USITEGEMEE KUPATA MAPENZI KWA MWANAMKE BILA KUYATENGENEZA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ค. 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Hii kauli nimeikubali ....ukiolewa na anaetegemewa na familia tabu sana
mashalla kipindi kizuri sana wazungumzaji wapo vizuri sijawahi kuangaliakipindi chochote kwenye mtandao nikapoteza mda kama ninavyo angalia vipindi hivi shukurani sana
Ww hina hio unayo itembeza kwa jamini kweli ndio una ndoa au ndio mwalimu wa kufunza ndoa Mitihan,,Mtume Muhammad s a w alitabiri mwisho wataipenda sio jua ndio wataonekana wanajua walio Wawazungu wanapiga muda imefika
Nilikua sijui kua mwanaume kusaidia ndugu zake ni lazima lakini kusaidia ndugu za mke ni hisani 😮
Kaka unaonekana unayaweza mambo ya wanawake mashallah unajuwa majukumu ya mke hongera san
Hata wanaume wana u selfish unakuta ckukuu ikifika ataandaa mazingira mazuri kwao lakini kwa ukweni kwa mkewe hatoi hata sumni hili nalo limekaaje?
Kina dimoso morogoro moja kaka yangu huyo❤❤❤
Jaman mm nahitaji mume anaye juwa majukumu ya mke wake
Swali umuombe Allah in shaa Allah atakupa
Somo mtoto ameolewa
Masha Allah shukran jazeelan
Mashaallah 😘😘