Mm mwenyewe nimepitia maisha hayo nime panda mara mbili mili yangu ya kwanza nilingia Madagascar n reunion mili yangu ya pili nili kwenda hd spain kisiwa kinaitwa Bilbao kuna watu wuesi wengi 2 mm kipindi sikutarajia km nitakuta watu weusi ndio mr kwanza kujuwa km n kuna wa Spain weusi ila kutembea unajuwa mengi 2 baada ya hapo nilirudi nyumbani nikaamuwa kwenda sauz ndio nilikaa miaka kumi n mbili ila km bado rizk yako n bado yani nilitumia md wangu sana nilivyo kuwa kijana kutafuta ili nije nikomboe family yangu ila sikufanikiwa ila mungu ndio mtowaji bd sijakata tamaa ya maisha sahii nimetulia napanga maisha yangu upya
daah namkumbuka kaka angu aliwkua south Africa alikaa miaka 5 then alizamia ili aend Australia lakin alifia njian😭😭😭mpk leo bad tunakukumbuk maan hta mwili wake aukurud Tz 😭😭😭mungu akupe kauri thabith mda mwingine tunaona kma ndoto labd ipo siku utarud rip my kaka😭😭
Kinachotumaliza waafrika ni Extended families....tunahangaika sana wanaume sababu ya kulisha mijitu isiyo na shukurani..... Wanaume tumepewa LABELS oor utasikia ndio uanaume...mara mwanaume umeumbwa kuteseka...n.kndio maana tunahangaika tu ovvyoo...tutulie nyumbani tuee wajasiriamali tuu .nimegundua maisha yetu mengi tunamaliza tunahangaika tuuu siku unatulia ushazeeka na utajiri hujaupata
Nilipokuwa nafanya kazi na waghana waliniuliza eti ukichukuwa trip melini ukirudishwa kwenu unafungwa nakawajibu ndio ,wakawa wanacheka sn . Wananiambia kwetu chukuwa trip utakavyo ukirudishwa unaambiwa welcome home and try again ni kutafuta maisha
My focus ilikua ni kumsikiliza baharia tu, ila hapa nime-pause in just 3mins, nimegundua huyu interviewer is very talented and competent... Big up bro.. Well now, lemme proceed
Ni siku za mwisho Ndugu jikaze uombe Mungu sana akuokoe na akulinde pia,maana huyo shetani tunaye siku zote anatafuta akutumikishe kama mfungwa mpinge huyo shetani kwa kupiga magoti na kuomba Mungu akulinde
Homy ILaLa fresh, henzi ya bandidu umerudi toka South hadi Bongo kwa border ? Baria anajipakia arudi Bongo kwa miguu special kutoka South kwenye mapangapanga ya kumwaga to sea, TZ tukutuku vichaa for life one love from Boston strong 617 USA.
Mimi nilizamia South Africa nilimhongaa bahariaaa Dolla elf 8000 elf naneulikua wawili na wakat wa kutoka tulivalishwa ma over rolls km wafanyakaz hd Southampton england
@@kassimmahimbo3028 amesema dollar 8000 sio dollar 80,000/=, ambayo ni sawa na milioni 16 za kibongo. Lakini bado ni nyingi sana! Kama alikuwa nazo hizo! Alizamia kwanini?? Si angepanda ndege na change ingerudi nyingi tuuu!!
ubarikiwe bro kwa kuwahoji hawa mabaharia nna bro wangu al maarufu msolopa yupo kibaha kwa mfipa nataka ukamuhoji ni follow insta shaikh_mponda tuyajenge ukamuhoji shukran bro
Duh jamaa karuka sana eti mtwara hadi quirimane yani umeshindwa kuitaja mocimboa nampula hadi kufika uko sema cy mbaya umejitaid kamanda sisi bado tupo uku tunapambana bado
Katika maelezo yote asemi meli ya kwanza kapandia Port Dar es salaam ilikuwa mwaka gani? Na alipoenda Mozambique ilikuwa mwaka gani? Na meli aliyo panda South Africa mwaka gani? Na port gani?kwa mimi story bado aija jitosheeza
Bora zamani walikuwa wanazamia wanarudi na marinda yao sasa hivi zamia washenzy wazungu wanakufunua malinda kwanza wakikupata na kukutupa baharini ...vijana bora mtumie njia halali kusafiri na kutafuta maisha tu
Mimi na wenzangu wawili tulizamia meli ilikuwa inaenda ugiriki, ilikuwa 1995 kipindi hicho nikiwa na miaka 20 kipindi Mlema kashika mno kwenye siasa. Ilikuwa taabu sana! wale wenzangu wawili walipoteza maisha japo kwa vifo tofauti, mmoja alipigwa risasi na wale mabaharia... Hiyo safari ilinivuruga sana akili yangu Hadi leo. Kila nikikumbuka huwa nalia.
Mtangazaji haulizi jamaa alizaliwa mwaka gani,alipokwea meli ya kwanza ilikua mwaka gani,alienda Msumbiji mwaka gani. Stori nzuri ila mwandisha ameshindwa kuhoji ili kuleta mtiririko mzuri.
Ukamhoji Sinbad baharia huyo ndie bahari tajiri kuliko wote duniani,, ila alikutana na hatari kubwa ktk safari zake hata ilifika kipindi alizikwa kaburini akiwa mzima na akatoka baada ya miezi mingi angali hai na utajiri mkubwa sana
Hizi simulizi huwa ni nzuri zinasisimua, zinahuzunisha ila kikubwa ZINAFUNDISHA... bravoo kaka mtangazaji
Mm mwenyewe nimepitia maisha hayo nime panda mara mbili mili yangu ya kwanza nilingia Madagascar n reunion mili yangu ya pili nili kwenda hd spain kisiwa kinaitwa Bilbao kuna watu wuesi wengi 2 mm kipindi sikutarajia km nitakuta watu weusi ndio mr kwanza kujuwa km n kuna wa Spain weusi ila kutembea unajuwa mengi 2 baada ya hapo nilirudi nyumbani nikaamuwa kwenda sauz ndio nilikaa miaka kumi n mbili ila km bado rizk yako n bado yani nilitumia md wangu sana nilivyo kuwa kijana kutafuta ili nije nikomboe family yangu ila sikufanikiwa ila mungu ndio mtowaji bd sijakata tamaa ya maisha sahii nimetulia napanga maisha yangu upya
daah namkumbuka kaka angu aliwkua south Africa alikaa miaka 5 then alizamia ili aend Australia lakin alifia njian😭😭😭mpk leo bad tunakukumbuk maan hta mwili wake aukurud Tz 😭😭😭mungu akupe kauri thabith mda mwingine tunaona kma ndoto labd ipo siku utarud rip my kaka😭😭
Kinachotumaliza waafrika ni Extended families....tunahangaika sana wanaume sababu ya kulisha mijitu isiyo na shukurani.....
Wanaume tumepewa LABELS oor utasikia ndio uanaume...mara mwanaume umeumbwa kuteseka...n.kndio maana tunahangaika tu ovvyoo...tutulie nyumbani tuee wajasiriamali tuu .nimegundua maisha yetu mengi tunamaliza tunahangaika tuuu siku unatulia ushazeeka na utajiri hujaupata
Ni kweli
FACT
Best interview ever..💪💪✊
Mzee ujana wake alikuw hatar sana like kwa bahalia√√√
Yes Siku nyingine tena ,new chapter masaa tofauti
Huyo ndio Bahari wa ukweli, yupo fasta kumaliza story, eti nilizaliwa nikateseka lakini bado naishi halafu nitakufa.
Mzee stor yake nzur lakn anaruka sana episode nzur nzuri 😄pongez kwako mtangazaj unaweza babaaa👏👏👏
😀😀😀😀😀
Jamaa anatakiwa atolewe movie. Real man.
Duh mzee umeludiswa South Africa Mala nyingi sana
Mabaharia wengine wapo Tanga broo watembelee
Nilipokuwa nafanya kazi na waghana waliniuliza eti ukichukuwa trip melini ukirudishwa kwenu unafungwa nakawajibu ndio ,wakawa wanacheka sn . Wananiambia kwetu chukuwa trip utakavyo ukirudishwa unaambiwa welcome home and try again ni kutafuta maisha
Keep it up bro. I really appreciate your work
My focus ilikua ni kumsikiliza baharia tu, ila hapa nime-pause in just 3mins, nimegundua huyu interviewer is very talented and competent... Big up bro..
Well now, lemme proceed
Hapo mzee wangu umeongea VIZURI sana
Angekua anataja na mwaka ingekua vzr
Kuna story nzuri sana ya baba yangu alikuwa baharia
Unatusaidia sana kusukuma mda wakati huu mgumu sisi tuliokwama huku uarabuni🇰🇪
Naomb contact Zak📱
Pole akyi Elija
Tupo pamoja my inshaalah tutaenda tuvtz yetu
Kasee
@@fredrickmuasya8475 Oyah! ukowapi bro?
Stoaway so mchezo na maisha ugaibuni hayataki uzembe
Kwahiyo mpaka saivi unatamani kwenda Italia Lima mboga huko mzee ulishachemka kitambo sana
Mambo ni moto nakufatilia sana Esco
Baba unajua kuhoji
Ni siku za mwisho Ndugu jikaze uombe Mungu sana akuokoe na akulinde pia,maana huyo shetani tunaye siku zote anatafuta akutumikishe kama mfungwa mpinge huyo shetani kwa kupiga magoti na kuomba Mungu akulinde
Don't let satan to play with your life please mr forgive them what they did to you, always pray.don't let them know where you are standing ok
Big up big man, I like hustlers mungu azidi kukupa huohuo moyo wa kutafuta.
Yani unamua kuingia meli kama ya kwako mashallah kipaji icho
Huyu jamaaa inaonekana kuna matokeo mengi sana anayaficha lakini ndio ubaharia mkuu sio lazima useme kila kitu
Ibrahim Aziz toka lini baharia akasema ukweli
Loh... Mungu akutnguliee ...yotee maishaa....katk utftji...
Kinachofurahisha mabaharia ni dressing codes zao tu hata ukimkuta mzee...
Huwoniuogo mukubwa
@@josephfunganya9339 ndo umeandika nini?
stori nzuri
Great story
Homy ILaLa fresh, henzi ya bandidu umerudi toka South hadi Bongo kwa border ? Baria anajipakia arudi Bongo kwa miguu special kutoka South kwenye mapangapanga ya kumwaga to sea, TZ tukutuku vichaa for life one love from Boston strong 617 USA.
Interview nzuri esco_dona 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mimi huwa nakubali maswali yako tu bro!!
Njoo na Zanzibar wapo wengi sana hao jamaa
Daah mzee yuko vizuri
Na hamejitaidi
Mimi nilizamia South Africa nilimhongaa bahariaaa Dolla elf 8000 elf naneulikua wawili na wakat wa kutoka tulivalishwa ma over rolls km wafanyakaz hd Southampton england
Baadae ikawaje?
Ndio upo huko hadi leo?
Ali Haji acha uongo ww elfu 80 dollar wazijua?? au umesikia wkati mwadanganywa: nizaid ya milion 170
@@kassimmahimbo3028 dola elf nane
@@kassimmahimbo3028 amesema dollar 8000 sio dollar 80,000/=, ambayo ni sawa na milioni 16 za kibongo. Lakini bado ni nyingi sana! Kama alikuwa nazo hizo! Alizamia kwanini?? Si angepanda ndege na change ingerudi nyingi tuuu!!
Huyu hawezi kusimulia vizuri. Story anatoa kama simple
Nenda Maersk Studio,Kinondoni,utapewa really Seaman story
ubarikiwe bro kwa kuwahoji hawa mabaharia nna bro wangu al maarufu msolopa yupo kibaha kwa mfipa nataka ukamuhoji ni follow insta shaikh_mponda tuyajenge ukamuhoji shukran bro
Nichek Instagram @esko_donald
Amazing story
Mabaharia km hawa serikali iwaenz na kuwatambua.mchanqo wao enz hizo waliitanqaza sana Tanzania nje ya nchi
Kwli Mzee baba
Hayo ndo mavazi ya mabaharia mabaharia wengi washakata lingi lakini mshushe nungwi utazama wewe yeye anachapa maji
Dah ilkuwa ni deadely voyage
Unaehoji hakuna mahali umemuuliza mwaka wa tukio safari alianza lini,tukio flani ilikua mwaka gani mpaka mwaka gani nk
Baharia hyu si teja yupo vzr yupo gado
Daah pole san mzee
Mtangazaji jifunze jinsi ya kuhoji maswali, hii ni bonge la story ila umechangia kuipoza kwa asilimia 70
Wengi wao naona wamechoka kimaisha japo walivamia meli kwenda nga'mbo
nice stori
Nakufatilia sn uko vzr
Pole
Duh jamaa karuka sana eti mtwara hadi quirimane yani umeshindwa kuitaja mocimboa nampula hadi kufika uko sema cy mbaya umejitaid kamanda sisi bado tupo uku tunapambana bado
Chakalulu nipo na kalinjumbi apa tunakuskiza kwa uzur tu
Hongera apewe kazi kwa safari hii maana ni watafiti sana hawa mabaharia
huyu mzee nimtafutaji ila maisha nisafari ndefu sana mja hupitia mengi ktk kufaiti maisha
Mzee ana story nzuri lkn anazihadithia kwa mkato
Katika maelezo yote asemi meli ya kwanza kapandia Port Dar es salaam ilikuwa mwaka gani? Na alipoenda Mozambique ilikuwa mwaka gani? Na meli aliyo panda South Africa mwaka gani? Na port gani?kwa mimi story bado aija jitosheeza
Anazingua hyu boya katoka mtwara ghafla tupo kilimani hafu kapilimposh wapi na wapi ssa
@@tanzaniadar5227 umeona kilimani kapilimposhi Zambia ndiyo maana nimeona story za maskani? Michezo hiyo nime cheza na mpk sasa nipo mtoni
Mtangazaji hajui kuhoji
Tatizo hpo ,,,,MTU anaemhoji ndo ki.l,,,za
Hivi Nan amewahi kukutana na baharia aliyetoboa life??? Wote naonaga wamechoka mbaya?
Wapo wengi sana
Wapo kibao na wengine wana uraia ktk mataifa mengine na awataki hata kurudi Afrika tupo nao huku viwanjani mpaka sasa na familia zao
I wish nao watafutwe watupe history ya hustling zao, kila siku tunakutana na Hawa waliochoka inavunja moyo na nguvu ujue😄
Mimi
Mabaria wapo wengi sana walio toboa tembea viwanja utaona mwenyewe
Huyu hakuwa na Seamen book
Wow
Pole broken
😅😅😅😅 RENAMO hata ukisoma historia ya harakat za kupambana na ukoloni hawakuwa wazuri . Wamekata watu midomo sana
Maswali mazuli Sana dogo
Haya bwana
Dah
Mnyama Esko!!!
Huyu yuko fiti kuliko wale mamento wa bagamoyo
Hahahahaa wale wa Bagamoyo story zao za kichawi. Nadhan wana future za kua waganga😂😂😁
Umeonaeee hata kama alikula unga hakuula kwa mda mrefu.
Hahahahaha... Umenifurahisha sana
Huyu anajua kusimulia
Unachelewa saana kurusha vipindi vyako mzee escom
Balaa sana
Ukitaka Habar Fupi Fupi Tumia Airtel Na Ukitaka Habari Ndefu Tigo Voda Na Jibu Airtel Plesha Tupu Apa Nimeganda Habar Inazunguluka Tobo Tupu
Yani Mtandao Wa Airtel Uko Vipi Intaneti Ugolo Tupu
Mnala Autulii Kama Kicheche Wa Uwanja Wa Fisi
Duhu
Kweli wewe baharia hata kofia ulivyovaa hiyo
hawa ndio mabaharia sasa🙂🙂
Bora zamani walikuwa wanazamia wanarudi na marinda yao sasa hivi zamia washenzy wazungu wanakufunua malinda kwanza wakikupata na kukutupa baharini ...vijana bora mtumie njia halali kusafiri na kutafuta maisha tu
hatariiiii
yaaan
Mambo
Vp
😂😂😂😂😂😂
Mimi na wenzangu wawili tulizamia meli ilikuwa inaenda ugiriki, ilikuwa 1995 kipindi hicho nikiwa na miaka 20 kipindi Mlema kashika mno kwenye siasa. Ilikuwa taabu sana! wale wenzangu wawili walipoteza maisha japo kwa vifo tofauti, mmoja alipigwa risasi na wale mabaharia... Hiyo safari ilinivuruga sana akili yangu Hadi leo. Kila nikikumbuka huwa nalia.
Uko wapi kwa Sasa?
Mimi naishi Dar japo nimekuja Tanga one-time.
Unarudi lini?
Wiki ijayo ntapata picha halisi, kwan vipi?
Nichek Instagram @esko_donald
Simulizi iko pw
Baharria gani alishawahi kutoboa life hil hamna show time tuuu
Kwanin mabaharia wengi wamechoka..?
Never lose hope baharia wewe vp chakaruru
bwana jabiri iko makini namtangazaji umeanda vyema.
Huyu muongo anahadithi ya kusimuliwa
stowaway is not a Seafarer bandugu
Ndumilakuwili alizamiaga wakamtosa kaogelea mpaka ufukweni.
Store all the way ( stolowey)
Are we? We are ,( wiii, waa)
As you were ( az wea)
Support ( sapota)
Stow-a-way,
Kipindi poa lakini advertising zako nyingi mno,zinatoa husuda yakuendelea kutizama.
Vijana wa skuizi hawajui kuchukua meli kazi Yao ni kuibia watu ndio waona uhuni
Kuna mdad kapita huko nyum..duh anamnyeo huyoo
Mwaka gani
Mtangazaji haulizi jamaa alizaliwa mwaka gani,alipokwea meli ya kwanza ilikua mwaka gani,alienda Msumbiji mwaka gani. Stori nzuri ila mwandisha ameshindwa kuhoji ili kuleta mtiririko mzuri.
Sijajua kama amesomea, kujua mwaka ni kitu muhimu yeye anahoji kama mbulula
Baharia nataka kiwanja maeneo ya buyuni kw ujenz wa nyumba
Kipo
Chenye ukubwa gani unataka
ads nyngi sana
Ndo hela zenyew hizo
Watoto wa kariakoo usafiri wameuanza zamani,kariakoo hamna fala
Nipe namba yako ya whattsap
Escooo 💪💪💪
Midomo ya jamaa anayehoji mikubwa yote wa juu na chini
Amekata center bolt
Baharia
Do 14:09
Nikitoka Mtwara kuja huku Tanzania 🤣🤣🤣
Pallahani Masumba kakusudia dar c unajua tenaa😃😃
@@abdullmahbeshi2903 🤣🤣🤣
Ukamhoji Sinbad baharia huyo ndie bahari tajiri kuliko wote duniani,, ila alikutana na hatari kubwa ktk safari zake hata ilifika kipindi alizikwa kaburini akiwa mzima na akatoka baada ya miezi mingi angali hai na utajiri mkubwa sana
Sinbad movies 🔥🔥
@@herikaniugu kumbe mhenga mwenzangu😂😂😂
Huyo kwa muonekano tu nikweli baharia chakaruru
Hahahaha
samson nkandi noma sana hawa mabaharia