"SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 พ.ค. 2024
  • "SIWEZI KUISHI na HUYU MWANAMKE" - JAMAA KICHWA NGUMU AMCHANA MAKONDA - MKE APEWA MTAJI wa LAKI 8...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 339

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  27 วันที่ผ่านมา +12

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @TIGOZANTEL-qp7jg
      @TIGOZANTEL-qp7jg 18 วันที่ผ่านมา +1

      Dah yan wewe Makonda unahitaji urais kabisaaa mungu akulinde mkuu

  • @selestinimbezi7345
    @selestinimbezi7345 27 วันที่ผ่านมา +22

    Mkonda MUNGU BABA akulinde na akuongezee myaka mingi na maisha malefu

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 27 วันที่ผ่านมา +19

    Makonda Allah akuhifadhi na maadui Akundumishe kwenye serikali mtenda Haki Kwa wanyonge Allah Akupe umri mrefu akulinde ww na watoto wako na mkeo Allah awadumishe kwenye serikali ww na mama yetu Samia hakika unatenda Haki Mungu akulipe .mazuri dunian na akhera tunakupenda Sana mdogo wetu

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 27 วันที่ผ่านมา +18

    Mh Makonda umeongea vizuri sana Leo. Good work brother. Keep it mdomo wangu ❤

  • @comfort-rjtv3291
    @comfort-rjtv3291 27 วันที่ผ่านมา +19

    Mh.makonda akifika sehemu kama vile hakujawahi kuwa na viongozi kabisa Sasa mheshimiwa tukubalie sisi hii nchi tunakupa kiroho safi kabisa

    • @ThomasfrancisMvella
      @ThomasfrancisMvella 26 วันที่ผ่านมา +2

      Hakika tukumsapoti huyu comrade,,,,on the future lazma awe very great leader...ingawa ndani ya chamade iaonyesha kuna changamoto za viongozi kama hawa kutoboa,,,,,poul makonda kwa mahitaji ya wa tz wengi utatoboa tu uko mbeleni...

    • @themanofGod127
      @themanofGod127 20 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa

  • @imaxshine2210
    @imaxshine2210 6 วันที่ผ่านมา +3

    Tuliosikia huko mwamba akisema ajira kupeana naombeni likes zangu

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 27 วันที่ผ่านมา +22

    KITI CHA URAISI UMEKISHIKILIA MAKONDA NDIO MANA MAMA SAMIA ANAONA ANAUMBUKA KWA KAZI MZURI UNAYOFANYA MLUDISHE MSEMAJI WA CHAMA HUYO MAKONDA PLEASE SAMIA 🙏

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 25 วันที่ผ่านมา

      Sasa, uwezo wa kutatua kero na matatizo kama haya anapewa na nani kama sio huyo Rais?!

    • @khamisomar889
      @khamisomar889 25 วันที่ผ่านมา

      Kinachokusumbua ni elimu, ungesoma usingeandika ujinga

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 21 วันที่ผ่านมา

      Makonda ni msanii kama wabunge wa lioteuliwa mwaka 2020 uchaguzi mkuu sasa anakaribisha kiki wananchi waendelee kukiamini chama chake kupitia hizi movie zake​@@khamisomar889

  • @mancholotrasco8350
    @mancholotrasco8350 27 วันที่ผ่านมา +21

    Ustawi wa jamii Hana hata elimu ya kazi anayoifanyia kenge huyu 😢

    • @saidimkongos324
      @saidimkongos324 20 วันที่ผ่านมา +2

      Ustawi wa mchongo😂😂😂😂😂

    • @queensalema5262
      @queensalema5262 19 วันที่ผ่านมา +1

      Form 4 failure hana hata d mbili,kapata Kaz kimchongo

  • @afrikasihami
    @afrikasihami 21 วันที่ผ่านมา +6

    Huyo Afisa Ustawi wa Jamii kilaza sana.

  • @masatusalum5291
    @masatusalum5291 22 วันที่ผ่านมา +7

    Watu wa Meru Kuolewa hadi Wazazi wanywe soda?

  • @obedpeter6874
    @obedpeter6874 23 วันที่ผ่านมา +11

    Ustawi wa jamii mmefikiwa yani aiseee ukiwa mtendaji wa kitengo fulani alafu ukasikia makonda ndo mkuu wako wa mkoa kama ulitupa madaftari ya notes anza kuyatafuta na kama ulikua unakunya supu na kukaa ofisini anza kwenda saiti

  • @MIKAELADEDA
    @MIKAELADEDA 10 วันที่ผ่านมา +2

    Upo vizuri sana hutaki ubabaishaji kaka angu

  • @sabojanvierjaja2007
    @sabojanvierjaja2007 25 วันที่ผ่านมา +3

    ❤❤mtu mzima najikuta natoa machozi kweri ila makonda ni jembe han amakuu Mungu ampe maisha marefu tu

  • @nadiahussein-mn2fb
    @nadiahussein-mn2fb 27 วันที่ผ่านมา +7

    Ongera sana makonda

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 27 วันที่ผ่านมา +5

    Makonda Mungu akubariki 🙏❣️

  • @user-ty2kc5jy7s
    @user-ty2kc5jy7s 15 วันที่ผ่านมา +2

    Brother ana USO wa mbuzi 😂😂

  • @bahatilaizer8706
    @bahatilaizer8706 27 วันที่ผ่านมา +5

    Mh makonda upo na Kazi Baba Wetu Lakini Fanya mema nae Allah ☝️ atukulipa mema Yako Inshallah

    • @thedon8467
      @thedon8467 27 วันที่ผ่านมา

      AMEEN

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 27 วันที่ผ่านมา +4

    Mungu Mungu Mlinde sn Paul Makonda wetu.

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 27 วันที่ผ่านมา +10

    Safi sana makonda wa baba ni changamoto

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 24 วันที่ผ่านมา

      Wamama nao ni shida

    • @azammaganga9101
      @azammaganga9101 22 วันที่ผ่านมา

      Kama wababa ni changamoto basi wamama ni tatizo kabsa

  • @zuhoor-mc7hq
    @zuhoor-mc7hq 24 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akulinde huko ulipo na Shar z walimwengu waovu ambao hawapendelei mafanikio yako makonda wetu 🤲🤲🤲

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 27 วันที่ผ่านมา +13

    Dunia ni uwanja wa fujo vijana tusikimbie majukumu

    • @user-zm2pe6il9h
      @user-zm2pe6il9h 16 วันที่ผ่านมา

      Mwana sheliya wamchongo Kuna watu wamekaliya viti ambayo haviwahusu kukaliya

  • @MwebeRwezahula
    @MwebeRwezahula 27 วันที่ผ่านมา +7

    Makonda mshauli mama asiteue vilaza kama hivi .

  • @Magdalene-er2ur
    @Magdalene-er2ur 27 วันที่ผ่านมา +6

    Kwa maelezo huyu anayejiita kaimu watanzania tutaendelea kuteseka

  • @dalaliharunikigamboni6703
    @dalaliharunikigamboni6703 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา +1

    Makonda Ana upuuzi mwingi sana Sasa huyo jamaa Ana makosa gani wakati sheria zimetungwa na Chama cha mapinduzi

  • @tumainiwafula9609
    @tumainiwafula9609 20 วันที่ผ่านมา

    wow very nice, namwona Rais Magufuli ndani ya mkuu wa mkoowa Makonda,very nice work chapa kazi Baba...

  • @user-iz2dw8rp2i
    @user-iz2dw8rp2i 27 วันที่ผ่านมา +4

    Kuna shida ya ustaw ya jamii huko.yan mtu mzima hajui kuweka mambo sawa

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk 27 วันที่ผ่านมา +6

    Ustawi wa jamii huyo jamaa aangiliwe vyeti vyake hajui kitu 😂😂😂😂

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q 26 วันที่ผ่านมา +2

      Halijui kitu hilo

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 25 วันที่ผ่านมา +1

      Hahhhhh

    • @balisangwayomhoza4702
      @balisangwayomhoza4702 21 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona jamaa yupo sahihi tu, sheria haijaweka wazi gharama za matunzo

    • @DafiMohamed-dz8xk
      @DafiMohamed-dz8xk 21 วันที่ผ่านมา

      @@balisangwayomhoza4702 tatizo lake anachanganya sana maneno hata kwa mfano huna kosa lakini umepewa kesi ya kusingiziwa kama una wasi wasi watu watajua umetenda kosa..kwa huyu jamaa anajichanganya kwenye ufafanuzi wake ndio maana wana mashaka nae

  • @JanethMathayo-ys3km
    @JanethMathayo-ys3km 27 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akupe maishamarefu

  • @josephhaule9123
    @josephhaule9123 26 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda wewe unahekima ya ajabu sanaaa asante sana kazi nzuri

  • @user-pt5rn5nj2f
    @user-pt5rn5nj2f 23 วันที่ผ่านมา +2

    Haya ndio madhara ya kuajiriana kama ndugu huyu mwamba tatizo kapewa connection na ndugu zake alafu wenye elimu wako mtaani daah😂 Tanzania yetu

  • @dismassamwel7130
    @dismassamwel7130 27 วันที่ผ่านมา +2

    Sante sana makonda na MUNGU akulinde ndugu yangu

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 27 วันที่ผ่านมา +5

    Mbona kjana unajidhalilisha

  • @carolinemae2531
    @carolinemae2531 23 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani mimi ntampata vipi huyu makonda kuna fundi kanidhulumu Dirisha zangu million 3 za kitanzania 😭😭😭😭😭

  • @dandynyota2838
    @dandynyota2838 26 วันที่ผ่านมา +5

    Anandaliwa kuwa rais save hii coment yang mtaja ni kumbuka

    • @Do-it-yourself_at_home
      @Do-it-yourself_at_home 24 วันที่ผ่านมา

      Unamatatizo ww 😂

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 21 วันที่ผ่านมา

      Rais wa familia yako m pishe kaya yako atawale sisi wale tunaojitambua yaani kwenye uchaguzi atafeli hata aliyemteua kwa nafasi hii hamchagui haponi 0% hapo anajipendekeza kwa wananchi kugawa fedha ya serikali bajeti IPI Wanaarusha wanamwangalia tu hasa wadudu wanachora😮

    • @VictorFranael
      @VictorFranael 8 วันที่ผ่านมา

      Makonda anaandaliwa kuwa Raisi 2030 Ili kidumu chama cha mapinduzi.

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 7 วันที่ผ่านมา

      @@Do-it-yourself_at_home ana matatizo ya kufuata upepo kama bendera

  • @rodymtakimwa3205
    @rodymtakimwa3205 23 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akulinde pia Raisi Mtalajiwa

    • @sumaidgasto4721
      @sumaidgasto4721 5 วันที่ผ่านมา

      Usiseme rais huyu ni mkuu wa mkoa

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 27 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo mtu hajui chochote kwa hiyo mtu hana kazi unamwambia atoe laki mbili kwa mwezi hanachochote anachojua mkuu wa mkoa achana naye.

  • @TizoMgaya-pd9nw
    @TizoMgaya-pd9nw 22 วันที่ผ่านมา

    Huyo afisa ustawi wa jamii hiyo kazi alipewa kwa kujuana
    Hana anachokijua.
    All in all My. Makonda ni Magufuli ajaye Mwenyezi Mungu amlinde kwa kazi nzuri na kubwa anayoifanya kwa Watanzania wanyonge

  • @grammsonbakaza9092
    @grammsonbakaza9092 25 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda makonda makonda Mungu akuongeze bro

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 27 วันที่ผ่านมา +2

    Makonda juu🎉🎉🎉🎉

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 6 วันที่ผ่านมา

    Ubarikiwe sana baba kegani 👏👏👏

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 5 วันที่ผ่านมา

    Big up Mh Makonda.

  • @aristideskilawe5024
    @aristideskilawe5024 27 วันที่ผ่านมา +1

    Keep it mdogo wangu ❤

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 27 วันที่ผ่านมา +2

    Jamani Mungu asaidie wtu kesi ni nyingi

  • @immaknight4414
    @immaknight4414 23 วันที่ผ่านมา

    ❤❤❤❤ MUNGU AKUUNZEE MHESHIMIWA WEWE NA FAMILY YAKO DAH UMELETWA KWAJILI ETUU WE LOVEE YOU FATHER

  • @user-dd8lp3jn7v
    @user-dd8lp3jn7v 6 วันที่ผ่านมา

    Hongera sana mungu akubariki

  • @KaburaBerchimas
    @KaburaBerchimas 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ivi huyu mtu wa ustawi wa jamii darasani alikuwa anapresent kwel?

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 22 วันที่ผ่านมา +1

    Mtihani kwenda mbele Makonda unakazi nzito

  • @gloriajoseph9098
    @gloriajoseph9098 5 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    eti mic ,,au imeenda ,,Makonda ameshaona hik Arusha ni kuwa makini 😂

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ki ukweli huyo jamaa yupo sawa maana sheria inagalia moja maisha ya baba na kipato pia anapotowa matumizi agalie yeye atakula nini na pia mtoto wake atapata nini sheria haimbani mtu mmoja tu

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 23 วันที่ผ่านมา +1

    Ustawi wa Jamie wanafanya kaz kimazoea, hata wakifika maofisini hamna wanachokifanya zaidi ya kupokea mshahara.

  • @MwebeRwezahula
    @MwebeRwezahula 27 วันที่ผ่านมา +4

    Makonda ww nimagufuli mtupu ubarikiwe

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz 24 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 25 วันที่ผ่านมา +2

    Hahhhh, nimechek Sana huu jamaa mwana sheria

  • @ezekielmwasenga4640
    @ezekielmwasenga4640 22 วันที่ผ่านมา

    Viva kwako mh.wetu Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hasani

  • @user-jj1jp4be2k
    @user-jj1jp4be2k 27 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde Makonda

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116 27 วันที่ผ่านมา +3

    Mbona jamaaa kajibu vizuri tu, yaani mzazi anatoa gharama kulingana na kipato chake, sasa ww Makonda hutaki kumsikiliza hadi mwisho

    • @user-vz4xv7lg3x
      @user-vz4xv7lg3x 26 วันที่ผ่านมา +1

      Hapo huyo jamaa ameonewa sana, huyo mwanamke anatumia uanamke wake kumtesa huyo jamaa....wanaume tunapitia mengi na hatuna wa kutusikiliza

  • @noelwilliam344
    @noelwilliam344 27 วันที่ผ่านมา +3

    Sheria inasemaje?

  • @vedastocharles
    @vedastocharles 26 วันที่ผ่านมา

    Kazi sana😂 kaka ! Pole San kaka

  • @user-fk1fd8on6e
    @user-fk1fd8on6e 27 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤

  • @user-ry4pt9pd6j
    @user-ry4pt9pd6j 17 วันที่ผ่านมา

    God bless Makonde 🙏❤️👍

  • @user-zi7ds2bv2s
    @user-zi7ds2bv2s 25 วันที่ผ่านมา +2

    Harijui hiro

  • @user-er9no3ie2k
    @user-er9no3ie2k 8 วันที่ผ่านมา

    Nakubali sana makonda 💪💪

  • @user-rw9cw8nj4t
    @user-rw9cw8nj4t 10 วันที่ผ่านมา

    Mkuu wa mkoa hongera sana

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 27 วันที่ผ่านมา +5

    Mimi mwenyewe Acha nije huko huko arusha kwani mzazi mwenzangu yupo huko na kaingia mitini.Makonda oyeeeeeeee!!!!

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 27 วันที่ผ่านมา +1

      🤣🤣🤣🤣 nenda utatupa mrejesho

    • @RoseJohn-js7kb
      @RoseJohn-js7kb 25 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @hyacintagugu7
      @hyacintagugu7 24 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂

    • @sunwizy608
      @sunwizy608 22 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂ukiachwa achika

    • @Johnmagambo
      @Johnmagambo 21 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 27 วันที่ผ่านมา +1

    Hongera makonda

  • @saudahassan6077
    @saudahassan6077 23 วันที่ผ่านมา

    Huyu ni rais ajae,,mungu akubark sana 🙏

  • @mussajuma2399
    @mussajuma2399 2 วันที่ผ่านมา

    Hapo mheshimiwa tunaonewa na wanasheria bali sio sheria.kwa maana usitawi wajamii wengi wanahukumu watu kwa miheemko sio sheria.

  • @user-ry4pt9pd6j
    @user-ry4pt9pd6j 17 วันที่ผ่านมา

    Sorry I missed spelled his name. 🙏what your give to your people is written in the book of life, you children’s 👦 well be blessed 😇 to all generations to come . You 🙏

  • @user-eu8ur4kt4v
    @user-eu8ur4kt4v 9 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥🔥🔥makonda ubarikiwe

  • @Heiskmb
    @Heiskmb วันที่ผ่านมา

    Duuh😢😢

  • @assayusuph3295
    @assayusuph3295 18 วันที่ผ่านมา

    Mweshimiwa mungu akutunze

  • @sisterblessed-my9jd
    @sisterblessed-my9jd วันที่ผ่านมา

    Hapo amesemaje...........!!!😢😢

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mbona jamaa anajibu vizuri tu.

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde makonda

  • @easkKisite
    @easkKisite 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu Jamaa ni kichwa ngumu

  • @victoriarichard8761
    @victoriarichard8761 23 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda magufuli spirit 🔥

  • @imranhassan9994
    @imranhassan9994 27 วันที่ผ่านมา +1

    🌍🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕🌕 ⭐🌟
    ✍️ Jamani kama hapa duniani haki ina thamani kiasi hiki kiukweli sijui huko twendako mbele ya MUNGU itakuwa na thamani kiasi gani...

    • @paulsibu5770
      @paulsibu5770 27 วันที่ผ่านมา

      Umeongea kitu ambocho kimenifikirisha.

  • @amosmachibya1800
    @amosmachibya1800 27 วันที่ผ่านมา

    Nakuelewa sana kaka makonda

  • @fraviansweetbert2703
    @fraviansweetbert2703 24 วันที่ผ่านมา

    Mungu azidi kukutia nguvu Makonda

  • @DianaJoseph-mr2tk
    @DianaJoseph-mr2tk 20 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutunze milele makonda

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 27 วันที่ผ่านมา +1

    Jamaa kutoka ustawi wa jamii hamna kits hapo , achunguzwe

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 27 วันที่ผ่านมา +2

    UMEPIGAJE APO UMESEMAJE APO😂😂😂😂😂

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 23 วันที่ผ่านมา +1

    Kwel mahusiano n kaz mtu anakukana kama pilato 😢

  • @jamilanasir6833
    @jamilanasir6833 24 วันที่ผ่านมา +1

    Yalinikuta hayo jamani mume wangu tulipo achana alisema kiwanja cha kk ake wakati tulinunua wote

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 26 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂Ustawi wa jamii hana elimu hata moja si aibu hii?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @kiembathegreattz5633
    @kiembathegreattz5633 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda mungu akuweke mzee baba unaupiga mwingi sana

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 27 วันที่ผ่านมา

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz 6 วันที่ผ่านมา

    hapa najua watu wapo maofisini jawajui wajibu wao. ona jamaa kashindwa kujielezea kuhusiana na ustawi wa jamii

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyezi Mungu akuepushe na kila lililo baya kiongoz wetu 🤲🤲

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 26 วันที่ผ่านมา

    Kazi kweli kweli

  • @luckymsomba4818
    @luckymsomba4818 6 วันที่ผ่านมา

    suku zote usimhurumie mwanamke kwa mchozi yake. n wanafiki sana hawa.

  • @pendothomas7258
    @pendothomas7258 10 วันที่ผ่านมา

    Makonda ❤️❤️❤️❤️

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 27 วันที่ผ่านมา +3

    Kwenye dunia apo siyo kweli dunia aiwezi jua tatizo ilo

    • @AnzelimuJustine
      @AnzelimuJustine 27 วันที่ผ่านมา

      Ukwel kitu amambacho akija kupata wala sio chakutolea maamuz

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl 27 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda uko vzr

  • @kenedymwangosi8259
    @kenedymwangosi8259 23 วันที่ผ่านมา

    Makonda....❤❤

  • @user-wh7gj9ug9s
    @user-wh7gj9ug9s 27 วันที่ผ่านมา

    Kweli kabisa

  • @yonnamgonde3044
    @yonnamgonde3044 27 วันที่ผ่านมา +2

    Mama Samia anatakiwa akuweke karbu mno. Ww ni mwamba

  • @levygasper7438
    @levygasper7438 8 วันที่ผ่านมา +1

    Mzee nimemwelewa Sana yani anaona akirnderea kuishi nahuu mwana mkee Yule mtoto wake wakiume atakuja kulisi mali za JAMA

    • @gwamakajoseph9234
      @gwamakajoseph9234 4 วันที่ผ่านมา

      Lakini yule mwanaume aliyemzalisha mtoto wa kwanza ( huyo wa kiume) yeye yuko wapi🙆🏿‍♂️

    • @levygasper7438
      @levygasper7438 4 วันที่ผ่านมา

      @@gwamakajoseph9234 ???

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 25 วันที่ผ่านมา +1

    Duhh hatari sana hayo mawazo yake sio Sheria

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 27 วันที่ผ่านมา +1

    Mpaka aibu ustawi wa jamii gani huyu 😢😢😢😢 analidhalilisha taifa doon😮😅 sheria haijui kbis

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z 27 วันที่ผ่านมา

    Uko sawa makonda