PART 1: KWELI MZINZI ATAKWENDA PEPONI? HURUMA ya MUNGU INAVYOSHANGAZA - DK MWAKA AFUNGUKA |HARD TALK
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ธ.ค. 2022
- PART 1: KWELI MZINZI ATAKWENDA PEPONI? HURUMA ya MUNGU INAVYOSHANGAZA - DK MWAKA AFUNGUKA |HARD TALK
KWENYE HARD TALK ya wiki hii ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha, mgeni ni Dkt. Mwaka ambaye ametupitisha kwenye maisha ya ndoa na mahusiano huku akigusia mengi juu ya imani, ukweli wa dhambi na tusiyojaua kuhusu Mungu..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Nampenda sana lyliane mwasha pamoja na dr mwaka kwa kazi kubwa wanao fanya, mungu Awa zidishie maisha marefu
Dr asante nakupenda umebarikiwa kipaji maneno unayo ongea point mwanzo mwisho
Juma Mwaka nimwanaume mwenye Akili sana .MashaAllah MashaAllah
DK.Mwaka akili nyingi Mungu azidi kukuweka uzidi kufungua wengiiiii 👍👍👍
Dr mwaka , najifunza menginkupitia wewe , asante sana da Lilian kwa kutuletea tena huyu mtu
haya mambo ya ndoa uislamu umeweka wazi sana ni nini cha kufanya wakati unamtafuta mwenza.uislamu ndo jibu. mwaka hajui uislamu vzr
Hard talk is literally my favorite class room....❤️
Mashallah absolutely Nondo Allah akbariki na atujaalie mwisho dr mwaka umetibu kote kote sasa ni mtu achague mwenyewe🙌🙌
Dr Mwaka mm ni mkubwa kwako ila nakusalimia shikamooo/ walaaam / bwna yesu asifiwe 🙏
Dr .Mwaka nimejifunza mengi sana thanks 🙏🙏🙏🙏👍👍👍👍👌👌👌
Nampenda sana Dr mwaka ila napenda Zaid mumewangu Dr salum kiufupi napenda madactari Wana haiqiu kubw sana mashallah.
Dr, Mwaka video vipo, kila mtu ana video anazozitaka kutoka kwa mwenza wake..mwenyezi mungu anampakila mmoja mwenza mwenye vigezo alivyotaka.
Kuna hekima ya kibinadamu na hekima itokayo kwa MUNGU.
I was waiting for this finally
Moja ya watu ninaowakubali ni Dr Mwaka,hongera sana
Asante kutuletea mwaka tena
Kuna dini flan inahalalisha unzizi .asee.i chose spirituality and never religion.wana support mambo ambaya wanafanya
Kwa tafsiri sahihi zinaa ni kulikataa neno la Mungu sema watu wanahukumu matokeo ya kuto liamini neno la Mungu ambalo ambalo ndiyo kunazaliwa zinaa na matendo maovu yote.
KAMA UMEKWISHA INGIA KATIKA NDOA NA UNAHISI MTU SIO WAKWAKO USIVUNJIKE MUOMBE MUNGU AMFANYE KUA WAKO🙏🏿
Wow
I enjoy listening to you guys. 😅😅😅😅
Genius mwakaaa
naitwa Jimmy Sumbanga naishi Congo mimi ni mpenzi wa iki kipindi nilikuwa naomba kwa niamba ya sisi weye hatukubatika kusoma lunga ya kingereza na sisi wa farasa mukuwe na tuelewesha vizuri kwa kiswahili ama mupunguze kingereza tuna waomba sababu tuna jifuza mengi
👌🏽
Dr. MWAKA akili nyingi sanaaaaa!
Jj upo vizr
😅😅😅😅dah
Dr mwaka kuna mwanamke anajua kuwa huyu ni mme wa mtu bado anaolewa naye sasa mtu huyu tumwiteje?
🥴🙄
Dr mbona tukija ofsini kwako ubungo wewe unakua haupo tunakuta watu wengne ni kwamba huduma hutoi ww sku izi
Kwasababu hakuna mkailifu . Docker nitajiye mmoja tu alokamilika.
Live abroad bro😂😂😂utaona.
Mwaka this is for free.... usilinganishe uislamu na ukiristo hata siku moja. usipotoshe watu. wewe ni muislamu gani una amini sunday school????? what are talking abt?wewe mwenyewe ni mzizinzi wa kwanza
Unaropoka saaana hakuna mwislam wa kweli anaejuwa uwislam wake bila short cut anaweza kuongeya maneno ya ivo acha kupotosha umma ila danganya hao hao ali sio wa islam . Allah hawezi kumsame mtu alishirikisha hata atasaidiya maskini wa dunia nzima na hayo unayo potosha ummah usiku na mchana utaulizwa kwa hayo .
{ وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَلَا هُدٗى وَلَا كِتَٰبٖ مُّنِيرٖ }
[Surah Al-Hajj: 8]
Na katika watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, wala uwongofu, wala Kitabu chenye nuru.
{ ثَانِيَ عِطۡفِهِۦ لِيُضِلَّ عَن سَبِيلِ ٱللَّهِۖ لَهُۥ فِي ٱلدُّنۡيَا خِزۡيٞۖ وَنُذِيقُهُۥ يَوۡمَ ٱلۡقِيَٰمَةِ عَذَابَ ٱلۡحَرِيقِ }
[Surah Al-Hajj: 9]
Anaye geuza shingo yake ili kupoteza watu waache Njia ya Mwenyezi Mungu. Duniani atapata hizaya, na Siku ya Kiyama tutamwonjesha adhabu ya kuungua.
Wewe kawasikilize masheikh huko Wacha sisi tumsikilize huyu maana huko wanazuoni wenzako wanapambana kuhusu maswahaba omary na Ali sijui Abubakar
Ss tunasubiri mashekhe wa michongo wazipunch hoja zako
No body is perfect
Ni kweli kabisa, ukiingia kwenye ndoa ndio utagundua umefunga ndoa na mume asiye wako.please muache aende anakotakiwa kwenda. Usifanye mtoto wa watu aione jehanamu duniani. Mpe nafasi aende. Siyo lazima wanawake wote waolewe ila wanaume wote wanapaswa kuoa.
MUNGU HAWEZI KUKUPA KITU USICHO STAHILI HATA SIKU MOJA
Tunaomba namba za Dokta
wewe ni muongo huyo atayechukia kwa wewe kusema unampenda yesu sio muislam. wacha uongo wako
Hujamwelewa my dear ndio maana amesema ukimtaja issa wanatabasam. Maana yake ni nini. Sifa anayobebeshwa Yesu ni tofauti na aliyoibesa Issa. Inahitaji uelewa kuelewa.
Dada mwasha,usitaje jina la BWANA MUNGU Bure, kila mda unataja JESUS, it's not right and your breaking one of the 10 commandments, Try to control yourself.
Ahsante Kwa USHAURI.
Kadhalika hizo "interjections" zako nyingine achana nazo. Mara upige makofi mara heeeeeee!! That does not augur well with Hardness. La sivyo change the name of your talk show to "LOUNGE TALK"🙏🙏
No no Lilian mwasha endelea kumtaja Jesus usimsikilize huyu Fredrick ajui bible
Kweli kabisa
Aaa na wewe hujielewi kibisa,nenda kaendeshe kipindi wewe basi aaaa