Hongera saña tunahitaji watu kama hawa kwa maslahi ya nchi,hili ni moja lakini yapo mengi sana dhulma nje nje kwa wanyonge wa nchi hii.Ubarikiwe Hapi,nakukubali.
Don't believe what you see and what you hear. This politicians are very clever. This is organised group of actors including Hapi himself. Once case is at the court it is not allowed to be discussed publicly and he Hapi himself knows that,but since there is no case at the court he knows he wouldn't be charged cos they are just acting. The mama Asian guy(I believe asian kinda forced into this matter)to act lawyer, bank, manager. If you noticed you will see the lawyer played dumb bank manager too. This act to raise his popularity and people to believe he is on their side. This is politic my friend.
Exactly! But, upumbafu, rushua, udjinga wa sisi wa Africa, huyu Kiongozi watamucukia na kumushusha. Thank u RC Happy angalao Mimi ni Mkongo(DRC). Nafirahi sana kwasababu Pombe Magufuli ameeee Yani Magufulification is still spreading.
Watanzania wanafiki sana, wanachoshangilia nn sasa? Wanapoenda kukopa wapo radhi hata wahonge ila kuripa sasa chenga nyingi, mikopo wanahonga, wanapeleka kusiko malengo...tabu sana
Wale wote wanaosema hawa vijana wanafanya kazi kwa mihemko ni wezi, hii hari ya kazi walionayo hawa vijana imewasaidia wengi sana hasa watu wa chini maana vipindi vilivyo tungempata wapi mkuu wa mkoa tungemuona wapi mkuu wa wilaya, wacha wafanye kazi
Nakukubari kijana Hapy, Kazi njemaaa mungu akuinue zaidi hiii ndio tz ninayo hitaji, magu hakufanya makosaaa, nakuombea upate uwaziriii wa nje hiii ndi tim work
Jaman magufuli mwangalie kwa macho mawili hapy anafaaa tena Sana uwe unamhamisha hamisha ili aendeleee kunyoosha hawa wapuuzi wanaodhulumu wananchi da iringa mnamtu mhimu sana hapy Upo poooa sana tena Sana ingekuwa inawezekana mikoa yote ungezunguka kuinyoosha inchi
Magufuli rais wangu piga kazi baba piga kazi, unajua wakati mwingine binadamu unashindwa useme nini kwa kuwa pa kusemea unakuwa huna,ivi watanzania wenzangu tukiacha utawala baba yetu wa Taifa aliyeliongoza taifa hili kwa dhiki na shida pamoja na kuwa alikuwa na madini ya kila aina, lakini aliangalia mbele,ambae hii leo mimi namfananisha na baba mwenye familia kubwa aliyelima shamba akapata chakula akakiweka akiba ya baadae wakati wa njaa ili watoto wasije kufa na njaa,ambayo ndo leo madini aliyotutunzia baba yetu tunafaidi, ivi tukiacha utawala ule wa baba wa Taifa hapa katikati tawala zilizopita mpaka hii leo hapa kwa baba JPM, matukio kama haya tunayoyashuhudia watu kama hawa tena na wanasheria wakiwepo ni wangapi wamedhurumika haki zao kwa tawala zilizopita ukiacha kipindi cha mwalimu? Hatukuwahi kusikia habari njema kama hizi tunazoziona leo kwenye jeshi la magufuli, hata na kuna utawala wa wakati fulani ulitangaza mpaka kikosi cha mwavuli lakini hatukuyaona tunayoyaona hii leo, ebu watanzania wenzangu naomba niulize kaswali kangu kadogo tu, ivi kwa kazi hii aliyoifanya mdogo wangu Hapi kwa hawa watu yaani kwa meneja na ,mwanasheria wa benk NMB ni ya kujimwambafai mwambafai? Ivi unaweza ukasema Hapi amejimwambafai hapo? Hapi nae ametumia nafasi yake wala hajaiingilia mahakama,mahakama nayo ina nafasi yake, ebu cheki waangalie wapiga dili walivyobanwa maswali yaani dhahiri shahiri hata asiyejua kusoma ameng'amua kuwa issue nzima hapo kuanzia meneja mpaka mwanasjeria walipiga dili,na kumtishia huyo mama wa watu kumpeleka mahakamani,na wanajua watanzania tuliowengi tunashindwa kesi nyingi zikiwa mahakamani kwa kutojua sheria,au kwa kutishiwa kuwa kesi yako ni mpaka wakili ili ushindwe pesa za kumlipa, ndg Hapi kwa issue kama hiyo ivi mahakamani huyo mwanasheria alienda kufungua kesi gani? Ikiwa mkopaja kajikatalia kata kata kwamba yeye dhamana ya nyumba haitambui,yeye dhamana yake ni aseti zake,sasa huyo meneja na mwanasheria walipata wapi hati tena coppy? Tumwulize na huyo meneja alisomea wapi umeneja wake wa coppy kukopea mikopo? Na huyo mwanasheria achunguzwe vizuri uanasheria wake alisomea wapi? Huenda ndo wale wenye vyeti feki hao, kwanza mwanasheria gani wa benk tena benk kubwa kama NMB mwansheria wake unavaa tirshit tena ya round coler,halafu unathubutu kusimama mbele ya kadamnasi eti unajitutumua mimi ni mwanasheria wa NMB ivi hujaona aibu, ivi na nyie NMB mekosa kabisa watu wenye sifa za kufit hapo? Ona sasa mnavyoumbuka, watanzania ivi mnataka mniambie je kwa tawala zilizopita wababaishaji kama hawa wapiga dili hawakuwepo? Mbona hatukuwahi kuwasikia? Kama ndivyo ni wangapi kwa style hii wanyonge tumedhulumika haki zetu? Hapi kamata hao weka ndani hata wakisema na wewe unajimwambafai mwambafai poa tu.
Leo nimeipitia hi kuangalia mala mbili siku niliposikia kaondolewa niliumia kama na mfahamu kuna hii na ile ya baba aliyelazimishwa kuhama na kubomolewa nyumba ya ile harambee ya kucahngiwa kwenye mkutano namkubali sana. Ally Happy mwenyeezi mungu atakujalia huenda rizki yako imeisha ila ina imani kwa uwezo wa Allah kuna kheri kubwa inakuja mbele yako
Imeniuma sana 😭😭😭yani tunatoa viongozi Bora kwa visa na visasi vya wapumbavu wachache ila kuna Siku hawa wanaojiona ni wenye giningi Watakuja kusaga meno!!!!! Kaka hapi kuwa na amani wewe ni reserve wa mfumo ujao, si wao wamekukataah usikate tamaa, wao Wanataka viongozi wa kuteteah uovu na si viongozi wa kuteteah haki za wananchii
Hapi Hapi Hapi well done! Wakati mwingine mambo hadharani inasaidia kila mtu kubeba msalaba wake. Msaidizi wa ishu hapa lazima aimbe yarabi nafsi yangu, zama lwako, mimi simo! Hapa hakuna kuchukuliana misalaba. Safi ukweli unajulikana.
Hapi omba asikuguse nampenda kwa sababu hashoboki na kunadi siasa kwa maneno anatete na kusaidia raia wake kwa haki na vitendo Mungu akupe maisha marefu nataman kukuona kwa wema.
Kuna legal procedures hazikufuatwa ktk Banking laws lakini bado Administrative and constutional laws must be respected.Ila wakili ulikuwa na haja gani kudanganya jina ndani ya letter of offer au/na collateral iliyotumika mpaka utofautiane na meneja.....????
Ee Mungu utusaidie. Viongozi kama hawa wanagusa moja kwa moja mioyo ya watu. Wanaitenda kazi ya mungu kwa vitendo nina imani Mungu amefurahishwa na kazi za aina hii na lazima atapenda mijuiza yake kwenye nchi yetu. Mungu wetu utusaidie waja wako
Kazi nzuri nakukubali mzee baba kazi kazini kazi na vitendo bana kama umekubali gonga like twende sawa
Aliegundua Yunusi ni Boyfriend mjanja anae kwenda na wakati Gonga like twende sawa.
He was very smart.
Mungu akubariki brother
Hapo sawa kabisa nakubali kazi yako hongera!!Mungu akupe nguvu na ujasiri katika kazi yako🙏🙏
Safi mkuu wa mkoa I love it ....wanyonge wanaonewa mno
👏👏👏👏👏👏 Episode 2 naomba,Mungu akueke Muheshimiwa Uzidi Kuokoa Wanyonge.
mungu akutangulie kazi njema sana kwa wananchi
Mkuu wa mkoa. Kwa hili. Nakupa kura yangu. Love you.tena mwaaahhhh. From Kenya mombasa
🤣🤣🤣 uko na kiu sana
Safi sana
Mkuu wa mkoa
Aki huyu mku wa mkoa so akuje afunze wakwetu kusimama na ukweli
mkuu wa mkoa upo sw nakukubal mung akupe umri mrefu
Hongera saña tunahitaji watu kama hawa kwa maslahi ya nchi,hili ni moja lakini yapo mengi sana dhulma nje nje kwa wanyonge wa nchi hii.Ubarikiwe Hapi,nakukubali.
Mwanasheria wa Bank huhuuuuuu.
gonga like twende sawa
Aliyecheka Kama Mimi baada ya kugundua kuwa na Yunus yupo kwenye mkutano gonga like 😂
Serikali ya sasa mambo mazuri kweli nampongeza sana RC wa iringa kwa kupigania haki ya wanyonge mungu akutie nguvu
Edsson Nzingo nmecheka saaaana
Kunambi,mimi nilicheka sana siku hiyo kwa sababu Before nilijua aliyechukua mkopo Alisha sepa zamani
Edsson Nzingo namie nmecheka hpa baada ya kumuona yunuc akiibuka ndan ya ukumbi aaaaakhaaaaa
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Kama unasubiri part 2 ya hapa gonga like hapa
Tunu Agriproducts natamani uo mwendelezo
Ma shaa Allah mkuu wa mkoa Allah akuzidishie kila la kheri..kweli wanyonge watapata haki kwa kazi yako nzuri may almighty Allah bless you from +254
Magufuli kachagua kweli. Yani hakuna mbabaishaji ktk uongozi wake. Big up Mr PC
I admire you Mr.Rc Happy
I love your job!
Don't believe what you see and what you hear. This politicians are very clever. This is organised group of actors including Hapi himself. Once case is at the court it is not allowed to be discussed publicly and he Hapi himself knows that,but since there is no case at the court he knows he wouldn't be charged cos they are just acting. The mama Asian guy(I believe asian kinda forced into this matter)to act lawyer, bank, manager. If you noticed you will see the lawyer played dumb bank manager too. This act to raise his popularity and people to believe he is on their side. This is politic my friend.
Well done RC happy we need such kind of leadership.
....
Ùùùùuuùù
Exactly! But, upumbafu, rushua, udjinga wa sisi wa Africa, huyu Kiongozi watamucukia na kumushusha. Thank u RC Happy angalao Mimi ni Mkongo(DRC). Nafirahi sana kwasababu Pombe Magufuli ameeee Yani Magufulification is still spreading.
Huyo RC ni hamnazo, anajifanya kujua wakati hajui kuwa hajui😏
@@khamisseif636 llllll
WOW wow Amazing Mungu akuongezeye ekima kama ya sulemani wewe ni msaada kwa taifa lako 👏👏👏👏👏👏👏👍
Francine Simirra ska
Watanzania wanafiki sana, wanachoshangilia nn sasa? Wanapoenda kukopa wapo radhi hata wahonge ila kuripa sasa chenga nyingi, mikopo wanahonga, wanapeleka kusiko malengo...tabu sana
Aise Alli Hapy. safi kazi nzuri sana
Good , mkuu wa mkoa kazi Nzuri Sana big up
Hongera sana may Ally Happy New kazi nzuri God bless you
Kama unaomba part2 kama Mimi gonga like tujuane hhhhh
Long long life ally happy maisha marefu.
Wale wote wanaosema hawa vijana wanafanya kazi kwa mihemko ni wezi, hii hari ya kazi walionayo hawa vijana imewasaidia wengi sana hasa watu wa chini maana vipindi vilivyo tungempata wapi mkuu wa mkoa tungemuona wapi mkuu wa wilaya, wacha wafanye kazi
Yaa Allah 🙌🙌🙌🙆
☆☆☆ after Magufuli this guy need to take it over ☆☆☆ Tanzania itaendelea kusonga mbele. Love from Burundi🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Daaa wanyonge wengi masikini ....Alhamdulillah tumepata watetezi... Allah awalinde zaidi na zaidi
Swadakta safi naomba sehemu ya pili ln Sha Allah ilinione vpwali waclisha viyeti safi i salute u Bro from saudi
Nakukubari kijana Hapy, Kazi njemaaa mungu akuinue zaidi hiii ndio tz ninayo hitaji, magu hakufanya makosaaa, nakuombea upate uwaziriii wa nje hiii ndi tim work
Ninoooma Mbaba hapa kazi tuu kaka Upo sawa
Jaman magufuli mwangalie kwa macho mawili hapy anafaaa tena Sana uwe unamhamisha hamisha ili aendeleee kunyoosha hawa wapuuzi wanaodhulumu wananchi da iringa mnamtu mhimu sana hapy Upo poooa sana tena Sana ingekuwa inawezekana mikoa yote ungezunguka kuinyoosha inchi
wanyooshe baba safiiiii👏👏👏👏👏👏👏well done Happi.
Hivi ndivyo mungu atakavyo hukumu siku za mwisho tena itakuwa zaidi ya hapo
JK JONATHAN J Ic
Kabisaaaa.
Huwezi kulinganisha hukumu za mwenyezi MUNGU na za hapi
Huyu RC anaugusa moyo wa MUNGU moja kwa moja.
yes
Very good,,I appreciate RC Mungu akubariki sana
Yunusi karika futi mia kuwa dhaman si nyumba😂😂😂
Radhia Salum habsri
Yunus konyo kwel😂😂😂😂😂
Hao jamaa bank wapumbavu kweli,hongera sana mkuu wa mkoa kumsaidia mwanamke mmoja ni sawa na kusaidia wanaume mia 100.
Magufuli rais wangu piga kazi baba piga kazi, unajua wakati mwingine binadamu unashindwa useme nini kwa kuwa pa kusemea unakuwa huna,ivi watanzania wenzangu tukiacha utawala baba yetu wa Taifa aliyeliongoza taifa hili kwa dhiki na shida pamoja na kuwa alikuwa na madini ya kila aina, lakini aliangalia mbele,ambae hii leo mimi namfananisha na baba mwenye familia kubwa aliyelima shamba akapata chakula akakiweka akiba ya baadae wakati wa njaa ili watoto wasije kufa na njaa,ambayo ndo leo madini aliyotutunzia baba yetu tunafaidi, ivi tukiacha utawala ule wa baba wa Taifa hapa katikati tawala zilizopita mpaka hii leo hapa kwa baba JPM, matukio kama haya tunayoyashuhudia watu kama hawa tena na wanasheria wakiwepo ni wangapi wamedhurumika haki zao kwa tawala zilizopita ukiacha kipindi cha mwalimu? Hatukuwahi kusikia habari njema kama hizi tunazoziona leo kwenye jeshi la magufuli, hata na kuna utawala wa wakati fulani ulitangaza mpaka kikosi cha mwavuli lakini hatukuyaona tunayoyaona hii leo, ebu watanzania wenzangu naomba niulize kaswali kangu kadogo tu, ivi kwa kazi hii aliyoifanya mdogo wangu Hapi kwa hawa watu yaani kwa meneja na ,mwanasheria wa benk NMB ni ya kujimwambafai mwambafai? Ivi unaweza ukasema Hapi amejimwambafai hapo? Hapi nae ametumia nafasi yake wala hajaiingilia mahakama,mahakama nayo ina nafasi yake, ebu cheki waangalie wapiga dili walivyobanwa maswali yaani dhahiri shahiri hata asiyejua kusoma ameng'amua kuwa issue nzima hapo kuanzia meneja mpaka mwanasjeria walipiga dili,na kumtishia huyo mama wa watu kumpeleka mahakamani,na wanajua watanzania tuliowengi tunashindwa kesi nyingi zikiwa mahakamani kwa kutojua sheria,au kwa kutishiwa kuwa kesi yako ni mpaka wakili ili ushindwe pesa za kumlipa, ndg Hapi kwa issue kama hiyo ivi mahakamani huyo mwanasheria alienda kufungua kesi gani? Ikiwa mkopaja kajikatalia kata kata kwamba yeye dhamana ya nyumba haitambui,yeye dhamana yake ni aseti zake,sasa huyo meneja na mwanasheria walipata wapi hati tena coppy? Tumwulize na huyo meneja alisomea wapi umeneja wake wa coppy kukopea mikopo? Na huyo mwanasheria achunguzwe vizuri uanasheria wake alisomea wapi? Huenda ndo wale wenye vyeti feki hao, kwanza mwanasheria gani wa benk tena benk kubwa kama NMB mwansheria wake unavaa tirshit tena ya round coler,halafu unathubutu kusimama mbele ya kadamnasi eti unajitutumua mimi ni mwanasheria wa NMB ivi hujaona aibu, ivi na nyie NMB mekosa kabisa watu wenye sifa za kufit hapo? Ona sasa mnavyoumbuka, watanzania ivi mnataka mniambie je kwa tawala zilizopita wababaishaji kama hawa wapiga dili hawakuwepo? Mbona hatukuwahi kuwasikia? Kama ndivyo ni wangapi kwa style hii wanyonge tumedhulumika haki zetu? Hapi kamata hao weka ndani hata wakisema na wewe unajimwambafai mwambafai poa tu.
Fredy Tarimo nakuona boss wanguu😆😆😆 kahama tuko pamoja
😂😂😂😂😂😂
Sawa sawa mkuu wa mkoa hivi ndio kazi inafanywa bwana hata mungu anaona unachokifanya😁😁
Hakika
Safi sana
Asante sana awamu ya5. Hingekua zamani wanyoge wanazulumiwa.
Muheshimiwa hao.niwaizi hao.mungu akupe afya njemaa mkuu wamkoa
Enzi za magu si za kuleta ujinga ujinga!!!!! Congratulation RC Hapy
Nampenda sana mkuu huyu wa mkoa.. yaani ana hoji FACT tupu.. Mungu akulinde na kila shari...
Magufuri ana vijana wazuri sana ukimwangalia happy kama makonda
Kaka hapii Mungu akubarikii
Nimegundua Tanzania tunaibiwa sana haki zetu kwakutojua sheria.jamani kusomea kitu siompaka uje ukifanyie kazi vingine kwajili yakutusaidia wenyewe.
Hongera kwa kazi mzuri. Mkuu wa mkoa
Mbona Tanzania kutamu jameni,I love this mkuu wa mkoa
Yeah huyu sasa safi sana kama rais magufuli
Leo nimeipitia hi kuangalia mala mbili siku niliposikia kaondolewa niliumia kama na mfahamu kuna hii na ile ya baba aliyelazimishwa kuhama na kubomolewa nyumba ya ile harambee ya kucahngiwa kwenye mkutano namkubali sana. Ally Happy mwenyeezi mungu atakujalia huenda rizki yako imeisha ila ina imani kwa uwezo wa Allah kuna kheri kubwa inakuja mbele yako
Hapi haikutakiwa aondoke iringa mungu mjalie hapi jaman
Tumeimiss sana hii mikutano big up Ali hapi!
Hao tia ndani waongo wanamuonea huyo mama.
Mimi yalishanikuta nilipata nyumba yangu.dill hilo lina watu nyuma yake.
Ally Appi wew ni zaid upo vizuri safi san
kazi nzuri sana
Hongera sana Kwa kazi na msimamo uliouonyesha hapo .m.mungu akusimamie inshallah
Tungekuwa na viongozi kama Hawa Tanzania ingenyooka 😍😍😍
Sukuma ndani
Ahsante muheshimiwa kura yangu kwako haina mjadala..hongera sana
Ally hapy wewe ni mwanaume👏👏👏👏👏
Mungu akutangulie mkuu hiyo kazi ninzuri sana
Nimeipenda
👏👏👏👏👏safiiiii 👍👍
Safi sanaaa baba kweli wananchi wanaumia sana.
Nakupenda sanaaa mkuu wa mkoa wetu oyeeeeeee
Wanyemakosa hao maafisa ata sis tumevunjwa nyumba mpk leo wazazi wangu wanahangaika na hatuna msaada
Imeniuma sana 😭😭😭yani tunatoa viongozi Bora kwa visa na visasi vya wapumbavu wachache ila kuna Siku hawa wanaojiona ni wenye giningi Watakuja kusaga meno!!!!! Kaka hapi kuwa na amani wewe ni reserve wa mfumo ujao, si wao wamekukataah usikate tamaa, wao Wanataka viongozi wa kuteteah uovu na si viongozi wa kuteteah haki za wananchii
Inauma sana.
Hapi Hapi Hapi well done! Wakati mwingine mambo hadharani inasaidia kila mtu kubeba msalaba wake. Msaidizi wa ishu hapa lazima aimbe yarabi nafsi yangu, zama lwako, mimi simo! Hapa hakuna kuchukuliana misalaba. Safi ukweli unajulikana.
kaka HAPI ongera kwa kutenda haki mwenyezi mungu akubaliki sana katika kazi yako ,
Super Mkuu wa Mkoa maamusi ya Kibinadamu hongera sana katika haki unazotumia kwa Wananchi
Big up RC Happv
Mafuli's generation hapa sio mchezo MUNGU acha atumie viongozi hawa vizuri
Benki sikuhizi wanaibia sana watu na huu yamekuwa mchezo wao mkuu tusaidie kwahilo
Happy nakuelewa kaka
Hongera Sana mkuu wa Mkoa uko vzr Sana Kwa utetezi mungu akulipe
Pole sana
umetisha mzee baba
Hapi omba asikuguse nampenda kwa sababu hashoboki na kunadi siasa kwa maneno anatete na kusaidia raia wake kwa haki na vitendo Mungu akupe maisha marefu nataman kukuona kwa wema.
Mkuu wa mkoa we noma sana!
Kazi nzuri RC
Safi sana Happy !
Mkuu wa mko Hana lolote ni msani tu
Kama na wew umegundua benk wanatoa mkopo kwa hati ya photocop gonga like twende zetu
Mkuu wa mkoa Happy. Mungu akubariki. Uko juu
Watu wa bank ,wezi wanapotoa mikopo huwa hawalengi kumsaidia mkopaji bali ni kumkandamiza na kujinufaisha wao.
Kuna legal procedures hazikufuatwa ktk Banking laws lakini bado Administrative and constutional laws must be respected.Ila wakili ulikuwa na haja gani kudanganya jina ndani ya letter of offer au/na collateral iliyotumika mpaka utofautiane na meneja.....????
Anachanganyikiwa jamani
Watching from Kenya
Mugufuli generation leaders are serious...natamani tuwe nao Kenya
Ee Mungu utusaidie. Viongozi kama hawa wanagusa moja kwa moja mioyo ya watu. Wanaitenda kazi ya mungu kwa vitendo nina imani Mungu amefurahishwa na kazi za aina hii na lazima atapenda mijuiza yake kwenye nchi yetu. Mungu wetu utusaidie waja wako
Daaah mungu akuongezee nguvu kiongozi we ni mtetezi
Mungu akulinde popote your strong leader nyayo za Mr president.
Wazurumaji Wa Aina hii niwengi sanaaa wanatapeli Sana wamama wajane
Hongera Sana Happi
Watu walikupenda sanaa
Wakuu wamikoa wakiwahiv wote dahhhhh!!!!
Mungu akulinde sana na ukuweke akika.unatenda Hali kwa mungu na wanamchi pia unastaili mauwa Yako kwa muumba wetu
Mkuu wa mkoa baba baba baba ongera mungu akupe maisha marefu baba
Mkuu wa mkoa nakukubali sana
Alli ni MCHAPA kazi sana na anamfano Mungu tu anajua na atakulipa. Mengi sana umewasaidia wana Hilinga. Mwachie MUNGU ATSKUSIMAMIA
Good Ally happy
Asante Sana Mungu kwa viongozi wenye maono
Mungu akusimamie kwenye uwongozi wako wa haki
Ah Tanzania is the best country in East Africa.
Asante kaka❤
Waazibiwe
Jaman Asante sana mweshimiwa wengine wamezoeya kuonea watu
Dah umenifurahisha sanaaa nawatumbuliwe haw
Nakupenda sana All Happy