MBANGA: MAISHA YANACHOSHA/ ULAYA LAZIMA/ NIMEAMUA HIVYO/ UJAMBAZI, MAPENZI/ NILIPAGAWA/ NINAPAMBANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#safari #baharia #dupamdupange
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano, saa nne kamili asubuhi kama una simulizi/mkasa wasiliana nasi kwa namba..#0653127761
Can send me his number please,am from 🇰🇪 kenya,,,dude is fuckin OG homeboy
Bro nimekuwa nikifatilia sana kuanzia episode ya kwanza mpaka hii ya leo its really inspiration experience. Watching from Bahrain.
Aka Bachuchu Mombasa 001
🇰🇪🔥🇰🇪🔥🇰🇪🔥
Nina umri WA miaka 63 Ila Kijana nimempenda anajieleza vizuri sana na ni mkweli ana kipaji cha kujieleza nahisi ana kitu Ila hajajijua bado, sijawahi comment hata siku moja kwenye mtandao
Niko France namfatilia sana toka kipindi cha kwanza. Nikija bongo nataka nionane nae nitakuwa na zawadi zake. Huyu mwamba nam kubali sana mzee wa jogoo🙌🏾🙌🏾
Amekubalika sana balozi big up from +254🇰🇪
Daah Balozi, Amani Temba, Frank Kachema Jimmy doddy zamani sanaaaa Kila la heri nikija lazima nikuone balozi
Kwahiyo amepata demu mwenzenu nilikua namumendea hatari ila ndio ivyo sio bahati yangu 😔😔😔
Sure
@@frankgichuhi8993 yes
Mbanga balozi nimempenda leo mara ya kwanza kumsikia nipo USA Virginia ❤
Msomali wa kwanza kufuatilia kipindi yenye mafunzo heshima kwenu wazee
Cadey caliy 😂
Aaaah! Baharia banaa😂😂, mwalimu wa physics, Chemia na english😅😅😅
😂😂 kama nilivyo kuwa ulaya kufumba macho kufumbua Niko kipawa mzee Yuko real sanaaa
Appreciate maniga kabinyau inspiration reality you talk straight 💯 since day one will meet you deserve salute
KAMANDA ANAONGEA FAKTI SANA NAMKUBALI MNO BIG UP KWAKE
Mzee baba Mzee wakudonyoa respect kwako direct from 🇸🇦🇸🇦🇸🇦
Upo maeneo gani Rahima
Balozi Malima 💪💪💪 anaonekana ni mtu wa watu sana kwasababu kila mtu anaepita anamsalimia, yuko poa sana.
mwambie balozi nakuja mwenzi 8 kutoka uk brighton naomba namba zake
Nakubali bahalia mikoroshin moja home boy chaupepo mast
Mzee wa kabanyau...inspiration
Safi sana!!
Respect bro
Nimekuelewa vizuri
Respect Sana kakaaaa balozi weninouma nakubali Sana duva
Big up baharia
Balozi upo vizuri nafatiria sana kipindi mm nipo cape town ,south africa ,Etgali
Safi sana
Huyo jamaa anafaa sana kuekt movie hiv ajafikilia hilo
Dah!big namkubali sanaaaa..
.
Balozi big up ❤
Straight from qatar malima.babu yangu huyo
Salute mzee baba Balozi
Mkenya amezikubali cutting za muhuni
Dupamdupanga ishi na wana wa soba watupe mbanga zao piaa
Nai enjoy sana nikimsikiliza barozi
Oyaaa Baria tunakukubali mwenetu mzee wa kokoriko
Nakupata dupa mdupange kutoka ugahibuni 😂😂😂 na enjoy sana nasikilia hadi usinginzi unaisha
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Madam aisha 😅😅😅😅😅😅
Saf sana ikopoa
Safi sn balozi.
Nimemuona balozi nikafurahi hana baya 💯
Balozi kama vipi naomba namba yako au e _mail yako. Please take this serious
ubwabwa mixer mbuni😃😃😃😃😃
baaria balozi kapenya
Mzee wa koko liko😁
Huyu atunge kitabu huku kweti huyu Dili saaana
Sure Dupa kamaDingo babu SA. Na Balozi ni Old Skull n' Hip Hop. +way of life. Yeah. Shutout to ma hommiez
Big up madam Aysha for showing love 255 and 254 all d way from Kenya ..
Kabinyau😂😂😂
Ubwabwa mixer mbuni😀😀😀😀
🤣🤣🤣👍
Baharia si msela yuko reql
Mbona leo haikuruka dupa
punguza introduction
Punguza introduction😅
Simpingi broo akwepeshi Mzee wa ruraaa
Kabunyauuu
Mzee wa kokoliko mwanao nipo iringa .
😁😁😁Mwalimu Aisha Wifi Yetu
Mchele jogoo
Mwambieee arudiii kaburuuu ukoooo bongooo anajichoreshaaa tuuu atakua komedii tuuu bongooo uchawii jauuu rakeee rimekwishaaa bariaa woteee wakooo mbereee mapambanoo yanaendeeaaa bongooo uchawiii atagewaa kssss bureee ataporea
Hahahaha
BASI KIPINDI CHOTE CHA MBANGA,,,AWE ANAHOJIWA YEYE
Mwamba balozi
Mzee wa Kokorikoo 😂😂😂🐔🍗
mzee wa kokoriko unsatisfactory baba
Ebana mwna hana instagram account????
Ebana mshkaj ana instagram account????
Nipo UK naangalia sn story zako.