MAKONDA AFISA AFYA FISADI WEWE BALAA || UNAKULA HELA ZA VIFAA NA DAWA TIBA || ANAUWA WAGONJWA TIMUA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 414

  • @dalianakerefu490
    @dalianakerefu490 11 หลายเดือนก่อน +14

    Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 11 หลายเดือนก่อน +24

    Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo
    Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏

    • @DanielTumaini
      @DanielTumaini 11 หลายเดือนก่อน +2

      Je kama na yeye katoa hiyo damu ya wanakondoo?

    • @Peace.2018
      @Peace.2018 11 หลายเดือนก่อน +2

      Amina

  • @ritamaro5444
    @ritamaro5444 2 วันที่ผ่านมา +1

    Raisi wetu Makonda,Mungu akulinde Sana.Tungua pia majipu ya mahakamani

  • @KhadijaKhatibu-nh4dl
    @KhadijaKhatibu-nh4dl 11 หลายเดือนก่อน +12

    Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 11 หลายเดือนก่อน +7

    Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯

    • @Salsabiil12
      @Salsabiil12 หลายเดือนก่อน

      Naam yaan hii nchi ina madudu ssna

  • @GraceKimenanga
    @GraceKimenanga 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena

  • @richardodoyo7558
    @richardodoyo7558 11 หลายเดือนก่อน +17

    Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤

    • @Salsabiil12
      @Salsabiil12 หลายเดือนก่อน

      Kabisaaaaa

  • @SharoComedy-vt5nf
    @SharoComedy-vt5nf 11 หลายเดือนก่อน +2

    🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊

  • @AmiryAthuman-n3l
    @AmiryAthuman-n3l 2 หลายเดือนก่อน +4

    Watu kwenye saut iliyo nyororo wanandanganya Sana makonda haiiiiiii fanya kazi baba

  • @AhajHhh
    @AhajHhh หลายเดือนก่อน +2

    We makonda unawafanya wt tuwe na hamu ya kukusikiliza jmn Mungu asikie maombi yetu uwe Raisi❤🎉🎉

  • @SalamaHadji
    @SalamaHadji หลายเดือนก่อน +2

    Asante mtenda aki mungu akulinde na akupe umri mrefu akuna manyanyaso Tena baba uko juu makonda wetu

  • @lerakalaita6909
    @lerakalaita6909 11 หลายเดือนก่อน +41

    NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍

    • @SalumuAlly-d9q
      @SalumuAlly-d9q 6 หลายเดือนก่อน +2

      Kamwe hatoweza kuenda ikulu huyo mbwa koko izo sifa anazozitafuta hazina mpango wowote babu acha ushamba hawezi pewa ikulu huyo mbwa koko acha kujidanganya wasukuma wapenda sifa siku zote hawafiki mbali 😂😂😂😂

    • @khaliphaabubakar9466
      @khaliphaabubakar9466 6 หลายเดือนก่อน

      @@SalumuAlly-d9q”mbwa koko” anawapiga spana wavivu,warasimu na watu kama wewe

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@SalumuAlly-d9qChuki ni chukie lakini moyo wake muachie,,,,weweeeeeeee humpendi lakini tizama wimbi la wananchi watanzania wenye kujitambua wanavomfuata😅kati yako wewe na yeye nani mbwa koko??? 😅😅ilooooooo😅😅😅😮😮😮

    • @Joyce-m5y
      @Joyce-m5y 5 หลายเดือนก่อน

      Mungu akiamua makonda kwenda hikulu ataenda tuu
      Matusi sio hishu swala ni hoja wewe unaye mtukana makonda mungu adhiakiwi apandocho mtu atavuna.
      Mama yetu samia mungu Alimtumia amchague makonda wacha makonda atambe Damu ya Yesu inamtuza

    • @Joyce-m5y
      @Joyce-m5y 5 หลายเดือนก่อน

      Tutumie mitandao vizhri.
      Serikali inamkono mrefu kama huna Cha kuongea ni Bora tukaye kimya ndugu zangu wtz
      Angalia nyuma yko unawatu wanngapi wanakutegemea ?
      Tukumbuke laini zetu tumesaji na vitambulisho gani
      Tuache matumizj mabaya ya simj .Mungu atusaidie

  • @johnmtumishi373
    @johnmtumishi373 11 หลายเดือนก่อน +6

    11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina

  • @kwankwari5815
    @kwankwari5815 2 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana baba

  • @paulmagese7900
    @paulmagese7900 11 หลายเดือนก่อน +12

    Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda

  • @husseinbakary1969
    @husseinbakary1969 11 หลายเดือนก่อน +9

    Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu

    • @Salsabiil12
      @Salsabiil12 หลายเดือนก่อน

      Yaan wangepatikana watu kama haws 20 inchi yetu ingekaa sawa kabisaaa

  • @KulwaMpuya-ph9ib
    @KulwaMpuya-ph9ib 11 หลายเดือนก่อน +3

    Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote

  • @SHEDRACKMAUBARA
    @SHEDRACKMAUBARA 19 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda mungu akubariki. Ila uzidi kuombà kaka

  • @fatemafatema4780
    @fatemafatema4780 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤

  • @marymessay2768
    @marymessay2768 11 หลายเดือนก่อน +5

    Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu

  • @erickabel6201
    @erickabel6201 11 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 11 หลายเดือนก่อน +2

    Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea

  • @MohamedMrija
    @MohamedMrija 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana makonda chapa kazi

  • @PillaAgrniwe
    @PillaAgrniwe 11 หลายเดือนก่อน +7

    Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @suleimankigada2106
    @suleimankigada2106 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....

  • @msolekaonlinemedia
    @msolekaonlinemedia 11 หลายเดือนก่อน +9

    Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul

    • @abdulkarimfarah2336
      @abdulkarimfarah2336 11 หลายเดือนก่อน +1

      Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa

    • @Salsabiil12
      @Salsabiil12 หลายเดือนก่อน

      Haswaaa

  • @njuka3515
    @njuka3515 11 หลายเดือนก่อน +14

    For Makonda i will vote

  • @kilogreek4050
    @kilogreek4050 11 หลายเดือนก่อน +6

    YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂

  • @AminaBayo-l5x
    @AminaBayo-l5x 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana

  • @MaimunaNjicho
    @MaimunaNjicho 29 วันที่ผ่านมา +1

    Allah akupe maisha marefu.

  • @GraceKimenanga
    @GraceKimenanga 11 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 11 หลายเดือนก่อน +13

    Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏

    • @TomicSichalwe
      @TomicSichalwe 11 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25

  • @philemoncharles5065
    @philemoncharles5065 11 หลายเดือนก่อน +3

    mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee

  • @danielbayyo9068
    @danielbayyo9068 3 หลายเดือนก่อน +1

    Samia akitoka ngombea ww kura yangu nakupa ubarikiwe ❤❤❤

  • @danielbayyo9068
    @danielbayyo9068 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa kazi tu

  • @mohamedwwnurumasagcom8171
    @mohamedwwnurumasagcom8171 11 หลายเดือนก่อน +18

    Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu

  • @NikolausLucas
    @NikolausLucas 11 หลายเดือนก่อน +5

    Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu

  • @danifani7899
    @danifani7899 11 หลายเดือนก่อน +1

    Watching live from Jordan good work mtumishi makonde

  • @EmilianKomba-sb4kn
    @EmilianKomba-sb4kn 11 หลายเดือนก่อน +23

    Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii

  • @RamadhanMwinyimku-dw4od
    @RamadhanMwinyimku-dw4od 11 หลายเดือนก่อน +12

    Asante mungu kutuletea mgufuri2

  • @MajidAbdullah-p9s
    @MajidAbdullah-p9s หลายเดือนก่อน +2

    congratulations Mr Makonda

  • @tabithaeppyness3867
    @tabithaeppyness3867 11 หลายเดือนก่อน +5

    Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen

  • @BeullahBujah-lk3sx
    @BeullahBujah-lk3sx 11 หลายเดือนก่อน +4

    Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde

  • @OmariAmad
    @OmariAmad 11 หลายเดือนก่อน

    Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.

  • @nazarenajoseph2695
    @nazarenajoseph2695 11 หลายเดือนก่อน +24

    Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.

    • @mungholomakalanga8958
      @mungholomakalanga8958 11 หลายเดือนก่อน +1

      Amina

    • @fbr5113
      @fbr5113 11 หลายเดือนก่อน +1

      AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800

    • @nassorkhamis6233
      @nassorkhamis6233 11 หลายเดือนก่อน +1

      Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako

    • @MagutaMabawa-hz7if
      @MagutaMabawa-hz7if 11 หลายเดือนก่อน

      Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya ​@@nassorkhamis6233

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee

  • @LeokadiaShio-nm1ky
    @LeokadiaShio-nm1ky 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutuze Baba

  • @JenithaMligo-kc5uj
    @JenithaMligo-kc5uj 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwanangu makonda nimeumia sana walifo sema unaumwa Sasa ujiangalie mwanangu tumbo la uzazi linauma

  • @saratimoth4734
    @saratimoth4734 11 หลายเดือนก่อน +4

    Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana

  • @tatukaratatatukarata753
    @tatukaratatatukarata753 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏

  • @oswaldtemba2770
    @oswaldtemba2770 11 หลายเดือนก่อน +7

    Viva Makonda

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 11 หลายเดือนก่อน +10

    Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .

    • @hamzafishten9560
      @hamzafishten9560 11 หลายเดือนก่อน +2

      Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 11 หลายเดือนก่อน +1

      Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 6 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa Magufuli anaishi ❤

  • @MajidKarama-f7c
    @MajidKarama-f7c 11 หลายเดือนก่อน +12

    Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah

  • @anneypaschalina7395
    @anneypaschalina7395 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hatari

  • @georgethuranira5404
    @georgethuranira5404 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo sawa

  • @LinahSumaye
    @LinahSumaye 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ubarikiwe

  • @StafordFelician
    @StafordFelician หลายเดือนก่อน +1

    Jibu n pesa tulipewa lakn vifaa havijafika sasa mizunguko kbao ya nn😂😂😂

  • @OmaryJumaa-v6z
    @OmaryJumaa-v6z 11 หลายเดือนก่อน +3

    mr makond piga kazi my brother

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.

  • @FrankMalila-v3e
    @FrankMalila-v3e 6 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda endelea kutetea wanyonge nasi tunakuombea amina

  • @philipojoseph4192
    @philipojoseph4192 10 หลายเดือนก่อน +1

    Safii sana Makonda safisha

  • @AminaNgadu
    @AminaNgadu 11 หลายเดือนก่อน +2

    Honger kak makonda

  • @ShilindeEdward
    @ShilindeEdward หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akusimamie uendelee kutoa haki

  • @KhadijaKhatibu-nh4dl
    @KhadijaKhatibu-nh4dl 11 หลายเดือนก่อน +2

    Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏

  • @MeriJohn-d3y
    @MeriJohn-d3y 3 หลายเดือนก่อน +1

    baba mungu akujalie uish miaka ming

  • @sadikishishira8130
    @sadikishishira8130 11 หลายเดือนก่อน +11

    Makonda hongera sana

  • @KakaaSaiguran
    @KakaaSaiguran 4 หลายเดือนก่อน +1

    Mama apo kwa makonda umefika mwambie nisamee tu naogopa kuongeya mbele ya watu🤣🤣🤣 makonda chapa kaz

  • @saratimoth4734
    @saratimoth4734 11 หลายเดือนก่อน +3

    Amen Amen Amen Amen kaka makonda

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 11 หลายเดือนก่อน +5

    Naomba makonda Apewe uraisi hata mwakni Anajiamini sana na ninamkubali

    • @kaizamulinda633
      @kaizamulinda633 2 หลายเดือนก่อน

      Hataishi nahisi. The best don't survive

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 11 หลายเดือนก่อน +12

    Mimi nimependa sana ccm ya makonda

    • @geraldmakalala6091
      @geraldmakalala6091 11 หลายเดือนก่อน +1

      CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.

    • @ssekabiradauda7127
      @ssekabiradauda7127 11 หลายเดือนก่อน +1

      Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 11 หลายเดือนก่อน +7

    Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi

  • @AbdulmalikFedrick-ct7nb
    @AbdulmalikFedrick-ct7nb 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mueshimiwa Raisi Samia suluu Alha akufanyie wepesi inshallah kwenye uongozi wako
    Kwakumchagua mueshimiwa makonda

  • @happybalama3591
    @happybalama3591 4 หลายเดือนก่อน +1

    Majizi tu

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 11 หลายเดือนก่อน +12

    MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya

  • @CharlesTarimo-db6li
    @CharlesTarimo-db6li 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka

  • @dionisiajohn519
    @dionisiajohn519 11 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda safi sana, safisha mchwa hao.

  • @samueljeremiah2671
    @samueljeremiah2671 4 หลายเดือนก่อน +1

    We need leadership like this

  • @EmmanuelUdoba-b6p
    @EmmanuelUdoba-b6p 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wamekula

  • @Ayubuchonya
    @Ayubuchonya 4 หลายเดือนก่อน +1

    Watumbue baba uje na huku songwe

  • @godwinjames-du5yh
    @godwinjames-du5yh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sama mama wa Afya anaujasirii kiasi

  • @HappyNdelwa-ut1cp
    @HappyNdelwa-ut1cp 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera baba mungu akubariki

  • @Jeanjuma-y2o
    @Jeanjuma-y2o 26 วันที่ผ่านมา +1

    Makonda utawashika koo sana mafisadi

  • @EdwardLushona
    @EdwardLushona 11 หลายเดือนก่อน +7

    Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua

    • @sheckycobb5240
      @sheckycobb5240 11 หลายเดือนก่อน +1

      Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi

  • @SaadiyaMohammad-og5bg
    @SaadiyaMohammad-og5bg 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro

  • @AloycePaul-p9j
    @AloycePaul-p9j 11 หลายเดือนก่อน +1

    Namuona makonda kuleeee anapaaa

  • @JophasJohn-oh8zu
    @JophasJohn-oh8zu 11 หลายเดือนก่อน +7

    Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli

    • @shaamemchauru1365
      @shaamemchauru1365 11 หลายเดือนก่อน +2

      UMEONA EEEEEEEEEEH DAAAAH ANANIFURAHISHA SAAANA MWAMBA 😅😅😅😅😅

  • @odelalameck
    @odelalameck 11 หลายเดือนก่อน +3

    Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza

  • @neemamwaikenja
    @neemamwaikenja 11 หลายเดือนก่อน +8

    Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mmh hizi kazi hizi

  • @PillaAgrniwe
    @PillaAgrniwe 11 หลายเดือนก่อน +2

    Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤

  • @AlbethaGasper
    @AlbethaGasper 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante o

  • @habibasungur9375
    @habibasungur9375 11 หลายเดือนก่อน +2

    Masikini makondaaaa namuonea huruma jamani mmh mungu amlinde la sivyo mmh haya tuone

    • @JophasJohn-oh8zu
      @JophasJohn-oh8zu 11 หลายเดือนก่อน +1

      Huyu tumuombee Mungu aisee wasije wakamumaliza maana duu hii nchi haitaki watu wa kusema ukweli yaani Mungu amulinde huyu mwamba 🙏🙏🙏

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akulinde mdogo wangu

  • @AmiryAthuman-n3l
    @AmiryAthuman-n3l 2 หลายเดือนก่อน +1

    Waizi wakubw baba mwambie

  • @mwalamiomari6610
    @mwalamiomari6610 3 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa mi namkubar sana anatoa challenge kwa viongoz valaza kama hawa wanaopewa madaraka na ndugu zao

  • @MetrineNyongesa-f6s
    @MetrineNyongesa-f6s 29 วันที่ผ่านมา +1

    Hehehe Huyu ni kama magfuli

  • @richzebest2029
    @richzebest2029 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tunaipenda Tanzania iliyochangamka

  • @geraldmakalala6091
    @geraldmakalala6091 11 หลายเดือนก่อน +1

    Makonda anafaa kuwa waziri Mkuu ,Mungu ikimpendeza Mama samia umchague Makonda kuwa waziri Mkuu, Ili awanyoshe vizuri

  • @ErickMukanzi
    @ErickMukanzi หลายเดือนก่อน +1

    Ningekua na uwezo ningepadilisha viongozi wakenya waende Tanzania, na WA Tanzania waje Kenya.

  • @MohamedMahamba-h8d
    @MohamedMahamba-h8d 12 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani makonda nikiboko yao

  • @paulgathungu4527
    @paulgathungu4527 4 หลายเดือนก่อน +1

    Makondav akue raisi na rc hapi akue makamu