KESI ya MIRATHI ya MREMA ilivyomalizwa, aliyepewa usimamizi na nafasi ya MJANE, MWANASHERIA afafanua
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/c...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Huyo mjane inaelekea ana roho nzuri na angefaa kuwa mmoja wa wasimamizi kwa kitendo cha kuwakumbuka watoto wengine. Na mapadre walifungishaje ndoa na huku wao wenyewe ndoa zao hazivunjika mpaka….?
Doreen alijibebea uvundo kwa nia ya kunufaika na mirathi yaan ela hizi 😢😢😢😢
ila ww jamani kwann unachekesha wenzio 😂😂😂😂
NIMECHEKA KWA SAUTI 😅😅😅😅ETI UVUNDOO 😁😁😁😁😄😀🤣🤣🤣
😢
Mwanamke.pambana..tafuta.mali.zako.mwenyewe.unaolewa.na.babu.yako.kisa.mali.haya.uNadal.urithi.wakati.hujatolea.jasho.huyo.aSizewell.chochote
Je Mahakama itakubalije ndoa ya kwanza imevunjikaje bila uthibitisho?Hakimu umekula mpunga nini?
Tena ndoa ya kanisani, lazima watangaze siku 21, hakuna mtu aliyejua kama bado yuko kwenye ndoa? Ndugu zake na ndugu za mume na rafiki zao
Kwa hiyo yule mtoto wa msanii akibadilishwa jina kwa hasira baadae hatatambulika? 😢
Kwa sababu unawaona
Wale wa tatu tu ,naona Hana uhakika kama niwakwake
Hiyo yote ni umasikini tu. Mtu au watu wakiwa na mali zao hizi habari za kusubiri kurithi vitu vya marehemu na kupata aibu hizi za kukataliwa zisingekuwepo
Kweli kabisa
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Ni mwizi Tu huyu mwanamke,,,anataka kupiga pesa Tu...wanaume tuache kuowa
Alicheza na hesabu
Baba zetu ni shida,wanaoaoa uzeeni,mwisho wa siku wanaleta mitafaruku,mtu anavuna Mali ndani ya miezi 05,wakati Mali hiyo imetafutwa kwa muda mrefu.
Kwenye Uislam haifai mtoto kumpa mtoto jina jengine ambalo sio babaake....na mtoto wa nje ya ndoa harithi
Sheria ya Tanzania hurusiwi kumbagua mtoto wa nje ya ndoa. Ana haki kama watoto wengine. Cha msingi mwache kuzaliana nje ya ndoa.
MRITH WA MALI ZETU NI WATOTO WETU TU WANAWAKE MKAE MKIJUA HILO
Viongozi wanatushauri tewetunaandika wosia,lakini MTU kama Mrema na nafasi zote alizokua Nazo huwezi kuamini hakuandika wosia,na Huyo mwanamke ni mbumbumbu anakubali kuolewa na mzee kama baba yake bila wosia!,hii inaonyesha aina ya viongazi tulio nao wakifa ni Aibu tupu.
Haya ukistaajabu ya Mlema utayaona ya mobeto na mond😴
Wanawake bhana ,,mnajua kuvizia wanaume wazee ,,,unajua kabsa maji ya shingo ,unajitega upate milasiiii,,
Unaweza kujilengesha wakati hakuna utajiri kihivyo!
😅
Wajane wa Tanzania wanaongoza kwa hekaheka zao kuja mitandaoni, why 😮
Kupata Mali yoyote tu kwake ni ushindi mkubwa
Umeonaeee ilototo limeaibika mali zimemvuwa utu
Yaani nafasi kubwa sana serikalini, kupambana na matendo maovu, in short ni VVIP kwenye hii nchi, unakufa hujaweka utaratibu wa utambuzi wa wanufaika wa mali yako? Khaaa;;;;; ushamba kabisa huu. Sasa mwanasheria wa Mrema alikuwa na kazi gani kwenye maisha yake?
Mpeni uyo mwanamke AlfTatu aondoke😢😢
Vizuri sana mtoto wa mrema kuchagua kuwa msimamizi.
Huyu Mzee amesharudi kwenye mahakama ya haki atalipa kwa uchugu sana alivyo wafanya waislamu
@@abduljuma7807aliwafanyaje
Tena
Inauma saaana unatafuuuuuta unadhani umepata peaa mwisho unakufa wanagawana watu waajabu tu
Kwn alililazimishwa kumuoa?
Kuzaliwa nje ya ndoa ni msiba kama misiba mingine.Yaani kila rangi utaiona wazazi wasipokuwa na hekima na busara.wewe utabeba mizigo ya matendo yao
Daah sio fea miezi5 ndani ya ndoa unadai milasi😂
Hata ikiwa mwezi mmoja ana haki ya kupewa,halafu ni mirathi sio milasi
@@NR-ll4sr mbona umepaniki 😅
Huyu msomi ni kama comedian ukisikiliza anavyongea. Haweki ule msisitizo wa mwana sheria.
Wanaumme kuandika Mirathi ni kitu cha muhimu sana, kwani bila kufanya hivyo siku ya kutangulia mbele za haki hakutakuwa na pumziko jema .Sidhani kwa machungu haya huyu anapumziko maana ni vita juu ya vita .
Hata ukiandiia ni kazi Bure kTika nchi hiiii...hujas8kia ya Mengi wa ITV?
Umesema vyema ndugu yangu inasumbua watu wengi kwenye familia sanaa
@@teachingtruthmission2140 Inategemea ujue kwenye kipingamizi huja pale ambapo inasadikiwa alieandika alishinikizwa kutokana na matatizo ya kiafya .Ndio maana mwenye kuandika Mirathi anatakiwa asiwe mgonjwa ambae hajui anafanya nini asiwe na Dimension awe na utambuzi wa analolofanya .Maana kuna kushinikizwa kuandika Mirathi sio Mke tu inawezekana ikawa Mtoto au hata ndugu pia kwa kutaka kujipatia mali yeye binafsi. Mahakama ikigundua kuwa haikuwa Urithi wa haki inaweza kutengua mirathi hiyo na ikaamua yenyewe.
Kikubwa inatakiwa Sheria za mirathi hasa kwenye ndoa zibadilishwe, kwa kuwa unakuta anaolewa Binti na Mzee mwenye watoto sawa na huyo Binti kakuta mali alizochuma Mzee aidha na mtalaka mke wa kwanza au marehemu alafu mda mfupi Mzee anafariki huyo nae anadai urithi. Kuwe na kiwango flani cha kumtafutia machozi na kama atakuwa na watoto Serekali pia iweke haki hapo sio kukomoa watoto aliowakuta ambao wao wanajua historia ya hizo mali kuliko huyo mjaji .
@@pendomushi6351 Sana kuna familia moja huyo Bint aliolewa na mtu wa makamo umri wa huyo Binti ulikuwa sawa na mtoto wa nne wa huyo mtu.Huyo Bwana aliachana na Mke wake wa kwanza na kwenye kugawana mali alidai anabaki na watoto na mali za watoto Mke akaondoka mikono mitupu.Baadae huyo Bwana alifariki na huyo Mke mdogo hataki watoto wa huyo Bwana wakanyage kwao anadai ni kwake na watoto wake. Ni hatari sana
Binadamu wajifunze kuwa waaminifu ktk watoto, Umezaa mtoto andika Taarifa halisi, usipindishe pindishe taarifa, Life is like a dice, Hakuna gharama ktk kuandika taarifa za Kweli, You never know life shall give what to Him/Her😎😎
kumbe kununua mtu nilyezaa nje ni sh100 basi ngoja nijitahidi nipate hata watoto wa buku.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka mno kah
Ila wanawake!!!kama wanaume hatujifunzi kwa haya matukio hata siku ya hukumu tutaulizwa ina maana hamkuelewa nini na niliwaonyesha kwa matendo kabisa na mkaona kwa macho yenu,sema MUNGU anatupenda sana wanaume na anatuonyesha tunaishi na viumbe wa namna gani ila vichwa ndo vigumuuu.
Kaka Bundala. please nisaidie nipata information za huyo Saduni
Niko na maswali nimlize please 🙏🏻
Asante sana kaka Bundala kwa kutuletea Saduni ambaye anatufungua sana kujua mambo mengi ya kisheria. Hakika tunapata kujifunza mengi kupitia elimu inayotolewa. Good job sns
Another WOMEN down😅😂. WANAWAKE huu ni Mfano mwingine. Badilisheni mkakati. Over Over
Hapo Kuna mianya ya rushwa kwani huyo mke na marehemu apate uridhi kwa kukaa na marehemu miezi5 tu,hata mali ya mremahaijui vipi mawakili tunaomba ufafanuzi
Science ipo wanaweza kupima DNA
Mwambieni Hamisa mobeto asije kubadilisha jina la baba yake yatakaa sawa tuu😊
Ndomana jamaa kesha badili majina na ubini wa watoto wake kuna mtu ataumbuka akipeleka cheti cha mwanae hola nikiwa hai nitachekaaa
alikua anajua atachukua mali subutu kupenda wazee 😅😅😅😅 tamaaa
Kwani umeambiwa atakosa wakati alikuwa mke
mwanasheria anajua sana sgeria anajua kuchambua big up kwake
Mamdogo atulie familia imfikirie ila sokudai , miez mitano nimichache ila ujui alikua ana mhudumia vp, kama shukran wampe ata baskel, nayee asidai kwa mikiki
Yaani mpaka wasomi wana matatizo ya L na R ,Tanzania?
Duuu!!! Tunaenda wapi ???😮
In the Era mitochondrial DNA paternity testing, this Tanzanian Judge should know better than that. What a shame!!! That's ignorance of the highest order on the Part of the judge.
I'm telling you,stupid judge 😒 DNA does exist in Tanzania
Nime isikiliza kwa makini ila huyu mama kajitokeza kutaka asimamie kwa sababu yahuyu kijana alitaka awabague wenzie ndio maana huyu mama takataka kuwsimamizi ili awasaidie
Mbona alisema hataki mali wakati anaolewa??. wanaume tijifunze hapa.
Cheti cha kuzaliwa kwa Tz miaka hiyo ya 60s hadi 90s hazikupewa umuhimu kihivyo
Dah dunia hii ukifa mali zako zina gombaniwa kwa watu hata jasho hawajalitoa 😢
Asa si watoto wapo yeye miezi mi 4 anata miradhi alooh! 😢
Munisaidiye contact ya huyu lowyer pls
Hivi kwa Nini kuandika wosia ni ngumu sana? Coz wengi hawaandiki hata wenye uekewa mkubwa
Huyo mume wa kwanza atoke asema ukweli kama ndoa yao ilivunjika au haikuvunjika
Mi nadhani pengine ile ndoa ya kwanza pengine haikusaijiliwa RITA
@@felicianfrancis9895 Watoto wa Mrema wanatakiwa wachunguze
😂😂😂😂😂💃💃naelekea RITA
NDO HAYA HAYA YA VICKY KAMATA, NA JACKLINE MENGI! WANAWAKE BANA
Mstulete habali izo za ndani ya familia zawatu
😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo siyo WANAWAKE TU ndo WAACHE kubadili majina ,BALI WABABA WANAPOWEKA MIMBA KWA MABINTI / WANAWAKE WAJUE NI WAJIBU WAO KULEA KILA MIMBA WALIZOWEKA ,MAANA KAMA MUNGU KASEMA MPENDE MKEO KWA NINI KUMZALISHA NA KUMKIMBIAN, HIVYOBSOMO HILI NI KWA WOTE ME NA KE ,MWISHO MTOTO ANATESEKA 😢
Mkeo ni yule uliefunga nae ndoa. Huyu uliekutana nae nje hawezi kuwa mkeo maana hujafunga nae ndoa
Sasa warifunga ndo ya serekari ao doa yawa kristo?
Dam
Jomazara yakuowa uzeheni
Darn...
At list she got the bag Kkkkkk 😢 she was not smart enough to secudue well the old man 😂 to write her like msimamizi Kkkkkk huyo anaafadhali but Vicky kamata she was real kichaa kajizalilisha sana😢
Wow hapa nimepata kitu
Wanawake km hawa washenzi sn,wapo wengi na bado wanaume hawajifunzi!
Maswala ya miradhi hapana kbs baba pumzika kwa amani
Wanawake wanatuchezea akili na wanatutumia,,,maana wanajua Sisi wanaume tunakufa mapema
😂😂
Unasema Ukweli mtupu
Kukimbilia kibabu kwakjua atapt mirathi 🤣🤣Safi sheria kwa kufat haki
😂😂
Yaani tamaa mpaka Mavini.
Polewe
DNA ifanyike 😮
Hii ya kubadilisha majina kwa watoto ipo Sana upande wa Kaskazin . Yani Babu ndy anakuwa baba
Mahakama Hoyeeeeeee
Haya mimi niliyaona ,uyo mwanamke alifuata mali tu kwa mlema , wewe mtu alikua anaumwa hajiwezi alafu mwanamke anakubali kuolewa nae ,alishajua mzee akifariki nayeye atapata fungu ,haya makesi ya mirathi mda mwingine ni kujitakia tu.
Kukubali ni hiari ya mtu na wote walikuwa na akili timamu. Huyo Mrema yeye alifuata nini, unajuwa kinakokaa hata jua halifiki.
@@hajihassan5433 kaka familia nyingi huwa zinasambaratika kwa staili hii , mtu tayali Ni mzee una watoto wakubwa alafu unaoa tena ,Yani hata Kama uishi naye mwezi mmoja halafu ukafa tayali yeye ana haki kwenye Mali Kama mke ,ndo maana wazee wengi wenye umri mkubwa wanaojitambua huwa wanajiongeza hawaoi wanalinda maslai ya watoto zao na inayogawanywa Ni Mali ya mwanaume tu hapo.
@@hajihassan5433 kaka familia nyingi huwa zinasambaratika kwa staili hii , mtu tayali Ni mzee una watoto wakubwa alafu unaoa tena ,Yani hata Kama uishi naye mwezi mmoja halafu ukafa tayali yeye ana haki kwenye Mali Kama mke ,ndo maana wazee wengi wenye umri mkubwa wanaojitambua huwa wanajiongeza hawaoi wanalinda maslai ya watoto zao na inayogawanywa Ni Mali ya mwanaume tu hapo.
Mie nilifahamu Kwakua ndoa ni halalai hata masaa kadhaa baada ya ndoa mmoja akafariki ! basi mwanandia aliebaki ni mrithi halali
Kuna namna ya kukokotoa kiwango Cha Mali hapo, itaangaliwa pia kama kwa muda huo mliingiliana au la..p
@@tareqhilal6750 eeeh🥺!!!!!!!!
Mahakama zetu
0:32 0:36 0:41 0:41
👊✌👍.
Wanawake wa kichaga kwa Tamaaa za Mali Yaani miezi mitano tu unasema Mali mmechuma wote . Kwakweli Mimi sioi MCHAGA🌜🌜🌜
Huyu dada amewatetea hao watoto Ili apate nguvu
Ila Dorice alufata Mali
Amelamba dodo😂😂😂❤
Mimi pia nilibadilisha jina la mtoto nilivyo gombana na baba wa mtoto,kadi ya kriniki jina alilo toa baba yake na jina la cheti cha kuzaliwa jina la kwangu nililo mpa mimi,lakini jina la baba anatumia ilo ilo adi la ukoo sijabadililosha,na kwao anajulikana kwenye ukoo wote na pia anashinda kwa baba yake na shule baba yake ndio kampeleka kwa ujumla anajulikana,sasa sijui nayo nimakosa,ila nimejifunza
Vzr
@@imagepower3641 🙏🏻🙏🏻
Kwa nini huyu wamkubalie kama mke halali na vick wamkatalie? Inabidi nao judges wawe na standard wasiongozwe na hisia zao
Kwa Vick mke wa kwanza bado hupo hai