''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 มี.ค. 2020
- Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.
Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki
Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯
Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi
kwakweli miladi ayo ndio mkombozi wa w2
@@zainaramadhan7769 "gyy
Milad tunaaimini sana chanel yako...keep on trust plz
Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy
Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno
Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.
Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako
Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika
Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI
Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda
Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli
Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri
Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa
Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana
Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣
Kama mm hahaaa
Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana
Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂
Mkuu wa mkoa uko vizur Sana
magu hakupita tuu kaacha alama zake na nnchi hii inao vijana makini watenda haki nà wapiga kazi makini,mungu hawezi kumuacha magu aende tuu
Hapo angepatkana na Ally hapi hapo pangenoga maana wanamuoneya raisi wetu makonda na Hali hapi nawapa big up
Mama ssh ikikupendeza umludishe Ally kwenye Baraza la mawaziri Tena kitengo Cha aridhi
kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa
mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂
😂😂😂 nkurunzinza
🤣🤣🤣🤣hatujinyongi now day's
😂😂😂😂
Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi
Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza
Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri
Ndugu Muheshimiwa
Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally
Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏
Asante. Mkuu
ALLY HP CHAPAKAZI BABA
Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama
😂😂😂😂
Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli
Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...
Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao
Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi
Mwizi huyo shenzi taipu likatwe
@@nuratkalinga581 taifisha Mali zake zote wape wanaodai
Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake
Gud saana
Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa
Atapatataaabu
Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali
Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee
Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂
MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "
Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah
Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?
Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi
Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃
Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??
Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa
Haswaa
Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa
Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie
Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂
kabinywa pumbu mpaka kawalipa
Haha haha haha haha
Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂
Tunataka viongozi Kama hawa
Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.
Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki
Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja
💯
Anyanganywe kwanza bunduki.
Jamani
Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?
Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk
Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo
koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu
Dodo hapi upombali na tapeli mmoja urambo ni shidaa kweli
Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo
Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM
Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.
Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha
Barikiwa baba
Umesha pewa chako
Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako
mird nakubar sana bg
Jamani huyu mkuu wamkoa tumtoe copy asambazwe mikoa yote.
Huyo devi jamani
😂😂😂😂Nimechek sana apo ku koti😂😂
Huyo hatali akamatwe
Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke
Hahaaaaa kumbuka happy bado yupo
Mapengo...
Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo
njaa tup yani
Hivi mama anawaza nini kuhusu huyu jamaa? Yan anaweza kazi yake mnoo
Stail ya mwenda zake kwa sasa ........?
Mgu akujarie mheshimiwa
Kwasababu anatembea na silaa
Pwani akuna kitu
Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.
Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu
Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge
Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????
Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki
Watu hawaogopi dhambi ya dhulma
wakuuu wamikoa kama huyu anafaa atakupewa ungoz mkubwa zaid jamn wanatetea watu masikini
Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.
hii interview bwana et koti nipigie deki hahahah
Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.
Hahahaaaa pole akina David otee
Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu
Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze
We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔
camera iko vzr sana milardayo.salout.
I Know right 👌👍👍
Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌
Hii ndio ilikuwa serekali sio mama eti nimewachia wasimamizi wangu ujinga tu
Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais
Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi
Huyo devi ni tatizo kubwa sn
Kiboko
This is really atrue leader.