UKWELI wa NCHI kuogopa KUCHAPISHA NOTI ZAO za KUTOSHA na kulipa MADENI,ZIMBABWE walijaribu na haya..
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2021
- In this video we explain the reson for poor countries not printing their own cash as an option to pay their DEBTS.
Justin shed
writter & Narrator
BONGO FASTA - ภาพยนตร์และแอนิเมชัน
Wanaopendaga kusikia "Sasa twendee kaziii" like hapa
😃😃😃
Asee nimejifunza sana, Hongera Mkuu
Fedha ni zao la thamani, ile thamani unayoizalisha kwa watu (bidhaa au huduma) ambayo imekwenda kuboresha maisha ya watu, ndio inayofanya ulipwe zaidi au kidogo.. kwahiyo pesa ni kipimo tu cha thamani unayotoa kwa watu.. kwa hiyo jamii ikipewa pesa bila kutoa thamani, pesa hiyo inakuwa haina maana, na hapo ndipo uzalishaji unaposhuka kwani kunakuwa hakuna maana ya kutoa thamani kubwa ilihali pesa inapatikana kirahisi.. ndipo uzalishaji kama taifa unaenda chini.. uhaba wa bidhaa, mfumuko wa bei na kushuka kwa thamani ya pesa inatokea.. twende kazi..
Wa kwanza leo , sasa twende kazi namba moja ........ 😃
NAKUAMINIA BONGO FASTA KWA STORY MZURI SANA 🙏🇹🇿🇬🇷
Alishawahi kusema JPM uchumi kupanda sio lazima pesa ziwe nyingi bali hata zikipatikana kwa tabu pia nikupanda kwa uchumi
Asante kwa kutujuza hili jambo Mkuu...🙏🏾🙏🏾🙏🏾
According to economists on qualities of good money firstly money must be scarcity so as to increase it's value
Kumbe Asante kwa Elimu Shed
Nmekuelewa vzur Sana justin shed
Bongo fasta Delarue iko kenya wewe tena Nairobi brother
Daaaah Kaka nimekuelewa sanaaa tupe nyingine
Sasa twende kazi
Unajuaga kua comment yako inakujaga kupitia mlango wa VIP
@@BONGOFASTA Ahaha mimi ni VIP MZEE
Leo ndo nimepata majibu sahihi ya maswali yangu.
Ahsante sana kwa mada nzuri sana
Thank you ❤️
Twende kazi . Justin shedi
Mbona hao Marekani na Uingereza wanachapisha za kwao na hakuna madhala kwao
Wao wanamitambo ya kisasa ya kulimia na mbegu za kisasa ambazo wanapata mazao mengi pia kwa muda mchache
Uko vizuri broo
Nilikuwa sifahamu bro asante sana ni maswali nilkuwa najiuliza sana spati jibu
Sasa Twewweeeendeee kaazi 💣💣💥
Asante sana!!!
Duuuuh 🤔 aiseee
Hayo ndio matatizo ya kua msomi kupitiliza.ma-digrii mengi maarifa hamna.akili nyingi huaribu maarifa.
Ok twende kazi
Asante sana
Good
King 👑
Kweli pesa makaratasi isipokuwa na thanani...Yani noti ya 1 billion duuh... Zimbabwe walitisha
Sasa twende kazi broo
Campun za kuchapisha pesa wanalipwann hizo hizo wanazochapisha
😂😂😂😂
Madini
Hahahaha wao hawalipwi wakimaliza kutengeneza nao wanatengeneza zakwao 😄😄😄
Dhaabu
Kama unatengeneza pesa sasa kwanini ufanye biashara hapa mi ndo sipati jibu kabisa kwani akitengeneza nusu chumba cha futi tatu kwa tatu si anakula mpaka kihama na nchi yake sasa inakuweje anatafuta tenda
THE ONLY THING THAT WE CAN HELP IS BY CHANGING ALL THE CURRENCIES
Ujatwambia je ikitengenezewa njee inasaidia nn???
Kweri kabusa
Sasa nikwanini sisi haturuhusiwi
Mm ndo yule waliyesema mchumi
🔥🔥🔥i like listining to you, thanks sana kwa kuandaa video hizi, nimejifunza mengi bro. Mungu awe pamoja nawe kila kukija
Ahsante kwa somo broo..... Huko zimbabwe hiyo not ya 1bilioni bado ipo na km ipo n sawa sh. Ngap ya kitanzania???
Unataka majibu,bro!? Haya sasa,twende kazi. Bilion moja ya Zimbabwe ni sawa na elf 10 ya Tanzania kwa sasa. Tabu kweli kweli!😅
Ok
Bongo fasta ipomakin san
Twendeeee kaz
Yes off course kuhusu jambo Hilo la fedha ni wazi kabisa kwamba mwiba unapochomea ndipo unapotokea
Twende kazii
Ata mm nilikuwa najiuliza serikal inatak ushuru nawakati wao ndo wanaochapisha kwann wasitengeneze izo pesha zikajeng nchi bila yakukusanya ela zawananchi nilikuwa najiuliza saana ii kitu
Naomba utuletee historia ya Prince wa morocco.
Nshajua
Bongo Fastaa
Je China na India mbona Wanatengeza wenyew na uchumi wao ni imara
❤️❤️❤️❤️❤️
naomba ufatilia huyo jamaa wa kolombia nguli wa madawa ya kulevya pablo escobar story yake mzur sana huyu jamaa
Unasikia who is the richest musician in Zimbabwe,is Abul Abdul with worth three trillion Zimbabwean money,kumbe hio doh hapa Kenya uyo jama ako na ten thousand Kenyan shilling,bure kabisa🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂oooh my God..... niko na mipango ya kuamia huko na hizo Ksh 100k zangu, i will be the richest man ever
😅😂😂
@@dominicondieki7848 😂😂😂
Kushinei babunji
Uhakika kaka
Mi sjaelewa
Kaka una sound good
Yaani umevutiwa na Sauti tuu
Sijaelewa nasita elewa kwani Zimbabwe walitengeneza pasa zao
Mbona Amerika na uingereza pesa zao kila siku zinapanda hazishuki
Na je wanaotengeneza pesa wanapataje faida kwa wanaowatengenezea pesa?
Aisee bado sijakuelewa kabisaaa
Ilo nalijuwe unasema ukweli sana
Nasikiliza kutoka mheza songwe
Tanzania one
Unajuaaa
huu ni ukweli kabisa
yote msemayo hamna atakayepinga
Sijaelewaaaaa
Lakini sawa, ila nilikusikia ukisema kuwa China, na marekani na zingine ambazo kidogo zimenipita kuwa wao wanachapisha fedha zao wenyewe. OK vipi wao wanasonga mbele?
Unamaana ela zikiwa nyingi ..hakuna mtu anae fanya kazi mashambani wakulima hamna njaaa ndo inapokuja
Kaka tuletee sitory kuusu kodak black
Note ya Trillion 1
Usa 🇺🇸 inachapisha ela Yao wenyewe sindio ? Mbona ela Yao bado Ina samani na ?
Kaka tuketehe sitory kuusu kodak black
Wanalipwaje sasa hao wanaochapisha
Wao wanapewa masaa mawili kuchapisha hela zao
Maisha ni kila siku.ila pesa ndio kila kitu.
Koisrini tv in you tube ndo chaguo letu
Pesa ndio maitaji ya Kila taifa kwa muwonekano wa Kila mtu
Swali langu je, Nchi inajuaje kiwango hiki kitawatosha wananchi waliopo nchini kwa matumizi yao ya kila siku? (Naongelea hapo kitu hiki kwa maelezo ya awali kama nimeenda mbali sana ni kwamba kutakuwa na ukomo wa kuchapisha kiasi cha fedha kwa mwaka ,je wao wanajuaje kiwango hiki kinatosha?)
wanapima kwa kutumia price index yaan nguvu ya bei ya kila bidhaa sokoni then regulate kwa kutumia fiscal na monetary policies hizo huwa zinatungwa na benki kuu so mzunnguko wa hela huwa unajibalance wenyewe japo sio accurate
Oooh
Sasa twende kazi!!
Kwani wenye Nchi zao wenyewe wanasemaje?
😢
Mpo vizuri sana aise.
Asante sana Mtaalamu
@@BONGOFASTA yap yap mpo smart mno...
Ss tanzania inatengeneza wenyewe noti ama
Pesa za Zimbabwe uki change huku inakuwaje?
Kiwango Cha Pesa
Maswala haya kila siku yakizungumzwa mm nakuwa siyafaham sijawahi kuyafaham na nabaki na mswali mengi kichwani
Hata sielewi
kwahyo pesa ya zimbabwe 2008 sahv haina kazi
Nimejifunza sanaa
INA maana huyo mtoto kashika sent kumi
Kumbe Mambo huw magumu hiv hapo nmeelewa
Brother hujafafanua vzur kwa nn China India na America pesa zao hazshuk thaman? Kwann uchapishaj wa pesa usifanywe ndan kwa kiwango kilekile kinachochapishwa uswiz nakuletwa kwetu? Bro bado kunasili tusioijua mbali nahoja hiyo ya kichumi naam naam
Sir ipo ila technology pia n changamoto lkn je utunzaj wa sir katika kiwanda husika pia
Bado sehemu B ,je zikichapishwa nje kwa makampuni na kuingizwa kwa wingi na serikali kwann pesa haishuki thamani,vipi kaam serikali ikiamua kuziagiza pesa nying haraf walipie madeni yote ya taifa kwann hawawez kuzalisha pesa kulipa madeni ya Taifa?
Madeni mengi tunapaswa kulipa kwa USD, EUROPE au POUNDS na sisi kisheria hatuwezi kuzalisha hizo fedha.
Wakwanza
Delarue
Ila mm naona kuchapisha ela ningumu saana ingelikuwa inaweza nchi kuchapisha ela kiolela kipindi cha uhai wa magufuri angezitengeneza ela mwenyewe asingekubali kwenda kuchapisha ela nje
Sebuleni baba😂😂😂🤚🤚
Treu.
Nimekukubali mkali,nimejifunza kitu
Inakuaje vitu vinapanda bei alafu mzunguko wa fedha ni mdogo
Marikani wanachapisha zao,,,,,,
Mambo mazur na yanaeleweka
Umeeleweka vya kutosha
Wanalipwa nini wao
Kwanini inchi zisichapishe pesa zak wenyewe kwa wingi ili kulipa madeni yake? Ukiachana na kuzitia ktk mzunguko wa ndani ya nchi yenyewe
Swal zur sana
Na kunjb kama hvi,,, " serikali ikichapisha noti nying za kwetu afu ilipe madeni hzo noti znatumika wapi na Nchi gani"? Yaan jibu ni kwamba ikizalisha ni za kwetu so lazma ziingie kwene mzunguko wa kwetu na hapo ndo inashuka thaman maan ata tukiwalipa bado znarudi kwetu tuh yaan ndo iko hvo
Poa twende kazi
Sasa nimeelewa.
Kwanini marekani wakichapisha wao ,hakuna shida lkn waafrica wakichapisha zinashuka thamani why?
Waafrika wengi sio wahadilifu lazima watachapisha zaid na kuzipeleka mtaani
@@magangajames4644 😁😁😁