Pole sana mchungaji naamin kuanzia sasa kanisa lako litajaa waumini kwakua imani yako imekuponya japo umepitia changamoto kama hiyo ilo ni jaribu lako na umeshinda mtihani hao wananchi wote walioamini lambalamba watakua waumini wako wapya jina la yesu libarikiwe!! Amina
Sifa heshima na utukufu ni kwa Kristo Yesu Bwana, ikiwa serekali ya dunia huwaweka watu katika nafasi fulani, na kumlinda ili alifanikishe kusudi fulani la kiserekali, basi ni wazi kuwa serekali ya ufalme wa Mungu hutenda zaidi, katika kuwalinda watumishi wake na kuwaokoa dhidi ya hila za yule mwovu, Mungu awalinde na kuwathibitisha watumishi wake kwa ajili ya utukufu wa jina lake.
Mchungaji usiofu kwa lolote Mungu mkuu atashulika nao hao. Uko kigoma kuna nini hadi Watumishi wa MUNGU MKUU wanavamiwa ?. Ninyi ninyi haya Mungu amewaona na atashulika nanyi. Amen. Ungeomba Rehema ya kutiwa upofu hao wahuni mbona mamlaka mnayo. Poleni sana Mtumishi. Mungu mkuu awatetee. Amen.
Mbona wenzao wenye ngome ya shetani wako wengi kwanini wasiwape hela za kuzimu huko,,ila kweli wewe ni mchungaji wa kweli Ashukuriwe Mungu aliye kulinda
Imani yetu ni nguvu yetu Yesu kristo akiwa mbeleyetu tutashinda na zaidi ya kushida. hongera baba kwa kuilinda Imani.. Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki. Amen
Watu wanguwanaangamia kwa kukosa maarifa😅the funny thing ni apo wanajufanya wamefunguka lakin ukishakuwa n mtu wa kuamini iman za kishirikina n ngumu sana kushauriwa usikie 🤷🤷May God continue to strengthen you servant of God
Duuuu 😭😭pole Sana mchungaji Ktk kitabu Cha Yoh 1:4-5 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima nao uzima ulikuwa Nuru ya watu nayo Nuru yang'aa gizani Wala Giza halikuiweza.Hakika Giza na Nuru haviambatani.
Bwana Atajitukuza hii ni Vita ya kumtangaza YESU KRISTO Aliyehai Atajitukuza kitaeleweka kuwa kuokoka Ni lazima Wakati umefika Sasa Tinaongeza Maombi Zaidi poleni Sana
Sehemu kama hizo zinahitajika.karama za miujiza ya kudhibiti uchawi.hivi hivi.watu hawawezi kuamini.kanisa kunamchungaji Tukuyu mbeya alikuwa anashea uwanja mmoja na ngoma za asili nao wanategemea sana uchawi mchungaji kaalika mkutano.ngoma wakaalika mchungaji akawaomba wakakataa mchungaji akawashitakia kwA Mungu siku zote walizopanga kucheza ngoma mvua ilikuwa inanyesha palepale uwanjan vitu vyao vikaharibika vyote mpaka leo ngoma ilikufa.limebaki kanisa na uanja jAmani Mungu atusaidie sehemu zlizokaliwa na ushirikina Mungu atupage karama za miujiza
Pole sana mchungaji kuna vitu vingine sio kupigana navyo hata yesu mungu animwambia yesu kimbia unatafutwa kuuwawa tunaishi na mijitu inayotembea ni mashetani barabarani
Mungu mwema mchungaji umetetewa jina la bwana litukuzwe, pole sana hao watu wakamatwe wote kamati yao yote walipe vitu vyote walivyohalibu pamoja na waliochanga hela wote wawekwe ndani ili iwe fundisho na kwa wengine
Pole mtumishi wa MUNGU. Wapo watu wanaishi kwa kuwategemea watu wenzao. Neno la MUNGU linasema, amtumainie mwanadamu amelaaniwa. Hao waha MUNGU anawaona sasa wataokoka, hata siku moja HAKUNA USHIRIKIANO KATI YA NURU NA GIZA. Hawana kazi ya kufanya kila siku kamchape, kamchape kufanya kazi hawafanyi, MUNGU hawana ndani yao. Wataona sasa, wamegusa mboni ya jicho la MUNGU. Kosa mali upate akili.
Kwa Uhuru Mama alioutoa nchini ni lazima kuna watu wengine wataumia sana. Maana hii issue ni ya mda mrefu. Ilitakiwa Polisi watumie nguvu kudhibiti haya mambo. Ila Nadhani siasa zinawakwamisha.
Watu wampe yesu maisha ila kamchape kanisani hawausiki kabisa giza na nuru havichangamani waumini wanapenda uganga hawajatofautisha ndo wanaowasababishia mabaya wachungaji kama wacha Mungu wote mna msimamo wanarogana wao kwA wao kama mtume paulo alivosema watadanganyana wao kwA wao
Polisi wapo na wapelelezi wapo na usalama wapo na wanajua na sisi tunajua kuwa kamchape ni uhalifu lakini wameshindwa kudhibiti, kamchape wanaendelea kutamba. Ni wazi vyombo vya usalama kigoma vinahusika na vina maslahi katika hili.
kuna ck ilitokea pia kiukwr polisi walichokifanya kwenye kile kijiji kiukwr mtu akiongelea kamchape watu watamuua walifanya balaa soo naamn huo mtaa watu watajuta kwa hilo
Hivi ni kweli hawa kamchape kigoma serikali imewashindwa Mkuu wa mkoa yupo kamanda Mkuu wa wilaya yupo na makamanda wa police mkoa na wilaya wapo mapolice wapo Raia wanateseka kwa kuibiwa pesa zao. Na kunyanyaswa . Mama samia ingilia kati hali ya kigoma si shwari Hali hii haikubariki
Pole sana mchungaji naamin kuanzia sasa kanisa lako litajaa waumini kwakua imani yako imekuponya japo umepitia changamoto kama hiyo ilo ni jaribu lako na umeshinda mtihani hao wananchi wote walioamini lambalamba watakua waumini wako wapya jina la yesu libarikiwe!! Amina
Sifa heshima na utukufu ni kwa Kristo Yesu Bwana, ikiwa serekali ya dunia huwaweka watu katika nafasi fulani, na kumlinda ili alifanikishe kusudi fulani la kiserekali, basi ni wazi kuwa serekali ya ufalme wa Mungu hutenda zaidi, katika kuwalinda watumishi wake na kuwaokoa dhidi ya hila za yule mwovu, Mungu awalinde na kuwathibitisha watumishi wake kwa ajili ya utukufu wa jina lake.
Pole sana mchungaji ,wewe ni mwamba imara umeipigania Iman, mungu ashughulike nao
Mchungaji usiofu kwa lolote Mungu mkuu atashulika nao hao. Uko kigoma kuna nini hadi Watumishi wa MUNGU MKUU wanavamiwa ?. Ninyi ninyi haya Mungu amewaona na atashulika nanyi. Amen. Ungeomba Rehema ya kutiwa upofu hao wahuni mbona mamlaka mnayo. Poleni sana Mtumishi. Mungu mkuu awatetee. Amen.
Bwana Yesu Kristo yeye mwenyewe atalilipa hili Roho ya uhalibifu itawaingia wao na familia zao.
YESU mtie nguvu Mtumishi wako.
Daaaaah pole sana pastor MUNGU anakupenda sana
Kwani haya mambo yanatokea Tanzania kweli nilijuwa ni nchi ya amani na watu wakarimu
Amen. Mungu ni mwema sana.
Mbona wenzao wenye ngome ya shetani wako wengi kwanini wasiwape hela za kuzimu huko,,ila kweli wewe ni mchungaji wa kweli Ashukuriwe Mungu aliye kulinda
Wenzao akinan ??
@@hamisimkoma7380 hao wavamizi wanamtandao mkubwa walazimishe kanisa lichange iyo ela ,kwann??
Mmojawapo ni wewe mwenyewe unaye uliza swali
Mungu yu mwema,pole mchungaji na wenzio wote damu ya Yesu Kristo izidi kuwalinda na kuwapigania
Wote wana kijiji wakamatwe walipishwe faini nyumba kwa nyumba,walipe kila kitu wali choharibu
kosa la kuchoma majengo au vitu sio la faini, adhabu ni kubwa sana miaka nadani si chini ya 20
Pole Sana mtumishi MUNGU akuponye na hongera Sana kwakusimamia Imani hatimae wananchi waona uongo wakamchape
Ndo raha ya kumtumikia MUNGU kwa uaminifu
nimelia sana hakuna mtu ambaye amefanya huu unyama atapona yupo Mungu asiyelala wala kusinzia.
Daah!Mungu alituma malaika zake waje wakuokoe.ahsante sana Yah
Uliwaona?
Safi Kiongozi tunawaombea Sana Ubarikiwe kufungua shetami ameshindwa kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai
Imani yetu ni nguvu yetu Yesu kristo akiwa mbeleyetu tutashinda na zaidi ya kushida. hongera baba kwa kuilinda Imani.. Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki. Amen
Amin Mung akuzidishie iman zaid n nguvu ya kusimama zaid n neno la kristoooo
Mungu akupe neema ya kwenda viwango vingine
Watu wanguwanaangamia kwa kukosa maarifa😅the funny thing ni apo wanajufanya wamefunguka lakin ukishakuwa n mtu wa kuamini iman za kishirikina n ngumu sana kushauriwa usikie 🤷🤷May God continue to strengthen you servant of God
Pole sana pastor waganga wanaeneza chuki katika Jamii wakati familia zao haziko shwari zina matatizo kibao.
Ivi izi Mambo za kamchape serikali imeshindwa kuzibiti tumechoka aiseee from KIbirizi
Una mzigo ndani?? 😅
Serekali iko bussy. HATA panya road wako bussy matapeli wako bussy wezi VIBAKA ni ubussy tuuuu hakuna msaada
Sasa kamchape unataka serikali ifanye Nini? Iende kwa mganga? Nendeni Ibaadani acheni ushamba.
😂😂😂😂@@geofreysadok4823
Serikali haijashindwa tatzo wananchi Walio wajinga ndio chanzo
Nimkakati wa shetani kuya dhoofisha makanisa hata mwamgongo wanamtishia mchungaji leonidas kumuua kiss kawakataa kamchape
Wewe ni mtu wa Mwamgongo?
Nimesomea mwamgongo
Siku hizi kabla hujafanya tukio la ovyo ogopa media kuliko polisi😂😂
Mungu ni mwaminifu pole sanaa mchungaji asante mungu kakuachia uzima
Duuuu 😭😭pole Sana mchungaji Ktk kitabu Cha Yoh 1:4-5 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima nao uzima ulikuwa Nuru ya watu nayo Nuru yang'aa gizani Wala Giza halikuiweza.Hakika Giza na Nuru haviambatani.
Pole sana mchungaji Eliudi Mungu akulinde
Waha mnapenda sana uchawi
Bwana Atajitukuza hii ni Vita ya kumtangaza YESU KRISTO Aliyehai Atajitukuza kitaeleweka kuwa kuokoka Ni lazima Wakati umefika Sasa Tinaongeza Maombi Zaidi poleni Sana
Mungu ni mwema hakika jina yesu litukuzwe
Yesu 😂 sio baba
@@shebbythespyro5393wewe unataka nini simamia Imini yako ndugu. Amini unachojua
Serikali iwachukulie hatua kali za kisheria kwa hawa wahalifu.
Tanzania isivumilie vitendo hivi viendelee.Mungu ibariki Tanzania. 🙏🙏
Nilshasema kwamba hao kamchape ni waongo sana pia ni wachonganishi je ni kwanini serikali inawavumilia watu hao?je Kwani serikali yetu imeshindwa
Pole sana baba hivi ni vita vya imani yaani huu wakati (kipindi cha utawala wa shetani ) simama na Mungu:
Sehemu kama hizo zinahitajika.karama za miujiza ya kudhibiti uchawi.hivi hivi.watu hawawezi kuamini.kanisa kunamchungaji Tukuyu mbeya alikuwa anashea uwanja mmoja na ngoma za asili nao wanategemea sana uchawi mchungaji kaalika mkutano.ngoma wakaalika mchungaji akawaomba wakakataa mchungaji akawashitakia kwA Mungu siku zote walizopanga kucheza ngoma mvua ilikuwa inanyesha palepale uwanjan vitu vyao vikaharibika vyote mpaka leo ngoma ilikufa.limebaki kanisa na uanja jAmani Mungu atusaidie sehemu zlizokaliwa na ushirikina Mungu atupage karama za miujiza
Polen sana mtumishi wa Mungu, hakika katika hilo Mungu anataka kusema jambo na hao wananchi,,Mungu atengeneze njia kwa upya
Pole sana askari. Hawana ushirikiano wowote. Wakirsto. Tusimame imara yesu atatutetea yupo nasi. Aliahidi hatatuacha.
Poleni sana watu wa Mungu 😢Mchungaji pamoja na wazee wakanisa Mungu aendelee kuwalinda.Hizi Imani zingine ni za kishetani kabisa
Pole sana mchungaji kuna vitu vingine sio kupigana navyo hata yesu mungu animwambia yesu kimbia unatafutwa kuuwawa tunaishi na mijitu inayotembea ni mashetani barabarani
Acha Mungu azidi kujitukuza mwenyewe ..mataifa na makabila yote yapate kumkili yeye aliye juu ya miungu yote. Na madhabahu zote
Poleni sana mchungaji hao ni sawa na mjambazi sheria ichukue mkondo wake bila kuogopa
Kaneno kakifala sana eti....KAMCHAMPE!!!! Pole Sana Mtumishi wa Mungu.
Pole sana Pastor Serikali iwasake wote wakaozee ndan
huku ndiyo inawatuma Wakachape
Pole sana mucungaji , Mungu wetu ni muzima pia mwenye gufu sana.
Mungu mwema mchungaji umetetewa jina la bwana litukuzwe, pole sana hao watu wakamatwe wote kamati yao yote walipe vitu vyote walivyohalibu pamoja na waliochanga hela wote wawekwe ndani ili iwe fundisho na kwa wengine
Asikar wachukuliee hatuwa polisi niwazembee sana
Pole.sana.mchungaji.mungu.akusaidie.
Serikali inahuska kuwalinda na kuwatetea hao kamchape. Polis hua wana subili watu wapoteane kwanza ndo wafike
Ni nchi gani hiyo😢 Enzi ya Mwalimu huu upuuzi haukuwepo Hata Enzi ya Pombe Hii ilikua haikubali
Wahusika wachukuliwe hatua kwa mujibu wa sheria ili iwe fundisho kwa wengine.
Subuhanallah. Hivi kipindi wanaendakumfanyiamtu unyamahu. Wanafikilia kweri. .kama baadaekitatokea nini. ,
Hapa ndio nimemkumbuka Magufuli Akh wangejua hawajui
Pole sana mchungaji. Mungu atawashighulikia
Pole mungu akutangulie mchungaji
Imani yako ni kubwa Mungu akuzidishiee
Mtu wa kwanza kukamatwa hapo anapaswa kuwa mwenyekiti wa kijiji na mtendaji, kwanini aliwaruhusu?
Barikiwa baba Mungu akutie nguvu.
Mungu azidi kuku imarisha uwe jiwe juu ya mawe mchungaji
Pole sana mchungaji mungu akulinde
Umefanya vema kufungua Mtumishi kwa Jina la Yesu Kristo Aliyehai Tumeshidaaaaaa
Mchungaji wew wala usijali mshukulu MUNGU ,,maana naamini MUNGU ndye atakaye shughurika nao
Jamani jamani shetani yupo kazini asante sana mchungaji
Amina roho mtakatifu nimwamifu ndo maana kakuficha kumtumikia mungu awezi kuku acha
Mchungaji majalibu ni mtaji hakika umepata mtaji mkubwa sana mbele za mungu, mungu azidi kukupipigania
Pole mtumishi wa MUNGU. Wapo watu wanaishi kwa kuwategemea watu wenzao. Neno la MUNGU linasema, amtumainie mwanadamu amelaaniwa. Hao waha MUNGU anawaona sasa wataokoka, hata siku moja HAKUNA USHIRIKIANO KATI YA NURU NA GIZA. Hawana kazi ya kufanya kila siku kamchape, kamchape kufanya kazi hawafanyi, MUNGU hawana ndani yao. Wataona sasa, wamegusa mboni ya jicho la MUNGU. Kosa mali upate akili.
Mungu tupo siku zote endelleaje kumtumukiya kwa uaminifu mchungaji😊
Hapo wakamatwe Kijiji kizima wajenge hiyo nyumba.
Kwa Uhuru Mama alioutoa nchini ni lazima kuna watu wengine wataumia sana.
Maana hii issue ni ya mda mrefu. Ilitakiwa Polisi watumie nguvu kudhibiti haya mambo. Ila Nadhani siasa zinawakwamisha.
Wale matapeli TU dawa Yao wachezee moto TU hao wanaleta uchonganishi
Amen Amen......! Hallelujah
Ila jamani kigoma uamsho unahitajika Kigoma
Polenisana.mchungaji.Munguakutie.nguvu
Shida ni Elimu ,nakuamini mambo ya Ajabu,Pongezi Kwa mchungaji wa kanisa na Jeshi La police.
Ni kweli huwezi kumtoa shetan kwa shetan mwenzake yesu ni njia pekee ya kuepukana na ushirikina
Nakumbuka Kuna siku mheshimiwa makonda alisema wananchi amukeni mnapigwa wajikuta wajuaji, Sasa wapelekea madhala kwa mchungaj
Watu wampe yesu maisha ila kamchape kanisani hawausiki kabisa giza na nuru havichangamani waumini wanapenda uganga hawajatofautisha ndo wanaowasababishia mabaya wachungaji kama wacha Mungu wote mna msimamo wanarogana wao kwA wao kama mtume paulo alivosema watadanganyana wao kwA wao
Mungu atawalipia
+MUNGU+ ni MWEMA MILELE ISAYA 54:10🙏🙌🙌
Polisi wapo na wapelelezi wapo na usalama wapo na wanajua na sisi tunajua kuwa kamchape ni uhalifu lakini wameshindwa kudhibiti, kamchape wanaendelea kutamba. Ni wazi vyombo vya usalama kigoma vinahusika na vina maslahi katika hili.
kuna ck ilitokea pia kiukwr polisi walichokifanya kwenye kile kijiji kiukwr mtu akiongelea kamchape watu watamuua walifanya balaa soo naamn huo mtaa watu watajuta kwa hilo
Haaaaleluuuuuyaaaaa Yehova
Pole mtumishi wa YESU KRISTO ALIE HAI yeye ni mwaminifu
Mungu muumba wa.mbingu na nchi mlinde huyu mtumwa wako wote waliohusika nyoosha mkono wako kwao maana wewe unaweza.
Pole sana ndugu mchungaji,ila nimeumia sana jamani
Mungu ni mwema jmn🙏🏾🙏🏾🙏🏾 pore baba yetu
Pole Sana mchungaj mungu Yuko pamoj na wewe usimuache mngu wako😢😢😢
Pole sana mchungaji
Kwa jina la Yesu nuru yako imekuzukia una kwenda kua mtu mkuu sana
Poleni sana ndugu zangu
Pole sana Mchungaji
From Singida Tanzania
Gomekhwa says he mwanoo😂
Mungu hamuachi mtumishi wake aangamie kabla ya wakati wa Mungu kufika
Sifa na utukufu ni kwa Mungu. Na hatimae Mungu kaamua kuwadhihirishia wananchi. Nini kinachofanywa na hao matapeli
Ukionyesha iman kwa Mungu nae Mungu hujionyesha kwako
Hv serikali imewashindwa hao
Watumishi ndo wanateseka sehem kama hizo maana watu wa huko wanawakubali kwel hao jamaa wanawapiga hela tu na hii niukosefu wa elimu
Ndugu zangu Kigoma somesheni watoto ili kuondoa huu ujinga
Kigoma tutatoka lini kwenye huu upumbavu
Watu ni wajinga mpaka wanakera
Hivi ni kweli hawa kamchape kigoma serikali imewashindwa
Mkuu wa mkoa yupo kamanda
Mkuu wa wilaya yupo na makamanda wa police mkoa na wilaya wapo mapolice wapo Raia wanateseka kwa kuibiwa pesa zao. Na kunyanyaswa .
Mama samia ingilia kati hali ya kigoma si shwari
Hali hii haikubariki
E pole sana mchungaji
Kinachoniuma zaidi ni pale sheria inapochelewa kufuata mkondo wake
Mungu yupo nawe pastor
Pole Sana Ila wavhukuliwe hatua ya kisheria maana wanajulikana
Pole sana mchungaji wangu
Kinachoniuma nikwamba hii laana itaenda had Kwa watoto na vizazi vyao hata visivyo na hatia😥😥 Mungu tunaomba rehema zako
Hatari saana