Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Faida na hasara za utendaji wa connection. Watu wenye uwezo wanaachwa wasio na uwezo wanaingia kwenye mfumo wa serikali matokeo yake wanafanya kazi bila woga
DADA ZUUUUU 😮😊😊 HAPO IKULU UPOOO LIVE 😊 UNAYAONA MAMBO YA UTEUZI WAKO UKISHAURIANA NA MAMA YETU MKUU WA NCHI?????? Hapa MMEPIGA KWENYE MSHONO HONGERAAA SANAAAAA DADA ZUUU KATIBU MKUU IKULU❤
Haya mambo yapo nchi nzima sema viongozi wengi ni corrupt na waoga hawa watu wanao itwa watendaji ni hatari ni majambazi pamoja na wenyeviti wao wa vijiji
Mh Makonda hili ni tatizo baada ya kusikiliza changamoto zote kaa na watendaj na watumishi katika ngazi zote piga brush kwa maana kufuata muhtasar wa utendaji kazi kuanzia upokeaji wa fedha za miradi and then fanya ukaguzi na hii ofanyike katika halmashaul zote ukipendekeza kwa maana wananchi wengi wanaumia sana na hawajui taratibu sheria na miongozo hivyo wasomi kutumia fursa kuwapiga wananchi
Makonda kazi ipo nibora unge tumika kama mtumishi wakazi ya mungu mbona mungu alikuchagua mda kaka tukatae tukubali serikali ya jamuuri nawatumishi wake uto waweza kwani nitamaduni ya nchi kufaki watakushangaa nauto weza kuzibiti japo niaki na kweli
Rais wa WADUDU umeiona hiyo barabara waliokupitisha utazani njia ya kuelekea shambani, huku ndo tunapokaa wananchi wako hata pakitokea mlipuko wa magonjwa kufika mjini ni masaa matatu tusaidie mkuu wetu barabara mbovu
Hongera sana mkuu wa mkoa! Tanzania 🇹🇿 kuna mkuu wa mkoa mmoja tu Bw. Makonda na ndiye Rais wa nchi ya Arusha!
Aseee huyu Makonda namuona mbali sana
Mushapata Raisi wenu kwenye nchi ya Arusha hongereni sana😂😂😂😂
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Asante sana mheshimiwa Rais mama yetu ,Mama samia kwa kweli nakupa pongezi kubwa sana tu kwa kazi kubwa unayofanya kuiweka nchi yetu kimataifa. Kiukweli mama kweli unajicho linalo angaza sana tu.Nikimaanisha kuwa unajua kuwa nani nimuweka wapi ili afanikishe ndoto nzako.Mheshimiwa nakupa pongezi kubwa sana kumchagua mheshimiwa Makonda kuwa mkuu wa .Mkoa wa Arusha.Yaani makonda ni jembe lenye ncha kali sana .mheshimiwa ungekuwa na watumishi hata kumi tu nchi yetu kweli ingekuwa ni Dubai ndogo.yaani mheshimiwa Makonda ni mpiga kazi .Na jiji la Arusha litang'a sana tu .Huwa nafutilia sana kazi za mheshimiwa makonda kila siku.Naomba mwenyezi amlinde ili afanikishe majukumu yake.Huwa namwona tu kwenye mitandao ningekuwa nipo huko TZ ningejitahidi nimwone nimshike mkono wake .
Safari hii mtayanywa haswaa ...hongera mkuu wa mkoa
Makonda mungu akubariki sana zaidi ya sana unafanya kazi poa ❤❤❤❤
Safi sana mkuu chapa kazi nasisi tunakuombea kwa mungu akupatie ulinzi wake🎉
Big up makonda Mungu aendelee kukuinua
Hongera sana makonda
I pray for you brother Makonda Long live.l will try to mention your name before God.
Viva Makonda vivaaaaa
Faida na hasara za utendaji wa connection. Watu wenye uwezo wanaachwa wasio na uwezo wanaingia kwenye mfumo wa serikali matokeo yake wanafanya kazi bila woga
Safi Sana tumechoka na Wala rushwa wa nchi
HONGERA BABA MAKONDA KWA KAZI NZURI UNAYOIFANYA. UMEWAPA SAUTI WATU WASIOKUWA NA SAUTI.
Mungu akulinde kila silaha itakayoinuka ju yako haitafanikiwa
MHESHIMIWA mkuu wa mkoa
huko pembeni kuna Madudu mengi sana
wananchi tunateseka sana
Pole sana
Ndio ni mungu amekutuma mkuu wa mkoa makondo ndye yeyeye akulinde nakukufinikab
makonda nmekukubali laaana.....ukikaa miaka10 arusha tutakua km ulayaaaa
Hahaaaaaa hongeren Wana arusha migogoro itaisha
mmeyakanyagaaaaaaa big up mkuu wa mkoa
DADA ZUUUUU 😮😊😊 HAPO IKULU UPOOO LIVE 😊 UNAYAONA MAMBO YA UTEUZI WAKO UKISHAURIANA NA MAMA YETU MKUU WA NCHI?????? Hapa MMEPIGA KWENYE MSHONO HONGERAAA SANAAAAA DADA ZUUU KATIBU MKUU IKULU❤
Mungu akutuze meler
Mku hongera
Mungu mwemw wakati wote
Nabora walikupeleka.arusha kulikua na.matukio sana.arusha
Hii nimeipenda
Bonge Moja la KIONGOZI
Tanzania bila ya watu Kama Makonda ni dhuruma tupu. Watu hawana haya kudhurumu wengine bila AIBU
Safi san mkuu
Haya mambo yapo nchi nzima sema viongozi wengi ni corrupt na waoga hawa watu wanao itwa watendaji ni hatari ni majambazi pamoja na wenyeviti wao wa vijiji
Mh Makonda hili ni tatizo baada ya kusikiliza changamoto zote kaa na watendaj na watumishi katika ngazi zote piga brush kwa maana kufuata muhtasar wa utendaji kazi kuanzia upokeaji wa fedha za miradi and then fanya ukaguzi na hii ofanyike katika halmashaul zote ukipendekeza kwa maana wananchi wengi wanaumia sana na hawajui taratibu sheria na miongozo hivyo wasomi kutumia fursa kuwapiga wananchi
Makonda kazi ipo nibora unge tumika kama mtumishi wakazi ya mungu mbona mungu alikuchagua mda kaka tukatae tukubali serikali ya jamuuri nawatumishi wake uto waweza kwani nitamaduni ya nchi kufaki watakushangaa nauto weza kuzibiti japo niaki na kweli
kaka yangu Piga kazi
Mh mkuu wa mkoa Kuna kijiji Cha sekei Kuna uchauchafu mwingi mno kwa viongozi kuweka Saini mara mbilimbili
Kunajitu linacheka kwanyuma yajamaa lingefukuswa bhana
Aiseeeee
Akuna Kama makonda
Majitu yanyakati hizi wezi sana hawana hata uogaa na vitu vya serekali
Mambo ni moto Arusha kwa Makonda.
Magufuli is alive !! Hakika Mh. Magufuli bado yupo hai !! Huyo ni Mh. Makonda lakini ndani yake yupo Magufuli kabisa !!
Mama samia makonda akimaliza Arusha tuletee lindi huku
utawaua wamwera
Serikali ilipe wenyekiti ile uizi upunguwe maana hawalipwi lakini wana gombania nusu kufa kwani kama siyo mateso kwa wananchi
hakika wewe ni mkuu wa mkoa kweli na raisi wa Mkoa wa ARUSHA
Jamani nyie dhulma mbayaaa hamnahata khofu ya mungu wala huruma hamna
Mpaka wasemee
Jembe letu la kaz kuliko raisi
Piga kazi
Jizi hilo beba likapate haki yake kupapapake
Huyu mtendaji ni mwizi mkubwa anafaa afungwe miaka 30
Hata wanunuzi hamna Akili wewe unatoa hela bila kuwachunguza siungechunguza kwaza
Huyu ndiye raisi wa tz 2025
Mzee wa spana kaza nati
Shida samia makonda chapa kanzi
Mh.makonda wewe ni magufuri wa Tanzania tunazidi kukuombea uje uwe rais wa nchi.
Wapige spana kabisa mueshimiwa
Alisikia unakuja ndomana akataka kukulipa pesa nusu
KULA KICHWA MKUU WA MKOA HAWA NDIYO WEZI NA WANAOSABABISHA MIGOGORO
Makonda upo injuries
Matapeli ni wengi hii nchi sio Arusha tu
Namkumbuka alivyo kuwa mkuu wa .koa wa daresa Salam wewe walio terekeza watoto wailiipata😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ RC makonda
Mtaanyooka Arusha mpaka mseme
Niponipo
Rais wa WADUDU umeiona hiyo barabara waliokupitisha utazani njia ya kuelekea shambani, huku ndo tunapokaa wananchi wako hata pakitokea mlipuko wa magonjwa kufika mjini ni masaa matatu tusaidie mkuu wetu barabara mbovu
Wapige supana tu mshua hata mimi nimekuluhusu wagonge subana wajinga kabisa
Maskini inauma alionewa na Watendaji wa Serikali sorry
Mbona shamba hammpi mpaka mnajengea pesa yake ofisi wezi nyie
Hongera sana makonda
Hongera Sana makonda