''NKURUNZINZA'' WA IRINGA BALAA KATAPELI NUSU YA KIJIJI, APIGIWA SIMU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 มี.ค. 2020
  • Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi ameendelea na Ziara yake Mkoani Iringa na Hapa amefika katika kijiji cha Nduli na Kuongea na Wananchi wa Kijiji hiko na kupokea na kero mbalimbali kutoka kwa wenyeji wa Kijiji hicho hapa amekutana na Nkurunzinza wa Iringa unaambiwa ametapeli nusu ya kijiji.

ความคิดเห็น • 173

  • @nurunzisabila9
    @nurunzisabila9 12 วันที่ผ่านมา

    Kumbe waku wa mikoa wanaweza kufanya kazi nzuli kama hizi kwa wananchi wao Mungu wa mbinguni awabariki

  • @edwindaniel7306
    @edwindaniel7306 ปีที่แล้ว +1

    Miladihayo kazi yako inakubalika kwa waandishi wa habali kwa tanzania ww ni namba 1 maana hutoi habali za uongo nikiona kitu umepost ww huwa naamini asilimia 💯

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว +20

    Nahata wewe milad ayo tunakushukru kwa kutuletea habar lazima tukufikishiye shukran zetu kwa taarifa hizi

    • @zainaramadhan7769
      @zainaramadhan7769 4 ปีที่แล้ว

      kwakweli miladi ayo ndio mkombozi wa w2

    • @steralyoto4236
      @steralyoto4236 3 ปีที่แล้ว

      @@zainaramadhan7769 "gyy

    • @rehemamalley9557
      @rehemamalley9557 2 ปีที่แล้ว +1

      Milad tunaaimini sana chanel yako...keep on trust plz

  • @bonifacepatrick6679
    @bonifacepatrick6679 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akubaliki sana maana unaupiga mwingi viongozi wenye Welidi mkubwa na baba na wewe Mungu akupiganie sana kwenye kazi yako hiy

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 4 ปีที่แล้ว +2

    Hii changamoto inaonekana kuota mizizi hapo ulipo...yaani mwenyenzi mungu akujaalie kibali zaidi na zaidi Mh mkuu wa mkoa...kazi uifanyao ni ngumu na nzitoo mmno

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 4 ปีที่แล้ว +5

    Muheshimiwa Mchapa Kazi Barikiwa Sana, Endelea Kutetea Wanyonge.

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani9751 3 ปีที่แล้ว +2

    Kiongozi mwadilifu atapata neema ya kivuri Cha Arshi siku hiyo ngumu isiyokuwa nakivuri, Mungu akupe maisha marefu, Nimekuamini kiongozi, heshima kubwa kwako

  • @e.j.starelia5672
    @e.j.starelia5672 4 ปีที่แล้ว +5

    Ally Happy God bless you a lot unafanya vyema!!!! Zao la Magu hili nimelipenda hakika

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 9 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali muheshimiwa kwangu mm nakuita mwamba ALLY HAPI

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana kwahii kazi ndugu yangu mkuu wa mkoa ally hapi mungu atakulinda naataendelea kukulinda

  • @mujahidinaathumani9751
    @mujahidinaathumani9751 3 ปีที่แล้ว +8

    Fanya kazi yakuwatetea nakuwakomboa nakurudidua haki zawanyonge, Amini utapewa daraja na kivuli Cha Arshi siku ambayo hakitakuwa nakivuli

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว

    Mkuu wa mkoa usitoke ilinga unyooshe watu .nakupenda bule baba kazi nzuri

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 ปีที่แล้ว +4

    Wewe nkirunzinza wewe, mbona hatari Sana hii , wee nkirunzinza wee Ni nomaa sanaa

  • @denismabubu291
    @denismabubu291 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera mkuu wa mkoa unajali watu wako h sana

  • @datiabdallah6012
    @datiabdallah6012 4 ปีที่แล้ว +12

    Napendaga kusikiliza kesi za iringa🤣

  • @neemampiluka9267
    @neemampiluka9267 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi mkuu wakoa wairinga nakupenda unajiamini Sana inapendeza sana

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam3713 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ningekuwa iringa, ningejikuta nmdai namimi😂😂😂

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 4 ปีที่แล้ว +3

    Mkuu wa mkoa uko vizur Sana

  • @kassimmuktarymurji4242
    @kassimmuktarymurji4242 3 หลายเดือนก่อน

    magu hakupita tuu kaacha alama zake na nnchi hii inao vijana makini watenda haki nà wapiga kazi makini,mungu hawezi kumuacha magu aende tuu

    • @user-xq7bk5fq6t
      @user-xq7bk5fq6t 3 หลายเดือนก่อน

      Hapo angepatkana na Ally hapi hapo pangenoga maana wanamuoneya raisi wetu makonda na Hali hapi nawapa big up

    • @user-xq7bk5fq6t
      @user-xq7bk5fq6t 3 หลายเดือนก่อน

      Mama ssh ikikupendeza umludishe Ally kwenye Baraza la mawaziri Tena kitengo Cha aridhi

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu หลายเดือนก่อน

    kuna wasio juwa hata kusoma mambo ya polisi wanaogopa maana hawajui hata kusema lolote wanaona tu bora wanyamaze lakini wanaugulia maumivu ya kunyanyaswa na hao watu wabaya wasio kuwa hata na hofu ya MUNGU " nawapenda sana viongozi wanao jitambua wasiokuwa na tamaa

  • @zephaniajosia1077
    @zephaniajosia1077 4 ปีที่แล้ว +8

    mamaee devd mwisa kiboko ya wahehe ......alijuaa wahehe ukiwazurumu wanaenda kujinyonga😂😂😂😂😂😂

  • @georgiaruhinda1704
    @georgiaruhinda1704 2 ปีที่แล้ว

    Namshukulu Mungu wa Ally Happy akulinde akutunze tunakuhitaji ktk ngazi ya juu zaidi

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 ปีที่แล้ว +3

    Huyo kwisa ni mchawiii,matapeli ŵengi huwa wachawi.anawarubuni watu kwa njia ya nguvu za giza

  • @safari5774
    @safari5774 ปีที่แล้ว

    Mungu amusaidie uendelee na kazi nzuri

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 ปีที่แล้ว

    Ndugu Muheshimiwa
    Mungu atakuepusha na Mitihani ya Dunia na Wenye dhuluma kwa watu Duni kiuwezo, watokee viongozi mfano wako kwa kila Mkoa na Idara kutakua na maendeleo Bora yakijamii, nakila kiongozi na mlanguzi atachunga maisha, Ahsante Ndugu Ally
    Wewe unaenda na mamlaka ya Mola Kisheria na Dini zinavyo ruhusu 😍🙏🙏🙏

  • @justinemahondo9396
    @justinemahondo9396 4 ปีที่แล้ว +2

    Asante. Mkuu

  • @ConfusedBirdNest-np2vn
    @ConfusedBirdNest-np2vn 3 หลายเดือนก่อน +1

    ALLY HP CHAPAKAZI BABA

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 4 ปีที่แล้ว +5

    Wallahi ata sichokagi kutazama izi habari maana kuna kuchekesha babu koti lake jamaa anataka akapigie deki jamaa anazarau kinyama

  • @hamzabagilente2118
    @hamzabagilente2118 ปีที่แล้ว

    Ali hapi mtetezi wa wanyonge mungu akujalie Kila laheli

  • @shukrimohamed2324
    @shukrimohamed2324 4 ปีที่แล้ว +2

    Mkurunziza n jipu akiii... High 5 milard ayo...

  • @reginaosward6170
    @reginaosward6170 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki kiongozi,viongozi mnaona shida za wananchi msipoenda mtajuaje shida zao

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 4 ปีที่แล้ว +4

    Mkuu Wa mkoa mchapa kazi nakukubali sana bwana hapy hapo tatizo ni police rushwa nyingi

    • @nuratkalinga581
      @nuratkalinga581 4 ปีที่แล้ว

      Mwizi huyo shenzi taipu likatwe

    • @alumonkisinda4574
      @alumonkisinda4574 4 ปีที่แล้ว

      @@nuratkalinga581 taifisha Mali zake zote wape wanaodai

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 4 ปีที่แล้ว +3

    Mheshimiwa Ally Happy tunakuombea Mungu akupe ulinzi wake

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 4 ปีที่แล้ว +2

    Gud saana

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 ปีที่แล้ว +3

    Wa Kwanza , hongera Sana kwa taarifa

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 ปีที่แล้ว

    Ndugu Ally kwakweli uko vizuri Sana Kama wakuu wote wa mikoa wangefanya kazi kama wewe duh! Tanzania ungekuwa mbali

  • @user-pe8hj3ze4y
    @user-pe8hj3ze4y 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu mkuu wa mkoa nakubar sana anachapakazi isee

  • @francismakuno8643
    @francismakuno8643 หลายเดือนก่อน

    Nkuruziza mgemtenda anachotenda ngombe zenu kumchinja😂😂

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu หลายเดือนก่อน

    MUNGU mkubwa " viongozi kama huyu ndio wanahitajika " nchi yenye furaha inajengwa na hawa " nawapongeza na kuwashauri wasiogope kufa watupambanie hadi tone la mwisho la damu kuwatetea wanyonge "

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 4 ปีที่แล้ว +1

    Hahahaha hata deki lako naomba nipigie deki, nimelipenda naomba nipigie deki, hahahahahaha dah hakiamungu wallah tuhurumie waja wako inshaallah

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye3722 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyo David nahisi ni mchawi sio bure! Ubabe gani huo?

  • @kevinkimaninaphtal1498
    @kevinkimaninaphtal1498 2 ปีที่แล้ว

    Akika alikuwa rais wa marais mungu akailaze roho yake mahali pema peponi

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando5285 2 ปีที่แล้ว +1

    Hao police wanajuana na Nkurunzinza🏃🏃🏃🏃🏃

  • @microssadamu7556
    @microssadamu7556 4 ปีที่แล้ว +3

    Naona kama movie yani!! Hivi haya mambo bado yapo Tanzania??

  • @rajabmshengeli1624
    @rajabmshengeli1624 4 ปีที่แล้ว +6

    Part 2 plzzz tumsikie na David Mwisa

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว

    Nampenda mkuu wa mkoa mimi jamani .anafanya kazi kwa weledi kabisa

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 ปีที่แล้ว

    Anayemuita mwenzie mapengo nayeye ana mapengo🤣🤣🤣kweli watu wenye kasoro ndo huwa mstari wa mbele kupigia kelele kasoro za wenzie

  • @Boaz22
    @Boaz22 4 ปีที่แล้ว +12

    Huyu David mwisa ni corona kabisa🤣🤣😂😂

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 4 ปีที่แล้ว

      kabinywa pumbu mpaka kawalipa

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว

      Haha haha haha haha

  • @veronicamchilo8552
    @veronicamchilo8552 4 ปีที่แล้ว +5

    Nkurunzinza mungu anakuona 😂😂

  • @fredyjohn8548
    @fredyjohn8548 4 ปีที่แล้ว +3

    Tunataka viongozi Kama hawa

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 3 หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaaa Duuu ni hatali saana.

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 4 ปีที่แล้ว +1

    Duh! Jamaa ana dharau anaomba koti apigie deki

  • @domimasawe8674
    @domimasawe8674 ปีที่แล้ว +1

    Ndugu mkuu wa mkoa kagombee urausi kura yangu chukua wewe na magufuli ni kitu kimaja

  • @sharoombay8997
    @sharoombay8997 4 ปีที่แล้ว +2

    Anyanganywe kwanza bunduki.

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamani

  • @nyangehassan902
    @nyangehassan902 4 ปีที่แล้ว +2

    Wahehe, watani zangu mnakwama wapi?

  • @malayikanepo788
    @malayikanepo788 3 ปีที่แล้ว +1

    Nkurunziza wa Burundi kkkkkkk

  • @paulomartini7611
    @paulomartini7611 4 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ipo kweli hapo cyo mchezo

  • @tindokamuti8142
    @tindokamuti8142 4 ปีที่แล้ว +1

    koti nikapigie deki hahaha kiburi cha hali ya juu

  • @allykiyanga5402
    @allykiyanga5402 4 ปีที่แล้ว +2

    Dodo hapi upombali na tapeli mmoja urambo ni shidaa kweli

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi2733 4 ปีที่แล้ว +2

    Daudi Mwisa. ..huyu anaonyesha anatisha kama corona huko Iringa. .mjukuu wa mkwawa nini au anatokea familia za chief ? Mbona hivi huyu jamaa haogopi kifungo

  • @nyamangaking6608
    @nyamangaking6608 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mkuu wa mkoa ni jembe,kweli JPM ameacha muongozo sahihi,watu waliona JPM alivyopendwa na wananchi kwa kazi yake njema.baadhi wanapita mle mle kwenye njia ya JPM

  • @mcrootsav7712
    @mcrootsav7712 4 ปีที่แล้ว +1

    Vile nakuombea mwenyenzi mungu azidi kukujaalia afya njema na kukubalika zaidi na zaidi mbele ya wananchi wako.na wengine pia....huwa sitamani kupishana na hizi video za kazi zako...unaibua sana changamoto za wananchi wa jimbo lako.

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome6514 4 ปีที่แล้ว +2

    Mkuu tunaomba wapo wengi waliotapeliwa wakifika wasikilize walikata taama anatishia anasilsha

  • @dianakakala3779
    @dianakakala3779 ปีที่แล้ว

    Barikiwa baba

  • @rajabumgogwe5312
    @rajabumgogwe5312 3 ปีที่แล้ว +1

    Umesha pewa chako

  • @andrewlugome6514
    @andrewlugome6514 4 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu Wa mkoa nakupa up kwa kufanyakazi macho yetu yako kwako

  • @mussaboazi7782
    @mussaboazi7782 ปีที่แล้ว

    mird nakubar sana bg

  • @jacklinejosam3713
    @jacklinejosam3713 7 หลายเดือนก่อน

    Jamani huyu mkuu wamkoa tumtoe copy asambazwe mikoa yote.

  • @suzanamwangingo2995
    @suzanamwangingo2995 ปีที่แล้ว

    Huyo devi jamani

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂Nimechek sana apo ku koti😂😂

  • @mandaruukali2374
    @mandaruukali2374 ปีที่แล้ว

    Huyo hatali akamatwe

  • @sasatv1484
    @sasatv1484 4 ปีที่แล้ว +3

    Sijui namimi namdai nkurunziza? Ngoja nikumbuke

    • @hasnasaif1075
      @hasnasaif1075 4 ปีที่แล้ว

      Hahaaaaa kumbuka happy bado yupo

  • @esterelias8189
    @esterelias8189 4 ปีที่แล้ว +1

    Mapengo...

  • @reemangoko2550
    @reemangoko2550 4 ปีที่แล้ว

    Hee jamani David kashindikana hataree ni mchawi huyooooo

  • @woteonlinetv644
    @woteonlinetv644 4 ปีที่แล้ว +1

    njaa tup yani

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 ปีที่แล้ว

    Hivi mama anawaza nini kuhusu huyu jamaa? Yan anaweza kazi yake mnoo

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 ปีที่แล้ว

    Stail ya mwenda zake kwa sasa ........?

  • @jeofreyshega7139
    @jeofreyshega7139 2 ปีที่แล้ว

    Mgu akujarie mheshimiwa

  • @user-vh3yh2ec8r
    @user-vh3yh2ec8r 7 หลายเดือนก่อน

    Kwasababu anatembea na silaa

  • @hamisimkumba10
    @hamisimkumba10 4 ปีที่แล้ว +1

    Pwani akuna kitu

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 ปีที่แล้ว +2

    Korona ikiingia Tanzania tumekwisha. Watu wanajichokonowa mapuwa. Pengine mikutano isimamishwe mpaka Huu ugonjwa upite.

  • @deshuaniton698
    @deshuaniton698 4 ปีที่แล้ว +1

    Mutende aki asisumbuwe watu wakose laa kwasabu yako jaman asitese wtu

  • @lukaseliasobwolo7498
    @lukaseliasobwolo7498 3 ปีที่แล้ว

    Duuu kiongozi wasaidie hao wanyonge

  • @hamadiathumani5018
    @hamadiathumani5018 4 ปีที่แล้ว +1

    Jamani watu zaidi ya mia moja kijijini apo uyo david ni nini.????

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 4 ปีที่แล้ว

    Wallah nme cheka sana koti lako amelipenda apigie deki

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 ปีที่แล้ว +2

    Watu hawaogopi dhambi ya dhulma

  • @frankjeremia7435
    @frankjeremia7435 2 ปีที่แล้ว

    wakuuu wamikoa kama huyu anafaa atakupewa ungoz mkubwa zaid jamn wanatetea watu masikini

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 ปีที่แล้ว +2

    Zamani watu kama hawa walikuwa ni wengi.

  • @lastbornwamungustory6365
    @lastbornwamungustory6365 ปีที่แล้ว

    hii interview bwana et koti nipigie deki hahahah

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 4 ปีที่แล้ว +2

    Huyo jamaa anachafua Jina la David mbona akina DAVID hatupo hivo.

    • @cristerfelly933
      @cristerfelly933 4 ปีที่แล้ว

      Hahahaaaa pole akina David otee

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 3 ปีที่แล้ว

      Huyo Devi ni mtu wa Aina gani mpotezeni piga Shaba aondoke kwenye uso dunia atawasumbua Sana wananchi Kwanza ni mchawi huyo huyo mbabe wenu

  • @leahavyarimana3731
    @leahavyarimana3731 4 ปีที่แล้ว +2

    Kwahio rais wa burundi nkurunzinza ndo mbaze

  • @azizaz1628
    @azizaz1628 4 ปีที่แล้ว +1

    We baba umechanganyikiwa maana ya nkurunziza ni ubabe! 🤔 🤔 🤔 🤔 🤔

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 ปีที่แล้ว +4

    camera iko vzr sana milardayo.salout.

  • @frankdeogratius881
    @frankdeogratius881 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyu mwisa🙌🙌🙌🙌🙌

  • @halifajuma545
    @halifajuma545 ปีที่แล้ว

    Hii ndio ilikuwa serekali sio mama eti nimewachia wasimamizi wangu ujinga tu

  • @happyalex2904
    @happyalex2904 4 ปีที่แล้ว +1

    Mkuu wa mkoa hy aje agombee urais

    • @hamismponzi5320
      @hamismponzi5320 2 ปีที่แล้ว

      Mkuu pambana nakuandaliakukuchukuria fom2025uwnyoshemataperi

  • @winfridmsindo984
    @winfridmsindo984 4 ปีที่แล้ว +1

    Huyo devi ni tatizo kubwa sn

  • @user-so5fh1lr2b
    @user-so5fh1lr2b 3 หลายเดือนก่อน

    Kiboko

  • @paulondiek1345
    @paulondiek1345 4 ปีที่แล้ว +2

    This is really atrue leader.