nami kwa watoto wawili sina uwezo asante

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 ปีที่แล้ว

    Savi Sana

  • @MikeLiroko
    @MikeLiroko 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu atupe uokofu

  • @amoskilekwa7780
    @amoskilekwa7780 ปีที่แล้ว +2

    Je écouter votre production n'a bi

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 ปีที่แล้ว +5

    Namm naomba milion moja baba nashida Sana Sana 😭😭

  • @jordankikoti1045
    @jordankikoti1045 2 หลายเดือนก่อน

    Unzr huyu anaishi na jamii so mwingine Kila wimbo anaona dhambi na huu ndo unabii wa kwel,Yesu mwenyewe aliishi na Kila jamii