INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- INJINIA ALIYEJENGA SHULE za KATA ARUSHA TANGU 2007 HAJALIPWA PESA - AMEFILISIKA - MAKONDA AHUZUNIKA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
I am actually from Kenya and I congratulate this Man for the good work, such kind of people need to be leader
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Wana Arusha mko na bahati mlipewa na Mungu kwa kumpata makonda angefika kwetu burundi shida zingepungua mnae kubali makonda mniongezee likes hapo Mungu ampe maisha marefu
Sana kiukweli naomba mungu atuletee makonda mkoa wa TANGA , mana huku Kuna madudu mengi
Makonda apige kazi
Makonda njoo kibondoo
Kwakwl shida zingepungua mungu atusaidie burundi aise tuje tupate mtu kama makonda😢
Arusha kuna madudu mengi mkoa una vurugu sana huko ujanja mwng mbele kiza , makonda okoa jahaz huko vgogo na madon weng n dhuluma za wanyonge
Vote for president to be makondaa
Piga like kwa niaba ya makonda
Napiga kura yake mapema sana
Heri ntoke Kenya nije nmpigie huyu kura
Kila siku nasema wanaoturudisha nyuma hii nchi ni viongozi wa chini hawa wadogowadogo...big up makonda
Yaan viomgoz ndo shida wananchi siyo tatizo kabisa
Hakika, na tukipata watu watano tu katika hii nchi kama makonda nchi ingepona
Go to taa cc t @@nuruurio8319
Damu ya YESU ikufunike Makonda🙏❣️
Makonda Mungu atakufikisha tu kwenye uraisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania wakati ukifika bila upinzani na watesi wako hawatoamini
Haswa
Tuendelee kumuombea afike kwenye kusudi
Huyu Mh Anastahiki kuungwa mkono Safi sana
Mimi ni wa CHADEMA ila kazi ya makonda imenikosha sana Mungu hakulinde
Yaani wacha kabisa
Makonda uko vizuri brother!! Nnapenda unavyotuhudumia wananchi wako.
Hawa ndio mnasema makonda anawadhalilisha.. Ila amini nawaambia ipo siku mungu atawajibu😥😥
Hata km mkuu watakuchukia, wakuchukie tu ila Mungu atalipa sikio lako lakusikiliza wananchi wako
Duu nchi hii kweli watendaji wa serikali mnamuangusha mheshimiwa Rais Samia .Hawa watendaji serikali hawaitakii CCM mema wanataka ianguke
Hiyo ndio mojawapo ya sifa za ccm Sasa km hujui ni dhulma
Wewe ndio huwa unasifia ccm . Ni kawaida
Wanaosema anakosea sindio majambaz hao hao usiwaogope kaka wape Panadol zao
Yaan mie baba nakupenda sana ungekuja mbeya jamsn
acha wakuchukie tu hawana mbigu yakukupeleka majambaz wakubwa hao mbwaizo
Mh. Makonda your integrity is unparalleled.
Makonda looks full President with good and fair governances, mungu akubarikie hicho kiti naombea
Kazi ni ngumu lakini usikate tamaa
Mungu yuko pamoja nawe
Kwa sasa Mimi nimemkubali sana Makonda. Mzee wa ufufuo kwisha habari yake.
Kwakweli
Vijana wetu wengi wamemaliza masomo yao ya vyuo vikuu na wako vizuri...na kazi hawana. Kazi zimekaliwa na vilaza kama Hawa ambao hawajielewi....mama Samia fukuzia mbali wajinga Hawa ndio wanakuchafua Bure, unabakia mama yetu kupata shukran ya matusi....
Nakuhakikishia hapa hata kijana wako angeonekana kilaza.
Baadaye mseme anawakosea.
MAKONDA anafanya kazi.
Mama anaangushwa na watendaji wa chini
Makonda Mungu akubariki sana akusamehe dhambi zako zote.
Yan wewe kaka Makonda HUYU Mungu wa mbinguni azid kukulinda na kukuinua kazi unayoifanya ni kitambo ilifanyikana kiongoz mmoja ambaye hayupo kwa sasa I solute you brother
Mheshimiwa makonda unafanya kazi nzuri ila hii nchi inahitaji mabadiliko ya seheria maana wanyonge Wana pata shida sana
Makonda ana reasoning nzuri sana, sikuwaza kabisa kama yeye.
Makonda ni Mtu na Nusu
Daaaah makonda shikamoo pongezi kwa Dr Samia suluhu Hasan kwa uteuzi wako najinsi unavyo msaidia majukumu hongera sana
Makonda mkuu wetu wa mkoa nakuelewa sana,unasaidia watumishi kujua majukumu yao,haya maswali tunajiuliza daima,Mungu akulinde.
Eeee Yesu mlinde Makonda azidi kutetea Wanyonge Mama Bikira Maria mpine kwa nguvu zote Makonda
Makonda tuko pamoja kamanda Mungu akusimamie katika kutenda haki
Makondaa ni MTU na nusuu Safi Sanaa kwambali nafrai nikama namwona mzee magu yaan hii nchi Ikiwa na watu WAHIVI tuu wa hivii tuu utakua saafii big up mkuu makonda waziiii 💪🇹🇿 TANZANIA SALAMA
Magufuli living ❤❤❤
Kweli kbs
Mkiambiwa mnalegeza sautiii mnasema mnadhalikishwaa😅😅😅
Kweli ila kukaa uchi awaoni kua wanazarurisha
Makonda is beyond Regional Commissioner job....apewe nchi for the rest of his life!!!
MAKONDA KIJANA MWENZANGU NAFURAHISHWA SANA NA UTENDAJI WAKO WA KAZI, HICHI UNACHOKIFANYA NI VERY UNIQUE,THATS WHY WENGI SANA WANAKUCHUKIA,...ILA MUNGU AKUTUNZE SANA; BINAFSI NAAMINI TUNGEKUWA NA WAKUU WA MIKOA KAMA WEWE WA5 TU, NA MAWAZIRI KAMA WEWE WA5, NA WAKUU WA WILAYA WA5, NA WAKUU WA POLISI WA MIKAO WA5, NA MAAFISA WA TAKUKURU WA MIKOA WA5 TU, NA WAKUU WA MAHAKAMA ZA MIKOA WA5 TU; NCHI HII NDANI YA MIAKA 10; TRULY NAWAMBIENI UKWELI KABISA,KIPATO CHA KILA MTANZANIA MTAFUTAJI KINGEFIKA LAKI 5 PER MONTH,HATA UMRI WA KUISHI UNGEFIKA MIAKA 80. TUENDELEE KUMUABUDU MUNGU WETU ALIYEZIUMBA MBINGU NA DUNIA.
Huyo Mkurugenzi Kilaza sanahamna kitu hapo
Mungu akubariki mtetea wanyonge
Dah makonda vs magufuli mungu huyu❤
Da lalia kwa furaha kama ikimpendeza mueshimiwabraisi huyu poo makonda angekua mkuu wamkoa Tanzania kwakweli angalau aweze kuwasimamamia kazi wa kuu wa miakoa wengine.hayo nimaoni yangu.kama mtanzania.ahsante. naomba kuwasirisha,
Wabunge mnasikia hayoooo sio mpo makini na posho zenu na kuomba mpewe Magali.....mnaona mnavyo taabisha Watu
Mmepata kiongozi mshukuruni sana Mungu
Binafsi namkubali sana huyu jamaa pamoja na mapungufu yake machache ila ni bonge moja la kiongozi tena mwenye maono lkn hii nchi watu wanasimama kupinga eti kisa anaemuhoji ni mwanamke dah
Hivi jamani huyu mkurugenzi maelezo yake katika kila maswali anayoulizwa kuanzia wale wezi wa milioni 52 hakuna anachoeleza cha kueleweka sijui huo ukurugenzi anautendaje?😂
Halafu watakuja kusema amedhalilishwa wakati hana msaada wowote kwenye utendaji
Mpaka mkurugenzi anashika kichwa anajuta kwa nini mama samia kamchagua hiyo kazi huyo ndo mkuu wa mkoa kamanda makonda ukimaliza kadili na wahuni wanaokaba mitaani arusha
Nakupenda sana mheshimiwa makonda natamani ungekuwa rais kabisa baba
autakufa maisha yako yote tutakuombea kwa mungu akuwache milele❤
Mh.makonda, nakupongeza kwa hili jambo...ongera sn.
usivunjike moyo jitahd inshallah utafka
Hela zishariwa izooo
Makonda mngu akuweke..wambiwe ukweli hakuna kudhalilisha ni ukweli saidia wanyonge
Andika MUNGU sio mngu
Muheshimiwa hizi halmashauri especially ma afsa utumishi, makatibu wanasumbua sana ikiwa unataka uongoz wako unataka kusiwe na malalamiko jaribu kuwahamisha hamisha ufanye uchunguz then uwasimamie utajua mengi. Nataman ningepata nafasi ya kuonana na wewe.
Unaweza kumtembelea
Amlipe pesa zake angekua ndio yeye anadai miaka yote hiyo kweli!
Mheshimiwa Makonda naomba Mungu akulinde kwa kazi ya kuipigania Tanzania?
Mueshimiwa makonda nakupenda sana Alha akulinde na maasidi inshallah
Mungu aendelee kukulinda baba kwajili ya wanyonge ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Makonda Mungu akulinde akupe nguvu ulindwe na Mafisadi ambao hawakupendi maana hata Magufuli aliuwawa kwa kutetea Wanyonge
kbs kbs magufuli kauliwa na mafisadi tanzania
Mungu akulinde makonda
Makonda is the most talented leader unexplainable. May God protect you . Heaven is on you❤
Makonda unanimalizia bando, kz nzuri.
Hapo value for money ihusike,thamani ya hela 2007 siyo sawa na thamani ya leo.
Ingekua pesa yako ingesema hivyo… tumia busara
I love this guy I wish he could be the next president
Hawa wakurugennzi wanapatikanaje vilaza hata wajinu wake ajui jamani nchi itaenda kweli kama wao ni kukaa ofisini tu awashughuliki na kutatua kero za wananchi
Mungu akuinue akulinde kwa yote unayo tenda kwa wasio jiweza
Loko fundi tunapitia changamoto haza tunapota denda kwenye taasisi ni kama hizii ,alafuu ajitikeza jitu huko anasema makonda anazalilisha watumishi, embu avaee viatu vya huyuu inginia wetu.
Mafundi njooni tufahamiane hapaaa
Hapo mkurugenzi mbovu sana kwenye wizi haelewi hapa haelewi
Natural philosophy is very important good Makonda
Mungu wa mbinguni akutunze hakika kazi unayoifanya mungu yupo upande wako
Faza makonda mungu akulinde sana
Mungu akubariki Sana makonda
Ila Makonda bana umetisha Mzee kwa hiyo mlalamikaji afanyeje? Akabomoe shule
Mkurugenzi anang'a ng'a macho kama fisi maji!😏🙆
Mkuu nakupenda sana brother kwa sababu ya haki unayoipigania, Embu fikilia sisi wenyewe ni watanzania lakini tunafanyiana rohoo mbaya, aisee MUNGU arudi tu hata kesho
Mwenyezi mungu azidi kukuweka nakuona ni rais ujae🙏🙏🙏
Mh Paul Makonda Mungu wa mbinguni akutunze baba,...Arusha watu wameteseka muda mrefu sana mpaka wengine wamekufa kwa pressure na sukari kwaajili ya kudhulumiwa....Wana Arusha muombeeni sana Mh Makonda na familia yake ameletwa kwa kusudi kabisa la Mungu
Mhuuuuu kipindi ichoo ndoo naanza chekechea kbxa
Makonda anatisha sana mungu amlinde
Makonda kazi Yako nzuriii 🙏🙏 mungu akulinde mheshimiwa 🙏🙏
Mh. Makonda, vijana tuna la kujifunza kama viongozi wajao
I'm not Tanzanian but I want to say that Africa suffers from a lot of issues. This Governor Makonda is criticized by some but I see that he is intelligent.
Ndugu Paul makonda usingeenda Arusha ingeishia wapi hongera sana mama samia kumpeleka mchapa kazi Arusha🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu akulinde mtumishi wa Mungu makonda
Fanya kazi makonda tutakuombea kwa mungu akulinde Toka tunduma
Mungu akutunze makonda
Makondaaaaaaaaa, Mungu akulinde.
Mh Makonda Ni jembe ,anatutetea na sisi makontractor
Makonda nakuelewa sana
Jasiri Sanaa jamaa
Nakubali mkuu wa kazi maisha marefu
Mh Makonda Mungu akutunze👏👏👏👏
Tupe number iwe yako au yoyote ile tukufanyie kazi Arusha ufisadi umezidi ndani ya Ofisi yako
Hakika Makonda Mungu akubariki na azidi kukupa hekima hiyo hiyo. Huku wanapiga pesa tu na kuwadhulumu watu.
Unatisha kaka
Jaman Paul Makonda mpeni uwaziri mkuu plzzz
Wallah makonda nimwanaume sana na anafaa uraisi
Huyu mama ningekuwa nishamweka ndani muda mrefu sana anabahati na huruma za Makonda
Sawa anaweza kulaumiwa lakini kimsingi hana kosa huyo mama, kaingia hapo kazini juzi madeni hayo ya tangu kipindi cha Lowasa akiwa waziri mkuu. Yeye kuanza kulipa hizo hela kuna shida sana kwenye mambo ya kimfumo... Huko serikalini kunamambo ya ajabu sana kwenye mifumo, ingekuwa serikali ni kampuni ya mtu binafsi ingeenda lakini wanapishana na kuna mindset ya ufanyaji kazi ambayo ni ngumu kuchukuwa maamuzi ya kifedha kwa kufata mfumo hususani ni madai ya zamani
@@gregory6165 hapana kosa lake ni kutofanyia kazi taarifa tangu alipoambiwa Juzi juzi na makonda afatilie alafu anakuja na no action.
Mwenyezi Mungu akulinde mwanangu Makonda.
Nabii akubariki kwao
Yaani siku hizi sikosi kuweka bando, huku ni patam balaa, mh.makonda hapoi Wala haboi.mambo ni moto,chai ya moto kikombe Cha bati.
Daah jamaa anatisha sana
Wee huogop
That's good
Mungu mteteee makonda mafisadi wote hawampendi
Watu wanakufa na mengi
Mkulugenzi sulambaya rohomba zuluma
Hongera sana mkuu kwakazi nzuri MUNGU azidi kukutunza❤
Kumamake huyu makonda kichwa san...duuhhh kiukwl tumpe urais ana deserve kuw rais wetu 2030