TAG MMEMDHULUMU VYOMBO VYA MUSIC MBARIKIWA? KWANI ALIWAPA NINYI VYOMBO VYENYEWE?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 เม.ย. 2024

ความคิดเห็น • 305

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema หลายเดือนก่อน +2

    Mi nimefungua hapa nikajua kuna ujumbe wa neno la mungu kumbe vijembe tu

  • @JovinBuberwa
    @JovinBuberwa 14 วันที่ผ่านมา +1

    Si uende mahakamani,, na kweli ujui kuhubiri baba.

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 16 วันที่ผ่านมา

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @EmanuelRazaro
    @EmanuelRazaro 8 วันที่ผ่านมา

    Pole sana mchungaji

  • @Sangaligospel
    @Sangaligospel หลายเดือนก่อน +1

    Mtumishi wa mungu mbarikiwa ukisoma ufunuo 22:9-22 nijibu lao wewe fanya kazi ya Mungu wao mungu atawalipa sawa sawa na neno ktk ufunuo

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna kitu kizuri kama kuomba Mungu akupe hekima na maarifa ,ili uweze kuamua sahihi na kujua ni wakati upi sahihi unapaswa kusema na wakati upi unapaswa kunyamaza,kwani tukitumia media inakusaidia Nini mchungaji? Ungelikuwa na busara ungelifata utaratibu kuliko kuji expose kwenye social media Munalitukanisha kanisa acheni lopolopo 😢

  • @francismwalyambi1363
    @francismwalyambi1363 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu AKUBARIKI sana mtumishi kunawakati nakuelewa vzr sana.

  • @andrewkalubi3524
    @andrewkalubi3524 หลายเดือนก่อน +3

    Sijakuelewa kwani njia unayoitumia haiko sawa kama mtu unayemjua Mungu hukupaswa kufanya ivo.

  • @user-cw3vu8mu3k
    @user-cw3vu8mu3k หลายเดือนก่อน +4

    Lakin hapo mbarikiwa unakosea ulishatoa sadaka na sadaka ukitoa huhitaji tena kujua kinaenda kufanya nn hapo sikuungi mkono

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +2

      Mimi nami sikuungi mkono kwa ulichoandika.Hatutoi sadaka itakayo geuka mkuki kwetu au itakayotuumiza bali tunatoa sadaka itakayokuwa faida kwetu na kwa watu wengine

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 หลายเดือนก่อน +7

    Itakua TAG ndo wana kusababishia matatizo, pia usipate usajili wa kanisa lako, piga moyo konde utashinda💪

    • @barakamwale7190
      @barakamwale7190 หลายเดือนก่อน

      T.A.G haihusiki hata kidogo

  • @yusuphmwashabwa1465
    @yusuphmwashabwa1465 หลายเดือนก่อน +1

    Mnayavuta majaribu kwa kamba za ubatili. Kwa sababu ya kutafuta umaarufu unayapitia hayo. Mungu ni Mungu wa hekima na adabu.

  • @natressvayinga518
    @natressvayinga518 หลายเดือนก่อน +2

    Nimesikiliza, nimesikitika sana
    Hata mateso ya mwenye dhambi Kwa Mkristo inampa mzigo wa maombi na maombolezo ya Toba kwaajili yake, kuomba rehema ili aokolewe, inakuwaje Hilo Kwa mwenye haki??

  • @barakamwale7190
    @barakamwale7190 หลายเดือนก่อน +3

    Mch Mbarikiwa nitaanza kufuatilia nyimbo zako za tenzi tu, maana saizi unaenda siko kabisa

  • @danielsinda
    @danielsinda หลายเดือนก่อน +4

    Ukweli wanajiona wao ndo wana mungu tu

  • @joshuandone468
    @joshuandone468 หลายเดือนก่อน +1

    Wafilipi 2:3-5
    Msitende neno lo lote kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko nafsi yake. Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine. Iweni na nia iyo hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu;

  • @nicholausrwezaura1971
    @nicholausrwezaura1971 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Mtumishi

  • @JovinBuberwa
    @JovinBuberwa 14 วันที่ผ่านมา

    Unastahili yaan uchapwe viboko kama 100 mbalikiwa.. una saikolojiko problems,ukichapwa zitarudi
    .

  • @user-zd6tt2dq3k
    @user-zd6tt2dq3k หลายเดือนก่อน +1

    Mbarikiwa ubarikiwe sana na mimi nimetapeliwa na mchungaji aliniahidi kunisapoti kujenga jengo la kuabudia lakini tujenge kwake kwanza nikifanya hivyo nilipo maliza tu kujenga na kupaua akavunja mahusiano tena kwa matusi mengi inauma sana japo sisi sote na wachungaji lakini tujichunguze jamani

  • @mcsedekiatz702
    @mcsedekiatz702 วันที่ผ่านมา

    Mwakipesile umepungukiwa na hekima

  • @user-bf9en7xc5z
    @user-bf9en7xc5z หลายเดือนก่อน +1

    Mzee Mungu Hana uhasama mnachokifanya iko siku mtajua tu

  • @mtumishiwamungunelson1684
    @mtumishiwamungunelson1684 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba namba ya Mchungaji mbarikiwa mwakipesile tafadhari ya whtsp

  • @brightenmzulu8675
    @brightenmzulu8675 หลายเดือนก่อน

    Unaweza ukawa sawa Ila angalia sana maneni yako na yawe machache

  • @geraldngumbi8415
    @geraldngumbi8415 18 วันที่ผ่านมา

    maelezo(ujumbe) uko sawa mahali upotolea maelezo siyo sahihi

  • @GideonJackson-bq2lg
    @GideonJackson-bq2lg หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa...alianza vzr sana...lkn kadri anavyoendelea mmmmh;

  • @user-ur2nc3ll9h
    @user-ur2nc3ll9h หลายเดือนก่อน

    Mmmmm sawa bwana naomba wote trudi msalabani

  • @mtumishiwamungunelson1684
    @mtumishiwamungunelson1684 หลายเดือนก่อน +1

    Naviomba ivyo vyombo Baba yangu nihuburie injili tafadhari

  • @romanamassawe814
    @romanamassawe814 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana mwakipesile, ulikosea Sana pa kupeleka hivyo vyombo, sío hivyo tu, angalieni Sana mnakopeleka sadaka , hivi unapelekaje vyombo vya injili gerezani

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa หลายเดือนก่อน

      Wafungwa wanaofanya injili walikuomba awasaidie vyombo

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +1

      Ndio hata gerezani Injili inapaswa kuhubiriwa kwa sauti kubwa ya kutumia vyombo kutokana na wingi wa watu na Mazingira ya huko Gerezani pia.
      Kwahiyo kufanya hivyo alikuwa yuko sahii kabisa.

  • @Yoram_Changala
    @Yoram_Changala หลายเดือนก่อน +4

    TAG kama mkisipo muwajibisha huyo Mchungaji basi ni wazi mlimtuma

  • @user-fj4kj8xc5x
    @user-fj4kj8xc5x หลายเดือนก่อน +2

    Achana nao walikufukuza kwenye redio yao maana hawataki ukweli orijino

  • @GladnessMwakila
    @GladnessMwakila หลายเดือนก่อน +1

    Utoaji wa sadaka haupo hivo ... T.A.G ni dhehebu tena la kipendekoste sasa sjui shida ipo wapi kusema wasitumie kwamba ni wanapiga miziki ya dunia?

  • @staphordsanga2436
    @staphordsanga2436 หลายเดือนก่อน +1

    Pastor, acha kulalamika sana kwenye media, ukizani ndiyo njia sahihi ya kuhukumu kanisa la TAG, nilivyo ona kichwa cha ujumbe nilizani ni vyombo vya gharama kubwa sana, umezurumiwa, umepokonywa, na kanisa la TAG, Kumbe ulitoa sadaka kwa wafungwa, getezani,Si dhani kama ni busara kulalamika kwenye media na kama unakerwa kuona mchungaji wa TAG anavitumia, Nenda kavichue maana hakuna atakaye kuzuia,sio kulalamika wakati vyombo vipo na unaumia kuona mchungaji wa TAG anavitumia, harafu suala la Askofu mkuu na mchungaji Magembe wana husikaje kwenye vyombo vyako
    USHAURI, nenda kavichukue, wakikukatalia nenda mahakani
    Hapa kwenye media tunataka kusikia unatufundisha neno la MUNGU ili tupone tumjue Mungu

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Yule mchungaji ametumwa /anafanya huduma mle kwa udhamini wa uongozi wa TAG. Hivyo kusema kwenye media ni kuwapa taarifa viongozi wake wajue anachofanya mtu wao. Na kwa swala la kuvichukua, kama una njia ya kuwaambia askari magereza wanirudishie wambie warudishe. Kwani ndio wanaompa jeuri huyo mTAG kuvitumia vyombo hivyo.

  • @godmankulawa2500
    @godmankulawa2500 23 วันที่ผ่านมา

    Huna akili

  • @zakayosaston551
    @zakayosaston551 6 วันที่ผ่านมา

    Nimeishia kusikitika yaan vyombo vya milion mbili kweli ndo vizue mgogoro?? Hiyo hela kama ungefuata utaratibu unaotakiwa mshirika mmoja tu asingeshindwa kutoa hata mili3 ya vyombo vyako

  • @GladnessMwakila
    @GladnessMwakila หลายเดือนก่อน +1

    Ukitoa sadaka ya maiki kanisani ndo kibal kwamba Roho asikuonye au? Unaangalia kama n la kwako unajirekebisha na kama unaona wewe hujafanya si basi ...
    Mungu akupe hekima mtumishi

  • @zainabusona5901
    @zainabusona5901 หลายเดือนก่อน +1

    Mwee mungu afunge kuongea kwako heee

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 หลายเดือนก่อน +1

    Chungeni Sana washirika wa M'barikiwa,Kama kunatuvitu amewasaidia cku mtakapofanya maamuzi ya kuhama Mtanyang'anywa,ubongo huu ni shida,bila kugombana huna maisha

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 หลายเดือนก่อน +1

      Mbona hajawahi kumnyang'anya yeyote alie msaidia?na hapa hana maana ya kunyang'anya hapa kuna funzo anataka kulitowa

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +2

      Elewa nimesema wazi KUWA SIKUWAPA TAG. WAMEPORA TU. WAUMINI WANGAPI AMEWASAIDIA NA WAMEHAMA? AMENYANG'ANYA NINI? AU UNADHANI KAANZA JANA KANISA.

    • @ronaldsikaponda3553
      @ronaldsikaponda3553 หลายเดือนก่อน

      Atakuwa anachuki na kanisa la T.A.G angekuta wanaovitumia vyombo alivyotoa Gerezani ni watu wengine au ni imani nyingine asingekuwa na neno.Mungu atusaidie sana kama mtumishi huyu anachuki ya aina hii ni hatari.Yamtokayo mtu yameujaza moyo wake.

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 หลายเดือนก่อน

      @@ronaldsikaponda3553 hachukukii kanisa bali anachukia viongozi wa hilo kanisa wanaoenda kinyume na neno.

    • @stamilinyakunga
      @stamilinyakunga หลายเดือนก่อน

      Duu kwakwel tuko mwishoni kabisa mwa nyakati ambazo ndio Mungu tu atasema

  • @joshuandone468
    @joshuandone468 หลายเดือนก่อน +1

    hapo umejikwaa brother,Huna misingi ya utumishi Ungeenda chuo cha biblia Hili usingelizungumza

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +1

      Hao TAG si wamesoma chuo cha Biblia na Mchungaji wao MAGEMBE anasema WAKO ICU? Unataka nikasome niwe ICU? Nimeamini kweli dunia ngumu. Yaani hamuwashambulii wadhulumaji bali anayelalamikia dhuluma.

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน

      ​@@shuhudazakikosikazichainji928umenena nimekuelewa sana baba

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema หลายเดือนก่อน +1

    Moses kulola mwenyewe ilitokea kama hii ila alitulia kimya akachapa kazi ya Mungu na Mungu alitembea nae mpaka mwisho sababu alijua kua shetani alitaka kusambaratisha wakristo

    • @peterpaul-mq5qn
      @peterpaul-mq5qn หลายเดือนก่อน

      Huyu anaelekea kwenye anguko

  • @indalesiohenery6124
    @indalesiohenery6124 หลายเดือนก่อน +1

    Baba Acha tu sikuzote akutendeae mabaya we tenda mema waschie tu

  • @RizikiNjovu-uy3be
    @RizikiNjovu-uy3be หลายเดือนก่อน +2

    Mbalikiwa we niwapekee Sanaa mung akutie ngunv maana weng wanaenda na kinyume na bibilia

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน

      🙏🙏🙏

    • @zakayosaston551
      @zakayosaston551 6 วันที่ผ่านมา

      Umekosoa hujaonya, Halafu nimeshindwa kuelewa hivyo vyombo mda huu wakati unaongea vipo gerezani au mikononi kwa watag??? Shalom

    • @zakayosaston551
      @zakayosaston551 6 วันที่ผ่านมา

      Vyombo vipo kwa wa tag au vilitumiwa na hao w tag??

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 หลายเดือนก่อน +1

    Mwana wa Mungu, sifa yake ni Hekima. Kipesile jitafakari.

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe umjitafakari?

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +1

      Tafakari kwani wewe ushamaliza?.
      Na
      Kama umemaliza na sisi tumeanzia Pale ulipo malizia na kusonga Mbele.............................

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema หลายเดือนก่อน

    Mmmh inamana Mim nikitoa sadaka kanisani nikanunua vyombo vya kanisa je? Ninapoondoka nidai hiyo sadaka?

  • @OsiahRaphael
    @OsiahRaphael หลายเดือนก่อน +1

    TAG warudishe vyombo yupo sahihi

  • @eliamwambela4215
    @eliamwambela4215 หลายเดือนก่อน

    OFISI HAZIJAFUTWA JAMANI. MPENDWA NENDA OFISINI.

  • @elicanaambweni8666
    @elicanaambweni8666 หลายเดือนก่อน +1

    Kazi IPO jamaniMungu atusaidie

  • @user-vo6fu3pp1p
    @user-vo6fu3pp1p หลายเดือนก่อน +2

    Waafrika ni nani aliyeturoga? Kuongea ukweli na uwazi wa mambo yalivyo unakuwa umevurugwa? Aiseeeee hii dunia ndo maana wanyonge wengi wanakufa vihoro kwani wanapoumizwa wanashindwa kuongea.

  • @eliudymwanandenje7229
    @eliudymwanandenje7229 หลายเดือนก่อน

    Mmh!

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc หลายเดือนก่อน

    Mtumishi Huyu anahaki sana,Makanisa yetu yamezidi dhuruma

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน +11

    Hapa kwenye social media ndio mahakamani au ofisi za TAG? Unajiharibia sana. Jifunze kufuata utaratibu wa kiroho pale unapokuwa umekosewa au kukosea.

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +2

      Kwa hiyo wewe hapa ulipoandika ndio ofisini kwangu? Kwa hiyo ndiyo umefuata utaratibu wa kiroho? Biblia imeandika maovu mengi ya watu yaliyokemewa hadharani na yanasomwa hadharani miaka na mikaka. Ila ninyi panyarodi ndio mna haki ya kutukana na kudhulumu hadharani ila anayedhulumiwa hana haki ya kulalamika hadharani. Enyi uzao wa nyoka.

    • @joycegeorge-mf5kn
      @joycegeorge-mf5kn หลายเดือนก่อน

      Kumbe panyarod😂😂

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +2

      Mtu anasemeya atakapo ona ujumbe unafika kwa haraka na kwa uzito.

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 หลายเดือนก่อน

      ​@@shuhudazakikosikazichainji928Tatizo kuna Muda huwa mnajiona kama mna ulokole saana, na mna kiburi cha kuto sikia ushauri kuna mambo hata ukija kwa media kupayuka hapa haisaidii, na unapo sema TAG una zungumzia kwa ujumla kwa Tanzania nzima, kumbe kuna mahali fulani hawajui kama kuna hiyo shida, kwani Ina maana Mbarikiwa ukinikosea mimi, ina maana familia yako yote niichukie kuwa imekosea? Kwa nini kosa la mtu mmoja liharibu uzuri wa kitu?

    • @barackawithokiswaga2686
      @barackawithokiswaga2686 หลายเดือนก่อน +2

      ​@shuhudazakikosikazichainji928 Yaani point yako ni ipi? Una simama kwenye media uponye roho za watu, au upo kuelezea mambo yako? Unateswa kwa sababu adabu hamna na una kiburi cha kuto sikia ushauri, unajiona sana kwamba wewe ndio unajua sana, kwani TAG ina shida gani?😂😂😂 Mungu tunae mtumikia atusaidie sana maana mmmh!!!🙌🙌🙌🙌

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 หลายเดือนก่อน +2

    Ila kweli wachristo wa siku za mwisho ni hatar sana. Kwanini mtupiane vijembe kwenye mitandao kama wachungaji mnamfaidisha nani na ambao hawajamwamini yesu wanajifunza nini Kutoka kwenu

    • @amashapatrick211
      @amashapatrick211 หลายเดือนก่อน

      Na wewe kucomment mtandaon unafaidisha nini acha unafiki

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +1

      Wanajifunza ushetani wa waTAG kwa walichomfanyia Mbarikiwa

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +1

      Ila kweli Wakristo wa siku za mwisho ni hatari sana. Maana wasingekuwa na UNAFIKI hata MIKATABA MIBOVU MIBOVU YA DPW YA BANDARI hisingekuwepo.
      Na ndugu zetu huko NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA Kuangaishwa kila kukicha na kunyanganywa ARDHI ZAO katika taifa lao na huko Wakristo wapo wana ona na kuangalia na kushangilia UDHALIMU WA WADHALIMU Katika uovu wao.

    • @user-no2tw5vb8j
      @user-no2tw5vb8j หลายเดือนก่อน

      Nami nashangaa 😢

  • @mariakalama3014
    @mariakalama3014 หลายเดือนก่อน

    Huyo siyo MTAG huyo hana roho mtakatifu naomba mwachie na mungu atakupa vyombo vingine

  • @MhinaLwassa
    @MhinaLwassa หลายเดือนก่อน

    We ndo maana unafungwa, ni mhimu ujue unaongea nini, kwa nani na wapi!! Huenda ni kweli unachosema, ila sisi hatuhitaji kujua unachodai.
    Kuna mioyo ya watu unaiua kwa kuweka wazi udhaifu wenu.
    Ndo maana wengi hawaokoki kwa Sabab mnaweka wazi madhaifu mliyonayo.
    Unaharibu unayoyajenga. Mbona mshitakiane wazi! Ni hatua Gani umetumia kudai vitu vyako kabla ya kuja public?
    Kanisa ni kama familia, ukishaona baba wa familia anatoa nje madhaifu ya familia yake, uwe na uhakika familia inakufa.
    Mbarikiwa nakuombea, uwe na hekima ya kujua unaongea nini na wapi kabla ya kuweka mambo wazi.
    Kwa mfano, kwa kusema haya wazi, nia Yako ni Nini? Unataka ulipwe? Kwani mitandaoni ni mahakamani?
    Nia Yako bila shaka ni kudhaliliaha kanisa! Ili iweje! Furaha Yako ni pia! Aliyeanguka akipotea au akisimama Tena? Mungu akusaidie.
    Ni mhimu ujue kutofautisha mateso ya YESU wanafumzi wake na wewe.
    Kila kitu kina maana yake na sababu nyuma yake. Mateso ya YESU yalikuwa na ulazima wake, ya wanafumzi nayo yalikuwa na sababu yake. Ya kwako nayo Yana sababu yake. Usitwambie sisi, sisi hatutaki kujua ugomvi wenu kwa sababu ugomvi wenu unaharibu mioyo ya wengi.

  • @saimonseleka8792
    @saimonseleka8792 หลายเดือนก่อน

    Daah!😢

  • @EvelynSamuel-ko9op
    @EvelynSamuel-ko9op หลายเดือนก่อน

    Lakini kama alitoa Kwa wafungwa Kwa Nini huyo mtumishi avitumie Kwa kumushambulia mbarikiwa simama na bwana atakushindia Kila jaribu unalo lipitia jifunze kunyamaza mungu atajibu Kwa wakati wake una vita vikari sana

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r หลายเดือนก่อน

    wakiristo kwasasa injiri imepotea yamebaki majungu mipasho tamaa

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 หลายเดือนก่อน +5

    Kwani ukinyamaza unapungua Nini?

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +1

      Biblia isingeandika walivyomtesa na kumuua Yesu kusingekuwa na upungufu? Haya yanawekwa wazi ili vizazi vijavyo waje wajue kuwa kuteswa na kuuawa kwa mtu huyu kuipitia mchakato moja, mbili, tatu.

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +1

      Hata biblia isingeandikwa kama walioandikwa humo wangenyamaza na kukaa kimya, waonapo dhuruma na uonevu. Kukaa kimya uonapo uovu, dhuruma na uonevu ni ushetani mkubwa. ISAYA 58:1

  • @Commonwealth782
    @Commonwealth782 หลายเดือนก่อน +3

    WAFILIPI 2:14 - 16

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema หลายเดือนก่อน

    Yani nyie watumishi wa siku hizi mnampa shetani nafasi kubwa sana aise badala ya kumhubiri yesu mmeanza kutumiana vijembe kuna injili tena hapo?

  • @fideliskipilipili8305
    @fideliskipilipili8305 หลายเดือนก่อน

    Nenda ofisi kwao ukaongee nao,,, neno la Mungu (YESU) hatetewi brother, nenda hospital za ugonjwa wa akili na genge lako mnaharibu watu wengi

  • @AyubuHeshima
    @AyubuHeshima หลายเดือนก่อน +1

    Nasikitika nimepoteza mb zangu kwakusikia upuzi

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Tapeli kumwambia wewe ni tapeli ni upuuzi. Kama vile mlevi, mwizi, malaya, fisadi nk ukimwita kwa Sifa ya tabia yake LAZIMA AONE NI UPUUZI.

  • @ElishaGabriel-ul3cu
    @ElishaGabriel-ul3cu หลายเดือนก่อน

    Mmmmh ila kwa kweli😢😢😢😢

  • @venancemwakilembe3735
    @venancemwakilembe3735 หลายเดือนก่อน +2

    mtumishi kosa la mtu mmoja linaweza kuwa kosa la TAG wote.

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +2

      Huyo mchungaji ametumwa na TAG. Hivyo sio kosa la mtu mmoja. Na kama ni la mmoja basi wamchukulie hatua ya wazi kumuwajibisha.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +1

      Mikataba MIBOVU MIBOVU Ya DPW YA BANDARI, kupitia Dhalimu mmoja Shetani
      Je! Wanaumia wangapi?.

  • @VioletMkonda
    @VioletMkonda หลายเดือนก่อน +4

    Jitahid kunyamaza hata kama unaonewa hiyo ni bibilia

    • @VIJANANAMABINTITATIZONINIBERTH
      @VIJANANAMABINTITATIZONINIBERTH หลายเดือนก่อน +1

      Uwe unanyamaza wewe unapokanyagwa ila anaeumia ni lazima aongee sana.

    • @KsaC711
      @KsaC711 หลายเดือนก่อน

      Isaya 62:6-7

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +1

      Nyamaza wewe. Hajakukuta ndiyo maana unaongea hivyo.
      YESU aliongea mpaka anakufa msalabani ila Mbarikiwa ndo unataka anyamaze?

    • @KsaC711
      @KsaC711 หลายเดือนก่อน

      Yohana 8:31..........42

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +2

      Kila binadamu anaitaji faraja,
      Kwa nini mnapenda kumuumiza mtu huyu kila wakati.
      Tambua na yeye alizaliwa kama wewe nae, pia anaitaji upendo na faraja kutoka kwa ndugu jamaa na marafiki.
      Kwani yeye ana moyo wa chuma?, kila wakati kumtwisha mizigo ambayo nyie hamuezi kujitwisha au kuibeba na kustahimili nayo.
      Maana nyie tu Jambo kidogo Presha imewapanda mara kisukari.

  • @user-tm1vn7fd4f
    @user-tm1vn7fd4f หลายเดือนก่อน +1

    Mimi, ninajushauli unaikanda, injili kwann usiwaone viongozwake, mbonaunatakakujisafisha wakat umechafuka?

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน

      Unamshauri nani wewe?, kama unaona ni vizuri Mbarikiwa kuwaona viongozi, wewe umeshindwaje kumshauri Mbarikiwa kwa kumuona kuliko kuandika kimeseji chako kichafu kisicho na mpangilo mzuri?

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน

      ​@@zawadimwaibako4065sawa kabisa.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน

      Injili kaikanda tangu lini? twambie.

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 หลายเดือนก่อน +2

    Imekuwa TAG ndo ilikuweka ndani??😂😂unapenda vita, wewe baba!,ujui kuhubiri kweli nenda kasome kwanza!

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Hapa tunadai vyombo vya MUSIC. Rudisheni kwanza ndipo muendelee na mateso mliyokusudia.

    • @sharonyasin7521
      @sharonyasin7521 หลายเดือนก่อน

      ​@@shuhudazakikosikazichainji928unatudai vyombo vya shilingi ngapi?

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      @@sharonyasin7521 kwa hiyo umeanza kutukana bila hata kusikiliza kilichomo ndani? Mbona gharama imefafanuliwa. Rudi usikilize kwa utulivu na ndipo utapata na point nyingine nyingi za kutukana. Nakufahamu sana kwamba huwa haurudi nyuma kirahisi ukianza kutukana ni mpaka uone umekuwa wa mwisho kuandika. Ila hii ni ishara mbaya. Sina hakika kwa moyo huu kama waweza kudumu hata kwenye ndoa. Na kama umedumu basi huyo mume kahenyeka kweli. Yaani mwanamke unashangilia mauaji na maonezi!
      Baada ya matusi tena ndipo nitakublock rasmi. Sikufanya hivyo ili niujue moyo wako kwa uhakika.

    • @sharonyasin7521
      @sharonyasin7521 หลายเดือนก่อน +1

      @@shuhudazakikosikazichainji928 yamekuwa hayo?umenishinda tabia

  • @jacksonchaula6010
    @jacksonchaula6010 29 วันที่ผ่านมา

    saizi umeacha kuhubiri watu waokoke umekomaa na kukosoa watu

  • @aivanalexander
    @aivanalexander หลายเดือนก่อน

    Jamani mpola

  • @creopatrajoshua
    @creopatrajoshua หลายเดือนก่อน

    haaaaaaaah ila we baba kusema kweli jaribu kuhubiri injili watu waokoke mana cjawahi ona ukihibiri zaidi ya kusema watu umetoka serikalini ukahamia Kwa wachungaji ukatoka uko ukaenda Kwa Christina saivi upo TAG 😂😂😂 ko hii ndo ofisi ya ilo kanisa aiseeh we Mzee unamakasiriko na watu

  • @user-vt7rr4gh7u
    @user-vt7rr4gh7u หลายเดือนก่อน

    Hatukuelewi watu wa TAG wamehusika wapi na ni wangapi he ulikutanan nao wote wapi nyosha maelezo bwana mbona unazunguka tu kama una bifu yako na mtu mmoja nyooka. Unapaswa kukaa hela kweli

  • @barakamwale7190
    @barakamwale7190 หลายเดือนก่อน

    Sasa siumfuate mhusika kwa ajili ya utaratibu zaidi? Yaani Mch Mbarikiwa mi napendaga sana mahubiri na mazungumzo yako, ila kuna mambo unayafanya utafikiri huna Mungu, unanikatisha tamaa ya kufuatilia mahubiri yako

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc หลายเดือนก่อน

    Magembe ni mtumishi wa Mungu,Anatakiwa awe na huduma yake,watu wa ukweli Wanataka ukweli

  • @SelemaniHamiss
    @SelemaniHamiss หลายเดือนก่อน +2

    Tumia
    Hekima
    Kama
    Wewe
    Wakiroho

  • @user-ew4pb9lx8i
    @user-ew4pb9lx8i หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana unapambana na TAG kwa ajili ya spika na mix nilijua wamekuzuia kuhubiri siumfate kiongozi wetu akupe full sett

    • @jemedalimwakalundwa3520
      @jemedalimwakalundwa3520 หลายเดือนก่อน

      Mungu wa haki husimama na haki Atasimama tu aendae tofauti na haki atangamia

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Akatoe gerezani arudishe zangu.

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน

      Mmeshindwa kutoa full set gerezani lakini mmesubiria alivyotoa MBARIKIWA gerezani mkaanza kuvitumia kumtukania

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +1

      Mfano mdogo sana ; hivi kama mzazi wako akupe shamba Urithi/ulime mazao, arafu umkute mzazi wako aliokupa shamba shambani anachuma hata nyaya tatu za mboga, arafu wewe ukampigia kelele ya mwizi na ukiwa ulimuona kwa ukaribu na kumtambua kuwa ni mzazi wako.
      Je? Mzazi huyo huyo atakapo rejea nyumbani kwake atanyamaza kwa hicho kitendo hasiwaambie koo nzima? ndugu zako na majirani na marafiki wa familia.

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 หลายเดือนก่อน +5

    Magembe ni chuma kitupu hana mbambamba...yuko tayari kufa kwa ajili ya kristo

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 หลายเดือนก่อน

      Acha kumsemea mtu.

    • @Elia-Ntenga2027
      @Elia-Ntenga2027 หลายเดือนก่อน

      Hautaki sasa​@@sautikuu212

  • @user-ob6it9em6i
    @user-ob6it9em6i หลายเดือนก่อน

    Biblia inakutambua kama wakili wa Siri za Mungu, mbona unakosa hekima ? Mana maneno yako hayo humwaishi mtoka mbari na TAG, bari unamwaibisha kristo; Iko wapi hekima ya Mungu ndani yako?

  • @samwelkimaro192
    @samwelkimaro192 หลายเดือนก่อน +1

    1.8M ndo inakutoa povu hivi? Kuna kosa la kiufundi ulifanya. TAG ni taasisi haina nafasi ya kushindana na mtu mmoja.

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Kwa tapeli hiyo ni ndogo kwa sababu mmezoea kutapeli mamilioni. Kama ndogo si ungeilipa tu faster ili usitoe povu la comment hapa?

  • @user-eo7gr1nx3c
    @user-eo7gr1nx3c หลายเดือนก่อน

    Mtumishi mimi ni mtu mdogo sana kwako kihuduma lakini kwa hiki unachosema ukitoa bado ni chako hapana Mtumishi hapo haiko sawa labda sema uliazimisha kwakweli uliwaazimisha unapotoa sio chako tena wala hupaswi kulaumu labda kama unamengine

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน

      Acha uchawa na hekima za kipumbavu, ukidhani ndiyo hekima. TAG ndiyo sababu ya madhira na mateso ya Mbarikiwa, wakati yupo gerezani waTAG walivitumia kumsimanga na kumshambulia

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 หลายเดือนก่อน

    Hivo vitu mbona muumini mmoja tu anaweza kuvinunua😂😂😂😂

  • @frbm1729
    @frbm1729 หลายเดือนก่อน

    Natamani ungekuwa Mwanza ningesali kanisani kwako

  • @mulebatagtv5665
    @mulebatagtv5665 หลายเดือนก่อน

    Ndugu mtumishi pole sana,huyu ndugu wa TAG ongea naye malizana naye Baba wawatu Askofu Muache ,nashauri ongea nao .

  • @abaskomba3712
    @abaskomba3712 หลายเดือนก่อน

    Kuna ndugu aliuliza ulivyotoa hivyo vyombo uliweka sharti la kutomsema vibaya aliyetoa hivyo vyombo, JIBU LIMETOKA " SHARTI HILO ALILIWEKA" sasa unapotaka kumkosoa tumia vyombo vingine sio vile. Kale kamethali tenda wema nenda zako walifikilia nini sijui hao wahenga.

  • @Dr.Mlelwa_Official
    @Dr.Mlelwa_Official หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwa anaongea anasema "MIMI NIKO PALE NAWAANGALIA KAMA MTAFIKIA HUO UAMSHO"

  • @SimeoMajige-it8so
    @SimeoMajige-it8so หลายเดือนก่อน

    Duh Vita vyatoka wapi na mapigano haya mbona Yesu alinyamaza kama kondoo apelekwavyo kuchinjwa jamani shida nini sasa kazi yetu ni moja Kuhubiri injili mengi ni yenu ila sis tunataka Muhubiri tu Injili
    Kama siku zisingepunguzwa yamkini hata wateule wasingeokoka

    • @Yoram_Changala
      @Yoram_Changala หลายเดือนก่อน +2

      Uwe unafuatilia kila saa 4 usiku huwa tunarusha live kila siku mahubiri

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Paulo alipomkosoa Petro ILIKUWA VITA (GAL 2:11-14)? NAYO VITA ILITOKA WAPI? PETRO ALIMKEMEA ANANIA NA MKEWE SAFIRA MPAKA WAKAFA ILIKUWA NI VITA NA ILITOKA WAPI? Kwani hawa hawakuwa kanisa? Mjuacho kuwa ni kuwa mwenye dhambi ni kuto kwenda kanisani? Hao ndio wenye dhambi? Wote mnaoenda makaburini mnakoita kanisani hamna dhambi? Mtu wa kanisani au mhubiri akikemewa ni vita? Kwako injili ni kubwabwaja vilabuni, sokoni ila kwa mnaojiita mmeokoka au watumishi huku mkifanya dhuluma ninyi hamhubiliwi hicho ujuacho ni injili?

  • @ezekielmwadomba4675
    @ezekielmwadomba4675 หลายเดือนก่อน

    DA! NAPATA JIBU LA KWANINI KULOLA ALIAMUWA KUHAMA NA KUANZISHA EAGT.

  • @eliamwambela4215
    @eliamwambela4215 หลายเดือนก่อน

    MIMI NILIFIKIRI MAHUBIRI. KUMBE MATATIZO

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 หลายเดือนก่อน

    Baba Mwakipesile, achana na TAG. Hiyo ni kesi ya mtu binafsi. Na kama ulitoa kwa nini ufuatilie matumizi ya ulichotoa kwa Mungu?

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +1

      Kama ni binafsi wangemchukulia hatua. Kwani mle alitumwa na uongozi wa TAG. Zaidi ya hayo nataka ufahamu kuwa utawala wa Pilato ulilazimika kusaini Yesu auae kwa sababu ya MSUKUMO WA VIONGOZI WA DINI KAMA HAWA AMBAO HAKUNA HATA ANAYEKUPA POLE ZAIDI YA KUSHANGILIA MATESO YA MWENZAO.

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +1

      TAG ndiyo mliomtuma mchungaji huyo akamshambulie Mbarikiwa gerezani na nyie ndio mnaopanga kumuua Mbarikiwa.

  • @user-bt7ki5pz9t
    @user-bt7ki5pz9t หลายเดือนก่อน

    Wewe nawewe inakera sana sijui unatafutakiki

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Lazima ukereke kwa sababu hata mwizi akipigiwa kelele za mwizi huyoo HEKEREKA SANA.

  • @ronaldsikaponda3553
    @ronaldsikaponda3553 หลายเดือนก่อน

    Hukumu ya wanadamu daima siyo ya kweli kwani wanahukumu kwa kusikia.Yani kwa jinsi unavyo jihesabia haki ,unajiona wewe ni Yesu ,wewe unajua washirika wako ni watakatifu wote.Kwani una maanisha sadaka za washirika wako wanaowaza vibaya huwa unazikataa kabisa kwani huwa unajua mawazo ya washirika wako wote.Angalia unayofanya na hukumu unazotoa zitakurudia tu.

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Wakinipa mimi kwa mioyo yao ya kupenda hakuna tatizo. Shida ni SIKUWAPA NINYI NA MNAVITUMIA KUNITUKANIA?

  • @AizackKalenge-ro5rc
    @AizackKalenge-ro5rc หลายเดือนก่อน

    Kama Mke wa Askofu anasuka Rasta,Hilo kanisa litakuwa la wasuka Rasta,Roho mtakatifu hawezi kutawa,

  • @davidmdadila4080
    @davidmdadila4080 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona hayo hayatuhusu ulitoa spika moja ndo unalalamika.kweli

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Katoe wewe unirudishie hiyo spika yangu. Na fahamu kuwa shida kubwa sio spika moja bali ni matumizi yake. Siwezi toa kitu kwa mtu ambaye sikumpa yeye ila akitumie kunitukania.

    • @isayakiyeyeu6295
      @isayakiyeyeu6295 หลายเดือนก่อน

      Kasome chuo, ukitoa kitu kwa mungu acha kuifuatilia

  • @novatv5575
    @novatv5575 หลายเดือนก่อน

    Unatakiwa ubalance story Kwa kusikia upande WA tena

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Wewe ndo ubalance. Yaani waulize wao wanasemaje? Kisha njoo na ukweli wa upande wa pili.

  • @kephasymotela9390
    @kephasymotela9390 หลายเดือนก่อน

    Tag ni taasisi unaonaje unaowataka watu ambao inawezekana hawajui chochote kuhusiana na hilo je si vema kushauriana na hiyo nakama hataelewa uwaone viongozi wake

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndo hujui lakini wao wanajua. Hakuna asiyejua

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 หลายเดือนก่อน

    Mch unalalamika sana!

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +1

      Lakini si wewe unashangilia sana? Acha mimi niendelee kulalamika sana.

    • @mosesg.pendael8381
      @mosesg.pendael8381 หลายเดือนก่อน

      @@shuhudazakikosikazichainji928 Hapana mimi sishangilii. Wala sina furaha katika haya. Nilikuwa nawaza, mengine ya aina hii, yanyamazie tu.

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@mosesg.pendael8381YESU mwenyewe maumivu yalivyozidi pale msalabani ALILIA, ndo iwe kwa Mbarikiwa unataka asilie!, kulia na kupiga kelele ni ishara ya kwamba panauma

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน +1

      Wadhalimu wanahiumiza sana nchi yetu katika maisha ya kila siku na ya jayo.

  • @mchjohnmasegese8193
    @mchjohnmasegese8193 หลายเดือนก่อน

    Yaani mme amua kuishi kwa kiki Ya mitandaoni.

  • @ev.francischacha69
    @ev.francischacha69 หลายเดือนก่อน

    Huyu ana lake jambo , kumbe tuvyombo vyenyewe ni twa chini ya milioni mbili, kisha kumtaja askofu mkuu kutafuta kiki, acha upumbavu huu utakugharimu kiroho

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Twa chini ya milioni mbili ila unashindwa kutoa wewe unatumia vya yule unayemtesa gerezani kumtukania. Huyo asingetumwa na Askofu wenu kwenda kumtukana Mbarikiwa gerezani angemchukulia hatua. Yule mchungaji kawekwa na TAG kama mchungaji ikimaanisha kuwa kila anachokifanya ndicho alichotumwa. Vinginevyo wangemchukulia hatua. Na hilo itakugharimu haitamgharimu Mbarikiwa zaidi ya mlivyomfanya ENYI WANA WA MAJOKA MLIOJAA DAMU KATIKA MIKONO YENU.

  • @juliusphabian
    @juliusphabian หลายเดือนก่อน

    Kama una roho wa Mungu huwezi kuongea haya mimi na uchanga wangu wa kiroho siwezi kusema maneno hayo

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน +1

      Kwa kweli. Huyo roho wa wazungu aliyewafanya kuwa makatili, wadhulumaji, hawezi kuwaruhusu mzungumze mambo ya haki.

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@shuhudazakikosikazichainji928kweli kabisa

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 หลายเดือนก่อน

    Ngoja nipite niwe paleeee,mtanikuta mkimaliza kazi

  • @user-tm1vn7fd4f
    @user-tm1vn7fd4f หลายเดือนก่อน

    Nendakwenye, siasa uichetudini ndiomaana ulilundikwa

    • @zawadimwaibako4065
      @zawadimwaibako4065 หลายเดือนก่อน

      wewe si ndiyo ulishirikiana na mashetani wenzako kumrundika.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn หลายเดือนก่อน

      Tupo kwenye siasa tiari. Kwani ulikuwa ujajua? bado.

  • @eliasitairo9546
    @eliasitairo9546 หลายเดือนก่อน

    Ungejitambua unachofanya kwenye ulimwengu wa Roho ungeacha kulalama, kama jinga vile, hata hunaukweli wa lolote unaoongea tu kama huna akili iliyokaa sawa hata kidogo.

    • @DavidOkumu-by3yh
      @DavidOkumu-by3yh หลายเดือนก่อน

      Eee mwenye akili tuonyeshe akili. Jifunze kusikiliza sio kusikia

  • @davidmdadila4080
    @davidmdadila4080 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe mwakipesile ndugu yangu mbona haufwati utaratibu unashindwa kwenda ofisini unaongea kwenye mtandao unakosea.kosa la mmoja sio la TAG

    • @shuhudazakikosikazichainji928
      @shuhudazakikosikazichainji928  หลายเดือนก่อน

      Wewe umefuata utaratibu kuja kuniona kuja ofisini kuniona? Mbona wewe umeandika comment yako mitandaoni? Na ukumbuke kuwa TAG NDIO WALIOMTUMA MCHUNGAJI HUYO GEREZANI. KAMA SIVYO WANGEKANUSHA.