UNAJUWA NINI! hata mimi ni mchoraji nilisha chora picha nyingi kwa kutumia akili yangu tu bila kufikilia. Baada ya siku nikiitizama vizuri picha niliyoichora nahisi kama kuna vitu vingi wakati niliichora tu bila kufikili. Picha nilizo zichora zamani atakaye zitizama kwasasa lazima alete tafsili nyiiiiingi. Wakati mimi sikuwa na maana hata moja✍
ndugu yangu watu wameharibika kimaadili ndio maana kila kitu wanakitafsiri kwa ubaya yaani tukumbuke kuwa maji ya bahari ni chumvi hata ukisogea kwandani utapata ni machungu tu,walio zoea ubaya wabna zalisha mabaya yaliyo katika mawazo yao potofu
My friend? Umepotea; no one will inherit the kingdom of God unless he/she is born again. Jesus chirist is lord and saviour to the glory of God the father. 🙏
No tano hiyo ni uongo, sio ugunduzi wa hali ya juu hata kidogo. Kila picha iliyochorwa namna hiyo yaani kwa kuonekana macho yote mawili lazima kila upande unaotokea mtu huyo huonekana akikutazama. Chunguza na picha nyinginezo utabaini hilo.
@@Kendra_panda Sijasema sio kweli, nimesema kwa kila picha iliyochorwa namna hiyo lazima hilo jambo lionekane, hivyo sio ugunduzi wa hali ya juu uliogunduliwa kwenye picha ya Monalisa. Sawa ee?
Jitikise dada na kama bado unakaa kwa mjomba, Shangazi, au kwa kaka ondoka Haraka au bado upo kwa wazazi Eeeh, eti havisaidii chochote Ulikuwa Unamjua LEONARDO DAVNCH we nenda kaangalie bongo movie ndo saizi yako
Unaongea vitu vinavyosadikika na sio ukwel na kama ni kwel una ushahidi???? Au kuja kuleta porojo na kutaka kuuza jina kupitia hayo maneno yako ......think twice bro😎😎😎
Hapo kwenye kalamu ya mwisho "The Last Supper" pia kuna siri inaonesha Maria Magdalena yule aliandikwa kama kahaba kwenye bibilia ...inasemekana aliikua mke wa yesu na alizaa nae ila aliishi mafivhoni kwa mda mrefu kutokana na mayahudi kutaka kupoteza kizazi cha yesu.
mbona sound iko juu me unanipa taabu kuelewa
Asant sana mungu kutupatia watu kama wew unayetuletea habari kama hizi asant brother
kila picha ukiiangalia kwa pemben inakuangalia UA VP ndguzangun yenye macho wazi lakin
Umetisha mzee keep it up
Upo vizur bro
Kuna vitu vyengine watu uwaga tu mna imagine sometime
Mungu ametupa akili na maarifa ila siku hizi watu awataki kumiza kichwa , kila mtu wanatumia shortcut , ni heli wenzangu tutumie maarifa ipasavyo
Hongera sannaaa...
UNAJUWA NINI! hata mimi ni mchoraji nilisha chora picha nyingi kwa kutumia akili yangu tu bila kufikilia. Baada ya siku nikiitizama vizuri picha niliyoichora nahisi kama kuna vitu vingi wakati niliichora tu bila kufikili. Picha nilizo zichora zamani atakaye zitizama kwasasa lazima alete tafsili nyiiiiingi. Wakati mimi sikuwa na maana hata moja✍
your whole being in different from them.
ndugu yangu watu wameharibika kimaadili ndio maana kila kitu wanakitafsiri kwa ubaya yaani tukumbuke kuwa maji ya bahari ni chumvi hata ukisogea kwandani utapata ni machungu tu,walio zoea ubaya wabna zalisha mabaya yaliyo katika mawazo yao potofu
Yaan sauti yako nzito yakiume safi ila inanitisha najikuta nikiisikia naiogopa
😂😂😂😂
Uko vizuri mkuu
great quality video
Makini sanaa kaka
Good job br.
Mashallah 🥰 Ila Mimi nipo nipo tuu 😔😃huwa sijui chochote
Fantastic
Video hii ni nzuri
Kazi nzuri lakini work out on sound
Yesu hakusulubiwa na yeye si Mungu yéyé n mtume wa Mungu
Are you real?!!
Wewe ni muislamu au mkristo?
Mimi n muisilamu
Brian Christian Muisilamu pia sisi tunamwamini yesu kama mtume wa Mungu Bali yesu si Mungu wala mtoto wa Mungu
My friend? Umepotea; no one will inherit the kingdom of God unless he/she is born again. Jesus chirist is lord and saviour to the glory of God the father. 🙏
TUPE STORY YA ALEXANDER THE GREAT TAFADHALI BOSS
Sawa mkuu nalishugulikia hilo.
nataman kumjua zaidi uyo jamaa maaana nlimhelewa xana
GODWIN FRANK kasome kitabu boss
Kitabu gani
Hongera sanaaaa
Da vinc n hatari
We kaka noumah sana
Daaaah noma sana
xhukran xana kak kw kunifahamixh hay mamb nilikua xjui
Good
wapeeee wapeeee
Love it
Asante kwa kutazama
Hatariiii
Nimecheki na picha inayoitwa Davinch inaendana sana na hii
heeeehe mna kizungumkuti hpa
Siyo maiko anjelo ni MICHELANGELO
Kaz nzur
Hapo kwa papà Julia’s 😂😂
Nyie kina kitu mnawatukuza wazungu tuu kila kilichogunduliwa bas wamegundua wazungu tu
Asante
Kaka Justin naomba tutengenezee video kuhusu Imhotiep maana nashindwa kujua yupi alikua genius zaidi kati yake na Leonardo da Vinci
Keep up
Bravo ✌✌✌✌
Ooooyaaaah
Mgeni Rasimi niga
aaa aise
Lete na ya Mao ze dong wa china
Duh nouma❤❤🔥🔥🔥
Good work
Ok
Michael angelo alikua mhuni
Duuuh htriiii munoooO:-😾😾
Balaa sana watu wa zamani walikuwa wanafikiria sana
Twende kaz
Duh!! Hatari sana: tuko pamoja.
Mziki unazinguwa wa nini sasa
xwal lang ni hl je? haw aliens wametokana na nn?
Tafuta mziki mzuri bana hii ya haina hii inakela
monalisa ndo. mchoro bora wa mda wote
Wangapi nmejarbu kama mimi
Dkk 9... Background music inaznguaaaaa
Asante kwa feedback
nc
Tunamba history ya wafamle wa Roma
Hyo ni michoro tuu
Mh
wow
Hatari kabisa
wow
Punguza saut ya mziki
Duuh
Tuelezee ukweli wa hercules
Ndio
Kwan monalisa ni nani adi tumjadil 🤔🤔
edward lupolaso shangaz yak
HahAha
Ila dunian kuna mengi mnavyotupa hizi hadithi tunajifunza sana asante
Kwani uyo mchoraji akimaliza haulizwi alichokichora
Njoo nikuchore ehh
Hii Dunia inasiri kubwa sana
Asante kwa kutazama.
Alexander the great tafadhali
Watu walikuwa na akili
Sana yani.
CHJ
Sijaelewa kabisa
No tano hiyo ni uongo, sio ugunduzi wa hali ya juu hata kidogo. Kila picha iliyochorwa namna hiyo yaani kwa kuonekana macho yote mawili lazima kila upande unaotokea mtu huyo huonekana akikutazama. Chunguza na picha nyinginezo utabaini hilo.
Hii ni kweli try it
@@Kendra_panda Sijasema sio kweli, nimesema kwa kila picha iliyochorwa namna hiyo lazima hilo jambo lionekane, hivyo sio ugunduzi wa hali ya juu uliogunduliwa kwenye picha ya Monalisa. Sawa ee?
Eh niatar san
HIZI NI HISIA ZAKO TU HAMNA HATA FAIDA MOJA UNAYO TUPA
Asabte kwa maoni yako.
Asante bro story kama hizi mie binafsi yangu zinanitoa mawazo. Pia zinanifundisha nisivyovijua
Kumb unaakili
Jitikise dada na kama bado unakaa kwa mjomba, Shangazi, au kwa kaka ondoka Haraka au bado upo kwa wazazi Eeeh, eti havisaidii chochote Ulikuwa Unamjua LEONARDO DAVNCH we nenda kaangalie bongo movie ndo saizi yako
Unaongea vitu vinavyosadikika na sio ukwel na kama ni kwel una ushahidi???? Au kuja kuleta porojo na kutaka kuuza jina kupitia hayo maneno yako ......think twice bro😎😎😎
Asante kwa maoni yako,tutayafanyia kazi.
Jama anajuwa big up sana bro
Kwa Hiyo vya ukweli unavyovijua wewe tupe basi, tuviache vya Justin eti think twice, toka hapo alipoolewa dada yako jitikise bro
Hapo kwenye kalamu ya mwisho "The Last Supper" pia kuna siri inaonesha Maria Magdalena yule aliandikwa kama kahaba kwenye bibilia ...inasemekana aliikua mke wa yesu na alizaa nae ila aliishi mafivhoni kwa mda mrefu kutokana na mayahudi kutaka kupoteza kizazi cha yesu.
Ahmedy AK Embu tuache kidogo
Soma The Da vinci code kimeandikwa na Dan Brown...ukimaliza uje unambie tena nikuache kabisa.
wah
@@jeremiahmutunga6899 nimetafsiri picha tu kwa ujuzi niliopata kwa Dan Brown si vinginevyo.
Hahahwhwhw
Ok