HIVI NDIVYO SIMU ZINAVYOVUNJA NDOA (HUBBUL HALAL)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Ushauri wa mtaalam umenikwaza kidogo. Japo sijiiti mtaalam wa Saikolojia, huwa mke wangu nami tunachangia masuala ya ndoa kwenye gazeti la Mwananchi. Ningeomba nishauri. Ukitaka simu isiwe kikwazo kwako na mwenzio, hakikisha huna simu iliyofungwa. Wanandoa wa kweli hawapaswi kufichana mambo yao hasa ikizingatiwa kuwa wao ni mwili mmoja. Sisi huwa hatufichiani simu. Naweza kuchukua simu ya mke wangu naye akachukua yangu kwa muda wowote atakao kwa sababu hakuna lolote tunalofanya. Wengi hujiingiza kwenye kadhia ya simu kutokana na kushindwa kuwa waaminifu katika ndoa na pia kushindwa kukabiliana na hali hii. Hata magari yetu hubadilishana bila hata kujali gari hili ni la nani. Yote ni yetu. Suala kubwa katika maisha na ndoa ni kuepuka kuwa na siri. Siri zinaua watu wengi tokana na ujinga.
Naomba ushauri wa ndoa yangu
Mashallah madam ninavyokufatilia ningekuwepo Zanzibar ningefanya njia yeyote Kwa uwezo wa Allah nionane na wewe live
Mashaallah Leo Umependeza Sana Mashaallah..
Mashallah madam Unaongea kwa hikma Sana Allah akuje kher nakupenda Kwa ajil ya Allah 😍
Upo vizuri madam Allah akuzaidishie
Madam wetu Asante kila ukuwa redioni
*Sheh Rashid hapo umeongea point kubwa sana*
Kua kuna dhana kubwa Ya kua Wanaume hawajtulia hii inaharibu ndoa kwa Asilimia 90%....
Maana kila siku hakuna kuaminiana
Mashallah tabarakallah
Mashaallah
Well said Madam
Watu wa Tanga wakarimu sana
Nikweli kabisa na asa awa wanaume wenye pesa wanapenda kuana madalali wa wanawake walembo kuliko mkewe Sasa awa wanaume nibora tuwaachetu tuwenao tu ila ni shida
Madini...🎉🎉🎉
Subhanallah hapo kwenye kifi cha ghafla na hizo cm za kudangiaa
Maashallah kipindi kizuri
maashallah
Makini kabisa,she is very intelligent
Simu simu simu.
@Al fatah tv muda wa kipindi ni mdogo
Simu haivunji ndoa, kukosa uchamungu ndiyo Kuna sababisha,nyoyo hazija mkiri allah
Kwekweli Mimi Nakufatili Sana Muda Mrefu Hiyi Nimependa Maagezi Yako Jee Kama Mwanamke Jee Utamulezea Vipi Anpokuwa Hataki Kuaagaliwa Sim Na Akuwa Anamuda Maalum Wakujitenga Kuwa Nasim Ikiwa Hananafasi Yumuweka Hata Akirudi Kazini au Imefikia Muda Wakulalah Nayeye Anakuwa Nakaawaida Huwo Unakuwa Mudawake...????Anakuwaje..
Swadkta sheikhat
Tunaomba sehemu ya pili
Sheikh Rashid Marekebisho jitahidi Unapotamka ktk utoaji wa Salaam
Mkumbushe anakosea wapi katika hiyo salam?
Kama mpk mmekubaliana mkaoana kwann mfichiane sim kama umeridhika kumuoa kwann uwe mambo mengine nje mm nahc tungeelimishana kwenye matumizi ya kwenye sim mn nhc km ndo tunawapa power ya kutufanyia wanavotaka 😢
Mbon unatuekea kipanda kidg mm namfatilia san madamu leyla
tanga kama tanga hahahahaha
kwa wajanja hawataki kuchimba vyoo aise na uzuri wote walionao wanawake
Tuli kimiss hichi kipindi
Unayo yasema ndivyo, wengi ujikuta kwenye ndoa isiyo na furaha kwa kutafuta makosa ya mumewe, mume atakuwa ata ana shughuli na kumchuguza mke hata anazo shughuli zake lakini ukifika nyumbani amekuwa mlalamishi, wa tabia zako..
Kama mpk mmekubaliana mkaoana kwann mfichiane sim kama umeridhika kumuoa kwann uwe mambo mengine nje mm nahc tungeelimishana kwenye matumizi ya kwenye sim mn nhc km ndo tunawapa power ya kutufanyia wanavotaka 😢