Mungu atabaki kuwa Mungu,ni Mungu wa baba Yetu wa Imani Ibrahim na Isaka na Yakobo na ni Mungu wetu sote ,Mungu wetu ni Mungu wa haki Mungu anabaki kuwa Mungu wa haki
Mzee pole sana kwa yote kuna watu wanafanya mabaya hapa duniani kana kwamba hawatafaliki lakini wanasahau kuwa pua zao zinaangalia chini na ni lazima watafaliki tu na kuzikwa chini, jitahidi sana mzee kwenye hiyo nyumba usikae huyo canali anaweza kuja kulushia bomu hiyo nyumba ukiwa ndani na familia yako kwa sababu tayali sio mtu mzuri hata kidogo hata jeshini hafai kuwepo anaweza kugeuka na kuwa upande wa maadui, Mungu msimamie mzee huyu mpe mwongozo wa maisha yake ili asiteseke tena
Hongera Sana mstaafu mwenzangu mshukuru sana Mungu Kwa jinsi alivyo kupigania. Hiyo Kodi achana nayo uza hapo Rudi Mwanza jirani na kwenu Musoma uishi Kwa Amani
Daaaah, binadamu ni kiumbe wa ajabu Sana. Hiyo jeuri ya kumfanyia huyo mzee yote hayo ni hiyo afya njema aliyo nayo tu baas. Tufanye hata Mh Rais hawez kumuuliza kitu au hata Cdf asimuulize halafu Mungu amuondolee afya njema awe anaishi ICU. Anaringia asicho kimiliki.
Hao watu walikuwa walitaka kumtapeli baba wawatu nyumba wauze wagawane pesa, na sio pikipiki jamani haowatu sio watu wazuli wachukuliwe hatuwa tu ili hata kama kunawengine wanafanya ivo waache kabisa.
Wewe umebahaisha tu mzee kuna dada aligongwa na gari akaendesha kesi akashinda ikatakiwa bima wamulipe mpaka sasa ni miaka zaidi ya kumi hajapata haki yake ameshapita ngazi karibu zote hadi kwenda Ikuru lakini wapi.
Huyo kanari ni tapeli kama matapeli wengine ...aibu sana kwa taifa...watu kama hawa hawafai kuwa viongozi....angekuwepo magu Huyo ameshatumbiliwa...Pole sana mzee na hongera
Mama Samia shikamoo Mama hongera sana nakupenda sana vijana wako wanapambana sana watu wapate haki,juzi nimeona nyumba ikivunjwa,leo mahakama imemrudishia mtu haki,mama mimi baba wa family uwezi wafurahisha watu wote, pia naomba makonda aendelee na ile ziara inchi ilichangamka mama
mama Samia anausikaje hapa?? Samia nchi imemshinda hakuna umeme, hakuna maji sasa hata sukari imekuwa shida maisha yanazidi kuwa magumu chini ya utawala wake
Duuu?? Tanzania tumefikishana hapa?? Mh! Muogopeni Mungu jamani. Hayo majumba mtayaacha tu! Kumbukeni kuna maisha baada ya haya hapa duniani? Tatizo nn nyie watu😂?!!
Huku duniania Baadh ya wanadamu hua wanahis hakuna laana au maombi ya anaedhulumiwa. Niseme TU kwayeyote ambae amedhulumiwa kama huyu bwana iaminike yakuwa Dua yake hy nibomu Kwa aliedhulumu Ukanali sio kitu chochote. Majibu nkwamba dhulma haidumu Bali kinachodumu ni hasara. .. Kwamana hiyo Jamaa ajiandae kanali itakuwa udhalili.
Mungu atabaki kuwa Mungu,ni Mungu wa baba Yetu wa Imani Ibrahim na Isaka na Yakobo na ni Mungu wetu sote ,Mungu wetu ni Mungu wa haki Mungu anabaki kuwa Mungu wa haki
Kanari unaliaibisha jeshi inaonyesha wengi wanafanyiwa nani kama haya ila hawana watetezi wa kweli mshukuru sana Mungu
BWANA atawapigania ninyi nanyi mtanyamaza kimya.
Kutoka 14:14
Yesu akufunike kwa damu yake, ikiwezekana samehe kodi uanze maisha upya. Shukuru Mungu
Mzee pole sana kwa yote kuna watu wanafanya mabaya hapa duniani kana kwamba hawatafaliki lakini wanasahau kuwa pua zao zinaangalia chini na ni lazima watafaliki tu na kuzikwa chini, jitahidi sana mzee kwenye hiyo nyumba usikae huyo canali anaweza kuja kulushia bomu hiyo nyumba ukiwa ndani na familia yako kwa sababu tayali sio mtu mzuri hata kidogo hata jeshini hafai kuwepo anaweza kugeuka na kuwa upande wa maadui, Mungu msimamie mzee huyu mpe mwongozo wa maisha yake ili asiteseke tena
We mzeee samehe iyo kodiiii achia iyo kitu ww baba utaxua mengine wee tulia aaa shukuru Mungu sanaaa
Wewe muache mzee adai vyake.
Hongera Sana mstaafu mwenzangu mshukuru sana Mungu Kwa jinsi alivyo kupigania.
Hiyo Kodi achana nayo uza hapo Rudi Mwanza jirani na kwenu Musoma uishi Kwa Amani
Wala usishukuru Serekali Mshukuru Mungu tu. Miaka 2umeteseka sana
Mungu ambariki hakim aliyehukumu
😭😭😭Hongera sana Babaangu kweli mungu amesikia kilio chako 🤲🤲
Mungu/MUNGU sio mungu
@@Zaburi- kwa hiyo ni Nani aliemsaidia katika sala zake? Kama sio mungu 🤔🫵🏾
Anamaanisha uwandike kwa herufi kubwa MUNGU@@AfricaQueen
@AfricaQueen alicho Manisha neno Mungu uwa linaanza na elfu kubwa
Daaaah, binadamu ni kiumbe wa ajabu Sana. Hiyo jeuri ya kumfanyia huyo mzee yote hayo ni hiyo afya njema aliyo nayo tu baas. Tufanye hata Mh Rais hawez kumuuliza kitu au hata Cdf asimuulize halafu Mungu amuondolee afya njema awe anaishi ICU. Anaringia asicho kimiliki.
Mkubwa ni Mungu tu ndo maana amesimama na wewe
Pole sana
Umepata nyumba yako sasa uza utapata hela nzuriiiii utoke hpo pashakuwa na dosariiii hutakaa kwa amani
Sana maana hawawatu siwaxuri.
Hatakiwi kuhama ni kukimbia tatizo, tatizo ni kukabidhiana nalo
Millard Ayo! Mbona hakutueleza kilitokea Nini! Umeshindwa kumuongoza tukamuelewa.
yanimshahara wanowopata wanajeshini.mkubwamno lakinikwatamaa narohombaya nado
Mungu yuko nawe baba
Baba fanya uuze ujenge mahala pengine uishi na familia yako kwa Amani...
Si mahala salama kwa mazingira ya Kesi yako ilivyokua awali.
Uza nyumba baba kajenge pahali pa kukupa utulivu
Umeonaeeee
Acha Mungu aitwe Mungu
Pole sana baba yangu 😢😢
asantenisana wanashariya kwakuwasaidiya wanyo gewalokuzomeys sasaaibutu rohombayailikuwainawasumbuwa
Allhamdulillah.kwakupata hakiyako
Hao watu walikuwa walitaka kumtapeli baba wawatu nyumba wauze wagawane pesa, na sio pikipiki jamani haowatu sio watu wazuli wachukuliwe hatuwa tu ili hata kama kunawengine wanafanya ivo waache kabisa.
Daa, hatari sana, cheo cha kanari kumdhulumu masikini sio vizuri
pole sana ,haya ndio maisha ya maskini
kunawatuwanalaanahuyomwanajeshi nishetanisana
Pole sana Mze ila Mungu ametenda uzidi kubarikiwa😭😭🙏
Natamani nitafute hii kesi ilipoanzia huenda nijesahau au nilipitwa maana tz yetu kila siku mapya
Wewe umebahaisha tu mzee kuna dada aligongwa na gari akaendesha kesi akashinda ikatakiwa bima wamulipe mpaka sasa ni miaka zaidi ya kumi hajapata haki yake ameshapita ngazi karibu zote hadi kwenda Ikuru lakini wapi.
Huyo mjeshi akiri.hana kabisa
wanajeshi hawajawai kuwa na akili
alihdulilah
Aibu mkubwa kuangaika kudhulum maskini.
Mzee ameulizwa nin kiltokea lkn anazngk tu..pole sana baba
Huyo kanari ni tapeli kama matapeli wengine ...aibu sana kwa taifa...watu kama hawa hawafai kuwa viongozi....angekuwepo magu
Huyo ameshatumbiliwa...Pole sana mzee na hongera
Mama Samia shikamoo Mama hongera sana nakupenda sana vijana wako wanapambana sana watu wapate haki,juzi nimeona nyumba ikivunjwa,leo mahakama imemrudishia mtu haki,mama mimi baba wa family uwezi wafurahisha watu wote, pia naomba makonda aendelee na ile ziara inchi ilichangamka mama
mama Samia anausikaje hapa?? Samia nchi imemshinda hakuna umeme, hakuna maji sasa hata sukari imekuwa shida maisha yanazidi kuwa magumu chini ya utawala wake
@@user-fr7jj1bo7yjinga sana Kila kitu Samia uchawa ni njaa mbaya sana
Ushaurii uzaaa apoo ihiii dunia watuuu kaamaa aoo wapooo wengi apaaa Tanzania wanatumia cheo Chao
Polesana Mzee haki ya MTU ni haki tu
Nmemkumbuka huyu Mzee Mungu ni mweza wa Yote
Duuu?? Tanzania tumefikishana hapa?? Mh! Muogopeni Mungu jamani. Hayo majumba mtayaacha tu! Kumbukeni kuna maisha baada ya haya hapa duniani? Tatizo nn nyie watu😂?!!
anamdhurummtu alojihagaikiya akayenafamiliyayake laanamkubwa
Hii Dunia Jamani kweli piki piki kuuzwe nyumba hata Mimi ningelipa Hilo deni jamani Dunia tunapita maskin tunateseka
Mbota jmn i was there
Mungu ni mmoja tu
AIBU NA FEDHEHA SANA KWA HUYO AFISA WA JESHI.
Watu wabaya sana daa bas tu😢😢😢
Daah sad 😢
Uza hapo uwamie mbali asipajue huyomjeshi kwani nimdhumati uwezijua anakupanguanini kakosanyumba. Kinachooendelea. Jinusuru rohoyako Baba
Uza nyumba mzee uhamie sehem nyengin
Wale waiokucheka sura zao wataweka wapi? Leo nyumba imerudi kwa uwezo wa Mungu
Acha mungu aitwe mungu mzee wangu
Watanganyika wengi wamekuwa wezi wahuni sana hasa wenye vyeo flani..... Haki haipotei..
Hawa Mahakimu kesho Watakuwa kuni
Sauti kama Lowassa kwa mbali 😅😅😅
MUNGUNGU NII MUNGU TUU
MAMA UNAYAONA HAYO
sotetumefurahkwakuwonaumepata.hakiyako babawasijekukuuwatu
Jamani hiii ninyumba ya M100 mmmmh msituchanganye bhc
Uza kwa mkubwa na kuhama ...watu wa mtaa wako sio wema kabisaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
Mapoti wanajonaga ndo Miungu huku duniani
Atajwe tusambaze ujumbe awajibishwe😢
Hii inchi ina watu wanaweza kuminya haki yako hadi ukafa bila kuipata sema tu utakutana nayo Mbinguni
tenahuyohakim nimtukatijawatu
Huku duniania Baadh ya wanadamu hua wanahis hakuna laana au maombi ya anaedhulumiwa.
Niseme TU kwayeyote ambae amedhulumiwa kama huyu bwana iaminike yakuwa Dua yake hy nibomu Kwa aliedhulumu Ukanali sio kitu chochote. Majibu nkwamba dhulma haidumu Bali kinachodumu ni hasara. ..
Kwamana hiyo Jamaa ajiandae kanali itakuwa udhalili.
wivutuunawasumbuwa
Aibu kwa mjeshi fek huyo s wa JWTZ
Khaki ya mtu haipotei bure
Yani we n muongo 🤣🤣🤣 vtu vingine uliuza mwenyewe tunakujua wew ulivo mkatili pia
Ameuza nini? Ukatili gani alonao? Ama nawe ni mmoja wapo ya watekaji na wazulumaji??
Uanamjua?
Waandishi wa habari hufanya kazi kubwa sana ktk jamii, ni kama Maaskari wapelelezi na watendaji
Achana na Mali ya watu wewe!,ukihitaji kununua Mali ya mtu acha kumzunguka zunguka
Kumbe hii nchi ina wahuni bado?
Mimi nisingeweza kuvumilia miaka miwili.
Sijabarikiwa na subra
MUNGUNGU NII MUNGU TUU