Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
@@SalumuAlly-d9qChuki ni chukie lakini moyo wake muachie,,,,weweeeeeeee humpendi lakini tizama wimbi la wananchi watanzania wenye kujitambua wanavomfuata😅kati yako wewe na yeye nani mbwa koko??? 😅😅ilooooooo😅😅😅😮😮😮
Mungu akiamua makonda kwenda hikulu ataenda tuu Matusi sio hishu swala ni hoja wewe unaye mtukana makonda mungu adhiakiwi apandocho mtu atavuna. Mama yetu samia mungu Alimtumia amchague makonda wacha makonda atambe Damu ya Yesu inamtuza
Tutumie mitandao vizhri. Serikali inamkono mrefu kama huna Cha kuongea ni Bora tukaye kimya ndugu zangu wtz Angalia nyuma yko unawatu wanngapi wanakutegemea ? Tukumbuke laini zetu tumesaji na vitambulisho gani Tuache matumizj mabaya ya simj .Mungu atusaidie
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
Magu konda💪💪piga kazi baba mungu akulinde tunakupenda saana kaka
Baba katika jina la Yesu namfunika Paul Makonda kwa damu ya Yesu,imeandikwa ufunuo 12:11 tumemshinda Shetani kwa damu ya mwanakondoo
Kwa damu ya ushindi Jehova namfunika mtu uyu ikawe ulinzi kwake..Ameni🙏
Je kama na yeye katoa hiyo damu ya wanakondoo?
Amina
Raisi wetu Makonda,Mungu akulinde Sana.Tungua pia majipu ya mahakamani
Makonda mungu akutie nguvu kiongozi wetu ila nakuomba baba ebu chungulia Kyle kwenye mfuko wa TASAFU WATU WANA ZULUMIWA BABA 🙏🙏🙏
Asante baba MAKONDA,shikilia sawasawa mbele kitaeleweka tu !!.❤ HAPA KAZI TU 👏👏👏👏👏💯
Naam yaan hii nchi ina madudu ssna
Mwenyenzi mungu akutunze muheshimiwa naona kabisa magufuli baba yetu katokea tena
Samia ukisitafu mwachie makonda inchi anaweza ❤
Kabisaaaaa
🎉daaaa kaka Makonda Mungu akupe maisha malefu mkowa wa tanga uta enda lini mnazi runguza kivingo kuna changamoto kubwa sana Mungu akutye nguvu 😊
Watu kwenye saut iliyo nyororo wanandanganya Sana makonda haiiiiiii fanya kazi baba
We makonda unawafanya wt tuwe na hamu ya kukusikiliza jmn Mungu asikie maombi yetu uwe Raisi❤🎉🎉
Asante mtenda aki mungu akulinde na akupe umri mrefu akuna manyanyaso Tena baba uko juu makonda wetu
NAMUONA PAULO MAKONDA IKULU THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA 🇹🇿 ♥️ wanaoniunga mkono gonga like 👍
Kamwe hatoweza kuenda ikulu huyo mbwa koko izo sifa anazozitafuta hazina mpango wowote babu acha ushamba hawezi pewa ikulu huyo mbwa koko acha kujidanganya wasukuma wapenda sifa siku zote hawafiki mbali 😂😂😂😂
@@SalumuAlly-d9q”mbwa koko” anawapiga spana wavivu,warasimu na watu kama wewe
@@SalumuAlly-d9qChuki ni chukie lakini moyo wake muachie,,,,weweeeeeeee humpendi lakini tizama wimbi la wananchi watanzania wenye kujitambua wanavomfuata😅kati yako wewe na yeye nani mbwa koko??? 😅😅ilooooooo😅😅😅😮😮😮
Mungu akiamua makonda kwenda hikulu ataenda tuu
Matusi sio hishu swala ni hoja wewe unaye mtukana makonda mungu adhiakiwi apandocho mtu atavuna.
Mama yetu samia mungu Alimtumia amchague makonda wacha makonda atambe Damu ya Yesu inamtuza
Tutumie mitandao vizhri.
Serikali inamkono mrefu kama huna Cha kuongea ni Bora tukaye kimya ndugu zangu wtz
Angalia nyuma yko unawatu wanngapi wanakutegemea ?
Tukumbuke laini zetu tumesaji na vitambulisho gani
Tuache matumizj mabaya ya simj .Mungu atusaidie
11:23 hongera mweshimiwa makonda una akili sana Mungu akulinde akutunze katika Jina la Yesu Kristo Bwana amina
Hongera sana baba
Mungu akuzidishie maisha marefu Paul makonda
Asanteee ma samia kwa kutuletea huyu mtu kura yangu moja kwa moja kwako mama yangu
Yaan wangepatikana watu kama haws 20 inchi yetu ingekaa sawa kabisaaa
Sant kaka mungu akulinde toka afariki mzee jonh sijawai fatilia mambo ya kisiasa lakini ujio wako nimeanza kukufatilia ziara zako zote
Makonda mungu akubariki. Ila uzidi kuombà kaka
Mashallah kweli mungu kamleta mjasiri.mwenye moyo kama marehemu magufuli.makonda oyeee mimi nipo kufatilia program zako nazipenda sana na watu wengi sana wanapenda sana program zako sababu unatetea haki za wananchi haki za wanyonge makonda oyeee mama samia oyeeee😂😂😂❤
Ameeen Mungu wa mbinguni akulinde tunakufunika kwa damu ya Yesu
Kazi nzuri 🔥🔥🔥🔥
Makonda Raisi wetu baada ya mama mkiti. Nakuombea kaka,kwa haya utalipwa na aliye juu. Tunakupenda na kukuombea
Hongera sana makonda chapa kazi
Iv kwann huyu mwamba asiwe rais Ila Nora abaki asije tuacha mapema huyu no mwamba wasukuma huwa watu wanyoofu sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mh hongela sana kazi nzuri unayoifanya usishie huko mikoani use na hapa dar ufukue minimum ya umeme na maji inatutesa saaaaanaaaa.....
Makonda anafanya kazi inayowashinda wateule wa Mama Kizimkazi Mungu akuweke sana Papa Paul
Makonda Saidia samia kumaliza ufisadi tanzania na mafissdi warudishe pesa na kufungwa
Haswaaa
For Makonda i will vote
YOUNG MAKUFULI KINUKE MKOANI❤❤😂😂
Asante kazana tunakutakia kila la heri ziara ina manufaa makubwa sana
Allah akupe maisha marefu.
Nimekuelewa sana mheshimiwa makonda hata mimi nina kero kubwa sana naamini namimi utanitetea nipewe haki yangu.kwa uwezo wa mungu.naishi arusha
Yaan Rais watu wako wanamadudu ni hatari na ndio maana Majaliwa uwa anaondokanao. Makonda ❤❤❤❤,Samia ❤❤❤🙏🙏
😅😅😅😅😅😅😅😅😅 0:24 0:24 0:25 😅 0:25
mama samia raisi wetu hongera sana sana kwa kuchagua kaka yetu makonda kwa stahili hii tuna amani sana sana mungu awalinde nina furaha sana sanaaaa ccm oyeeeeeeeeeee
Samia akitoka ngombea ww kura yangu nakupa ubarikiwe ❤❤❤
Hapa kazi tu
Nampongeza paul makonda kwa hii kazi ya kufumua majipu yaliyojificha, makonda atumbui ila yeye anafumua ili mama atumbue safi sana mwenezi wetu
Aisee makonda naikubali Sana kazi ya mkono yako mkuu
Watching live from Jordan good work mtumishi makonde
Makonda kwenyeee uraisiiiiiiii Moja kwa kwa mojaaaaaasaaaaaa akuna upinzaniii
😮
jidanganye
Asante mungu kutuletea mgufuri2
congratulations Mr Makonda
Kazi unayofanya kuwafuta machozi wanaolia wanyonge hakika Mungu anafurahia sana atakulinda nabaya lolote kwa jina la yesu Amen
Waooo!! CCM ya Makonda Mungu ailinde
Piga kazi makonda mungu yupo pamoja na wewe kwa kutetea watanzania kuna baadhi ya wizara ata bajeti za mapato na matumizi azijulikani ndani ya taifa letu.
Hongera makonda wetu Damu ya yesu ikufunike.
Amina
AMINA, MUNGU ASIMCHUKIE MAKONDA ADUMU MIAKA 800
Unapo sema ivi unamanisha nini ndugu naomba elimu juu ya hii kauli yako mm ni muislam naomba kujifunza kupitia hii kauli yako
Kujifunza ni kwamba Damu ya Yesu inalinda pia inaponya @@nassorkhamis6233
@@nassorkhamis6233amini unachoamini mzee
Mungu akutuze Baba
Mwanangu makonda nimeumia sana walifo sema unaumwa Sasa ujiangalie mwanangu tumbo la uzazi linauma
Makonda Yesu baba akuinue akubariki akukumbuke sanasana
Mama Samia hyo ndio kiongoz Bora c sio bora viongoz ❤ mauwa apewe 🙏
Viva Makonda
Uyu Jamaa wakiwa Rais kuna Watu atamkimbia Nchi na wengine watakufa kwa BP hawa ndio viongozi ninao wataka .
Hawa ndio viongozi tunataka africa kabisa
Roho ya Magufulu inaishi,Asante Mungu kwa kutufariji
Kabisa Magufuli anaishi ❤
Ndugu Makonda Leo nakuona uko na raha sana MashaAllah
Hatari
Hapo sawa
Ubarikiwe
Jibu n pesa tulipewa lakn vifaa havijafika sasa mizunguko kbao ya nn😂😂😂
mr makond piga kazi my brother
Nchi hii Ina viongozi mizigo wengi sana wanakula mishahara ya bure kuwatumikia wananchi hakuna . Mhe. Makonda, Mungu akubariki sana.
Makonda endelea kutetea wanyonge nasi tunakuombea amina
Safii sana Makonda safisha
Honger kak makonda
Mungu akusimamie uendelee kutoa haki
Kuna wajanja wanakuja hizo Hela 😭😭😭baba chondechomde na walengwa wanapewa kiduchu au hawapati kabisa nakuomba lifanyike u chunguzi wa kina kiongozi wetu🙏🙏
baba mungu akujalie uish miaka ming
Makonda hongera sana
Mama apo kwa makonda umefika mwambie nisamee tu naogopa kuongeya mbele ya watu🤣🤣🤣 makonda chapa kaz
Amen Amen Amen Amen kaka makonda
Naomba makonda Apewe uraisi hata mwakni Anajiamini sana na ninamkubali
Hataishi nahisi. The best don't survive
Mimi nimependa sana ccm ya makonda
CCM ya Makonda ndiyo ile CCM ya Magufuli.
Let him be careful because more enemies are being created as it was on magufuli, he should improve his personal security like not eating any how, you fight thieves, they fight you back in secrecy.
Aibu sana yani tunajivuta jasho na tishu angali safar ni ndefu na jua kali zaidi
Mueshimiwa Raisi Samia suluu Alha akufanyie wepesi inshallah kwenye uongozi wako
Kwakumchagua mueshimiwa makonda
Majizi tu
MUNGU ahsante kwa roho ya magufuri tunaanza kuona inafanya kazi ingawa magufuri amepumzishwa wapatie ulinzi Hawa tunaona matumaini mapya
Safi sana
Wasukumwe ndani kaka mchwa wanatusumbua sana hao. Wezi wa mali za umma mtanyooka
Makonda safi sana, safisha mchwa hao.
We need leadership like this
Wamekula
Watumbue baba uje na huku songwe
Sama mama wa Afya anaujasirii kiasi
Hongera baba mungu akubariki
Makonda utawashika koo sana mafisadi
Kabla kumpongeza makonda mpongeze mama aliyemteua
Safiiiiiii nilisema mama Samia alikua hili jembe litamfanyia kazi
Hakee makonda astahelia kuwa rais mungu tu afanye miujiza mm from kenya bro unaweza nakupongiza bro
Namuona makonda kuleeee anapaaa
Eee Mungu ulio juu mbinguni nakuomba baba kwa unyenyekevu ukamulinde Makonda na familia yake yaani huyu ni ndugu yake na Magufuli
UMEONA EEEEEEEEEEH DAAAAH ANANIFURAHISHA SAAANA MWAMBA 😅😅😅😅😅
Makonda nimekupenda kwa namna ulivojitoa kusikiliza kero za wananchi Mungu aendelee kukutunza
Huyu baba huyu mungu amsaidie sana ampe uhai mlefu tyu
Mmh hizi kazi hizi
Ah makonda mwamba kweli kweli😂❤
Asante o
Masikini makondaaaa namuonea huruma jamani mmh mungu amlinde la sivyo mmh haya tuone
Huyu tumuombee Mungu aisee wasije wakamumaliza maana duu hii nchi haitaki watu wa kusema ukweli yaani Mungu amulinde huyu mwamba 🙏🙏🙏
Mungu akulinde mdogo wangu
Waizi wakubw baba mwambie
Jamaa mi namkubar sana anatoa challenge kwa viongoz valaza kama hawa wanaopewa madaraka na ndugu zao
Hehehe Huyu ni kama magfuli
Tunaipenda Tanzania iliyochangamka
Makonda anafaa kuwa waziri Mkuu ,Mungu ikimpendeza Mama samia umchague Makonda kuwa waziri Mkuu, Ili awanyoshe vizuri
Ningekua na uwezo ningepadilisha viongozi wakenya waende Tanzania, na WA Tanzania waje Kenya.
Jamani makonda nikiboko yao
Makondav akue raisi na rc hapi akue makamu