KIMEUMANA! WATUMISHI WAKATAANA MBELE YA WAZIRI MKUU, PESA ZAPOTEA - "NANI ALIWATUMA MTOE PESA?"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 322

  • @EmanuelFesto-nm8fu
    @EmanuelFesto-nm8fu 5 หลายเดือนก่อน +3

    Waziri mkuu nakupa ongera kwa kazi nzuri pia enderea kutetea wanyoge pia nakuombea kwa mungu akupe maisha marefu pia akujalie nguvu na afy

  • @godsson5954
    @godsson5954 11 หลายเดือนก่อน +4

    bravo mh Waziri mkuu your the best hongera kwa Mh dr mama Samia your the best lakini ni heri kusiwe na wateule bali nafasi za wakurugenzi na wakuu wa wilaya na mikoa ziwe nafas zinazotangazwa na watu wa apply kama kaz zingine kisha tunaomba wafanyiwe vetting wapimwe na akili vizur pamoja na shule zao na uraia wao kisha wajadiliwe bungeni then waapishwe naona ikiwa hv ndo wataheshim mali na heshima ya serikali

  • @user-hs3er9ed6l
    @user-hs3er9ed6l 4 หลายเดือนก่อน +2

    Baba, Majaliwa Mungu akulinde,unanifanya nimkumbuke MAGUFULI it ko vizuri, wewe, makonda mko vzr

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 6 หลายเดือนก่อน +4

    Yaani hao watu hawana upendo kutoka moyoni wala hofu ya Allah hiyo ndio shida kubwa inayotokea.

  • @raulnassor5761
    @raulnassor5761 11 หลายเดือนก่อน +5

    Uwe raisi nakuchaguwa km magu daah!unatukumbusha mtu wetu,mungu alaze mahalo pema peponi Amin.

  • @SensaManzagata-tv7ds
    @SensaManzagata-tv7ds 8 หลายเดือนก่อน +1

    Tunakuamini sana waziri mkuu wetu hakika wewe ni jembe letu ahsante Mungu akujaze daima AMEN

  • @SimonKitaly
    @SimonKitaly 10 หลายเดือนก่อน +2

    Mkuu wangu waziri mkuu Mungu akubarii sana,siamni masikio yangu ninayoyaona na kuyasikia Mungu ameanza kujibu usiogope Mungu anakulinda

  • @user-tv8ym6ec6m
    @user-tv8ym6ec6m 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mhs,waziri mkuu,pole na majukumu,pia hongera kwa kazi unazo zifanya tunazojua,njoo tarime nikero tanesco hasa pale hitirafu zaumeme zinapotea jitokeza,mfano mita kutoka peleka umeme kwenye nyumba ya mtena,unaomba msaada kulekebishiwa,inakuchukua ha wiki hata mbili mteja ukiwa ngiza,sasa wateja ndio wapande kwenye nguzo kulekebisha tatazo tusaidie tarime kweli nishida

  • @LeahAlbinus-og9by
    @LeahAlbinus-og9by 8 หลายเดือนก่อน +1

    This is too hot,, Mwenyezi Mungu awasimamie viongozi wetu waaminifu, mna kazi ngumu sana

    • @nehemia397
      @nehemia397 6 หลายเดือนก่อน

      kazi ngumu si wamejipa wenyewe.
      mfumo wa CCM ni mbovu .

  • @user-sl3ww1vg4w
    @user-sl3ww1vg4w 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sanaa waziri mkuu kwa kutetea kodi za wananchi

  • @EricEricsaid
    @EricEricsaid 2 หลายเดือนก่อน

    My hero Allah hakupe maisha marefu Ameen

  • @hajinjuku-be7iq
    @hajinjuku-be7iq 10 หลายเดือนก่อน +1

    Asanti sana waziri kwa kazi mzuri ni wachache wanaofanya hivo

  • @user-el3hf1jl8g
    @user-el3hf1jl8g 9 หลายเดือนก่อน +1

    Asante baba

  • @jamesyegera5918
    @jamesyegera5918 8 หลายเดือนก่อน +1

    Magufuli wangu ,Majaliwa wangu raisi wangu, ❤❤❤

  • @VailettyShigerla-fw2sg
    @VailettyShigerla-fw2sg 11 หลายเดือนก่อน +3

    Mungu atusaidie jaman

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 6 หลายเดือนก่อน

    Hongera waziri mkuu hao ndio wanaotugombanisha na wananchi na kuwapanguvu wapizani

  • @mwanumwanu1513
    @mwanumwanu1513 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mh ,hata bukoba mjini
    Sehemu ya kyabitembe block A majambazi yamezidi watu wanavamiwa nakubakwa,na hawaogopilolote maana hakuna msaada wowote kuwasaidia wa wananchi

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa wote ni chukota na Kusukuma Ndani. 😢😢😢 Sauti ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora Agrey Mwanry

  • @sylvestermitanda3502
    @sylvestermitanda3502 6 หลายเดือนก่อน

    Serikali yetu Tukufu ya Chama chetu cha Mapinduzi,inatekeleza ilani ya Chama sawa sawa.Na inalekeza fedha kwenye miradi mbali mbali Nchini,yenye dira ya kuleta mabadiliko ya Nchi yetu.shida ni kama hao watendaji wasio waadilifu kwenye hizo Halmashauri.Mheshiwa Waziri Mkuu wabane hao.Na Hongera sana kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuwafuatilia.

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ndo mfumo wa ccm mliojijengea wa kuacha fedha za serikali maofisn Ili mgawane IPO ck Mungu aliyehai atawalipa tu rushwa tu

  • @roseshirima3168
    @roseshirima3168 8 หลายเดือนก่อน

    Baba hongera kwa kufichua kuna uozo mwingi upo umejificha

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu azidi kukulinda baba...
    Mhshmw Majaliwa na Makonda majembe ya mama yetu Samia

  • @user-dp1ch6vv6z
    @user-dp1ch6vv6z 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa watu wanapokutwa na makosa wawe wanawekwe ndani kwanza, kisha wafilisiwe,shida ya nchi yetu imekuwa ikiwahamisha na kuwapangia maeneo mengine ya kazi utafikili uko waendako hawata iba tena,suluhisho la kukomesha wizi ni kuwafilisi na kuwafunga ili wenye tabia izo wajifunze kuwa waadilifu

  • @jonesbrighton2874
    @jonesbrighton2874 5 หลายเดือนก่อน

    Ongeren sana kiongoz tfikie na kwetu Bukoba Vijjn muone

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wamejazana tu maofisini kaxi haxiendi hivi kweli wilaya moja wafanyakazi tele wanacho kifanya hakionekani ukweli hii ni shida kubwa mno.

  • @Piscesblair
    @Piscesblair หลายเดือนก่อน

    Ipo haja ya kuongeza uwezo wa kiutendaji katika Tasisi ya TAKUKURU ili kurahisisha kasi ya ufuatiliaji wa matumizi ya fedha za umma zinazokasimiwa kwa ajili ya miradi mbalimbali nchini.

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tumbua hao sasa hivi.washenzi sana hao. Mh. Majaliwa tunakuamini.

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera wew ndio raisi wa ichi hii

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 11 หลายเดือนก่อน

      Hamna kitu ccm wameshafeli

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน

      Kwel

  • @emanuelkatambi6902
    @emanuelkatambi6902 11 หลายเดือนก่อน +9

    Huyu ndiye MAJALIWA niliyemfahamu kipindi cha Mzee MAGU ameanza kurejea tena

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 11 หลายเดือนก่อน +1

      Siku hizi nimeishiwa na uwaminifu wake RIP mzee baba Magufuli hii awamu ni pacha na ile ya awamu ya 4 yaani fuulu MAJANGA lakini kwa mbali naona kama wanajilipa kiana kutokana na machungu ya msiba wa mzee baba MAGUFULI usiokuwa na maelezo ya kutosha kwa watanzania #etianaupigamwingi 🤣🤣

  • @user-wu7vt4wm2h
    @user-wu7vt4wm2h 11 หลายเดือนก่อน

    Mlikua wp wote kumbe n wazur ivo ❤❤❤❤ majaliwa

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hafai hasimamii na Wala hafuatilii huo ni uzembe

  • @user-lj6nv8dq6m
    @user-lj6nv8dq6m 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kelele zote hizo tunataka utekelezaji wa atua wanao chelewesha acheni siasa kuwapanga watu

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 5 หลายเดือนก่อน

    Pesa ya Miradi inaliwa na Watendaji waliochaguliwa na Serikali yake pia Fedha ya kutoka kwa Wafadhili zinawekwa Mifukoni mwao sababu ya ukosefu wa uaminifu wa Watendaji wafanya kazi pole sana Serikali iliyoko Madarakani

  • @MrsmadoshiSalum-go9pe
    @MrsmadoshiSalum-go9pe 11 หลายเดือนก่อน +1

    WAZIR MAJALIWA NAWEW NIMSANII MTU UNAONA KOSA ALAFU UNASEMA ACHUGUZWE NAWEWE JITASIMINI

  • @abdillahhassan6271
    @abdillahhassan6271 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hawa munawalea sana pesa wanajikopesha wanafanyia biashara kama ukisinzia kama alivo sinzia mama wanazila

  • @dicksonexavery726
    @dicksonexavery726 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ccm mmeshindwa kuendesha nchi u must go.

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo ni mfumo wa uteuzi.kujuana,acha waibe tuu .mama anawachekea,

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mtupe sisi huku tunataka kazi tutalitumikia Taifa ipasavyo!!

  • @FrankAngolwisye-mr1nc
    @FrankAngolwisye-mr1nc 7 หลายเดือนก่อน

    KWA KAZI NZURI YA WAZIRI MKUU KAMA HII UOVU KAMA KAMA HUU UNAWEZA KUKOMA KABISA. HONGERA WAZIRI MKUU KWA KAZI NZIRI SANA!!!

  • @msongojumbe486
    @msongojumbe486 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sio ukweli ni kneels tu

  • @tabiaramadhani2348
    @tabiaramadhani2348 9 หลายเดือนก่อน

    MUHESHIMIWA WAZIRI MKUU MWENYEZI MUNGU AKUFANYIE WEPESI WA KILA JAMBO LAKO LIWE JEMA AMINA FANYA KAZI NA UJE VIKAWE WILAYA KIBAHA MKOA WA PWANI KARIBU SANA KUNA MAUJENZI UYAANGALIE HUKU NAKUOMBA

  • @majaliwaharuna4064
    @majaliwaharuna4064 11 หลายเดือนก่อน +1

    Fanya kazi mh waziri mkuu,tunakupenda sana ,juhudi zako tunaziona

    • @edwinmbelle4207
      @edwinmbelle4207 11 หลายเดือนก่อน

      Msingi tofali mnasimamisha badala ya kukaza ? Hospitali ya serikali ?

  • @mathiasmanonga3939
    @mathiasmanonga3939 11 หลายเดือนก่อน +1

    Wamejichanganya sana wangekuwa uniform wangetoboa hapo

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 10 หลายเดือนก่อน

    Mhe waziri mkuu futa kazi hao hata Mungu alimfukuza adamu baada ya kushindwa kutii maagizo ya Mungu wafuteni kazi hawajui wajibu wao

  • @user-ys5zh8nt2e
    @user-ys5zh8nt2e 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hamnaaa kitu hapo mkuu viongozi hawa naona waka risti

  • @Ambwene
    @Ambwene 11 หลายเดือนก่อน +5

    Walishaambiwa na mamaenu samiah kwamba kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake lakini asivimbiwe

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 11 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @shinipapaya846
      @shinipapaya846 11 หลายเดือนก่อน

      🤣🤣🤣🤣

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb 11 หลายเดือนก่อน

    Mheshima tunakuomba uchukue formu 2024 tunakuomba wewe ni Raisi wa wanyonge

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 11 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo hakuna hatua inayochukuliwa,fanyeni Kama China,kipindi cha Magu wanatumbuliwa hadharani haki za binadamu walikuja juu,lakini hela zinavyoibiwa wako kimya Kama vile hawapo

    • @mimiraia2531
      @mimiraia2531 11 หลายเดือนก่อน +1

      Haki za BINADAMU ni Magenge yenye ufadhili wa wazungu kutuvuruga tu

  • @user-hx3mq5fg7v
    @user-hx3mq5fg7v 6 หลายเดือนก่อน

    Nataman mwaka mmoja uwe Rais wa nchi hii

  • @KishokaMrumakishoka
    @KishokaMrumakishoka 4 หลายเดือนก่อน

    Yani viongozi kama waziri mkuu mi nawapenda sana tena sana

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 5 หลายเดือนก่อน

    Wallah wanatia
    hasira

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama 6 หลายเดือนก่อน

    Maelezo waliotoa ni ushahidi tosha hela zimeshatafunwa jaman hivi nchi hii tutafika kweli watu hawaogopi pesa ya umma wanazitafuna Kama zao yaani ningekuwa mm waziri mkuu nikukamata tu na kuwaweka ndani Kwanza alafu maelezo badae hapo hela zimetafunwa

  • @aminafundikira126
    @aminafundikira126 6 หลายเดือนก่อน

    Baba Mheshimiwa kazi unaifanya kweli

  • @zariadunia6328
    @zariadunia6328 11 หลายเดือนก่อน +3

    Hivi angela kairuki alikuwa anafanya nini hapo Tamisemi haya mama kampeleka utalii kwaniblazima awe waziri? Ndo mana wanaboronga wanahamishwa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 6 หลายเดือนก่อน

      Shida hiyo ndio inayofanya nchi hii haiwezekani kupiga hatua kuna Mawaziri mizigo ila wanabebana sijui kunasiri gani humo?.Watanzania wengi wamehitimu hawana kazi ila hichi chama kina Recycling hao hao mtu hafanyi kazi haoneshi maendeleo mazuri lakini atatolewa pale aletwe hapo sijui maana yake ni nini.Ndio maana hali ya nchi mbaya mbaya mno

  • @robertabel6984
    @robertabel6984 11 หลายเดือนก่อน

    Kasimu anafanya kazi sana tatizo wakurugenz njaa nyingi

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 11 หลายเดือนก่อน +4

    Wizi wowote unaofanyika kwenye harlimashauri zetu ni zao la wizi unaoyokana na serikali kuu.Kama mawaziri wanaiba mabilioni na hakuna aliyesjtakiwa na kirudisha hizo pesa unadhani huku chini hawapendi hizo pesa?

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 10 หลายเดือนก่อน +1

      SERIKALI KUU MJICHUNGUZE HELA INAPIGWA JUU KWA JUU

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 6 หลายเดือนก่อน

      Exactly migao haianzii chini

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mhe.hawa watu wezi na wazembe sana jaman duh.

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 6 หลายเดือนก่อน

      Tatizo wengi mpaka baadhi ya Mawaziri ni mizigo wanabebana na kulindana

  • @Samweli-vw8ji
    @Samweli-vw8ji 10 หลายเดือนก่อน

    Wazuri mkuu na matehemu magufuli ww jembe kama Mzee maguu bc unastahilu kuwa kiongozi Bora ndani ya nchi yetuu

  • @mchomvutv2426
    @mchomvutv2426 6 หลายเดือนก่อน

    Tatizo wanaogopa kupitisha madokezo kwa sababu hawaaminiani kila mtu anahisi anapigwa😢😢😂

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 11 หลายเดือนก่อน

    Daaah jamani jamani hawa washenzi watoe hao wanarudisha nyuma maendeleo ya Taifa letu wananchi wataseka kupata huduma za zahanati pamoja na shule maji ndo usisime umeme ndo mamaaaa yangu hata wananchi wamechoka sasa mkowapo viongozi

  • @ommy4k
    @ommy4k 11 หลายเดือนก่อน

    Mnaongea nao wa nini fukuzaaaaa hao leteni Viijana wafanye kazi jamaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @lukumanisharifu
    @lukumanisharifu 11 หลายเดือนก่อน

    Mzee ongera sana ila mtwara madudu mawilayani hususani masasi Mzee plz

  • @user-vt9dm3zk6g
    @user-vt9dm3zk6g 10 หลายเดือนก่อน

    Muheshimiwa waziri Mkuu piga kazi kusaidia Raia wako .Hawa watumishi ndio unao wafanya wananchi kulalamikia serikali .muheshimiwa waziri Mkuu awo usiwaonee huruma ,W aziri wapo Watanzania ni wengi sana ambao.wangeiweka serikali Katika maendeleo.Waziri Mkuu naomba wasikuzingue Watanzania ninawafahamu sana tu wanalamba tu fedha .Je muheshimiwa sentiment ziko ngapi .wangine fedha zipo wengine hazipo.Waziri nakuomba usipoteza na sauti yako muheshimiwa .piga kazi muheshimiwa nimekupongeza sana juhudi zako.ujumbe utoka nje ya Tz

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mlisema jpm alikuwa dikteta. Mtaendeleaje na wakurugenzi wa namna hiyo. Watu wanastahiki kufungwa maisha. Bila udikteta nchi haiendi. Angalia China hata kainchi kama Rwanda. Mambo ya haki za binaadamu na ushoga ni ugoro mtupu. Wanatunza fedha wakingoja mianya ya kuzipiga. Ongeza ukali Majaliwa tuko nyuma yako.

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 11 หลายเดือนก่อน

    Imeshaliwa hyo

  • @alisaidi2620
    @alisaidi2620 3 หลายเดือนก่อน

    Shida ni nyinyi viongozi wa juu hizi pesa mukitowa munatosa kisiri bila cc kujua

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kukamilika ujenzi hapo hakuna.Mhe.

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m 11 หลายเดือนก่อน +1

    Inchi imeliwa Sana watupishe tuu

  • @user-ly3ob4vp3c
    @user-ly3ob4vp3c 6 หลายเดือนก่อน

    Wetu wanailaumu serikali kumbe kuna watendaji wazembe wanaiba vibaya mno miradi haikamiliki aisee 😢hii ni hatari 😮

  • @NdageKitahama
    @NdageKitahama 6 หลายเดือนก่อน

    Hao ni wezi hata maelezo hayatoshelezi kamata hao hela wameshakula hapo hakuna hela hela za umma zinaliwa tu

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 11 หลายเดือนก่อน

    Hií si aina bora ya uongozi. Si uongozi bora. Huu ni unanyasaji Magufuli style. Mbaya!!!!!!!!!!!

  • @venturejackson6357
    @venturejackson6357 11 หลายเดือนก่อน

    My president 🙏🙏🙏💕

  • @uwesusaid5334
    @uwesusaid5334 11 หลายเดือนก่อน +2

    Katika uongozi wa sasa kuna madudu San watu hawatumbuliwi kabisa watu hawana hata hofu

  • @kelvinnaftali4331
    @kelvinnaftali4331 11 หลายเดือนก่อน +3

    Sheria ya kunyonga wanaochezea pesa za uma itungwe na isimamiwe ipasavyo nchi hii itaendelea haraka tofauti na hapo maendele tutayaona kwenye tv.

    • @khadijayusuph2634
      @khadijayusuph2634 7 หลายเดือนก่อน

      Mh kwa Hali hii"😮mkaguzi wa hesabu jiandae na upotevu wa matilioni! Kila siku upotevu😮hivi Kuna siku zitarudi!!?

  • @sawackoswald9322
    @sawackoswald9322 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wanawaona wananchi ni manyani mkuu pesa za walipakodi zanaliwa tu

  • @clarencelazaro9600
    @clarencelazaro9600 11 หลายเดือนก่อน +1

    Katiba mpya ni sasa

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 6 หลายเดือนก่อน

    Kuhusu Fedha za Miradi ya kujenga Shule Miradi nyingi sana Fedha hazitumiki inavyotakiwa

  • @joojombi2341
    @joojombi2341 6 หลายเดือนก่อน +1

    Wapigaji wengi Tzd kwakweli na Serekali mnawaachia tu hamuwachukulii hatua mnawalea saana tu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 6 หลายเดือนก่อน

      Sasa kama Panya road wavaa suti ni karibu darasa lote nani atamtoa mwenzie nje ya darasa ?😅

  • @williamngalla1068
    @williamngalla1068 11 หลายเดือนก่อน

    Daaaah

  • @user-nn2it7le4y
    @user-nn2it7le4y 10 หลายเดือนก่อน

    Kiongoz wng uliobak wa muda wte love dady

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 7 หลายเดือนก่อน

    Tutamkumbuka sn Magu watu wanajilia tu vya wananchi huku mishahara wanapata kubembelezana kwingi sn hamna kitu hapo Waziri mkuu komaa nao mbele hao niwapigaji

  • @JaphalyMbena
    @JaphalyMbena 4 หลายเดือนก่อน

    Majariwa makonda mmepikwa mmeiva.. vizuri. Bado kwenye maamuzi toa uyo weka mwingine

  • @eliashibundabalinze2754
    @eliashibundabalinze2754 5 หลายเดือนก่อน

    Kuna nafasi zingine hata akipewa mtu mwenye elimu ya darasa la saba,atafanya kazi kwa viwango vya juu kuliko hao wenye Degrees zao lakini kwa kuwa wanataka CV za viwango, ngoja nikae kimyaaaaa

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 11 หลายเดือนก่อน

    Waziri Mkuu anafanya kazi za wakurugenzi na wakuu wa mikoa wakati wao wako tu kwenye ma landcruiser yao wakijimwambafai na kula pesa za walipa kodi tu wala hawana uchungu nazo. Watu wanapata shida lakini bado ni bure tu.

  • @geraldmaleko8390
    @geraldmaleko8390 11 หลายเดือนก่อน +1

    Maigizo tuuu😢

  • @alvinbenito5243
    @alvinbenito5243 11 หลายเดือนก่อน

    Hapo sasa kuna haja gani ya kuongea nao mkurugenzi yupo busy kufuga ni kuwaweka ndani ni wazi hao na ndio wanaangamiza maisha ya watanzania ukisikia viongozi wazembe ndio hao.

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 11 หลายเดือนก่อน +2

    Hii nchi tunaumizana wenyewee mama tunamuonea tuu wasimamizi ovyooo kabisaa

    • @jeffkonki8279
      @jeffkonki8279 11 หลายเดือนก่อน

      Hatumounei huyo mama yako kilaza anachagua watu kwa kujuana hachagui wenye sifa stahiki harafu akioewa riport kuwa wameiba hakuna hatua anayochukua Sasa hata ungekuwa wewe ungeshindwa kuiba?

    • @anifasekumbo9273
      @anifasekumbo9273 7 หลายเดือนก่อน

      kilaza na mama yako kwanza aliyekuzaa mbuzi wee mpeleke mama ako ikulu basi akaongoze kama samia kilaza pambavu zako
      @@jeffkonki8279

  • @user-in1zr7vk2z
    @user-in1zr7vk2z 11 หลายเดือนก่อน

    Endelea na kazi

  • @rashidyardo7929
    @rashidyardo7929 11 หลายเดือนก่อน

    Natamani mama Samia 2025 angeacha huyu mwamba agombee, sio Sheria lakini huu ni mtazamo wangu tuu.

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 10 หลายเดือนก่อน

    Walitoa hela ya Halmashauri kwenda Shuleni alifuatilia lakini kuna shida

  • @user-zz8qr9gn1f
    @user-zz8qr9gn1f 7 หลายเดือนก่อน

    Nyie wachambuzi si kweli ule mpira haujaguswa na mchezaji wa singida saido alipiga ukatoka na hata mwenyekiti wa kamati ya waamuzi amekubali ilikuwa goli kiki ila Bado anamulinda refali aliyeongeza dakika 2 wakati dakika za nyongeza zilikuwa 6 na ndani ya dakika za nyongeza hakukuwa na tukio lililopoteza dakika Tena kama Kuna tukio likitokea ndani ya dk 6 za nyongeza la kuchukua dk 2 nilipo litajeni.

  • @user-gx2do8ls8z
    @user-gx2do8ls8z 11 หลายเดือนก่อน +1

    Huuuyuuu mzeee🙏🙏🤦🙏🙏

  • @user-vc2hk9kr1c
    @user-vc2hk9kr1c 11 หลายเดือนก่อน

    Usimamizi huu ndioulitakiwa uwendelezwe tokakipindi chamagufuli watuwalishazoeakuchapakazi ila milijisahau watumishi wakarudia haliyazamani ubadhilifu.kuwarudishatena wazoekuchapakazi inaitajijuuditena komaa baba kama upivyokaza kipindi kilichopita watu wafanyekazi pongezi kwako waziri.

  • @ZenaMwakalambile
    @ZenaMwakalambile 6 หลายเดือนก่อน

    Shida vikao vya ndani,hebu fanyeni kama makonda,malizana nao hapohapo waludishe hera sio mahakaman hela mliikabidhi mahakama,basi hata hela muwemnawakabidhia mahakaman.acheni kutuinyoyi.

  • @ullujaffariyohani1186
    @ullujaffariyohani1186 5 หลายเดือนก่อน

    Unajua tatizo linakuwa hawachukuliwi sheria ndiyo sababu wanafanya wanavyotaka😮

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 10 หลายเดือนก่อน

    Tatizo la kuteua nje ya mfumo halisi kwa watumishi ambao wamedikia ngazi ya principal na Waandamizi sisi tunatoa hukoooo sababu ni mwenzetu!!

    • @festokemibala5832
      @festokemibala5832 6 หลายเดือนก่อน

      Huo ndiyo ukweli wa mambo, wanajiteulia tu kutoka chamani kisa ni mwenzao kumbe hata ABC ya record keeping hawajui. Acha tule matapishi yetu

  • @AmosLudei
    @AmosLudei 3 หลายเดือนก่อน

    Waziri mkuu Majaliwa Kasi Majaliwa hizo nafasi wakati mwingine muwe mnatukabidhi watu binafisi za usimamizi wa miradi ya serikali hao watumishi wenu watawasumbuweni sana na hata miradi haitakamilika kwa wakati mwafaka.

  • @user-ys5zh8nt2e
    @user-ys5zh8nt2e 7 หลายเดือนก่อน

    Hvii huyo nikiongozi kweliii mbona mwamchosha waziri wetuuuu

  • @rithaurassa
    @rithaurassa 9 หลายเดือนก่อน

    SIO RAIS TU, UNATKIWA UWE RAIS WA TANZANIA,UNAWEZA KABISA KUTETEA WANYONGE

  • @nicksonpontion7105
    @nicksonpontion7105 5 หลายเดือนก่อน

    Kupitisha Dokezo ni kikwazo yaan halmashauri wanasumbua hatari ndo maana mtu hadi unachoka ase