Siku 30 za nusu KIFO kwenye Maficho Melini, kama KOMANDO avuka Nyaya za umeme MPAKANI, atupwa JELA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ค. 2023
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

ความคิดเห็น • 41

  • @rajabotimi2851
    @rajabotimi2851 ปีที่แล้ว +10

    SNS kampuni kubwa, mkifanya mahojiano kila mmoja awe na microphone yake. Bwana mtangazaji mkono utachoka...

  • @denniskipngetich1842
    @denniskipngetich1842 9 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda huyu mjamaaa sana
    🇰🇪🇰🇪👏

  • @godfreyally-ps3fo
    @godfreyally-ps3fo ปีที่แล้ว +1

    Nakubari esko 💪👍

  • @kassimsalum1479
    @kassimsalum1479 ปีที่แล้ว +1

    Cerveja sio soda ni bia from 🇧🇷🇧🇷

  • @mutijimacedrick1622
    @mutijimacedrick1622 2 หลายเดือนก่อน

    ponta dor ni mpakani....milkinyencu=1500,,cerveja =bia

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw ปีที่แล้ว

    Yeah yes kwa hewa🔥🔥🔥🔥

  • @jiiwolf2900
    @jiiwolf2900 ปีที่แล้ว

    .True Sailor

  • @emmanueldeogratius3969
    @emmanueldeogratius3969 ปีที่แล้ว +2

    Napenda hizi stori

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 ปีที่แล้ว

    BAHARIA LAZIMA UPITIE MAJINI,,SALUTI

  • @Admirah77
    @Admirah77 ปีที่แล้ว +1

    Kilambo mpaka namoto boda inanikumbusha mbali sana ngoja nikusanye story kwanza

  • @yusuphmtumweni5829
    @yusuphmtumweni5829 ปีที่แล้ว

    👏👏💯

  • @theoriginals3240
    @theoriginals3240 ปีที่แล้ว +1

    Unachelew3sha show Escow

  • @alonewalker991
    @alonewalker991 ปีที่แล้ว

    Cerveja hutamkwa Servenha ni bia halisi kama Tusker au Kilimanjaro siyo soda..,
    Na Mil Quinhento ni Alfu moja na mia tano(1,500mt) ambayo ni sawa sawa na 50,000tsh kwa thamani.

    • @albertmbwilinge5449
      @albertmbwilinge5449 11 หลายเดือนก่อน

      ww ume taja thamani ya sasa, hyo aliyotaja yy ni kpnd hyo miaka mingi ime pita

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 ปีที่แล้ว

    Pamoja frome oman🤞

  • @mutijimacedrick1622
    @mutijimacedrick1622 2 หลายเดือนก่อน

    machangana nikama wa zalamu wa bongo

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 ปีที่แล้ว

    Osca mwanangu unajitahidi kazi ngumu na stori za hatari jichunge na microphoni moja haifai bado mtoto anakuitaji umushike na mkono mchoko😮

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 7 หลายเดือนก่อน

    Yaaaaan wengi wao mabaaria elim yao ya dalasa la 4 _7 kidogo MWEGA KAENDA KIDATO CHA KWANZA LAKIN AJIKATAA MWENYEWE AELEWIII SOMO CLASS😅

  • @ibbyikh1788
    @ibbyikh1788 ปีที่แล้ว

    Baria siku 30 kutoka South Africa kwenda Nigeria? Mmm hilo jahazi limekata mawimbi au lilivutwa na tagi?

  • @MustymediaTv
    @MustymediaTv 7 หลายเดือนก่อน

    Kwa pale manguzi alikuwa tayari kashatusua sema ndo hivyo wenge la meli tu

  • @abdallakhatib3898
    @abdallakhatib3898 ปีที่แล้ว

    Esco naomba utaje jina la baharia kwa kizulu maana umefanya nicheke sana alivyokuwa akilitamka

  • @nickbrown8350
    @nickbrown8350 ปีที่แล้ว

    😂😂😅 nimekubali

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk ปีที่แล้ว

    Ndani ya qKatembee na escooo

  • @jbboy8650
    @jbboy8650 ปีที่แล้ว +1

    Jamaa ni mwongo huwezi kujificha siku 30 alafu umeibuka uko nijeria duuu anglia esko watakuahariba kipindi.

    • @jovovichmedia9424
      @jovovichmedia9424 ปีที่แล้ว

      Au wewe ndio utaharibu kipindi

    • @Mfundo272
      @Mfundo272 11 หลายเดือนก่อน

      Wanaohojiwa wengi hapa ni walioshindwa maisha na wakaamua kwenda ulaya kutafuta maisha, bila ya kulipa nauli 😂😂kwa hio walikuwa wanaondoka na wanaenda kukaa Beach katika nchi tofauti na wakajikuta wanafaanya kazi melini kwa bahati mbaya,? Miaka ya 80 hadi 90 watanzania walikuwa tunaingia Greece bila ya Visa , hivyo mabaharia walikuwa wana ruka direct kwa ndege kwenda kuchukua kazi, by the way mikataba ilikuwa inatumwa na ticket kabla ya safari , hao ndio walikuwa mabaharia seaman wenyewe na wakirudi mikataba ikiisha utawakuta seaview, keays hotel, ushirika club, na wengi wao wamestafu kazi ya ubaharia na wapo kote duniani wanafanya shughuli nyingine, ukitaka taarifa za mabaharia hao nenda Seaman Union kariakoo, au mission to seaman

  • @rasjamal9854
    @rasjamal9854 ปีที่แล้ว

    Muongo akuna baharia aliyekaa chimbo siku 30 na meli 😂😂😂😂😂 huyu gege nyingi baharia wa maskan

  • @eugeneokoth517
    @eugeneokoth517 9 หลายเดือนก่อน

    Ufala uurize kwa undani

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 ปีที่แล้ว +2

    Wengi SA wanauza unga

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 8 หลายเดือนก่อน

      Maisha tu mapambano hata wangeuza mavi

  • @mbarakamashuka8246
    @mbarakamashuka8246 ปีที่แล้ว

    Chafu moja hiyo mahomie chungueni tandale moja

  • @Chemba67
    @Chemba67 ปีที่แล้ว +1

    HUA NAMWITA MZEE WA MPUMELANGA........MDOGO WANGU HUYU.....HAHAHAHAHAHA DAH, ITAKUA BAHARIA MWEGA KASABABISHA......

  • @kizengawani5868
    @kizengawani5868 ปีที่แล้ว

    Uyo baharia mbona atumwelew mara kwanza alisema b mkubwa wake kafarik akaw anaish na mama wa kambo then baadae karudi bongo kakuta b mkubwa kashafariki 😮 au ndo kaadisiw story afu anajifany baharia

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 ปีที่แล้ว

    Esco pumzisha mkono wako bwana bado uko unatakiwa kubeba mtoto

  • @saidsongoro9097
    @saidsongoro9097 ปีที่แล้ว +3

    Ngoja niendele kukusanyia story juu nikija story iwendefu maana safari south Africa 2003 ulaya toka 2006. Nikija likizo tuandae masaa 3.🇫🇮🇫🇮

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.

  • @yusufally5168
    @yusufally5168 ปีที่แล้ว +1

    Wakwanza Leo.

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 ปีที่แล้ว

    Tukakaa kama next week 😅