INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
  • INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 637

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  4 หลายเดือนก่อน +55

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @mwitakegera8426
      @mwitakegera8426 2 หลายเดือนก่อน +3

      I am actually from Kenya and I congratulate this Man for the good work, such kind of people need to be leader

    • @ZuhuraNyange
      @ZuhuraNyange หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @justinog3105
    @justinog3105 4 หลายเดือนก่อน +210

    Wana Arusha mko na bahati mlipewa na Mungu kwa kumpata makonda angefika kwetu burundi shida zingepungua mnae kubali makonda mniongezee likes hapo Mungu ampe maisha marefu

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 4 หลายเดือนก่อน +8

      Sana kiukweli naomba mungu atuletee makonda mkoa wa TANGA , mana huku Kuna madudu mengi

    • @Hussein-gx4qu
      @Hussein-gx4qu 4 หลายเดือนก่อน +3

      Makonda apige kazi

    • @Bandura386
      @Bandura386 4 หลายเดือนก่อน

      Makonda njoo kibondoo

    • @jokhajj
      @jokhajj 4 หลายเดือนก่อน

      Kwakwl shida zingepungua mungu atusaidie burundi aise tuje tupate mtu kama makonda😢

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 4 หลายเดือนก่อน +1

      Arusha kuna madudu mengi mkoa una vurugu sana huko ujanja mwng mbele kiza , makonda okoa jahaz huko vgogo na madon weng n dhuluma za wanyonge

  • @AliMkumbukwa
    @AliMkumbukwa 4 หลายเดือนก่อน +109

    Vote for president to be makondaa
    Piga like kwa niaba ya makonda

    • @mariaboniphace7853
      @mariaboniphace7853 3 หลายเดือนก่อน +1

      Napiga kura yake mapema sana

    • @elizabethwaswa
      @elizabethwaswa 29 วันที่ผ่านมา

      Heri ntoke Kenya nije nmpigie huyu kura

  • @Mgema001
    @Mgema001 4 หลายเดือนก่อน +59

    Kila siku nasema wanaoturudisha nyuma hii nchi ni viongozi wa chini hawa wadogowadogo...big up makonda

    • @nuruurio8319
      @nuruurio8319 4 หลายเดือนก่อน +3

      Yaan viomgoz ndo shida wananchi siyo tatizo kabisa

    • @neemamasimba2981
      @neemamasimba2981 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hakika, na tukipata watu watano tu katika hii nchi kama makonda nchi ingepona

    • @ChausikuMadale
      @ChausikuMadale 3 หลายเดือนก่อน

      Go to taa cc t ​@@nuruurio8319

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 4 หลายเดือนก่อน +37

    Damu ya YESU ikufunike Makonda🙏❣️

  • @ErastoMkolokoti
    @ErastoMkolokoti 4 หลายเดือนก่อน +37

    Makonda Mungu atakufikisha tu kwenye uraisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania wakati ukifika bila upinzani na watesi wako hawatoamini

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 4 หลายเดือนก่อน

      Haswa

    • @ceciliamallya
      @ceciliamallya 3 หลายเดือนก่อน

      Tuendelee kumuombea afike kwenye kusudi

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 4 หลายเดือนก่อน +33

    Huyu Mh Anastahiki kuungwa mkono Safi sana

  • @JosephatJoseph-eo8xj
    @JosephatJoseph-eo8xj 4 หลายเดือนก่อน +43

    Mimi ni wa CHADEMA ila kazi ya makonda imenikosha sana Mungu hakulinde

    • @naimatemba8061
      @naimatemba8061 3 หลายเดือนก่อน

      Yaani wacha kabisa

  • @rhodamgimwa356
    @rhodamgimwa356 4 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda uko vizuri brother!! Nnapenda unavyotuhudumia wananchi wako.

  • @AlfaEnock-st9md
    @AlfaEnock-st9md 4 หลายเดือนก่อน +17

    Hawa ndio mnasema makonda anawadhalilisha.. Ila amini nawaambia ipo siku mungu atawajibu😥😥

  • @nelsonngowi3950
    @nelsonngowi3950 4 หลายเดือนก่อน +31

    Hata km mkuu watakuchukia, wakuchukie tu ila Mungu atalipa sikio lako lakusikiliza wananchi wako

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 4 หลายเดือนก่อน +26

    Duu nchi hii kweli watendaji wa serikali mnamuangusha mheshimiwa Rais Samia .Hawa watendaji serikali hawaitakii CCM mema wanataka ianguke

    • @josephignas3988
      @josephignas3988 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hiyo ndio mojawapo ya sifa za ccm Sasa km hujui ni dhulma

    • @victaboy7273
      @victaboy7273 4 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndio huwa unasifia ccm . Ni kawaida

    • @MariamWiliam-z8k
      @MariamWiliam-z8k 4 หลายเดือนก่อน

      Wanaosema anakosea sindio majambaz hao hao usiwaogope kaka wape Panadol zao

    • @MariamWiliam-z8k
      @MariamWiliam-z8k 4 หลายเดือนก่อน

      Yaan mie baba nakupenda sana ungekuja mbeya jamsn

    • @MariamWiliam-z8k
      @MariamWiliam-z8k 4 หลายเดือนก่อน

      acha wakuchukie tu hawana mbigu yakukupeleka majambaz wakubwa hao mbwaizo

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 4 หลายเดือนก่อน +28

    Mh. Makonda your integrity is unparalleled.

  • @gabybulba9574
    @gabybulba9574 4 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda looks full President with good and fair governances, mungu akubarikie hicho kiti naombea

  • @ahmedsalim9463
    @ahmedsalim9463 4 หลายเดือนก่อน +18

    Kazi ni ngumu lakini usikate tamaa
    Mungu yuko pamoja nawe

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 4 หลายเดือนก่อน +13

    Kwa sasa Mimi nimemkubali sana Makonda. Mzee wa ufufuo kwisha habari yake.

  • @maryamabdallah3140
    @maryamabdallah3140 4 หลายเดือนก่อน +9

    Vijana wetu wengi wamemaliza masomo yao ya vyuo vikuu na wako vizuri...na kazi hawana. Kazi zimekaliwa na vilaza kama Hawa ambao hawajielewi....mama Samia fukuzia mbali wajinga Hawa ndio wanakuchafua Bure, unabakia mama yetu kupata shukran ya matusi....

    • @zawaeli3357
      @zawaeli3357 4 หลายเดือนก่อน +1

      Nakuhakikishia hapa hata kijana wako angeonekana kilaza.

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 4 หลายเดือนก่อน +14

    Baadaye mseme anawakosea.
    MAKONDA anafanya kazi.
    Mama anaangushwa na watendaji wa chini

  • @nicksonmallya11
    @nicksonmallya11 4 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda Mungu akubariki sana akusamehe dhambi zako zote.

  • @BeatriceSoka-c7c
    @BeatriceSoka-c7c 2 หลายเดือนก่อน

    Yan wewe kaka Makonda HUYU Mungu wa mbinguni azid kukulinda na kukuinua kazi unayoifanya ni kitambo ilifanyikana kiongoz mmoja ambaye hayupo kwa sasa I solute you brother

  • @peterpaschal4522
    @peterpaschal4522 4 หลายเดือนก่อน +14

    Mheshimiwa makonda unafanya kazi nzuri ila hii nchi inahitaji mabadiliko ya seheria maana wanyonge Wana pata shida sana

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 4 หลายเดือนก่อน +12

    Makonda ana reasoning nzuri sana, sikuwaza kabisa kama yeye.

  • @kichalimaulid4904
    @kichalimaulid4904 4 หลายเดือนก่อน +3

    Daaaah makonda shikamoo pongezi kwa Dr Samia suluhu Hasan kwa uteuzi wako najinsi unavyo msaidia majukumu hongera sana

  • @Punda284
    @Punda284 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda mkuu wetu wa mkoa nakuelewa sana,unasaidia watumishi kujua majukumu yao,haya maswali tunajiuliza daima,Mungu akulinde.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน +9

    Eeee Yesu mlinde Makonda azidi kutetea Wanyonge Mama Bikira Maria mpine kwa nguvu zote Makonda

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 4 หลายเดือนก่อน +8

    Makonda tuko pamoja kamanda Mungu akusimamie katika kutenda haki

  • @hashimrweabula9
    @hashimrweabula9 2 หลายเดือนก่อน

    Makondaa ni MTU na nusuu Safi Sanaa kwambali nafrai nikama namwona mzee magu yaan hii nchi Ikiwa na watu WAHIVI tuu wa hivii tuu utakua saafii big up mkuu makonda waziiii 💪🇹🇿 TANZANIA SALAMA

  • @avinrwegasira3448
    @avinrwegasira3448 4 หลายเดือนก่อน +15

    Magufuli living ❤❤❤

  • @IreneMacha-g8o
    @IreneMacha-g8o 4 หลายเดือนก่อน +14

    Mkiambiwa mnalegeza sautiii mnasema mnadhalikishwaa😅😅😅

    • @BilalMuhammad-jt6sq
      @BilalMuhammad-jt6sq 4 หลายเดือนก่อน +2

      Kweli ila kukaa uchi awaoni kua wanazarurisha

  • @wisemanking001
    @wisemanking001 4 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda is beyond Regional Commissioner job....apewe nchi for the rest of his life!!!

  • @emmanuelakutulaga9756
    @emmanuelakutulaga9756 4 หลายเดือนก่อน +5

    MAKONDA KIJANA MWENZANGU NAFURAHISHWA SANA NA UTENDAJI WAKO WA KAZI, HICHI UNACHOKIFANYA NI VERY UNIQUE,THATS WHY WENGI SANA WANAKUCHUKIA,...ILA MUNGU AKUTUNZE SANA; BINAFSI NAAMINI TUNGEKUWA NA WAKUU WA MIKOA KAMA WEWE WA5 TU, NA MAWAZIRI KAMA WEWE WA5, NA WAKUU WA WILAYA WA5, NA WAKUU WA POLISI WA MIKAO WA5, NA MAAFISA WA TAKUKURU WA MIKOA WA5 TU, NA WAKUU WA MAHAKAMA ZA MIKOA WA5 TU; NCHI HII NDANI YA MIAKA 10; TRULY NAWAMBIENI UKWELI KABISA,KIPATO CHA KILA MTANZANIA MTAFUTAJI KINGEFIKA LAKI 5 PER MONTH,HATA UMRI WA KUISHI UNGEFIKA MIAKA 80. TUENDELEE KUMUABUDU MUNGU WETU ALIYEZIUMBA MBINGU NA DUNIA.

  • @raymondlyamuya6900
    @raymondlyamuya6900 4 หลายเดือนก่อน +13

    Huyo Mkurugenzi Kilaza sanahamna kitu hapo

  • @GomwoMisago
    @GomwoMisago 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mungu akubariki mtetea wanyonge

  • @romanshirima5883
    @romanshirima5883 4 หลายเดือนก่อน +6

    Dah makonda vs magufuli mungu huyu❤

  • @NicholausDanga
    @NicholausDanga 2 หลายเดือนก่อน

    Da lalia kwa furaha kama ikimpendeza mueshimiwabraisi huyu poo makonda angekua mkuu wamkoa Tanzania kwakweli angalau aweze kuwasimamamia kazi wa kuu wa miakoa wengine.hayo nimaoni yangu.kama mtanzania.ahsante. naomba kuwasirisha,

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 4 หลายเดือนก่อน +28

    Wabunge mnasikia hayoooo sio mpo makini na posho zenu na kuomba mpewe Magali.....mnaona mnavyo taabisha Watu

  • @dismascosmas7860
    @dismascosmas7860 4 หลายเดือนก่อน +4

    Mmepata kiongozi mshukuruni sana Mungu

  • @leodgarchilala721
    @leodgarchilala721 4 หลายเดือนก่อน +11

    Binafsi namkubali sana huyu jamaa pamoja na mapungufu yake machache ila ni bonge moja la kiongozi tena mwenye maono lkn hii nchi watu wanasimama kupinga eti kisa anaemuhoji ni mwanamke dah

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 4 หลายเดือนก่อน +10

    Hivi jamani huyu mkurugenzi maelezo yake katika kila maswali anayoulizwa kuanzia wale wezi wa milioni 52 hakuna anachoeleza cha kueleweka sijui huo ukurugenzi anautendaje?😂

    • @emmanuelbenedicto589
      @emmanuelbenedicto589 4 หลายเดือนก่อน +5

      Halafu watakuja kusema amedhalilishwa wakati hana msaada wowote kwenye utendaji

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 4 หลายเดือนก่อน +23

    Mpaka mkurugenzi anashika kichwa anajuta kwa nini mama samia kamchagua hiyo kazi huyo ndo mkuu wa mkoa kamanda makonda ukimaliza kadili na wahuni wanaokaba mitaani arusha

  • @anitabarnaba
    @anitabarnaba 2 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda sana mheshimiwa makonda natamani ungekuwa rais kabisa baba

  • @paulomollel9717
    @paulomollel9717 หลายเดือนก่อน

    autakufa maisha yako yote tutakuombea kwa mungu akuwache milele❤

  • @bennshirima9918
    @bennshirima9918 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mh.makonda, nakupongeza kwa hili jambo...ongera sn.

  • @omaraliy8207
    @omaraliy8207 4 หลายเดือนก่อน +6

    usivunjike moyo jitahd inshallah utafka

  • @OmariNgurangwa
    @OmariNgurangwa 4 หลายเดือนก่อน +11

    Hela zishariwa izooo

  • @magrethmagonza186
    @magrethmagonza186 4 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda mngu akuweke..wambiwe ukweli hakuna kudhalilisha ni ukweli saidia wanyonge

  • @JenethFrank
    @JenethFrank 4 หลายเดือนก่อน +5

    Muheshimiwa hizi halmashauri especially ma afsa utumishi, makatibu wanasumbua sana ikiwa unataka uongoz wako unataka kusiwe na malalamiko jaribu kuwahamisha hamisha ufanye uchunguz then uwasimamie utajua mengi. Nataman ningepata nafasi ya kuonana na wewe.

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 4 หลายเดือนก่อน +9

    Amlipe pesa zake angekua ndio yeye anadai miaka yote hiyo kweli!

  • @feliciarfrancis2388
    @feliciarfrancis2388 3 หลายเดือนก่อน

    Mheshimiwa Makonda naomba Mungu akulinde kwa kazi ya kuipigania Tanzania?

  • @AbdulmalikFredrick
    @AbdulmalikFredrick 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mueshimiwa makonda nakupenda sana Alha akulinde na maasidi inshallah

  • @pastor-Chrisfeston1
    @pastor-Chrisfeston1 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu aendelee kukulinda baba kwajili ya wanyonge ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 4 หลายเดือนก่อน +9

    Makonda Mungu akulinde akupe nguvu ulindwe na Mafisadi ambao hawakupendi maana hata Magufuli aliuwawa kwa kutetea Wanyonge

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh หลายเดือนก่อน

      kbs kbs magufuli kauliwa na mafisadi tanzania

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde makonda

  • @UpendoLangeni
    @UpendoLangeni 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda is the most talented leader unexplainable. May God protect you . Heaven is on you❤

  • @AffectionateCap-fk8tx
    @AffectionateCap-fk8tx 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda unanimalizia bando, kz nzuri.

  • @PhilemonNambololo
    @PhilemonNambololo 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hapo value for money ihusike,thamani ya hela 2007 siyo sawa na thamani ya leo.

    • @kennysiao6908
      @kennysiao6908 2 หลายเดือนก่อน

      Ingekua pesa yako ingesema hivyo… tumia busara

  • @MusaHulk
    @MusaHulk 2 หลายเดือนก่อน

    I love this guy I wish he could be the next president

  • @bonifacedanielmwakisunga9638
    @bonifacedanielmwakisunga9638 4 หลายเดือนก่อน +7

    Hawa wakurugennzi wanapatikanaje vilaza hata wajinu wake ajui jamani nchi itaenda kweli kama wao ni kukaa ofisini tu awashughuliki na kutatua kero za wananchi

  • @EdwinWapili
    @EdwinWapili 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuinue akulinde kwa yote unayo tenda kwa wasio jiweza

  • @HemedMnyambwa
    @HemedMnyambwa 4 หลายเดือนก่อน +8

    Loko fundi tunapitia changamoto haza tunapota denda kwenye taasisi ni kama hizii ,alafuu ajitikeza jitu huko anasema makonda anazalilisha watumishi, embu avaee viatu vya huyuu inginia wetu.
    Mafundi njooni tufahamiane hapaaa

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 4 หลายเดือนก่อน +4

    Hapo mkurugenzi mbovu sana kwenye wizi haelewi hapa haelewi

  • @wilsonsikahanga1761
    @wilsonsikahanga1761 3 หลายเดือนก่อน

    Natural philosophy is very important good Makonda

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo2432 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wa mbinguni akutunze hakika kazi unayoifanya mungu yupo upande wako

  • @workshopMayunga
    @workshopMayunga 3 หลายเดือนก่อน

    Faza makonda mungu akulinde sana

  • @SaruniChristophersabaya
    @SaruniChristophersabaya 3 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki Sana makonda

  • @mararegiononline3457
    @mararegiononline3457 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ila Makonda bana umetisha Mzee kwa hiyo mlalamikaji afanyeje? Akabomoe shule

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 4 หลายเดือนก่อน +8

    Mkurugenzi anang'a ng'a macho kama fisi maji!😏🙆

  • @nellychamba1507
    @nellychamba1507 3 หลายเดือนก่อน

    Mkuu nakupenda sana brother kwa sababu ya haki unayoipigania, Embu fikilia sisi wenyewe ni watanzania lakini tunafanyiana rohoo mbaya, aisee MUNGU arudi tu hata kesho

  • @kensonyjulius5691
    @kensonyjulius5691 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mwenyezi mungu azidi kukuweka nakuona ni rais ujae🙏🙏🙏

  • @ceciliamallya
    @ceciliamallya 3 หลายเดือนก่อน

    Mh Paul Makonda Mungu wa mbinguni akutunze baba,...Arusha watu wameteseka muda mrefu sana mpaka wengine wamekufa kwa pressure na sukari kwaajili ya kudhulumiwa....Wana Arusha muombeeni sana Mh Makonda na familia yake ameletwa kwa kusudi kabisa la Mungu

  • @Ramatozzy-zv7ix
    @Ramatozzy-zv7ix 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mhuuuuu kipindi ichoo ndoo naanza chekechea kbxa

  • @Zaituni-f4w
    @Zaituni-f4w 2 หลายเดือนก่อน

    Makonda anatisha sana mungu amlinde

  • @elizabethnicodemus5192
    @elizabethnicodemus5192 3 หลายเดือนก่อน

    Makonda kazi Yako nzuriii 🙏🙏 mungu akulinde mheshimiwa 🙏🙏

  • @nduyehgechanel8476
    @nduyehgechanel8476 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mh. Makonda, vijana tuna la kujifunza kama viongozi wajao

  • @Bihomebuja
    @Bihomebuja 4 หลายเดือนก่อน +1

    I'm not Tanzanian but I want to say that Africa suffers from a lot of issues. This Governor Makonda is criticized by some but I see that he is intelligent.

  • @mosescharles3565
    @mosescharles3565 3 หลายเดือนก่อน

    Ndugu Paul makonda usingeenda Arusha ingeishia wapi hongera sana mama samia kumpeleka mchapa kazi Arusha🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @emmanuelsunday8325
    @emmanuelsunday8325 4 หลายเดือนก่อน +5

    Mungu akulinde mtumishi wa Mungu makonda

  • @luganouswege628
    @luganouswege628 4 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya kazi makonda tutakuombea kwa mungu akulinde Toka tunduma

  • @mwakagarimwakipelelefi9738
    @mwakagarimwakipelelefi9738 4 หลายเดือนก่อน

    Mungu akutunze makonda

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makondaaaaaaaaa, Mungu akulinde.

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 4 หลายเดือนก่อน +6

    Mh Makonda Ni jembe ,anatutetea na sisi makontractor

  • @josephmbuya9860
    @josephmbuya9860 4 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda nakuelewa sana

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 4 หลายเดือนก่อน +4

    Jasiri Sanaa jamaa

  • @wakushibandfrombushland
    @wakushibandfrombushland 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali mkuu wa kazi maisha marefu

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mh Makonda Mungu akutunze👏👏👏👏

  • @GomwoMisago
    @GomwoMisago 4 หลายเดือนก่อน +3

    Tupe number iwe yako au yoyote ile tukufanyie kazi Arusha ufisadi umezidi ndani ya Ofisi yako

  • @neemamasimba2981
    @neemamasimba2981 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika Makonda Mungu akubariki na azidi kukupa hekima hiyo hiyo. Huku wanapiga pesa tu na kuwadhulumu watu.

  • @Charles-oq8tz
    @Charles-oq8tz 4 หลายเดือนก่อน +4

    Unatisha kaka

  • @AnthonyChaula-d8l
    @AnthonyChaula-d8l 4 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman Paul Makonda mpeni uwaziri mkuu plzzz

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wallah makonda nimwanaume sana na anafaa uraisi

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 4 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mama ningekuwa nishamweka ndani muda mrefu sana anabahati na huruma za Makonda

    • @gregory6165
      @gregory6165 4 หลายเดือนก่อน

      Sawa anaweza kulaumiwa lakini kimsingi hana kosa huyo mama, kaingia hapo kazini juzi madeni hayo ya tangu kipindi cha Lowasa akiwa waziri mkuu. Yeye kuanza kulipa hizo hela kuna shida sana kwenye mambo ya kimfumo... Huko serikalini kunamambo ya ajabu sana kwenye mifumo, ingekuwa serikali ni kampuni ya mtu binafsi ingeenda lakini wanapishana na kuna mindset ya ufanyaji kazi ambayo ni ngumu kuchukuwa maamuzi ya kifedha kwa kufata mfumo hususani ni madai ya zamani

    • @alexanderkapinga700
      @alexanderkapinga700 4 หลายเดือนก่อน

      @@gregory6165 hapana kosa lake ni kutofanyia kazi taarifa tangu alipoambiwa Juzi juzi na makonda afatilie alafu anakuja na no action.

  • @MamaBambala
    @MamaBambala 3 หลายเดือนก่อน

    Mwenyezi Mungu akulinde mwanangu Makonda.

  • @emmanwelkomba4791
    @emmanwelkomba4791 3 หลายเดือนก่อน

    Nabii akubariki kwao

  • @vikimartin9441
    @vikimartin9441 4 หลายเดือนก่อน +5

    Yaani siku hizi sikosi kuweka bando, huku ni patam balaa, mh.makonda hapoi Wala haboi.mambo ni moto,chai ya moto kikombe Cha bati.

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 4 หลายเดือนก่อน

      Daah jamaa anatisha sana

    • @khalidhaji-ls2or
      @khalidhaji-ls2or 4 หลายเดือนก่อน

      Wee huogop

  • @WinfredMbinya-i9q
    @WinfredMbinya-i9q 4 หลายเดือนก่อน +1

    That's good

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu mteteee makonda mafisadi wote hawampendi

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 4 หลายเดือนก่อน +5

    Watu wanakufa na mengi

  • @hafidhdrogba3392
    @hafidhdrogba3392 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mkulugenzi sulambaya rohomba zuluma

  • @penina9266
    @penina9266 4 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana mkuu kwakazi nzuri MUNGU azidi kukutunza❤

  • @MaajabuMayaka
    @MaajabuMayaka 4 หลายเดือนก่อน +8

    Kumamake huyu makonda kichwa san...duuhhh kiukwl tumpe urais ana deserve kuw rais wetu 2030