Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.
Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi
Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa
Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?
Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa? Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe
Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.
why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?
Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.
Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.
Nakumbuka nilishawahi soma kitabu * The mine boy* Themes za kitabu hikoo ninkwamba mpambanaji huwa hakimbii tatizo huwa anarikabili! Sasa msigwa ww %100 ni njaaa umefikir kuwa nikitoka mapema huku 2025 ntapewa uongoz huko! na maisha yaende! Sasa na cc hawatakupa uongoz! Utajuta sanaa! 1- watu umeshapoteza iman yao kwako 2- Wadhiwa wako kama mchungaji umekuwa 000 Ila njaaa nyooooko kwakweli
Dalili za wanafiki ziko kwa wanasiasa. Tulisikia muda mrefu kuwa msigwa anakwenda CCM. Basi kuwani tu wanafik kwa vile mumeshapigwa mihuri ya unafik ktk mioyo yenu.
Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.
Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia
Looo msigwa siwewe ulisema mama samia kauza bandari mama samia kauza uwanja wa kia mama samia kauza mbuga za wanyama mama samia kauza ifadhi za misitu jamani sasa tuwaaminije na wenzako kwenye helicopter c mnatudanganya sasa
Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.
Tumuogope Mungu ila mimi natambua kuna haja kubwa sana kuwachunguza watu wa design ya msigwa ok but kuna haja mungu awaongoze vyema wanasiasa watuvushe
Leo kwa akili zako timamu unatuaminisha kwamba ccm ni chama kizuri, huna tofauti na maiti!
Alie kwambia CCM chama kibaya nani?
Pole sana Mchungaji. Hujatambua mpaka leo Ole wa kuwategemea wanadamu hasa wana siasa? Nadhani huko unakoenda ni shimoni rudi tu madhabahuni umtumikie Mungu wako.
Nadhani chadema imeshaingiliwa ili kuvurugwa. Ungetulia tuu chadema na kuwakosoa openly. Ila kwenda ccm ni sawa na kuruka mwiba mmoja mbaya na kukanyaga mbigili mbaya nyingi
Angalia macho yake kama mchawi!
Hufai hata kuitwa mchungaji, wewe ni mwizi na mnyang'anyi tu! Huna lolote!
Msigwa,,msigwa, msigwa funga kinywa,,utakuja kujutia kauli zako
Ukiingia CCM muda huo huo unafanana nao kila kitu.
Amekula matapishi yake huyo
Njaa nenda ipo siku utakuwa moto nenda zakayo
Ume fail mchungaji huna msimamo
Nafikiri mnaendelea tu kufungua macho Leo ccm kinauchaguzi mzuri duu hatari Sana.Mchungaji pole Sana kwa mawazo finyu.
Akili mkubwa imekubali kuongozwa na akili ndogo umekulupuka mng'ang'azi wa madaraka kweli huna uvumilivu akaanguka sikuelewi kabisa mimi
Maneno yake haya sijui kama anakumbuka,akili ndogo kuongoza akili kubwa,ametukosea sana lkn amechafuka kupita kawaida aache siasa akahubiri .Lkn pia atahubiri nn na usaliti ungali ukimfuata?Ovyo sana Msigwa
Huyu mchungaji uchwara kumbe ndie aliekwenda kujifanya anamsapoti lisu kumbe ndie alikua anampelekea wahuni
USAJILI UMEANZA KUELEKEA 2025 ...DIRISHA LIMEFUNGULIWA Well done. .
Mimi nauliza swali, Endapo kama wote wakihamia ccm kama mnavyotaka, Je, kutakuwa na umuhimu gani wa siasa!
Hakutakuwa na maana yakudanganya Dunia kama Tanzania kuna Demokrasia wakati hakuna. Huyu toka aingilie sakata la Ngorongoro nilijua hana maana kabisa. CCM wanatenda haki gani?
@@leokamil6284msisahau pia kuhama chama ni sehemu ya tafsiri ya democrasia na ni justification ya individual freedom katika kufurahia haki yake.
Hafai ata kuchunga mbuzi
Unaanza kuropoka sasa, nyamaza tu,
Umedharirika we do msigwa kweli au copy
Karibu Peter kwenye Chama chenye maono Kwa maslah ya umma
Hoja ulizosema ungezijenga hata ukiwa chadema. Twambie why umetoka chadema usilete maneno. Twambie ukweli why umetoka chadema?
Kasema chama kimegeuka SACCOS ya Mbowe
Hivi kwann wabunge wa Chadema wengi ni njaa kali sn? Umelipwa mshahara miaka 10 kweli umeshindwa kuwa na miradi ya maana hadi mnakuja kuwa omba omba kwa mliowatukana kila kukicha? Mbn kabla ya Sugu hajakushinda ulikuwa hujahama na kuyasema hayo unayoyasema sasa?
Akiri ndogo uliyokuwa unaisema kila ck ndo sasa nimegundua kuwa ulikuwa unajitukana wewe mwenyewe
hahahahhaha Mama Samia kiboko hahahahha she is so genius,
Kumbe Huwa ni kabaya hiv
kuna wakati ulitoa ahadi kama ukihamia ccm gari lako nyumba zako sichomoe moto,,,vp utachoma mwenyewe au?
Kwa Iringa Mjini Msigwa ni nguli wa siasa. Ataiathiri CHADEMA pakubwa kuelekea uchaguzi mkuu.
Usimtaje hata Mungu hapo kaka ,umetukosea sana wanachi
Umekula matapishi Yako mwenyewe broo
CCM mchukue tahadhari kubwa na huyu mtu ,Niko paleee
History is very harsh remember that Msigwa
Wewe umegeuka chawa
Wewe ni mpumbavu...nenda kawekwe
Njaa kali huyo Mzee
Hahahahahaha pole hutudanganyi nawe uwe unaitikia ndiooooo mikatapa yakutuumiza watanzania
Weka maneno ya Amina chadema imekuheshimisha ipo siku utaikumbuka
Huyu jamaa wiki iliyopita alitukana chama na serikari yake akiwa na kwenye mikutano singida Leo anakaribishwa na Rais. Hapa sio msigwa tu hata CCM inajivunia heshima.
makala ccm kuna haki?vp mpina na sukuri,,kama kuna haki,, mpina mbona asipate haki na ukweli?
why wanasiasa hamuaniki? mioyo yenu ina Siri gani na siasa? eeeeeeeewewwwwwwiiiii mchungaji peter msigwa.. Joshua nasari..david silinde...peter lijua likali...mbunge wa shinyanga mjini.. ( katambi} mmmmhhhh naona kama naota...je tuamini kama mnaruaminosha uongo unao fanana na ukweli ?
NJAA MBAYA SANA. LIJUA KALI HIVI YUPO WAPI. 🤣🤣🤣🤣🤣YUDA WAPO WENGI HAKI.
MKUU WA WILAYA
Mchungaji msigwa umechelewa sanaaa kuchukua maamuzi. Ungewahi zaidi
Deadliest politics! Mwalimu Nyerere aliwahi kusema wapo wanasiasa Malaya!
kimekulamba but Usaliti ni mbaya sanaaa - Ni heri ungekaa kimya .
Juzi juzi tu alikuwa anawatuka anawaita akili ndogo jamaniii hawa wanasiasa ni kuwaogopa kama ukoma
Unamshuru mungu labda kea unafiki.kila siku mama angalia kua wanaiba na acha waibe kwani watazikwa na vyo!!?amakweli tumbo likiuma akili Ina pumbaa.
Umekula hela, funga domo lako. Sisi watu wazima zaidi yako, shika adabu yako
njaa MBAYA SANAA
Uko sawa kabisa jamaa
Msigwa bora ungesema unaacha siasa ila sio kwenda kwa watu uliowaponda kwa miaka yote yani hauwezi kueleweka
Taperi uyuuu umeyakanyaga
Hhahahahah siasa ni laana pesa ni kubwa kweli 😂😂
Safi sana jembe umefanya maamuzi mazuri mnoo.karibu Sanaa tuijenge nchi yetu.
Vizuri sana wanao kutukana kimewauma
Mm siasa bas
Huyu sio mchungaji ni tapeli sawa Na chui aliyejika ngozi ya kondoo
Msigwa pole kwa madhila yote lkn hongera kwa kujiunga na ccm. Bila shaka umepiga hesabu ya kuangalia maslahi yako ya mbeleni. Kati ya demokrasia na fedha ukiamua kuchagua fedha pia niuchaguzi halali. Ila mwakani ccm wakikutosa kura za maoni usije ukachukia mana kule iringa mini tayari wanaccm wanaye mtu wao. Lakini usiogope zipo nafasi za viti maalumu.
Sasa kweli kama atakaa kwenye chama kwa maana ys kuwa kiongozi tuu basi wanachama watakuwa wachache sana. Huko ulikoenda ndiko kwenye haki kweli. Kuondoka kwa namna hiyo kumeonyesha immaturity.
Hiii nchi niyetu sote kuhama chama walasiyo tatizo tujenge nchi yetu kwaamani
Msigwa ameenda kuunga juhudi, kama wenzake walivyokwenda kipindi cha Magu
Mushes. Felix. Gari. Musariti
Umenikwaza bhn msingwa
Ogopa mtu mwenye ndimi mbili, Nyoka.
Nakumbuka nilishawahi soma kitabu
* The mine boy*
Themes za kitabu hikoo
ninkwamba mpambanaji huwa hakimbii tatizo huwa anarikabili!
Sasa msigwa ww %100
ni njaaa
umefikir kuwa nikitoka mapema huku 2025 ntapewa uongoz huko! na maisha yaende!
Sasa na cc hawatakupa uongoz!
Utajuta sanaa!
1- watu umeshapoteza iman yao kwako
2- Wadhiwa wako kama mchungaji umekuwa 000
Ila njaaa nyooooko kwakweli
Hakika misgwa umejdhalilisha sana sana sana
Uchungaji wake huwa siuelewi,,mchungaji huwa mkweli na asiye yumbayumba
hivi uenyekiti kanda ya nyasa una maslahi gani mpaka msigwa uliposhindwa uchaguzi huo uchanganyikiwe kiasi hiki
Msigwa akili zako zipo kisogoni huaminiki ni muongo kupitiliza
Siasa ya maslahi tumbo ni hatari sana,
Msigwa Hana tofauti na malaya
Kila mtu anajuwa chadema ni shamba la mwamba,
Njaa imezidi
Dalili za wanafiki ziko kwa wanasiasa. Tulisikia muda mrefu kuwa msigwa anakwenda CCM. Basi kuwani tu wanafik kwa vile mumeshapigwa mihuri ya unafik ktk mioyo yenu.
Chadema muwapime wagombea niazao kwanza kabla hajachagua njaakali kama msigwa
Tanzania tunahitaji chama kipya cha upinzani kitakachoendeshwa na viongozi wasio wabinafsi Ili kuiondoa CCM madarakani. Vyama tulivyo navyo kamwe haviwezi kuiondoa CCM. Wengi tunakimbilia kutukana wanaohamia CCM, kama hatutakubali kujichunguza na kujitafakari tuendelee kuwashutumu wanaohama kuwa ni wasaliti huo ni ujinga.
Aya bhana mchungaji ,
Kumbe yani huyu afai kuitwa mchungaji msaliti na mwenye tamaa ya fedha umehongwa sana
Huna tofaut na maiti
Hiyo ndio siasa ilivyo msimlaumu msigwa huo ni uamuzi tuheshimu na ndio demokrasia .pia nawashangaa wanaomlaumu mkuu wa mkoa chalamila kugeuka kimtazamo Kwa uongozi uliopita na kwenda na siasa za usasa na kwenda sambamba na mama samia
Kweli kwa mungu hawafiki peponi
kuna...siku mtaelewa..kuwa mpinzani katika taifa hili ni ZITTO ZUBERI KABWE
Huyo ni njaa tu ila chadema na wao ni taabu tu Bora arudi chama Dume ccm
Lissu alisema kunapesa zimemwaga kwenye uchaguzi wa chadema
Ila njaa mbaya jamani😂😂
Wanasaikolojia tumekuelewa zaidi ya aliyoyazungumza,nadhani amefanya maamuzi kwa kukurupuka,hata ukimuangalia ni kama hajiamini na maamuzi yake.
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
Exactly! he was uncomfortable coz has already abused ccm party so anajua maccm wamempokea ilimradi kaja ila hawatamwamini kabsa!
CCM kama ulikihama ukirudi hawakuamini tena hivyo atafute shughuli ya kufanya akumbuke wenzie waliotupwa jalalani
YAANI MSIGWA NI JIZI,YAANI TUNA WASHUNGAJI FEKI, JMN MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI.
Haya bhana kapige makofi moto ukieasubiri
Hawezi kuvumiliya njaa
Hana lolote kafeli kisiasa muumba wa haki amlaani kwa tamaa zake
Alaaniwe huyo njaa ndo himempeleka huko
Looo msigwa siwewe ulisema mama samia kauza bandari mama samia kauza uwanja wa kia mama samia kauza mbuga za wanyama mama samia kauza ifadhi za misitu jamani sasa tuwaaminije na wenzako kwenye helicopter c mnatudanganya sasa
Mch ngani wasio nakweli tunaka sukari mwafaka wake
Yuda
MUOGOPENI MUNGU ALIE HAI, MSIGWA SHETANI WEWE
Shida ya chadema hawataki kuwambiwa ukweli
Chama cha 3 hicho ktk kuhamia ccm wakiwa hawajampa uongozi anahama kwa akili za kawaida ccm huwachukuwa viongozi wa upinzan sikama wanamapenzi nao na huwa ccm hawawamin mwisho wanapotea.
Pesa pesa loo mmh
Tumuogope Mungu ila mimi natambua kuna haja kubwa sana kuwachunguza watu wa design ya msigwa ok but kuna haja mungu awaongoze vyema wanasiasa watuvushe
Dah qua mamake aisee
Mashetani yote uchungaji wa kichawi na kiganga kuanzia leo natoka kanisani kwako mnafiki mkubwa
Uyu mtu nashindwa hata awe kundi gan la kiumbe dunian
Muhuni kama wahuni wengine
Hatukwelewi msigwa unauchu wa madaraka