Siku 30 za nusu KIFO kwenye Maficho Melini, kama KOMANDO avuka Nyaya za umeme MPAKANI, atupwa JELA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ค. 2023
- Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web.app/buy/6Ew6mE...
Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
SNS kampuni kubwa, mkifanya mahojiano kila mmoja awe na microphone yake. Bwana mtangazaji mkono utachoka...
Napenda huyu mjamaaa sana
🇰🇪🇰🇪👏
Nakubari esko 💪👍
Cerveja sio soda ni bia from 🇧🇷🇧🇷
ponta dor ni mpakani....milkinyencu=1500,,cerveja =bia
Yeah yes kwa hewa🔥🔥🔥🔥
.True Sailor
Napenda hizi stori
BAHARIA LAZIMA UPITIE MAJINI,,SALUTI
Kilambo mpaka namoto boda inanikumbusha mbali sana ngoja nikusanye story kwanza
👏👏💯
Unachelew3sha show Escow
Cerveja hutamkwa Servenha ni bia halisi kama Tusker au Kilimanjaro siyo soda..,
Na Mil Quinhento ni Alfu moja na mia tano(1,500mt) ambayo ni sawa sawa na 50,000tsh kwa thamani.
ww ume taja thamani ya sasa, hyo aliyotaja yy ni kpnd hyo miaka mingi ime pita
Pamoja frome oman🤞
machangana nikama wa zalamu wa bongo
Osca mwanangu unajitahidi kazi ngumu na stori za hatari jichunge na microphoni moja haifai bado mtoto anakuitaji umushike na mkono mchoko😮
Yaaaaan wengi wao mabaaria elim yao ya dalasa la 4 _7 kidogo MWEGA KAENDA KIDATO CHA KWANZA LAKIN AJIKATAA MWENYEWE AELEWIII SOMO CLASS😅
Baria siku 30 kutoka South Africa kwenda Nigeria? Mmm hilo jahazi limekata mawimbi au lilivutwa na tagi?
Kwa pale manguzi alikuwa tayari kashatusua sema ndo hivyo wenge la meli tu
Esco naomba utaje jina la baharia kwa kizulu maana umefanya nicheke sana alivyokuwa akilitamka
😂😂😅 nimekubali
Ndani ya qKatembee na escooo
Jamaa ni mwongo huwezi kujificha siku 30 alafu umeibuka uko nijeria duuu anglia esko watakuahariba kipindi.
Au wewe ndio utaharibu kipindi
Wanaohojiwa wengi hapa ni walioshindwa maisha na wakaamua kwenda ulaya kutafuta maisha, bila ya kulipa nauli 😂😂kwa hio walikuwa wanaondoka na wanaenda kukaa Beach katika nchi tofauti na wakajikuta wanafaanya kazi melini kwa bahati mbaya,? Miaka ya 80 hadi 90 watanzania walikuwa tunaingia Greece bila ya Visa , hivyo mabaharia walikuwa wana ruka direct kwa ndege kwenda kuchukua kazi, by the way mikataba ilikuwa inatumwa na ticket kabla ya safari , hao ndio walikuwa mabaharia seaman wenyewe na wakirudi mikataba ikiisha utawakuta seaview, keays hotel, ushirika club, na wengi wao wamestafu kazi ya ubaharia na wapo kote duniani wanafanya shughuli nyingine, ukitaka taarifa za mabaharia hao nenda Seaman Union kariakoo, au mission to seaman
Muongo akuna baharia aliyekaa chimbo siku 30 na meli 😂😂😂😂😂 huyu gege nyingi baharia wa maskan
Ufala uurize kwa undani
Wengi SA wanauza unga
Maisha tu mapambano hata wangeuza mavi
Chafu moja hiyo mahomie chungueni tandale moja
HUA NAMWITA MZEE WA MPUMELANGA........MDOGO WANGU HUYU.....HAHAHAHAHAHA DAH, ITAKUA BAHARIA MWEGA KASABABISHA......
Uyo baharia mbona atumwelew mara kwanza alisema b mkubwa wake kafarik akaw anaish na mama wa kambo then baadae karudi bongo kakuta b mkubwa kashafariki 😮 au ndo kaadisiw story afu anajifany baharia
Esco pumzisha mkono wako bwana bado uko unatakiwa kubeba mtoto
Ngoja niendele kukusanyia story juu nikija story iwendefu maana safari south Africa 2003 ulaya toka 2006. Nikija likizo tuandae masaa 3.🇫🇮🇫🇮
Kusanya bunda baharia
M nahitaji conetion hata yakufagia ulaya
Bos
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌️.
Wakwanza Leo.
Tukakaa kama next week 😅