Haya maisha ni bora uliye njaa kuliko madeni kakaangu pole sana mwenyezi mungu atakufanyia wepesi ila maisha magumu sana sana huku uswahilini tupo ishi watu kibao wanalia njaa maisha magumu sana sana 😭😭😭😭
Jikaze mwanaume hakuna kisichokuwa na mwisho. Kuuza Figo Ni ufinyu wa kufikiria, mlilie mungu, fanya kazi Kwa bidii Amini kabla ya mwaka huu kuisha Utayashinda.
Hakijakukuta ww shida isikie kwa mwenzio asilimia 90 sisi binadamu tunaingia kwenye viapo na kila kiumbe Kama uchawi au kuuza madawa nikwa sababu ya maisha magumu
Napata huruma ila nimegundua mshikaji hana plan za maisha....mil 20 ndo pesa pekee uliyonayo lakini unataka kununua gari....hauko serious kwa kweli Then una 37 bado unalalamika huna wazazi! Hata wangekuwepo ungewategemea? Hii siyo sawa kwake Anahitaji kubadili mtazamo wake kuhusu maisha
Chifu mi nadaiwa balaaa na sijakata tamaa na naamini Mungu anatupenda na atatusaidia kuvuka.....mawazo uliyofikia ni umeruhusu akili yako kufika mwisho... Jikaze hakuna gumu linalodumu( ALAFU BORA WEWE UNADAIWA HUKU UMENENEPA MI MWENZIO NADAIWA NA NIMEKONDA😢😢)
Makulusa miaka 37 unasema huna baba wala mama huko ni kutia huruma sasa mtandaoni maana hata wangekuwepo wewe bado ungekuwa ndio msaada wao mkubwa maana wangekuwa tayar age agooo! All in all huyu mwamba asaidiwe jmn pia Tz ni nchi ya watu wenye huruma sana ukiachana na watu kila jambo kuchukulia utani ila hii talent tusiipoteze asaidiwe kwa namna yoyote ile iwe kwa kupewa misaada au kupewa kazi mean aajiliwe.
Inavoonesha uyu jamaa anashida kubwa sana Naweza kushilikiana naye kubadilisha mtazamo. Naomba tushilikiane jamani kumnusuru uyu jamaa hata kwa miatano miatano tu atapona. Aweke namba yake tumchangie chap. #Tanzania is for real Love.
Mwanamke kumbe hakuwa wa ndoa mmeokotana tuu mitaani mkawa mnazini mbaya zaidi unamuachia pesa zoote hizo utadhani kwao wanakutambua Poleee Sanaa rejea kijijini ukaanze kulima utapata pesa za kulipa madeni na mambo mengine
Hama huko na ukatafute maisha sehemu nyingine. Kuuza figo sio suluhisho la kutatua hizo changamoto, hata ukiuza bado unaweza kujisababishia kifo na hizo pesa zisikusaidie chochote
Pole saana, Allah akuruzuku kikubwa zaidi ya ukichokipoteza inshaallah, ila pesa milion 20 kweli unashindwaje kuweka Bank, hata iwe mnamipango ya biashara! Huo ni uzembe tosha bro. 😢
Haya maisha magumu sn ndg zangu ukicheki heka heka za kifamilia bora mtu kujitoa muhanga ili kupushi familia mimi mwenyewe nikipata mteja wa figo nauza nibadili upepo wa maisha ya familia yngu
Ni darasa unapita ili uache kuwa kilaza bank zote zimejaa, vyanzo vyote hivyo unaenda kumpa mwanamke hela yote! ila kwasasa huwez kushaurika tukio ushapigwa tyr, ila inshu ya wazazi achana nayo kbs we umeshazeeka
Bandugu acha hakili nyepesi kudaiwa ni jambo la kawaida kwa kuwa wanao kudai ni binadamu si unawambia tu una muona mungu mjinga kuweka Figo 2 mdaiwa afungwi
Tuache maigizo.....lengo la hiyu jamaa lilikuwa lipi kuchukua hela kwa watu tofauti tofauti kwa kiwango cha laki mbili hadi tatu mpaka kufikia milioni 12? Inamaanisha hakuwa na mpango au mkakati nazo. Hapo anatafuta huruma kwa watu....aseme tu alikuwa na matumizi makubwa kumuhudumia mwanamie na ndio sababu iliyomfanya akope kwa hao watu.. pengine alitaka kumuaminisha mwanamke anauwezo wa ki super star ukizingatia yeye ni muigizaji...haya sasa mfano angenunua gari ikapata majanga au angefungua biashara ikafa je, asingelipa hela za watu? Asikwepe wajibu wake.
Sasa na wewe kaka utampaje huyo mwanamke ml 20 ulishindwa kuweka banca, isitoshe hunabudi kuuza figo kwaajili ya madeni, omba watu wanaokufahamu wakusaidue kupata ajila ili upate pesa ulipe kidogo kidogo, sio unajiliza muda wote uku muda unakwenda.
Kabisaa Duuh Kwa Mungu nimjuaye si Hivyo ,Na labda Muislamu wa Africa mbona Wa huku niliko wanatafuta misaada ya kupata pesa walipe madeni wao hawajui hiyo Dua??
@@trophywilson7211 Si kila Muislamu amesoma na si kila aliye soma anajua kila kitu {Huwenda sisi tunajua ktk elmu kile wasicho kijua wao nawao wanajua kile tusicho kijua sisi} Na ndomana kutafuta elmu kwa Muislamu ni wajibun {nilazima, hatukai kibubusa}
@@udatuonna905 Nenda kabadilishe Mfumo Badala ya Dola ya kidemo clasia iwe dola ya kiislam ili tuiyombee Allah ailipie Madeni yake {ili uondoke ktk shaka na uthibitishe tuliyo yasema}
Uyy jamaa sijui niseme nini ila mm naona upumbavu tuu kama shida na matatzo watu wanapia magumu zaidi yakee .. kwaiyoo maisha ayanaga balance ⚖️ tokea hapo kikubwa uhai tuu na kuomba mungu lia na mungu wako pambana una viungo kamili alfu unalia na maisha mungu amekupa akili telee unashindwa itumia .why . Je unge kuwa mlemavu . Daaah . Mm sina uruma na mtu mvivu wa maharifa.
Lakin Analia mm wakat mtu anaviungo vyote vizima anaweza hta kubeba zege asa Analia nn na istoshe kipaji anacho aendeleze kaz zake na pia Kwa nn uishi na mwanamke AmBAR hujamuoa na hata kwao hukujui Wacha yakukute wabongo mmezoea sana mtelezo Yan mtu uwezo wa kuoa unao ww unafuga demu tu alafu kwao hukujui
Kikubwa hapo mim naona achangiwe tu ili aondokane na maden na changamoto za maisha
Haya maisha ni bora uliye njaa kuliko madeni kakaangu pole sana mwenyezi mungu atakufanyia wepesi ila maisha magumu sana sana huku uswahilini tupo ishi watu kibao wanalia njaa maisha magumu sana sana 😭😭😭😭
Jikaze mwanaume hakuna kisichokuwa na mwisho. Kuuza Figo Ni ufinyu wa kufikiria, mlilie mungu, fanya kazi Kwa bidii Amini kabla ya mwaka huu kuisha Utayashinda.
🙏🙏
Hakijakukuta ww shida isikie kwa mwenzio asilimia 90 sisi binadamu tunaingia kwenye viapo na kila kiumbe Kama uchawi au kuuza madawa nikwa sababu ya maisha magumu
acha kbonga ovyo Mt kapta na mlion kazaa syo kt cha kawaida kwanza pongez kwake ad Sasa yupo hai
Kabisaaa@@deogratiusyudatadei5658
Usikate tamaa mungu yupo pamoja nawew utafanikisha malengo yko Ila usiuze figo hatar sana
Kulia huyu n ishara tosha maisha n magum kwa sasa jaman daaaa mungu atulinde kipindi hikii kigumu
Amina😢
Huyu jamaa namjua nilikua namuona, napishana nae kama anapitia haya kweli mungu amsaidie.
mm pia cjui nilimwona wap sura si ngen
@@marrykanyipa9699huyu ni msanii wa komedi
Msanii uyo @@marrykanyipa9699
Subhana Allah chozi hilo uyo mwanamke ajirundi tu coz dunia duwara
Pole sana bwana makulusa Mungu akutie nguvu uanze upya
Mzee makulusa pole sana,na wanawake wa kuokota okota wa mjini ni shida hawataki kuona hela ndo maana baadh yao hawafai hata kuomba ushauli,
Aisee wanawake wengine mtian pole sana
Mungu atakutia nguvu ndugu yangu,Kuwa na Imani,Na pole sana.
Napata huruma ila nimegundua mshikaji hana plan za maisha....mil 20 ndo pesa pekee uliyonayo lakini unataka kununua gari....hauko serious kwa kweli
Then una 37 bado unalalamika huna wazazi! Hata wangekuwepo ungewategemea? Hii siyo sawa kwake
Anahitaji kubadili mtazamo wake kuhusu maisha
Hakika kuna shida kwenye mtazamo wake miaka 37 unatakiwa uwe full independent aise
Umeongea kama watu mia
Chifu mi nadaiwa balaaa na sijakata tamaa na naamini Mungu anatupenda na atatusaidia kuvuka.....mawazo uliyofikia ni umeruhusu akili yako kufika mwisho... Jikaze hakuna gumu linalodumu( ALAFU BORA WEWE UNADAIWA HUKU UMENENEPA MI MWENZIO NADAIWA NA NIMEKONDA😢😢)
😢😢😢😢 pole
Subhanallah pole sana ALLAH akufanyie wepesi.
Jamani mnaomdai msameheni lakini unauza figo unajua afya yako inaruhusu kutoa figo jamani mwee hapana kaka omba msaada mwingine sio kuuza viongo vyako uwiii naogopa mweee
Makulusa miaka 37 unasema huna baba wala mama huko ni kutia huruma sasa mtandaoni maana hata wangekuwepo wewe bado ungekuwa ndio msaada wao mkubwa maana wangekuwa tayar age agooo! All in all huyu mwamba asaidiwe jmn pia Tz ni nchi ya watu wenye huruma sana ukiachana na watu kila jambo kuchukulia utani ila hii talent tusiipoteze asaidiwe kwa namna yoyote ile iwe kwa kupewa misaada au kupewa kazi mean aajiliwe.
Hakikaaa
Anzaa ww!
Nakuelewa Kaka😭😭😭natamani sana Walichofanya kwa ajili ya fomu ya Urais basi tusaidiane kwa watu kama hivi
Heheheee fingo elfu 7 watu wadharau
Jamani mungu akusaidie kaka, lakini pia wanaomdai huyu tumsamehe tu hatutapungukiwa
Nkwely
Sana na Mungu atawaxidishia
We kuweza?
Comment Ina nguvu sana hii
Sahihi.
Inavoonesha uyu jamaa anashida kubwa sana Naweza kushilikiana naye kubadilisha mtazamo.
Naomba tushilikiane jamani kumnusuru uyu jamaa hata kwa miatano miatano tu atapona.
Aweke namba yake tumchangie chap.
#Tanzania is for real Love.
Mwanamke kumbe hakuwa wa ndoa mmeokotana tuu mitaani mkawa mnazini mbaya zaidi unamuachia pesa zoote hizo utadhani kwao wanakutambua
Poleee Sanaa rejea kijijini ukaanze kulima utapata pesa za kulipa madeni na mambo mengine
Ni tabia mbovu sana kwa watu weusi kuishi bila ndoa imekua kitu cha kawaida innalillah wainna ilayh rajioun😢😢😢
Allah akusitiri hilo ulokaa nalo n jizi Pole,jipange, Mzee baba cm haipatikani, jipange,
Huyo mwanamke alaaniwe na mwenyezi mungu,
Hama huko na ukatafute maisha sehemu nyingine. Kuuza figo sio suluhisho la kutatua hizo changamoto, hata ukiuza bado unaweza kujisababishia kifo na hizo pesa zisikusaidie chochote
Wanawake wallah machozi yamtuy ambae ka dhulumiw unaweza pata mtihan san unaweza kupata shida san
Pole saana, Allah akuruzuku kikubwa zaidi ya ukichokipoteza inshaallah, ila pesa milion 20 kweli unashindwaje kuweka Bank, hata iwe mnamipango ya biashara! Huo ni uzembe tosha bro. 😢
usiongee ivyo man unaweza ukamuamn mkeo ndyo akakzr
Haya maisha magumu sn ndg zangu ukicheki heka heka za kifamilia bora mtu kujitoa muhanga ili kupushi familia mimi mwenyewe nikipata mteja wa figo nauza nibadili upepo wa maisha ya familia yngu
Hata mm jman nimechoka nam haya maisha
Ee mwenyezi Mungu mruhumie mja wako uyu hakika ukiona mwanaume analia ujue ana wakati mgumu sana uyo mwanamke machozi hayo hayatamuacha salama
Ni darasa unapita ili uache kuwa kilaza bank zote zimejaa, vyanzo vyote hivyo unaenda kumpa mwanamke hela yote! ila kwasasa huwez kushaurika tukio ushapigwa tyr, ila inshu ya wazazi achana nayo kbs we umeshazeeka
Kabisa mzee
Huyu Jamaa kama niliwahi kumuona Akiigiza na Timamu Comedy.
ni kwel
Huyu nimsanii sasa hata wanii wetu hawana ushirikiano ila wangemchangia tu
Jamani tukiwa mjini maisha yakatushinda njooni mashambanihuku kujitafuta tena😢😢
Uko sahihi
Kaka ang naomba usifanye kitu km hicho fanya kaz kwa nguvu zako zote achana na hilo ndugu yang
Bandugu acha hakili nyepesi kudaiwa ni jambo la kawaida kwa kuwa wanao kudai ni binadamu si unawambia tu una muona mungu mjinga kuweka Figo 2 mdaiwa afungwi
Ungekuwa ww ungeweza kumvumilia na jua ili
Na wenye matatizo ya Figo na wenyew pia wanahitaji
@@azuma7166 kiungo alichokujalia mwenyez mungu ni halamu kuudha ni Halali kusadia Bure kwa binadamu mwenzako rejea watu waliuza Figo Leo wana Nini?
pole kaka angu mungu akusaidie
Akili kama sima unachukua pesa unampa hela zote halafu baya zaidi unakopa ili umtafute sasa waoza figo mungu ataku saidia
Dah pole sana
Allah atakujalia kila la kheri kk
Uliwekewa dawa hadi ukampatia mwanamke pesa duuh pole sana
Hapo sasa yani angenunua kiwanja saiv asinge waza sana
Pole san
Tuache maigizo.....lengo la hiyu jamaa lilikuwa lipi kuchukua hela kwa watu tofauti tofauti kwa kiwango cha laki mbili hadi tatu mpaka kufikia milioni 12? Inamaanisha hakuwa na mpango au mkakati nazo. Hapo anatafuta huruma kwa watu....aseme tu alikuwa na matumizi makubwa kumuhudumia mwanamie na ndio sababu iliyomfanya akope kwa hao watu.. pengine alitaka kumuaminisha mwanamke anauwezo wa ki super star ukizingatia yeye ni muigizaji...haya sasa mfano angenunua gari ikapata majanga au angefungua biashara ikafa je, asingelipa hela za watu? Asikwepe wajibu wake.
Acha kujifanya unajua hata wewe unahitaj watu ili kuishi... Litakurudia kwa nduguzo
@@user-xz2yu4hv4w hongera na wewe kwa kujua maisha ya pande zote
Wekeni numbr tuchangia 😢😢Allah akutaksdiaa kakngu
Kweli 😢
Pole.sana kaka Allah akufanyiewepesi apatikane wakukusaidia au wakusamee. tu Omba Mungu sana imeniuma sana😢
Daa pole sana kaka maisha ni magumu sana lakini isiuze Figo kwani unajizulumu
😒😒😭😭mpka Mwanaume analia hivi dah😪😪😪😪so sad
Mlaini huyo si aje migodini kwenye kazi za kiume hata aibu hana alitumwa ampe huyo dem wake
Nyinyi wanawake ndio chanzo
Pesa.hiz zina mashaka san utampaje mtuy pesa naumri huu
Pole sana mzee makulusa
Ukiuza figo kweli bado uko hai
Uyu doctor sijamuelw hajaelezea efect
Pole Sana kaka mkubwa
Huyu si yule yupo kwenye comedy
Ni yeye
Ndio ni yeye
Daah aisee kweli maish haya
Dagh mtihani Allah akusimamie
Pole sana makulusa
Pole kaka
Me nadaiwa hela kibao lakin hapana jaman ntalipa ivo ivo kidogo dogo ila syo kuuza kiungooo😊😊
Jamani viongozi WA serikali msaidieni huyu kijana kulipa deni mama Samia msaidie huyu kijana mungu atakuwrka katika pepo ya jannat firdaus mama
Huyu jamaa anahitaji kusaidiwa kwanza huyo mwanamke atafutwe pia Asaidiwe. Kimahitaj nk
Dunia inamapito sana😭 acheni tu jamani,ee Mungu naomba mwisho mwema🙏🤲
Mwanamke ....sio mke wake....hela ukampa ....ukaanza kumtafuta.....
Ukaamini utampata ....
Duh pole sana...lakin ungeoa huyo mwanamke ungempata....
Pole sana
Maisha magumu Tanzania akuna ata viwanda vyakutosha hatar san kwahaya maisha😢😢
We ndo unsmaisha magumu
Ameona kujihuwa kwajili yadeni bolaaseme kijacho musibu serikali itazameili watuwengi wanamambo mengi nawanakufa kwakutunza sili yeye kasema ukweli naona asaidiwe kabula ajajiuwa
Mdaiwa afungwi mzee tafut kazi acha mambo ya ajabu
Acha kuzinguwa bro waambie wanaokudai waambie umewadhurumu
pole xana jamaa yangu
Daaa nilikuwa nakupita tu ila jamani wa Tanzania hatushindwi tumchangie naamini tunaweza
Pesa zangu nitaweka mwenyewe
Ukiona adi mwanaume analia ujue kuna jambo zito mno ndani ya moyp wake
Wanawakee tuish nao kwa akil sanaa
Linda sana moyo na akili yako kuliko vyote uvilindavyo..... Shida akili na moyo vinachanganywa na vitu vingi
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 dar mungu awe pamoja na wewe ila usiwaze kuuza kiungo chako jipambanie na mungu atakusaidia 🙏🙏
Usiamin mwanamke wadau
Sio mwanamke tu ndugu yangu usiamini mtu
Duh... Mungu wangu
Ndo maana mnambiwa muoe kuna busara maana baraka kwa Allaah na kingine familia itakujua.
Hali ni ngumu jmn mpk mwanaume analia hivi
Sasa na wewe kaka utampaje huyo mwanamke ml 20 ulishindwa kuweka banca, isitoshe hunabudi kuuza figo kwaajili ya madeni, omba watu wanaokufahamu wakusaidue kupata ajila ili upate pesa ulipe kidogo kidogo, sio unajiliza muda wote uku muda unakwenda.
Pole sana jamani
Iyo ndio faida ya kushobokea wanawake
Kwani apenda wanawake
Kudaiwa hakujufanyi upate shida hivo😅😅😅tunadaiwa na tunainjoi tu😅😅
Watu wa hovyo sana et nipakilie kwenye bas😂😂
Dah! Eti figo yako inakaa na chaji mda gani😂😂😂😂
😂😂😂😂 dah Weee jamaa wewe mm nimecheka bila kutaka banaaa😂😂
Kaka nakusihi Tafazali soma comments zetu bora tuombe Mungu awajalie watu wakusaidie feza kuliko kuuza Figo utatatakuzoofika zaidi ya 12 million
Kuwa Mwislamu ndani ya uislam Zipo dua ukisoma Unalipiwa madeni hata yawe makubwa kiasi gani
Kabisaa Duuh Kwa Mungu nimjuaye si Hivyo ,Na labda Muislamu wa Africa mbona Wa huku niliko wanatafuta misaada ya kupata pesa walipe madeni wao hawajui hiyo Dua??
@@trophywilson7211 Si kila Muislamu amesoma na si kila aliye soma anajua kila kitu {Huwenda sisi tunajua ktk elmu kile wasicho kijua wao nawao wanajua kile tusicho kijua sisi} Na ndomana kutafuta elmu kwa Muislamu ni wajibun {nilazima, hatukai kibubusa}
Lipieni sasa nchi madeni😅
@@udatuonna905 Nenda kabadilishe Mfumo Badala ya Dola ya kidemo clasia iwe dola ya kiislam ili tuiyombee Allah ailipie Madeni yake {ili uondoke ktk shaka na uthibitishe tuliyo yasema}
MUNGU mfanyie wepesi huyu baba jamani daah😢😢😢
Kaka pole Sana apokinacho mutesa nideni analodaiwa 😢😢😢😢😢
Docta kaulizwa madhar kazunguuka mwsh tumetajiw kaz za figo
Madeni madeni madeni😭
Subhanallah maisha haya😢😂😢😂
Huyu msanii wa comed anaitwa mzee makulusa anafanya vichekesho na mkaliwenu
Kumbe hata wewe unamjua
Uyy jamaa sijui niseme nini ila mm naona upumbavu tuu kama shida na matatzo watu wanapia magumu zaidi yakee .. kwaiyoo maisha ayanaga balance ⚖️ tokea hapo kikubwa uhai tuu na kuomba mungu lia na mungu wako pambana una viungo kamili alfu unalia na maisha mungu amekupa akili telee unashindwa itumia .why . Je unge kuwa mlemavu . Daaah . Mm sina uruma na mtu mvivu wa maharifa.
Life goex on 🚶
Lakin Analia mm wakat mtu anaviungo vyote vizima anaweza hta kubeba zege asa Analia nn na istoshe kipaji anacho aendeleze kaz zake na pia Kwa nn uishi na mwanamke AmBAR hujamuoa na hata kwao hukujui Wacha yakukute wabongo mmezoea sana mtelezo Yan mtu uwezo wa kuoa unao ww unafuga demu tu alafu kwao hukujui
ukiona mwanamme analia hadharani ujue kuna jambo
Sasa mzee Kama wewe unasema huna mama na baba
Ukiona mwanaume analia ujue kuna jambo 😢😢
🔥🔥🔥🔥🔥
Kayataka mwenyew unampaje hela shetani mwanamke
Nyie nampenda saana uyu kaka anachekesha saana haki😊 allah amsaidie🤲
Watanzania wengi bado wanadhani unaweza kuuza kiungo chako kama Karanga, Elimu inahitajika sana aisee
Wangapi unaowajua wewe wamejitangaza kama hivi ! Oya kama halijakukuta usimlaumu mwenzako mzee mshukuru Mungu kwa kila aliliokujaalia
@@user-ye4iy8jy2z Halijanikuta?? How can you be so sure lil bro? Kuna binadamu asiye na changamoto dunia hii?
Mzee makulusa anakwenda kutoboa iviivi yani kwa figo tu ila uyu mzeee ukute anaekti comedy
Mbona uyu kaka kama msanii ivi 😢😢😢
Jamani serikali iingilie kati imsaidie huyu kaka jmani Kuna namna moyo wake umeumia hata akiuza bado moyo wake haupo sawa maumivu hayatamuisha