MAKONDA AFISA AFYA FISADI WEWE BALAA || UNAKULA HELA ZA VIFAA NA DAWA TIBA || ANAUWA WAGONJWA TIMUA.

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 323

  • @richardodoyo7558
    @richardodoyo7558 4 หลายเดือนก่อน +10

    Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤

  • @dalianakerefu490
    @dalianakerefu490 4 หลายเดือนก่อน +6

    Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka

  • @KhadijaKhatibu-nh4dl
    @KhadijaKhatibu-nh4dl 4 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 4 หลายเดือนก่อน +8

    Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 4 หลายเดือนก่อน +3

    Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯

  • @SharoComedy-vt5nf
    @SharoComedy-vt5nf 4 หลายเดือนก่อน +2

    🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊

  • @paulmagese7900
    @paulmagese7900 4 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda

  • @lerakalaita6909
    @lerakalaita6909 4 หลายเดือนก่อน +18

    NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍

  • @njuka3515
    @njuka3515 4 หลายเดือนก่อน +11

    For Makonda i will vote

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 4 หลายเดือนก่อน +9

    Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo
    Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini 4 หลายเดือนก่อน

      Je kama na yeye katoa hiyo damu ya wanakondoo?

    • @Shalom2018
      @Shalom2018 4 หลายเดือนก่อน

      Amina

  • @jameskenzedex
    @jameskenzedex 4 หลายเดือนก่อน +12

    Magufuli amefufuka Tanzania back to real life God bless you

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 4 หลายเดือนก่อน +16

    Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu

  • @marymessay2768
    @marymessay2768 4 หลายเดือนก่อน +4

    Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena

  • @johnmtumishi8554
    @johnmtumishi8554 4 หลายเดือนก่อน +4

    11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina

  • @RamadhanMwinyimku-dw4od
    @RamadhanMwinyimku-dw4od 4 หลายเดือนก่อน +11

    Asante mungu kutuletea mgufuri2

  • @KulwaMpuya-ph9ib
    @KulwaMpuya-ph9ib 4 หลายเดือนก่อน +2

    Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia 4 หลายเดือนก่อน +6

    Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul

    • @abdulkarimfarah2336
      @abdulkarimfarah2336 4 หลายเดือนก่อน +1

      Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 หลายเดือนก่อน +10

    Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏

    • @user-dq3rv9mz3f
      @user-dq3rv9mz3f 4 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25

  • @user-vi4wx7oi7o
    @user-vi4wx7oi7o 4 หลายเดือนก่อน +11

    Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph2695 4 หลายเดือนก่อน +22

    Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.

    • @mungholomakalanga8958
      @mungholomakalanga8958 4 หลายเดือนก่อน +1

      Amina

    • @fbr5113
      @fbr5113 4 หลายเดือนก่อน +1

      AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 4 หลายเดือนก่อน +1

      Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako

    • @MagutaMabawa-hz7if
      @MagutaMabawa-hz7if 4 หลายเดือนก่อน

      Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya ​@@nassorkhamis6233

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee

  • @tatukaratatatukarata753
    @tatukaratatatukarata753 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏

  • @saratimoth4734
    @saratimoth4734 4 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana

  • @philemoncharles5065
    @philemoncharles5065 4 หลายเดือนก่อน +2

    mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 4 หลายเดือนก่อน +10

    MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 4 หลายเดือนก่อน +7

    Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi

  • @sadikishishira8130
    @sadikishishira8130 4 หลายเดือนก่อน +10

    Makonda hongera sana

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 4 หลายเดือนก่อน +3

    Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde

  • @danifani7899
    @danifani7899 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watching live from Jordan good work mtumishi makonde

  • @EmilianKomba-sb4kn
    @EmilianKomba-sb4kn 4 หลายเดือนก่อน +18

    Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii

  • @NikolausLucas
    @NikolausLucas 4 หลายเดือนก่อน +3

    Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 4 หลายเดือนก่อน +5

    Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .

    • @hamzafishten9560
      @hamzafishten9560 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 4 หลายเดือนก่อน

      Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji

  • @user-ii4vr9ij3l
    @user-ii4vr9ij3l 4 หลายเดือนก่อน +3

    mr makond piga kazi my brother

  • @JophasJohn-oh8zu
    @JophasJohn-oh8zu 4 หลายเดือนก่อน +5

    Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 4 หลายเดือนก่อน +1

      UMEONA EEEEEEEEEEH DAAAAH ANANIFURAHISHA SAAANA MWAMBA 😅😅😅😅😅

  • @user-eu5ly2sk8w
    @user-eu5ly2sk8w 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha

  • @KhadijaKhatibu-nh4dl
    @KhadijaKhatibu-nh4dl 4 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏

  • @user-fy3ni4yc5o
    @user-fy3ni4yc5o 4 หลายเดือนก่อน +7

    Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 4 หลายเดือนก่อน +1

      Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 4 หลายเดือนก่อน +11

    Mimi nimependa sana ccm ya makonda

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 4 หลายเดือนก่อน

      CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.

    • @ssekabiradauda7127
      @ssekabiradauda7127 4 หลายเดือนก่อน

      Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.

  • @gadielmungure9711
    @gadielmungure9711 4 หลายเดือนก่อน +6

    Hayo mahojiano kama mh unajua sababu za huo uhamisho haipo sababu ya kumhoji afisa utumishi tena. Waziri wa afya na waziri wa utumishi na waziri wa tamisemi wanafanya nini! Hao ndio wazembe hawafuatilii manunuzi ya fedha walizoomba kuidhinishiwa na bunge. Wadogo hao watatoleaje taarifa kwenye mikutano ya hadhara?

    • @euniestherwilliam1513
      @euniestherwilliam1513 4 หลายเดือนก่อน +1

      KWELI KABISA. WATUMISHI WA AFYA WAPO CHINI YA WIZARA YA AFYA. KATIBU MKUU AJIBU HAYO MASWALI

  • @simonlulenga7062
    @simonlulenga7062 4 หลายเดือนก่อน +5

    Makonda ni mtu wa hovyohovyo tu; lakini kusema ukweli nchi hii inahitaji mtu kama huyu Ili mambo yaende sawa. Viongozi wastaarabu kwa kweli wanadanganywa na wanaonewa sana.

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 4 หลายเดือนก่อน

      Kwajyo Makonda sio wa hovyo hovyo kivile sema ndivyo ilivyo

    • @user-rn6ft5yz2l
      @user-rn6ft5yz2l 4 หลายเดือนก่อน

      Nyanoko bhebhe

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 4 หลายเดือนก่อน +6

    Viva Makonda

  • @josephrubanda282
    @josephrubanda282 4 หลายเดือนก่อน +8

    Makonda yesu akusimamie

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 4 หลายเดือนก่อน +3

    YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂

  • @user-hk1cq9dk7b
    @user-hk1cq9dk7b 4 หลายเดือนก่อน +1

    Namuona makonda kuleeee anapaaa

  • @user-kt7bv1pq9p
    @user-kt7bv1pq9p 4 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana

  • @user-wu5jj5kn2h
    @user-wu5jj5kn2h 4 หลายเดือนก่อน +6

    Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @habibasungur9375
    @habibasungur9375 4 หลายเดือนก่อน +7

    Watanzania woote ambao walimpenda magu nahuyu lazima watampenda kwa hio tuunfane kwa pa1 kumuombea huyu kaka vinginevyo mmh

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 4 หลายเดือนก่อน

      KWELI KABISA 😅😅😅😅

  • @suleimankigada2106
    @suleimankigada2106 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 14 วันที่ผ่านมา

    Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro

  • @PeterBureta
    @PeterBureta 4 หลายเดือนก่อน +6

    Haya unayoyahoji viongozi wenzio wa Ccm.Walikuwa wapi hayo mahajiano ni kuonesha udhaifu wa serikali dhidi ya utendaji wake wa mazoea.Yanasikitisha sana!!

    • @idyjumanne9796
      @idyjumanne9796 4 หลายเดือนก่อน

      Tulia ww makonda Afanye kz

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini 4 หลายเดือนก่อน

      Hahahahaha Nape alisema kipindi kile ccm litashinda hata kwa goli la mkono sawa likashinda kweli kilichomkuta enzi za mwenda zake Tuliona hadharani kwa huyuuuu Leo yupo makukwani Leo,labda amekuja Tena kupaka damu mikono ya mama Samia isiyotaka damu

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 4 หลายเดือนก่อน +11

    Mh Makonda muulize pole pole afisa wetu jamani mengine siri

    • @user-hg7oz8ze4d
      @user-hg7oz8ze4d 4 หลายเดือนก่อน +1

      Hizo sir asilimia kubwa ndio ufisad wenyewe

    • @chefmikeyfrancisco6735
      @chefmikeyfrancisco6735 4 หลายเดือนก่อน

      Thubutu siri ukoo kwenu,.

  • @keraryosilasi-lr4kw
    @keraryosilasi-lr4kw 4 หลายเดือนก่อน +2

    hivi huyu makonda siatakuwa mtoto wa magufuri kweli

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 4 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅 pacha wake

  • @CharlesTarimo-db6li
    @CharlesTarimo-db6li 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka

  • @calvinrichard4591
    @calvinrichard4591 4 หลายเดือนก่อน +1

    Next president after mama Suluhu

  • @user-tb4gh1sm9k
    @user-tb4gh1sm9k 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda usiiache kwenda morogolo mang'ula wakazi wa mang'ula wamenyang'anywa mashamba yao na kugawana baazi ya viongozi na kusababisha wananchi wakichukie chama cha ccm na kuhamia upinzani lakini ukweli nikwamba ccm mang'ula inawapiga kura wengi sana makonda nenda mang'ula

  • @user-vs7om2xj7x
    @user-vs7om2xj7x 4 หลายเดือนก่อน +7

    Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu

  • @saratimoth4734
    @saratimoth4734 4 หลายเดือนก่อน +3

    Amen Amen Amen Amen kaka makonda

  • @user-yi3mb1cv9l
    @user-yi3mb1cv9l 4 หลายเดือนก่อน

    Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.

  • @HappyNdelwa-ut1cp
    @HappyNdelwa-ut1cp 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera baba mungu akubariki

  • @user-wq8kw7wb1n
    @user-wq8kw7wb1n 4 หลายเดือนก่อน +5

    Wezi hao wanamishara bado wanaiba pesa za umma fyeka hao waje walime waone kama nivyepesi nasisi tunalima ile hali tunasifa kama wao

  • @philipojoseph4192
    @philipojoseph4192 3 หลายเดือนก่อน

    Safii sana Makonda safisha

  • @user-yw6cn4yt4s
    @user-yw6cn4yt4s 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe

  • @tabithaeppyness3867
    @tabithaeppyness3867 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen

  • @gregoryogweyo4598
    @gregoryogweyo4598 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watumishi wengi ni mbumbumbu, ndio maana wanannyasika, mwenezi wa chama hawezi kuwa na nguvu sio mwajiri wako, kumbe ndio maana mnatishiwa mnasaidia ccm kuiba kura kwa sababu ya uonga

  • @user-qc9ph9he7u
    @user-qc9ph9he7u 4 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza

  • @user-wu5jj5kn2h
    @user-wu5jj5kn2h 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤

  • @cosmasmikaliha1131
    @cosmasmikaliha1131 4 หลายเดือนก่อน +1

    Namunoa magufuli ndani ya makonda piga kazi baba

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 4 หลายเดือนก่อน +7

    Nchi hii inawajinga wengi sana ni vigumu sana kujikwamua

  • @joycemnanka3985
    @joycemnanka3985 4 หลายเดือนก่อน +6

    Magu amerudi kivingine asante mungu

  • @DavidEmilian-hq9xm
    @DavidEmilian-hq9xm 4 หลายเดือนก่อน +1

    Afu mnataka haki sawa kuongoza mnashindwa

  • @UKWELI-TV
    @UKWELI-TV 4 หลายเดือนก่อน +16

    kinacho mzuia makonda katika nafasi yake nikutumbua tu baadh ya watumishi wa serekali, ila Mungu atamuinua awe na cheo zaid ya alichonacho.
    ila kufa ni faradhi hakuna atakaebaki, hakuna mkamilifu, ila unaupiga mwingi makonda

    • @meshack3266
      @meshack3266 4 หลายเดือนก่อน +2

      Icho ndo kinachoniuma mm yani angekua na mamlaka ayo mbona panenoga

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 4 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu anatakiwa awe waziri mkuu

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 4 หลายเดือนก่อน +2

    Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.

  • @migombaelinest3500
    @migombaelinest3500 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mm naamini kila kiongozi angesimama kwenye nafasi yake kama kaka etu Makonda anavyopambana taifa letu linsingekua na shida yoyote.

  • @habibasungur9375
    @habibasungur9375 4 หลายเดือนก่อน +2

    Masikini makondaaaa namuonea huruma jamani mmh mungu amlinde la sivyo mmh haya tuone

    • @JophasJohn-oh8zu
      @JophasJohn-oh8zu 4 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu tumuombee Mungu aisee wasije wakamumaliza maana duu hii nchi haitaki watu wa kusema ukweli yaani Mungu amulinde huyu mwamba 🙏🙏🙏

  • @castmasawe3275
    @castmasawe3275 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mtu yeyote akifanya Jambo ama Kazi bila ya kuwepo mwajibishaji Ile Kazi itakua chini ya kiwango tarajiwa...nimeipenda hii ya makonda na ninatamani mikoa yote pawepo na viongozi nje ya serikali kufuatilia watendaji wa serikali.nchi itanyooka..ikiwezekana wapewe hata wapinzani potelea mbali ...tuwekane Sawa.

  • @user-qn9wk4lr2t
    @user-qn9wk4lr2t 4 หลายเดือนก่อน +2

    Honger kak makonda

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 4 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akulinde mdogo wangu

  • @PeterBureta
    @PeterBureta 4 หลายเดือนก่อน +1

    Nasikitika sana utawala wa ccm ndio wenye haya anayoyaeleza huyu sielewi.Wawatoe wote basi waajiri wengine!Inatuumiza sana.

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 4 หลายเดือนก่อน +2

    Tena awa wezi sana kama pale general hospitali uozo upo watu wanateseka sana

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg 4 หลายเดือนก่อน +3

    Jaman watanzania kuwen macho sasa kama utendaji wa viongozi wa serikali ndo huu, this is exactly systemic failure. John pombe alisimamia maadili ya watumishi ila kwa sasa eee...

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini 4 หลายเดือนก่อน

      The time will tell ngoma ikivuma Sana lazima ipasuke

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 4 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 4 หลายเดือนก่อน +2

    Madaraka yakurisi ndio shidayake unapewa taasisi uiongoze hujui unawekwa naninisasa

  • @joeldaniel3348
    @joeldaniel3348 4 หลายเดือนก่อน +3

    Naimani uko aliko lala kipenz chetu magufuri anachekelea kwa majembe aliyo yaacha huko 2030 rais wa Tanzania paul makonda isipo kuwa ivo nipigwe mawe nife

  • @bennychawala2776
    @bennychawala2776 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mmmh huyu tuwe makini mbona anamasihara sana,duuh anakauli za ajabu sana

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 4 หลายเดือนก่อน +2

    Ukimtoa mungu mitume yake baba na mama pamoja na raisi samia mtu muhimu tuliebakia nae ni mheshimiwa Paul makonda ndio mtetezi wa wanyonge kwa sasa.

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 4 หลายเดือนก่อน +3

    Yesu mlinde mama yetu Samia pamoja na makonda

    • @miltonjohn9779
      @miltonjohn9779 4 หลายเดือนก่อน

      Mungu mbariki, umlaani Samia na mzoga group

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m 4 หลายเดือนก่อน +3

    Ha hahahahahahahahaahha tarura njoooo mtu wa bara bara njooo hhahahahahahahha😅

  • @user-yk9ro1yi2u
    @user-yk9ro1yi2u 4 หลายเดือนก่อน +1

    Big up my braza

  • @dionisiajohn519
    @dionisiajohn519 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda safi sana, safisha mchwa hao.

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m 4 หลายเดือนก่อน +3

    Mimi makonda nina barua yangu ya kurejeshwa kazini nateseka Sana naomba unipe njia gani suala langu ulipate vyema

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 4 หลายเดือนก่อน

      We mtafute kny mizunguko huko km wenzako wanamfukuzia kila anapokwenda

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hon. Makonda je si sawa kuleta wakoloni watutawale tu , maana kama ndo madudu ya watendakazi wa serikali yenu hii na wanalipwa kodi za wananchi si aibu hii jamani ???
    Mbona kuna watu nje huko wanatafuta ajira hawapewei wanapewa watu wa hovyo hivi kweli , hakika hii ni aibu na laana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l 4 หลายเดือนก่อน +3

    Hakuna cha umri. Hao ni waajiriwa na wameajiriwa na serikali ya chamade cha mapinduzi. Boss kaja anataka majibu wananchi wanafanyiwa nini?
    Wewe jibu maswali mama

  • @nassirsbahock6710
    @nassirsbahock6710 4 หลายเดือนก่อน +3

    Kwetu hatuna uongozi tunapowaangalia uongozi unaofanyika tanzania huwa tunatamani na kenya tupate uongozi kama huu

  • @DavidEmilian-hq9xm
    @DavidEmilian-hq9xm 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo anajuwa ndio maana hasemi

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 4 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo hajui kazi yake na mipaka amesoma makaratasi tu

  • @mfwimiekayuki8692
    @mfwimiekayuki8692 4 หลายเดือนก่อน +1

    Sawa Makonda ungejua unaidhalili serikali yako usingefanya hayo ya kudhalilisha watumishi wa serikali .Ni sifa kwako lakini ni aibu kwa serikali.

  • @obednyagani506
    @obednyagani506 4 หลายเดือนก่อน +1

    Natabiri kuwa atakuwa makamo wa rais mwakani

  • @DavidEmilian-hq9xm
    @DavidEmilian-hq9xm 4 หลายเดือนก่อน +1

    Wakiwa maofisini maksudi sana hao

  • @user-le5ft5ic5g
    @user-le5ft5ic5g 3 หลายเดือนก่อน

    Haki huinua Taifa simamia Haki mtumumishi wa Mungu damu ya Yesu ikufunike.