Waziri Mkuu awaka "Kwani wewe umeteuliwa na Rais?, Huwezi kufanya kazi hapa, umesoma na waziri..."

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

ความคิดเห็น • 336

  • @oscarpatrick3820
    @oscarpatrick3820 ปีที่แล้ว +14

    Waziri Mkuu safari hii yupo na Watumishi wa Umma 👏👏 Unapiga kazi Hon. PM 🇹🇿 hongera sana

  • @stephanonjeje8956
    @stephanonjeje8956 ปีที่แล้ว +17

    Allaah Akulinde Akupe Hekma na Busara Mh"Waziri Mkuu Watanzania Tunategemea Sana Uwepo Wako Allaah. Akujaalie Afya njeema Kiukweeli Nafwatilia sana Ziara Zako Allaah Awahifadhi Na Kila Shari Inshaa Allaah

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 ปีที่แล้ว +10

    Mhe Waziri Mkuu Tunakuelewa Sana wananchi ✅

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 ปีที่แล้ว +24

    Chapa kazi baba mungu akupe nguvu majaliwa tumbua mijizi yote maana mingi imerudishwa iliyotoka awamu ya nne

    • @abuuhalidi387
      @abuuhalidi387 ปีที่แล้ว

      Mzeee chapa kazi namba hiyoooooo

  • @GreysonMheni-ln9rm
    @GreysonMheni-ln9rm ปีที่แล้ว +1

    Kwann hv kwenye nchi yangu?,kwann watu sisi siyo wazalendo?,kwnn watumishi mliyopewa dhamana na wananchi hamuwatendei haki wananchi wenyewe?.Ahsante sana mheshimiwa waziri mkuu kwa maamuzi ulochukua,M/Mungu atakulipa.

  • @rajenderrobert8605
    @rajenderrobert8605 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyezi Mungu akulinde Kiongozi wetu

  • @samwelsafari2992
    @samwelsafari2992 ปีที่แล้ว

    Hongera sana, mh kassim majaliwa mungu akubariki na kukulinda,chapa kazi ,tunakutegemea,wee magufili mpya

  • @taliqsanataliq7064
    @taliqsanataliq7064 ปีที่แล้ว +4

    Hii ndio serikali..imara big up

  • @josephmkina
    @josephmkina ปีที่แล้ว +2

    Hongera Mh Majariwa, Waziri wetu mkuu. Mungu akujalie.

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 ปีที่แล้ว +2

    Rais wetu wa badae allah akujaalie umri mref magufuli wetu mtarajiwa inshaallah❤❤

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 ปีที่แล้ว

      Kumbe tupo wengi wenye utimam tunaomuelewa huyu

  • @shamilahussein5294
    @shamilahussein5294 ปีที่แล้ว +2

    Mungu akuzidishie na akulinde na hasad zawaja waziri wetu

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 ปีที่แล้ว +5

    Safi sana tena sana...ila jitahidi kuchunguza hadi Kwa wakubwa wengine humo humo ndani Serikalini ....kwa huyo cha mtoto tu Kuna watu wanajua kupiga deal

  • @mwimbeatilio707
    @mwimbeatilio707 ปีที่แล้ว +8

    Sawa kabisa Muheshimiwa kwa Mwenyez Mungu kila mtu Mungu atatuhoji na tena kama watumishi wa serikalini ndio nampa Majibu vzuri molaa ni jalamba la motoo

  • @joseO12326
    @joseO12326 ปีที่แล้ว

    Wow❤ real leader, may God protect you, huyo aende kabisa na aadhibiwe kwa ubadhirifu wa mali ya uma

  • @allymohamed8658
    @allymohamed8658 ปีที่แล้ว +12

    Unanifariji Sana waziri mkuu, nakuona kama uko na kipenzi chako magufuli maama mama vilaza wote majizi kawarudisha na kuwapa uwaziri, January makamba, riziwani, majizi matupu hayo

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 ปีที่แล้ว

    Waziry👏👏👏allah akulide tanzania yetu irudi kwenye imaya Ya makufuli 🤲

  • @photopicha8298
    @photopicha8298 ปีที่แล้ว +4

    Mzee majaliwa piga kazi nakukubali sana

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia ปีที่แล้ว +7

    Kwani tukikuhitaji ugombeee urais utakataa mheshimiwa kubali sisi tutajitoa kwaajili yako

  • @jumaamartin7929
    @jumaamartin7929 ปีที่แล้ว +2

    endelea kuchapa kazi kwa maslah ya nch na mungu atakubariki mweshimiwa tunaona utendaji wako.mungu akufanyie wepesi uje uwe raisi wetu wabaadae

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 10 หลายเดือนก่อน

    Kasimmmmmmmmmm majaliwa ya mungu piga kazi nakuombea kwa mungu Uwe rais wa jamuhuri wa muungano wa Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @wilsonmollel3168
    @wilsonmollel3168 ปีที่แล้ว +2

    Am so happy with this friend of mine Endelea kushikamana na mama mwijenge nchi

    • @jessegodson8575
      @jessegodson8575 ปีที่แล้ว +1

      Atajengaje wakati mama amewarudisha wezi katika hii inchi mpaka mabehewa tumepigwa wameokota huko wamepiga rangi alafu wanatuambia sisi wananchi eti wamenunua tirioni+

    • @tumainkitundu1015
      @tumainkitundu1015 ปีที่แล้ว

      @@jessegodson8575 Kaka tuchati

  • @Christopher-ns6cq
    @Christopher-ns6cq ปีที่แล้ว +4

    Mzee hongera saana mzee yani mimi ni mzalendo mwenzako ila tu cjulikani kwani watu kama hawa aiseeeee! Basi tu mzee me ckufahamu hunifahamu lkn tuko per1

  • @florangunda8608
    @florangunda8608 ปีที่แล้ว +1

    Muheshimiwa unatenda haki,mungu akubariki kila hatua ,,,badae ujage kuwa Rais tu kwa namna yoyote ile..appriciate it.

  • @abhambomihambo6754
    @abhambomihambo6754 ปีที่แล้ว

    Well done Mr,Prime Minister!Hivi ndio tunataka kila Kiongozi aweze kufuatilia kazi zake kwa makini hakuna kuoneana haya au muhali ktk kazi na uzembe km huo,huyo ni mwizi tena mwizi mzoefu anayestahiki kuwa jela,chapa kazi Waziri Mkuu uwe mfano kwa hao mawaziri na waajiriwa waliozoea kufanya kazi kwa mazoea

  • @sdeshnjwetr6707
    @sdeshnjwetr6707 ปีที่แล้ว +6

    W.M..UKIFIKA LINDI KUNYWA JUICI YA MABIBO MI NITALIPA👍

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 ปีที่แล้ว +3

    Baba songa mbele, tunakuombea ulinzi wa mwenyezi Mungu

  • @kadirirashidi4960
    @kadirirashidi4960 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali sana wazir

  • @Leonard-xi8on
    @Leonard-xi8on ปีที่แล้ว +1

    Majaliwa na jpm hawa watu jambo moja akili moja na msimamo mmoja . piga kazi waziri nakukubali sana

  • @vermundasambala4858
    @vermundasambala4858 ปีที่แล้ว +8

    Afukuzwe kabisa watu wapo mitaani hAwana kazi wanahangaika tu

  • @eaglecrown6470
    @eaglecrown6470 ปีที่แล้ว +1

    Amina 🙏🏿. Asipoingiliwa huyu mwamba kwenye majukumu yake taifa letu litakuwa salama.

  • @josegambi7149
    @josegambi7149 ปีที่แล้ว

    Gombea uraisi brother viva sana

  • @benhorta5121
    @benhorta5121 ปีที่แล้ว +1

    Allah akunusuru na mabaya ya waja - Waziri mkuu

  • @khalidmohamed454
    @khalidmohamed454 ปีที่แล้ว +5

    Mungu akulinde mkuu

  • @bonymanya595
    @bonymanya595 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde zaidi na uzidi kubarikiwa

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 ปีที่แล้ว +4

    Muheshimiwa watu kama hao hayati Nilimsikia utuba yake mtu akialibu mkoa mmoja sio kumuamishia mwingine sio dawa ivi hulivyofanya ndio dawa mzuri bravo majariwa🙏🙏🙏

  • @browndebora2195
    @browndebora2195 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki waziri mkuu nyie ndio mna uwezo wa kuwawajibisha wanaokiuka maadili ya utumishi wa umma

  • @JAIROSMLIMILA-cl1wp
    @JAIROSMLIMILA-cl1wp ปีที่แล้ว

    Baba Mungu akuweke sana kwa haya unayo yasimamia aendelee kukutia nguvu.

  • @Emedroadtocanada
    @Emedroadtocanada ปีที่แล้ว +3

    Namkubali sana WAZIRI MKUU allah akubaariki sana

  • @mgungachannel9280
    @mgungachannel9280 ปีที่แล้ว

    Good work Waziri mkuu

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 ปีที่แล้ว +5

    Ukiwa unapita dodoma mheshimiwa nijulishe nikuchomee kuku pale chako ni chako ili usipate njaa ukiwa kwenye utendaji wako barikiwa sana mzee majariwa

    • @giftmusa6543
      @giftmusa6543 ปีที่แล้ว +1

      Npo area a,kaniagiza kesho nije kula kwa niaba yake

    • @kizitokasulamo9167
      @kizitokasulamo9167 ปีที่แล้ว

      @@giftmusa6543 ucjari kaka nikumbushe kabla mpira hauja anza😁😁😁

  • @alimbarouk9353
    @alimbarouk9353 ปีที่แล้ว +6

    Tatizo la serekali yetu viongozi kama hawa wabadhilifu wa umma wakishawajua hawawafukuzi kazi moja kwa moja na kuwataifisha kisheria Bali wanawapa kazi sehem nyengine na ndio maana kila wanapokwenda wanaiba ifike pahala watu wanaoiba fedha za umma wasipewe kazi sehem nyengine mana tabia ikishaingia kwenye damu ni mtihani

  • @anatolikalisti8705
    @anatolikalisti8705 ปีที่แล้ว

    Waziri mkuu big up

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 ปีที่แล้ว +2

    SAMIA HANA SIFA YA KUONGOZA TANZANIA. Rais asiyejali nyumba yake kazi kutembelea nyumba za wenzake kwake panaharibika. Wakati wa kufanya mageuzi ni sasa.

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 ปีที่แล้ว

      Anza wew na MAMA Yako.

    • @barakatibendelana1711
      @barakatibendelana1711 ปีที่แล้ว

      Nipe kitendo mkuu 'nikusadie kutumbua majizi 'hata yale makubwa nikonayo kiganjani

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 ปีที่แล้ว +1

    Mweshimiwa we washa moto tena ikiwezekana chukua form 2025 naomba mungu akupe kibali hicho uchukue hii nchi😁😁😁😃😃😃

  • @fredymasawe2862
    @fredymasawe2862 ปีที่แล้ว +6

    Ewe mwenyenz mungu mlinde uyu baba

  • @bahatijuma8233
    @bahatijuma8233 ปีที่แล้ว

    Aisee naomba kazi TAKUKURU

  • @francismakuno8643
    @francismakuno8643 ปีที่แล้ว

    I like this Man tumpe rais huyu waziri mkuu

  • @isaacalex6327
    @isaacalex6327 ปีที่แล้ว

    apewe kilondo mwizi mkubwa hongera waziri mkuu

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 ปีที่แล้ว

    Asante Sana waziri mkuu mama hajakosea kukuamin

  • @shaharikaratafighter9843
    @shaharikaratafighter9843 ปีที่แล้ว +1

    Unapambana waziri upokazin kweli

  • @dinnaemily2727
    @dinnaemily2727 ปีที่แล้ว

    Nakupenda Baba

  • @modudaniel5149
    @modudaniel5149 ปีที่แล้ว

    Mungu amuweke huyuu kiongozi muadilifu mpenda haki

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 ปีที่แล้ว

    WAZIRI WA MAJI !!!!
    KUNA MIKOA INALIA
    DAY AND NIGHT ..
    HAINA MAJI..ITS A
    VERY SAD NEWS....
    YET UNALETEWA BILI
    KUBWA.
    ..HOW.????

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 ปีที่แล้ว +4

    unaishi maisha ya haki!

  • @masudiamani4501
    @masudiamani4501 ปีที่แล้ว

    Good

  • @gaspercharles4242
    @gaspercharles4242 ปีที่แล้ว

    Prime minister inaction in deed good job.

  • @nsubiraphael8514
    @nsubiraphael8514 ปีที่แล้ว

    Fanya kazi mkuu waziri

  • @esterkiyongo2316
    @esterkiyongo2316 ปีที่แล้ว +4

    umefanya ni mkumbuke JPM maana alikua ndio kazi yake hiyoo halei ujingaa 🔥

  • @emmanuelonyangoochola9228
    @emmanuelonyangoochola9228 ปีที่แล้ว +1

    Piga kazi Mkuu

  • @lewissvictor8930
    @lewissvictor8930 ปีที่แล้ว +4

    Jamani wananchi wenzangu huyu ndo raisi tunaomba tumuombee jaman ndo mwenye uchungu na nchi

  • @alexgodlove776
    @alexgodlove776 ปีที่แล้ว

    Nmekuelewa Mheshimiwa majaliwa 👍👍🙏

  • @kombedavis4056
    @kombedavis4056 ปีที่แล้ว +3

    R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....bdo vijana wako wachache uliowa wacha ni waadilifu na wazalendo kwel kweli....Kasim Majaliwa. Humphrey pole pole. Dct Phil Mpango

  • @muzumusu4307
    @muzumusu4307 ปีที่แล้ว +4

    Safi Sana Waziri Mkuu

  • @Fabian-yr3ep
    @Fabian-yr3ep ปีที่แล้ว +1

    Jamani kagela wilaya ya kalagwe ndohovyo mweshimiwa wazili mkuu uje kalagwe

  • @RashidKaria
    @RashidKaria ปีที่แล้ว

    Waziri napambana sana hebu mzee wapigechini

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 ปีที่แล้ว

    Iko haja ya tamisemi kuwa chini ya ofisi ya waziri mkuu

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli mkuu msaidieni mama!!! Tupo nyuma yenu!!

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli mh fuatilia miradi yote tanzania nzima mikia yote kazi yako ni ngumu lakini inshaallah allah anakusimamie utekeze wajibu wako shukra allah kwakutuletea kiongozi muadilifu allah akuepushe na shari zao hao wahalifu na akuepushe na mabaya yote huo uongozi mh ni mas uli mbele ya allah lazima watu wafuatiliwe hao inshaallah

    • @victorphilipo
      @victorphilipo ปีที่แล้ว +1

      Tukuombee upokwenye midomo yasimba

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo Sasa kwa nchi yetu hao hao Takukuru bado tu Kuna shida

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 ปีที่แล้ว +1

    Acheni siasa kwani kahama mwemyewe au kahamishwa? Na jee mtu ana kesi nyingi vipi anahamishwa na kupewa kazi

  • @faridumtiru3497
    @faridumtiru3497 ปีที่แล้ว +1

    Majaliwa mungu akulinde baba,mtu akifanya madudu sehem na ikithibitika asihamishiwe pengine afukuzwe tu

  • @sirvestartumia1064
    @sirvestartumia1064 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana mh Waziri mkuu ila hapo sijaielewa hivi mita Hadi zinaingia nchini au kurtoka kiwandani Hadi kuuza tbs hawadhibitishi? Halafu tena mkinunua mdhibitishe halafu muwalipe tena tbs mmmh matumizi mabaya ya fedha ya serikali

  • @sheriffntaru2337
    @sheriffntaru2337 ปีที่แล้ว

    Nikiwa Nairobi Kenya nawapata live

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 ปีที่แล้ว

    Baba nakuelewa,wewe ni baba kweli kweli ,heshima yako inapanda zaidi,

  • @adamgeorge4699
    @adamgeorge4699 ปีที่แล้ว +1

    Nimependa kaza kiongozi

  • @giftrevocatus8040
    @giftrevocatus8040 ปีที่แล้ว +1

    #RAIS MAJALIWA 2025

  • @rafaelnchimbi2041
    @rafaelnchimbi2041 ปีที่แล้ว

    Namkubali Sana majaliwa bora angekua rais

  • @vincentvitalius9346
    @vincentvitalius9346 ปีที่แล้ว

    Nashukuru kwa kufuatilia na kufanya kazi kwelikweli Muheshimiwa waziri Mkuu, swali mtambuka ni hili; nani anahamisha watumishi na yeye anawajibika vipi hapo!

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 ปีที่แล้ว

    Shida nchii haiendelei Rais wa hii nchi anawalea Sana hawa wakurungezi,kila mkoa wakurungezi wanafanya ufisadi , Rip JPM

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 ปีที่แล้ว +6

    Mh waziri mkuu tunaomba serikali iwe inawafukuza kazi wale wote wanaowahamisha watu wanaofanya madudu katika nafasi zao.
    Hii itasaidia mafisadi na wabadhilifu wa mali za umma waogope kubebana kwa njia ya kuhamishana.

    • @ismailmasanilo7018
      @ismailmasanilo7018 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa watu kama Hawa kufukuza cyo waminifu kunawatu wanatafuta Kaz Kwa jasho

    • @karimambosanga4290
      @karimambosanga4290 ปีที่แล้ว

      Mwenyezi Mungu akulinde waziri mkuu,ni jukumu zito sana hili

    • @saimonj.sumley4667
      @saimonj.sumley4667 ปีที่แล้ว

      Ana pepo la wizi tumuombee

  • @bonifasngerangera
    @bonifasngerangera ปีที่แล้ว

    Dah! Najisikia aman Sana napo sikia saut Yako bigap sanaaaaaa!

  • @kilulumtunyungu9369
    @kilulumtunyungu9369 ปีที่แล้ว

    Sasa jamani mtu anamabovu kibao anahamishiwa sehemu nyingine tena🤔🤔🤔🤔

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 ปีที่แล้ว +1

    Wanaudhi sana hawa kuna watu wanalala na njaa nyinyi mnachezea hela kama zenu

  • @kenosman4780
    @kenosman4780 ปีที่แล้ว +1

    Kufukuzwa Kaz haitosh. Mwiz anatakiw awekwe ndan arudishe Kodi zetu atoke zake aendelee ki hustle

  • @khadejarajab844
    @khadejarajab844 ปีที่แล้ว

    Safi waziri wetu mchapakazi

  • @deuskainga1809
    @deuskainga1809 ปีที่แล้ว +6

    Ni ukwel usiopingika majaliwa nikiongozi kuliko mfano ongera sana. Kwa kweli msaidie mama usiongope chochote mungu atakulipa

  • @bongolegacy
    @bongolegacy ปีที่แล้ว +1

    "Kama ulivyokuwa unafanya Igunga..." Kwahiyo mlikuwa mnajua huyu mtu anafanya makosa huko Igunga ila badala ya kufukuzwa akahamishwa. Leo mnashangaa 😳

    • @jessykaelus1579
      @jessykaelus1579 ปีที่แล้ว

      Si ndio hapo: kisa kasoma na waziri🤔🤔 jamani:

  • @kassimukipingu7917
    @kassimukipingu7917 ปีที่แล้ว +2

    Kassimu wajina wangu piga kazi baba kwa halali usimuonee mtu

  • @dijasaid2994
    @dijasaid2994 ปีที่แล้ว

    Mh. Waziri Mkuu chapa kazi baba tunakuekewa huyo alipe tu hizo hela arudishe hao watu tomewachoka ni wanyonyaji ana kesi 16 bado ana hamishwa mkoa mwingine duu

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 ปีที่แล้ว +1

    Next president 2025 KM💞

    • @georgebongi4844
      @georgebongi4844 ปีที่แล้ว

      Hamna kitu hapa
      Unatupigia kelele iwe nini
      Yote ni kutaka sifa

  • @samwelbulongo6721
    @samwelbulongo6721 ปีที่แล้ว

    🙏

  • @emmanuelonyangoochola9228
    @emmanuelonyangoochola9228 ปีที่แล้ว +3

    Yaaani wasomi ndo wanaalibu hii nchi majizi kinoma shenzi kabisa

  • @DM_15
    @DM_15 ปีที่แล้ว +3

    Kumbe mtu akiteuliwa na rais hata akifanya madudu fresh hatakiwi kuulizwa leonimeelewa wateule wote wa raisi ni vibaraka vyake

    • @wazirimakua8769
      @wazirimakua8769 ปีที่แล้ว

      Uteuzi wa Rais hutenguliwa na Rais mwenyewe tu, nafasi ya Wasaidizi wake wa karibu ni kusimamisha tu.

  • @rashidsalim7078
    @rashidsalim7078 ปีที่แล้ว

    Vizuri kiongizi wetu

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 ปีที่แล้ว

    Jiziiii usiwachekee hao Kama mama

  • @naftalimhemi4163
    @naftalimhemi4163 ปีที่แล้ว

    Serikali iwasomeshe halafu mnakuja Kuiibia. SUKUMA NDANI

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 ปีที่แล้ว

    Mimi nashindwaga kuelewa... Hivi wanajuaje haya madogo.madogo ila makubwa km yale ya CAG hatujawahi sikia hadharani hivi?

  • @dmox8723
    @dmox8723 ปีที่แล้ว

    Amekula hela za raia duuuh huyo ni mtu m'baya sana mpeleke jela kbx

  • @mitanotena5149
    @mitanotena5149 ปีที่แล้ว +1

    Hao wote ni ndugu hauwezi wamaliza!

  • @pasquallungwa3517
    @pasquallungwa3517 ปีที่แล้ว

    Kumbe mlimuamisha tu kituo cha kazi ila tabia ile ile so..