"SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
- "SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Dah yan wewe Makonda unahitaji urais kabisaaa mungu akulinde mkuu
Mkonda MUNGU BABA akulinde na akuongezee myaka mingi na maisha malefu
Makonda Allah akuhifadhi na maadui Akundumishe kwenye serikali mtenda Haki Kwa wanyonge Allah Akupe umri mrefu akulinde ww na watoto wako na mkeo Allah awadumishe kwenye serikali ww na mama yetu Samia hakika unatenda Haki Mungu akulipe .mazuri dunian na akhera tunakupenda Sana mdogo wetu
Mh Makonda umeongea vizuri sana Leo. Good work brother. Keep it mdomo wangu ❤
Mh.makonda akifika sehemu kama vile hakujawahi kuwa na viongozi kabisa Sasa mheshimiwa tukubalie sisi hii nchi tunakupa kiroho safi kabisa
Hakika tukumsapoti huyu comrade,,,,on the future lazma awe very great leader...ingawa ndani ya chamade iaonyesha kuna changamoto za viongozi kama hawa kutoboa,,,,,poul makonda kwa mahitaji ya wa tz wengi utatoboa tu uko mbeleni...
Kabisa
Tuliosikia huko mwamba akisema ajira kupeana naombeni likes zangu
KITI CHA URAISI UMEKISHIKILIA MAKONDA NDIO MANA MAMA SAMIA ANAONA ANAUMBUKA KWA KAZI MZURI UNAYOFANYA MLUDISHE MSEMAJI WA CHAMA HUYO MAKONDA PLEASE SAMIA 🙏
Sasa, uwezo wa kutatua kero na matatizo kama haya anapewa na nani kama sio huyo Rais?!
Kinachokusumbua ni elimu, ungesoma usingeandika ujinga
Makonda ni msanii kama wabunge wa lioteuliwa mwaka 2020 uchaguzi mkuu sasa anakaribisha kiki wananchi waendelee kukiamini chama chake kupitia hizi movie zake@@khamisomar889
Ustawi wa jamii Hana hata elimu ya kazi anayoifanyia kenge huyu 😢
Ustawi wa mchongo😂😂😂😂😂
Form 4 failure hana hata d mbili,kapata Kaz kimchongo
Huyo Afisa Ustawi wa Jamii kilaza sana.
Watu wa Meru Kuolewa hadi Wazazi wanywe soda?
Ustawi wa jamii mmefikiwa yani aiseee ukiwa mtendaji wa kitengo fulani alafu ukasikia makonda ndo mkuu wako wa mkoa kama ulitupa madaftari ya notes anza kuyatafuta na kama ulikua unakunya supu na kukaa ofisini anza kwenda saiti
😂kwel
Una akili Sana wewe jamaa kwa ushauri
Upo vizuri sana hutaki ubabaishaji kaka angu
❤❤mtu mzima najikuta natoa machozi kweri ila makonda ni jembe han amakuu Mungu ampe maisha marefu tu
Ongera sana makonda
Makonda Mungu akubariki 🙏❣️
Brother ana USO wa mbuzi 😂😂
Mh makonda upo na Kazi Baba Wetu Lakini Fanya mema nae Allah ☝️ atukulipa mema Yako Inshallah
AMEEN
Mungu Mungu Mlinde sn Paul Makonda wetu.
Safi sana makonda wa baba ni changamoto
Wamama nao ni shida
Kama wababa ni changamoto basi wamama ni tatizo kabsa
Mungu akulinde huko ulipo na Shar z walimwengu waovu ambao hawapendelei mafanikio yako makonda wetu 🤲🤲🤲
Dunia ni uwanja wa fujo vijana tusikimbie majukumu
Mwana sheliya wamchongo Kuna watu wamekaliya viti ambayo haviwahusu kukaliya
Makonda mshauli mama asiteue vilaza kama hivi .
Kwa maelezo huyu anayejiita kaimu watanzania tutaendelea kuteseka
Makonda Ana upuuzi mwingi sana Sasa huyo jamaa Ana makosa gani wakati sheria zimetungwa na Chama cha mapinduzi
wow very nice, namwona Rais Magufuli ndani ya mkuu wa mkoowa Makonda,very nice work chapa kazi Baba...
Kuna shida ya ustaw ya jamii huko.yan mtu mzima hajui kuweka mambo sawa
Ustawi wa jamii huyo jamaa aangiliwe vyeti vyake hajui kitu 😂😂😂😂
Halijui kitu hilo
Hahhhhh
Mbona jamaa yupo sahihi tu, sheria haijaweka wazi gharama za matunzo
@@balisangwayomhoza4702 tatizo lake anachanganya sana maneno hata kwa mfano huna kosa lakini umepewa kesi ya kusingiziwa kama una wasi wasi watu watajua umetenda kosa..kwa huyu jamaa anajichanganya kwenye ufafanuzi wake ndio maana wana mashaka nae
Mungu akupe maishamarefu
Makonda wewe unahekima ya ajabu sanaaa asante sana kazi nzuri
Haya ndio madhara ya kuajiriana kama ndugu huyu mwamba tatizo kapewa connection na ndugu zake alafu wenye elimu wako mtaani daah😂 Tanzania yetu
Sante sana makonda na MUNGU akulinde ndugu yangu
Mbona kjana unajidhalilisha
Jamani mimi ntampata vipi huyu makonda kuna fundi kanidhulumu Dirisha zangu million 3 za kitanzania 😭😭😭😭😭
Anandaliwa kuwa rais save hii coment yang mtaja ni kumbuka
Unamatatizo ww 😂
Rais wa familia yako m pishe kaya yako atawale sisi wale tunaojitambua yaani kwenye uchaguzi atafeli hata aliyemteua kwa nafasi hii hamchagui haponi 0% hapo anajipendekeza kwa wananchi kugawa fedha ya serikali bajeti IPI Wanaarusha wanamwangalia tu hasa wadudu wanachora😮
Makonda anaandaliwa kuwa Raisi 2030 Ili kidumu chama cha mapinduzi.
@@Do-it-yourself_at_home ana matatizo ya kufuata upepo kama bendera
Mungu akulinde pia Raisi Mtalajiwa
Usiseme rais huyu ni mkuu wa mkoa
Huyo mtu hajui chochote kwa hiyo mtu hana kazi unamwambia atoe laki mbili kwa mwezi hanachochote anachojua mkuu wa mkoa achana naye.
Huyo afisa ustawi wa jamii hiyo kazi alipewa kwa kujuana
Hana anachokijua.
All in all My. Makonda ni Magufuli ajaye Mwenyezi Mungu amlinde kwa kazi nzuri na kubwa anayoifanya kwa Watanzania wanyonge
Makonda makonda makonda Mungu akuongeze bro
Makonda juu🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe sana baba kegani 👏👏👏
Big up Mh Makonda.
Keep it mdogo wangu ❤
Jamani Mungu asaidie wtu kesi ni nyingi
❤❤❤❤ MUNGU AKUUNZEE MHESHIMIWA WEWE NA FAMILY YAKO DAH UMELETWA KWAJILI ETUU WE LOVEE YOU FATHER
Hongera sana mungu akubariki
Ivi huyu mtu wa ustawi wa jamii darasani alikuwa anapresent kwel?
Mtihani kwenda mbele Makonda unakazi nzito
eti mic ,,au imeenda ,,Makonda ameshaona hik Arusha ni kuwa makini 😂
Ki ukweli huyo jamaa yupo sawa maana sheria inagalia moja maisha ya baba na kipato pia anapotowa matumizi agalie yeye atakula nini na pia mtoto wake atapata nini sheria haimbani mtu mmoja tu
Ustawi wa Jamie wanafanya kaz kimazoea, hata wakifika maofisini hamna wanachokifanya zaidi ya kupokea mshahara.
Makonda ww nimagufuli mtupu ubarikiwe
Mungu akulinde
Hahhhh, nimechek Sana huu jamaa mwana sheria
Viva kwako mh.wetu Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani
Mungu akulinde Makonda
Mbona jamaaa kajibu vizuri tu, yaani mzazi anatoa gharama kulingana na kipato chake, sasa ww Makonda hutaki kumsikiliza hadi mwisho
Hapo huyo jamaa ameonewa sana, huyo mwanamke anatumia uanamke wake kumtesa huyo jamaa....wanaume tunapitia mengi na hatuna wa kutusikiliza
Sheria inasemaje?
Kazi sana😂 kaka ! Pole San kaka
❤❤❤
God bless Makonde 🙏❤️👍
Harijui hiro
Nakubali sana makonda 💪💪
Mkuu wa mkoa hongera sana
Mimi mwenyewe Acha nije huko huko arusha kwani mzazi mwenzangu yupo huko na kaingia mitini.Makonda oyeeeeeeee!!!!
🤣🤣🤣🤣 nenda utatupa mrejesho
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂ukiachwa achika
😂😂😂😂
Hongera makonda
Huyu ni rais ajae,,mungu akubark sana 🙏
Hapo mheshimiwa tunaonewa na wanasheria bali sio sheria.kwa maana usitawi wajamii wengi wanahukumu watu kwa miheemko sio sheria.
Sorry I missed spelled his name. 🙏what your give to your people is written in the book of life, you children’s 👦 well be blessed 😇 to all generations to come . You 🙏
🔥🔥🔥🔥🔥makonda ubarikiwe
Duuh😢😢
Mweshimiwa mungu akutunze
Hapo amesemaje...........!!!😢😢
Mbona jamaa anajibu vizuri tu.
Mungu akulinde makonda
Huyu Jamaa ni kichwa ngumu
Makonda magufuli spirit 🔥
Isheneshesho
🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟
✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...
Umeongea kitu ambocho kimenifikirisha.
Nakuelewa sana kaka makonda
Mungu azidi kukutia nguvu Makonda
Mungu akutunze milele makonda
Jamaa kutoka ustawi wa jamii hamna kits hapo , achunguzwe
UMEPIGAJE APO UMESEMAJE APO😂😂😂😂😂
😂😂😊
Kwel mahusiano n kaz mtu anakukana kama pilato 😢
Yalinikuta hayo jamani mume wangu tulipo achana alisema kiwanja cha kk ake wakati tulinunua wote
😂😂😂Ustawi wa jamii hana elimu hata moja si aibu hii?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Makonda mungu akuweke mzee baba unaupiga mwingi sana
Mungu/MUNGU sio mungu
hapa najua watu wapo maofisini jawajui wajibu wao. ona jamaa kashindwa kujielezea kuhusiana na ustawi wa jamii
Mwenyezi Mungu akuepushe na kila lililo baya kiongoz wetu 🤲🤲
Kazi kweli kweli
suku zote usimhurumie mwanamke kwa mchozi yake. n wanafiki sana hawa.
Makonda ❤️❤️❤️❤️
Kwenye dunia apo siyo kweli dunia aiwezi jua tatizo ilo
Ukwel kitu amambacho akija kupata wala sio chakutolea maamuz
Makonda uko vzr
Makonda....❤❤
Kweli kabisa
Mama Samia anatakiwa akuweke karbu mno. Ww ni mwamba
Mzee nimemwelewa Sana yani anaona akirnderea kuishi nahuu mwana mkee Yule mtoto wake wakiume atakuja kulisi mali za JAMA
Lakini yule mwanaume aliyemzalisha mtoto wa kwanza ( huyo wa kiume) yeye yuko wapi🙆🏿♂️
@@gwamakajoseph9234 ???
Duhh hatari sana hayo mawazo yake sio Sheria
Mpaka aibu ustawi wa jamii gani huyu 😢😢😢😢 analidhalilisha taifa doon😮😅 sheria haijui kbis
Yani hajui
Uko sawa makonda