Muhtasari: Isaya 1-39

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ก.พ. 2022
  • Tazama video yetu ya muhtasari wa kitabu cha Isaya 1-39, inayoelezea muundo wa fasihi ya kitabu hicho na mtiririko wake wa mawazo. Isaya anatangaza kwamba hukumu ya Mungu itaitakasa Israeli na kuandaa watu wake kwa ujio wa mfalme wa kimasihi na ujio wa Yerusalemu mpya.
    #BibleProject #Biblia #Isaya
    Wahusika Katika Utayarishaji wa Video:
    Timu Ya Utayarishaji Wa Toleo La Kiswahili
    Tai Plus
    Dar es Salaam, Tanzania
    Toleo la Asili la Kiingereza na Utayarishaji Wake
    BibleProject Portland, Oregon, USA

ความคิดเห็น •