DKT MWAKA: WAKE ZANGU HAWASALIMIANI/ MKE BORA NDIYO SIRI YA MAFANIKIO YA MWANAUME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
  • #Makorokochotv

ความคิดเห็น • 50

  • @zubedasaid5962
    @zubedasaid5962 ปีที่แล้ว +2

    wanaume wengine fitna sana na ndio maana staki uke wenza

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 2 ปีที่แล้ว +3

    Im TzGubu kuongea kuongea sana kwa kisirani na hakuna kosa lolote au kila akikaa atakosoa kosotu tu

  • @munamohd7655
    @munamohd7655 ปีที่แล้ว +1

    Siri ni mwanaume mwenyewe kujiamini.lkn wengine wanaowa tu lkn kukutanisha wake zao hajawahi

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 ปีที่แล้ว

    HAMNA LOLOTE MWANAMKE HATABIRIKI NI WANAFIKI WABAYA NA AMBAO NI WABAYA SANA HAWANA HISANI INGAWA WANAUME PIA BAADHI TUPO HIVO LAKINI WANAWAKE SI WATU WAZURI WANAFIKI USIOMBE KUJIDAI ANAKUPENDA WANAFIKI TUMCHE MOLA TUU

  • @abassimussa7473
    @abassimussa7473 3 ปีที่แล้ว +3

    Pesa ndo inaongea hapa we jifanye uko na upendo na huna pesa uone kama hutaitisha mchango kwa misikiti na makanisani

  • @btylove1870
    @btylove1870 2 ปีที่แล้ว +2

    Wanaume tafuteni pesa kila kitu kinawezekana.

  • @zubedamagambo9600
    @zubedamagambo9600 3 ปีที่แล้ว +6

    Huyu Dr sioni Kama anathamini wanawake.

    • @aishachambo3293
      @aishachambo3293 3 ปีที่แล้ว

      Wanawake wanataka pesa hawataki thamani

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 3 ปีที่แล้ว +1

      Usiogope anafanya practice, atajuaje maradhi mbalimbali ya kina mama😅

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 2 ปีที่แล้ว

      @@nantaembanusurupia5674 😀😀😀

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 2 ปีที่แล้ว +1

      @@halimahalima1488 inaitwa research, mke mmoja utagunduaje maradhi, utaambulia kugundua mauvimbe ya tumboni peke yake 😆 lakini akiwa nao wengi aaah, huyu mavimbe huyu UTI huyu ugumba halafu unawatwangia makisamvu unawapa tayari dawa🤣🤣🤣

    • @halimahalima1488
      @halimahalima1488 2 ปีที่แล้ว +1

      @@nantaembanusurupia5674 😀😀😀kwekweriii nalo neno

  • @sihabahusseinmdee1102
    @sihabahusseinmdee1102 ปีที่แล้ว +1

    kimenuka pesa baba tuliyasema ukasema ni mapenzi

  • @restitutalucia9009
    @restitutalucia9009 2 ปีที่แล้ว +2

    Money talk

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 ปีที่แล้ว +1

    NA WEWE MWINJAKU MNAFIKI MMOJA WEWE NI MTU MBAYA SANA / MUISLAM MNAFIKI

  • @tabasamtv6728
    @tabasamtv6728 3 ปีที่แล้ว +3

    Yaaani huyo mwnmk hapo pembeni anajiskia wivu wakt wenzake wanataka kusaidiwa.

  • @bosslilyg4390
    @bosslilyg4390 3 ปีที่แล้ว +1

    Napendaga cheko la dr mwaka

    • @yusuphmpando9900
      @yusuphmpando9900 2 ปีที่แล้ว

      Utakuoa karibun

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 2 ปีที่แล้ว +1

      @@yusuphmpando9900 jifunze kwanza kiswahili dogo

    • @bosslilyg4390
      @bosslilyg4390 2 ปีที่แล้ว

      @ivonne cherop254 wewe pia unaweza kuwa mkewe

    • @yusuphmpando9900
      @yusuphmpando9900 2 ปีที่แล้ว

      @@bosslilyg4390 halafu nitakila hicho kiswahili yaan mm mtz badala yakutafuta pesa nijifunze kiswahili yaan ww jitafakar

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 2 ปีที่แล้ว +4

    Huyu Daktari anatuaminisha kuwa wanaume wote ni wajinga kama yeye. Huku sio kuwapenda wanawake bali ni kuwatumia

  • @jumakhalid5554
    @jumakhalid5554 2 ปีที่แล้ว +1

    Mwizi tu huyo

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 ปีที่แล้ว +1

    WANAFIKI HAO

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 ปีที่แล้ว

    Kiumbe mxito eti we dokta mwak umetumia dini yakiislam kuo wake watatu lkn unavuk mipak kuwaanik wake zako hivo nguo hazina maadili mhhh jiangalie wake zako na pesa zako no fitina ngalia saaan hii dunia tunapita

  • @fadhilistonemoshi4860
    @fadhilistonemoshi4860 3 ปีที่แล้ว +4

    Dr Tuachetutafute pesa upendo uko kwawazazi tuu...!!!!

  • @restitutalucia9009
    @restitutalucia9009 2 ปีที่แล้ว +1

    Unajua kuhudumia ndomaana wanapendana.

  • @fatumasaidikaneakaneafatum4184
    @fatumasaidikaneakaneafatum4184 2 ปีที่แล้ว +1

    Hii kapo hatari Sanaa

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 2 ปีที่แล้ว

    Nahao wengine wanna magirl friend kawamwaga

  • @neemashuma5595
    @neemashuma5595 ปีที่แล้ว

    Subutuuu

  • @esthermuthoni8068
    @esthermuthoni8068 2 ปีที่แล้ว

    Waaa ako poa

  • @evelynsalila9700
    @evelynsalila9700 3 ปีที่แล้ว +1

    Kwahiyo baada ya kupata hela ukamuolea wengine wawili 🥱🥱🥱

  • @zhmzzz9061
    @zhmzzz9061 2 ปีที่แล้ว

    Mke wa kwanza ni yupi?

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 2 ปีที่แล้ว

    Bac niowe na mie

  • @evancetilya5140
    @evancetilya5140 2 ปีที่แล้ว

    Ase

  • @hadijageorge2863
    @hadijageorge2863 2 ปีที่แล้ว

    He makubwa

  • @aishaomari944
    @aishaomari944 2 ปีที่แล้ว

    Wapo kibao2 mbona

  • @evancetilya5140
    @evancetilya5140 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @fatmasaid9400
    @fatmasaid9400 3 ปีที่แล้ว +1

    angekua hana pesa angebaki na nani

  • @joycecharles7860
    @joycecharles7860 2 ปีที่แล้ว

    Girlfriends Watano then unasema kisa alikua mnyonge kwa wengine 😏😏😏

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 3 ปีที่แล้ว +2

    Mi nahitaji wazo tu la biashara mtaji ninao,🙏

    • @tamemahmad9902
      @tamemahmad9902 3 ปีที่แล้ว

      Hata mm my yaani linanipa changamoto kiukweli

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 2 ปีที่แล้ว

      @@tamemahmad9902 yaan mnataka kufanya biashara gn kwa mfano? Tujiulizenj sie watu 3 mm pia nataka ila nahis tukiwa pamoja tunaweza walah tena

    • @emmanuelduttu7171
      @emmanuelduttu7171 2 ปีที่แล้ว

      Alzet ipo juu weka stock

  • @abwevincent1438
    @abwevincent1438 3 ปีที่แล้ว

    gubu ndo nini?🤣🤣🤣🤣🤣