''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • ''FARIDA HAENDI KAZINI - ANALINDWA na WAKUBWA - AMENITUKANA MATUSI HAYA HAPA''-MWANANCHI vs MTUMISHI
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 251

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 หลายเดือนก่อน +18

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @MACHOZIKAMBI
      @MACHOZIKAMBI 3 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂ON

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 3 หลายเดือนก่อน +45

    Kuwa makini sana nyakati hizi za usiku mkuu Viva Makonda Vivaaaa

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mama huyu katoa maelezo yaliyonyooka moja baada ya jingine , kwa hiyo kijana aliyemchongea labda ana KINYONGO binafsi au haelewi taratibu za kikazi .mheshimiwa MAKONDA kazi yako ni nzuri sana naomba kuwa makini wengine wasije wakatumia nafasi hiyo kuingiza MAJUNGU na UONGO wa kuwachafulia wengine sifa kazini .

  • @LewadiNyasaland-re9tu
    @LewadiNyasaland-re9tu 3 หลายเดือนก่อน +14

    Makonda ni fireeee ❤❤❤

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 3 หลายเดือนก่อน +27

    Kwa maellezo ya dada inawezekana kabisa ni mwanaisasa na sio mtumishi wa umma

    • @JoseeSarakikya
      @JoseeSarakikya 2 หลายเดือนก่อน

      Natamani siku moja makonda awe raisi wa nchi

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 3 หลายเดือนก่อน +35

    Huyo demu anaonekana alivyo mchafu wa kinywa na nyodo, yawezekana kweli analiwa na vigogo

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 3 หลายเดือนก่อน +22

    UKIWA RAIS WA TANZANIA 🇹🇿 UCHUMI UTAPANDA MALA KUMI YAKE KILA MTU ATAOGOPA KUIBA MANAYAKE PESA YOTE ITAINGIA SEREKALINI UCHUMI NDIO LAZIMA UPANDE BRAVO MAKUFULI JUNIOR 👏

  • @sadikingitu
    @sadikingitu 3 หลายเดือนก่อน +19

    Nimependa sana huyu jamaa anavyowasilisha hoja, he is too confident.
    Briliant!

    • @rockyvlogs2214
      @rockyvlogs2214 3 หลายเดือนก่อน

      Very coool person

  • @ushindidaycare234
    @ushindidaycare234 3 หลายเดือนก่อน +9

    Walikubeza wakisema hunahakili nime hakiki mwenyewe unahakili nyingi za upendeleo (usije uka muacha Mungu).

  • @modestwenceslaus9
    @modestwenceslaus9 3 หลายเดือนก่อน +5

    Kijana kavaa Kapero ya CCM iliajenge majungu Asante sana Dada kwa kujibu hoja kisomi.

  • @elizabethisaya136
    @elizabethisaya136 2 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akulinde makonda

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 3 หลายเดือนก่อน +24

    Mtumishi wa UMMA huruhusiwi kuwa siasa hadi hapo dada umezingua labda wakulinde tu sababu ni ccm mwenzao

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 หลายเดือนก่อน +1

    Manenoo mengiii wamekuiliza swali moja unajielezea sanaaa aaah mashaka matupuu siasa Yann ancheka cheka tuu mashaka matupuuu

  • @musalumbi8490
    @musalumbi8490 3 หลายเดือนก่อน +18

    Hii ndio Prof. PLO Lumumba anaita "Magufulification"

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744 3 หลายเดือนก่อน +19

    Kwa kweli Makonda sizani duniani kama kuna kiongozi kama Makonda anaejitolea kusikiliza shida za watu kama hivi sijawahi kuona ni kazi kubwa sana inataka moyo

  • @davidkalama5426
    @davidkalama5426 2 หลายเดือนก่อน +2

    God of heaven may bless you, horn: Paul Makonda, for good work to help your people.

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 3 หลายเดือนก่อน +44

    Babaaaa hiyo mida uwe makini sana manyangau ni wengi hawapendi unachokifanya usije kuraluliwa tukakukosa bado tunakuhitaji

  • @osodowilberforce
    @osodowilberforce 3 หลายเดือนก่อน +6

    This is what we call "OPEN AIR PUBLIC ADMINISTRATION"

  • @meshackeliau8973
    @meshackeliau8973 2 หลายเดือนก่อน +4

    Nawapenda sana hao wamasai wanaposema tunamlinda kwa huku nyuma maasai are very wise🎉😅

  • @olyomary317
    @olyomary317 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndio makonda mama mkwe wako mwalimu mkuu wetu mama Masenge tunamjua sanaaa

  • @Mweya-87
    @Mweya-87 3 หลายเดือนก่อน +12

    Farida nimekupenda sana dada yangu.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน +2

      Mwenyewe nimempenda sana,katika wote waliojibu kisomi ni pamoja na yeye.

    • @anamsaid8610
      @anamsaid8610 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anaongea kwa hoja na takwimu

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 3 หลายเดือนก่อน

      @@anamsaid8610 mnooo

    • @zanubharoon
      @zanubharoon 2 หลายเดือนก่อน

      Mtu wamaana kabisa dadaagu❤

  • @NancyPatrick-il8zj
    @NancyPatrick-il8zj 3 หลายเดือนก่อน +10

    Hili dada limekaa kichagudoa kabisa. Makonda toa hiyo takataka hapo

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kwa kazi nzuri !

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v 3 หลายเดือนก่อน +2

    Usiogope vitisho vya maadui hawawezi kwa chochote mwenyezi mungu atakurinda🤲🤲🤲🤲

  • @ushindidaycare234
    @ushindidaycare234 3 หลายเดือนก่อน +3

    Nimekukubali Makonda you are spesion one ,Yani Mungu anamakusudi nawewe

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 หลายเดือนก่อน +10

    Issue ya bandari haipo hapo, wala ya kutukana viongozi hapa

  • @JennipherGabriel-rx6jc
    @JennipherGabriel-rx6jc 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kushindana na mwalimu katika maelezo ni changamoto wanajuwa kujieleza na wanapanga maelezo vizur yan inatakiwa ujipange

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 3 หลายเดือนก่อน +8

    Wezi wanarindana sana

  • @silvanusmyovela6545
    @silvanusmyovela6545 3 หลายเดือนก่อน +27

    Tunaomba Makonda awe mkuu wa mkoa nchi zima

    • @J4UPro
      @J4UPro 3 หลายเดือนก่อน +1

      Yaani umewaza kama mimi.
      Yaani awe mkuu wa mikoa.

    • @josephatdunda1937
      @josephatdunda1937 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hahaha atakuwa kashakuwa Rais tu

    • @farajaMezza-qn4be
      @farajaMezza-qn4be 2 หลายเดือนก่อน +1

      In short awe Rais

    • @JaydenBahi
      @JaydenBahi 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 2 หลายเดือนก่อน

      Kweri sana

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven 2 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda wewe ni kiongozi aisee,njoo tena Dar

  • @EdsonMichael-fe2pe
    @EdsonMichael-fe2pe 3 หลายเดือนก่อน

    Anaweza kuchagua moja, utumishi wa umma au siasa! Ukichagua moja dada Mungu atakuinua!

  • @emmanuelndotela9412
    @emmanuelndotela9412 3 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana dadaangu unajiamini 😂😂❤ ila ungehamia kwenye siasa moja kwa moja kuliko kuwa mtumishi na wakati huo huo mwanasiasa.

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 3 หลายเดือนก่อน +5

    Dada anaonekana ananyodo sana😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 2 หลายเดือนก่อน

    Napenda kukushaur Dada,,ww nimtumishi WA umma,,Acha na sias,, fata ulichokisomea,,siasa na kaz wanapi,,,,,utashika kipi

  • @dorcasmruma9001
    @dorcasmruma9001 3 หลายเดือนก่อน +8

    Huyo dada msaniii tuu labda wamlinde kwa ajili ya chama chale ila anaonekana chenga tyuuu

  • @ChristopherChacha-fb4oc
    @ChristopherChacha-fb4oc 2 หลายเดือนก่อน

    Safi mratibu elimu nakupenda

  • @NoelNoah-y9z
    @NoelNoah-y9z หลายเดือนก่อน

    Farida! Sister angu unapgwa majung Mungu yupo asee

  • @jumas.sendekwa2788
    @jumas.sendekwa2788 3 หลายเดือนก่อน +6

    Hivi inaruhusiwa kuwa watumishi wa umma kuwa na vyeo vya kisiasa?

  • @othmanshahib1115
    @othmanshahib1115 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa labda unamtaka dada wa watu shida watumishi hamtutaki raia tukiwapenda hamtusikilizi😢😢😢😢😢

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 3 หลายเดือนก่อน +21

    Icho kidada kifupi inaonekana kinalindwa na wakubwa na itakuwa ni chakula chao

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 3 หลายเดือนก่อน

      Yes

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 3 หลายเดือนก่อน +2

      Wanawake wote ni chakula cha wanaume.

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 3 หลายเดือนก่อน

      Akiwemo mama ako

    • @khanafrica22
      @khanafrica22 หลายเดือนก่อน

      Wanaokula humo nao vipofu

  • @carlossabbo1184
    @carlossabbo1184 3 หลายเดือนก่อน +11

    Huyu jamaaa hakiamungu ni elimu2 ndogo lkn anachokifanya anakijua nisuper Tena hapa TZ hkuna mkuu wa mkoa anafanya kazi Kama huyu 🔥

    • @user-dd3ek5fh5g
      @user-dd3ek5fh5g 3 หลายเดือนก่อน

      Elimu kubwa ipi?

    • @carlossabbo1184
      @carlossabbo1184 3 หลายเดือนก่อน

      @@user-dd3ek5fh5g huelew nn hapo sasa

    • @SuleAmber-lw2tx
      @SuleAmber-lw2tx 3 หลายเดือนก่อน

      Elimu ya wap !? 😂😂

    • @emmansolo4477
      @emmansolo4477 3 หลายเดือนก่อน +1

      Anahoji km vile yeye ndio kamwajiri huyo dada

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 3 หลายเดือนก่อน

      Hata huyui maana ya elimu

  • @user-pn7fk7xx5x
    @user-pn7fk7xx5x 3 หลายเดือนก่อน +2

    Dada yuko vizuri

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x หลายเดือนก่อน

    Dada anamajivuno

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 2 หลายเดือนก่อน +3

    Dada Farida anaonekana yeye ndo tatizo hata iyo Bandali atakuwa amemsingizia tu ili asimsikilize tu huyu lkn ukweli utajulikana tu huyu Farida inaonekana tatizo sana

  • @Espoir9535tvtx
    @Espoir9535tvtx 3 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani mungu ame tutunuku magufuri toto ❤

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @MezdDimoso
    @MezdDimoso 3 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu dada kama mwanasiasa

  • @hassan-sarumbo
    @hassan-sarumbo 2 หลายเดือนก่อน +2

    farida unafaa kua mwanasiasa

  • @fredyjeremia7074
    @fredyjeremia7074 3 หลายเดือนก่อน +1

    Dada unamaneno mingi sana,

  • @siamuchunguzi
    @siamuchunguzi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Logbook si zinajazwa tu

  • @user-xt2cv3yt9y
    @user-xt2cv3yt9y 3 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda uko sawa maana wanyonge hawatendewihaki

  • @ommy2525
    @ommy2525 2 หลายเดือนก่อน

    mtumisha wa chana na sirikali🖐🖐🖐🖐

  • @samkoka3
    @samkoka3 3 หลายเดือนก่อน +3

    Watanzania wengi wamesoma sio kama zaman

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 หลายเดือนก่อน +4

    Uliza wananchi

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 หลายเดือนก่อน +4

    Uchunguzi ufanyike

  • @nkwabidonald4277
    @nkwabidonald4277 3 หลายเดือนก่อน

    Good

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 3 หลายเดือนก่อน +7

    eti mtumishi wa umma anakiri kabisa kwenye umma kuwa yeye ni mwanasiasa! ...mtumishi anakuwaje kwenye siasa!?

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 3 หลายเดือนก่อน +3

      Acha ajikaange mwenyewe

    • @bushbabytz
      @bushbabytz 3 หลายเดือนก่อน +1

      @EmmanuelBatholomew-xq1sb kaka tuna kazi sana kwenye hii nchi...yaani ingekuwa amesema yeye ni chama kingine tofauti na ccm kesho ungesikia tamko kumsimamisha kazi..ila ipo siku tu yatakwisha

    • @Kitundu_ndevumbili
      @Kitundu_ndevumbili 3 หลายเดือนก่อน

      Kashasema na hamumfanyi chochote😂😂😂😂

    • @givenjackson5449
      @givenjackson5449 2 หลายเดือนก่อน

      Mwaka 2022 kwenye chaguzi za ndani watumishi waliruhusiwa KUJAZA fomu so yupo sahihi kuwa mtumishi na mwanasiasa

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 2 หลายเดือนก่อน

      @@givenjackson5449 ili ujaze form lazima uache kazi yako kwanza. Huruhusiwi kujaza form bila kujiuzulu nafasi ya utumishi. So asingekuwapo hapo

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 3 หลายเดือนก่อน +15

    Makonda tunakuomba ikifika sa 12 uwe unaahirisha mkutano,manyang'au hawapendi unachofanya kwa kuwatetea wananchi wa hali ya chini

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 3 หลายเดือนก่อน +4

      Kabisaa

    • @kivatirokitojo657
      @kivatirokitojo657 3 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu sio pimbi etii hapo amekaa kimichezo anajua yupo targeted Ila hii chuma ni mafia

    • @user-sx1xi4yb2z
      @user-sx1xi4yb2z 2 หลายเดือนก่อน

      😂😂kweli ni mafia aiseee

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 3 หลายเดือนก่อน +15

    Makonda unatumalizia Bando,,😂😂😂😂

    • @khadjamhozya
      @khadjamhozya 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa wiki unatumia shingapi ???? Nione kama tuko sambambaa

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 2 หลายเดือนก่อน

      @@khadjamhozya Dada Khadija naishi nje ya nchi hata sijui Ni kiasi Gani Nikiweka kwenye TZ shillings,🤣🤣

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x หลายเดือนก่อน

    Mtumishi na siasa wapi na wapi inabidi uchague siasa aua utumishi

  • @sisterblessed-my9jd
    @sisterblessed-my9jd 2 หลายเดือนก่อน

    Au mapenziiiiiijjjiijiiiiiiiiii!! Lkn siasa isichanganywe na kazi bhana.

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 3 หลายเดือนก่อน +2

    Jamaa🙋🙋au ulimuomba akakukatalia au alikujibu ya kuwa ukipeana utaweza na???😂😂😂😂

  • @milkamushi2548
    @milkamushi2548 3 หลายเดือนก่อน +6

    Huyu kijana jmn

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 3 หลายเดือนก่อน +3

    Sidhani kama ana elimu ya kiwango cha kazi yake manake anajibu Kwa milolono ya matukio Mara siasa

  • @LossaruNgira
    @LossaruNgira 3 หลายเดือนก่อน +1

    Daaah, siasa na utumishi?

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mtumishi wa uma kwann upo kwenye siasa?
    Shida ndo inaanzia hapo

  • @emanuelkattani9906
    @emanuelkattani9906 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji part 2, ya hii

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 3 หลายเดือนก่อน +1

    Utachanganyaje kazi na siasa?

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3u 3 หลายเดือนก่อน

    Baba kegan mungu akulinde

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 3 หลายเดือนก่อน

    Hapo nakukubali Makonda

  • @user-dt7ec3tr2v
    @user-dt7ec3tr2v 3 หลายเดือนก่อน

    M mkuu wa mkoa chapa kazi brooo natamani nikusaidie sasa cjui nianzie wapi kifuani nimebeba mengi

  • @EzekiaMtwale
    @EzekiaMtwale 2 หลายเดือนก่อน

    WEWE ni mtumishi wa umma au ni mwanasiasa!!!

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hau mtumishi ni mwanasiasa.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 หลายเดือนก่อน +2

    HUYO ANATAKA MASHINDANO NA HUYO DADA.

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu dada inaelekea anajenga mazingira ya kukwepa issue

  • @hamzermahundu6371
    @hamzermahundu6371 3 หลายเดือนก่อน +2

    😮

  • @benjaminlijongwa3715
    @benjaminlijongwa3715 หลายเดือนก่อน

    Mtumishi wa umma kuwa mwanasiasa Tena KIONGOZI wa chama ni sawa?

  • @robertnkyalu3241
    @robertnkyalu3241 3 หลายเดือนก่อน

    Big up makonda

  • @user-ql3yr6fi7o
    @user-ql3yr6fi7o 3 หลายเดือนก่อน +2

    hee kumbukeni mwanadada ni kada ..na mnajua kitakachofata

  • @neemasalema1546
    @neemasalema1546 3 หลายเดือนก่อน

    Hapana jamani ni kweli mnafanya kazi ni nzuri na inaonekana lakini naomba mle afya zenu ni muhimu sana

  • @user-rt7kd9mo5v
    @user-rt7kd9mo5v 2 หลายเดือนก่อน

    Part 2 iko wap

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 หลายเดือนก่อน +2

    WEWE NI KAMA NANII .

  • @user-un4sk2ip2q
    @user-un4sk2ip2q 3 หลายเดือนก่อน

    Jamani baba makonda njoo tusaidie wananchi huku tunabomolewa nyumba zetu we baba tusaidie uwiii

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 หลายเดือนก่อน +8

    HUYO MUHUNI TU HUYO KIJANA. KWANZA YEYE HUYO ANAFANYA KAZI GANI? HIUO KIJANA?

    • @emmansolo4477
      @emmansolo4477 3 หลายเดือนก่อน +1

      Mchimba chumvi tuu

    • @abdulymaeda2697
      @abdulymaeda2697 3 หลายเดือนก่อน +1

      We n mwizi pia mtumishi hewa

    • @user-ii6gs2jg4g
      @user-ii6gs2jg4g 3 หลายเดือนก่อน +1

      Hapana kijana kuhoji au kufatilia maendeleo ya kata yake ni sawa tu sema wengi wetu Hua tunaogopa na kuona kama kufatilia ni kazi za viongozi tu Ila Sisi hatupaswi kuhoji

    • @BakariKibauri-qh7gf
      @BakariKibauri-qh7gf 3 หลายเดือนก่อน

      WEWE NDO HUJIELEWI LAITI VIJANA WOTE TUNGEKUWA HIVII KUHOJI MAENDELEO NCHI INGEKUWA MBALI SANA VIJANA WANAOFANYA UCHAWA SIKU HIZI NDO MNAWAONA WANAAKILI PUMBAVU KABISA

    • @barikiringo6311
      @barikiringo6311 3 หลายเดือนก่อน

      Mwanaharakati na mzalendo

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x หลายเดือนก่อน

    Nafikiri dada amejieleza vzr kwa kukanusha maneno ya mwananchi
    Lkn huyu dada yupo kisiasa zaidi inanekana kwakua huyu bwana ni chadema wanamtukana wakijua hataenda popote

  • @JoyceMziray
    @JoyceMziray หลายเดือนก่อน

    Vita kazini,, hiyo farida pambana watu kama hao wapo wengi hata kwetu, kuhusu sifuri sio mratibu bt ni mfumo wa hizo shule

  • @JOSEPHMwakibinga
    @JOSEPHMwakibinga หลายเดือนก่อน

    Anaweza kua anasaini tu anaondoka

  • @kingthedon508
    @kingthedon508 หลายเดือนก่อน

    Wangap tumegundua kuna kusaga na kukoboa kwa manzi et😂😂😂😂😂

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 3 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh we dada sio

  • @MACHOZIKAMBI
    @MACHOZIKAMBI 3 หลายเดือนก่อน +3

    No

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 3 หลายเดือนก่อน

    Allah awatie nguvu

  • @laurianogerold5129
    @laurianogerold5129 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wengine ni walimu ila sio walimu wanakazi maalumu

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 3 หลายเดือนก่อน

    Dada anaonekana muongo sana sema wanabebana sana😂😂

  • @user-tu9ps9kr2o
    @user-tu9ps9kr2o 2 หลายเดือนก่อน

    Mwananchi huyoooooo😂😂

  • @MputaMputa-li9ii
    @MputaMputa-li9ii 3 หลายเดือนก่อน

    😊

  • @ibrahimdeogratious4487
    @ibrahimdeogratious4487 หลายเดือนก่อน

    We mzee upo wapi unatutisha mkuu fanya vulugu kidogo tujue upo hai unatuzingua wana

  • @user-fw8wm2xd8x
    @user-fw8wm2xd8x 2 หลายเดือนก่อน

    Ccm wajanja sana wametengeneza tatizo leo wamemleta makonda msanii

  • @mfinangaexaud3492
    @mfinangaexaud3492 2 หลายเดือนก่อน +1

    Iwe inatoka moyoni na sio analenga nafas Fulani huko mbele.itakua thawabu kubwa

  • @Hanga-ub5hu
    @Hanga-ub5hu หลายเดือนก่อน

    Dah,,shida ya kujiita mwanaharakati n kama hivyo,,mbona uyo dada yupo sahihi sana,,ila huyo mkaka ndio tatizo sana,,uzur makonda kalimaliza kimakonda

  • @spantonsamba6191
    @spantonsamba6191 2 หลายเดือนก่อน

    Dada Farida ametumia kila sekunde aliyopewa kuwa analindwa na wakubwa...

  • @johngerald4677
    @johngerald4677 3 หลายเดือนก่อน

    Dada mbona kalowa baada ya kutoa ushahid