Poleni sana polisi wengi wa Tanzania elimu yao ni ndogo na vyombo vyote vya dola Mahakama Magereza polisi na Uongozi mzima wa Serikali ilyo madarakani kwa umjula
Mnasababisha uchungu mara mbilimbili jamani.sasa mliruhusu wazike kwa nini?ni vizuri kufanya kazi kwa weledi na akili ya kuzaliwa +akili ya shule kuliko kusubiri kusimamiwa kila wakati kama punda mbeba mzigo.
Hakuna nchi ambayo haijawahi tokea Ili hata huko ulaya ndio sana muwe mnafuatilia matukio Na hii usaidia sana ktk familia zitaridhika hara na na kufarijika sana .DNA lazima
Mimi tukishazika najua tumemaliza habari za kufukua trna mnikome sitataka kushiriki hizo habari mfyuuuu,kwanini huo utaalam usingefanyika kabla hajazikwa mnataka wana ndugu wawe wanaweweseka na wakati walishakua wanaanza kupata afuan ya moyo
Sasa police waliharakishaje kusema mumzike . Mtoto mara anaweza kua sio wake .
Jamani huenda akawa Baba angu na Mimi ni mzaliwa WA manyara sijamwona Baba angu miaka 12
Asee poleni. Sana mngu awafariji
Poleni sana polisi wengi wa Tanzania elimu yao ni ndogo na vyombo vyote vya dola Mahakama Magereza polisi na Uongozi mzima wa Serikali ilyo madarakani kwa umjula
Nomaa😮
Mnasababisha uchungu mara mbilimbili jamani.sasa mliruhusu wazike kwa nini?ni vizuri kufanya kazi kwa weledi na akili ya kuzaliwa +akili ya shule kuliko kusubiri kusimamiwa kila wakati kama punda mbeba mzigo.
Hivi kweli ni Baba yenu mana na Mimi Baba angu kepotea pia jamani huenda ni Baba angu
Mm sitaweza kushiriki huu upumbavu
Daaah 😥
Yaan huu upumbavu upo tanzania tu jmn hawa police kama hawana akili
Huyu mwenyekiti mbn sura sio ngeni😅 kijiji chake inaomekana ni kisanga
Aliekufa amekufa uwo uchunguzi muje kuufanya leo mbn munamtesa mwenzenu kashaomzika mnaanza kumuangaisha tena
Hiyo n kutesa ndungu scku hiyo walikua wp hao Mahakama,wa Tanganyika,tutakomeshwa,
😢.
Nchi ina heka heka jaman mweee hakuna kupumzika 😢😢 ivi wakifukua ivo hawakuti mwili umeharibika vibaya na kutoa harufu ?
Unakua umesha haribika😢
@@pendo8082 duh aiseee basi Kuna Kazi ngumu jamani nyie sasa apo daktari ndo anaenda kuupima ?! Mweee 🙌🏻🙌🏻
@@ashurajengela3926 ndio wanapima
Duuuuh 😢😢😢
Madactary poleni saana Kwa Kazi ngumu kuhudumia Hawa wanadamu
duu hii🌍😥
ama watu hawaogopi maiti daah mtihani
Mnajifanya mlimpenda marehemu wakati amekufa upumbavu mtupu na uchawi huo mnataka nini mwache apumzike
Mulimuona mbaka meno jamani ni hatari sana
Upuuzi mtupu
Hakuna nchi ambayo haijawahi tokea Ili hata huko ulaya ndio sana muwe mnafuatilia matukio
Na hii usaidia sana ktk familia zitaridhika hara na na kufarijika sana .DNA lazima
Mimi tukishazika najua tumemaliza habari za kufukua trna mnikome sitataka kushiriki hizo habari mfyuuuu,kwanini huo utaalam usingefanyika kabla hajazikwa mnataka wana ndugu wawe wanaweweseka na wakati walishakua wanaanza kupata afuan ya moyo
Jmni mm hao wazee ambao wanaomba kwa mila mtangazaji niunganishe nao nashida yamuhimu sana plz plz 😢😢
Mlete mrejesh wahili sasa😢😢
Hii nchi😂😂😂😂😂the first
Mnapenda tu kuzizalilisha maiti hata mkipima sampuli atarudi hamujui tu hukumu yake kwa mungu