Bado hujatembea . Hayo sy maneno yake ndo mabos wenye pesa zao huwa wanasema hv mwenyew ni shuhuda wa hayo . Tena hotel zingn huwa wanavigawa bure kabisa wanaita uchafu maana anataka kuweka vyake vipya
Hivi serikali haiwezi kuingilia suala hili ili kuokoa uchumi wa kitalii?! Hiyo Hotel nzuri ya kisasa haiwezi kujengwa sehemu nyingine? Dah! Tanganyika yangu .😢😢
Dah hivi ni shabiby ,jamaa ameingia kwa kasi kwenye biashara ya hotel,ana morena hotel na royal village dodoma ,morogoro ana morena pia,dar ameinunua travertine hoteĺ magomeni sasa inaitwa royal village
TAFUTA MALI INAYODUMU TOKA KWA BWANA MUNGU ZINGINE NI ZA MDA TU. USISUMBUKIE YALIYOANZIA DUNIANI BILA KUWA NA MUUNGANIKO WA MBINGUNI NI HASARA TUPU.NADHANI MMENIELEWA
Sasa mtu kanunua hotel af anataka kubomoa kujenga mpya,,,,, yeye anaona uchafu kwake, sawa na mtu ananunua nyumba then anabomoa anajenga nyumba ya kisasa
Zaburi 49:16-17 16. " usiogope mtu atakapopata utajiri, nafahari ya nyumba yake itakapozidi. 17." Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata." Tumtumikie MUNGU kwa kuwaheshimu wengine, na kuwasaidia wenye uhitaji ili tukapokufa tuishi na bwana YESU milele. Duniani ss sote ni wasafiri.
Ndivyo hivyo tena mtu akifa na kila kitu hufa, Marehem Faustine Mrem alifanya kazi kubwa kujenga haya maeneo Impala na Naula spring hotel lakini sasa kila kitu kinapotea.
Ooh kumbe? Sikuwa najua Morena ni ya Shabiby! Hao ndio wawekezaji wenye akili waliobaki nchi hii! Tatizo la Mrema aliendekeza makonyagi mpaka yakaharibu Figo akiwa mdogo tuu
Kumbe alizaa na mabaamedi? Unajua nimewaza sana kweli angezaa na watu wa maana labda wangekomboa hizo mali! Alikuwa anzaa na wahudumu wa hotel wale wazuri wazuri! Mmojawapo ni dada mmoja tulisoma nae alikuwa mzuri kweli! Nikasikia alizaa na jamaa!
R.I.P Boss wangu Mr Mrema, dah dunia tunapita saaana, nimejifunza mengi, hasa mbinu yake ya kufanya kazi usiku kucha na kulala mchana kutwa.
😀😀😀😀usiku watu wakilala ndo muda mzur wa kutafta pesa maana hamna msongamano
Jqmni😢😢😢😢 aisee kuna binadamu wanapenda wenzao wakishindwa kimaisha wallah
Ihave good memories Impala ❤ you will be missed 😢
Huyu jamaa majibu yake tu ni mshenzi kabisa
huyo jamaa ana dharau sana utadhani ataishi milele mjinga sana pua inaangalia chini
Hivi uchafu unaweza ukauzwaa, matumizi mabaya ya lugha. Tutumie lugha vizuri hapa Duniani sio petu , tu wapitaji tu jamani.
Huyu ni jambazi la siku nyingi atajua lugha saa ngapi mjinga sana huyu
Yani dar
Huyu nae ushuzy mtupu tuonyeshe kwako nyau wewe
Uyo aliye ita uchafu alaniwe atakuwa masikini sio muda
Bado hujatembea . Hayo sy maneno yake ndo mabos wenye pesa zao huwa wanasema hv mwenyew ni shuhuda wa hayo . Tena hotel zingn huwa wanavigawa bure kabisa wanaita uchafu maana anataka kuweka vyake vipya
Mbona huyu anaehojiwa anajibu kwa dharau hivi, yaan km alikuwa na bifu na marehemu.. 😭😭😭
Mara mbwa anakua mkali kuliko mwenye mbwa hapo ana kiburi kama yeye ndio amenunua
@@barikilangoy4737ni kawaida ya madalali wa arusha ,ukimkabidhi kazi anajiona yeye ndo tajir
Yamaa Fala sana et kuuzwa uchafu uliopo ndani "nikakasirika ghafla"
Nashangaa eti uchafu pumbafu zake
Hana akili na hana chochote ndiyo maana anaongea upuuzi
Duh, MASHA ALLAH, kuna watu wanaela, yani mtu ananunua dude la mabilioni na hana shida nalo, anabomoa anaweka lake.
Dah! Ila kifo😢😢😢
Tena vuq hiyo rosari aisee nimejisikia kukasirika tu..na majibu yko
kama ni uchafu simtupe pumbavu wewe kwahiyo unaona sisi tuna nunua uchafu
Hivi serikali haiwezi kuingilia suala hili ili kuokoa uchumi wa kitalii?! Hiyo Hotel nzuri ya kisasa haiwezi kujengwa sehemu nyingine? Dah! Tanganyika yangu .😢😢
alienunua anataka kuvunja upande moja na kujenga upya sema tu anehojiwa anajibu kindezi tu
Shabiby kainunua Impala anaivunja anajenga upya hela kitu nyingine
❤❤❤ hongeraa kwake si yule tajiri wa mabati SHABIBY
Dah hivi ni shabiby ,jamaa ameingia kwa kasi kwenye biashara ya hotel,ana morena hotel na royal village dodoma ,morogoro ana morena pia,dar ameinunua travertine hoteĺ magomeni sasa inaitwa royal village
Jamani ilikuw nzuri sn nilifanya kz hapo muda sn apumxike kwa aman
Vp ngurudoto urifanyi pia
Jaman mbn hiyo hotel ni nzuri 2😢😢
nimewahi kulala hii hotel 2006 ilikuwa Best hotel in Arusha. Kweli mtu akifa na mali yake inakufa.
Vitu vingi siyo vya haki mwisho ndo kama hivi
@@melanialeonard4031 hayati hakuwandaa warithi/wasimamizi vizuri
Watoto wake wamepishana kauli, kila mtu anataka mali
Kwa hadhi ya nyota ngapi m sijui😂😂😂😂😂😂
TAFUTA MALI INAYODUMU TOKA KWA BWANA MUNGU ZINGINE NI ZA MDA TU. USISUMBUKIE YALIYOANZIA DUNIANI BILA KUWA NA MUUNGANIKO WA MBINGUNI NI HASARA TUPU.NADHANI MMENIELEWA
Sasa mtu kanunua hotel af anataka kubomoa kujenga mpya,,,,, yeye anaona uchafu kwake, sawa na mtu ananunua nyumba then anabomoa anajenga nyumba ya kisasa
sawa tunakuja
Basi kama ni uchafu mngetoa nje muache anaetaka ajichukulie kama ni uchafu unauzia watu yakazigani mxieeew
Watoto wanagombea mali, iliuzwa kulipa madeni ya kampuni, kilichobaki wagawane, kila mtu apite njia yake 😅
Eti uchafu ulioko ndan watu bana
Ni mjinga sana
😂😂😂😂😂
Huyu Mwamba Mjeuri hatari
Watu wa Kenya na Lugumbashi waje kubomoa na kuuza nyumba Tansania hii kweli hali????
Mtu akifa na mali zake zinamfata aisee
Zaburi 49:16-17
16. " usiogope mtu atakapopata utajiri, nafahari ya nyumba yake itakapozidi.
17." Maana atakapokufa hatachukua chochote; Utukufu wake hautashuka ukimfuata." Tumtumikie MUNGU kwa kuwaheshimu wengine, na kuwasaidia wenye uhitaji ili tukapokufa tuishi na bwana YESU milele.
Duniani ss sote ni wasafiri.
Iki kimbwa cha boss kinadharau sana.....
Mwanaume kuwa na dharau za waziwazi uo ni umama😏😏😏😏😏😏
Dharau ipi kaonesha? Una kisirani cha nini? Mimba?
Lea Samwel
Mama yako ndio ama dharau?
asee hii hotel 5 star asee inauma asee
Haikua na hadhi ya five star
Kweli tusilinge na pesa tuta acha tunacho lingia halafu badae wataita uchafu ulio achwa na marehemu
😮😮
Anadharau sana anaita mali ni uchafu, hafai hata kujiita Mkurugenzi!
Labda mkurugenzi wa nyoko
Sasa kama vingine ametoa hataki kuuza utalalamika kwamba mbona hauzi zote😂😂😂
Morena shabiby tajiri kawafikia wa Kaskazini
Mrema yupi Lyatonga au mwingine
Nooo... Hii ni Ars, mrema wa Impala Hotel
Nilishawahi kufanya kazi hpa jaman so sad😢😢😢😢😢
Ndivyo hivyo tena mtu akifa na kila kitu hufa, Marehem Faustine Mrem alifanya kazi kubwa kujenga haya maeneo Impala na Naula spring hotel lakini sasa kila kitu kinapotea.
@@ntopangonyani6964 yaani mwenyewe huko aliko kama anaona nasikitika. Nguvu zake zote zimepotea bure
Duniani kila kitu kina mwisho😢
Tulikia tunapita apo nje kuna ulinzi wa hali ya juu
Uchafuuliokua ndani😢
Huyu jamaa sio mtu.ni mnyama namuombea agongwe hata na Gari.mtu gani Hana loho mbaya kiasi hivyo
Ahmed shabiby ndo anabomoa na kujenga hotel nyingne ya morena
Shabby ndio kanunua hii?
@@judyngowi391 c umesikia jamaa anasema kampuni ya morena hotel ndo imenunua hapo, Morena hotel ni ya shabiby mzee
Ooh kumbe? Sikuwa najua Morena ni ya Shabiby! Hao ndio wawekezaji wenye akili waliobaki nchi hii! Tatizo la Mrema aliendekeza makonyagi mpaka yakaharibu Figo akiwa mdogo tuu
@@judyngowi391 kwel kabisa warabu sio wenzetu kabisa
Jl mwinuka online tv
Maden tena😅😅😅😅😂
Mgonjwa
Jeuri ya pesa du,,,inavunjwa,,,duuiih
Fala kwl ww na ujitambuhi kbsa tafut chako na ww uone kam ni uchafu bwege ww
3:50
Ubwa wewe kama ni uchafi c mtupe naomba mungu mshinndwe kumalizia muishiwe
Nimeshangaa eti uchafu alafu uchafu huo wanaupiga mnada nani atanunua uchafu? Wapeleke dampo😂😂😂.
Aaaaaa selikali inanufaika zoote kodizawananchi Sasa kwanini mszikwe nahizo Mali mungu kiboko ya mataperi
Kanunua Morena means Shabiby,ok
Yaaah
Familia,watoto wameshindwa kuirudisha Hotel hyo
Familia zenyew hiz za magomvi Mungu atusaidie tu.
Tatizo jamaa alikuwa na wake wengi na watoto kibao
Ipo sehemu gan
Marehemu hufa na chake pigana upate chako
Kweli kbs ndugu yangu
Mwandishi hajui kuhoji
Uchafu??huyu jamaa kweli kichwan hamna kitu
1:14 1:14 1:16
huyu ni msenge ana dharau na hana hela yeyote....
hela anayo
@@georgenkanawa7156 najua mpaka alikopanga...awadanganye ninyi tu sio mimi
@@bushbabytz Anakaa Kinondoni Mzee, Mimi namfahamu na nishafanyanae kazi. Ni mtu POA✓
Mrema yupi
Lyatonga
Ulikuwa hujazaliwa
Yeye ndiyo mchafu alikuwa jambazi huyo nashangaa anatopoka hovyo
Hivi huo uchafu hapo usoni mwake arusha hakuna saloon
Wachaga mapenzi yenu kwenye utajiri yanamaliza utu wenu asee
Hyo jamaaa anajidai anasimamia mnada anapenda umpe Hela kidogo azuie kitu kizuri
Morena ya mbunge wa
...wapi.
Mbunge shabiby
Hapa anaitwa saidi.au satco@@salmameshack4502
Shabiby uyo anaela kisenge
Shabib
Morena c IPO Morogoro msamvu stend
Maisha ni ubatili mtupu😮
Kwahiyo sikuizi uchafu unauzwa kumbe
Ndio ndugu. Je makopo si uchafu huo😂😂😂😂
Alaf awasemi 😂😂😂
Ameonyesha dharau mbaya sanaaaaaaaaaaa, sijui mwenye navyo angekuwepi apo maneno pia yangemfyatuka kama hv kweli!! Inaumizaa
NA MUUZA UCHAFU SI KAJITAJA!
Kwa uchafu unauzwa
Uchafu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uchafu😂😂
Prisca kumbe nawe umeckia uchafu.Tumuone kwake anapolala.
Mgonjhwa
@@user-dt6us3wd7camakweli mgonjwa alisikia wapi uchafu unapigwa mnada? Asili ya uchafu ni dampo ndo mahala pake😂😂😂.
We una usonji wa mtindio wa 🧠 una madharau yalipitilizaa wakati hapa Dunian unaviachaaa....Shame upon yuh😡
Takoooo tu nyoooo dharau mbayaa utakufaaa tu na wew🤬
Huyu msenge nini uchafu ndio nini
Jamaa majibu yake dah!. Eti uchafuu
Mwanaume ukipata hela chonde chonde usimbato hovyo hovyo na usizae na baa medi maana nguvu zako zote ulizotumia kutafuta hela itakuwa bure.
Funguka kidogo
Kumbe alizaa na mabaamedi? Unajua nimewaza sana kweli angezaa na watu wa maana labda wangekomboa hizo mali! Alikuwa anzaa na wahudumu wa hotel wale wazuri wazuri! Mmojawapo ni dada mmoja tulisoma nae alikuwa mzuri kweli! Nikasikia alizaa na jamaa!
Kwanini unauza uchafu
Jamani nimefanya fild hapo
Jamaa hana zalau wala nini, ni misemo ya mbele iyo,,misemo yakawaida kabisa,, ukiwa ugaibuni ndo tunavyoongea hivyo, sio kama zalau jamani,
😂
Mbona ughaibuni🖐
Ughaibuni wanauza uchafu
Kweli n lugha ya ugaibuni😅😅😅
Kama ni uchafu si ukatupwe