BAHARIA YUZO: MAISHA YA MELINI/ NILICHOMWA MOTO/ WALIJUA NIMEKUFA/ NILIENDESHA MELI PEKEE YANGU-01
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- Ni historia ya kustaajabisha ya kijana aliyepata misukosuko ya kimaisha tangu akiwa nchi kavu, baba yake mzazi alimtamanisha maisha, kutokana na hali ngumu ya kiuchumi ya nyumbani kwao.
Aliishi na mama yake kwa kipindi kirefu huku baba yake mzazi akipotea kwa zaidi ya miaka miwili, alisoma kwa tabu mpaka alipoamua kujitoa kafara kwa ajili ya familia yake, ili iishi vizuri.
Maisha yake ya shule hayakuwa rafiki sana, kutokana na uhalisia wa kilichokuwa kikimsibu tangu nyumbani kwao, endelea kuifuatilia story hii kwa undani, ili kujua nini kilimtokea kijana huyu aliyependa maisha ya melini tangu akiwa na umri mdogo!
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#baharia #mbanga #dupamdupange
Kwa mahitaji ya nguo zenye chapa ya "Kabunyau" wasiliana nasi popote ulipo kupitia namba zetu,...0764368113...na ..0717 066207...&..0653127761
Bro kabla ya mzigo kwenda mjini fanya marekebisho ya hilo neno sio kabunyau ni kabinyau
sahihi ni KABINYAU
Mwandishi anapenda story kinoma😂😂😂
Interview imenyooka maana #Yuzo Mtundu anaongea history ya maisha yake Salute #SIMBA WABAHARINI
Balozi Dupa kuna wanetu wana play zaidi ya ndugu 🎉🎉 reality feedback
fanya uweke nyengine bro part 3 we are dying waiting
hongeren story nzur. jitahdini play list na caption iwe fupi ili kulahsisha mtu kusach na kuelewa kilahs
Sunday hp pole sana dady
Really niggah big up broo💪💪💪
Pamoja sana My Brother🔥🔥
Nimependa ridhiki popote🔥
Tupe full
Number One
Big up maisha sikitoto aisee
Dupaaa mbona tambala limepoooaaa mrudishe kabinyau mzee wa mchele jogoo mzee wa New castle au mlete baharia mwega au gamba mla chake agriiiiiiii agriiii
Hlf huyu mshkaji kama namjuwa pale tazara
We dupaaaa umesemaje apooooooh
Yesu😂😂😂
Ili tambala linaweza likawa Kali mbeleni DuPa Hua huna kazi mbovu nakuaminia
Mmekata utamu mjue😮
Dupa tuleteeni tambala bhana hii stori za bongo jau tu tunataka story za mtoko mzazi sisi sote waendao na tushatoka sana amigo to do bee Mozambiquekano mwito bandimu