YAPI NI MAMLAKA YA MWANAUME Kwa MWANAMKE? IJUE SIRI YA KWA NINI WANAWAKE HUONGEA SANA | HARD TALK
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ค. 2022
- WASILIANA NA DKT. MWAKA: +255 759 100 200 Kwa Msaada zaidi
YAPI NI MAMLAKA YA MWANAUME Kwa MWANAMKE? IJUE SIRI YA KWA NINI WANAWAKE HUONGEA SANA | HARD TALK
HARD TALK ya leo ni mjadala mkali kuhusu mamlaka ya mwanaume kwa mwanamke. Mungu aliwaumba vipi wanawake ukilinganisha na wanaume? Dk JJ Mwaka, tabibu maarufu wa matatizo ya uzazi na kiroho anachambua na kujibu maswali magumu ya mtangazaji Lilian Mwasha!
WASILIANA NA DKT. MWAKA: +255 759 100 200 Kwa Msaada zaidi.
.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:🏾 bit.ly/3MraYdQ
Lilian stop being difficult, you know the truth...I am a professor and I ask permission and also nothing goes without my husband's approval...I have been married for 20 years.
Lilian learn to listen and give time when some one is trying to explain something… stop interrupting … it’s easier to forget or loose the plot and the key points .. say less than necessary…
How I wish you were paying me for what am doing than CRITICISM.UNAJUA HII KAZI NNAYO IFANYA AU UNAONA RAHISI KUKAA NA KUKOSOA???
@@lillianmwashatv Ni vizuri kupokea ushauri na kuufanyia kazi kwani lengo la Silver ni zuri na ni kwa faida yako na wasikilizaji wako. naomba ulipokee positive
🤝🤝
Mungu akupe umri doctor mwaka haki nimejikuta na amani Ya MOYO
Dr asante ushaitunza ndoa yangu bila wewe kujuwa asante
Vizuri sana
Tatizo linaanza kwa mwanaume kumpenda mwanamke asiye na heshima,,, na mwanamke kumheshimu mwanaume asiye na upendo!! Full mvurugano
Hongera sana Dkt Mwaka uko vizuri
Mungu akupa afya
Hi vizuri vizuri DR MWAKA
Nampenda dk huwa anajua kujenga hoja, lakini pia amenifundisha kuwa mungu ni mmoja hivyo vitabu vyote vinavyohusu dini yoyote anaweza kusoma na dini zote ni sawa🙌
Mungu na si mungu ndugu tafadhali
Aachane na mambo ya dini. Hana kitu Anachokijua kwenye dini.... Bora aachane na hayo mambo
Intellectual ideas or points, big up Dr . JJ Mwaka
Mwanaume akili sio handsome hapo nimekuelew doctar 🙌🙌🙌
Mwaka anakitu kikubwa ndani yake
💯 💯 💯 💯 💯 💯 Hakikah Mwaka. 🚶♀️Asante dada lily kwa kumleta Dr mwaka.
nimekupata vinzuri Dkt mwaka mungu akubariki sana.
Maneno ya dhahabu kutoka kwa dr mwaka hongera sana Mungu akubariki bro
Asante Dokta Mungu aendeleee kukuweka miaka mingi wanawake wengi waliosoma sana au kuwa na kipato kikubwa ni tatizo kwenye jamii
nyie Dr mwaka anajua sana.
Asanteni Sana kwa kipindi kizuri jamani mungu awabaliki sanaa
Safi ,Dr Mwaka umechambua vizuri sana
Intelligent man I like to listen
Sure bro
Ahsante dada Lillian umvaa viatu vya wanawake hongera sana love you sister
Nakupenda dada Lilian,nabarikiwa sana na vipindi vyako
Hongera sana unatufindisha wengi
Tufundishe tupone Baba!
Dr.Mwaka unajuwa sana big up🙏
Mbarikiwe sana Dct mwaka pamoja na dada etu lilian mungu awapiganie kila iitwapo leo ili mzidi kutuelimisha zaidi na zaidi napenda sana vipnd vyenu♥️♥️
Watu Kama Hawa ni wakujengea sanamu pale posta
Yatajengwa mangapi na je kutakuwa na nafasi tena hapo post??
mr mwaka maashaallah. mungu akubariki sana kaka. wallah akulipe akujaze kila la kheri. akupe umri mrefu wenye afya na afwa wewe na kizazi chako. aamiin🤲🏾🙏🏾
Mada nzuri sana sana. Nimejifunza na kujengwa.
Asanteni sana Lilian & Dr. Mwaka
👍
Asante sana dr mwaka🙏🏾
Beautiful massage
Dkt mwaka uko vzr tuomba uzidi kutuelimisha
Mashaallah tabarakaallah mungu akupe afya njema
Dr mwaka Asante kwaushauri mzuri sana 💙💙💙
Asanteni sana kwa somo zuri
Doctor mwaka. MUNGU akubalikisana 🙏
Dr mwaka umepotosha kwenye kufafanua namna ya utii.
1- Tunatii mamlaka kuu.
2-utii unatii ktk Bwana
+Utii ni kuvunja mapenzi binafsi na kufuata ya mwingine.
Tunatii ktk mambo mazuri yote yanayompendeza Mungu.
Unaakili Sanaaa Dkt. Mwaka
Dr unanishangaza! Uko vizuri, wewe ni mchungaji au ? Halafu unapiga kotekote
Dr.✍🏽👏🏽👏🏽somo zuri sana kwangu
Nimecheka sana,daaah.Dr Mwaka uko vizuri mno Pastor wetu.Wanafuta kitabu cha Waefeso.....mbavu zangu
Kumbe mahusiano yana siri nyng sana ili ufanikiwe kuvuka salama inahitaj kumpata mtu mwnye kuijua dini kikamilifu sana....mpka naogopa kuoa mungu nisimamie ktk hili nimpate sahihi ktk maisha yng 🙏
Sio kujua dini tu ndugu, Bali Imani pia, maana kua na dini bila Imani ni kazi bure, mwenyezi Mungu atusaidie kwakweli
Sikujua dini ni kuwa na akili na upeo basi katika mambo ya imani ni lahisi ndani yake . Dini ata mnyang'anyi anaijua
@@Mpakauseme nimemaanisha mm mtu mwnye hofu juu ya matendo mabaya yote hiyo ndo maana ya Iman na maamrisho namakatazo yamabaya ktk dini ndo ninaemzungumzia mm
Bro hata namm naogopa kama wewe unaweza ukaingiza miguu kwenye ndoa baadaye ukajutia
Simple my Dear, Mwanamke ukiwa Juu wasahau kuheshimu amani ya Nyumba zenu, Heshima ndani ya ndoa haijalishi una cheo gani ama position gani, respect your self na utaheshimiwa..
MashaaAllah MashaaAllah yaani dr mwaka na dr wangu Ellie salute.
Hii inaonesha binaadamu haufuati maandiko(maandiko) tuna ishii tu shaghala baghala ndio huyo nyookewa maishani tunajitia wazunguu sanaa na hatujui kuwa tunaingia mstari wa shetani. Turudie na tuishi kulingana na Mungu anavotaka tu so adjust chochote ndipo tutafanikißha maishaa ya Dunia na ya mbinguni
Shukurani sana
Excellent
Thank u dada
Mwenyezi mungu awabariki sana, kipindi kizuri sana nimepata funzo
Ahsante Dr mwaka majibu yanajitosheleza
ASANTE SANA DOCTOR. HUJAWAHI KUNIACHA BILA MAJIBU SAHIHI. 🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪💪💪
Wao this is 🥰🥰
Hongela sana kabisa Dr
Am tz doctor Mwaka anaongea juu ya mstar tunayapitia mara 2 ilinitokea weak 1 moyo uliniuma ndg yang wa damu alidondoka choon hafla na nilikuwa mbali na family nikakosa kuzika nilifika baada sik10
Sijawah kujutia kuangalia interview ya Dr Mwaka hata siku 1
DK mwaka 🔥👏👏👏
Motivation speaker
Safi sana upo vizuri.
Ubarikiwe sana dr mwaka
Hongera Dr mwaka umefafanua
Vyema kwa mafanikio ya mwanamke na mwanaume
Savi Sana👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Maa shaa Allah
Amina baba
Dr... ubarikiwe sanaaaa...umekuwa na maarifa na hekima kubwa sana
Ni kweli kabisaa dr mwaka .
Dr Mwaka uko vizuri sana
Pepo ya mwanamke iko chini ya miguu ya mumewe so kama unapenda pepo mtii mumeo na kama unapenda Dunia fanya utakavyo then ukifa utajua hujui
Elimu nzuri sana
Lilian hili somo linakuhusu
Believe your gut feeling... Listen your inner voice. Ujumbe niliopata
Umenikosha sana Dct.
Very trueewe
When answering a greeting,don't reply "Good"instead,say "Iam good".Samahani lakini Dr.Nakuheshimu sana.
Dah👏👏👏🙌🙌
Dr. Mwaka yuko vizuri ila I wish dada Lilian Mwasha, ungeniuliza mimi hilo swali la kwanini moyo unauma..... sema ndio hivyo wanaoalikwa ni maarufu tu, kuna watu wako nondo sana ila sio maarufu.
👏👏
Dada lilian nakubaliana na Dr. Mwaka.. lazima kuomba ruhusa kwa Mume .. kwa sababu yeye ni baada ya KRISTO... Ndoa nyingi... Zinavunjika kwakukosa utii... Na utii ni kutambua nafasi zetu sisi wanawake ni wakina nani?
2. Wanaume wanatakiwa wawapende kwanza wanawake ili wanawake waweze kuwatii wanaume zao...
Chagua mwanaume mwenye akili hiyo point nzuri
Liliani ubarikiwe kipindi choko kizuri kinatuelimisha
Kweli kabisaa Dkt
Mko nama ukweli
Lilian Thnks ,Dr mwaka tunajifunza mengi ......
Wa bongo , Kutii katika Bwana, upendo katika Bwana ... sasa mwanaume anakupelesha anatua hilo andiko , linakutoa kabisa Kristo . Utii katika Bwana.
Mada nzuri hongereni.Utii upo unapaswa kutekelezwa ila mwanamke anapaswa kujua uwezo wa mume kuchakata anachotaka kushauri maana unaweza tii kila kitu hata kisichofaa
Lpp0
Ndio mana doctor anawaambia tafuteni wanaume wenye akili...
Huyu jamaa yupo vizuri sana tena sana
Shukurani Allah masikini sana🙏
What do
You mean
God bless you so much Dr Mwaka am with you indeed
daah...mi nishawahi kuambiwa "chako ni chetu n changu ni changu"....kw utani fulani hivi.. basi nikajisemea kimoyoni duuh ndivyo walivyo hivi....hahaha
lakini pia nahisi wanawake wana ubunafsi huu kw sababu wanaona hawaamini wanaume wa ndoa zao kw sababu y wanaume kupenda wanawake wengi n kila kitu. ni nature ilioanza tangu kw mama yetu mkuu bi Hawa (Eve),ibilisi alimwandama mama yetu mpaka akamlisha Adam lile tunda. lakini poa mi mwanamke akiwa n ubinafsi sijali sana ila aniheshimu ndio muhimu sana 🙏🏿 👍🏿👐🏿💪🏿💪🏿
Mke wa mtu akitaka kwenda mahala ,siyo atoe taarifa bali aombe ruhusa mmewe, mume ndo wakutaarifa familia yake anapoenda kwaajili ya kuonyesha upendo, mke kuomba ruhusu kwaajili ya kutii mme. Hii nd amri ya Mungu.
😍😍😍
This is dope💯
Dada lilian jaribu kuwa msikivu wakat dr anaoggea unamkatisha mnoo
To be continued
Dr. Mwaka una kitu aisee
Mungu hajatuumba kwa mfano wake coz hafananishwi na chochote
dada Leo Umeferi
Wow MashaAlla🌹 👌👏👏👏mim nimemuelewa sana Dokta
huyu mwamba anajua sana saikolojia ya binadamu. sio kiimani tu ata tabia za mwanadamu kisayansi
Duuuu!...
Dkt nakukubali sana, ndivyo walivyo wanawake, hata huyo unayeongea naye anakichwa kigumu
😁😁😁😁🤣🤣🤣🤣
Wajina aisee ww unaakili nyingi sana
Doctor mwaka sio akili yako ni akili za Mungu ametiya dani mwako uwafudilishe hao wanawake wasiku za mwisho
Anatoka wapi huyo mwanamke mwenye kipato kikubwa mwenye kumtii mume wake yuko wapi mimi sijawahi kumuona
WEWE DR MWAKA NI MZUSHI HAKI ZA MUMEE NI ZA MKE NA WANAWEE ILAA HAKI ZA MKEE NI ZA MKEE NA WANAWEE KUMPA AKU KUSHARE NA MUME WAKE NI MAPENZI TUU NA HURUMA SIO LAZIMA