HUU NDIO WIVU UNAOWEZA KUJENGA MAPENZI KWENYE NDOA (HUBBUL HALAL)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Kama wanawake wengi wangekuwa na uelewa kama ❤madam ❤Lei❤la ❤basi tungekuws na pepo duniani.
Madam leila hivi unajua junawangine ukimuliza sana anakuambia unakeraisha alafu unatumaneno kama wazee wakike hapo Sasa unasemaje ?
Umbali madam wengi ndoa zao zavunjika hasa waume hawaezi kaa bila mke
Mnapatikana kwenye radio gan?
Hamja angalia wala kuchunga mda gani mwanamke anaweza kunvumilia mumewe hawapo mbali. Huezi kumuacha mwanamke ndani ya myaka 2. Huko nikupitiliza
hatamimi nipo omani lakini tunapendana sana namme wangu mapezi yamezidi kama ndotunaaza lakini tunawatoto watatu dada upo sahihi
Unahisi mwaname atakaa muda wote huo bila kuzini na hilihali ana Afya njema.
Madam leyla iyo kisutu inaitwa ❤
Kwani huyu dada ashaolewa
Mashallah Asante Madam wetu love uuu much love from UAE🇦🇪
Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh karibu sana madam leila tunawasikiliza sana
Kanga ya kisutu hio inaitwa
Nampenda sana huyu dada
Shukran san madam lelaa
Mashallah mtangazaji Mbwana bin Ali umekimbiza .
Ahsante madam leila kwa elimu yako tinaburudika na kuelimika unajua wanawake wengine au wanaume wanaona ni udhaifu kuwa na wivu lakin wala wivu ni mapenzi mtu kama hana mapenzi hawezi kuwa na wivu ,ukichelewa kurudi ndo atafurahia , shukran kwa mada mzuri.
Hapo pa upendo kuhamishia kwa mtoto sio wote ndugu yangu
Anaongea kama mama Rais Samia 🎉🎉
Naomba hii kwa galary yangu nitaipataje? Kwa download siioni
Kwel
Inakuwaje mwislam anapendekeza mtu mwengine ajengewe Sanamu? Watu wa nabii Idriss ndivyo walivyokufuru.
Justi Ni msisitize WA maneno yake sio kama sanamu kweli
Hamaanishi ulivoelewa wewe
Ni misemo tuu ya kisasa c kwamba ndo ajengewe kweli yaan kama pongez fulani ivi
Kiswahili kizuri sana kuna watu wakisikia neno tu watatoa fatwaa. Kuma misemo kma ukisikia apewe mauwa yake ni kama pongezi tu.
Wewe peleka usalafi wako huko usituletee mawenge yko apa uyo amekusudia km jokes tu au kutilia mkazo maneno yake .Ach ujinga
Masha ALLAH ❤ ♥ 💖
Shukurani
MashaAllah Madam Leila.🎉🎉🎉